BREAKING: MAHAKAMA YAAMURU MKE ASIMAMIE MAZISHI YA TAJIRI WA MADINI ARUSHA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 окт 2024

Комментарии • 81

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 3 часа назад +7

    Hongera sana mumy, na pole sana kwa machungu unayopitia na bado yanaendelea Mungu akutie nguvu katika kipindi hiki kigumu. Yote hayo wanataka Mali wakati una watoto jamani Tafuteni Mali zenu Acheni kuwaza Mali za wafiwa

  • @EdnaMbowe
    @EdnaMbowe 3 часа назад +2

    Pole Dada na hongera kwa kupambana pamoja na majonzi ulionayo. Mungu aendelee kuwa Mtetezi wako

  • @audaxbizimana8084
    @audaxbizimana8084 3 часа назад +13

    Kumbe wake zetu wanahangaika tukifa😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @Jane-h1f6s
    @Jane-h1f6s 4 часа назад +11

    Amelia sana na ni mzazi wiki ya pili atakuwa analia tuu ache ni maneno

  • @Bahati-v4m
    @Bahati-v4m 4 часа назад +4

    Duuuh kweli huyu mke na alikuwa mme wake kweli siku za mwisho

  • @ramajuma5620
    @ramajuma5620 4 часа назад +4

    Hyu mwanamke akifa moja kwa moja peponi maan anatambua anachofany wenyew walishaongea na mume wake mke wangu ee nifa nizike paleee na mke kasema mumewangu nikif nizike pale msiwangilie

  • @IreneMacha-g8o
    @IreneMacha-g8o 4 часа назад +4

    Mwanamke ataiacha familia yake na kuungana na mume so hao i mwili mmoja wanasikilizana nakupanga yao mwanaume kanunua sehem yak na kasema azikiwe hapo kwani shida ipo wap... mda mwingine wazazi nao wanazingua mtu kesha toka under 18 kaowa a anafamili watoto anamji wke why wazaz wapange anazikwa sehem fulaniii, mke keshasema bhasiii na ndo maagizo aliyoyaacha

  • @JoyceLucas-zk7nv
    @JoyceLucas-zk7nv 2 часа назад +4

    Cheka na furahi na ndugu wa mume ngoja ufiwe na huyo ndugu yao, mh, hutokaa uamini kitakachotokea.

  • @joycefrances4516
    @joycefrances4516 4 часа назад +2

    Simama mwanamke,hakuna kuonewa tena sasa hv,walitaka waanze kuku control,wakunyang"anye na mali ,ndugu wa mume acheni gubu,mkae kwa kutulia,hayo mambo ya kizamani kuoneana wakat Mme hayupo yamepitwa na wakati,acheni.mambo haya ya aibu

  • @IreneMacha-g8o
    @IreneMacha-g8o 4 часа назад +6

    Ila wazazi bnaa...sasa marehe keshasema azikwe sehem fulani wao wanapanga kwingne utadhani huyo mtoto alikuwa ni under 18, vtu vingene bhnaa

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 4 часа назад +6

    Kwenye Hera mambo hayawezi kwenda easy easy😂

  • @FortunataNguma
    @FortunataNguma 4 часа назад +7

    Sheria imefuata mkondo wake
    Mungu akupe kibali
    Ndugu waache viere ere mjifunze hapo wanaume

    • @WilsonEmmanuel-bs6op
      @WilsonEmmanuel-bs6op 4 часа назад +1

      Yan mm ninavohon hapo watu wanaangaika kwasababu ya Mali igekuwa hana Mali wasige msumbua maleem wagemzika popote

  • @CatherineRegan-u2o
    @CatherineRegan-u2o 3 часа назад +1

    Acheni kuongea uyo nitajiri mkubwa nando mkurugenzi wa mgodi wa California uwezi jua kuna maagano gani ndomana mke akasema azikwe alipo taka ao matajiri wa madini so mchezomchezo

  • @kelvinmasungakilunguja7539
    @kelvinmasungakilunguja7539 4 часа назад +1

    Ongera dada MUNGUautie nguvu mpumzishe mmeo na wafukuze wote kwenye Mali kaa na ndugu zako wapambane na Hali zao

  • @bahatirobert1009
    @bahatirobert1009 2 часа назад

    Tunajufunza mengi kwa kweli ndugu aisee

  • @JoyceLucas-zk7nv
    @JoyceLucas-zk7nv 2 часа назад

    Wanawake tukifiwa na waume tunanyanyasika nakuchukiwa na ndugu wa mume utafkiri tumehusika kwa kifo hicho. Ila duniani hakuna haki haki iko kwa Mungu.

