ALIYEKUWA MFANYAKAZI WA BANDARINI AFUNGUKA MAZITO, ALISHANGAA BUNGE LA TULIA, SAKATA LA BANDARI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • #TANZANIA: Aliyekuwa #mfanyakazi wa bandarini afunguka mazito, alishangaa #bunge la #Tulia, sakata la #bandari

Комментарии • 173

  • @francismlelema8754
    @francismlelema8754 Год назад +1

    Asante sana Mzee Samson Luhigo kwa tuliosoma Cuba tayari tumeshakuelewa

  • @robisonikadogo7371
    @robisonikadogo7371 Год назад +4

    Wemzee mungu akuongezee maisha marefu pamoja na uzao wako

  • @donaldbenedict5761
    @donaldbenedict5761 Год назад +2

    Hongera sana mhandisi kwa busara zako shida ya wabunge wa CCM wanaoendeshwa na mihemko hawawajali wananchi wao hawana na uzalendo wa Taifa letu la Tanzania ndio maana leo tumefika hapa tulipo kila kitu wao ndio watalaaniwa na muumba acha wajifanye vihiyo

  • @jamals.mbarak8638
    @jamals.mbarak8638 Год назад +3

    Hahahahaaa! Nimepoteza dkk 14 kumsikiliza 😭😭

  • @elizabethmgassa7243
    @elizabethmgassa7243 Год назад

    Mungu akubariki sana.Mungu anatafuta nani asimame mahali palipobomoka,akapajenge ni wewe na wengine

  • @furahamwikombo4670
    @furahamwikombo4670 Год назад +12

    Ahsante Sana msatafu wa Ukweli..... Watu ambao hawana vyama,,,,niwatu wazuri Sana kwenye Taifa letu.....

    • @ticeservice4729
      @ticeservice4729 Год назад +1

      😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊

    • @chingaboy1149
      @chingaboy1149 Год назад +3

      Weee mpuunzi kweli haya ndio majizi asaivi wameaacha watoto wao waona bomba linaenda kufungwa wanapiga kelele jiulize wamefanya kazi mda gani kuna maendeleo wameleta mbwa hawa

    • @ngailotony
      @ngailotony Год назад +1

      ​@@chingaboy1149 Wewe unamjua vizuri huyu mzee au unaropoka Tu..Mfuatilie vizuri utamfahamu hayuko hivyo unavyofikiria.

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Год назад +1

      ​​KAMA WEWE UNAMJUWA VIZURI AU JIRANI YAKO TUPE JINA LAKE ILI TUMFATILIE NA TUMJUWE VIZURI.

    • @musa-v3f
      @musa-v3f Год назад

      @@salimmalaka256 samson Luigo alikuwa mkurugenzi wa Bandari humble and clean person hakuna mwizi mstaafu anaweza kwenda kwy mkutano wa cdm akabaki salama

  • @tielyelibariki8958
    @tielyelibariki8958 Год назад +1

    Wazee kama Hawa wenye uchungu na nchi ndio walitakiwa wawe washauri wa Rais na uongozi Kwa ujumla upo vizur mzee wetu Mungu akutunze mzee ubarikiwe Sana baba yetu

  • @raymondmushi9019
    @raymondmushi9019 Год назад +1

    Umeongea kwa hekima,na busara kubwa sana mzee mwenzangu,ubarikiwe.nawe umekuwa kama refa mwenye weledi,asiependelea upande wowote.

  • @maryntwa9494
    @maryntwa9494 Год назад

    Hiii imeendaaa safi sanaaa😂😂😂😂😂😂😂

  • @medsonulendo4221
    @medsonulendo4221 Год назад +2

    asante mstaafu kweli vyakale dhahabu🎉

  • @leahmgunda4154
    @leahmgunda4154 Год назад +2

    Old is gold;be blessed.

  • @mussadaman3460
    @mussadaman3460 Год назад +1

    Mzee uko sawa as ahsante sana

  • @drgeraldcubwa481
    @drgeraldcubwa481 Год назад +11

    Duuh,refa kabaki uchi kabisaa😂😂😂😂😂 mzee umenichekesha

  • @vitalisantony239
    @vitalisantony239 Год назад +5

    Good indeed mzee wetu. Umenena vyema. Kabisa

  • @lilyNakamura4993
    @lilyNakamura4993 Год назад +4

    Mungu akubariki Sana Mzee wetu!na kitenda wili Chako nikizuri!Hila humenimaliza mbavu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @YohanaMsigwa-g3i
    @YohanaMsigwa-g3i Год назад

    Baba baba maneno uliyo yanena kwakweli mm nimekuelewa sana mliobaki wenye misamiati hiyo mko wachache sana hongela mzee wangu By yohana msigwa from Congo

  • @furahamwikombo4670
    @furahamwikombo4670 Год назад +11

    Hakika mdee anastairi posho lake.... Na Aida Kenani....

