HOJA TATU ZA MBUNGE KISHIMBA ZILIVYOWAACHA HOI WABUNGE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 окт 2024

Комментарии • 109

  • @shamterehani2161
    @shamterehani2161 2 года назад +21

    Unahitaji kuwa na Akili kubwa! ili uweze kumuelewa Mh' Kishimba, Hongera sanaa Baba kwa maono yako makubwa.

  • @harunamroboto8029
    @harunamroboto8029 2 года назад +10

    hakika sitomtendea haki kama nisipo mpigia makofi mbunge huyu 👏👏👏

  • @samsonmaduka2820
    @samsonmaduka2820 2 года назад +5

    Akili kubwa sana,mheshimiwa kishimba nmetambua kuwa elimu bora ni ile itakayoboresha maisha ya wa2 na kuwaondolea changamoto tofauti na hapo elimu inakuwa ni kujua kusoma na kuandika basiii...😀😀😀nakupenda sana ...unajua wasomi wamezoea kuongea mavi2 magum ma balance of payments ma GDP ma nini nini lakini wewe unawapeleka kwa mambo rahisi na tukiyafanya yatatatua changamoto za wa2...Thank comred Kishimba Police wa nn kwenye mitihani ya mwisho ...huku kwe2 wa2 wazma wenyewe wakiona police wanakimbia sembuse na watoto wa shule 😀😀😀mnawachanganya mpaka wenye akili wanapanic...
    Gage 40 bati hulitaki tukiezekea kavelo (nylon) na nyasi Ruksa kwa nn ?😀😀😀
    Dah Mheshimiwa Salute ...Mwenye namba za mzee kishimba anitumie nivune maarifa...😀😀😀nisome tu upya😀😀😀

  • @givenmhabuka5953
    @givenmhabuka5953 2 года назад +5

    Mh. Kishimbamba ana kitu cha pekee sana alichopewa na Mungu na anakifanyia kazi kwa usahihi sana.
    Endapo Wakuu wa nchi wangelikuwa wanamapenzi ya dhati ya maendeleo ya nchi na wananchi wake,basi hawana budi kumtumia Mheshimiwa Jumanne Kishimba mbunge wa Kahama mjini. Viongozi mkiacha siasa ktk mambo ya msingi Tanzania ni Nchi Tajiri sana,hususani mkoa mpya wa NJOMBE 😭😭😭😭😭

  • @GosheSecurity
    @GosheSecurity 2 года назад +5

    Point sana Mzee wangu mwenye elimu ya darasa la saba kama mimi kijana wako C.e.o wa AGL Security Agency

  • @maximillianpeter9550
    @maximillianpeter9550 2 года назад +5

    Mzee huyu anafaa kuongoza nchi hii.. maana akili yake ni kubwa sana. Hongera mzee kishimba

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 2 года назад +3

    Mbunge mzuri sana huyu anajua siri nyingi za maisha ya kimaskini na anaelimisha sana bunge

  • @martinkisha6307
    @martinkisha6307 2 года назад +14

    Huyu Mzee Kama wambunge wetu wangewaza Kama kishimba tungekuwa Tanzania ya tofauti lakini tunawatu vilaza tu na elimu yao ya makaratasi hawana maarifa

  • @kassimmurji632
    @kassimmurji632 2 года назад

    Viongozi wachache sana africa smart uwelewa wahali ya juu,

  • @mussathomasdossa4687
    @mussathomasdossa4687 2 года назад +3

    Nakukubar Sana mzee uko sahihi Sana mungu akubariki

  • @emmanuelmwamlima1027
    @emmanuelmwamlima1027 2 года назад +2

    Tqtizo nchi zetu, mwenye kitu husukumiwa mbali sana, Mzee uko vizuri sana

  • @emmanuelskomiga2296
    @emmanuelskomiga2296 Год назад

    Mawazo ya mhe. Kishimba hua anamawazo mazuri sana. Serikali ingekua inayatumia basi tungefika mbali

  • @martinkisha6307
    @martinkisha6307 2 года назад +4

    Kishimba na msukuma nawakubali sana

  • @hassanbilali5576
    @hassanbilali5576 2 года назад +4

    Nakukubali sana mzee mawazo yako yakipewa kipaumbele tutatoboa

  • @raurentkorosso2014
    @raurentkorosso2014 2 года назад +3

    Yaaan Mr kishimba ishi miaka100000

  • @danielmwita8273
    @danielmwita8273 2 года назад +5

    Mh unamawazo mazuri kuliko ambao wana elimu ya makaratasi hao ndo wanaotuuza ,maisha marefu mh,

