KITENGE AFUNGUKA KUHUSU GARI LA KIFAHARI ALILONUNUA MBUNGE MUSUKUMA "NYIE ENDELEENI KUSUKUMA SPACIO"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 61

  • @sadikishabani4779
    @sadikishabani4779 Год назад +10

    WATU WENYE KAZI ZAO SIO WALE WA COMEDY WASAF 🔥💯

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 Год назад +6

    Pesa anazo siku nyingi sana huyo msukuma sio kwamba ni maskini ana ng'ombe wengi kuliko idadi ya watu kusoma nzima 😂😂

  • @johnmollel6915
    @johnmollel6915 Год назад +6

    Hahaha Hawa jamaa n perfect duo 😅😅

  • @kelvinmunishi4755
    @kelvinmunishi4755 Год назад +2

    Kitengee🔥🔥🔥

  • @mwanjumajongette8187
    @mwanjumajongette8187 Год назад +2

    Nice

  • @johnsonbagambi1908
    @johnsonbagambi1908 Год назад +2

    Musukuma shkamoooooo

  • @jonessalum6325
    @jonessalum6325 Год назад +4

    Huyu jamaa yupo vizuri muda Sana

  • @abbas.h.saydy.3991
    @abbas.h.saydy.3991 Год назад

    Msukuma huyo na si msukuma mkokoteni 😅😅😅😅😂😂😂

  • @elishaelisha6755
    @elishaelisha6755 Год назад +1

    Ngoshaaaaa

  • @janethpallangyo3855
    @janethpallangyo3855 Год назад

    ❤❤❤

  • @hajjiomary2383
    @hajjiomary2383 Год назад +3

    Nimecheka km bwege cx tunaosukuma v ist tukae tu kmya

  • @mrjaula7769
    @mrjaula7769 Год назад +4

    Kitenge na Zembwela muko vyema

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 Год назад

    Mnateseka ama mnafurahia maana sijaelewa mbona kama mko neutral 🤣🤣🤣

  • @abbas.h.saydy.3991
    @abbas.h.saydy.3991 Год назад +1

    😂😂😂😂😂Hizo ndizo PhD pekee duniani zinazokubalika.

  • @AhmedHassan-vl5zf
    @AhmedHassan-vl5zf Год назад

    Kitenge na zembwela pia mlipewa hela na dp nunuenitu na nyinyi

  • @shukranitv2971
    @shukranitv2971 Год назад

    Haaaaaaa spaciiiiio

  • @elishaelisha6755
    @elishaelisha6755 Год назад +1

    Twende

  • @martinjosephat4694
    @martinjosephat4694 Год назад

    Lakna. Huezi kuzuba. Midomo. Ya weng

  • @yudamwile4785
    @yudamwile4785 Год назад +1

    Nimejikuta nacheka nasa

  • @salimkilala8753
    @salimkilala8753 Год назад

    Anaiba content za twitwer 😂😂

  • @mirroyjunior8348
    @mirroyjunior8348 Год назад

    Msukuma atali 🤣🤣🤣🤣

  • @NeemaBrown-cd2hs
    @NeemaBrown-cd2hs Год назад

    😁😁

  • @hajjiomary2383
    @hajjiomary2383 Год назад +1

    Yule Patdri wa efm asubiri kwanza

  • @saidabdurahman9631
    @saidabdurahman9631 Год назад +3

    KUMBE MASANJA NI ZAID YA KITENGE

    • @LumolaSteven
      @LumolaSteven Год назад +2

      Unamzidi vipi mtu unayemuiga? Masanja angekuja na Ubunifu wake na sio alivyokuja kwa kuiga style ya Kitenge. Mimi napenda Ubunifu

  • @AlexDitto-qz1hn
    @AlexDitto-qz1hn Год назад

    Mfanyabya dhara huyo

  • @husseinmasangya1272
    @husseinmasangya1272 Год назад +1

    😅😅😅😂😂😂

  • @batashqiraa9936
    @batashqiraa9936 Год назад

    Ni sahihi anunue shingingi kwa sababu hakupigiwa kura halali ubunge kwa kura za wiz i