  • @furahamwikombo4670
    @furahamwikombo4670 Год назад +10

    Halima mdee vs Spika Tulia Acksoni....

  • @arthurmwabulambo1201
    @arthurmwabulambo1201 Год назад +6

    Mbona huyo mzee ni msanii wa dibaji. That is what he has been trying through out his talk. Anazungumza kwa mithali.

    • @mwitamahende4394
      @mwitamahende4394 Год назад

      Ahsante mhandisi elimu yako bado ni urithi wetu, lakini nimefurahi kupata taarifa ya refa siku hiyo, huenda vazi lilimbana akaamua hata kucheza uchi.

  • @foundationforcommunityhope7327

    Duuuu hekima hii ni kubwa sana Hongera Sana

  • @YohanaMsigwa-g3i
    @YohanaMsigwa-g3i Год назад

    Yohana msigwa baba tunakuomba hata uwe mwalimu wa elimu ya watu wazima mm nitakua wanafunzi wa kwanza kunifundisha asante baba maneno mazito. Yamewafikia

  • @CollinceFrances
    @CollinceFrances Год назад +4

    D❤❤❤

  • @FadhiliMgalla-ds9fx
    @FadhiliMgalla-ds9fx Год назад

    Asante sana mzee

  • @kazumarihokororo9153
    @kazumarihokororo9153 Год назад

    Awa ndo wezi wenyew waliojinufaisha na madili ya bandari

  • @elizabethmgassa7243
    @elizabethmgassa7243 Год назад

    Hata huyu hujamuelewa mama.basi mmedhamilia kutuangamiza

  • @charlzlomo9219
    @charlzlomo9219 Год назад +2

    Tatizo la msingi mkataba mbovu dawa yake nini?kuufuta na kuteneza mwingine Mwenye maslahi ya taifa

  • @ElizabethKimbi
    @ElizabethKimbi Год назад +7

    Sema ukweli

  • @alfamwakibete7396
    @alfamwakibete7396 Год назад

    😢mzee uko vizuri

  • @sifunimelkizedeck882
    @sifunimelkizedeck882 Год назад +5

    Baba Mungu akutunze akupe afya njema na nguvu ulikataa kuwa mnafiki na chawa kwa mabosi wako hii ndoyo maana halisi ya msomi huwe mfano wa kuigwa atilisti sasa tumepata matumahini mapiya kuwa tuna wazee.wanaoweza kusema hapana pale viongozi wanapo taka kuugeuza huongo kuwa ukweli kwenye mambo ambayo ni uti wa mgogo kwa taifa

    • @abeliantony7085
      @abeliantony7085 Год назад

      Hii kirip niyakurekod mdomo unachengana nasauti

  • @atugonzalugemalila5142
    @atugonzalugemalila5142 Год назад +1

    Ndio maana nasema hela ya kulipa bunge bajeti hiyo ikajenge bandari sisi wananchi hatuoni kazi ya mhimili wa bunge labda kazi ilionekana kwenye uongozi wa Samuel Sitta

  • @Gracemima
    @Gracemima Год назад +3

    Tuna watu waaminifu Tanzania, watu Kama huyu Mzee. Watu Kama huyu mzee kupewa nafasi ya uongozi ni vigumu sana. Tunapata viongozi wapiga vifuwa Kama wakina Nape wanaojifanya wawo ni watanzania zaidi ya watanzania wengine. Tanzania tuna viongozi wa ajabu sana

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana2896 Год назад +4

    Halima Mdee alionyesha ushujaa hapo chadema hawapigi makofi unafki utawamaliza wana siasa

    • @jonathanntare4787
      @jonathanntare4787 Год назад

      Makofi ni hisia , unaweza kupiga makofi bila hisia we Akili zinakutosha Kweli.

