MBUNGE KISHIMBA AWAVUNJA MBAVU WABUNGE - "AKILI SIO BANDO LA SIMU, KWANI HAMUWEZI KUSHUSHA BEI"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 апр 2022
  • MBUNGE KISHIMBA AWAVUNJA MBAVU WABUNGE - "AKILI SIO BANDO LA SIMU, KWANI HAMUWEZI KUSHUSHA BEI"
    SPIKA Mpya wa Bunge, Dkt Tulia Ackson, leo Aprili 08, ameongoza kikao ikiwa ni mkutano wa kwanza tangu Bunge lirejeshwe 'LIVE'...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Комментарии • 208

  • @edgaredmund3692
    @edgaredmund3692 2 года назад +87

    Kweli mzee!! Anaemkubali mzee huyu kama mmi like hapa

  • @jumaamiri9372
    @jumaamiri9372 2 года назад +16

    huyu mzee ni genious nimekuwa nikimfatilia sana ana hoja zenyetija sana

  • @mengiiblahim4215
    @mengiiblahim4215 2 года назад +24

    Kishimba point hiyo mungu akupe maishamarefu wewe nikichwa

  • @yohanabundala9162
    @yohanabundala9162 2 года назад +7

    KISHIMBA ni mbuge wa wanyonge kweli kweli, big up Mbunge wa Kahama shinyanga.

  • @ramadhanshiganza4926
    @ramadhanshiganza4926 2 года назад +19

    VERY NICE Mh MBUNGE. KISHIMBA upo vizuri Unajua Hali ya WANANCHI Kijijini.

  • @prophetsayitv1541
    @prophetsayitv1541 2 года назад +11

    Huyu ndo Professor wa ukweli,
    Genius.

    • @malopemaliyamungu5243
      @malopemaliyamungu5243 2 года назад +1

      Intelligence gani hiyo? Ana-mock wapiga kura tu na kuwachekesha wakati huo amelenga mbali. Bati gauge 40 Ni foil hiyo? upepo ukivuma linachanika afadhali nyasi. Utapiga misumari gani?
      Yeye anawachekesha lkn wakiruhusu hiyo bati kesho anauza hizo bati.
      Kishimba na.. ni wazee wa vitu feki.. Alishauza sigara feki za kutengeneza ndani, Mafuta ya kasuku feki.. akikuambia Jambo tafakari sana.
      Watu walipambana Kahama iwe Manispaa kuelekea mkoa.. Eti Sasa hv anapotosha wananchi hawataki Manispaa na anasema watu waruhusiwe kufuga ng'ombe kwa makundi mjini sabb panya zimezidi eti watu hawachungii kwenye ploti zilizoko wazi. Akili yake Ni kurahisisha leo haoni madhara ya kesho. Mwanamke mtu mzima awe anapiga magoti kwa mtoto kwa kuwa ni wa kiume ndio mila hiyo. Very sad

  • @salumntanyi4293
    @salumntanyi4293 2 года назад +13

    Namkubali uyu mzee Atari ana madini ya kiwango

  • @emmanuelmuhando1052
    @emmanuelmuhando1052 2 года назад +14

    Mbunge mwenye Akili Zaidi unaongea mpaka unaeleweka

  • @muttae2
    @muttae2 2 года назад +4

    Mbali na point zake za msingi, anaonekana ana busara Sana. Big up Prof. Kishimba

  • @adamumbise9755
    @adamumbise9755 2 года назад +11

    Huyu mbunge daaa 🙌🙌 Mh Rais mama yetu mpendwa mpe wizara mzee hatakuangusha

    • @nelsonmgaya8391
      @nelsonmgaya8391 2 года назад +2

      Akipewa uwaziri atanyamazishwa, nashauri abaki hivohivo ili tuendelee kupata madini zaidi!

    • @stevenikwisa5238
      @stevenikwisa5238 2 года назад

      Kweli, uwaziri ni kuzibwa mdomo kama Bashe

    • @officialbntrasool5223
      @officialbntrasool5223 2 года назад

      @@nelsonmgaya8391 sahihi

  • @simonmollel765
    @simonmollel765 2 года назад +6

    Mzee Ana akili nyingi mpka nimeogopa,,,hongera Sana mzee wetu na hazina ya taifa letu Mwenyezi Mungu akujaalie maisha marefu na akuepushe na kila Aina ubaya,,,umenifurahisha mno

