"WAZIRI UNANISIKILIZA AU UNACHATI?, HUU NI UTAPELI" - MUSUKUMA AMVAA WAZIRI ULEGA BUNGENI
HTML-код
- Опубликовано: 2 май 2023
- "WAZIRI UNANISIKILIZA AU UNACHATI?, HUU NI UTAPELI" - MUSUKUMA AMVAA WAZIRI ULEGA BUNGENI
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Hongera sana msukuma watumishi walioko vijijini hawatumiwi kabisa wapeni kazi watumishi
Jamani hongereni saaana wenye mbunge huyu mnaraha mliinuliwa na Mungu huyu. muombeeni saana nami namwombea saana.
Hii ndio tanzania yetu
Akili nyingi sana msukuma tukipata watu kam msukuma taifa litafanikiwa zaid yaapa
Nakukubali msukuma
Msukuma kichwa sanaa
Sawa msukuma uzuri maneno ya hekima 😮
Upo vizuri msukuma
H
Hongera sana msukuma
R
Mh. Msukuma mm hua sikuungi kwa hoja nying lakin ktk hili Umenene ukweli! Kuna VITU nchi hii vinaendeshwa as if Viongozi wanapangia vilabuni. Naturally Kuna VITU vinaitaj common sense kuliko elimu ya makaratasi. We real need God's assistance.
Safi Mh Kiswaga mbunge wa Magu. Congole Msukuma
Mungu akusaidie duu aise tungekuwa na viongoz kama Hawa tungekuwa mbali
Ki ukweli uwakala ni madili ya watu,viongozi wetu ifike pahala mumuogope Mungu,mnaumiza watu
Baba uko vzr Dana mungu aku tienguv
Safi sana mungu azidi kuku linda
Hongereni wabunge wetu
Hakika msukuma anapenda nchi yake.Msukuma anakumbika maisha ya nyuma.Ila wenngin wakishaingia bungen wasahau shida zao. Na kusema shida zina wenyewe.Waige mwenzao.
Hongera sana mwedhimiwa
Wataslamu wa migugo tupo.
Taaluma ya migugo ni rare Proffession.
Lakini fursa zetu zinachukuliwa na laymen.
Hata penguin wanateuliwa kuongoza wanataaluma.
Kusoma mmeshindwa lakini mnamdanganya Samia kuchukua fursa za wenye taaluma husika.
Majanga hayo.
Mungu atawalaani. Huko akhera Jahanamu itakuwa makazi yenu milele.
alikuwa anachati maana tunavodaiwa kodi ni kama kwenye hii nchi kuna watu ndo wana haki ya KUISHI
Nakukubali kaka upo sahihi kabisa waambie waache zao
Asante sana
Muskuma hongera🎉🎉
safi baba
Ongea ukweli Baba ukweli hukuweka huru mbele za watu na Mungu pia
Mungu akupe umri mrefu na akulinde nabaya yote kwan unaongea kwauchungu
Hongera msukuma
Msukuma oyeeeeeeeee
Magufuri wapili huyo mahisha😅😅😅😅
Honger msuma
Pure intelligence
King msukuma namkubari sana
Kweli mungu akutumze sanaa
Hahahahaha tuhesabu kuku basi 😅😅😅kuna watu wanaakili sana
Msukuma❤
❤❤🎉love you more
Mbona watumishi hawajapewa kipaumbele juu ya nyongeza ya mishahara maisha yapo juu,wabunge hamlioni hilo??
Kweli msukuma umekuwa mkweli sana ifike siku ikimpendeza rais akure uwaziri wa mafungo hata unaibu waziristan kichwa kipo vizur
❤❤❤
Musukuma uko kama mimi nilivyo ona kweri ilikua ni dili sasa vinatusaidia nn
Waziri wa mifugo unapwaya sanaaa
Wow 😮😮😮
😊😊
Habari
Mitano 5 tenaaaaaaa kwa Msukuma
Saafi Saana Msukuma: Umeongea ukweli.
❤❤❤🎉
Ila WASUKUMA TUPO IMARA tupo na akili sana❤
Wasukuma ndio viongoz wenye uwezo mkubwa sana
msukuma anajielewa sana huyu japo elim ndogo ila ni msomi
Jambo hili limesikitisha watu walioliona ni uchafu na badhi ya maofisa ugani wamewachukia wafugaji waliokata hiyo hereni
Msukuma ninakura yako ya mwaka inaekuja nakuombea ushinde tena maana ww unapigania wanainji
🎉🎉🎉🎉🎉
Msukuma ushasema inatosha
Mzee kwakweli ww ndomwamba da uraisi ww sheria
Ukweli lazima usemwe ,,, msukuma endelea kusema
Eti waziri unanisikiliza au unachati😂
Hahaha umetisha msukuma
Natangiapo hili bunge la CCM liko kuwafaniwa watu fulani madeal ya watu tu.
Nakukubal San msukuma
Msukuma Ng up
Wasukuma kumbe ndy kabila lenye uchungu na nchi, basi ikiwwzekana nafac za juu wapewe kipaumbele hili kabila.
Msukuma kasema ukweli
Hongera bwana musukuma
Safe sana
Mzee gombea urais
Mwache aendelee kututetea huko huko, wasije kuuwawa mapema bure kwenye uraisi, maana hii nchi ni ngumu mnooo.
Ati tufunge kuku hereni😂😂😂😂😂😂msukuma❤❤❤❤
Napee VP na. Huyoo. Unasemajee
Kumbe elimu si kitu
Hata sisitukupigia makov
Pogezinyigisanamsukuma unasemakweli
toboa
Nikwer nduguyetuu 😂😂
Kuna jambo. Ra
Vtc. Kwenye. Magari.tunaomba.muweke.spidigavvana.tumechoka.kufungiwa.resenizetu.
🤣🤣🤣🤣 UNACHATI
Vagoshaa wajameni😅😅
Humane amili
Daaah msukuma ugombee ukerewe ututetee yaan la saba yako ina akili timamu
Nawache
Wizi mtupu kabisa heleni hizo hazina maana kabisa,leo hii chanjo hakuna za wanyama hasa ngombe magonjwa yanavagaa wanyama wetu.huyu baba ana akiki nyingi sana
❤❤❤❤❤❤chukuwa hiyo baba angu msukumaaaa
Anachat 😂😂
Shekhe kaziyake siyo kuomba
Dua hua inafanywaje
Wabunge semen ukwel wa mambo yote
Heleni
Magufuli
Agombee jamani awe RAIS wetu
🤣🤣🤣🤣🤣
😂
😂😂😂
Hahaha
Musukuma ni mpumbafu ni imbecile. DP Wirld oyeeee! Amejaa mapesa ya Dubai
Bro ur so dull
Mhe waziri unanisikiliza au unachat?😂😂😂
😂😂😂😂