    • @warakawayohana2896
      @warakawayohana2896 Год назад +2

      @@jonathanntare4787 Kama unaongozwa na hisia za kutopongeza panapostahili pongezi hisia zako ni za chuki na unafki

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Год назад +2

      ​@@warakawayohana2896KWELI SI NDIO HAWA WALIKUWA WANATAKA WAFUKUZWE?? WAKIWAITA COVID 19 KENGE KWELI HAWA.

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Год назад +1

      ​@@jonathanntare4787KUPIGA MAKOFI KWANI NYEGE MPAKA UPATE HISIYA??

    • @warakawayohana2896
      @warakawayohana2896 Год назад

      @@salimmalaka256 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @hasani565
    @hasani565 Год назад

    Siasa za ucheleweshaji maendeleo...wakiongea kiupole sio ndio waugwana .

  • @ahmadmlima8155
    @ahmadmlima8155 Год назад

    Kwenye Mkutano huu Ulifunga siku ngapi?

  • @denisipaulo7785
    @denisipaulo7785 Год назад +9

    Mbona milady ayo alushi mikutano ya chadema

  • @ayubuzomboko9502
    @ayubuzomboko9502 Год назад

    Wenyeakili tushajua tatizo ni mfumo kiristo uliopo hapa nchini na huyu Mzee nikatika haohao,chokonoeni tu tushafika mnakotaka,tazameni klip ya shekhe Lusaganya mtapata jibu (mwisho wa siku kama Congo tu)

  • @AnordErio
    @AnordErio Год назад +1

    Hawa wanajifanya mungu wangu waachetuu .. Hao wadubai labda wawekeze katkat ya bahari ya kimataifa au zanzibar

  • @lundimbekelu8866
    @lundimbekelu8866 Год назад

    Huyu anaitwa Samson Luhigo,alikuwa Mkurugenzi Mkuu Mamlaka ya Bandari Tanzania.

  • @mulokozimwijage7507
    @mulokozimwijage7507 Год назад +1

    Mdee sawa kwa jambo la Bandari. lakini sio tena mtu anayeaminika tena

  • @abuujadawionlinetv3675
    @abuujadawionlinetv3675 Год назад +5

    Hata kuongea hajui mwizi wa bandarini mnawekewa mitambo ya kuwadhibiti

    • @emmapaul1766
      @emmapaul1766 Год назад

      madalali ya warabu yaliyohongwa yanahangaika kuyatetea mabasha yao.

    • @MACHOYATAI-jk6fu
      @MACHOYATAI-jk6fu Год назад

      Unahangaika kumtetea huyo mme wako samia

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Год назад

      ​@@emmapaul1766NA WEWE UNA WATETEA MABASHA ZAKO WAPIGA DILI BANDARINI UTAUFYATA TU.

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Год назад

      ​@@MACHOYATAI-jk6fuUTA OLEWA NA JINSIA YAKO SIKU SIO NYINGI UTAUFYATA TU.

  • @simonpure109
    @simonpure109 Год назад

    Nikiwa kama mwanasheria na sheria ni logic+precision (by SCJ scalia)RIP,heshima yangu kwa daktari tulia inameguka. Kwa nchi tawalia zilipata kibali cha kuelimisha watawaliwa kiazizi kutoka kwa rais Roosevelt akiwabana wadaiwa wake wa vita kuu ya pili. Hii elimu bado ni changa kwetu, hivyo matumizi yake hupaswa kuwa ya kiujenzi, sio sababu tosha ya kutengeneza kundi jipya la watawala. (Intellectual arrogancy) kiburi azizi huakisi uhaba wa hekima na ni angamizi kwa wasio na hatia. Mungu atuepushe na hili

  • @luckymsomba4818
    @luckymsomba4818 Год назад +1

    hatuna spika kabisa

  • @glaisfupa9760
    @glaisfupa9760 Год назад +8

    Kweli kabisa Halima mdeeeee hoyeeeee shujaaa

    • @severinimkini4116
      @severinimkini4116 Год назад +1

      Halina Mdee hongera sana, kwani ulichokisema wewe na yule kutoka Sumbawanga pale BUNGENI kuhusu BANDARI kinastahili pongezi kama alivyosema Luhigo. Lakini pamoja na yote yale wewe kuyasema Yale ilikuwa inasema kama raia wa kawaida tu, na so kama MBUNGE, kwa kuwa hakuna chama kilicho kupeleka Mbungeni kwa Mujibu wa KATIBA.

