Rose Muhando - Wanyamazishe (Official Music Video) SMS SKIZA 7634235 TO 811
HTML-код
- Опубликовано: 4 май 2021
- Sio kazi yako kuwanyamazisha wale ambao wanakuwazia mabaya yupo Mungu atakae wanyamazisha we endelea kudumu katika maombi na kumngoja Bwana.
Studio : Jawabu Studios
Video Director : Hassan Mbangwa
Management
+255717003077
Email;malkiarosemuhando@gmail.com
#RoseMuhando#Wanyamazishe#NewVideo - Видеоклипы
Kama huu wimbo bado unakubariki na kuusikiliza hadi 2024 like hapa
Yes
Ukweli
Sana
🙏🏼❤️
❤
Nipeeni likes from Kenya kama unapenda nyimbo za Rose Muhando ❤️❤️❤️❤️
Lyks
hakika nimebarikiwa sana
Like it
Lovely sana
Roz Mungu aku tie nguvu
Nipeeni likes from kenya ukipenda nyimbo za Ros muhando💖
Wanyamazishe adui zangu yesu...mwaka huu wa 2024...nifungulie milango.... Jesus my banner of victory ❤❤
Amen
❤❤
Amen in Jesus name
Na mi pia ii ni lombi langu
Amen🙏🙏
Nipee likes za mama rose muhando from Kenya ,😭😭😭😭
Tuko ndani
Tukooo
Atuwezi kosa kua ndani
Tuko ndani
Nayunayu ndani ndani kabisa
My all time ringtone give me even 20 likes za huyu mama kawanyamazisha kwelikweli 😍😍
Wanyamazishe aduwi zangu mwaka huu 2024 nifungulie milango YESU
kama umepitia mateso kama hizi na mungu amekupigania wake like hapa😭😭😭😭
Wapi likes za Rose muhando 🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤❤❤
Nipeni like from Tanzania kama mnapenda nyimbo za Rose muhando💕💕💕
Rose muhando anazihirisha ni jinsi gani Mungu ame mbariki kipaji cha kuimba Mungu simama na Rose mpaka mwisho wa safari yake yake ya ya mziki nasi watanzania wote tunasimama nae daima💔💔💔
Nipe likes za 2024 wanyamazishe maandui jeovah nawafunge midomo
Please I dedicate this to all the enemies who have been against my mom and my family 😢😢😢saint Michael I send u there
The only gospel artist I know is true and real
Likes za wakenya oyeee☺️🇰🇪🇰🇪
Oyeeeeee
@@malikialindapeter3882 very true
Wanyamazishe bwana!
Oyeee
🇰🇪
God is wiping our tears slowly.....
Kama unamshukuru mungu Nipe Hata like mbili Jamani🙏🙏🙏
Amen 🙏
Amen Lavie nikoroche
Ameen
Amen
Uko wapi
Dada rose mhando my mungu yupo nawewe nasisi pia yupo nawewe from Rwanda kigari tunawapata vizuri sana wewe nafamiria 🇷🇼🇷🇼🇷🇼
I dedicate this song to my ex husband and his mistress. God will wipe my tears💔. Mungu atawanyamazisha both of you
God will be with you
God be with you in all your endeavours
Hugs mummy it shall be well❤
How are you so far😢
You will be fine in Jesus' name! Wishing you peace, healing, and strength.
Woyoooooooooo 🔥🔥🔥🔥 Namtuma Gabriel malangoni qwahooo ,Wala wasiwe salama watoto waoooo, mad love ❤️❤️❤️❤️ mama 🌹 Rose,, ngonga like Kama umeifeel#TRM forever
Kama pia unasema wanyamazishwe like.. good message soo powerful
Wale watakuwa 2090 wanipee like
Hili ni ombi langu kutoka kitabu cha Zaburi 109. Ee Yesu Nipiganie.
Wenye Tunakata Vitunguu Comment hapa...😭😭😭,Wiping my Tears from Germany 🇩🇪..Rose is my Best Gospel Artist in East Africa
Germany tuko
Saudia nishamaliza tissue dear 😭😭😭😭😭😭but there is Living God
She really is
💃💃💃💃
Uuuuuuuuiiiiiiiiii nyingine kali ya mwaka, jamani tulisubiri Sana sasa Muda ndo umefika, hongera Sana Mtumishi wa Mungu, aisee gonga like tukisonga kama unamkubali, Rose Muhando, wakenya tuko wapi, # wanyamazishe.