  • @thomasmartinez786
    @thomasmartinez786 2 года назад +4

    Huyu mzeee genius🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪

  • @japhetjames8185
    @japhetjames8185 2 года назад +3

    Wewe ndio mbuge wangu Mungu akukumbuke

    • @japhetjames8185
      @japhetjames8185 2 года назад

      Wewe ndio Mbunge wangu Mungu akukumbuke sana tena sana

  • @barakaephraim5481
    @barakaephraim5481 2 года назад +1

    Ahsante baba 100 percent

  • @victorernest7702
    @victorernest7702 2 года назад +3

    Shikamoo kishimba🙏🙏🙏🙏🤸🤸🤸🤸🤸

  • @dianasago9214
    @dianasago9214 2 года назад +1

    Safi sana kishimba pointi

  • @erodeshayo123
    @erodeshayo123 2 года назад

    Mungu akukumbuke kwa nafasi yako Unayo stahili Cjui kama hapo panatosha akuongezee nafasi nyingine tena

  • @MuyaMndiga-pq2gn
    @MuyaMndiga-pq2gn Месяц назад

    Mheshimiwa kishimba namkubali ndo mbunge niaempenda saaana kwa hoja zake

  • @vickystellah3194
    @vickystellah3194 2 года назад +1

    Ubarikiwe Sana Mh. Kishimba

  • @radhiamohamed4743
    @radhiamohamed4743 2 года назад

    Hongera xana kiongoz we unastahk kugombea urais

  • @sellinambwilo6011
    @sellinambwilo6011 2 года назад

    Upo vzr Sana hapo kwenye dini umesema vzr

  • @zuberigwakula8531
    @zuberigwakula8531 2 года назад

    Akili kubwa sana,wanaombiwa hawamuelewi. Elimu inafaa itatue matatizo yetu katika jamii na si kazi kuiba kodi ya maskini kila siku

  • @laurencematare3143
    @laurencematare3143 2 года назад +6

    JICHANGANYENI MNAYO ELIMU LAKINI MAARIFA ANAYO HUYO MZEE PEKE YAKE NAKUKUBALI SANA MZEE KISHIMBA

  • @beathalengson4108
    @beathalengson4108 2 года назад +3

    Yaan Kama ulizaliwa n mom n hujamuelewa huyu mzeee Bora ufeee tuuu

  • @emanuelsamson-hq2jv
    @emanuelsamson-hq2jv Год назад

    Sema Baba

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 2 года назад +3

    Maprofesa wamejaa hamna kitu kishimba wa darasa la saba amewazidi kwa hekima na busara humo bungeni

  • @sautiyangu1
    @sautiyangu1 Год назад

    He talking fact. Wataalamu wetu wanajua kusoma na kuandika sio maarifa

  • @sultanfauz9318
    @sultanfauz9318 2 года назад +2

    Rais ndoo hatuna jamani

  • @mwengatv3058
    @mwengatv3058 Год назад

    Apewe uwaziri mkuu

  • @johnkando8166
    @johnkando8166 2 года назад

    Mh ongera Sana una mchango mzuri sana

  • @denismvile7919
    @denismvile7919 2 года назад +3

    Katika hii nchi kishimba popote ulipo shikamoo unahoja zenye mashiko na maono

  • @abdallahudulo8094
    @abdallahudulo8094 Год назад

    Miongoni mwa watu bora duniani Kishimba

  • @zeddysimfukwe6023
    @zeddysimfukwe6023 2 года назад +1

    Daaah saroot kubwa Kwa huyu mwamba

  • @user-gq8ox7wb7f
    @user-gq8ox7wb7f 2 года назад +4

    Utabaki kusema mzee hajielewi kumbe wewe ndo hujielewi!

  • @oblemongi4195
    @oblemongi4195 Год назад

    Mi namwangalia huyo Mbunge wa kushoto kwa Mhe. Kishimba

  • @ibrahimiddi9893
    @ibrahimiddi9893 2 года назад

    Ma sha Allah!

  • @zabronbaltazary5048
    @zabronbaltazary5048 2 года назад +1

    Fantastic

  • @kenedrocky5964
    @kenedrocky5964 2 года назад +1

    JUMANNE K KISHIMBA KWELI NI PRF.

  • @raro5506
    @raro5506 2 года назад

    HUYU MZEE ni Raisi in nature

  • @hassanyussuph4407
    @hassanyussuph4407 2 года назад +3

    Kahama tutafika kwa mungu tumechoka sanaa

    • @thomasmartinez786
      @thomasmartinez786 2 года назад

      Kwa kweli

    • @mac_browntz4095
      @mac_browntz4095 2 года назад

      Jamani Tanzania Ina watu wanaakili na hata kutuongoza. Wanaweza. Hivi Hawa wachumia matumbo sijui tuliwapata wapi!!!!!!

