MAHAKAMA YATOA MWILI wa TAJIRI wa MADINI kwa MKEWE - WALIOTAKA KUSHIRIKIANA na DADA wa KAZI KUZIKA..
HTML-код
- Опубликовано: 1 окт 2024
- MAHAKAMA YATOA MWILI wa TAJIRI wa MADINI kwa MKEWE - WALIOTAKA KUSHIRIKIANA na DADA wa KAZI KUZIKA..
MPIGIE DR.JJ.MWAKA SASA KUPITIA 0758 100 100 na 0785 100 100 UPATE MSAADA WA KITABIBU KWA GHARAMA NAFUU.
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
MPIGIE DR.JJ.MWAKA SASA KUPITIA 0758 100 100 na 0785 100 100 UPATE MSAADA WA KITABIBU KWA GHARAMA NAFUU.
Safi saana😅 mke lazima aheshimiwe, sio Ndugu, rafiki hapana. 💪
Basi hapo watajifanya wanasusa na kumtenga,ila kwa sababu ya hela watasalitiana wenyewe kwa wenyewe😂😂. Kama nawaona Ndugu team A na B,sasa na ile michepuko itatulia ukute ilikua inatiwa kiburi na baadhi ya ndugu
Pole sana mdogo wagu Asinta
Mungu amejibu ❤ 👏
Haleluyaaaa hakika wewe ni mungu usiyeshindwa pole na hongera yasinta hata mm yalinikuta 2016 na nilishinda na kumzika mume wangu hongera niliumia sana toka nilipokuona mtandaoni siku ya kwanza na nikakumbuka nilikopitia
Mhh... yaani Mwenyezi Mungu atusaidie sana wanawake wote .. tunapitia mengi sana kwenye maisha ya ndoa. Imagine your HG anatembea na mume na ndio anapika ... What do men really expect kwa familia kwa situation kama hii? Mke na watoto wanaweza hata kuuwawa.. mhh i leave this to God
Yasinta ni mwanamke na nusu hongera na pole sanaaa ..Rehema utabaki kuwa dada wa kazi usiye na shukrani mbwa wewe
Hakika tunashukuru mahakama Kwa maamizi ya Halali mke wake kupewa haki ya kumzika mume wake 🙏
Acheni Mungu aitwe Mungu kila jambo upangwa na .wenyez Mungu aijalishi unacho au huna
Asante Mungu.ndoa na iheshimiwe na watu wote
Mwenyezi Mungu akutunze wewe ni mke mwema ulikuwa na upendo na mume wako
Mwenyezimungu amesha chukua chake apo kazi bule
Bora Wewe wakili unayetetea Haki ya kweli, kuliko yule WA dodoma anayetete uovu,kwanza inabidi achuguzwe yule hukute amesababisha wengi wasio na hatia, kupata hukumu
Apo saw mdogo wagu safi sana wakuesimu ao majiga walitaka warlike kweye ilo daga lake
Yani wanatak kumtia ndugu Yao motoni hiv hiv kumzika ndugu Yao kwa mzinifu
Sasa dada umeshinda kesi utamzika peke Yako ndugu wakikususia?ila Mimi sijui ningekua Mimi binafsi ni ndugu ningekuachia uzike
@@kamarhelo motoni ni motoni tu utaenda kwa matendo Yako uliyoyafanya hata uzikwe na watawa tupu mbinguni utavuna ulichokipanda
@@Yassinselemankwani ndugu WA mume wakisusa ndo mtu hazikwi?
@@anastaziamathias8861 hiali yenu sasa kuzika au kusafirisha
Safi sana asint
POLE SANA DADA YETU. WAJANE WANAONEWA SANA NA NDUGU WA KIUME. HAPO UTAONA WANASEMA MALI ZA MAREHEMU ZA KWAO. SERIKALI TULIANGALIE HILI. AKIFA MME MJANENA WATOTO WANANYANYASIKA SANA.
Kama ni haki itabaki haki chuki ya wenye Hila Haina nafasi mbele ya mungu
Safi sana data yangu
Ndugu wa mume 🙌🏼🙌🏼
Ndugu wa mume acheni midomo ona sasa mlivyo jizalilisha
WEWE WAKILI UNA BUSARA SANA UNAWATETEA WAJANE. NDUGU NI WABAYA SANA HUWA WANANYANG'ANYA MALI ZOTE WANAACHA WATOTO WANAHANGAIKA. SERIKALI LIANGALIENI HILI. WAJANE WENGI WANAHANGAISHWA SANA.
Bora umewakunja mapema umewapunguzia nguvu ya kukusumbua kwenye mirathi
Safi sana dada yangu😃😃😃😃
Nan alimdanganya mke wa pili achimbe kaburi wakat hana ndoa na marehemu 😮
Li babaz napenda unakichwa chepes sana! Unatililika kama unasoma
Kinachogombewa sio mwili bali pesa alizoacha mwanaume .mtu anawqtoto wa5 mnawezaja kumtenga mkewe?😊
Nimefrah sana mke kupewa haki yake mke anahaki kabisa ya kumiliki Kila kitu Kwa mme wake ndugu punguzen tamaa za mali
Acheni tamaa mke ndio mwenyehaki tamaa ya mali acheni mali zawatoto
Rehema tamaa zako zimekuponza😂bora ungemteka akununulie kiwanja aandike jina lako na akusimamishie mjengo na biashara
Ila amejikaxa sana
Safii
Yani uyo dada wa ndani ningekuwa mimi ningemubomoa
Mahakama imetenda haki
Ndugu wa mume huwa wanakichaa au hivi hawajui mke ni mali ya mume na mume nimali ya mke
Wanavisebengo sana
Haaaaa,safiiii
Nihaki tu
Kwa iyo wanagombea maiti😢😢😢
Wanagombea hela sio Maiti
Hv yule aliesem mjane amezaa nje ya ndoa Yuko wap njoo uku
Safi sn mm
Mke ni rafiki tu kwahyo swala la kuzika mwili wa marehem ni la ndugu na sio mke mke asubili mirathi na sio Kung'ang'ania mwili ambao hauna faida nao. Na anaebisha avae uhalisia wa mtoto wake kafariki alafu mke wake anataka amzike na anakoswa heshima mbele ya ndugu zake na marehem inauma sana na haipendezi
Awawezi kuja aibu yao
Apo sw
Wanaume tujifunze kuweka mambo yetu sawa mapema kabla ya kifo ili kuondoa hizi sintofahamu ambazo hazina ulazima.
Pili nakupongeza yasinta mke wa marehemu kwa kutambua haki zako.
Ungelegea hapa mwanzoni tu imeenda
Kabisa bila kuweka mambo sawa ni shida sana