Prof. ANNA TIBAIJUKA ACHARUKA/ WATU WANAINGILIA UTENDAJI/BANDARI/ DP WORLD/ MKATABA UREKEBISHWE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 июн 2023
  • www.youtube.com/@Wasafi_Media...
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 1,1 тыс.

  • @evaristngurukizi3033
    @evaristngurukizi3033 Год назад +13

    Haya sasa Nani anakataa WAHAYA wasipewe nchi. 🙏🙏 Bibi yangu Anna Tibaijuka Mungu akupe maisha marefu.

    • @yusuphngamela5611
      @yusuphngamela5611 10 месяцев назад

      Apewe nchi hata kufafanua anashindwa kufafanua

    • @OmmyJames-xn7ji
      @OmmyJames-xn7ji 10 месяцев назад

      Kibibi kijizi kilpewa rushwa pesa ESCROW KIKASEMA HIYO NI PESA YA MBOGA 16 billion Tsh na MAASKOFU WA TEC

  • @mwanache
    @mwanache Год назад +31

    Haya ndio matunda ya Nyerere. Elimu, uelewa, kujiamini, ukweli, na uimara wa dhati ya moyo kusimamia lile unaloliamini bila uwoga/unafiki… Kudos Mama Tibaijuka! Umeingia kwenye Historia pekee ktk hili na mengine uliyoyafanya kulitumikia Taifa letu.

    • @othumanomari1589
      @othumanomari1589 Год назад +1

      Very good my mother ❣️🇹🇿

    • @juliussilvestar8988
      @juliussilvestar8988 Год назад +2

      Mwanache bunge lingebidi liwe na wabunge wa aina hii.Tatzo reasoning yetu imekuwa ndogo sanaaaaa.Mama tibaijuka hawa ndio real thinkers watu wametumikia taifa na kimataifa pia alikuwa director wa UN habitat kwa kuteuliwa na katibu mkuu koffi annan.Watu ambao IQ zao ni kubwa they think further

    • @eliudntabusi9712
      @eliudntabusi9712 10 месяцев назад

      @@juliussilvestar8988 .

  • @pharlesanderson1124
    @pharlesanderson1124 Год назад +59

    "Maneno hayasifiwi kwa wingi wake bali kwa uzito wake" - Prof. Tibaijuka 2023

    • @johnvianey4220
      @johnvianey4220 Год назад

      Hapo kwenye goverment taxation kwa nini vijana wanaojiajiri wasipewe tax holiday kwa muda fulani ?

    • @andrew29468
      @andrew29468 Год назад

      naiona elimu halisi hapa

  • @danielkembo2177
    @danielkembo2177 Год назад +52

    Hii nchi kuna watu wanaakili sana, prof tibaijuka upewe maua Yako mama shikamoo sana

    • @salomewandya7257
      @salomewandya7257 Год назад

      Saaana aiseee

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 Год назад

      😂

    • @damianmstambi848
      @damianmstambi848 Год назад

      Inchi inaogonzwa na wajinga wenye akiri wamekaaa kuwa watazamaji ,ndo ccm hawataki kuweka watu wenye Quality wanatuwekea watu wenye history ya kuwa makalani we nned watu wenye brain bana siyo wapaka poda.
      Sasa angalieni mda wa kusoma akaelewa mkataba atatoa wapi wakati kusoma kwenyewe kaishia kuwa kalani

    • @samirazuberi186
      @samirazuberi186 Год назад

      Lakni cha ajabu watu kama hawa ndio wanaogwa vita na haishii hapo mwisho hata kuuliwa wanauliwa hapo ndipo pakushangaza

  • @lambomayenga6151
    @lambomayenga6151 Год назад +20

    MZEE MWENZANGU UMENIFURAHISHA SANA. TATIZO HAWA WATOTO TUNAOWATETEA HAWAJITAMBUI . NCHI TUNAYOYATAKA WAIRITHI HAWAJUI JINSI YA KUILINDA. HIVI WAANDISHI HAWA WANAOGOPA KITUO CHAO KUFUNGIWA? (Herufi kubwa hapa ni kusisitiza)

  • @roselinemoshi5008
    @roselinemoshi5008 Год назад +14

    Huyo Ndio mama halisi wa nchi yetu Tanzania 🇹🇿 ❤🤲🏽❤

  • @user-ko7cv7mp1z
    @user-ko7cv7mp1z Год назад +41

    You are an Angel mama Mungu aendelee kukutumia. Uishi maisha marefu mama yetu. Keep up on raising your voice for our country. God bless you

    • @KassimAlly-xp4dz
      @KassimAlly-xp4dz Год назад

      Do u really know that woman na alichokifanya kwenye hii nchi guys acheni siasa

    • @pasiensiabel7278
      @pasiensiabel7278 Год назад

      @@KassimAlly-xp4dz vp wew binafsi umefanya kipi cha maana kwenye hili taifa

  • @LusubiloMwakalambile-xh5zs
    @LusubiloMwakalambile-xh5zs Год назад +9

    Huyu ndio professor..OG..anazungumza vitu vinaeleweka wala hatumii nguvu..blessings..

  • @Hyun626
    @Hyun626 Год назад +15

    ❤ "Bandari ni roho la uchumi wetu. Maneno hayasifiwi kwa wingi wake bali kwa uzito wake "....mie nime mnukuu prof. Tubaijuka

  • @yohanakiyumbi4795
    @yohanakiyumbi4795 11 месяцев назад +1

    Hongera sn,,, hakika umetoa Elimu kubwa Mnoo kuhusiana na Taifa na huo Mkataba kwa Ujumla...Mm binafsi nimekuelewa Vizuri Mnoo kwa undani sn,, Mwenyezi Mungu akubariki sn Prof. Anna Tibaijuka 🙏🙏👏👏👏👏

  • @tyicdodoma4378
    @tyicdodoma4378 Год назад +20

    Mungu akuzidishie miaka na afya njema, na awanyakue wote walio na Nia ovu juu ya nchi yetu

  • @thebestway5128
    @thebestway5128 Год назад +8

    Mama Tibaijuka..wewe ni almasi ya nchi yetu.Mungu Akutunze❤❤

  • @Isynick
    @Isynick Год назад +10

    Eeeeh Mungu ahsante kwa ajili ya maisha ya mama Anna Tibaijuka.

