GWAJIMA 'AWASHA MOTO' BUNGENI, OLE SENDEKA ASIMAMA NA 'KUMLIPUA'

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • GWAJIMA 'AWASHA MOTO' BUNGENI, OLE SENDEKA ASIMAMA NA 'KUMLIPUA'
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 231

  • @pirminmatumizi5464
    @pirminmatumizi5464 Год назад +4

    Askofu, hii siyo theology. Watu wanazungumza facts za kisayansi. Askofu utajivunjia heshima. Nyamaza.

  • @abdallahally842
    @abdallahally842 Год назад +3

    Eti gwajima awashamoto kumbe kazimws hoja zake zamaslahiyawachina na wazalendo walioona watanzania wanapigwa

  • @Duduqwe234
    @Duduqwe234 Год назад +2

    Kwani Gwajima Ni Nani Kwenye Huo Mradi anaoutetea? Kwa Mwenye Akili Timamu Hawezi kukubali! Huyu Gwajima Achunguzwe !

  • @mwanabucheyeki226
    @mwanabucheyeki226 Год назад +11

    Gwojima umefeli kwa Hoja! Hii hoja kuisimamia itazidi kukuchafua kwa sura na Sifa ..! Sendeka yuko Sahihi.

    • @blockchain1203
      @blockchain1203 Год назад

      Mbishi na Ana Amini Yuko Sahihi..Yeye kakomalia tu Zile Community responsibility wanazopaswa kutoa ila kiundani ni tunapigwaa tu..Huo Mradi Gwajima Ni mgeni Hapo Nakumbuka Kati ya Miradi ipigiwa Sana Kelele Enzi za Awamu ya Nne Kama mtu hafuatilii Bunge Kuna mambo ni Mabomu yalitegwa Kuja lipuki Wwnginee

    • @shafee9128
      @shafee9128 10 месяцев назад

      Hujamuelewa swali kwann mwanzo serikali ilkubali saini mwanzo

  • @novatidamian7236
    @novatidamian7236 Год назад +5

    Gwajima achana na hii serikarikari ya wanawake harafu ccm waache wanyukane urudi ukatafakari wapi ukawekee hoja. Serikari mlionauo sasa niyamaelekezo ama yakuelekezwa na mtu furasi tugiye mjua bado. Kwa ile miradi yooooooote ambayo marehemu alituachia kama angelikuwa hai hakuna ambae angikuwa anakusumbua. Waache hii ni ile CCM ya (chukua chako mapema)

  • @venancemwanya4212
    @venancemwanya4212 Год назад +11

    Ole sendeka kampasua fisadi

  • @paulmdiya5941
    @paulmdiya5941 Год назад +8

    Hapo ndipo tunaminishwa ukweli wa uongo kwa mambo tusiyoyajua

  • @eckhardtsaid6697
    @eckhardtsaid6697 Год назад +3

    Hapo ndio tumeona nguvu ya Pesa. Gwajima kalambishwa na waChina

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael5470 Год назад +2

    Hawa Wachina sio wakuchekewa, ukiwafungulia mlango tu, unawakuta chumbani. Nchi hii inapigwa kila kona, kwa kukosa maarifa.

  • @mwalimumstaafu8529
    @mwalimumstaafu8529 Год назад +2

    Hapa Gwajima umechemka. Naweza kusema Mheshimiwa ametumiwa kufikisha hoja na kutoa vitisho. Ukweli unabaki muwekekezaji alikuwa hana uwezo kifedha na hafai kuwa muwekezaji katika mradi huo.

  • @gaspercharles4242
    @gaspercharles4242 Год назад

    Wachina simunawajuaaa.shaurilenu.niwajanjakupindukia tutajikuta nchiyote imeenda.hawasiokamawazungu.kuwenimakinisana.