    • @asteriambwei3349
      @asteriambwei3349 2 года назад

      Nampenda Sana huyu mbungenkishimba mara zote anaongeaga point tuu

  • @boscomyinga5280
    @boscomyinga5280 2 года назад +22

    Real sign of intelligence is revealed to this man

    • @nurdinngwegwe2943
      @nurdinngwegwe2943 2 года назад

      Yeah! Blessed. Full skills. Thanks

    • @malopemaliyamungu5243
      @malopemaliyamungu5243 2 года назад

      Intelligence gani hiyo? Ana-mock wapiga kura tu na kuwachekesha wakati huo amelenga mbali. Bati gauge 40 Ni foil hiyo? upepo ukivuma linachanika afadhali nyasi. Utapiga misumari gani?
      Yeye anawachekesha lkn wakiruhusu hiyo bati kesho anauza hizo bati.
      Kishimba na.. ni wazee wa vitu feki.. Alishauza sigara feki za kutengeneza ndani, Mafuta ya kasuku feki.. akikuambia Jambo tafakari sana.
      Watu walipambana Kahama iwe Manispaa kuelekea mkoa.. Eti Sasa hv anapotosha wananchi hawataki Manispaa na anasema watu waruhusiwe kufuga ng'ombe kwa makundi mjini sabb panya zimezidi eti watu hawachungii kwenye ploti zilizoko wazi. Akili yake Ni kurahisisha leo haoni madhara ya kesho. Mwanamke mtu mzima awe anapiga magoti kwa mtoto kwa kuwa ni wa kiume ndio mila hiyo. Very sad

  • @pascalmstaarabu4372
    @pascalmstaarabu4372 2 года назад +7

    Ila wasukuma wanaakili sana na uzalendo wa hali ya juu sana basi tu

  • @vicentrogers9465
    @vicentrogers9465 2 года назад +2

    Nakubaree elimu ni kuwa na uwezo wa kupambana mambo congrats 👏👏👏👏👏👏 kishimba

  • @welcometoeat165
    @welcometoeat165 2 года назад +11

    Huyu baba anafaa nafasi yenye ubora hebu samia amtazame kwa jicho la million

  • @prophetsayitv1541
    @prophetsayitv1541 2 года назад +4

    Kongore, kongore Dr. Professor kishimba, Siku nyingine wakupe Muda mrefu ulihutubie bunge,
    Kuna wabunge humo wapigaji tu.

  • @ezembwilo5948
    @ezembwilo5948 2 года назад +7

    Mungu akupe maisha malefu kishimba

  • @prophetsayitv1541
    @prophetsayitv1541 2 года назад +15

    Daaaaaa,,,!!!
    Wasukuma wengi wana akili za kuzaliwa.
    Hata wasiposoma.

    • @malopemaliyamungu5243
      @malopemaliyamungu5243 2 года назад

      Tuja hizo, Kashi ule mtumbfu

    • @gracethomas683
      @gracethomas683 2 года назад +1

      Nafikiri heshima yao hata akili inafikiria kwa afya....Yan njia mbadala wanazo kwa haraka sana

    • @chomasongidion6047
      @chomasongidion6047 2 года назад +1

      Wanaakili wanakula wanashiba na akili inashiba.wasukuma wanazaa sana kuliko kabila lolote

  • @jessicamagoke6800
    @jessicamagoke6800 2 года назад +2

    MUNGU ANATUONYESHA WATU WA BUSARA LAKINI SHETANI ANATUPA UPIFU WA KUTOKUKUBALI KUSHIMBA BARIKIWA SANA BUSARA ZAKO TUNAZIHITAJI👍🏿👍🏿👍🏿🙏🙏🙏

  • @fabianmayunga1166
    @fabianmayunga1166 2 года назад +3

    WATU WENYE AKILI KAMA HII NI WACHACHE SANA.👏👏👏

  • @rockyvlogs2214
    @rockyvlogs2214 2 года назад +4

    Mzee Kishimba ni hatari sana 🙌🙌😂

  • @lupironewstv4645
    @lupironewstv4645 2 года назад +2

    NAKUBALI. GENIUS 👍🏻🔥

  • @bonifansimatias6951
    @bonifansimatias6951 2 года назад +14

    Wasukuma huwa tunahakili sana

    • @African511
      @African511 2 года назад +1

      Sema kanda ya siwa huwa wanaakili

    • @eliaslazaro2809
      @eliaslazaro2809 2 года назад +1

      Wasukuma wanaakili kwasababu wanakula ugali na sato+sangara halafu wanashushia maziwa.halafu full kuchapa kazi.

  • @matwerangulichedr3985
    @matwerangulichedr3985 2 года назад +5

    This man is the great thinker

    • @malopemaliyamungu5243
      @malopemaliyamungu5243 2 года назад

      Mnapenda English sana..
      You should've write..
      "..This man is Great thinker." or
      "..This man is the Greater/Greatest thinker."
      though you've tried.

