Bony Mwaitege - Safari Bado (Official Music Video) ft. Bahati Bukuku
HTML-код
- Опубликовано: 7 ноя 2021
- Kwa Neema ya Mungu kazi zangu zote sasa zitapatikana katika channel yangu hii, nikuombe sana kuungana na mimi kwa hatua nyingine mpya kabisa.Mafuta ambayo Mungu ameyaweka ndani yangu ni wakati mwingine wa kukuvusha ...
Pia unaweza kuwasiliana namimi moja kwa moja kwa simu namba:-+255 753 582 739.
MUNGU AKUBARIKI SANA.
Bony Mwaitege - Safari Bado (Official Music Video) ft. Bahati Bukuku - Видеоклипы
Who else is here 2024 safari Bado tuweke kiburi na madharau pembeni
I'm here even in 2024
Mimi hapa
❤Mimi hapa
Nko sasa ivi
And you can guess why😊
Hello friends,help me believe that the journey has not yet ended.
Tuendelee tu kumheshimu Mungu na wanadamu wenzetu.
God Bless You All 🙏
This song came up to my heart today. Listening and feeling blessed. Mungu anisaidie nikae vizuri na yeye na watu wake sababu safari bado. 26/04/2024@ 9:42am
Ukowapi njeri?
Humble your self down and God will lift you up
Safari bado, mungu niondolee majivuno, kiburi, madharau , na mapuuza Amen🙏🙏🙏 if you watching 2021 december give a like and God shall bless you
Safari bado
Naipenda sana hii nyimbo
Safari bado. Still Watching in 2023
Safari bado yes It Is true 🙏🙏🙏❤️💯 true, ni mwema sanaaa thank you so much pour le rappel 🇨🇬🇨🇬🇨🇬
Ee Mungu nakuomba unijalia hekima na utii huku nikithamin watu maana safari yangu badoo🙏🙏
Ni lazima kuishi vizuri na watu na pia kumkumbuka Muumba wako kila siku maana safari baaado.
Woke up with this song today in my heart and head i had to listen to it 3/04/2024
Hii wimbo inanikumbusha tarehe 20 mwezi wa saba mwaka huu saa 10:40 nikimwangiwa maji chafu na kijana ya boss yangu . 😭😭😭😭😭
Pole sana 😭 mamy duniani kuna mapito mengi Sana🙏
Pole Sana Aki
Wueh hii umecram adi time.😭😭😭Been there I feel your pain... I'm sorry you went through that
What the hell is he! Pole sana, siku moja utafanikiwa. Watakusalimia kwa heshima.
Usijali.. Tables turn..
Am a Muslim but the song really inspired me alot while i was in training,,, so any time i listen I remember my C.O FoLEa ,,, it was the first time I had the song and I got the courage to end my course.
Me mwaka 2024naisikiliza hapa
Mungu nisaidiye niweze kutambuya ya kwamba safari bado ndani ya maicha yangu piya ni weze kuhechimu wengine.mungu akubariki papa bony kwa iyi maubiri kupitiya nyimbo
Nikisikiliza tu huu wimbo naskia kulia🙏🙏🙏🙏 yaani nikama naskia kuokoka🙏🙏
I remember nikiwa kwa basi from nairobi to isiaya nilisikiriza ika nifunza mengi sana nikaenda RUclips nika download lazima siku haishi bila kusikiriza 🙏🙏
Nilifikiri nimefika,kumbe Safari bado mungu nipe nehema🙏🎀
Huu wimbo una upako wa juu. Shukrani kwa Mwaitege na Bukuku. Love you both. Perfect collaboration
Shukrani kwa Roho mtakatifu aliyewaimbisha
Wow !!!!what a song am out of word😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭May God show us mercy coz in life is another story of its own............. all we want is to worship God in spirit and truth through christ Jesus but life hufanya watu wa change .. I love bunny's songs kwanza song ya matendo.much love from 🇰🇪
Watching and listening from lusaka Zambia 🇿🇲 I love this song so much
Kiburi inayonesha kuwa ci vizuri kutofuhoro mungu kwani yeye mungu pekee barikiwa sana
Watching from Nairobi,Kenya this song humbles me kweli safari badoh
Wimbo unanikumbusha nilipokuwa chini now I'm a boss safari Bado tuheshimiane wapendwa
Ameni
Heyyy
Hi boss
Be humble in life, safari bado. Hujafa hujaumbika ati!