  • @latipharamadhani7576
    @latipharamadhani7576 Год назад +20

    Uyu mama kichwa Sana eeeeeh, nimemuelewe, Sana kwa kilicho andikwa ni shida mama, huu mkataba wa ovyo shida wengi wanawaza kula umeongea Jambo la nchi Asante Sana.

  • @josiahbineguro6393
    @josiahbineguro6393 Год назад +34

    Asante Mama Anna Tibaijuka usiogope kuwa mkweli Sisi tutaunga mkono unachokizungumza na hiyo ndo Maana ya Elimu, Ubarikiwe

    • @chingaboy1149
      @chingaboy1149 Год назад +1

      Ana anaukweli gani wakusema mwizi tu huyu kakosa masilahi elimu gani alonayo punda huyu mzigo tu kwajamii

    • @mudrikramadhani32
      @mudrikramadhani32 Год назад +4

      ​@@chingaboy1149 we unaakili kweli !!!

    • @ZionTZ09
      @ZionTZ09 Год назад

      @@chingaboy1149 we mbumbumbu unakipi cha kumkosoa profesa.....

    • @sebastianmwantuge5597
      @sebastianmwantuge5597 Год назад

      Wewe ni kichaa

    • @chingaboy1149
      @chingaboy1149 Год назад

      @@ZionTZ09 frofesa or profusa kasaidia nni zaidi ya wizi kwendraaaaa huko mtwanwa wakifikra wew

  • @shabanadam4476
    @shabanadam4476 Год назад +18

    Professional conversation much respect to professor 👌

  • @loitushulyamat2738
    @loitushulyamat2738 Год назад +22

    Ni kweli mama mkataba hiyo ni madharau sana kwa nchi yetu na raisi wetu

  • @SAdoughty
    @SAdoughty Год назад +11

    Professor Tibaijuka deserves the presidency, at least her words show the way...

  • @Relis_talkswisdom.
    @Relis_talkswisdom. Год назад +34

    I love this prof,the way she articulate things,it's so impressive.

  • @danielmagulu873
    @danielmagulu873 Год назад +6

    Mama yetu mungu akuzidishie maisha zaidi tunakuombea waambie halo wajuwe

  • @margarethsaramaki3966
    @margarethsaramaki3966 Год назад +36

    Well said Prof Tibaijuka
    Be blessed🙏🏼🙏🏼

  • @jmarvins7146
    @jmarvins7146 Год назад +8

    Uishi miaka Mingi Prof Tibaijuka !!
    Mama Nakupa Maua yako 🎉

  • @TM-zs3rm
    @TM-zs3rm Год назад +15

    Safi sana mama Tibainyuka kwa kuwa mkweli na kuweka itikadi pembeni. Na umefafanua ili watu wa kawaida waelewe. Ni watu kutokuelewa maana ya maneno. Na kuwa ruhusa akina Msukuma Bungeni wa sio na elimu kuuchakachua bila wa kuelewa kwanza sababu ya lugha na wakati a hoja na kuongelea ni kama kumpa Mtoto awe raisi wa nchi. Hivi wana ccm wasomi wote, maraisi wastaafu wamekaa kimya inamaanisha nini? Huyu muuliza maswali kijana, maswali ya kijinga sana bila uelewa kabisa. Na vijana hawa hawaelewi kabisa. Mtanzania ukaombe okay Dubai kuhusu nchi yako unajua wa Sawa tu. Swali kwa vijana, wewe Unami I’m a ruhusa jirani yako mwanaume kuhusu mambo yako ya Ndani si umekuwa bwege? Tibainyuka kakuuliza je unajipenda? Hawa vijana hawana uelewa kabisa.

    • @michaelfrenkline3429
      @michaelfrenkline3429 Год назад

      Inawezekana anaelewa Ila kauliza ili yeye na wengine waelewe zaidi

  • @makanjicharles9860
    @makanjicharles9860 Год назад +52

    she deserve to be a role model 💪🤏🧠

    • @user-rr5wj3il6b
      @user-rr5wj3il6b Год назад +3

      mama unatosha saidia Tanzania inamalizwa

    • @user-rr5wj3il6b
      @user-rr5wj3il6b Год назад +2

      unatosha saidia nimekuelewa Rais awafukuze wanamuza mama

    • @edwardpeter8569
      @edwardpeter8569 Год назад

      Hawa ndionwa kuwafanya kuwa Washburn wa Rais

    • @tumusiimeomukama3151
      @tumusiimeomukama3151 Год назад +1

      Tz ni vigumu Sana mtu mwenye akili kubwa kufanya kazi vizuri maana Kuna, wivu, fitina, kuangaliana unatoka wapi? Wakigundua unafanya vizuri kuwazidi wanapanga mbinu ya kukuangusha. Bora abaki mstaafu awe huru kutoa maoni bila hofu. Mchawi wa Afrika ni Muafrika mwenyewe.

    • @saturinimushi4746
      @saturinimushi4746 Год назад

      Nawaomba Viongozi wa C C M tumieni Hazina yenu hiyo Muitoe Bandari Yetu na Bahari Yetu kwenye Mikono ya Mkataba Wenye Mashaka yakutuingiza kwenye Majanga.
      Kama Ushauri wa Prof. Anna Tibaijuka aliyewahi kufanya Kazi UN- HABITAT huko Duniani Kimataifa hautozingatiwa Nadhani Tutakuwa Tumelogwa.
      Tutakuwa Tumechawiwa.
      Bishop Gwajima Fanya Maombi ya Kurudisha Bandari Yetu Imechukuliwa Msukule.
      Akili za Baadhi ya......zimelogwa na Chai ya Marashi huko Jangwa la Dubai.
      Rudisha Akili ya Viongozi Kwa Mamlaka ya Jina la Yesu Kristo wa Nazareti Aliye Hai.