  • @manjalemakongoro4014
    @manjalemakongoro4014 Год назад +6

    Mnatuchanganya Sana, hatutaki upigaji na upigwaji, kwa suala Hilo vyama vya upinzani vinahitjika nchini kwetu , Sana Tena Sana ,

  • @JosephBigabwa-wo2bf
    @JosephBigabwa-wo2bf 5 месяцев назад

    Aksante sana Mch.Gwajima kwaajili ya inchi yetu🇹🇿🇹🇿

  • @pastorstevenmdoe5143
    @pastorstevenmdoe5143 Год назад +4

    Gwajima haeleweki kabisa nini amachotetea

  • @athumanhassani805
    @athumanhassani805 Год назад +1

    Hiii nchi sijui tunampa mtu uongozi kupitia vigezo gani bado sijaona kiongozi mwenye weredi kama magufuri napia sijui hawa wabunge tunachagua kupitia vigezo gani hakuna mbunge mwenye weledi mkubwa katika ccm waliopo hawazidi 10 hii nchi niyaajabu kifupi hatuna wabunge wala mawaziri ambao wanapigania haki ya watanzania

    • @josephmantago2837
      @josephmantago2837 Год назад

      Na ww uache ujinga mla hyo maguful alikuwa na akili tope ndo alikuwa anateua wabunge wajinga kama yeye sisi tuliochagua aliwapora ushindi akatangaza marofa wenzake

  • @magejuliani5293
    @magejuliani5293 Год назад +1

    Gwajima Mungu anakuona ujue! Unatetea bila uoga 80 kwa 20 kweli bila kujali maslahi mapana ya taifa! Tena Bora ungeshauri vijengwe viwanda tutengeneze wenyewe vijana wapate ajira! Tunashukuru serikali kwa kusimamia hili! Mali tulizonazo ni za watanzania

  • @aishaamwalimu2887
    @aishaamwalimu2887 Год назад +21

    Tanzania 20%, Muwekezaji 80% Hata mimi nimekataa, Tanzania kwanza, Alafu Muwekezaji mchina, Viwandani watanzania wanateswa, Na hao Wachina, Mara wawapige, kunyimwa chakula, Kuchomwa moto, Kukatwa mikono, Hata hamjali bado Mnawaleta tu Tanzania wa nini?.

    • @rittamushi719
      @rittamushi719 Год назад

      Hawajali si sio ndugu zao

    • @jonasdaniel6142
      @jonasdaniel6142 Год назад +1

      Askofu asharamba asali ya mchina

    • @mykomg3558
      @mykomg3558 Год назад

      Wew unazungumza kitu usichokijua 😄😄😄😄, right baba askofu

    • @yohanamlowe704
      @yohanamlowe704 10 месяцев назад

      Something smell fish

  • @sadalaramadhani104
    @sadalaramadhani104 Год назад +3

    Asante sana osendeka saiz gwajima umekua mwizi kabisa umebadilika sana tulikuamini saiz umekua ovyo sana

  • @godsonmosi8428
    @godsonmosi8428 Год назад

    Hivi Gwajima alishabadilisha wale watu wa kawe alosema wataenda ulaya sijui Birmingham??,na wa Birmingham waje Kawe??

  • @saadomari7150
    @saadomari7150 Год назад +3

    Sounds like they are serious, but we don't see major breakthrough in our country's economy.

  • @manasekijangayamba2023
    @manasekijangayamba2023 Год назад +3

    Gwajima kapotea Sana Leo

  • @fundimwandambo4506
    @fundimwandambo4506 Год назад

    Kuondoa haya yote tulete Sheria za china MLA rushwa aliwe shingo yake yataisha haya,tusiumizane vichwa kuwajadili watu ambao wamekaa juu ya viti virefu wanatuangalia Kwa chini tuko shimoni

  • @fundimwandambo4506
    @fundimwandambo4506 Год назад

    Aliehusika hayo tu na mengine atangazwe hadharani na ahukumiwe,wengine wataogopa lakini hii kufichaficha ,wengine wanaendelea Kwa sababu hawatawekwa public,na watakuwa na mbinu za kujinasua,miaka 61 ya uhuru hatuna kipau mbele Kila siku mara hili mara lile , what's wrong,tumesia ya Ghana na Kenya?tuendelee tu

  • @onesmomlinga804
    @onesmomlinga804 Год назад +2

    Gwajima nakukubali Kwa hili umechemka sana utakuwa umelambishwa asali

    • @ellymaz2187
      @ellymaz2187 Год назад +1

      Mimi pia huwa namkubali lakini kwenye hili amechemka. Kutetea kampuni za hawa watu kwa namna hali ilivyo, inatia mashaka kama mtetezi hajalambishwa asali.

