MBUNGE KISHIMBA AWAVUNJA MBAVU WABUNGE - "AKILI SIO BANDO LA SIMU, KWANI HAMUWEZI KUSHUSHA BEI"
HTML-код
- Опубликовано: 7 апр 2022
- MBUNGE KISHIMBA AWAVUNJA MBAVU WABUNGE - "AKILI SIO BANDO LA SIMU, KWANI HAMUWEZI KUSHUSHA BEI"
SPIKA Mpya wa Bunge, Dkt Tulia Ackson, leo Aprili 08, ameongoza kikao ikiwa ni mkutano wa kwanza tangu Bunge lirejeshwe 'LIVE'...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
Kweli mzee!! Anaemkubali mzee huyu kama mmi like hapa
huyu mzee ni genious nimekuwa nikimfatilia sana ana hoja zenyetija sana
Kishimba point hiyo mungu akupe maishamarefu wewe nikichwa
Turuu.
KISHIMBA ni mbuge wa wanyonge kweli kweli, big up Mbunge wa Kahama shinyanga.
VERY NICE Mh MBUNGE. KISHIMBA upo vizuri Unajua Hali ya WANANCHI Kijijini.
ila jimbon olaa!
Huyu ndo Professor wa ukweli,
Genius.
Intelligence gani hiyo? Ana-mock wapiga kura tu na kuwachekesha wakati huo amelenga mbali. Bati gauge 40 Ni foil hiyo? upepo ukivuma linachanika afadhali nyasi. Utapiga misumari gani?
Yeye anawachekesha lkn wakiruhusu hiyo bati kesho anauza hizo bati.
Kishimba na.. ni wazee wa vitu feki.. Alishauza sigara feki za kutengeneza ndani, Mafuta ya kasuku feki.. akikuambia Jambo tafakari sana.
Watu walipambana Kahama iwe Manispaa kuelekea mkoa.. Eti Sasa hv anapotosha wananchi hawataki Manispaa na anasema watu waruhusiwe kufuga ng'ombe kwa makundi mjini sabb panya zimezidi eti watu hawachungii kwenye ploti zilizoko wazi. Akili yake Ni kurahisisha leo haoni madhara ya kesho. Mwanamke mtu mzima awe anapiga magoti kwa mtoto kwa kuwa ni wa kiume ndio mila hiyo. Very sad
Namkubali uyu mzee Atari ana madini ya kiwango
Mbunge mwenye Akili Zaidi unaongea mpaka unaeleweka
Mbali na point zake za msingi, anaonekana ana busara Sana. Big up Prof. Kishimba
Huyu mbunge daaa 🙌🙌 Mh Rais mama yetu mpendwa mpe wizara mzee hatakuangusha
Akipewa uwaziri atanyamazishwa, nashauri abaki hivohivo ili tuendelee kupata madini zaidi!
Kweli, uwaziri ni kuzibwa mdomo kama Bashe
@@nelsonmgaya8391 sahihi
Mzee Ana akili nyingi mpka nimeogopa,,,hongera Sana mzee wetu na hazina ya taifa letu Mwenyezi Mungu akujaalie maisha marefu na akuepushe na kila Aina ubaya,,,umenifurahisha mno
Nampenda Sana huyu mbungenkishimba mara zote anaongeaga point tuu
Real sign of intelligence is revealed to this man
Yeah! Blessed. Full skills. Thanks
Intelligence gani hiyo? Ana-mock wapiga kura tu na kuwachekesha wakati huo amelenga mbali. Bati gauge 40 Ni foil hiyo? upepo ukivuma linachanika afadhali nyasi. Utapiga misumari gani?
Yeye anawachekesha lkn wakiruhusu hiyo bati kesho anauza hizo bati.
Kishimba na.. ni wazee wa vitu feki.. Alishauza sigara feki za kutengeneza ndani, Mafuta ya kasuku feki.. akikuambia Jambo tafakari sana.
Watu walipambana Kahama iwe Manispaa kuelekea mkoa.. Eti Sasa hv anapotosha wananchi hawataki Manispaa na anasema watu waruhusiwe kufuga ng'ombe kwa makundi mjini sabb panya zimezidi eti watu hawachungii kwenye ploti zilizoko wazi. Akili yake Ni kurahisisha leo haoni madhara ya kesho. Mwanamke mtu mzima awe anapiga magoti kwa mtoto kwa kuwa ni wa kiume ndio mila hiyo. Very sad
Ila wasukuma wanaakili sana na uzalendo wa hali ya juu sana basi tu
Nakubaree elimu ni kuwa na uwezo wa kupambana mambo congrats 👏👏👏👏👏👏 kishimba
Huyu baba anafaa nafasi yenye ubora hebu samia amtazame kwa jicho la million
Kongore, kongore Dr. Professor kishimba, Siku nyingine wakupe Muda mrefu ulihutubie bunge,
Kuna wabunge humo wapigaji tu.