    • @frenkclement6673
      @frenkclement6673 Год назад +2

      Bro msukuma katika Jimbo la geita hata akagombee Samia+mbowe+lisu+wewe hawawezi kumshinda sio kila mbunge anakura za wizi,, nenda kaulize Geita afu huyo mfanyabiashara mkubwa.. comment Yako yaina research😢😢

    • @alphadreammedia
      @alphadreammedia Год назад +1

      Weeeee hata ukagombee wewe anakutwanga maana tamaa ya pesa yule kwanza anajali wananchi wake.

    • @mosimba467
      @mosimba467 Год назад

      Hujitambui wewe

    • @fatmaabubakar7478
      @fatmaabubakar7478 Год назад

      Acha wivu

    • @msafirimiracle6613
      @msafirimiracle6613 Год назад +1

      Sio kwamba alikuwa hawezi kununua siku nyingi,naona ameamua tu kwa wakati huu kwa sababu zake mwenyewe, mwenye hela zake tuseme tu,sio wanaotegemea posho za ubunge.

  • @mustafaalli4698
    @mustafaalli4698 Год назад +1

    😂😂

  • @honeysweet2404
    @honeysweet2404 Год назад +6

    Hamumfikii masanja kabisa wala hamna mvuto😂kabisa 😅😅😅😂😂😂

    • @boniphacebango5367
      @boniphacebango5367 Год назад +2

      Huku umekuja kufanya nini sisi hatuitaji hata kusikia wala kuona kinachoendelea huko

    • @nuhumaalim9338
      @nuhumaalim9338 Год назад

      Ww mnafiki ndio maana umekuja huku kusikia vitu adimu mbona cc hatujui huko kuna nn eti masanja basi tuambie kuna nn

    • @honeysweet2404
      @honeysweet2404 Год назад

      @@nuhumaalim9338 kuna mavi 🤣🤣🤣

    • @starjay3052
      @starjay3052 Год назад

      @@nuhumaalim9338 kuna mavi

    • @florenceelikana3040
      @florenceelikana3040 Год назад

      Huku unafanya nini mbona ss hatuji huko ww ndo unateseka

  • @isihakamohamed288
    @isihakamohamed288 Год назад

    Musukuma 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @elisanteshayo3882
    @elisanteshayo3882 Год назад +1

    Endeleeni kula jasho la wapiga kura ila wapiga kura nao wanamambo ya kisenge halafu after 5 yrs mnampa kura tena

    • @emazjassam2452
      @emazjassam2452 Год назад

      Msukuma ni Tajiri kitambo ni mfanyabiashara wa Maldini na usafirishaji wa kitambo... Hela za ubunge si kitu kwa huyo jamaa

    • @awadhawadh5828
      @awadhawadh5828 Год назад

      We mchaga unafikiria wizi tu! Huyu tangu zamani ana chenji sio mbunge njaa kama Lema !

    • @abufirdaus4254
      @abufirdaus4254 Год назад

      We mangi acha akili zakimoshi....huyo mjomba ana Hela za biashara long time! Huyo hauzi bia au kitimoto kama wenzako...
      Kama huna pesa tulia

    • @elisanteshayo3882
      @elisanteshayo3882 Год назад

      @@abufirdaus4254 you sounds like wild boar

    • @AlexDitto-qz1hn
      @AlexDitto-qz1hn Год назад

      Bro anamabasi kama 40 hawezishindwa hiyo hatushangai

  • @djmpemba
    @djmpemba Год назад +2

    Efm ndo abal ya mjini

  • @michaelchizoza8618
    @michaelchizoza8618 Год назад

    Up

  • @akidahamad142
    @akidahamad142 Год назад +2

    Mbunge mnafki huyu

  • @johnchalle7257
    @johnchalle7257 Год назад

    😅😅😅

  • @janethpallangyo3855
    @janethpallangyo3855 Год назад

    Mmmhhhh😂😂😂😂😂