    • @shubebunyesi542
      @shubebunyesi542 Год назад +1

      Unakunywa mchuzi nyama haramu sio akisimama upande wako safi lkn sio mbunge ila unaweza msapoti 😂😂😂

    • @Ibnimohd-tr6qc
      @Ibnimohd-tr6qc Год назад +1

      Nyie mlipga sana !!! Ww unyamaze kimya asa nyie ndo mlotia ufukara

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Год назад +1

      ​​@@Ibnimohd-tr6qcATA SIJUWI YAMEFIKA DAR NA KUPEWA VYEO BANDARINI MIJITU YA MADONGO POROMOKA AKINA AROO AROO NA ISEE 😂😂😂😂😂

  • @VictorMbogolo
    @VictorMbogolo Год назад

    Vya kale dhahabu bg mzee

  • @TamuzaKale
    @TamuzaKale Год назад +4

    Wezi wakubwa wa bandarini hao. Hawataki kuwekewe system kali za kupunguza wizi. Naye ajitia mzalendo! MAE!

    • @emariusrush3285
      @emariusrush3285 Год назад +1

      wewe ni mpumbavu kuzuia wizi ndio umpe mgeni bandari za Tanzania,tena Kwa miaka 100?? tena bandari zote za Tanzania??,mama kazungukwa na mafisadi (Mzee wa msoga) huyu ndio tatizo, huyu Mzee ndio anaivuruga nchi,huyu Mzee ndio amekuwa Tanzania Kwa nchi yetu miaka na miaka Sasa!!!!

    • @ambitiousholyspirit395
      @ambitiousholyspirit395 Год назад

      kama Kuna wizi! serikali iliyopewa dhamana imeshindwa kuondoa ubadhilifu point dhaifu!

    • @EliatoshaLema-rw5hm
      @EliatoshaLema-rw5hm Год назад

      Akili za pombe

    • @jimonmwakalebela9470
      @jimonmwakalebela9470 Год назад

      Umechukia nini wewe

    • @jimonmwakalebela9470
      @jimonmwakalebela9470 Год назад +1

      ​@@emariusrush3285utapata taabu sana

  • @gideongeorge5824
    @gideongeorge5824 Год назад +1

    Akili kubwa

  • @tanzaniakwanza1699
    @tanzaniakwanza1699 Год назад

    Tulia, jisikie aibu, kwani wenye macho waliona na masikio, tulisikia. Uliuleta unyakyusa ukidhania wajanga hawaoni?!?!? Aibu sana. Thamani yako imeshuka sana. Ccm 1995,ikimwogopa Mrema, ilichkua mapesa toka ktk viwanda na mashirika ya Umma (Cheyo ni shahidi), bima ikafa, NBC, Mwatex, mutex, urafiki, etc etc. Vikafa vyoote. Pesa ilikwenda kutoa rushwa ili ccm ipite. Walikuwepo waliopokea rushwa kubwa kubwa za kati na ndogo kabisa kama sh.1000, vitenge na pesa. Mwinyi aliruhusu hilo. Mpaka leo tumegeuka maskini. Tukabinafisisha kwa kugawa. Leo tena mnaturudisha kule kule kwa Mwinyi

  • @emmanuelbrassy4000
    @emmanuelbrassy4000 Год назад

    Baba safi sana

  • @bakarikayugwa3295
    @bakarikayugwa3295 Год назад +1

    Huyu Millard ayo nae kalamba pesa yake asilushe matangazo

    • @noahemanuel7015
      @noahemanuel7015 Год назад

      Hata mim ninashangaa huku Ayo haonekani ila kwenye matukio ya kitaa yuko Makin mno😅😅😅

  • @mugemainyas5241
    @mugemainyas5241 Год назад +1

    Nasubiria mkataba maana simwamini mtu mie . Kwani huyo mzee ndo katoka mbinguni au naye alichaguliwa vipi ndo aje kuongea .

    • @johnmalanilo1346
      @johnmalanilo1346 Год назад

      Ninao mkataba. Ukiuhitaji nifahamishe

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Год назад +1

      HUYO MZEE NDIO WALE WEZI WAPIGA DILI BANDARINI NA UTAKUTA KAMRITHISHA KIJANA WAKE YUPO BADO ANAENDELEA KUIBA.