  • @stanleymathias2529
    @stanleymathias2529 2 года назад +6

    Mungu ni tajiri sana ana watu wenye akili nzuri

    • @chrispinboniface3329
      @chrispinboniface3329 2 года назад

      Mim nafikir huyu mzee sometimes Ana anayumba sana bati ya gauge 40 sidhan kama linaweza kudumu Zaid ya miaka miwili linakuwa kama karatas sasa bas kila Mara utakuwa unafanya maintenance,,, akili mkichwa

    • @gladysmwendwa3660
      @gladysmwendwa3660 2 года назад

      @@chrispinboniface3329 nyasi unarekebisha kwa muda gani baba

  • @jasperrobert2417
    @jasperrobert2417 2 года назад

    safi sana baba

  • @faustinkikoti9735
    @faustinkikoti9735 2 года назад +2

    Hii ni tofauti kati ya "kukumbuka" na "kufikiri"
    Nadhan waliosoma wamereplace maarifa kwa notes kwahyo akili zao zinakumbuka walichoambiwa tu hazifikilii tena.

  • @marianjogela7267
    @marianjogela7267 2 года назад +1

    Wazee kama nyie ndo tunawataka katika nchi hii

  • @deodadeo2016
    @deodadeo2016 Год назад

    Kumbe nimegundua kitu, kosoma kwingi kunaondoa maarifa ona sasa huyu darasa la 7 anavyolinyoosha bunge

  • @patrickKitambo
    @patrickKitambo 2 года назад +1

    Ukitoka kanda ya ziwa lazima uwe vizur kichwan

  • @josephjosse1465
    @josephjosse1465 2 года назад

    Kuna soko hapa dodoma kama ndio machinga complex
    Shughuli hazijaanza lakini usiku taa zinawaka
    Sasa najiuliza
    Kwanini zisiwashwe taa za ulinzi tu
    Mnawasha taa nyingi bila sababu
    Huo umeme nani analipa

  • @rodapaulo2090
    @rodapaulo2090 2 года назад +3

    Nakelagwa na mbunge wetu wa jimbo la solwa.....sijawahi muona amesimama kuongea chchote

  • @mwengatv3058
    @mwengatv3058 2 года назад +1

    Watu na elim zao hawamuelew hata

  • @tumainikomba9008
    @tumainikomba9008 2 года назад +1

    Hela anapewa dangote sie walipa deni tumepigwa mwingi

  • @aronatv47
    @aronatv47 2 года назад +2

    Ni kweli wananchi hawajengi Magorofa walio wengi ila kwa akili za wa TZ kubana Bajeti watumia Hizo hizo ambazo so za magorofaa. Mfano Kama za Sasa tu Badala sehemu ya kutumia Mifuko 3 wanatumia Miwili kubana Bajeti unafikiri Hiyo ya buku 5000 wataacha kweli kutumiaa..,

  • @nebatjailos8362
    @nebatjailos8362 2 года назад

    Kishimbaaaaa!

  • @emmanuelcharles5613
    @emmanuelcharles5613 2 года назад

    Kishimba akili kubwa

  • @aceofspades3728
    @aceofspades3728 Год назад

    Huyu mzee ni kati ya watu wenye fact za uhakika, mtazamo chanya,anafikiri katika uhalisia n ndo watu tunaowahitaji kama Viongozi....

  • @cascanicolnicol2008
    @cascanicolnicol2008 2 года назад

    Huyu jamaa ni dhahabu ya nchi hongereni sana kahama .MUNGU amtunze mzee huyu

  • @kimweritz6364
    @kimweritz6364 2 года назад

    Kishimba is smart

  • @yassinhamza1969
    @yassinhamza1969 2 года назад

    Huyu mbunge kichwa

  • @tumainikomba9008
    @tumainikomba9008 2 года назад

    We mzee umeniliza kwakwel

  • @renatusaugustine3410
    @renatusaugustine3410 2 года назад

    Kichwaa uyo

  • @barakaephraim5481
    @barakaephraim5481 2 года назад

    Inamashiko mnoo

  • @silivesattesha4837
    @silivesattesha4837 2 года назад +2

    Wamesoma masomo yaujinga tuu

  • @frankkaijage9726
    @frankkaijage9726 2 года назад

    Wabunge nyote muige mfano wa Mheshiwa Kishimba. Kwa nini amuelewekiii,???.