Ok
Raji Rajab kweli
Tuko huku kwa reply section 😅
Mungu azidi kukulinda na kutumia zaidi Bwana wanyamizishe
Pamoja🙏
Kama bado hii nyimbo iko trendi nipe like tafadhari,, much love sister Rose
Pll
Lkjkko
Llkjgvvgj
kama huu wimbo bado kwako unakubless ,ngoga like ❤❤❤
Waooo❤
❤@@ashuraenos6080
❤❤❤❤
❤❤❤
Who's watching from Kenya 🇰🇪 ❤️
🙌🙏
here iam mercy
Niko hapa from rongai karen
Me
Me here
Waachie mungu🙏wangapi wanaamini kuwa Mungu husimama upande wa rose jamani likes ziwakilishe🙏
I really love this song.
Kama Mungu amenyamanzisha maadui wako ✔️🔙
Me I'm in Rwanda Kigali 🇷🇼🇷🇼🇷🇼
Wenye natumia huu wimbo wanajijua mashetani nyinyi. 2024
Nataka nione likes Kaa Kama Umeguswa na wimbo was taifaaa💯💯💯♥️♥️♥️♥️🙌🙌🙌🙌🙌🙌 She's 🔥
Wow blessed song i lky it i remember what i was going through with my marriage walisema nitafukuzwa
I like the song
This makes me cry 😭
Congrats auntie Rose u have always been my favorite since i was a young girl ,can we get 4 likes for her
Thanks for the likes be blessed everyone 😊❤️
Me too
😭😭😭😭😭
Congrats Rose nice song I like your songs ever
Same tooo
Uko sawa
Mungu akubaliki mutumichi wamungu🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Tunawapenda Sana Burundi awabariki Sana karibuni Tanzania
MUNGU awabariki Sana Burundi amani yenu idumu milele ameen love you Burundians
Kiukweli Mimi huu wimbo unanibariki Sana. Mungu akubariki katika utume wako Dada Amina 🙏🙏🙏
Mkenya damu.Hongera sna madam rose..wimbo unahisia Kali. unatoa machozi kw kwel..naomba like ata 2 tu ntashukuru
Mwenye anatazama mara ya kwanza piga like tukisonga 💜💜💜
Mimi hapa na tayari machozi yanaririka
Mimi hapa jaman moyo una Siri kubwa Sana nimejikuta nalia na mengi🙏🙏
@@sarahpeter3592 pole Sana dada,
Ilove u so much, fumilia kwa mungu,❤🎉
jamaniiii
Nani mwingine anawatch huu Wimbo 2024/02/21
Hjo
Ambao tunaendelea kuwatch hadi 2023 tugonge like
Naomba like 100 kwaajili ya mama...kawanyamazisha🇹🇿🇹🇿
Watafunane wao kwa wao kabisaaaa
ruclips.net/video/qxKpbQXcVDg/видео.html
I cried watching this song, Almighty God bless you Abundantly 😭😭😭😭
Aminaaa
Amen
Jamani wapendwa tuipeleke trending hii nyimbo
Kabisa
Mara iyo iyo
kabisaaaaaaa.
Wana tiktok waingilie kati waipeleke viral .....wanaweza tena sana
Lazima iendeee hii bonge la ngoma
Wanyamazishe bwana . Huu wimbo wa rose Muhando umeniguza sana mpaka umeniponya roho yangu
Mimi nilijifunza jambo
From Kenya 🇰🇪
Wimbo huu wa rose muhando umeningusa kama umekungusa acha like much love from kenya
Da wimboumenigusa sana mamangu munguakubarik.
@@agnessingano9666 Amina
Hata mimi iyo nyimbo ina ni toa machozi. Na kumbika machungu
At a mm nimefulah sana mama mungu akulinde akuogezee miaka yakuishi
.
OK wabaya wata wazika ukiwa unaon
@@mwashasaidi5358 Amen 🙏
Wow feeling so blessing ..wanyamashise Bwana kweli mama tunakupenda from 254 .Jameni.ziko wapi like za mama
Tanzania never dissapoint in both gospel and bongo music❤️❤️🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Jssjsn❤ajnana
Dkkssksk❤❤❤nsnsnsnsnsnsnnsnsnsnnssnnsns
Jitu la mbinguni hilo sikia linavoimba kwa ujasiri wa kimbingu 😂❤❤
Amen washanyamazishwa wapi like za mama rose muhando!!!!!!!!
🙏
Queen of gospel rose muhando
She is a Lioness for sure.
Much love from Kenya 🇰🇪+254💪🏿💪🏿💪🏿
Piga like tukiendelea 👍
Good gospel
Afearles queen
Peter waweru she's a strong woman I love her so much
ruclips.net/video/qxKpbQXcVDg/видео.html
Kabisaa this year Is mine 😢God you are doing it for me🎉
😂😂😂😂😂
Yeaaaa.God is able
Wanyamazishe adui zangu wote baba🙏
Unaesoma comments huku una watch najua hatujuani ila naomba mwenyezi mungu akuzidishie maishani 🙏🙏🙏❤️ dada rose ubarikiwe milele🤝
Amen
Amen
Na asamehe wakosaji wake na kuwatakia Mema. Barikiwa
@@bensonmachora8698 kabizaa
Amen
Sisi wa Kenya tunapenda nyimbo za Rose muhando 🙏🙏
Napenda sana
Sana tena zaidi
Sana
Sanaaa
Rose Muhando upo juu. Waliosema watoto wako wakula jeuri Yao hawakujua ni wao na watoto wao wanakula jeuri Yao.