Mungu akupe maisha malefu kishimba
Daaaaaa,,,!!!
Wasukuma wengi wana akili za kuzaliwa.
Hata wasiposoma.
Tuja hizo, Kashi ule mtumbfu
Nafikiri heshima yao hata akili inafikiria kwa afya....Yan njia mbadala wanazo kwa haraka sana
Wanaakili wanakula wanashiba na akili inashiba.wasukuma wanazaa sana kuliko kabila lolote
MUNGU ANATUONYESHA WATU WA BUSARA LAKINI SHETANI ANATUPA UPIFU WA KUTOKUKUBALI KUSHIMBA BARIKIWA SANA BUSARA ZAKO TUNAZIHITAJI👍🏿👍🏿👍🏿🙏🙏🙏
WATU WENYE AKILI KAMA HII NI WACHACHE SANA.👏👏👏
Mzee Kishimba ni hatari sana 🙌🙌😂
NAKUBALI. GENIUS 👍🏻🔥
Wasukuma huwa tunahakili sana
Sema kanda ya siwa huwa wanaakili
Wasukuma wanaakili kwasababu wanakula ugali na sato+sangara halafu wanashushia maziwa.halafu full kuchapa kazi.
This man is the great thinker
Mnapenda English sana..
You should've write..
"..This man is Great thinker." or
"..This man is the Greater/Greatest thinker."
though you've tried.
Born genius and philosophical. Wenye porojo nyingi wamepewa daktari wa heshima ila huyo hapati hata kutambuliwa!
Acha kabisa
Very logical!👏
This man is very brilliant and intelligent in his speech!
Yeeeeeah!
mama samia hyu jamaa mpe uwazir kwa kweli atasaidia nchi
Hahahaha kishimba mzee wangu uko vizuri
Uko vzuri mzee wangu good
Uko sawa kbs Mh Mbunge Kishimba umeishia darasa la 7 lkn kama Prof.vile kweli kusoma sana sio maalifa
Ingekuwa mawazo ya huyu mh kishimba yanafanyiwa Kazi nchi yetu ingekuwa mbali sana ni miaka Mingi nafuatilia hotuba zake yuko Vizuri sana kila eneo anagusa...
tatizo ni mfumo ya ulaji.mtu kama huyo wa kutengeneza hawezi kuingizwa kwenye maamuzi makubwa kwasababu kuna baadhi ya watu watakosa ulaji
Asante chishimba, kwa ukwali mtu unaowaelekeza humo bungeni, wengine muuu,kazi ipo
Nakushukuru mbunge kishimba kwa maharifa mapana zaidi mungu akubariki sana
Mungu akubariki
Gombea urahinsi mzee
Tutakupa kura mzee
Ukipata hata dk 15 tu za kukaa na Kishimba unapata madini mengi sana. Very intelligent and humble. No wonder he is a successful businessman
Akili kubwa sana hii 👏👏👏✅
Mzee wangu nakukubali sana,,,,unamaarifa mengi sana ,
Natamani ungekuwa walau hata waziri
Mjomba uko vzr Sana 🙏🏼 safi Sanaa Mr Jumanne
Mimi napenda kukuita Prof kishimba
I salute mr kishimba
Ahsante Mh:Jumanne Kishimba kwa hoja zako nzuri,niseme tu kwamba kwa habari ya mabati waruhusu wananch kuezekea bati zilizo ndani ya uwezo wao ila isiwe zaidi ya gage 32 pia waruhusu nyasi wasizuie,jambo lingine ni kuhusu mitihani kusimamiwa na Police kiukweli hakuna wanachozuia pale kama ni mitihani inabwa kama kawaida,Police wanatia hofu tu kwa wanafunzi,me nadhani serikali ijitafakali vizuri kuhusu mitihani wanafunzi wanafundishwa kuiba mitihani toka darasa la nne mpaka form six na vyuoni pia mbinu za ulaghai zinaendelea kutumika,mwisho wa siku tuna kuwa na viongozi wezi wasiokuwa na hofu ya Mungu,Nitoe ushauri kwa serikali wekeni adhabu kali juu ya shule zote walimu au wakurugenzi wa shule ambazo zinabainika kwa kuiba mitihani,serikali ina mkono mrefu tumieni wazalendo kuilinda elimu yetu isichakachuliwe,ikiwezekana pandikizeni wanafunzi mashushu kwenye shule watakao wasaidia taarifa zaidi,japo najua jambo hili ni gumu kutokana na watu wengi kuwa na tamaa ya kifedha wanaweza kuhongwa pia mambo yakaharibika,angalieni namna ya kufanya kunusuru mambo ya hovyohovyo kwenye mitihani,ahsante.