    • @jonasdaniel6142
      @jonasdaniel6142 Год назад +1

      Kasha rambishwa mkwanja huyu babu askofu

    • @josephmantago2837
      @josephmantago2837 Год назад +1

      Serikali haramu wabunge mataperi kwanini ukubari muwekezaji alete mtaji 20% ya mtaji kisha ww mwenye mali umkopeshe 80% alafu yeye amiliki mladi kwa 80% na faida achukue 80% kama ndivyo huo mladi si uendeshe mwenyewe maana ww ndo mwenye mtaji pesa na raslmal? Acha mh Lisu atuongoze yeye anauelewa na maarifa ya kutosha lkn hawa ccm wamezoea wizi wa kura na mikataba ya kufisidi nchi

    • @ellymaz2187
      @ellymaz2187 Год назад +1

      @@josephmantago2837 Lissu naye alikuwa anasema tusizuie makinikia watatushitaki. Kwa maana nyingine wachukeu tu madini yetu. Wanasiasa wanatuchanganya tu hawa

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800 Год назад

    Mtabaki mnabishana bishana huku umaskini unazidi. Miaka 62 hatujaweza kuchimba madinu wenyewe?

  • @patrickngumbi2766
    @patrickngumbi2766 11 месяцев назад

    Haiwezekani !!! Yaani kila mkataba tukiendelea nao tunapigwa, tukiuvunja tunapigwa kuna mchezo mchafu hapa tuamke ndugu zangu watanzania hili taifa ni letu sote tfdhl

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800 Год назад

    Wah mnapojinasibu mnamsaidia Mh Rais kuna Mtz ambaye mmebaini hayupo kumsaidia Mh Rais? Mbona awamu ya 1 hadi 4 hii lugha haikuwahi kuwepo?

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800 Год назад

    Ukiona Wah wanatumia sana lugha tamu kwa Mh Rais ujue kuna jambo. Vyombo vya usalama mnakumbuka waliwahi kusifu sifu hadi wakapitiliza mligundua nini.

  • @demetriajohn2393
    @demetriajohn2393 Год назад

    Gwajima rudi kanisani hapa hapakufahi tena unakoelekea si pa zuri,mwishowe utapata dhambi bure. Kama bado akili yako inawaza fedha iliyo andikwa kwenye karatasi tu unaipigia hesabu ya miaka 💯 ❗ kana kwamba hiyo ela iko tayari kwenye account ,❗😏😭

  • @mohammedadam8261
    @mohammedadam8261 Год назад

    Mmmh hivi hujiulizi tyu kwamba pesa ni kitu ambacho kinashuka thaman n kpanda ?? Leo hii sh 10000 ni kubwa lkn baad y miaka kaza naamin 10000 itakuw inathaman ndogo tena miaka 30 ijayo so n vp unampa mtu kitu then huwek masharti y kwamba kila baada y mwaka walau %kaza ziongezeke

  • @omaryiddimonna4236
    @omaryiddimonna4236 Год назад

    Mhh!!! mchungaji umelambishwa asali nn? mbona umeshupalia sana

  • @phylliskaluki1028
    @phylliskaluki1028 Год назад +6

    Hongera sana mheshimiwa Ole Sendeka

  • @mwesigyeglory215
    @mwesigyeglory215 Год назад +1

    Haya mambo ya Gwajima ni upuuzi mtupu sa

  • @paulmdiya5941
    @paulmdiya5941 Год назад +4

    Mana mkweli hajulikani, shahidi hajulikani

  • @GilbertGombeye
    @GilbertGombeye 11 месяцев назад

    Tunataka madai yetu tulipwe ya waliokuwa wafanyakazi wa iliyokuwa hotel 77 ya arusha

  • @johnwatolile4136
    @johnwatolile4136 Год назад +2

    Gwaj mchungaj mbunge.. kapotea

  • @samwelsengati1369
    @samwelsengati1369 Год назад

    Nmegundua kilichopo gwajima tulia baba ww una miaka mi3 tu.