Do we go as per the old tastement,Psalms 109 or the New tastement Mathew 5:44?
I propose the new tastement.
Wapi likes for those in agreement?
You’re favored, you understand the way. Penda tu 🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Nairobi Kenya, Mom Rose never disappoint.... Likes za Mama zikam
Locked Nairobi Kenya. Mama atambe
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇶🇦🇶🇦🇶🇦🇶🇦🇶🇦
That's so touching
Wooooooi! MUMMY thanks for allowing God to use u Mightily. You're my favourite n my pleasure ever. Wakenya wenzangu nipe likes zangu hata kama nimechelewa kindly
Wanyamazishe watesi wangu mwaka huu 2024 ukawe wa mafanikio kwangu kimwili na kiroho
Wimbo huu n mm niliimbiwa nikiwa hosy everything that happened ziko hapa thank God aliwanyamazisha
Mimi ni mslim lkn nyimbo imeniliza kwakweli na wakristo mna umoja sana mubarikiwe sana kwa mshikamano wenu
Ubarikiwe mama
Sifa kwa yesu
Iv ww upo wap jaman mpak apo nime kupend
Asante YESU kwa kukuponya
Amen
Nimependa hii song, nani mwingine amependezwa a like hapa tukisonga
Very sweet mwaaah I like it congratulation rose mwando
Watakoma wote walio kuombea mabaya
Naupenda sana huu wimbo from kenya 🇰🇪 😢
Teachable song
Hehehe
Wanyamazishwe kabisa I am blessed with the song love from Kenya 🇰🇪🇰🇪❤
Asante mungu kwa kila njia unayonivusha baba wewe unaweza
Kenyans tupo hapa gonga like
Wacha mungu zidi kuitwa mungu
Who else is waiting for Kenya Ulindwe official video? 😊
Eagerly waiting
Mimi
@@japhetlagat1544 I
Me too
@rose muhando we are also waiting for this video 😍❤❤❤
My dedication to all that work hard to destroy relationship
Wimbo huu wanikumbusha mambo mingi in this life
Waaaah! Huu wimbo unanitonesha machozi😭😭😭😭. Rose muhando utaishi na waliokuchimbia kaburi watazikwa mbele yako. Mimi mkenya na napenda nyimbo zako. Wapi likes za Dada Rose jamani
All God is wonderful watching you shed tears am from Kenya may God bless you Rose
Kabisa
Ameeen Mungu azidi kukulinda na akupe MAISHA marefuu
Eee Mungu wanyamazishe Bwana wanaofatilia familia yetu,wapofushe macho Yao Eeee Bwana
Dada wa nguvu Rose Muhando' wanyamazishe kabisa' wapi likes ya Rosy!
I love this song
Wanyamazishe milele Mungu, wanatuumiza Sana!
❤🎉washindwe maadui wako Dada.
Hongera sana Dada Rose kweli ww ni mpakaliwa mafuta.wanaokubali dada Rose Muhando likes zenu hapa.
@Dives Niko huku kwa reply 🤩
Great
Cant get enough
Yan mm na mpenda huyu dada mungu Bado yupo nae mpakamwisho na azidi kuku pa nguvu ili aduwi zake waeibike
Kweli
Naipenda hii nyimbo sana.one love 🇰🇪🇰🇪🇹🇿🇹🇿🔥🔥🔥🔥(long awaited)I had been listening audio...likes za wakenya wenzangu hapa kwa wingi..
Kazi zuri rose long waiting finally u made it, congratulations keep it up na mungu atakuongoxa .
Hatari nanusuuii
My end year song....🎉🎉#Wanyamazishe Bwana.. Season of testimony ❤❤❤
❤Endelea rossy no matter any problem baba messiah yuko
Mungu akubariki mama
Tunakupenda hapa Mozambique 😭😭😭
God bless you and your family 💗
This hit will got 10 million veiws na zaidi mungu ni nani mama wetu Rose hajawai tuhaibisha akiamua kusimama kuongea na mataifa kupitia kuimba nyimbo na kusema uzuri wa yesu gonga like tukienda
It's now 20 million ur prophecy was right
Kiukweli IPO vzr sana. natumain mungu yupo pamoja nam
Kwetu Rwanda tunakupenda sana Rosa.