  • @eatlawe
    @eatlawe 2 года назад +1

    Born genius and philosophical. Wenye porojo nyingi wamepewa daktari wa heshima ila huyo hapati hata kutambuliwa!

  • @georgeoballah1764
    @georgeoballah1764 2 года назад +12

    Very logical!👏

  • @jonasmwenda8812
    @jonasmwenda8812 2 года назад +20

    This man is very brilliant and intelligent in his speech!

  • @suleimanamour3295
    @suleimanamour3295 2 года назад +5

    mama samia hyu jamaa mpe uwazir kwa kweli atasaidia nchi

  • @rajabhussein7794
    @rajabhussein7794 2 года назад +5

    Hahahaha kishimba mzee wangu uko vizuri

  • @jumajumanne4997
    @jumajumanne4997 2 года назад +4

    Uko vzuri mzee wangu good

  • @kennyrogers4734
    @kennyrogers4734 2 года назад +1

    Uko sawa kbs Mh Mbunge Kishimba umeishia darasa la 7 lkn kama Prof.vile kweli kusoma sana sio maalifa

  • @mcpaulmkopa4798
    @mcpaulmkopa4798 2 года назад +1

    Ingekuwa mawazo ya huyu mh kishimba yanafanyiwa Kazi nchi yetu ingekuwa mbali sana ni miaka Mingi nafuatilia hotuba zake yuko Vizuri sana kila eneo anagusa...

    • @ahz6907
      @ahz6907 2 года назад

      tatizo ni mfumo ya ulaji.mtu kama huyo wa kutengeneza hawezi kuingizwa kwenye maamuzi makubwa kwasababu kuna baadhi ya watu watakosa ulaji

  • @allyngelenge9475
    @allyngelenge9475 2 года назад

    Asante chishimba, kwa ukwali mtu unaowaelekeza humo bungeni, wengine muuu,kazi ipo

  • @jameskaizilege1692
    @jameskaizilege1692 2 года назад

    Nakushukuru mbunge kishimba kwa maharifa mapana zaidi mungu akubariki sana

  • @mtagaiwakarungula3547
    @mtagaiwakarungula3547 2 года назад

    Mungu akubariki
    Gombea urahinsi mzee
    Tutakupa kura mzee

  • @mtotowamkulima5466
    @mtotowamkulima5466 2 года назад

    Ukipata hata dk 15 tu za kukaa na Kishimba unapata madini mengi sana. Very intelligent and humble. No wonder he is a successful businessman

  • @mwigakatumpula6852
    @mwigakatumpula6852 2 года назад +1

    Akili kubwa sana hii 👏👏👏✅

  • @miriamsaidi1047
    @miriamsaidi1047 2 года назад

    Mzee wangu nakukubali sana,,,,unamaarifa mengi sana ,

  • @bahizimichael1219
    @bahizimichael1219 2 года назад +4

    Natamani ungekuwa walau hata waziri

  • @mkambamaulid447
    @mkambamaulid447 2 года назад

    Mjomba uko vzr Sana 🙏🏼 safi Sanaa Mr Jumanne

  • @African511
    @African511 2 года назад

    Mimi napenda kukuita Prof kishimba

  • @deusmgema8612
    @deusmgema8612 Год назад

    I salute mr kishimba

  • @amosipaulo2490
    @amosipaulo2490 2 года назад

    Ahsante Mh:Jumanne Kishimba kwa hoja zako nzuri,niseme tu kwamba kwa habari ya mabati waruhusu wananch kuezekea bati zilizo ndani ya uwezo wao ila isiwe zaidi ya gage 32 pia waruhusu nyasi wasizuie,jambo lingine ni kuhusu mitihani kusimamiwa na Police kiukweli hakuna wanachozuia pale kama ni mitihani inabwa kama kawaida,Police wanatia hofu tu kwa wanafunzi,me nadhani serikali ijitafakali vizuri kuhusu mitihani wanafunzi wanafundishwa kuiba mitihani toka darasa la nne mpaka form six na vyuoni pia mbinu za ulaghai zinaendelea kutumika,mwisho wa siku tuna kuwa na viongozi wezi wasiokuwa na hofu ya Mungu,Nitoe ushauri kwa serikali wekeni adhabu kali juu ya shule zote walimu au wakurugenzi wa shule ambazo zinabainika kwa kuiba mitihani,serikali ina mkono mrefu tumieni wazalendo kuilinda elimu yetu isichakachuliwe,ikiwezekana pandikizeni wanafunzi mashushu kwenye shule watakao wasaidia taarifa zaidi,japo najua jambo hili ni gumu kutokana na watu wengi kuwa na tamaa ya kifedha wanaweza kuhongwa pia mambo yakaharibika,angalieni namna ya kufanya kunusuru mambo ya hovyohovyo kwenye mitihani,ahsante.