  • @user-yp7nv3mg4b
    @user-yp7nv3mg4b Год назад +18

    Prof apewe maua 🌹🌹🌹🌹yake kichwa kimoja zaidi ya wabunge 300

    • @johnycavishe5207
      @johnycavishe5207 Год назад

      S ndyoo kwishaaaaaa

    • @dainessgaspar6042
      @dainessgaspar6042 Год назад

      Hivi hawa wabunge wanaopiga makofi tu bungeni kupitisha utumbo huo IQ zao zinaakili kweli???

  • @bakaryngoneke5606
    @bakaryngoneke5606 Год назад +4

    Asante sana prof tibaijuka umeongea vizuri sana tena kwa uzoefu na kwa mifano wale wanaojitaidi kupinga wakupinge na watoe sababu zenye mashiko kama hizo Kiukweli kabisa hakuna sababu ya kutumia nguvu sana kama wanatulazimisha walazimishe lakini hatuwezi kufikili kama wao

  • @deogratiusvalentino6248
    @deogratiusvalentino6248 Год назад +23

    Mwenyezi Mungu amzidishie miaka mingi zaidi tuzidi kufaidi elimu yake. Hakika huyu ni professor haswaaa

  • @mathiaslyamunda2526
    @mathiaslyamunda2526 Год назад +15

    Yani Oscar kweli unalinganisha mkataba wa FEISAL na Azam na Mkataba Bandari 😂😂😂. Halafu eti unasimea PhD? Utakuwa Dr. Wa hovyo Sana 😂😂😂

    • @johnycavishe5207
      @johnycavishe5207 Год назад

      Wasomi wa tz bd Sana ata raia wa kawaida awez kbal mkataba wa ovyo wa bila kikomo Yan miaka buku kwel nononooooo

  • @rugendorunene545
    @rugendorunene545 Год назад +6

    Congrats Prof Tabaijuka... Napenda uadilifu wake pia🇹🇿🇹🇿✔✔.

    • @shamisahmed4806
      @shamisahmed4806 Год назад

      Uadilifu haupimwi kwa maneno wala kwa muonekano wa mtu bali uadilifu unapimwa kwa matendo ya mtu...!

  • @fadhilikombe3338
    @fadhilikombe3338 Год назад +6

    Mungu akubariki Mama yetu umeongea kwa niaba ya Nchi Nzima. Mama Samia anamengi ya kujifunza kwako

  • @DealDeskPro
    @DealDeskPro Год назад +12

    I will become a Prof like her siku Mojo. Am so much inspired kwa kweli..

  • @josiahsimon5333
    @josiahsimon5333 Год назад +7

    Huyu ndiye professor na ana hofu ya Mungu ubarikiwe professor

  • @stevenezekiel5670
    @stevenezekiel5670 Год назад +21

    Tunaomba interview nyingine na huyu mama..🇹🇿🇹🇿🤞❤️anajua vitu

  • @eliofootz6519
    @eliofootz6519 Год назад +27

    God bless mama, prof Tibaijuka 🤝🏆

  • @SophiaClemence-om5gs
    @SophiaClemence-om5gs Год назад +5

    Mungu akubariki mama Anna Tibaijuka 🎉❤

  • @alexaudax-rm8sz
    @alexaudax-rm8sz Год назад +9

    Mama ana hakiri sana mungu amjalie umri na maisha mrefu Tanzania tunahitaji viongozi wenye hakiri na busara kama awa❤

  • @reginardtibishubwamu1522
    @reginardtibishubwamu1522 Год назад +3

    Very intelligent one women from Bukoba well sayed

  • @danielmaeda5074
    @danielmaeda5074 Год назад +6

    Mama wewe ndo Prophesor Mungu akupe maisha marefu Sana.

  • @anosiata8242
    @anosiata8242 Год назад +15

    Mama nimekupenda sana. Umetema madini. Hujamungunya maneno.

  • @aishasaidi2205
    @aishasaidi2205 Год назад +12

    Mama uko vizir mungu akutangulie na kauli yako iwe namashiko 🙏😘🇹🇿

    • @Pedeshee01
      @Pedeshee01 Год назад

      Mama akihitaji kiben10 nipo hapa kijana wa hovyo,bado anadai kabisa na uzuri wake nataka anileee

  • @hezronimwesigwa1271
    @hezronimwesigwa1271 Год назад +6

    Asante mama umeonesha uzazi wako kwa taifa letu na mungu akubariki

  • @ibrahimmsuya6557
    @ibrahimmsuya6557 Год назад +54

    Shida imekuwa IQ ya mama nikubwa kuliko hawa waandishi waliomuinterview ndio unakuta anajibu maswali kabla yawao kuuliza alafu wanauliza tena😂😂😂

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Год назад +3

      Kabisa

    • @tanzcanmediatv4473
      @tanzcanmediatv4473 Год назад +7

      Sidhani kama wanaweza kuwa sawa unawaonea tu waandishi hata rais wenu wa zt akili hana kwa huyu mama

    • @rashidisaidi8535
      @rashidisaidi8535 Год назад

      Ha ha ha ha

    • @leecode6135
      @leecode6135 Год назад +6

      Huyo mama kazoea kufanya kazi na wazungu uwezo wke ni mkubwa saana

    • @gibsonjosephat6352
      @gibsonjosephat6352 Год назад +7

      Kwa ufupi tu huyu Mama IQ iko juu mno. Kumbuka ni Mama aliyesoma enzi hizo na amefanya Kazi kimataifa alishawahi kushikiria nafasi kubwa Duniani na aliongoza vikoao UN na kushiriki midaharo ya Kimataifa. Huyu ni Frofeseri 😂😂😂😂😂

  • @jurakijuraki8870
    @jurakijuraki8870 Год назад +6

    Nimumuelewa sana prof Anna Mungu ambariki

  • @tusiimeroy3157
    @tusiimeroy3157 Год назад +5

    Barikiwa Sana mama Tibaijuka
    Wagambage muno❤

  • @salminasalim5630
    @salminasalim5630 Год назад +8

    Kweli kabisa Professor Tibaijuka. Mh Raisi wetu alikuwa anafanya kazi yake vizuri sana ila mkataba bubu huu sijui ni nani alimshauri akakubali kuingia kwenye hii shida maana Watu wengi hatuafiki ni wachache wakiwemo wabunge tunaowachagua watusaidie lakini wanatuangusha jamani ni lazima watu wakubali mrejesho wa watu wengi kuwa watu hawataki labda kama Nchi ni ya Wa bunge tu. Shukran sana Prof Tiba MMUNGU akupe afya rizk na umri mrefu.

