Hongera sana mhandisi kwa busara zako shida ya wabunge wa CCM wanaoendeshwa na mihemko hawawajali wananchi wao hawana na uzalendo wa Taifa letu la Tanzania ndio maana leo tumefika hapa tulipo kila kitu wao ndio watalaaniwa na muumba acha wajifanye vihiyo
Weee mpuunzi kweli haya ndio majizi asaivi wameaacha watoto wao waona bomba linaenda kufungwa wanapiga kelele jiulize wamefanya kazi mda gani kuna maendeleo wameleta mbwa hawa
@@salimmalaka256 samson Luigo alikuwa mkurugenzi wa Bandari humble and clean person hakuna mwizi mstaafu anaweza kwenda kwy mkutano wa cdm akabaki salama
Wazee kama Hawa wenye uchungu na nchi ndio walitakiwa wawe washauri wa Rais na uongozi Kwa ujumla upo vizur mzee wetu Mungu akutunze mzee ubarikiwe Sana baba yetu
Baba baba maneno uliyo yanena kwakweli mm nimekuelewa sana mliobaki wenye misamiati hiyo mko wachache sana hongela mzee wangu By yohana msigwa from Congo
Yohana msigwa baba tunakuomba hata uwe mwalimu wa elimu ya watu wazima mm nitakua wanafunzi wa kwanza kunifundisha asante baba maneno mazito. Yamewafikia
Baba Mungu akutunze akupe afya njema na nguvu ulikataa kuwa mnafiki na chawa kwa mabosi wako hii ndoyo maana halisi ya msomi huwe mfano wa kuigwa atilisti sasa tumepata matumahini mapiya kuwa tuna wazee.wanaoweza kusema hapana pale viongozi wanapo taka kuugeuza huongo kuwa ukweli kwenye mambo ambayo ni uti wa mgogo kwa taifa
Ndio maana nasema hela ya kulipa bunge bajeti hiyo ikajenge bandari sisi wananchi hatuoni kazi ya mhimili wa bunge labda kazi ilionekana kwenye uongozi wa Samuel Sitta
Tuna watu waaminifu Tanzania, watu Kama huyu Mzee. Watu Kama huyu mzee kupewa nafasi ya uongozi ni vigumu sana. Tunapata viongozi wapiga vifuwa Kama wakina Nape wanaojifanya wawo ni watanzania zaidi ya watanzania wengine. Tanzania tuna viongozi wa ajabu sana
Wenyeakili tushajua tatizo ni mfumo kiristo uliopo hapa nchini na huyu Mzee nikatika haohao,chokonoeni tu tushafika mnakotaka,tazameni klip ya shekhe Lusaganya mtapata jibu (mwisho wa siku kama Congo tu)
Nikiwa kama mwanasheria na sheria ni logic+precision (by SCJ scalia)RIP,heshima yangu kwa daktari tulia inameguka. Kwa nchi tawalia zilipata kibali cha kuelimisha watawaliwa kiazizi kutoka kwa rais Roosevelt akiwabana wadaiwa wake wa vita kuu ya pili. Hii elimu bado ni changa kwetu, hivyo matumizi yake hupaswa kuwa ya kiujenzi, sio sababu tosha ya kutengeneza kundi jipya la watawala. (Intellectual arrogancy) kiburi azizi huakisi uhaba wa hekima na ni angamizi kwa wasio na hatia. Mungu atuepushe na hili
Halina Mdee hongera sana, kwani ulichokisema wewe na yule kutoka Sumbawanga pale BUNGENI kuhusu BANDARI kinastahili pongezi kama alivyosema Luhigo. Lakini pamoja na yote yale wewe kuyasema Yale ilikuwa inasema kama raia wa kawaida tu, na so kama MBUNGE, kwa kuwa hakuna chama kilicho kupeleka Mbungeni kwa Mujibu wa KATIBA.
wewe ni mpumbavu kuzuia wizi ndio umpe mgeni bandari za Tanzania,tena Kwa miaka 100?? tena bandari zote za Tanzania??,mama kazungukwa na mafisadi (Mzee wa msoga) huyu ndio tatizo, huyu Mzee ndio anaivuruga nchi,huyu Mzee ndio amekuwa Tanzania Kwa nchi yetu miaka na miaka Sasa!!!!