  • @ElinahStephano
    @ElinahStephano 3 часа назад +4

    Ndugu tuheshimu ndoa za watu bhan

  • @DicksonRichard-gj7qb
    @DicksonRichard-gj7qb 3 часа назад

    Kibiblia kulia aisaidii kwa mtu aliyekufa, kinachotakiwa wewe uliye hai nikutengeneza na mungu kabla ujafa, lakini sio kila wanaolia ni maumivu ya watakavyo hishi baadaye

  • @AnaraelMpungu
    @AnaraelMpungu 2 часа назад

    Mmm.mungu.mkubwa.ndg.nishida

  • @KoleYasini
    @KoleYasini 4 часа назад +2

    Upuuzi mtupu,mke. yupo na bonge la faraja..

    • @judyngowi391
      @judyngowi391 4 часа назад

      Ulitaka akae uchi ndio ujue kafiwa

    • @TyaleMkoma
      @TyaleMkoma 4 часа назад +2

      Kweli wao wenyewe wamemfanya kuwa hivi. Ameona kumbe akilia tu anapokonywa haki za msingi.

    • @asiamalonji5962
      @asiamalonji5962 3 часа назад

      Au ulitaka anyeeeh et

  • @omarymbaraj8072
    @omarymbaraj8072 Час назад

    ila Nyinyi Wabongo Nooma sana.

  • @homeandaway2811
    @homeandaway2811 Час назад

    NDOA NA IHESHIMIWE NA WATU WOTE 📌

  • @domymerinyo8165
    @domymerinyo8165 3 часа назад +1

    Mke wa marehemu huko anajiita ukoo wa baba yako, sijatafuta mali za kurishisha ukoo mwingine mimi heri ndugu zangu wachukue mali

    • @farajaMezza-qn4be
      @farajaMezza-qn4be 3 часа назад +1

      Pole sana, maana unadhani ndugu zako wanauchungu na watoto wako kuliko mama yao! Naomba Mungu mke wako aone hii na awe na kazi Ili ajijenge, maana mawazo yako ni ya kizamani sana, kumbuka kuwa mwanamke hata acha watoto wako wateseke kamwe!

  • @ThomasMichael-w3b
    @ThomasMichael-w3b 4 часа назад

    One Sasa ulakuwao was Mali umewaumbua Kwanzaa sio nduguwake marehem hao

  • @smartonlinetv5144
    @smartonlinetv5144 4 часа назад +1

    Mbona tabasamu kubwa sana Kwa huyu mama?
    Mume hata hajazikwa mke yupo na tabasamu kama lote

    • @GraceMarine-vo9hu
      @GraceMarine-vo9hu 4 часа назад +2

      Ukikaa na marehemu muda mrefu moyo huwa unakuwa mgumu, ukumbe huyu marehemu anawiki nadhani inaenda ya pili sasa toka afariki, wamelia n.k hadi machozi yanakauka, na ukizi gatia huyu mama walitaka kumpitisha gizani, so yeye angeendelea kulia basi watoto wake wangeweza hata kukosa haki zao za msingi

    • @sheckycobb5240
      @sheckycobb5240 3 часа назад +2

      Alishalia sana,anatanasamu ushindi,akirudi kuzika atalua tena,kila jambo na wakati wake

  • @Ajijji12
    @Ajijji12 2 часа назад

    Safe

  • @alakomba6830
    @alakomba6830 3 часа назад +2

    akina jombaaa kwenye hili mnatia aibu

  • @jacklinelyimo7407
    @jacklinelyimo7407 Час назад

    Bora ufe maskini mali zako wanakutesa nazo binadamu bwana

  • @joyceraphael2586
    @joyceraphael2586 4 часа назад +1

    Bora lakini Mbona umekauka hivyo? Mkavu utadhani hujafiwa

    • @judyngowi391
      @judyngowi391 4 часа назад +3

      Ulitaka afanye nini ndio ujue amefiwa,

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 4 часа назад

      Haikuhusu shoga wewe

    • @hellendaniel3809
      @hellendaniel3809 4 часа назад

      Ukiwa huna hela unakuwa na roho ya makasiriko. Tafuta hela

    • @NtamamiloGibson
      @NtamamiloGibson 3 часа назад

      Ulitaka atembee uchi mpumbavu wewe

    • @EdnaMbowe
      @EdnaMbowe 3 часа назад

      Mungu anakuona sio maneno ya kumwambia mfiwa na hujui analopitia

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray277 3 часа назад

    Aibu yao watajifunza

  • @MussaBakar-p2p
    @MussaBakar-p2p 2 часа назад

    Mbona hamkufika mahakamani kama mnahaki matapeli nyie mnatamaa na mali washamba nyie