    • @ibrahimshilinde6129
      @ibrahimshilinde6129 Год назад

      Hela hizi,mnashangaa nizambogamboga tuu,wpo watu Wana mapesa Bwana,naanzanje kumpongeza huyu na kwalipi?.

    • @user-rp2so8bg2j
      @user-rp2so8bg2j Год назад +2

      Anaongea kwa maslahi ya nchi kwanini asipongezwe Acha chuki binafsi kama hujui kitu kaa kimya

    • @wilbertmombo9834
      @wilbertmombo9834 Год назад

      ​@@ibrahimshilinde6129 Watz ni watu wa kusahau kirahisi hata Joka la Makengeza akijitokeza hapa kuongelea suala la DP watampa Maua kama yote

    • @wilbertmombo9834
      @wilbertmombo9834 Год назад

      ​@@user-rp2so8bg2j​​@osiahlwinga915 Unajua kwamba huyu bibi alipokea billion kadhaa Toka kwa washirika wake kina Rugemalila na Sethi Singasinga wakati wa lile sakata la Richmond/Escrow na kuita hizo billion ni visent vya mboga

    • @renatusmatungwa2508
      @renatusmatungwa2508 Год назад

      @@wilbertmombo9834 kwahiyo mtu akituhumiwa hapaswi kutoa maoni kuhusu nchi yake.?uthibitisho wa kwamba alipewa pesa haupo ndo maana walishindwa kumpeleka mahakamani hafu istoshe ishu ya Escrow waliohusika ni wengi kwanini huyo mama tu ndo anayeandamwa.?

  • @sebastianmichael4031
    @sebastianmichael4031 Год назад +11

    Nawashukuru wasafi kutuletea profesa ametuongezea maarifa kuhusu huu mkataba.

    • @adelinelyaruu3036
      @adelinelyaruu3036 Год назад

      Partnership inabidi iwe 60 kwa TZ and 40 kwa Dubai. Tayari TZ imewekeza sana kwenye Ports zetu.

  • @mhangwacastory8765
    @mhangwacastory8765 Год назад +32

    Waandishi leo mmeniangusha ,hamuwezi kumuingilia prof anaongea, mie nimechukia mnavyomshambulia sana! Hebu muwe mnaspare maswali walau mnamtafutia interview ya masaa sita ! This is professor please respect her

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Год назад +3

      Hawana upeo

    • @MelvinSony
      @MelvinSony Год назад +5

      yani ni kama anahojiwa na watoto wa chekechea!

    • @petermsangi2701
      @petermsangi2701 Год назад +4

      Hawana upeo kabisa, huoni wanaingiza maswala ya mpira kwenye issue nyeti..Soo sad

    • @Leeeeeeee-96
      @Leeeeeeee-96 Год назад

      Asali ndugu

    • @shinipapaya846
      @shinipapaya846 Год назад +1

      Amka usingizini ndugu yangu hamna kitu hapo uprofesa chini ya mitaara ya MKOLONI 😂😂😂

  • @ramadhanikalungwana8377
    @ramadhanikalungwana8377 Год назад +10

    Jamani naomba Mama apewe muda na Watanzania wengi wamsikie!! Naomba sana!!

    • @kennethbenjamin275
      @kennethbenjamin275 Год назад

      Syo kwa waandishi hao

    • @bibieismaily5761
      @bibieismaily5761 Год назад

      Ndiyo, Media nyingi zikutane naye ili elimu iwafikie watanzania wengi....iv mbona baadhi ya watu hawana uzalendo jamani?

    • @kennethbenjamin275
      @kennethbenjamin275 Год назад

      @@bibieismaily5761 media zipo hizo zenye waandishi watangazaji wanaojua kungamua na kuuliza maswali,proffesionalism imevamiwa sahv

  • @bakermusa9033
    @bakermusa9033 Год назад +11

    🥀🌻🏵️🌼Maua yako professor

  • @jall4376
    @jall4376 Год назад +4

    Masuala ya nchi mnatuletea issue za Mpira. Inaonyesha Uwezo mdogo wa waandishi. Well done prof. Well said

    • @brigittamlanga2946
      @brigittamlanga2946 Год назад

      Yani hao hapo studio ni bogas sijawahi ona, wana leta mpira kwenye Issue ya maana hivyo shame on you ppl.

  • @msabahafarijara2656
    @msabahafarijara2656 Год назад +2

    Mungu akutunze prof hakika sichoki kukuskiliza

  • @mussakulanga9513
    @mussakulanga9513 Год назад +13

    eddo na Oscar acheni ujinga kabisa mama anaongea kwa points nyie mnaleta kubalance kwa serikali acheni hizo

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Год назад +4

      Kujipendekeza ndio sifa yetu

    • @anickashasha
      @anickashasha Год назад +4

      Wanahabari walilambishwa asali.

    • @bibieismaily5761
      @bibieismaily5761 Год назад

      Wanahabari kazi Yao no kuchokoza na wamechokoza haswa, ww ungepataje?

  • @gaudenciamallya9779
    @gaudenciamallya9779 Год назад +4

    Tibaijuka Anna kwenye Ubora wake. Mungu akutunze mpendwa wetu.

  • @emmanuelburchard3153
    @emmanuelburchard3153 Год назад +7

    Kweli nimekubali. Nchi hii kuna hazina. Big up Kajumulo.Mungu akulinde.

    • @KassimAlly-xp4dz
      @KassimAlly-xp4dz Год назад

      Una uhakika hazina uyo mangapi ameyafanya kipindi chake rasimali ngapi ameshiriki kuuza fisadi uyo

    • @tumusiimeomukama3151
      @tumusiimeomukama3151 Год назад

      Alisema mnao jua aliyo yafanya mjitokeze myaseme na muonyeshe vidio sio hayo ya kuediti mnaweka pc yake huku mnasoma.

