Akili kubwa sana,mheshimiwa kishimba nmetambua kuwa elimu bora ni ile itakayoboresha maisha ya wa2 na kuwaondolea changamoto tofauti na hapo elimu inakuwa ni kujua kusoma na kuandika basiii...😀😀😀nakupenda sana ...unajua wasomi wamezoea kuongea mavi2 magum ma balance of payments ma GDP ma nini nini lakini wewe unawapeleka kwa mambo rahisi na tukiyafanya yatatatua changamoto za wa2...Thank comred Kishimba Police wa nn kwenye mitihani ya mwisho ...huku kwe2 wa2 wazma wenyewe wakiona police wanakimbia sembuse na watoto wa shule 😀😀😀mnawachanganya mpaka wenye akili wanapanic... Gage 40 bati hulitaki tukiezekea kavelo (nylon) na nyasi Ruksa kwa nn ?😀😀😀 Dah Mheshimiwa Salute ...Mwenye namba za mzee kishimba anitumie nivune maarifa...😀😀😀nisome tu upya😀😀😀
Mh. Kishimbamba ana kitu cha pekee sana alichopewa na Mungu na anakifanyia kazi kwa usahihi sana. Endapo Wakuu wa nchi wangelikuwa wanamapenzi ya dhati ya maendeleo ya nchi na wananchi wake,basi hawana budi kumtumia Mheshimiwa Jumanne Kishimba mbunge wa Kahama mjini. Viongozi mkiacha siasa ktk mambo ya msingi Tanzania ni Nchi Tajiri sana,hususani mkoa mpya wa NJOMBE 😭😭😭😭😭
Mim nafikir huyu mzee sometimes Ana anayumba sana bati ya gauge 40 sidhan kama linaweza kudumu Zaid ya miaka miwili linakuwa kama karatas sasa bas kila Mara utakuwa unafanya maintenance,,, akili mkichwa
Hii ni tofauti kati ya "kukumbuka" na "kufikiri" Nadhan waliosoma wamereplace maarifa kwa notes kwahyo akili zao zinakumbuka walichoambiwa tu hazifikilii tena.
Kuna soko hapa dodoma kama ndio machinga complex Shughuli hazijaanza lakini usiku taa zinawaka Sasa najiuliza Kwanini zisiwashwe taa za ulinzi tu Mnawasha taa nyingi bila sababu Huo umeme nani analipa
Ni kweli wananchi hawajengi Magorofa walio wengi ila kwa akili za wa TZ kubana Bajeti watumia Hizo hizo ambazo so za magorofaa. Mfano Kama za Sasa tu Badala sehemu ya kutumia Mifuko 3 wanatumia Miwili kubana Bajeti unafikiri Hiyo ya buku 5000 wataacha kweli kutumiaa..,
Huyu mzee Kishimba ana elimu ya kuzaliwa,yote aliyochangia ni points muhimu na kama wasomi wetu waliopewa dhamana wangelikuwa na uwezo wa ziada wa kufikiri tungekuwa mbali sana kimaendeleo. Anaongea simple lakini nyie anaowalalamikia msifanye mzaha chukueni hizo points zake kama vile mnavyoandika notice darasani iwe ni homework na kama mtaelewa na kuzifanyia kazi matokeo mazuri tutayaona karibuni.
Sijawahi kusikia kishimba akisemea maendeleo ya jimbo lake..kila siku ni vitu vyake..huyu hajui umuhimh wa usalama kwenye miyihani ya taifa wala hajui madhara ya vitu feki
Unahitaji kuwa na Akili kubwa! ili uweze kumuelewa Mh' Kishimba, Hongera sanaa Baba kwa maono yako makubwa.
hakika sitomtendea haki kama nisipo mpigia makofi mbunge huyu 👏👏👏
Akili kubwa sana,mheshimiwa kishimba nmetambua kuwa elimu bora ni ile itakayoboresha maisha ya wa2 na kuwaondolea changamoto tofauti na hapo elimu inakuwa ni kujua kusoma na kuandika basiii...😀😀😀nakupenda sana ...unajua wasomi wamezoea kuongea mavi2 magum ma balance of payments ma GDP ma nini nini lakini wewe unawapeleka kwa mambo rahisi na tukiyafanya yatatatua changamoto za wa2...Thank comred Kishimba Police wa nn kwenye mitihani ya mwisho ...huku kwe2 wa2 wazma wenyewe wakiona police wanakimbia sembuse na watoto wa shule 😀😀😀mnawachanganya mpaka wenye akili wanapanic...