Tulia, jisikie aibu, kwani wenye macho waliona na masikio, tulisikia. Uliuleta unyakyusa ukidhania wajanga hawaoni?!?!? Aibu sana. Thamani yako imeshuka sana. Ccm 1995,ikimwogopa Mrema, ilichkua mapesa toka ktk viwanda na mashirika ya Umma (Cheyo ni shahidi), bima ikafa, NBC, Mwatex, mutex, urafiki, etc etc. Vikafa vyoote. Pesa ilikwenda kutoa rushwa ili ccm ipite. Walikuwepo waliopokea rushwa kubwa kubwa za kati na ndogo kabisa kama sh.1000, vitenge na pesa. Mwinyi aliruhusu hilo. Mpaka leo tumegeuka maskini. Tukabinafisisha kwa kugawa. Leo tena mnaturudisha kule kule kwa Mwinyi
Hayupp hata mmoja aliyeona alichoogea ila wenye akili TIMAMU WOTE tumemsikia alicho ongea na KUMWELEWA VEMA NA nakuzikubali hoja ZAKE!!! Huyu Mzee tunamwombea Kwa Mungu ampe MAISHA marefu Kwa MASLAHI mapana ya TAIFA LETU. Mwisho nampongeza Sana Dr. Slaa Kwa kumtafuta huyu Mzee.
BINAADAMU ANAPOKARIBIA SAKARAAAT LMAUTI ANAKUWA MUNGU ANAMPUNGUZIA UWEZO WA KUFIKIRI NA ANAMPA UBABAIFU MKUBWA SANA WA MAWAZO, MIMI SIIJUI SIKU YANGU KIFO NA HUWENDA NIKATANGULIA MWANZO ILA HUYU MZEE NI MFU TAYARI NA UBONGO WAKE UNA FANGAS KICHWANI.
Mnamsifia mtu anayeuza nchi yenu wakati hajazaliwa Tanganyika? Eti, ameruhusu uhuru wa kuongea? leo hii mmepewa ruhusa ya kuongea ili muongelee kuuzwa kwa bandari anayoiuza huyo huyo Samia ? Samia hawezi sema alikuwa hajui kuhusu mauzo haramu ya bandari za Tanganyika, wakati yeye ni raisi na anatakiwa kujua yale wayafanyayo aliowaajiri! Alichokuwa akipambana nacho Magufuli ni huko kuuzwa kwa nchi yetu kunakofanywa na wazanzibari! Waende kwao. Muungano uvunjwe tu hatuna manufaa na wazanzibari zaidi ya kuuza Tanganyika kila siku, tangu enzi za Mwinyi!
tena wewe tanzaniatu igekuwa nchi zingine wameshakura kichwa chako umechangia kufirisi bandari mbona ukuongea kipindi icho urichokua unaiba mvii kama matako yako nyau wewe
Asante sana Mzee Samson Luhigo kwa tuliosoma Cuba tayari tumeshakuelewa
Wemzee mungu akuongezee maisha marefu pamoja na uzao wako
Hongera sana mhandisi kwa busara zako shida ya wabunge wa CCM wanaoendeshwa na mihemko hawawajali wananchi wao hawana na uzalendo wa Taifa letu la Tanzania ndio maana leo tumefika hapa tulipo kila kitu wao ndio watalaaniwa na muumba acha wajifanye vihiyo
Hahahahaaa! Nimepoteza dkk 14 kumsikiliza 😭😭
Mungu akubariki sana.Mungu anatafuta nani asimame mahali palipobomoka,akapajenge ni wewe na wengine
Ahsante Sana msatafu wa Ukweli..... Watu ambao hawana vyama,,,,niwatu wazuri Sana kwenye Taifa letu.....
😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊
Weee mpuunzi kweli haya ndio majizi asaivi wameaacha watoto wao waona bomba linaenda kufungwa wanapiga kelele jiulize wamefanya kazi mda gani kuna maendeleo wameleta mbwa hawa
@@chingaboy1149 Wewe unamjua vizuri huyu mzee au unaropoka Tu..Mfuatilie vizuri utamfahamu hayuko hivyo unavyofikiria.
KAMA WEWE UNAMJUWA VIZURI AU JIRANI YAKO TUPE JINA LAKE ILI TUMFATILIE NA TUMJUWE VIZURI.
@@salimmalaka256 samson Luigo alikuwa mkurugenzi wa Bandari humble and clean person hakuna mwizi mstaafu anaweza kwenda kwy mkutano wa cdm akabaki salama
Wazee kama Hawa wenye uchungu na nchi ndio walitakiwa wawe washauri wa Rais na uongozi Kwa ujumla upo vizur mzee wetu Mungu akutunze mzee ubarikiwe Sana baba yetu
Umeongea kwa hekima,na busara kubwa sana mzee mwenzangu,ubarikiwe.nawe umekuwa kama refa mwenye weledi,asiependelea upande wowote.
Hiii imeendaaa safi sanaaa😂😂😂😂😂😂😂
asante mstaafu kweli vyakale dhahabu🎉
Old is gold;be blessed.
Mzee uko sawa as ahsante sana
Duuh,refa kabaki uchi kabisaa😂😂😂😂😂 mzee umenichekesha
Good indeed mzee wetu. Umenena vyema. Kabisa
Mungu akubariki Sana Mzee wetu!na kitenda wili Chako nikizuri!Hila humenimaliza mbavu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Baba baba maneno uliyo yanena kwakweli mm nimekuelewa sana mliobaki wenye misamiati hiyo mko wachache sana hongela mzee wangu By yohana msigwa from Congo
Hakika mdee anastairi posho lake.... Na Aida Kenani....
Halima mdee vs Spika Tulia Acksoni....
Mbona huyo mzee ni msanii wa dibaji. That is what he has been trying through out his talk. Anazungumza kwa mithali.
Ahsante mhandisi elimu yako bado ni urithi wetu, lakini nimefurahi kupata taarifa ya refa siku hiyo, huenda vazi lilimbana akaamua hata kucheza uchi.
Duuuu hekima hii ni kubwa sana Hongera Sana
Yohana msigwa baba tunakuomba hata uwe mwalimu wa elimu ya watu wazima mm nitakua wanafunzi wa kwanza kunifundisha asante baba maneno mazito. Yamewafikia
D❤❤❤
Asante sana mzee
Awa ndo wezi wenyew waliojinufaisha na madili ya bandari
Hata huyu hujamuelewa mama.basi mmedhamilia kutuangamiza
Tatizo la msingi mkataba mbovu dawa yake nini?kuufuta na kuteneza mwingine Mwenye maslahi ya taifa
KUUFUTA
@@johnmalanilo1346DAWA UTENGEZWE SIO KUUFUTA.
Sema ukweli
😢mzee uko vizuri
Baba Mungu akutunze akupe afya njema na nguvu ulikataa kuwa mnafiki na chawa kwa mabosi wako hii ndoyo maana halisi ya msomi huwe mfano wa kuigwa atilisti sasa tumepata matumahini mapiya kuwa tuna wazee.wanaoweza kusema hapana pale viongozi wanapo taka kuugeuza huongo kuwa ukweli kwenye mambo ambayo ni uti wa mgogo kwa taifa
Hii kirip niyakurekod mdomo unachengana nasauti
Ndio maana nasema hela ya kulipa bunge bajeti hiyo ikajenge bandari sisi wananchi hatuoni kazi ya mhimili wa bunge labda kazi ilionekana kwenye uongozi wa Samuel Sitta
Tuna watu waaminifu Tanzania, watu Kama huyu Mzee. Watu Kama huyu mzee kupewa nafasi ya uongozi ni vigumu sana. Tunapata viongozi wapiga vifuwa Kama wakina Nape wanaojifanya wawo ni watanzania zaidi ya watanzania wengine. Tanzania tuna viongozi wa ajabu sana
Halafu wameokoka
Halima Mdee alionyesha ushujaa hapo chadema hawapigi makofi unafki utawamaliza wana siasa
Makofi ni hisia , unaweza kupiga makofi bila hisia we Akili zinakutosha Kweli.