    • @Pedeshee01
      @Pedeshee01 Год назад

      Nyie ongeeni tu ila mimi mama nimemkubali bado ni pisi halafu nimesikia yupo single dah.mimi kama kijana wa hovyo naona mama utelezi bado anao najitolea anilee

  • @atanacyzacharia3092
    @atanacyzacharia3092 Год назад +24

    Meamini akili za wandishi wa habari wetu ni hamna kitu😢😢😢😢😢😢😢 pole snaa hii nchi inawatu wa hovyo sanaa

    • @Cath844
      @Cath844 Год назад +1

      😂😂😂

    • @kennethbenjamin275
      @kennethbenjamin275 Год назад +6

      Alafu ndiyo wanajiita waandishi

    • @atanacyzacharia3092
      @atanacyzacharia3092 Год назад +7

      Inasikitisha sana uchawa kujipendekeza ndio kumezaAa watu wa aina hii watu hawaamini taaluma hawaelewi madhara ya mikataba ya hovyo hivi unaambiwa uhuru wako unaenda kumkabidhi mwarabu na bado umeshupaza shingo

    • @danielkembo2177
      @danielkembo2177 Год назад +6

      Ni wasenge wanauliza maswal ya kipuuzi,, issue serious kama hii unaingiza story za mpira fala kabisa

    • @williammziray3813
      @williammziray3813 Год назад

      😅 we have none.. kina kikeke ndio watu

  • @patrinraura1397
    @patrinraura1397 Год назад +12

    ASANTE sana Proffesor kwa Elimu kwa Sisi watu wa chini Raslimali za nchi ni za wananchi Hazina utikadi Ni zetu wote

  • @damasiuspetro5178
    @damasiuspetro5178 Год назад +8

    Huyo Ndiye Profesa Tibaijuka mwenye uwezo.mzuri sana
    Kweli maoni yake yaangaliwe na kutekelezwa

  • @sabbob574
    @sabbob574 Год назад +3

    Sasa huyu ndio proffesor. Big up Mama Tibaijuka ❤

  • @rickiusrockius7980
    @rickiusrockius7980 Год назад +3

    Very conscious prof Anna Tibaijuka👏👏👏👏👏👏

  • @YasminaMkali
    @YasminaMkali Год назад +2

    Tanzania kwisha habari yetu. Asante Mama kwa ufafanuzi mzuri. 😢😢😢 Chochote kile kitakacho fanyika Tz lazima tutoe taarifa. Maana Tz ilisha pewa Waarabu iwe yao milele

  • @KelvinMtavangu-ow8yo
    @KelvinMtavangu-ow8yo Год назад +3

    ASANTE Prof kwa tafsiri yako nzuri kuhusu Mkataraba. Vijana hao hapo studio hawaelewi somo zima la kuachia nchi kirahisi hivyo. Rais samia amefanya mazuri meeeengi sana. Lakini wabunge wooote eti hakuna mwenye kuonyesha hofu kuhusu Uwekezaji wa Bandari na anga letu? Binafsi nina miaka zaidi ya 60 sasa.! Inauma sana sana wabunge wetu kuingizwa ndani ya zwengwe hili. Kusiwe na vitisho kwa sisi wachangiaji wszalendo. Mkataba huu urudiwe wawakilishi wetu yaani wabunge wetu sifuate mkumbo yaa wawe upande wa CCM ni Mh. Mpina tu ndiye ameonekana kuhoji na kujenga hofu ya mkataba wa Dp world na wapinzani wa chadema.? Hakika, katika hili wawakilishi wetu mhhhh? Sikieni sauti za wananchi wenye hofu badala ya kusema atakaepinga tupo nae. Kumbe ni lasilimali ya maeneo ya bahari,maziwa badari na anga? Alafu kweli mna kaa harakaharaka mnaupitisha?Jamani jamani,.mbana SGR na BWAWA LA NYERERE NA BOMBA LA MAFUTA hawashiki maeneo mengi ya nchi yetu wanahusika na maeneo ya mradi ulipo tuu? DP WORLD ni BANDARI MAZIWA eti na ANGA?.MKATABA HUU UBORESHWE. WATAALA NA WAZALENDO MPO?

  • @paulhando6286
    @paulhando6286 Год назад +4

    Mama uko safi sana. Nyumba yako halafu uombe ruhusa kuifagia? Utumwa unarudi kwa mlango wa nyuma. Samia mama na rais wetu, sauti ya wengi in sauti ya Mungu. Mniwie radhi," Hii ni laana kwa kuyapuuza ya baba wa Taifa na Yale ya JPM." Uhuru bila mipaka hats visiwa watu wanauza tu. Tusiporudi kwenye njia sahihi, kama she he mmoja alivyosema tumlilie Mungu, hays yatatumaliza. Tibaijuka mama asante sanaaa

  • @nosigwebuya5537
    @nosigwebuya5537 Год назад +8

    Yes, my sister Prof!

  • @hassanaloobaidan25
    @hassanaloobaidan25 Год назад +13

    Huyu mama yuko vzr, anaongea kitu muhimu sanaaaa

  • @emanuelkisanga3429
    @emanuelkisanga3429 Год назад +17

    Maneno hayasifiwi kwa wingi wake yanasifiwa kwa uzito wake.✔✔✔

  • @abdullahjuma3926
    @abdullahjuma3926 Год назад +5

    Hongera sana mama tafadhali waelimishe ndugu zetu kama wamekosea pia kwanini mfafanuzi mkuu amekaa kimya?
    Vile vile Jamhuri ni pande mbili sasa jamani wasomi wetu waliojazana kwenye serekali hawaoni haya mambo mpk utoke wewe mstaafu ?
    Anyway sijui lkn meseji yako imefika hio na wewe tu nakuombea mama akuchukue kama mshauri wa uchumi maana unaweza kuliko hao wanaume.
    Mungu akubariki inshaallah na akulinde kwa kutoa ufafanuzi uliofichwa. Amiin