Gage 40 bati hulitaki tukiezekea kavelo (nylon) na nyasi Ruksa kwa nn ?😀😀😀
Dah Mheshimiwa Salute ...Mwenye namba za mzee kishimba anitumie nivune maarifa...😀😀😀nisome tu upya😀😀😀
Mh. Kishimbamba ana kitu cha pekee sana alichopewa na Mungu na anakifanyia kazi kwa usahihi sana.
Endapo Wakuu wa nchi wangelikuwa wanamapenzi ya dhati ya maendeleo ya nchi na wananchi wake,basi hawana budi kumtumia Mheshimiwa Jumanne Kishimba mbunge wa Kahama mjini. Viongozi mkiacha siasa ktk mambo ya msingi Tanzania ni Nchi Tajiri sana,hususani mkoa mpya wa NJOMBE 😭😭😭😭😭
Point sana Mzee wangu mwenye elimu ya darasa la saba kama mimi kijana wako C.e.o wa AGL Security Agency
Mzee huyu anafaa kuongoza nchi hii.. maana akili yake ni kubwa sana. Hongera mzee kishimba
Mbunge mzuri sana huyu anajua siri nyingi za maisha ya kimaskini na anaelimisha sana bunge
Huyu Mzee Kama wambunge wetu wangewaza Kama kishimba tungekuwa Tanzania ya tofauti lakini tunawatu vilaza tu na elimu yao ya makaratasi hawana maarifa
Viongozi wachache sana africa smart uwelewa wahali ya juu,
Nakukubar Sana mzee uko sahihi Sana mungu akubariki
Tqtizo nchi zetu, mwenye kitu husukumiwa mbali sana, Mzee uko vizuri sana
Mawazo ya mhe. Kishimba hua anamawazo mazuri sana. Serikali ingekua inayatumia basi tungefika mbali
Kishimba na msukuma nawakubali sana
Nakukubali sana mzee mawazo yako yakipewa kipaumbele tutatoboa
Yaaan Mr kishimba ishi miaka100000
Mh unamawazo mazuri kuliko ambao wana elimu ya makaratasi hao ndo wanaotuuza ,maisha marefu mh,
Huyu mzeee genius🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪
Wewe ndio mbuge wangu Mungu akukumbuke
Wewe ndio Mbunge wangu Mungu akukumbuke sana tena sana
Ahsante baba 100 percent
Shikamoo kishimba🙏🙏🙏🙏🤸🤸🤸🤸🤸
Safi sana kishimba pointi
Mungu akukumbuke kwa nafasi yako Unayo stahili Cjui kama hapo panatosha akuongezee nafasi nyingine tena
Mheshimiwa kishimba namkubali ndo mbunge niaempenda saaana kwa hoja zake
Ubarikiwe Sana Mh. Kishimba
Hongera xana kiongoz we unastahk kugombea urais
Upo vzr Sana hapo kwenye dini umesema vzr
Akili kubwa sana,wanaombiwa hawamuelewi. Elimu inafaa itatue matatizo yetu katika jamii na si kazi kuiba kodi ya maskini kila siku
JICHANGANYENI MNAYO ELIMU LAKINI MAARIFA ANAYO HUYO MZEE PEKE YAKE NAKUKUBALI SANA MZEE KISHIMBA
Yaan Kama ulizaliwa n mom n hujamuelewa huyu mzeee Bora ufeee tuuu
Sema Baba
Maprofesa wamejaa hamna kitu kishimba wa darasa la saba amewazidi kwa hekima na busara humo bungeni
He talking fact. Wataalamu wetu wanajua kusoma na kuandika sio maarifa
Rais ndoo hatuna jamani
Apewe uwaziri mkuu
Mh ongera Sana una mchango mzuri sana
Katika hii nchi kishimba popote ulipo shikamoo unahoja zenye mashiko na maono
Miongoni mwa watu bora duniani Kishimba
Daaah saroot kubwa Kwa huyu mwamba
Utabaki kusema mzee hajielewi kumbe wewe ndo hujielewi!
Mi namwangalia huyo Mbunge wa kushoto kwa Mhe. Kishimba
Ma sha Allah!
Fantastic
JUMANNE K KISHIMBA KWELI NI PRF.
HUYU MZEE ni Raisi in nature
Kahama tutafika kwa mungu tumechoka sanaa
Kwa kweli
Jamani Tanzania Ina watu wanaakili na hata kutuongoza. Wanaweza. Hivi Hawa wachumia matumbo sijui tuliwapata wapi!!!!!!
Mungu ni tajiri sana ana watu wenye akili nzuri
Mim nafikir huyu mzee sometimes Ana anayumba sana bati ya gauge 40 sidhan kama linaweza kudumu Zaid ya miaka miwili linakuwa kama karatas sasa bas kila Mara utakuwa unafanya maintenance,,, akili mkichwa
@@chrispinboniface3329 nyasi unarekebisha kwa muda gani baba
safi sana baba
Hii ni tofauti kati ya "kukumbuka" na "kufikiri"
Nadhan waliosoma wamereplace maarifa kwa notes kwahyo akili zao zinakumbuka walichoambiwa tu hazifikilii tena.