@@jonathanntare4787 Kama unaongozwa na hisia za kutopongeza panapostahili pongezi hisia zako ni za chuki na unafki
@@warakawayohana2896KWELI SI NDIO HAWA WALIKUWA WANATAKA WAFUKUZWE?? WAKIWAITA COVID 19 KENGE KWELI HAWA.
@@jonathanntare4787KUPIGA MAKOFI KWANI NYEGE MPAKA UPATE HISIYA??
@@salimmalaka256 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Siasa za ucheleweshaji maendeleo...wakiongea kiupole sio ndio waugwana .
Kwenye Mkutano huu Ulifunga siku ngapi?
Mbona milady ayo alushi mikutano ya chadema
Ni chawa wa ccm
Kwa sababu hajui upumbavu akafanyie wapi
Arushe bure?
Alushi ndio nini natamani kujua
Jamaa kabakia kuriport matukio ya kitaa tu bandari haimhusu😅😅😅😅
Wenyeakili tushajua tatizo ni mfumo kiristo uliopo hapa nchini na huyu Mzee nikatika haohao,chokonoeni tu tushafika mnakotaka,tazameni klip ya shekhe Lusaganya mtapata jibu (mwisho wa siku kama Congo tu)
Hawa wanajifanya mungu wangu waachetuu .. Hao wadubai labda wawekeze katkat ya bahari ya kimataifa au zanzibar
Huyu anaitwa Samson Luhigo,alikuwa Mkurugenzi Mkuu Mamlaka ya Bandari Tanzania.
Mdee sawa kwa jambo la Bandari. lakini sio tena mtu anayeaminika tena
Hata kuongea hajui mwizi wa bandarini mnawekewa mitambo ya kuwadhibiti
madalali ya warabu yaliyohongwa yanahangaika kuyatetea mabasha yao.
Unahangaika kumtetea huyo mme wako samia
@@emmapaul1766NA WEWE UNA WATETEA MABASHA ZAKO WAPIGA DILI BANDARINI UTAUFYATA TU.
@@MACHOYATAI-jk6fuUTA OLEWA NA JINSIA YAKO SIKU SIO NYINGI UTAUFYATA TU.
Nikiwa kama mwanasheria na sheria ni logic+precision (by SCJ scalia)RIP,heshima yangu kwa daktari tulia inameguka. Kwa nchi tawalia zilipata kibali cha kuelimisha watawaliwa kiazizi kutoka kwa rais Roosevelt akiwabana wadaiwa wake wa vita kuu ya pili. Hii elimu bado ni changa kwetu, hivyo matumizi yake hupaswa kuwa ya kiujenzi, sio sababu tosha ya kutengeneza kundi jipya la watawala. (Intellectual arrogancy) kiburi azizi huakisi uhaba wa hekima na ni angamizi kwa wasio na hatia. Mungu atuepushe na hili
hatuna spika kabisa
Kweli kabisa Halima mdeeeee hoyeeeee shujaaa
Halina Mdee hongera sana, kwani ulichokisema wewe na yule kutoka Sumbawanga pale BUNGENI kuhusu BANDARI kinastahili pongezi kama alivyosema Luhigo. Lakini pamoja na yote yale wewe kuyasema Yale ilikuwa inasema kama raia wa kawaida tu, na so kama MBUNGE, kwa kuwa hakuna chama kilicho kupeleka Mbungeni kwa Mujibu wa KATIBA.