  • @DeusiMorisi
    @DeusiMorisi Год назад

    Hizo pesa ungempatia aida kenani

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 Год назад +1

    Dakika Saba Sijaona Alichosema Apo

    • @nicasnelson7527
      @nicasnelson7527 Год назад

      Ushazoea maneno, haujazoea mithali, nahau na misemo

    • @FrankAngolwisye-mr1nc
      @FrankAngolwisye-mr1nc Год назад

      Hayupp hata mmoja aliyeona alichoogea ila wenye akili TIMAMU WOTE tumemsikia alicho ongea na KUMWELEWA VEMA NA nakuzikubali hoja ZAKE!!! Huyu Mzee tunamwombea Kwa Mungu ampe MAISHA marefu Kwa MASLAHI mapana ya TAIFA LETU. Mwisho nampongeza Sana Dr. Slaa Kwa kumtafuta huyu Mzee.

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 Год назад

    SIO KUPUNGUZA UWIZI KUONDOWA KABISAAA SINDANO HUTOKI NAYO DADEKI ZAO.

  • @ndogoroedson199
    @ndogoroedson199 Год назад +3

    Ndyo mlikuwa majizi yenyewe ninyi!! Et ccm walikuomba ugombee ubunge Jamani!

    • @jonathanntare4787
      @jonathanntare4787 Год назад

      We mke wake Unajuaje kuhusu aliyosema huyu Mzee.

    • @globalpeacesummitstv8825
      @globalpeacesummitstv8825 Год назад

      Wewe unamdharau utakuwa huna akili. Huyu ni miongoni mwa wazee wa busara wazalendo waliostaafu na Uzalendo wao bila kujichafua.

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Год назад +1

      ​​@@jonathanntare4787WA HIYO NYIE MNAOYAJUWA ALIYOYASEMA HUYO MZEE NI WAKE ZAKE???

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Год назад +1

      MAJIZI YA BANDARINI LAZIMA YAJISIFU ATI SIJUWI KAMWAMBIA NINI MKAPA 😂😂😂😂😂😂😂

    • @jamaa2760
      @jamaa2760 Год назад

      Zinduka

  • @kalebiestomihi
    @kalebiestomihi Год назад +1

    vichaa ni wengi

  • @bakaramourshaaban
    @bakaramourshaaban Год назад +2

    Nyinyi ubinafsi wenu utafikia kikomo muda si mrefu tutagawana mbao

    • @AliSalim-yu4mo
      @AliSalim-yu4mo Год назад

      Sisi tunaona nyinyi ndio munacherewesha kama nyinyi munafikiria leo basi muna akili mgando na munakuwa wavivu kufikiri

  • @FarhatSeif-p3t
    @FarhatSeif-p3t Год назад +2

    Babu mbona unaleta mistari ya bongo fleva.
    Wewe mwenyewe mwizi

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Год назад

      TENA MTOMBAJI NA MHONGAJI HUONI KATOWA KILO APELEKEWE MTOTO 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @bekabakari7394
    @bekabakari7394 Год назад +1

    Mimi nashindwa kuelewa
    Kama mtu anayo maoni
    Kwanini anasoma na kigugumizi
    Kama kwamba ameandikiwa?
    Tiririka yaliyomo moyoni kwako
    Yanayokukera

    • @bcozhenry2698
      @bcozhenry2698 Год назад

      Lazima aandike, si kila mtu anaweza kutiririka na akamaliza salama bila kuwabutua wenye mamlaka ya kusweka lumande!

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Год назад +1

      MWIZI TU HUYO MBUDA HAWO NDIO WALE WAPIGA DILI BANDARINI.

    • @francismulokozi3483
      @francismulokozi3483 Год назад

      Engineer huyo anaongea kwa logic sio siasa.

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Год назад

      @@francismulokozi3483 HUYO NI KAMA MKULIMA WA JEMBE HANA FAIDA TUNATAKA MAENDELEO NA SIO HADITHI ZA BULICHEKA HAZINA FAIDA.

  • @nedkatunge5702
    @nedkatunge5702 Год назад +1

    Hovooo

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 Год назад

      Kuandika tu hujui , unabaki kuandika meseji nyingi nyingi

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Год назад +1

      ​@@fahadfaraj6474ANAJUWA KAKUSUDIA HOVYOO IMEPUNGUWA Y

  • @selestinesumuni7586
    @selestinesumuni7586 Год назад +2

    Gude

  • @salimomar2032
    @salimomar2032 Год назад

    BINAADAMU ANAPOKARIBIA SAKARAAAT LMAUTI ANAKUWA MUNGU ANAMPUNGUZIA UWEZO WA KUFIKIRI NA ANAMPA UBABAIFU MKUBWA SANA WA MAWAZO, MIMI SIIJUI SIKU YANGU KIFO NA HUWENDA NIKATANGULIA MWANZO ILA HUYU MZEE NI MFU TAYARI NA UBONGO WAKE UNA FANGAS KICHWANI.