2023 Feb 05 ,Sun.
I wish to register my unfathomable love for this song Bonnie .May God continue using you my big brother.Safari bado .ndio. nakubali kwa moyo wote.
Ubarikiwe sana my big brother .
Mungu atuhurumie sana inaitwa kiburi cha uzima
Safari ingali Bado ..Mbali na changamoto hizi za ujana nina Imani nitafika .Amina
I love this song to some extend I even so g it everywhere,, wedding,burial,circimsion and any other ceremonies... The vocals are superb...We ass Kenyans we salute you Bonny Mwaitage....Keep blessing us....
Kenya 23yrs disappointed my childhood favorite artist can't have a million.
The best Swahili gospel stars in Africa
Watoto wa 2000 hii imewakuza paka leo 2023 ila safari ndo kwanza 😅😅😅😅
😂😂😂 2024 sasa❤🎉
Safari bada kweli mungu pamoja na mm kila hatuwa nifike salama 🙏🙏🙏🙏🙏
Nyimbo tamu sana Mungu awaongeze zaidi na zaidi mbarikiwe sana miamba yauimbaji wa nyimbo Injili.
Funzo kubwa kutoka Kwa huu wimbo .... Glory be to God 🙏
From chokaa feeling blessed by this song, keep up❤❤
Safari bado,,Asante Kwa wimbo huu unanifunza mengi...Mungu tusaidie
Father, I want to live in the shadow of Your wing. When life is hard, and I don’t know what to do, help me remember that You are with me and that I am never alone. I cannot live without You. I cannot face tomorrow without the promise of Your presence. Today I choose to walk and live under the protection of You, The Most High. In Jesus' name. Amen.
This song is so touching 🙏🙏be blessed Mr.Mwaitegee and Bahatii Bukuku
I remember in 2021 when I used to struggle a lot, and when in deep prayer, God told me that he will put me above my peers. Because he is faithful and he is not a man to lie, He fulfilled his promise. I see myself now and for sure, God has given me an upper hand in so many things. Every time I listen to this song, it reminds me to stay humble regardless of what I have. May God grant me a heart of humility for the rest of my life. God gives grace to the humble but opposes the proud (James 4:6).
Nikisikilizaga huu wimbo kiburi cha uzima huwa kinaniisha kabisa😢
Eee Mungu naomba unipiganie katika safari yangu maana maadui wamekuwa wengi kuifikia meza ya karamu yako
Mungu tusamehe kwa madharau.Hakika hatujafika.Safari bado.Uwe nasi.
Nyimbo nzuri nakupenda Dada Bukuku
Kweli safari bado make nilitaka kufuta namba za marafiki zangu kumbe kweli safari bado
Safari bado. Please God, see me through. Amen.
This song always take away my pride ....i have learned alot in this song..my dear sisters and brothers let's keep praising the NAME of God 🤲🙏
This song really has great lesson to we who are still struggling with lives . God bless you and my sister.
Very true
@@charleskomakech9188 be blessed to 🙏🙏
Ninabarikiwa sana na wimbo huu
Life is journey and it has mountains and valleys be patient be blessed.
Mama ukianza kuzidi mmeo mapato, acha DHARAU jua safari Bado!
Naipenda hii nyimbo na. Inanifunza mambo mengi
Amen amen bro barikiwa sana wimbo safi sana mtumishi wa mungu amen 🙏🙌
enseigne-moi ta Voie, conduis- moi dans le sentier de la droiture afin que je ne tombe pas. Oh! Oh! Éternel car le voyage est encore long , apprends-moi à bien compté mes jours ici terre. ❤❤❤🇨🇬🇨🇬🇨🇬 Congo Brazzaville
Muratwika turabakunda burundi ngozi marangara kirimba 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🙏
My highschool physics teacher 2017, deputy principal Adipo despite how he used to criticize religion, but when he saw the class out of concentration he could tell us, ' madungu zangu safari bado'
Sijawai hata!tharau mtu;BT mm nimetharauliwa.toka kwa ndugu Dada,hadi mke wangu.
Take heart brother 😢 ipo siku
Mungu zidi kutuongoza kwa hii safari
Even when am walking when I hear this song playing. I just stop and listen the message it gives. This song is a blessing to me.
The song gives me a strong courage always
Amen
Amen 🙏
Huu wimbo unatufundisha watu wengi Sana I love this song
Kwakiburi nilichokuanacho mm baraka mungu anisamehe barikiwa muhubiri.