  • @manenokayuni9775
    @manenokayuni9775 Год назад

    Utafikili upinzani ndio unaongoza nchi ili bunge la hovyo sana

  • @kayitesicynthia9023
    @kayitesicynthia9023 Год назад +2

    Kweli kbs ole sendeka

  • @teteniwery758
    @teteniwery758 Год назад

    Tatizo la askofu mmbishi bila kujua anachosema

  • @amNANGUJI24
    @amNANGUJI24 Год назад

    Hao si investors ni majizi tu. Wanaifukarisha nchi hao wachina

  • @GilbertGombeye
    @GilbertGombeye 11 месяцев назад

    Nchi hii wenye kuitafuna ni nyie wenye mamlaka Leo mnaongea tu kwakuwa mnakula vizuri hamjui hata bei ya daga kilomoja kaeni kimya kabisa mnajinasibu tu

  • @patrickngumbi2766
    @patrickngumbi2766 11 месяцев назад

    Mimi nafikiri kwa haya yoooote yanayotokea na kuendelea kias hiki ni dhahiri CCM imekwama kwenye suala hili la uwekezaji zaid tunachokiona ni kuchezewa akili, watanzania tuwawajibishe tu hawa CCM na serikali yake wanatuchezea tu akili

  • @weramunisi7490
    @weramunisi7490 Год назад

    Warudi tu wakina sugu tundu msigwa myika henche na wengine Hawa watatupaka mafuta tu wa mchong

  • @mohammedadam8261
    @mohammedadam8261 Год назад

    Huyu gwajima kuna kitu ndani yake ,ila.mungu atunusur make watu wakobusy kutetea ugali wao

  • @tumsifumartine612
    @tumsifumartine612 Год назад +3

    Gwajima kashakuwa Fisadi na yeye ivi sasa

  • @abubakarimburu9096
    @abubakarimburu9096 10 месяцев назад

    Hakuna Cha uchungaji hapa ujanjaujanja tu na ni vizuri mmeanza kumfahami mungu Huwa hapendelei

  • @stevenchaya4054
    @stevenchaya4054 Год назад +3

    Gwajima amenunuliwa na team kikwete na akina zitto kutetea uwekezaji wa kifisad kama huu.

  • @neisphormabula7286
    @neisphormabula7286 Год назад

    Gwajima umehongwa ama umelogwa rudimadhabahuni katubu ole sendeka subhai ebha komelea mkuki maasai mkatabs feki huo

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole9293 Год назад

    Bunge la ccm tupu limekosa mvuto kabisa

  • @angulileelectrical6368
    @angulileelectrical6368 Год назад +3

    Hakika Gwajima hapo mh akubari kupokea taarifa kwa ajili ya Taifa

  • @daudwilliam2326
    @daudwilliam2326 Год назад

    Aendelee kuombea mapepo tuu huyoo watu wote WA daught

  • @lubatikoseme9412
    @lubatikoseme9412 Год назад

    Viongozi wengi wa tanzania hawana elimu bora na hawashahuriki

  • @JohnMusanze
    @JohnMusanze 10 месяцев назад

    Gwajima tulia wenye uelewa wakuelimishe

  • @robertemilyo456
    @robertemilyo456 Год назад

    Wahuni wanataguta namna yakupigapesa hapo

  • @lubatikoseme9412
    @lubatikoseme9412 Год назад

    Wezi.wakubwa.. mnachezea tu Mali za nchi kama za baba zenu

  • @kmotivation1130
    @kmotivation1130 Год назад +2

    Mh.Gwajima usije tupotezea nchi yetu ww mjanja mjanja sana

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 Год назад +1

      Kiongozi wa mazuzu..eti anafufua waliokufa, na wachawi wanaanguka juu ya paa lake...elimu elimu..

  • @sesicasi1364
    @sesicasi1364 Год назад

    CCM wote ni majizi! Hamuaminiki!!!!

  • @DAVIESKWIYEYADAVYDUU
    @DAVIESKWIYEYADAVYDUU Год назад

    GWAJIMA UTAZANI SIO MTUMISHI WA MUNGU UNAWAZA NCHI KAMA SADAKA ZA KANISA LAKO EMBU KAKAE NA MKEO MJADILI MAMBO YA CHUMBACHAKO KUFUTA BUIBUI

  • @djsandi4419
    @djsandi4419 Год назад +5

    Gwajima kalambishwa asali

  • @annakassege7134
    @annakassege7134 Год назад +2

    Askofu,Mbona haueleweki,Wachina wakuwa makini nao

  • @meshackkulinda1753
    @meshackkulinda1753 10 месяцев назад

    Gwajima anajaribu kushawishi watu kana kwamba anawashawishi waumin, lakin wahusika wanamwambia hataki

  • @baloziubalozini5074
    @baloziubalozini5074 Год назад

    Kwnn mikataba mingi ya nishati&madini huwa kuna dalili za kupigwa zaidi?