  • @Fatima-v9k6f
    @Fatima-v9k6f 4 часа назад

    Apo ni sw

  • @MsevenSaudisaidi
    @MsevenSaudisaidi 3 часа назад +1

    Mbona mke Hana majonxi

    • @mwajabumunna6398
      @mwajabumunna6398 3 часа назад

      Kashalia kachoka Sasa yupo kupambana ili amzike mmewe

  • @jumarajab5316
    @jumarajab5316 4 часа назад +4

    mtu hajazikwa mke wa marehem yupo kawaida kabisa kichwa wazi mungu nisaidie nisije kuoa mke wa hivi

    • @judyngowi391
      @judyngowi391 4 часа назад +1

      Kwani wapi imeandikwa afunike kichwa, tamaduni zako za kiislamu sio zetu

    • @Afsa-z2v
      @Afsa-z2v 4 часа назад +6

      Namsifu kwa ujasiri angejifanya kulia angebaki na machozi atalia aisha zika hongera kwa kuwA ngangari mpaka kimeeleweka

    • @estermagige366
      @estermagige366 4 часа назад

      😏😏

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 4 часа назад +2

      Toka hapa ,nani kakuambia Kila mtu anataka mkewe afunike kichwa ,get lost with your nonsense alllaaa

    • @vaikaayagadiel520
      @vaikaayagadiel520 4 часа назад +1

      Akifunika.kichwa mume atafufuka?

  • @ZainabZuberi-h3p
    @ZainabZuberi-h3p 3 часа назад

    Mhhh!mbona yuko.kawaida jamani mume wake au mhhh

  • @msigwazakayo6878
    @msigwazakayo6878 3 часа назад

    ukifiwa na mtu mwenye hera huwezi lia. utalieje wakati na huku unahesabu miladi alio iacha marehem

  • @SauliBasso
    @SauliBasso 4 часа назад

    Mtu anafariki wengine wanaanza kulilia mali zake watapataje

  • @jerryjohn8030
    @jerryjohn8030 4 часа назад +1

    Duuh mke mkavu kabisa

    • @mussaphilemon8612
      @mussaphilemon8612 4 часа назад +3

      Sasa ulitaka alowe hapo mahakaman, Kuna Kipindi majonzi unayaona hayana tija zaidi ni kufanikiwa kile kilichopo Mbele yako.

    • @judyngowi391
      @judyngowi391 4 часа назад +2

      Ulitaka aweje, acheni umbea

    • @luciangole6876
      @luciangole6876 4 часа назад +1

      Napenda lugha yake,ni mnyenyekevu.pole mama

    • @MagdalenaMatiko
      @MagdalenaMatiko 2 часа назад

      Du ulitaka awe mbichi unazijua ndoa za matajiri wewe,hapo kapumua

  • @ramadhanishabani807
    @ramadhanishabani807 4 часа назад +2

    Nyie mawakili mnaleta taratibu za kijinga swala lakifo mtu anatakiwa alike na ndugu zake kimila zao, huyo mwanamke anajua nn ujinga mtupu

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 4 часа назад +2

      Wewe ndio mjinga Kwa sababu darasa huna ila unatumia hisia tu

    • @TyaleMkoma
      @TyaleMkoma 3 часа назад +1

      Ni kweli. Hata kama ni Mila anatakiwazkama Mke halali ASHIRIKISHWE NA KUELEKEZWA.

    • @anethmollel6564
      @anethmollel6564 3 часа назад +1

      Mjinga wewe na hao ndugu wa marehemu,mtu ana mke na watoto kwanini wasishirikishwe wao kwanza!!!!! Unajua Sheria za familia na ndoa!!!!

    • @sheckycobb5240
      @sheckycobb5240 3 часа назад +1

      Anajua sana ndio maana mumewe alimuonyesha azikwe wapi na hakumuonyesha ndugu