Apa Congo Drc safari bado endeleya kumweshimu mungu nduku safari bado
You still have a long way to go,,,usikate tamaa safari bado
Mungu nisamehe kwa majivuno safari Bado 😢
Safari bado 2024
Watching from lusaka Zambia 🇿🇲 I really like this song it always reminds me to be humble
Safari bado yes It Is true 🙏🙏🙏 💯💯 true ni mwema saana thank you so much pour le rappel 🇨🇬🇨🇬 🇨🇬❤❤❤
Nikweli madharau hayafai hata kidogo
Amina munguazidi kuikuza karma ndani yako
Ujumbe mzuri sana asante sana Mtumishi wa Mungu ama kweli safari bado
Huu wimbo unanifunza mambo mengi sana,ubarikiwe ndugu yangu
Nikumbuke nami Kaka
Eeeeee mwenyezi Mungu tegemeo langu milele.
Daa,hiii nyimbo hatar mungu atusaidie tuwe na utambuzi LA sivyoo tutaishia kuwa watumish wa bwana hewa.
Am learning that i should not despise people, i should keep honoring The Lord and respect people cause i need them along my journey. You are teaching me Swahili Mr Bony, thru your songs. Blessings man of God
Y0tŕ51
True journey is longer
E
Heshimu everyi.
@@user-kr1tl2fj2udl
L
L
l
/
Can get enough of this❤
Asante mtumishi ,safari bado ,Munitie nguvu nienselee kuheshimu Mungu na watu wote
True bado tunaendelea safari. Mungu tupe nguvu ya kuendelea na safari Amina
Aki bonny umeinua io bbilia yko ikafanya niaze kuimis ile yngu yotee,,,hadi ntakua natembea nayooo wallae na popote nilipo🙏
God please help me to always stay humble.. no matter how far I go in my life.
Wimbo safi....maneno ya busara mno...ala nazo zipangwa viema mno
So nice be blessed and keep on preaching the word,of God through gospel 🙏 am in mombasa Kenya
Such a amazing song... anytime I feel down I play the song..indeed a blessing one ❤
Kwel maisha ni Safari ndefu 🙏🙏🙏🙏🙏
This song makes me humble 😭
Maisha ni safari ndefu asante watumishi wa mungu… napitia mawazo mazito 😢but i know God hears prayers.
Kweli safari bado
Hutapata kama hii kwa watoto wa siku hizi,mikelele tu.Mungu akubariki mt.Mwaitege.
Safari bando.....!nimebarikiwa na huu wimbo,niki wimba ninabarikiwa mno ubariwe, mwaitege pamoja na bukuku!
Haki wapendwa tusiwe na dharau kwa wengine safari bado inaendelea.huwa.nabarikiwa na huu wimbo sana
Mungu asante sana umenitoa bali be blessed mwaitenge
Safar bado, l love the song a lot, God bless you my brothers, from Uganda
Greetings from Kaberamaido, onac. Ituritete yesu noi.
Nyimbo zuri mungu wangu nisaidie maisha ni safari ndefu inaendelea tu.
We love you here in kasese@ Uganda
ubarikiwe mwaitege, hii nyimbo imetufunza mabo meng sana kwenye huu uso wa dunia
This song always take away my pride as a common person ...l have learned a lot in this song
I remember back in 2018 going through hell in the hands of my sister she locked me out chased me with harsh words coz I was dating a man who had nothing
I had loved and there is nothing she could do she said we will eat grass if I get pregnant we would sell the kid due to brokenness
I remember when it was too much I sang to her this song it was relatively new
She thought she had it all today story of another day
Kweli safari bado
God bless you abundantly man of God.
Imana numuhanga muri mwe nshuti safari bado.
On behalf of my ancestors, family, friends, church mates and my wicked landlord that this is a certified master piece which even the children yet unborn shall listen to.
Osooii
The way I this song mungu ndio anajuwa even if am sad and stressed I just come down after listening to.
Safari Bado inaendelea ,Mungu niondolea madharua, na kiburi majivuno
"Mene mene tekel na peres" ...!
Safari huwa haujaafikia hata kama umepata vitu fulani katika maisha, kwhivyo hakuna madharau.
If you see this song 2100 remember safari bado,,,,30th March 2024
Asante mungu umenitoa mbali pamoja na jamii yangu.be❤blessed
Safarii bado kweli bado iko hata ukiwa hai. Earthly things prosperities shall be left to this earth
True message,Kwa kweli safari bado 👌🙏🙏🙏🙏🙏great song
Maisha n safari ndefu, safari Bado tunaendelea🙏🙏