Wazee kama nyie ndo tunawataka katika nchi hii
Kumbe nimegundua kitu, kosoma kwingi kunaondoa maarifa ona sasa huyu darasa la 7 anavyolinyoosha bunge
Ukitoka kanda ya ziwa lazima uwe vizur kichwan
Kuna soko hapa dodoma kama ndio machinga complex
Shughuli hazijaanza lakini usiku taa zinawaka
Sasa najiuliza
Kwanini zisiwashwe taa za ulinzi tu
Mnawasha taa nyingi bila sababu
Huo umeme nani analipa
Nakelagwa na mbunge wetu wa jimbo la solwa.....sijawahi muona amesimama kuongea chchote
Watu na elim zao hawamuelew hata
Hela anapewa dangote sie walipa deni tumepigwa mwingi
Ni kweli wananchi hawajengi Magorofa walio wengi ila kwa akili za wa TZ kubana Bajeti watumia Hizo hizo ambazo so za magorofaa. Mfano Kama za Sasa tu Badala sehemu ya kutumia Mifuko 3 wanatumia Miwili kubana Bajeti unafikiri Hiyo ya buku 5000 wataacha kweli kutumiaa..,
Kishimbaaaaa!
Kishimba akili kubwa
Huyu mzee ni kati ya watu wenye fact za uhakika, mtazamo chanya,anafikiri katika uhalisia n ndo watu tunaowahitaji kama Viongozi....
Huyu jamaa ni dhahabu ya nchi hongereni sana kahama .MUNGU amtunze mzee huyu
Kishimba is smart
Huyu mbunge kichwa
We mzee umeniliza kwakwel
Kichwaa uyo
Inamashiko mnoo
Wamesoma masomo yaujinga tuu
Wabunge nyote muige mfano wa Mheshiwa Kishimba. Kwa nini amuelewekiii,???.
Huyu kiongozi apewe urais
Huyu mzee Kishimba ana elimu ya kuzaliwa,yote aliyochangia ni points muhimu na kama wasomi wetu waliopewa dhamana wangelikuwa na uwezo wa ziada wa kufikiri tungekuwa mbali sana kimaendeleo.
Anaongea simple lakini nyie anaowalalamikia msifanye mzaha chukueni hizo points zake kama vile mnavyoandika notice darasani iwe ni homework na kama mtaelewa na kuzifanyia kazi matokeo mazuri tutayaona karibuni.
👏👏👏👏
Waambi hao majinga yanayojiita masomi
Mazombi tu, mko kwa ajili ya matumbo yenu tu , na si kutetea wananchi
Nimekuelewa mheshimiwa
Safi kisimba
Kishimba ni akili nyingi sana
Kishimba nena baba
Hivi nani huwa anafanyia kazi mawazo mazuri ya Wabunge?
JPM bado yupo
Bila kua kitu kichwani huwezi elewa
Na ukijenga nyumba ya nyasi mjini unafukuzwa
UKIZALIWA KANDA YA ZIWA LAZIMA UWE NA AKILI LAKINI PWANI UTAKUWA MJINGA KAMA SAMIA HASA ZANZIBA
Sijawahi kusikia kishimba akisemea maendeleo ya jimbo lake..kila siku ni vitu vyake..huyu hajui umuhimh wa usalama kwenye miyihani ya taifa wala hajui madhara ya vitu feki
akili nyingi mzee na cjui kwani ucpewe uwazili
🤣🤣
Kahama walikula hasara kabisa
Umenifanya nicheke Kwa nguvu mwenyewe nakumbuka enzi Kampeni Zake alikuwa anaweka Flash ya Zile mambo zake zilizo trend awamu ile ya Tano
Huyu jamaa ana point sana.
Japo wawez mwon ayuko sawa ila jamaa anaongea point sana
Hasara hailiwi.
Usipo muelewa hyu ujue we ndo hasara,,,au unauroho na nafas yake.
Ila mzee ni great minded
Wajinga na wahuni ndo wanataka aonekane anachekesha.!
Hapo hakuna mbuge kuna mtetea biashara fake
We uwez elewa kitu nyie ndo mnakimbilia elimu zisizo wasaidia. Inabak nilisom ila sina kitu chochote
Nyanoko
Wew huwelew
@@nellywizz9631 Nilisoma sijaajiliwa🤣🤣🤣🤣
@@faustinkikoti9735 alafu analalam huku... Wakat hvyo visemwavyo ap ndo vyakumsaidia