  • @nkondokubini7618
    @nkondokubini7618 2 года назад

    Kishimba hongera sana umesema nakutoa Hoja ya msingi sana.

  • @lucasferuzmilenge5580
    @lucasferuzmilenge5580 2 года назад

    Nakupongeza sana mh. Kishimba

  • @sibosamary5572
    @sibosamary5572 2 года назад

    Umejitaidi sana mubunge wetu

  • @miriamsaidi1047
    @miriamsaidi1047 2 года назад

    Yupo vizuri sana,,,safi sana

  • @pemdumi
    @pemdumi 2 года назад +3

    Huyu jamaa ni genius no wonder jamaa ni successful entrepreneur.This is a disruptive thinking akili ya kawaida haiwezi kuelewa!

    • @allymuhammad325
      @allymuhammad325 2 года назад

      Na kaishia darasa lasaba nasikia

    • @Majambo_Duniani_Tv
      @Majambo_Duniani_Tv 2 года назад

      @@allymuhammad325 hajafika la saba, huyu ni darasa la nne ndugu fatilia

  • @enjoythegoodmusic7439
    @enjoythegoodmusic7439 2 года назад

    Ni sahii mheshimiwa🙏

  • @emmanuelwilson8766
    @emmanuelwilson8766 2 года назад +2

    We ndo unafaaa kuwa kiongoz wa nchi

  • @edwardmagige874
    @edwardmagige874 2 года назад +1

    Ndo mara yangu ya kwanza kuskia spich yako nimekuelewa sana mh. Pia siku moja wakumbushe huu upendeleo wa mikopo ya masomo ya juu kuwa alie soma shule binafsi hawapewi mikopo

  • @janekapinga6793
    @janekapinga6793 2 года назад

    Baba uko vizuri mno yaaani

  • @hilarywilliam9370
    @hilarywilliam9370 2 года назад

    Hongera sana wewe ndo mbunge WA wanyonge

  • @sekelasambo229
    @sekelasambo229 2 года назад

    safi sana mzee kishimba

  • @rockyvlogs2214
    @rockyvlogs2214 2 года назад

    Yahan Hata Wabunge wanaenjoy Kishimba akisimama

  • @alextzatv
    @alextzatv 2 года назад

    Ahasante baba

  • @sabunisop1050
    @sabunisop1050 2 года назад

    Uyu mzee Yuko na uhalisia sana kuliko wengine

  • @fadhilmtunha4070
    @fadhilmtunha4070 2 года назад

    Mzeee anaakili sana

  • @hilarymugerambavu5782
    @hilarymugerambavu5782 2 года назад +3

    Huyu mzee ana faa kupewa wizara ana akiri mbadala

  • @boazambokile2587
    @boazambokile2587 2 года назад

    Huyu mzee ni mzee yuko full sana kichwani

  • @anangisyemapunda7686
    @anangisyemapunda7686 2 года назад

    Safiiii mzeee

  • @albabird240
    @albabird240 2 года назад

    Asante 👏👏👏

  • @AliAdam-ve4ms
    @AliAdam-ve4ms 2 месяца назад

    Kishimba noma

  • @rodrickjohn8007
    @rodrickjohn8007 2 года назад

    Huyu mubunge nikiboko ametumwa kweli nawanaichi wake wongera Baba waambie

  • @daudpaulo2867
    @daudpaulo2867 2 года назад +1

    Anakua ajawa.ona bunduki toka LA kwanza anakuja kuwaletea LA 4 na 7. Sio sawa

  • @personalitiesan9806
    @personalitiesan9806 2 года назад

    Nomaaaaa

  • @joshuabartonpolelaab4985
    @joshuabartonpolelaab4985 2 года назад

    Huyu jamaa anatisha 💪🏿💪🏿💪🏿🤣🤣🤣

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 2 года назад

    Kishimba kila usemalo au unaloongea uko vizuri

  • @nikolaskabogo7796
    @nikolaskabogo7796 2 года назад

    Safi sana

  • @brittoyes7747
    @brittoyes7747 2 года назад

    Mzee hakika unamaono

  • @abdillahmkaikuta3033
    @abdillahmkaikuta3033 2 года назад

    Smart sana

  • @gloriamichael7935
    @gloriamichael7935 2 года назад

    Mwabhejha kishimba

  • @benymasanyiwa1052
    @benymasanyiwa1052 2 года назад

    Mh.kishimba uko sawa lakini najua hao wanakusikiliza yanapita kule lakini uko sawa umetutetea sisi wanainchi masikin lakini najua wao vitu vyote ulivyosema hawavijui wamezaliwa mjini baba