Unakunywa mchuzi nyama haramu sio akisimama upande wako safi lkn sio mbunge ila unaweza msapoti 😂😂😂
Nyie mlipga sana !!! Ww unyamaze kimya asa nyie ndo mlotia ufukara
@@Ibnimohd-tr6qcATA SIJUWI YAMEFIKA DAR NA KUPEWA VYEO BANDARINI MIJITU YA MADONGO POROMOKA AKINA AROO AROO NA ISEE 😂😂😂😂😂
Vya kale dhahabu bg mzee
Wezi wakubwa wa bandarini hao. Hawataki kuwekewe system kali za kupunguza wizi. Naye ajitia mzalendo! MAE!
wewe ni mpumbavu kuzuia wizi ndio umpe mgeni bandari za Tanzania,tena Kwa miaka 100?? tena bandari zote za Tanzania??,mama kazungukwa na mafisadi (Mzee wa msoga) huyu ndio tatizo, huyu Mzee ndio anaivuruga nchi,huyu Mzee ndio amekuwa Tanzania Kwa nchi yetu miaka na miaka Sasa!!!!
kama Kuna wizi! serikali iliyopewa dhamana imeshindwa kuondoa ubadhilifu point dhaifu!
Akili za pombe
Umechukia nini wewe
@@emariusrush3285utapata taabu sana
Akili kubwa
Tulia, jisikie aibu, kwani wenye macho waliona na masikio, tulisikia. Uliuleta unyakyusa ukidhania wajanga hawaoni?!?!? Aibu sana. Thamani yako imeshuka sana. Ccm 1995,ikimwogopa Mrema, ilichkua mapesa toka ktk viwanda na mashirika ya Umma (Cheyo ni shahidi), bima ikafa, NBC, Mwatex, mutex, urafiki, etc etc. Vikafa vyoote. Pesa ilikwenda kutoa rushwa ili ccm ipite. Walikuwepo waliopokea rushwa kubwa kubwa za kati na ndogo kabisa kama sh.1000, vitenge na pesa. Mwinyi aliruhusu hilo. Mpaka leo tumegeuka maskini. Tukabinafisisha kwa kugawa. Leo tena mnaturudisha kule kule kwa Mwinyi
Baba safi sana
Huyu Millard ayo nae kalamba pesa yake asilushe matangazo
Hata mim ninashangaa huku Ayo haonekani ila kwenye matukio ya kitaa yuko Makin mno😅😅😅
Nasubiria mkataba maana simwamini mtu mie . Kwani huyo mzee ndo katoka mbinguni au naye alichaguliwa vipi ndo aje kuongea .
Ninao mkataba. Ukiuhitaji nifahamishe
HUYO MZEE NDIO WALE WEZI WAPIGA DILI BANDARINI NA UTAKUTA KAMRITHISHA KIJANA WAKE YUPO BADO ANAENDELEA KUIBA.
Hizo pesa ungempatia aida kenani
Dakika Saba Sijaona Alichosema Apo
Ushazoea maneno, haujazoea mithali, nahau na misemo
Hayupp hata mmoja aliyeona alichoogea ila wenye akili TIMAMU WOTE tumemsikia alicho ongea na KUMWELEWA VEMA NA nakuzikubali hoja ZAKE!!! Huyu Mzee tunamwombea Kwa Mungu ampe MAISHA marefu Kwa MASLAHI mapana ya TAIFA LETU. Mwisho nampongeza Sana Dr. Slaa Kwa kumtafuta huyu Mzee.
SIO KUPUNGUZA UWIZI KUONDOWA KABISAAA SINDANO HUTOKI NAYO DADEKI ZAO.
Ndyo mlikuwa majizi yenyewe ninyi!! Et ccm walikuomba ugombee ubunge Jamani!
We mke wake Unajuaje kuhusu aliyosema huyu Mzee.