  • @meckymecky5036
    @meckymecky5036 Год назад +2

    Kwelii kama ni tapelii ilikuwaje wakatoka tz ad china na Bado kabla walisain wakaletewa tena wakasain

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 11 месяцев назад

    Sasa mnabishana wenyewe Kwa wenyewe sisi wananchi je,!

  • @jamesmolle851
    @jamesmolle851 Год назад

    Bunge la Tanzania wana nchi wamesawilika kweli

  • @MollelSamuel
    @MollelSamuel 7 месяцев назад

    Ole sendeka uko vizuri baba

  • @patkrinsliy7389
    @patkrinsliy7389 Год назад +10

    Katika hili Gwajima amethibitisha kuwa ni fisadi

  • @bungesabaya8062
    @bungesabaya8062 Год назад +4

    Kwaji boy hapo we unatupoteza, we nenda kaubiri umeongea pumba kabisa bola ukaye kimya

  • @Faustine_Charles
    @Faustine_Charles Год назад +1

    Gwajima amebadili gear hewani, alikua anamtetea muwekezaji baada ya taarifa anajidai eti tuwe makini na muwekezaji tusije umizwa.

    • @lucykapinga369
      @lucykapinga369 Год назад

      sii mbaya maana ata kiwekizuri vipi tunapaswa pia kuwa makini nnachoò sii kukuamini zaidi

  • @ZeddyAsm-m4k
    @ZeddyAsm-m4k Год назад

    Huu ufisadi Tanzania hatuutaki

  • @RashidyRoggo
    @RashidyRoggo Месяц назад

    Mkataba wa miaka 100?? Mtaishi milel au

  • @mukasanoordin5966
    @mukasanoordin5966 Год назад +6

    hongera sana bunge wetu olendeka

  • @albertjames6845
    @albertjames6845 5 месяцев назад

    Gwajima the trickster, conman himself

  • @milkamalavaga1002
    @milkamalavaga1002 Год назад

    Gwajima lud kanisa siasa achana nayo

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 Год назад +3

    HAPA GWAJI HAKUA NA DATA I THINK

  • @husseinkarim6745
    @husseinkarim6745 Год назад +2

    Gwajima anataka share kwa mchina. Gwajima kaona cha mtema.kuni. yeye anadhani anajua kila kitu na ndiyo anawadanganya waumini wake na yeye anazidi kuwa tajiri kwa sadaka. Aliwaambia vijana atawapeleka Japani ,kununua both za uvuvi. Kanunua?

    • @stanleyjohn1361
      @stanleyjohn1361 Год назад

      Peleka udini huko mwanaume mzima unashindwa kutafuta njia ya kutoboa maisha kwa kusubiri safari za nje fanya kazi

    • @husseinkarim6745
      @husseinkarim6745 Год назад

      @@stanleyjohn1361 Sii ndiyo aliahidi kuwapa ajira kwa kununua maboti ya uvuvi, kwani alitoa ahadi nani? Kuwapa ajira. Omba kura upate KULA.

    • @hadijasimba2665
      @hadijasimba2665 Год назад

      Uliona wapi mchungaji akawa mbunge? Anatetea ufisadi ! ?

  • @OS-pf6op
    @OS-pf6op Год назад +1

    Gwaji keshanunuliwa nini?

  • @demetriajohn2393
    @demetriajohn2393 Год назад

    Gwajima umepotea leo

  • @abdullramadhanii626
    @abdullramadhanii626 10 месяцев назад

    ubishi wa gwajima hauna maana

  • @sionloimooja1886
    @sionloimooja1886 Год назад +3

    Mnakumbuka shuka asubuhi! Uchaguzi is around the corner

  • @jamesmasome359
    @jamesmasome359 Год назад

    Mlisaini nyinyi wezi tu.

