MAHAKAMA YATOA MWILI wa TAJIRI wa MADINI kwa MKEWE - WALIOTAKA KUSHIRIKIANA na DADA wa KAZI KUZIKA..

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 окт 2024
  • MAHAKAMA YATOA MWILI wa TAJIRI wa MADINI kwa MKEWE - WALIOTAKA KUSHIRIKIANA na DADA wa KAZI KUZIKA..
    MPIGIE DR.JJ.MWAKA SASA KUPITIA 0758 100 100 na 0785 100 100 UPATE MSAADA WA KITABIBU KWA GHARAMA NAFUU.
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Комментарии • 52

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  3 часа назад +4

    MPIGIE DR.JJ.MWAKA SASA KUPITIA 0758 100 100 na 0785 100 100 UPATE MSAADA WA KITABIBU KWA GHARAMA NAFUU.

  • @ummySheikh72
    @ummySheikh72 2 часа назад +7

    Safi saana😅 mke lazima aheshimiwe, sio Ndugu, rafiki hapana. 💪

  • @neemayatosha1618
    @neemayatosha1618 2 часа назад +6

    Basi hapo watajifanya wanasusa na kumtenga,ila kwa sababu ya hela watasalitiana wenyewe kwa wenyewe😂😂. Kama nawaona Ndugu team A na B,sasa na ile michepuko itatulia ukute ilikua inatiwa kiburi na baadhi ya ndugu

  • @DeodatyVisenty
    @DeodatyVisenty 2 часа назад +4

    Pole sana mdogo wagu Asinta

  • @MonadiNadi-j6s
    @MonadiNadi-j6s 2 часа назад +3

    Mungu amejibu ❤ 👏

  • @GloriaChrisostoms
    @GloriaChrisostoms Час назад +1

    Haleluyaaaa hakika wewe ni mungu usiyeshindwa pole na hongera yasinta hata mm yalinikuta 2016 na nilishinda na kumzika mume wangu hongera niliumia sana toka nilipokuona mtandaoni siku ya kwanza na nikakumbuka nilikopitia

  • @carolinemariki4029
    @carolinemariki4029 Час назад

    Mhh... yaani Mwenyezi Mungu atusaidie sana wanawake wote .. tunapitia mengi sana kwenye maisha ya ndoa. Imagine your HG anatembea na mume na ndio anapika ... What do men really expect kwa familia kwa situation kama hii? Mke na watoto wanaweza hata kuuwawa.. mhh i leave this to God

  • @MaureenHaule-m2s
    @MaureenHaule-m2s Час назад

    Yasinta ni mwanamke na nusu hongera na pole sanaaa ..Rehema utabaki kuwa dada wa kazi usiye na shukrani mbwa wewe

  • @IreneMkenda
    @IreneMkenda Час назад

    Hakika tunashukuru mahakama Kwa maamizi ya Halali mke wake kupewa haki ya kumzika mume wake 🙏

  • @EsterKilawe
    @EsterKilawe Час назад

    Acheni Mungu aitwe Mungu kila jambo upangwa na .wenyez Mungu aijalishi unacho au huna

  • @gililwise
    @gililwise 40 минут назад

    Asante Mungu.ndoa na iheshimiwe na watu wote

  • @BlandinaKahuru-ur5el
    @BlandinaKahuru-ur5el Час назад

    Mwenyezi Mungu akutunze wewe ni mke mwema ulikuwa na upendo na mume wako

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa 2 часа назад +1

    Mwenyezimungu amesha chukua chake apo kazi bule

  • @IvanMocha
    @IvanMocha Час назад +1

    Bora Wewe wakili unayetetea Haki ya kweli, kuliko yule WA dodoma anayetete uovu,kwanza inabidi achuguzwe yule hukute amesababisha wengi wasio na hatia, kupata hukumu

  • @DeodatyVisenty
    @DeodatyVisenty 2 часа назад +2

    Apo saw mdogo wagu safi sana wakuesimu ao majiga walitaka warlike kweye ilo daga lake

    • @kamarhelo
      @kamarhelo 2 часа назад

      Yani wanatak kumtia ndugu Yao motoni hiv hiv kumzika ndugu Yao kwa mzinifu

    • @Yassinseleman
      @Yassinseleman 2 часа назад +1

      Sasa dada umeshinda kesi utamzika peke Yako ndugu wakikususia?ila Mimi sijui ningekua Mimi binafsi ni ndugu ningekuachia uzike

    • @Yassinseleman
      @Yassinseleman 2 часа назад

      @@kamarhelo motoni ni motoni tu utaenda kwa matendo Yako uliyoyafanya hata uzikwe na watawa tupu mbinguni utavuna ulichokipanda

    • @anastaziamathias8861
      @anastaziamathias8861 41 минуту назад

      ​@@Yassinselemankwani ndugu WA mume wakisusa ndo mtu hazikwi?