    • @nyakatongongo4292
      @nyakatongongo4292 Год назад

      Asante sana mama kweli si wingi wa maneno bali uzito wa maneno.mama kaa karibu na mama Samia umshauri kuhusu hili jambo mama fanya hivyo kwa ajili vizazi vya kesho ❤mama

  • @joshuakitunzi9500
    @joshuakitunzi9500 Год назад +4

    Mama Anna Kajumlo kweli una madini kichwani,tema 2 Asante xn

  • @marialesulie6798
    @marialesulie6798 Год назад +4

    Umeeleweka sana mama profesa wetu. Wazee kama nyie ndiyo tunu ya taifa hili.
    Nimekusamehe kwa habari ya escrow hasa ile sentensi yako ya “hela ya mboga” iliyotukwaza sana.
    Kwa uzalendo ulioonesha leo tunaamini tuko pamoja sasa. 👍

  • @yusufukasato2425
    @yusufukasato2425 Год назад +37

    This Prof. is Patriotic and Realistic!

    • @jitukorofi9517
      @jitukorofi9517 Год назад +1

      Alivotafuta billion za escrow na kusema ni hela ya mboga alikua patriotic?

    • @brightergermanus2163
      @brightergermanus2163 Год назад

      HONGERA SAANA. MAMA ANNA DIBAJUKA TUNAKUHITAJI MWAKA 2025 KUTOKANA NA TAALUMA YAKO, ELIMU YAKO NA HOFU YA MUNGU ILIYOPO NDANI YAKO PROFESA ANNA

    • @brightergermanus2163
      @brightergermanus2163 Год назад

      MUNGU AKUBARIKI SAANA PROFESA ANNA

    • @sheilamaziku5980
      @sheilamaziku5980 Год назад

      ​@@jitukorofi9517alafu leo hii za bandari anaona zinauma

  • @thomasjohn2554
    @thomasjohn2554 Год назад +10

    Leo watangazaji mmenizihilishia kuwa uwezoo wenu ni mdogo sana yaaan mdogo mnoo

    • @kyaro5945
      @kyaro5945 Год назад

      Hawajui lugha. mikataba imepigwa kizungu. pia watu hawajausoma mkataba

  • @AmonChallah-qy7on
    @AmonChallah-qy7on Год назад +1

    Tibaijuka ur are real prof, very good mamaaaa

  • @Focusm-se2sd
    @Focusm-se2sd Год назад +2

    Kweli bibi mungu akulinde sana

  • @aisharamadhani1948
    @aisharamadhani1948 Год назад +8

    Kwanini watangazaji mnauliza maswali mara mbili mbili mbona mama anaeleza vizuri tu ,,,,duhhhh ila watangazaji hebu kwenye kipindi km hiki wekeni watangazaji wenye uelewa mzuri ili kipindi tukielewi na wawe wenye kuuliza maswali ipasavyo na sio kurudia rudia

  • @shijahlaurent3100
    @shijahlaurent3100 Год назад +14

    Wasomi kama huyu MAMA ndiyo wanafaa kuwa viongozi wakubwa katika inchi zetu,siyo huyu kiazi tulienaye.MUNGU wetu wa mbinguni akutunze mama Tibaijuka.

    • @geey7893
      @geey7893 Год назад +1

      Haha😂😂kweli ni kiazi

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 Год назад

      Alipewa huo Uongozi akaupiga mwingi na kujizolea maua kwenye Richmond, ulisahau au hutaki?

    • @neemakrekamoo4789
      @neemakrekamoo4789 Год назад +1

      ​@@hajihassan5433😅😅😅hawamjuiii watafute clip za bungeni kuhusu escrow Maza alivyozoa mpunga, akasema bilioni Moja ni Hela aliwekewa ya mboga😂😂😂sshv inamuuma sana maana wenzie wanakula za mwarabu na yy ni mtazamaji km sisi....lazima iumee....that time alitu let down sana. mpigaji sn huyuu

    • @neemakrekamoo4789
      @neemakrekamoo4789 Год назад

      Alishapewa uwaziri wa ardhi akapita na hela za Bush kidogo atuuze Wana kigamboni,,,na Kuna mabilioni ya escrow aliyazoa halafu Kwa dharau akasema ni Hela kidogo TU ya mboga😅😅😅Lol ....sshv lazima atoboe Siri maana migao ya mwarabu haijamkuta, anaangalia àkiwa nje nchi inavyotafunwa....sshv ndio anaelewa uchungu wananchi wanaoupata...hata yy hafaiiii🙌

    • @wilbertmombo9834
      @wilbertmombo9834 Год назад

      Watu wamesahau kwamba kina Ruge na Singasinga walikula pamoja na huyu mama wa visent vya mboga

  • @BONGOINMOTION
    @BONGOINMOTION Год назад +16

    Yaani mshaambiwa hiyo ni dharau kwanini muwape taarifa wao??? Afu waandishi mnajifanya hamumuelewi prof,,afu mnapo fanya interview angalieni na mtu ,,huyo ni mtu mkubwa na amefanya mengi ,,huyo siyo msanii wa kumuuliza unavo taka,,,,, hakikisha unaelewa unacho uliza

    • @amlikendelwa8974
      @amlikendelwa8974 Год назад +2

      Ndio tatizo la kuendekeza uchawa kuliko taaluma,hizi redio zinaendekeza sana mipasho,umbea na uchawa/kujipendeleza,zina watu wanye maneno mengi yasiyo na uzito ndio maana kwenye maswala ya msingi wao hawaoni wanafikiri wanawahoji wasanii wao wa WASAFI. Inaumiza kwa kweli

  • @Hbk206
    @Hbk206 Год назад +32

    What an amazing smart women❤

    • @johnmlay8366
      @johnmlay8366 Год назад +2

      She is very smart

    • @demicratia4071
      @demicratia4071 Год назад

      This is reality show😂

    • @KassimAlly-xp4dz
      @KassimAlly-xp4dz Год назад

      Smart are u sure

    • @ibrahimngulungu
      @ibrahimngulungu Год назад

      ​@@KassimAlly-xp4dz mwamba acha roho ya kichawi kama una hoja ya kusema huyu mama siyo smart toa evidence zako za kupinga ila usituletee siasa za kimbuzi hapa kama hii inchi haikuhusu kuwa mtazamaji broo maana nimeona unapinga kila mahala ambapo mama anasifiwa halafu hutoi hoja acha chuki za kise.....