  • @vailetheanyambilile9749
    @vailetheanyambilile9749 Год назад +3

    Baba umebaki wewe tu hao wengine viraza

  • @benmuberwa2092
    @benmuberwa2092 Год назад +11

    Wote wana-miss a very important point. Huwa serikali haithamanishi raslimali zilizo chini ya ardhi kabla ya kuamua kila muhusika apate share kiasi gani? Tunayo madini yenye thamani zaidi ya 60 billion dollars (tani zaidi ya million 400 za mkaa mbali na thamani ya madini ya chuma) harafu tunampa mwekezaji share 80% na sisi kubakia na 20% kwa sababu mwekezaji anatoa 3 billion dollars za uwekezaji. Huu ni wizi mkubwa kwa nchi yetu. Siku za karibuni sina imani na wachina

  • @deogratiuskweka8488
    @deogratiuskweka8488 Год назад +8

    Anyway, kwa miaka zaidi ya sitini Tanzania tumeshidwa kusomesha watalaamu wa kuchimba hayo makaa na chuma kweli? Issue inayo onekana hapa sio pesa, ni elimu, mchina anakuja na akili yake anakopa kwa mgongo wetu na anataka 80%. Kwanini tusichimbe wenyewe? Na kuajiri waatalumu kutoka n’nje kuwalipa wanachotaka, na kufanya kazi na watanzania kwa kipindi fulani mpaka tutakavyoweza kundesha wenyewe… Hata huyo mchina atakuja na waataalamu hao hao ambao tungweza kuanza nao taratibu wenyewe… Hilo shirika madini linafanya nini? Kwanini wasiajiri watalaamu kutoka n’nje na kuwalipa. Hata n’chin nyingine zinafanya hivyo, kama uarabuni… wazungu ndio wanaendesha mashirika makubwa kwa muda fulani…

  • @dommyeliasy
    @dommyeliasy 11 месяцев назад

    Gwajima anataka makofi

  • @yudaseleman8320
    @yudaseleman8320 Год назад +1

    Gwajima ameshanunuliwa na makuburu kueni nae makini

  • @lazarokambaine74
    @lazarokambaine74 Год назад +1

    Big up sana olesendeka,Mungu aendelee kukutunza.

  • @najimmakongoro8024
    @najimmakongoro8024 Год назад +2

    Gwajima Too much know

  • @mudhakirswaleh7901
    @mudhakirswaleh7901 Год назад +1

    Bunge letu bwanaaa😅😅😅

  • @ahmedmajid1795
    @ahmedmajid1795 Год назад +1

    Hongera sana Askofu Gwajima kwa kuliona Hilo jambo kwa “jicho la tatu,”, hao wengine wanabisha tu bila kuwa na documents..

  • @crershawmafia1009
    @crershawmafia1009 Год назад +3

    Gwajima unazingua 😀

  • @izrajoseph1406
    @izrajoseph1406 Год назад +12

    KATIKA hili Gwajima sikuungi mkono,big up Olesendeka

  • @mrsinia3064
    @mrsinia3064 Год назад +16

    Gwajima na lissu wanaona mbali sana hawa watu🙄🙄

    • @marieconnect6389
      @marieconnect6389 Год назад

      wote nimegundua ni wale wale tu chumia tumbo.
      yaani 80% iondoke kweli? na mtaji ni wetu na makaa ni yetu, na vibarua ni sisi, kweli? Akili gani hiyo?
      ufisadi mtupu

    • @marieconnect6389
      @marieconnect6389 Год назад +2

      Mheshimiwa nakukubali sana lakini kwenye hui mradi unachemka baba. Naogopa usipoteze heshima yako mkuu. Kutetea hoja ya kuibiwa 80% kwenye mali zetu wenyewena kwa mtaji wetu na ngivublazi zetu kwa kweli huo ni utapeli na ubeberu wa hali ya juu sana. Naona kama itakuharibia sifa yako askofu. Tumekuzoea ukitetea taifa lako na watu wake kwa nguvu zako bila woga sasa kuanza kushabikia wachina dhidi yetu ni kujikoroga mkuu. Tunaumia.