Wewe unamdharau utakuwa huna akili. Huyu ni miongoni mwa wazee wa busara wazalendo waliostaafu na Uzalendo wao bila kujichafua.
@@jonathanntare4787WA HIYO NYIE MNAOYAJUWA ALIYOYASEMA HUYO MZEE NI WAKE ZAKE???
MAJIZI YA BANDARINI LAZIMA YAJISIFU ATI SIJUWI KAMWAMBIA NINI MKAPA 😂😂😂😂😂😂😂
Zinduka
vichaa ni wengi
Nyinyi ubinafsi wenu utafikia kikomo muda si mrefu tutagawana mbao
Sisi tunaona nyinyi ndio munacherewesha kama nyinyi munafikiria leo basi muna akili mgando na munakuwa wavivu kufikiri
Babu mbona unaleta mistari ya bongo fleva.
Wewe mwenyewe mwizi
TENA MTOMBAJI NA MHONGAJI HUONI KATOWA KILO APELEKEWE MTOTO 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mimi nashindwa kuelewa
Kama mtu anayo maoni
Kwanini anasoma na kigugumizi
Kama kwamba ameandikiwa?
Tiririka yaliyomo moyoni kwako
Yanayokukera
Lazima aandike, si kila mtu anaweza kutiririka na akamaliza salama bila kuwabutua wenye mamlaka ya kusweka lumande!
MWIZI TU HUYO MBUDA HAWO NDIO WALE WAPIGA DILI BANDARINI.
Engineer huyo anaongea kwa logic sio siasa.
@@francismulokozi3483 HUYO NI KAMA MKULIMA WA JEMBE HANA FAIDA TUNATAKA MAENDELEO NA SIO HADITHI ZA BULICHEKA HAZINA FAIDA.
Hovooo
Kuandika tu hujui , unabaki kuandika meseji nyingi nyingi
@@fahadfaraj6474ANAJUWA KAKUSUDIA HOVYOO IMEPUNGUWA Y
Gude
BINAADAMU ANAPOKARIBIA SAKARAAAT LMAUTI ANAKUWA MUNGU ANAMPUNGUZIA UWEZO WA KUFIKIRI NA ANAMPA UBABAIFU MKUBWA SANA WA MAWAZO, MIMI SIIJUI SIKU YANGU KIFO NA HUWENDA NIKATANGULIA MWANZO ILA HUYU MZEE NI MFU TAYARI NA UBONGO WAKE UNA FANGAS KICHWANI.
Kiboko ni bonge la speech
NMEPENDA SANA MLIVYOTUMIA UHURU WENU LAKN MABANGO YA VYAMA VYENU NDO IMENIKERA WASHENZI NYIE
Chadema imeshiwa materials
Ww choko
@@hafidhisaidi6550CHOOKO WEWE NA WAPUUZI WAKO HAO WASIO KUWA NA KAZI ZA KUFANYA.
Ayo tv ni ccm anatumika ndomaana siyo mzalendo nitafuta hiyo chaner
FUTA UNAMWAMBIA NANI HAPA
Hivi hatuna wasomi Tanzania? Kama wapi ilikuwaje wabunge wote wasione hata mmoja kasoro wa mkataba? Inaonyesha si wazarendo kabisa
Wazarendo. Chadema sio Wazarendo haiwezekani Serikali na kila kitu ulicho kileta iwe hawana akili
Wamepewa rushwa
Rushwa hupofusha macho yasione
@@jestinasamile5478NANI KAPEWA RUSHWA CHADEMA AU
TATIZO TANZANIA KILA MTU ANAINGILIA KAZI ISIO MHUSU NA WAKATI YEYE MWENYEWE HAWEZI CHOCHOTE.