Wanyamazishe bwana waliotangulia kutangaza kifo changu kabla sijafa😢🙏
Nakupenda da rose Mungu akutunze kazi ya Bwana isonge mbele
Wakenya mpo??? Pita na like WATU wetu🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Upo vizuri dadangu. Asante kwa ujumbe mzuri.
A true gospel artist she has never changed
Yes
This woman is truly a seed of God.
Devil has really tried to put her down.
But God is sitting on His throne of mercy. She is a blessing to this generation.
Tuko
Wanyazishe bwana wanao nidhania mabaya 🙏🙏🙏
Kenya penda wewe🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤❤❤
Emotional song..based on true stories,mnipee ata likes mbili jameni
Wimbo uko vizuri Sana
@@thobiasmashaul5885 kabisa
UC Davis and place to meet the same and I can come to get the
Makbo
@@thobiasmashaul5885 m
Wanyamasishe bwana,wafunge midomo yesu wafungishe macho Yao wasinione wakae mbali nami,Amen wapi likes za mama rose tukisonga....May the lord bless you mumy 💕
Na amini utabarikiwa na huu wimbo pia 👉🏻ruclips.net/video/9uJYAtHEXR8/видео.html God bless you🙏🙏🙏🙏
Inafundisha, inagusa jamii
Amen 🙏
Nampenda sana hadi wakati naishiwa ninapo sikiza wimbo wake mama Rose nafarijika
My best gospel singer ever,, nakupenda sana rose
Napenda yeye sanaa
What a prayer! I can relate with this song / prayer. Been rejected by family for years. Many said am cursed, will never amount to anything, never get married etc. Took myself through college, got a job, got married, worked abroad precisely USA. Later became a US citizen! Thoroughly born again & headed to heaven. The LORD prepared a table for me in front of my enemies. That's the God I serve. Sing Rose, your life is in His hands!
🙏
Wow💞
😲 wanyamazixhe
bwana,,maadui
wang
Wanyamazishe bwana 🙏 Amen
Amen🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Kenyans in the house as usual here to support our very best mum.🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 We're proud of you woman of GOD 🙌🙏
Nzuri sana
Maiki
🙏🙏🙏🙌🏻🙌🏻🙌🏻tuko
Ubarikiwe mama Rose.
🙊🙊👏
Rose ww ni legend wa Africa wa mda wote kaza buti dada mungu yuko na ww
Napenda hii wimbo sana this year dear lord nimepitia sana
Jamani mm nimrwanda namfwatilia sana huyu dada rose nimeipenda nipe like kidog
Wanyamazishe Yesu wagombane wao kwa wao
Turihamwe
Turahari disi
karibu tanzania
Njye nkunda Rose kuburyo budasanzwe pe
Wapi likes za Rose... KutoKa kenya
Those who are on silent battles to my family..muangaikee!!Wanyamazishe Bwana,wafunge mdomoo Yesu
Rose huu wimbo hakika uliimba ukiwa na uchungu moyoni. Kwani kama haya yote yakiwapata hawa wabaya. Kwishaa habari yao
Where's my Congolese people at? Our mother has done it again... gonga like 👍 basi kama na wewe umebarikiwa na wimbo huu.
Amen ,,,, tupo hapa
Emen
Amen
0717373796
Amen we are here with you
This song remind me when I got accident walisema nimekufa lakini mungu aliwayamazisha nipeni like late comers
Mungu nimweza
God is great
Watu roho chafu mtoto wangu nilimlaza hosi akiwa na 6days old, alikuwa na shida ya figo watu waliongea mengi leo hii hako 8yrs ALHAMDULILLAH ya Rabbi zidi kuwanyamazisha
Amen
Umeimba mama 🙏🙏
A few days ago I argued with my immediate neighbour......with 4 others they ganged up against me....they attacked of nor having a job and staying indoors ....they told me they can't wait to see my house locked....I also fought back by telling them they are not God and whatever they wish me will befall them, I really cried and told God not to let my enemies laugh at me...Three weeks down the one we argued with lost her job and her house is locked upto date , the others 4 two are Sisters got their shit thrown out and moved...one lost her job as well and now I guess she knows what it feels to be without a job that she mocked me of.
God is a fair judge don't laugh at someone's state ...it would reverse to you so quick
Kabisa mungu akubariki sana rose muhando na uishi miaka mingi
Congo yetu haibakiyagi dhaaa gonga like kama umeisikiya🇨🇩 ubarikiwe sana sister Rosemwando mungu akusimamiye kwa kazi yako dada yangu.
She sings from her heart
Wapi likes za mum Rose,,,waibishwe ,,laana kifo kiwe juu yao .. nakutambua sana mummy.
Wapi likes za ma'ma rose from 254
Mungu ambariki rose muhando kwa uimbaji wake nyimbo zake zinanifariji sana❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Me nilisema vita zangu mungu ndiye ananipigania madui wangu wanyamazishwe kabisa