    • @kefajoseph158
      @kefajoseph158 Год назад +1

      @@KassimAlly-xp4dz kamlambe basi samia mkundu maana Naona unang'ang'ana kumsifia samia mashetani mtu anauza nchi yetu we unang'ang'ania ujinga

  • @profs.a5412
    @profs.a5412 Год назад +7

    Kumbe oscar Oscar Hana akili kweli 😅😅Sasa nimemuelewaa

  • @maxwellking9399
    @maxwellking9399 Год назад +23

    Excellent Prof Tiba - We are all knows that there's no professional journalists in Tanzania now a days - Those 'journalists' they are lucking ability to comprehend and absorb your intellectuals doses. They are lucking ability of analyzing and process on how such stupidity and immoral 'controversial' port deal contract could exploit millions of Tanzanians for such many generations to come . They do not understand the interests of state (sovereignty ) has been compromised and position at stake. They are lucking Patriotism.

    • @mponejajoseph
      @mponejajoseph Год назад +1

      Very true@Maxwellking9399

    • @juliussilvestar8988
      @juliussilvestar8988 Год назад +1

      Maxwell tuna watu ma bogus ambao kama hatupo makini wataipeleka nchi pabaya . Benjamin mkapa alisema wabunge siku hiziiii akili zao ndogo hawafanyi critical analysis kabisa.Jamani nchi tutaipeleka pabaya.kbsaaa.

    • @dainessgaspar6042
      @dainessgaspar6042 Год назад

      Luck = it is lack

    • @dainessgaspar6042
      @dainessgaspar6042 Год назад +1

      Hebu jamani tuisaidie nchi yetu, wabunge tunaowapeleka no bogus sana hawana uwezo wa kuchuja mambo, wako kwa maslahi yao tu, wabunge walioenda Dubai akiwemo msukuma wabepigwa bahasha wakaanza kuhujumu bandari yetu.

  • @Josephineexsuper
    @Josephineexsuper Год назад +1

    Asante mama, umeitendea haki elimu Yako. NATAMAN wanawake wanisaidie mama Samia. Mama Samia ni Rais mzur sana na ana Nia nzuri sana ya kufungua nchi hii... Ila wasaidizi na washauri wawe makini. Pia idara za habari za serikali zimepwaya sanaaaa.... Hatujaskia afsa habar wa wizara ya ujenzi, wizara ya biashara walisema kitu,, Gerson na mwenyewe alichelewa pia.... NA MUHIMU MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YUPO WAPI?? AMEKAA KIMYA SANA

  • @user-nl2dw9hs5k
    @user-nl2dw9hs5k 11 месяцев назад

    congratulation sana Professor Anna Tibaijuka.....umeongea kama mzalendo mwenye uchungu na nchi yake umeona mbali kwa faida ya vizazi vijazo big up mama

  • @rehemashabaniameen
    @rehemashabaniameen Год назад +5

    Mama uko sahihi kabisa mama Samia anatakiwa kusaidiwa sana Warabu wasimuingize mkenge

    • @Pedeshee01
      @Pedeshee01 Год назад

      Samia keshaingizwa chaka na wabunge

  • @charleskuyeko4400
    @charleskuyeko4400 Год назад +20

    Si kuwapa taarifa tu. Ni kuwapa taarifa na mpaka wakubali.
    Nawashangaa sana hao vijana nao ati hawana macho ya kuona ubaya wa mkataba huo. Kwa maneno mengine chochote tutakachotaka kufanya hapa nchini ni lazima tuwajulishe kwanza. Wakisema watafanya wao mambo yanaishia hapo. Kuweni wazalendo. Leo Raisi wetu Samia yupo hai, watu wanamwonea haya kumshauri vizuri kesho atakuwa hayupo ndipo utakujakukuta watu wanakula matapishi yao. Ooooh mimi sikuelezwa vizuri, Ohoo sikuusoma niliambiwa tu; too late. Raisi ana nia njema sana na yeye siyo Mwanasheria anstakiwa ashauriwe vizuri ili mkataba uboreshwe vizuri kazi zianze. Huo mkataba umeandikwa Dubai kuna ubaya gani na sisi Watanzania tukaweka mawazo yetu humo kwa manufaa ya vizazi vyetu vijavyo? Hapa hakuna siasa, hakuna udini, hakuna ukabila ni maslahi ya nchi yetu. Hakuna anayepinga mkataba huo ysiwepo bali watu wanaoelewa hasa Wanasheria wanatoa ushauri ili mkataba urekebishwe usitubane sisi kama nchi na kwamba uwe na kikomo na ikiwezekana utsje asilimia tutakayopata. Wanaosema tusubiri mikataba inayokuja wanakosea sana. Mikataba ijayo inaandikwa na wao kulingana na matakwa ya huu mkataba mama na hatutakuwa na nafasi ya kupinga lolote ili mradi tumeshasaini mkataba mama. Pa kuwa makini na kujiridhisha kabla ya kusaini makubaliano hayo ni sasa. Mwenyezi Mungu awaongoze Viongozi wetu tusije kujuta au hasa wajukuu zetu na vitukuu visije kutulaani. Nia ya kuwa na Mwekezaji ni njema sana na tunaipokea kwa mikono miwili. Lakini tusiingie kichwa kichwa.