    • @Yassinseleman
      @Yassinseleman 35 минут назад

      @@anastaziamathias8861 hiali yenu sasa kuzika au kusafirisha

  • @AminaMfikwa
    @AminaMfikwa 2 часа назад +1

    Safi sana asint

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 Час назад

    POLE SANA DADA YETU. WAJANE WANAONEWA SANA NA NDUGU WA KIUME. HAPO UTAONA WANASEMA MALI ZA MAREHEMU ZA KWAO. SERIKALI TULIANGALIE HILI. AKIFA MME MJANENA WATOTO WANANYANYASIKA SANA.

  • @anithamwagala8224
    @anithamwagala8224 34 минуты назад

    Kama ni haki itabaki haki chuki ya wenye Hila Haina nafasi mbele ya mungu

  • @Sesi-d3t
    @Sesi-d3t Час назад

    Safi sana data yangu

  • @ritapiusnicolaus7068
    @ritapiusnicolaus7068 2 часа назад

    Ndugu wa mume 🙌🏼🙌🏼

  • @kamarhelo
    @kamarhelo 2 часа назад +1

    Ndugu wa mume acheni midomo ona sasa mlivyo jizalilisha

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 Час назад

    WEWE WAKILI UNA BUSARA SANA UNAWATETEA WAJANE. NDUGU NI WABAYA SANA HUWA WANANYANG'ANYA MALI ZOTE WANAACHA WATOTO WANAHANGAIKA. SERIKALI LIANGALIENI HILI. WAJANE WENGI WANAHANGAISHWA SANA.

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 30 минут назад

    Bora umewakunja mapema umewapunguzia nguvu ya kukusumbua kwenye mirathi

  • @Sesi-d3t
    @Sesi-d3t Час назад

    Safi sana dada yangu😃😃😃😃

  • @chaggatv818
    @chaggatv818 24 минуты назад

    Nan alimdanganya mke wa pili achimbe kaburi wakat hana ndoa na marehemu 😮

  • @lisawilliam2491
    @lisawilliam2491 Час назад

    Li babaz napenda unakichwa chepes sana! Unatililika kama unasoma

  • @jasiriasili3694
    @jasiriasili3694 18 минут назад

    Kinachogombewa sio mwili bali pesa alizoacha mwanaume .mtu anawqtoto wa5 mnawezaja kumtenga mkewe?😊

  • @PendoPeter-rr4jk
    @PendoPeter-rr4jk 2 часа назад

    Nimefrah sana mke kupewa haki yake mke anahaki kabisa ya kumiliki Kila kitu Kwa mme wake ndugu punguzen tamaa za mali

  • @MussaBakar-p2p
    @MussaBakar-p2p Час назад

    Acheni tamaa mke ndio mwenyehaki tamaa ya mali acheni mali zawatoto

  • @chaggatv818
    @chaggatv818 21 минуту назад

    Rehema tamaa zako zimekuponza😂bora ungemteka akununulie kiwanja aandike jina lako na akusimamishie mjengo na biashara

  • @AngelAbbah-wc5un
    @AngelAbbah-wc5un Час назад

    Ila amejikaxa sana

  • @IvanMocha
    @IvanMocha Час назад

    Safii

  • @MayleenDonaldharris
    @MayleenDonaldharris 56 минут назад

    Yani uyo dada wa ndani ningekuwa mimi ningemubomoa

  • @emmanuelmasanja6040
    @emmanuelmasanja6040 50 минут назад

    Mahakama imetenda haki

  • @dorithmagige7557
    @dorithmagige7557 Час назад

    Ndugu wa mume huwa wanakichaa au hivi hawajui mke ni mali ya mume na mume nimali ya mke

  • @jescamapunda4871
    @jescamapunda4871 2 часа назад

    Haaaaa,safiiii

  • @KichikiroMlacha-d3l
    @KichikiroMlacha-d3l Час назад

    Nihaki tu

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa 2 часа назад

    Kwa iyo wanagombea maiti😢😢😢

  • @jullykweka4502
    @jullykweka4502 8 минут назад

    Hv yule aliesem mjane amezaa nje ya ndoa Yuko wap njoo uku

  • @marymanoni5536
    @marymanoni5536 2 часа назад

    Safi sn mm

  • @SaimonTanganye
    @SaimonTanganye 36 минут назад

    Mke ni rafiki tu kwahyo swala la kuzika mwili wa marehem ni la ndugu na sio mke mke asubili mirathi na sio Kung'ang'ania mwili ambao hauna faida nao. Na anaebisha avae uhalisia wa mtoto wake kafariki alafu mke wake anataka amzike na anakoswa heshima mbele ya ndugu zake na marehem inauma sana na haipendezi

  • @mpefu_4936
    @mpefu_4936 Час назад

    Awawezi kuja aibu yao

  • @Fatima-v9k6f
    @Fatima-v9k6f 2 часа назад

    Apo sw

  • @Mc_Costa
    @Mc_Costa 2 часа назад +4

    Wanaume tujifunze kuweka mambo yetu sawa mapema kabla ya kifo ili kuondoa hizi sintofahamu ambazo hazina ulazima.
    Pili nakupongeza yasinta mke wa marehemu kwa kutambua haki zako.
    Ungelegea hapa mwanzoni tu imeenda