    • @marieconnect6389
      @marieconnect6389 Год назад

      Jamani hawa wachina hawawekezi mahali bila kuhakikisha wanafaidika wao zaidi kijana janja.
      Yaani pesa yetu wenyewe, madini yetu wenyewe, vibarua tuwe sisi wenyewe halafu pesa karibu yooote wachukue wao, kweli? huo ni uzandiki gani? Askofu hata kwa Mungu ni dhambi.
      Mungu hatatuelewa.
      kama ni wataalam bora tuwaajiri tuwalipe lakini tuchimbe wenyewe makaa yetu.

    • @marieconnect6389
      @marieconnect6389 Год назад

      mbali wapi?

    • @marieconnect6389
      @marieconnect6389 Год назад

      mkuu uzalendo wako unaishia wapi tena? mbona unashabikia wachina kututapeli? wachona wenyewe wanatunyanyasa sana makazini huko hawatupi thamani ya kutosha. washindwe na walegee

  • @gracetepilit4585
    @gracetepilit4585 Год назад +2

    Olesendeka🔥🔥gwaji tulia🤐

  • @marianajoseph1892
    @marianajoseph1892 Год назад +11

    Askofu Gwajima 🔥🔥👍🏽

  • @Nedjadist
    @Nedjadist Год назад +15

    Ovyooo. Sasa nimeona: Tanzania tunaumizwa na mambo mawili makubwa: okosefu wa elimu, maarifa na uelewa wa kuendesga serikali, mashirika na taasisi, hasa katika kiwango cha kimataifa. Pili: uchu uliokithiri wa watendaji, kiasi mwekezaji akifika tu midomo ya watendaji inapanuka, hata kama hicho anachokitoa ni kidogo na hakina maslahi kwa taifa, ilmuradi mtendaji amekula!
    Kwa kifupi: ujinga na ufisadi.

    • @benmuberwa2092
      @benmuberwa2092 Год назад

      Wote wana-miss a very important point. Huwa serikali haithamanishi raslimali zilizo chini ya ardhi kabla ya kuamua kila muhusika apate share kiasi gani? Tunayo madini yenye thamani zaidi ya 60 billion dollars (tani zaidi ya million 400 za mkaa mbali na thamani ya madini ya chuma) harafu tunampa mwekezaji share 80% na sisi kubakia na 20% kwa sababu mwekezaji anatoa 3 billion dollars za uwekezaji. Huu ni wizi mkubwa kwa nchi yetu. Siku za karibuni sina imani na wachina

    • @Nedjadist
      @Nedjadist Год назад

      @@benmuberwa2092 Achana na propaganda za Wazungu. Wizi wa Mchina huwezi kuufananisha hata kidogo na wa Wazungu. Angalau Mchina anakufanyia yanayoonekana. Ni hulka ya binadamu wanapomkuta mtu bwege, mpumbavu mwenye mali nyingi asiyojua thamani yake, kutaka kumwibia. Its normal.
      Serikali zetu hazina watu wenye hekima wala uzoefu.
      Serikali inashindwa nini kutenga watoto 20 wa Kitanzania wende wakasome elimu ya yote yanayohusika na uchimbuaji, uyeyushaji, nk. Warudi baada ya miaka 5, iwatengee pesa na vifaa halafu tufanye wenyewe? Tumwajiri consultant tu mwenye uzoefu, aliyewahi kufanya.
      Serikali isiyokuwa na imani juu ya uwezo wa raia wake ndiyo inakuwa hivyo. Acha igongwe.
      Na hilo ni a tip of an iceberg.
      Umejiuliza: miaka 50 sasa ya Tanzanite, tuna nini cha kuonesha. Hata walidiriki kummilikisha MSouth Africa....sijui hata kama alilipa 2%!
      Wakati huo huo, umaskini unazidi kuliko juzi!

  • @karolikisaka8991
    @karolikisaka8991 Год назад +5

    Asante ccm Kwa kujidhihirisha jinsi mlivyo wa hovyo na kuipiga nchi hii kwa kina

    • @Godmaletz
      @Godmaletz Год назад

      😂🤣😂🤣 daaaah you talk fact 💯

  • @ramadhnvuai8356
    @ramadhnvuai8356 Год назад

    u

  • @rashidlwengo6940
    @rashidlwengo6940 Год назад +1

    Gwajima acha siasa hapo sio kanisani