Kishimba hongera sana umesema nakutoa Hoja ya msingi sana.
Nakupongeza sana mh. Kishimba
Umejitaidi sana mubunge wetu
Yupo vizuri sana,,,safi sana
Huyu jamaa ni genius no wonder jamaa ni successful entrepreneur.This is a disruptive thinking akili ya kawaida haiwezi kuelewa!
Na kaishia darasa lasaba nasikia
@@allymuhammad325 hajafika la saba, huyu ni darasa la nne ndugu fatilia
Ni sahii mheshimiwa🙏
We ndo unafaaa kuwa kiongoz wa nchi
Ndo mara yangu ya kwanza kuskia spich yako nimekuelewa sana mh. Pia siku moja wakumbushe huu upendeleo wa mikopo ya masomo ya juu kuwa alie soma shule binafsi hawapewi mikopo
Baba uko vizuri mno yaaani
Hongera sana wewe ndo mbunge WA wanyonge
safi sana mzee kishimba
Yahan Hata Wabunge wanaenjoy Kishimba akisimama
Ahasante baba
Uyu mzee Yuko na uhalisia sana kuliko wengine
Mzeee anaakili sana
Huyu mzee ana faa kupewa wizara ana akiri mbadala
Huyu mzee ni mzee yuko full sana kichwani
Safiiii mzeee
Asante 👏👏👏
Kishimba noma
Huyu mubunge nikiboko ametumwa kweli nawanaichi wake wongera Baba waambie
Anakua ajawa.ona bunduki toka LA kwanza anakuja kuwaletea LA 4 na 7. Sio sawa
Nomaaaaa
Huyu jamaa anatisha 💪🏿💪🏿💪🏿🤣🤣🤣
Kishimba kila usemalo au unaloongea uko vizuri
Safi sana
Mzee hakika unamaono
Smart sana
Mwabhejha kishimba
Mh.kishimba uko sawa lakini najua hao wanakusikiliza yanapita kule lakini uko sawa umetutetea sisi wanainchi masikin lakini najua wao vitu vyote ulivyosema hawavijui wamezaliwa mjini baba
kweli tz nchi inaenda kusivyo
Hilo LA dinii noma
Asante
Kishimba mm nakuelewa
Msikize kwa makinii!
Akili kubwa sana
👌👌
Very logical speech
Hyu ndo Mbunge sasa
Mbunge makini
Aisee Kuna baadhi ya wabunge wazuri
Genius 😀😀
Kweli kishimba
Hebu tupate matumizi ya mbunge mmoja tu licha ya waziri alf tufananishe na maisha ya watanzania.
Hii ndio maana dharau haziishi na kila kitu wanachofanya wabunge wanateteana na kuwarushia wataalam wao wa Serkali mizigo.
Imagine mtu mmoja anapewa fedha ambazo mtaalam wao anaesaini asubuhi na kusaini jion wakat anatoka analipwa robo ya fedha ya siku moja ya mbunge lkn mtaalam anapewa kwa mwezi hiyo robo mbali na kujali mbunge ana gari nzuri , mfanyakazi , dereva na mafuta na bado posho.
Kweli tunasema eti wanyonge wawategemee wabunge kusaidiwa wakt wabunge wanaishi kwa jasho la wanyonge
Wa kwanza wazir wa fedha hovyo
Huyu mbunge namuelewa sana
Mie nipo Zenji lakini uyo msela ndio mbunge wangu 🤣🤣
Una pointi sana Kishimba
Huyu mubunge namfatilia ni mtu anamaono yenye tija anautambuzi wa hali ya juu harafu anakosa kupewa nafasi ya kuwa kiongozi kwenye wizara frani
Uyo ni tajiri sana jamaa kahama nzima anakimbiza
Miaka yijayo agombee uraisi
Mzee Kishimba huwa nakuelewa mno na hoja zako huwa zina mashiko. Kongole mheshimiwa Mbunge
Huwa natamani ungekuwa mbunge wa Jimboni kwangu
Always great minds discuss ideas but Small minds discuss people and average mind discuss events
Hakika mbunge Kishimba ww ni makufuli mwingine unastahili kuwa zaidi ya mbinge
👏👏💪
Safisana chishimba oyeeeeeeee
Huyu Jamaa anaupiga mwingi sanaaa
Yaani huyu mbunge kishimba ndo nayapenda mawazo yake nimazuli Sana napenda kumsikliza