  • @EmmanuelCharlesi-yq1cb
    @EmmanuelCharlesi-yq1cb Год назад

    Kiboko ni bonge la speech

  • @godsson5954
    @godsson5954 Год назад +2

    NMEPENDA SANA MLIVYOTUMIA UHURU WENU LAKN MABANGO YA VYAMA VYENU NDO IMENIKERA WASHENZI NYIE

  • @richardhosea8827
    @richardhosea8827 Год назад +3

    Chadema imeshiwa materials

    • @hafidhisaidi6550
      @hafidhisaidi6550 Год назад

      Ww choko

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Год назад +1

      ​@@hafidhisaidi6550CHOOKO WEWE NA WAPUUZI WAKO HAO WASIO KUWA NA KAZI ZA KUFANYA.

  • @wakatinisasa
    @wakatinisasa Год назад +1

    Ayo tv ni ccm anatumika ndomaana siyo mzalendo nitafuta hiyo chaner

  • @FaustineKingu-w8d
    @FaustineKingu-w8d Год назад +5

    Hivi hatuna wasomi Tanzania? Kama wapi ilikuwaje wabunge wote wasione hata mmoja kasoro wa mkataba? Inaonyesha si wazarendo kabisa

    • @abi-onlinetv4181
      @abi-onlinetv4181 Год назад +1

      Wazarendo. Chadema sio Wazarendo haiwezekani Serikali na kila kitu ulicho kileta iwe hawana akili

    • @jestinasamile5478
      @jestinasamile5478 Год назад

      Wamepewa rushwa

    • @GreysonMheni-ln9rm
      @GreysonMheni-ln9rm Год назад

      Rushwa hupofusha macho yasione

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Год назад +1

      ​@@jestinasamile5478NANI KAPEWA RUSHWA CHADEMA AU

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Год назад +1

      TATIZO TANZANIA KILA MTU ANAINGILIA KAZI ISIO MHUSU NA WAKATI YEYE MWENYEWE HAWEZI CHOCHOTE.

  • @mariamchuwa7916
    @mariamchuwa7916 Год назад +1

    We mzee ni mmoja wa wezi wa bandari Huna jipya Acha ktudanganya kwa manufaa ya wachache

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Год назад +1

      KISHA MALAYA MTOWA HONGO KATOWA KILO APELEKEWE MTOTO 😂😂😂😂😂

  • @nedkatunge5702
    @nedkatunge5702 Год назад +1

    Hovyooo

    • @chingaboy1149
      @chingaboy1149 Год назад +1

      Umeona hawa mbwa waneiba asaivi wanaona mibomba yawizi inaenda kufungwa wanaongea mbwa hawa

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Год назад +1

      ​​@@chingaboy1149WIZI HUYO SERIKALI IFATILIE MALI ZAKE WAJUWE NA VITU VYOTE ANAVYO MILIKI WATAKUTA MABILIONI YA PESA.

  • @ebenezernnko8251
    @ebenezernnko8251 Год назад +4

    SAFI SANAAA MZEE WETU

  • @AliSalim-yu4mo
    @AliSalim-yu4mo Год назад +1

    Katafute Kanisa ukawadanganye watu ule sadaka na hao Chadema wako

  • @nedkatunge5702
    @nedkatunge5702 Год назад

    An bore kqeli ji bonge la borwr

  • @josephgomalo41
    @josephgomalo41 Год назад +1

    Mnamsifia mtu anayeuza nchi yenu wakati hajazaliwa Tanganyika? Eti, ameruhusu uhuru wa kuongea? leo hii mmepewa ruhusa ya kuongea ili muongelee kuuzwa kwa bandari anayoiuza huyo huyo Samia ? Samia hawezi sema alikuwa hajui kuhusu mauzo haramu ya bandari za Tanganyika, wakati yeye ni raisi na anatakiwa kujua yale wayafanyayo aliowaajiri! Alichokuwa akipambana nacho Magufuli ni huko kuuzwa kwa nchi yetu kunakofanywa na wazanzibari! Waende kwao. Muungano uvunjwe tu hatuna manufaa na wazanzibari zaidi ya kuuza Tanganyika kila siku, tangu enzi za Mwinyi!

