KITENGE AFUNGUKA KUHUSU GARI LA KIFAHARI ALILONUNUA MBUNGE MUSUKUMA "NYIE ENDELEENI KUSUKUMA SPACIO"
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
WATU WENYE KAZI ZAO SIO WALE WA COMEDY WASAF 🔥💯
Pesa anazo siku nyingi sana huyo msukuma sio kwamba ni maskini ana ng'ombe wengi kuliko idadi ya watu kusoma nzima 😂😂
Hahaha Hawa jamaa n perfect duo 😅😅
Kitengee🔥🔥🔥
Nice
Musukuma shkamoooooo
Huyu jamaa yupo vizuri muda Sana
Msukuma huyo na si msukuma mkokoteni 😅😅😅😅😂😂😂
Ngoshaaaaa
❤❤❤
Nimecheka km bwege cx tunaosukuma v ist tukae tu kmya
Kitenge na Zembwela muko vyema
Mnateseka ama mnafurahia maana sijaelewa mbona kama mko neutral 🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂Hizo ndizo PhD pekee duniani zinazokubalika.
Kitenge na zembwela pia mlipewa hela na dp nunuenitu na nyinyi
Haaaaaaa spaciiiiio
Twende
Lakna. Huezi kuzuba. Midomo. Ya weng
Nimejikuta nacheka nasa
Anaiba content za twitwer 😂😂
Msukuma atali 🤣🤣🤣🤣
😁😁
Yule Patdri wa efm asubiri kwanza
Acha jungu
KUMBE MASANJA NI ZAID YA KITENGE
Unamzidi vipi mtu unayemuiga? Masanja angekuja na Ubunifu wake na sio alivyokuja kwa kuiga style ya Kitenge. Mimi napenda Ubunifu
Mfanyabya dhara huyo
😅😅😅😂😂😂
Ni sahihi anunue shingingi kwa sababu hakupigiwa kura halali ubunge kwa kura za wiz i
Bro msukuma katika Jimbo la geita hata akagombee Samia+mbowe+lisu+wewe hawawezi kumshinda sio kila mbunge anakura za wizi,, nenda kaulize Geita afu huyo mfanyabiashara mkubwa.. comment Yako yaina research😢😢
Weeeee hata ukagombee wewe anakutwanga maana tamaa ya pesa yule kwanza anajali wananchi wake.
Hujitambui wewe
Acha wivu
Sio kwamba alikuwa hawezi kununua siku nyingi,naona ameamua tu kwa wakati huu kwa sababu zake mwenyewe, mwenye hela zake tuseme tu,sio wanaotegemea posho za ubunge.
😂😂
Hamumfikii masanja kabisa wala hamna mvuto😂kabisa 😅😅😅😂😂😂
Huku umekuja kufanya nini sisi hatuitaji hata kusikia wala kuona kinachoendelea huko
Ww mnafiki ndio maana umekuja huku kusikia vitu adimu mbona cc hatujui huko kuna nn eti masanja basi tuambie kuna nn
@@nuhumaalim9338 kuna mavi 🤣🤣🤣
@@nuhumaalim9338 kuna mavi
Huku unafanya nini mbona ss hatuji huko ww ndo unateseka
Musukuma 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Endeleeni kula jasho la wapiga kura ila wapiga kura nao wanamambo ya kisenge halafu after 5 yrs mnampa kura tena
Msukuma ni Tajiri kitambo ni mfanyabiashara wa Maldini na usafirishaji wa kitambo... Hela za ubunge si kitu kwa huyo jamaa
We mchaga unafikiria wizi tu! Huyu tangu zamani ana chenji sio mbunge njaa kama Lema !
We mangi acha akili zakimoshi....huyo mjomba ana Hela za biashara long time! Huyo hauzi bia au kitimoto kama wenzako...
Kama huna pesa tulia
@@abufirdaus4254 you sounds like wild boar
Bro anamabasi kama 40 hawezishindwa hiyo hatushangai
Efm ndo abal ya mjini
Sasa huku umefata nini mbona umekuja kwenye habari za huku????
Mbona uko hku
Huku unafanya nini bwege wew
Up
Mbunge mnafki huyu
😅😅😅
Mmmhhhh😂😂😂😂😂