    • @bernardnyangena9564
      @bernardnyangena9564 Год назад +3

      vijana wanafanaya vile ili mama afunguke inaitwa reverse psychology in media

    • @kilimohub580
      @kilimohub580 Год назад +5

      Ni sawa , ila kuna jopo la waandishi 40 walienda Dubai. Waliporudi wamekua influencers wa dp world. Nchi hii tatizo ni moja, umaskini wa fikra tu

    • @lusajomwaipopo5042
      @lusajomwaipopo5042 Год назад

      ​@@kilimohub580 na kuendekeza njaa

    • @gosbertmuta5421
      @gosbertmuta5421 Год назад

      Mwanangu umenena

    • @othumanomari1589
      @othumanomari1589 Год назад

      Innalillah wainnaillaihi Raajiun😪😪😭😭🇹🇿

  • @marialesulie6798
    @marialesulie6798 Год назад +2

    Asante kwa kututoa tongotongo bibi yetu.
    Wewe Kweli ni profesa wa ukweli. Usichoke endelea kusaidia taifa lako

  • @festokitule9727
    @festokitule9727 Год назад

    Professor your so wise nimekuelewa sana.Hao form iv hawakuelewi nchi yenye uhuru hawezi kwenda kuriport kwa nchi nyingine juu ya fursa zake huko ni kutawaliwa

  • @nassoromohamed1641
    @nassoromohamed1641 Год назад +4

    Muleba tukovizur.mama kashusha point nzur

  • @FulbertFisoo
    @FulbertFisoo Год назад +2

    Asanteee sana mama kwa maelezo yako mzuri bila kuangalia uliyoyafanya huko nyuma kama wasemavyo watu

  • @hassankarama3412
    @hassankarama3412 Год назад +3

    Nishajua tatizo uyu mama interview aloingia sio ya mambo ya siasa so mama kaelezea vizuri sna bali wasafi washazoea mpira na umbea so hamna mtu mwenye mawazo ya siasa

  • @IbrahimJamesKanyata-wb1kj
    @IbrahimJamesKanyata-wb1kj Год назад +7

    Prof. umeeleweka vzr. ✊✊✊

  • @venancemalima1181
    @venancemalima1181 Год назад +2

    Hongera mama Mungu akulinde umefafanya kwa uzito na si wingi.Serikali na bunge wajitafakali sana.

    • @adelinelyaruu3036
      @adelinelyaruu3036 Год назад

      Sijui kama watafanya hivyo. Naomba Mungu DP WORLD wajitoe

  • @salmaally5197
    @salmaally5197 Год назад +2

    Nikiwa na akili timamu kuanzia Leo nimekusamehe makosa yako yakutumia pesa ya escrow kama vijisenti well said mama simamia Taifa lako na watu wako

  • @karimhamdani793
    @karimhamdani793 Год назад +8

    Hii tasnia ya habari na yenyew apewe mwekexaji wa dubai maana vilaza hili ndo limekua chaka lenu cku hizi,,nyie mlitaka ajibu mnavuotaka nyie au aje hapo asifie na mkumbuke huyo ni prof she already done a lots of research and wrote a lot of books hata km hasiusiani na hili but yuko ni high thinking capacity

  • @tryc_579
    @tryc_579 Год назад +5

    AMEN at least someone elder with wisdom and respect of Our Country has spoken about this stupid and deadly contract of Dubai and Tanzania

  • @Cosmas_General
    @Cosmas_General Год назад +1

    Bongo nawasikiliza maprofessa wawili Tibaijuka na Kabudi🎉🔥🔥🔥

  • @mossesisaack5066
    @mossesisaack5066 Год назад +2

    Mama Tibaijuka umeongea kwa hekima kubwa na ufahamu mkubwa.. Tumekuelewa sana spka akusikie na afanye wajibu wake haraka kwa maslahi ya taifa letu.

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 Год назад +7

    Waandishi hawajasoma hawa wanamsumbua Mama huyu kwani hawawezi kujiongeza wao wenyewe. Hivi ukodishe nyumba alafu ati ukitaka kukarabati kitu ni lazima umuombe mpangaji?hapo umepangisha au umemuuzia.Huyu muandishi ati anaingiza mpira kwenye vitu vya kutumia akili shame ndio maana tunakwama kuwa na watu wasiokuwa na upeo

  • @baltasartemu2153
    @baltasartemu2153 Год назад +4

    Hao mama sio wa level yako...Hawana kitu wanaelewa....Pole mama....

  • @janteramon-iw5eh
    @janteramon-iw5eh Год назад

    mungu akubariki pro.. Anna Tibaijuka Heshima kubwa kwako🙏🙏🙏

  • @winniesway3162
    @winniesway3162 Год назад +1

    Hongera sana mama, umeongea vizuri. Sisi hatuna bunge la kutetea wananchi, tuna wabunge wengi wao wakufuata mkumbo, bila kutumia hekima busara na kudadafua jambo kwa kina wanasema tu ndiooo Ee Mwenyezi Mungu tujaalie viongozi wenye hekima na uzalendo kwa nchi yetu.

  • @sylvestersimando3095
    @sylvestersimando3095 Год назад +6

    Tibaijuka 👍

  • @anickashasha
    @anickashasha Год назад +13

    Professor, hao vijana ni uwezo wao mdogo. Hakuna wanachoelewa ndio maana wanaleta mzaha kwenye mambo makubwa. Wasamehe. Umekosea kuhojiwa na watu kama hao

    • @ibraton4071
      @ibraton4071 Год назад +3

      kabisaaa

    • @modestwenceslaus9
      @modestwenceslaus9 Год назад +3

      Hao vijana Issue zao kuu ni kujadili Mchezo wa Soka haya mengine kwao ni sawa na Nuru na Giza tu.

    • @renatusmatungwa2508
      @renatusmatungwa2508 Год назад +1

      Yaani ni aibu tz hatuna waandishi mambo ya msingi wanaleta mzaha duh hadi anawasisitiza wajipende kwanza hata mkataba hawajausoma

    • @kaisimwantindili397
      @kaisimwantindili397 Год назад +1

      Mama, professor. Tibaijuka Asante kwa uzalendo wako, kweli umeonyesha utetezi kwa wananchi wako.,

    • @edwardpeter8569
      @edwardpeter8569 Год назад +2

      Yaan interview hii inaonyesha eddo na mwenzake ni watu hovyo sana mpira umekula akili asee, jipendeni vijana msipojipenda nani atawapenda by prof. Tibaijuka