  • @sautiyangu1
    @sautiyangu1 Год назад

    Huyu kiongozi apewe urais

  • @alexmatt9504
    @alexmatt9504 Год назад

    Huyu mzee Kishimba ana elimu ya kuzaliwa,yote aliyochangia ni points muhimu na kama wasomi wetu waliopewa dhamana wangelikuwa na uwezo wa ziada wa kufikiri tungekuwa mbali sana kimaendeleo.
    Anaongea simple lakini nyie anaowalalamikia msifanye mzaha chukueni hizo points zake kama vile mnavyoandika notice darasani iwe ni homework na kama mtaelewa na kuzifanyia kazi matokeo mazuri tutayaona karibuni.

  • @harunamroboto8029
    @harunamroboto8029 2 года назад

    👏👏👏👏

  • @moshacav1061
    @moshacav1061 2 года назад

    Waambi hao majinga yanayojiita masomi

  • @timboxlee919
    @timboxlee919 2 года назад +1

    Mazombi tu, mko kwa ajili ya matumbo yenu tu , na si kutetea wananchi

  • @morandikaroli2774
    @morandikaroli2774 2 года назад

    Nimekuelewa mheshimiwa

  • @micktajili9108
    @micktajili9108 2 года назад +1

    Safi kisimba

  • @raro5506
    @raro5506 2 года назад

    Kishimba ni akili nyingi sana

  • @justinelyuvale2628
    @justinelyuvale2628 2 года назад

    Kishimba nena baba

  • @patrickbatenga2645
    @patrickbatenga2645 2 года назад

    Hivi nani huwa anafanyia kazi mawazo mazuri ya Wabunge?

  • @barakaephraim5481
    @barakaephraim5481 2 года назад

    JPM bado yupo

  • @user-gq8ox7wb7f
    @user-gq8ox7wb7f 2 года назад +1

    Bila kua kitu kichwani huwezi elewa

  • @gladysmwendwa3660
    @gladysmwendwa3660 2 года назад

    Na ukijenga nyumba ya nyasi mjini unafukuzwa

  • @kefajoseph158
    @kefajoseph158 2 года назад

    UKIZALIWA KANDA YA ZIWA LAZIMA UWE NA AKILI LAKINI PWANI UTAKUWA MJINGA KAMA SAMIA HASA ZANZIBA

  • @nicholouswaryoba1474
    @nicholouswaryoba1474 2 года назад

    Sijawahi kusikia kishimba akisemea maendeleo ya jimbo lake..kila siku ni vitu vyake..huyu hajui umuhimh wa usalama kwenye miyihani ya taifa wala hajui madhara ya vitu feki

  • @geladjuma6897
    @geladjuma6897 2 года назад

    akili nyingi mzee na cjui kwani ucpewe uwazili

  • @beatricemagoko1997
    @beatricemagoko1997 2 года назад

    🤣🤣

  • @salalasamson7578
    @salalasamson7578 2 года назад +2

    Kahama walikula hasara kabisa

    • @aronatv47
      @aronatv47 2 года назад

      Umenifanya nicheke Kwa nguvu mwenyewe nakumbuka enzi Kampeni Zake alikuwa anaweka Flash ya Zile mambo zake zilizo trend awamu ile ya Tano

    • @nellywizz9631
      @nellywizz9631 2 года назад

      Huyu jamaa ana point sana.

    • @nellywizz9631
      @nellywizz9631 2 года назад +1

      Japo wawez mwon ayuko sawa ila jamaa anaongea point sana

    • @MedComtz
      @MedComtz 2 года назад

      Hasara hailiwi.

    • @faustinkikoti9735
      @faustinkikoti9735 2 года назад

      Usipo muelewa hyu ujue we ndo hasara,,,au unauroho na nafas yake.
      Ila mzee ni great minded
      Wajinga na wahuni ndo wanataka aonekane anachekesha.!

  • @salalasamson7578
    @salalasamson7578 2 года назад +1

    Hapo hakuna mbuge kuna mtetea biashara fake

    • @nellywizz9631
      @nellywizz9631 2 года назад +2

      We uwez elewa kitu nyie ndo mnakimbilia elimu zisizo wasaidia. Inabak nilisom ila sina kitu chochote

    • @damaselias1938
      @damaselias1938 2 года назад

      Nyanoko

    • @sultanfauz9318
      @sultanfauz9318 2 года назад

      Wew huwelew

    • @faustinkikoti9735
      @faustinkikoti9735 2 года назад

      @@nellywizz9631 Nilisoma sijaajiliwa🤣🤣🤣🤣

    • @nellywizz9631
      @nellywizz9631 2 года назад

      @@faustinkikoti9735 alafu analalam huku... Wakat hvyo visemwavyo ap ndo vyakumsaidia