We mzee ni mmoja wa wezi wa bandari Huna jipya Acha ktudanganya kwa manufaa ya wachache
KISHA MALAYA MTOWA HONGO KATOWA KILO APELEKEWE MTOTO 😂😂😂😂😂
Hovyooo
Umeona hawa mbwa waneiba asaivi wanaona mibomba yawizi inaenda kufungwa wanaongea mbwa hawa
@@chingaboy1149WIZI HUYO SERIKALI IFATILIE MALI ZAKE WAJUWE NA VITU VYOTE ANAVYO MILIKI WATAKUTA MABILIONI YA PESA.
SAFI SANAAA MZEE WETU
Katafute Kanisa ukawadanganye watu ule sadaka na hao Chadema wako
An bore kqeli ji bonge la borwr
Mnamsifia mtu anayeuza nchi yenu wakati hajazaliwa Tanganyika? Eti, ameruhusu uhuru wa kuongea? leo hii mmepewa ruhusa ya kuongea ili muongelee kuuzwa kwa bandari anayoiuza huyo huyo Samia ? Samia hawezi sema alikuwa hajui kuhusu mauzo haramu ya bandari za Tanganyika, wakati yeye ni raisi na anatakiwa kujua yale wayafanyayo aliowaajiri! Alichokuwa akipambana nacho Magufuli ni huko kuuzwa kwa nchi yetu kunakofanywa na wazanzibari! Waende kwao. Muungano uvunjwe tu hatuna manufaa na wazanzibari zaidi ya kuuza Tanganyika kila siku, tangu enzi za Mwinyi!
MBONA MAGU KAWAPA MIGODI WAINGEREZA HAMKUSEMA LAO NDIO UNAJUWA HARAMU NA HALALI UTAUFYATA TU.
Wasaka tonge wote nyie
tena wewe tanzaniatu igekuwa nchi zingine wameshakura kichwa chako umechangia kufirisi bandari mbona ukuongea kipindi icho urichokua unaiba mvii kama matako yako nyau wewe
Huyu mzee uchambuzi wa pira hilo nimemsoma. Nimezidi kuamini watu wanataka mafanikio ya jumla ila mwenye kipenga ana deal na mafanikio ya binafsi.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hivyooooooo
Nenda kapumzike wewe
Mnapata tabu sana
Wewe unapata raha sana? Mkoswa akili
Ww c choko
Huyu mzee ni miongoni mwa watu walionufaika na ufisadi wa bandarini wkt akifanya kazi.
100% TENA MUHONGAJI NA MTOMBAJI HUONI KATOWA KILO APELEKEWE MTOTO 😂😂😂😂😂
Borer
Mjinga we wewe umeandikiwa sio mawazi yako
Yani huyu baba nimtu sahihi na anajua anlalo liongea na anahofu ya mungu sana sikiliza
Kumbe weye punda. Sina muda wa kumsikiliza punda.
TENA PUNDA MZEE MBOO NDEFU KUMA KWA JIRANI MPENDA NDOGO NDOGO HUONI KATOWA LAKI APELEKEWE TOTO 😂😂😂😂😂
Ccm wahuni hatuwaamini kwa sasa
Pumba tupu, ondoka zako
Wahuni nyie na wewe babu mhuni tu
MHUNI MWIZI MALAYA MTOWA HONGO.
Tuambie account yako ina kiasi gani na tutajie Mali ulizovuna bandarini kipindi hicho ulipokuwa na nywele nyeupe mpuuzi wewe
ALIPO KUWA NA NYWELE NYEUSI UTAMKUTA ANA NYUMBA 70 DAR NA MAMILIONI YA PESA NA KUNA MTU WAKE BADO YUPO KAMRITHISHA NDIO MAJIZI YENYEWE HAYO.
Mijizi inajitokeza
HALAFU HAJAFA KWA KULA VIZURI UTAMKUTA ANA NYUBA 70 DAR KAPANGISHA 😂😂😂😂
Hawa wanajifanya mungu wangu waachetuu .. Hao wadubai labda wawekeze katkat ya bahari ya kimataifa au zanzibar
😂😂😂 wazanzibar washakataa ajabu kama una faida wao Nini hawautaki