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Год назад +1

      MBONA MAGU KAWAPA MIGODI WAINGEREZA HAMKUSEMA LAO NDIO UNAJUWA HARAMU NA HALALI UTAUFYATA TU.

  • @hassanmpwepwe3826
    @hassanmpwepwe3826 Год назад

    Wasaka tonge wote nyie

  • @babuloliondo74
    @babuloliondo74 Год назад

    tena wewe tanzaniatu igekuwa nchi zingine wameshakura kichwa chako umechangia kufirisi bandari mbona ukuongea kipindi icho urichokua unaiba mvii kama matako yako nyau wewe

  • @costantineenock5323
    @costantineenock5323 Год назад +1

    Huyu mzee uchambuzi wa pira hilo nimemsoma. Nimezidi kuamini watu wanataka mafanikio ya jumla ila mwenye kipenga ana deal na mafanikio ya binafsi.

  • @SongilGook-ei2my
    @SongilGook-ei2my Год назад +1

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @nedkatunge5702
    @nedkatunge5702 Год назад

    Hivyooooooo

  • @jacksonmartin8485
    @jacksonmartin8485 Год назад +1

    Nenda kapumzike wewe

  • @lanezboy7016
    @lanezboy7016 Год назад +1

    Mnapata tabu sana

  • @saidmtenda1628
    @saidmtenda1628 Год назад +1

    Huyu mzee ni miongoni mwa watu walionufaika na ufisadi wa bandarini wkt akifanya kazi.

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Год назад +1

      100% TENA MUHONGAJI NA MTOMBAJI HUONI KATOWA KILO APELEKEWE MTOTO 😂😂😂😂😂

  • @nedkatunge5702
    @nedkatunge5702 Год назад

    Borer

  • @husseinsatchuabdulrasul6334
    @husseinsatchuabdulrasul6334 Год назад

    Mjinga we wewe umeandikiwa sio mawazi yako

    • @rachelswai9756
      @rachelswai9756 Год назад

      Yani huyu baba nimtu sahihi na anajua anlalo liongea na anahofu ya mungu sana sikiliza

  • @FarhatSeif-p3t
    @FarhatSeif-p3t Год назад +1

    Kumbe weye punda. Sina muda wa kumsikiliza punda.

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Год назад +1

      TENA PUNDA MZEE MBOO NDEFU KUMA KWA JIRANI MPENDA NDOGO NDOGO HUONI KATOWA LAKI APELEKEWE TOTO 😂😂😂😂😂

  • @lastonsimon2932
    @lastonsimon2932 Год назад

    Ccm wahuni hatuwaamini kwa sasa

  • @haikaelkiwia9705
    @haikaelkiwia9705 Год назад +1

    Pumba tupu, ondoka zako

  • @ramadhanmwandambotuntufye5972
    @ramadhanmwandambotuntufye5972 Год назад +1

    Wahuni nyie na wewe babu mhuni tu

  • @AliSalim-yu4mo
    @AliSalim-yu4mo Год назад +1

    Tuambie account yako ina kiasi gani na tutajie Mali ulizovuna bandarini kipindi hicho ulipokuwa na nywele nyeupe mpuuzi wewe

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Год назад +1

      ALIPO KUWA NA NYWELE NYEUSI UTAMKUTA ANA NYUMBA 70 DAR NA MAMILIONI YA PESA NA KUNA MTU WAKE BADO YUPO KAMRITHISHA NDIO MAJIZI YENYEWE HAYO.

  • @chingaboy1149
    @chingaboy1149 Год назад +1

    Mijizi inajitokeza

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Год назад +1

      HALAFU HAJAFA KWA KULA VIZURI UTAMKUTA ANA NYUBA 70 DAR KAPANGISHA 😂😂😂😂

  • @AnordErio
    @AnordErio Год назад

    Hawa wanajifanya mungu wangu waachetuu .. Hao wadubai labda wawekeze katkat ya bahari ya kimataifa au zanzibar

    • @esamwakilasa
      @esamwakilasa Год назад

      😂😂😂 wazanzibar washakataa ajabu kama una faida wao Nini hawautaki