  • @verdianabanabi2205
    @verdianabanabi2205 2 года назад +1

    kweli tz nchi inaenda kusivyo

  • @sneiperstz4800
    @sneiperstz4800 2 года назад

    Hilo LA dinii noma

  • @abelsabibi8836
    @abelsabibi8836 2 года назад

    Asante

  • @vedastusjuma2870
    @vedastusjuma2870 2 года назад

    Kishimba mm nakuelewa

  • @micahmungasia9174
    @micahmungasia9174 2 года назад

    Msikize kwa makinii!

  • @newgeneration9524
    @newgeneration9524 2 года назад

    Akili kubwa sana

  • @rosemartin3914
    @rosemartin3914 2 года назад

    👌👌

  • @mwangombehassan3026
    @mwangombehassan3026 2 года назад

    Very logical speech

  • @norahmosamba9326
    @norahmosamba9326 2 года назад

    Hyu ndo Mbunge sasa

  • @chrismassawe326
    @chrismassawe326 2 года назад +3

    Mbunge makini

  • @humphreyvidonyi253
    @humphreyvidonyi253 2 года назад

    Aisee Kuna baadhi ya wabunge wazuri

  • @ooafrica3626
    @ooafrica3626 2 года назад

    Genius 😀😀

  • @elitusmajaliwa5479
    @elitusmajaliwa5479 2 года назад +1

    Kweli kishimba

  • @mbwanarajab4756
    @mbwanarajab4756 2 года назад +6

    Hebu tupate matumizi ya mbunge mmoja tu licha ya waziri alf tufananishe na maisha ya watanzania.
    Hii ndio maana dharau haziishi na kila kitu wanachofanya wabunge wanateteana na kuwarushia wataalam wao wa Serkali mizigo.
    Imagine mtu mmoja anapewa fedha ambazo mtaalam wao anaesaini asubuhi na kusaini jion wakat anatoka analipwa robo ya fedha ya siku moja ya mbunge lkn mtaalam anapewa kwa mwezi hiyo robo mbali na kujali mbunge ana gari nzuri , mfanyakazi , dereva na mafuta na bado posho.
    Kweli tunasema eti wanyonge wawategemee wabunge kusaidiwa wakt wabunge wanaishi kwa jasho la wanyonge

  • @faidhamyovela179
    @faidhamyovela179 2 года назад

    Wa kwanza wazir wa fedha hovyo

  • @gastordominic410
    @gastordominic410 2 года назад

    Huyu mbunge namuelewa sana

  • @RioIpo
    @RioIpo 2 года назад

    Mie nipo Zenji lakini uyo msela ndio mbunge wangu 🤣🤣

  • @petermangama330
    @petermangama330 2 года назад

    Una pointi sana Kishimba

  • @mnyongeiddi2454
    @mnyongeiddi2454 2 года назад +4

    Huyu mubunge namfatilia ni mtu anamaono yenye tija anautambuzi wa hali ya juu harafu anakosa kupewa nafasi ya kuwa kiongozi kwenye wizara frani

  • @jacoblaiser7634
    @jacoblaiser7634 2 года назад

    Mzee Kishimba huwa nakuelewa mno na hoja zako huwa zina mashiko. Kongole mheshimiwa Mbunge

  • @kishoamakomo8939
    @kishoamakomo8939 2 года назад

    Huwa natamani ungekuwa mbunge wa Jimboni kwangu

  • @zephaniadeus3131
    @zephaniadeus3131 Год назад

    Always great minds discuss ideas but Small minds discuss people and average mind discuss events

  • @godfreyobadiah7892
    @godfreyobadiah7892 2 года назад

    Hakika mbunge Kishimba ww ni makufuli mwingine unastahili kuwa zaidi ya mbinge

  • @fabianmayunga1166
    @fabianmayunga1166 2 года назад

    👏👏💪

  • @akimuwaziri4089
    @akimuwaziri4089 2 года назад

    Safisana chishimba oyeeeeeeee

  • @christinamafera8025
    @christinamafera8025 2 года назад

    Huyu Jamaa anaupiga mwingi sanaaa

  • @muyamndiga6683
    @muyamndiga6683 2 года назад

    Yaani huyu mbunge kishimba ndo nayapenda mawazo yake nimazuli Sana napenda kumsikliza