KING MSUKUMA Afunguka Mali Zake Kupigwa Mnada na NBC

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • KING MSUKUMA Afunguka Mali Zake Kupigwa Mnada na NBC
    Baada ya taarifa kusambaa katika mitandao ya Kijamii kuwa Mali za mbunge wa Jimbo la Geita Vijijini Joseph Kasheku maarufu kwa jina la King Msukuma kudaiwa zitapigwa mnada na Bank ya NBC kutokana na deni analodaiwa na Bank hiyo.
    Msukuma amekanusha taarifa hizo na kudai kuwa hakuna Bank itakayoweza kupiga mnada mali zake kutokana na kampuni yake kulipa mkopo wa Bank kulingana na mkatapa wake na Bank husika.
    Install GlobalPublishersApp Android: bit.ly/2AAQe1d iOS: apple.co/2Assf4M Subscribe ww.youtube.com/... FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishe..., Suazi1
    / uwazi1 WEBSITE: globalpublishe... FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli. .

Комментарии • 90

  • @ikulunimahalipatakatifu7642
    @ikulunimahalipatakatifu7642 4 года назад +1

    Nakupa tano king Msukuma, safi sanaaaa piga Kazi , hao manyumbu wamezoea hawana agenda

  • @st99ngeni35
    @st99ngeni35 6 лет назад +6

    Yaani wewe musukuma nakupenda sana. Piga kazi achana nao hawawezi kupambana KING.

  • @happyngulo2562
    @happyngulo2562 6 лет назад +5

    Sawa kaka nakupenda sana mpambanaji

  • @innocentsevelin8731
    @innocentsevelin8731 6 лет назад

    safi sana king

  • @edrickniwamanya439
    @edrickniwamanya439 6 лет назад

    Safi sana

  • @jamesjames4239
    @jamesjames4239 6 лет назад +2

    Hawakujui king musukuma

  • @margarethsolomon9823
    @margarethsolomon9823 6 лет назад

    Kasheku Joseph Oyeeee3eeeee👏👏👏😀😀😀😀👆👆👆

  • @fadhilplatnumz6209
    @fadhilplatnumz6209 3 года назад

    👍Veema Jembeletu nakuaminia Mkuu

  • @isaahmbawala1591
    @isaahmbawala1591 4 года назад

    Kalipee

  • @mayungamalegi834
    @mayungamalegi834 6 лет назад +1

    Uko sawa kaka na anayekopesheka siku zote anavigezo vyote

  • @denniskiango6901
    @denniskiango6901 6 лет назад +4

    Tumefurahi sanaaaa...King ni King tu watapoteana na wivu wao CCM Oyeeeeeeeeee.......!!!!!!!!

  • @neyjoseph7112
    @neyjoseph7112 6 лет назад +4

    😍😍😍nakuelewa sana

  • @kabangoamini8431
    @kabangoamini8431 4 года назад +2

    Mwajya 82 uliisha anza biashara mbona bado kijana wakati turikuwa tunaanza vidudu

  • @edinajosephat2562
    @edinajosephat2562 4 года назад

    Kumbe ni information ya kweli,

  • @mhinajohn1548
    @mhinajohn1548 6 лет назад

    Nakuamini sana

  • @amhamediserengeti4808
    @amhamediserengeti4808 6 лет назад

    Ndugu usiogope mti wenye matunda ndiyo unaorushiwa mawe .ndugu nakukubari sana we nimpambanaji Mungu atakulinda

  • @DeusNchembah
    @DeusNchembah 6 лет назад +1

    Dawa ya deni kulipa, Kiongozi wangu naomba uonyeshe kupotezea maana haujapungukiwa kitu kama ni waongo

  • @samsonnzisabira768
    @samsonnzisabira768 6 лет назад +1

    "Mimi siyo masikini" nimeipenda hiyo!!ila shukuru Mungu aliyekutajirisha.

  • @emanuelmwanga4
    @emanuelmwanga4 4 года назад

    Mwafrika tunapenda kuombwa radhi sanaa

  • @mayungamalegi834
    @mayungamalegi834 6 лет назад

    Uko sawa kaka wachalange siasa wanazileta kwenye biashara zako kukopa siyo kosa

  • @m.amanitv8534
    @m.amanitv8534 6 лет назад +3

    Kumbe uongo .Watapata tabu sana

  • @DanielDangote-mr6qt
    @DanielDangote-mr6qt 7 месяцев назад

    😅😮😅 nakubal

  • @francisaloyec8416
    @francisaloyec8416 4 года назад

    Ok

  • @christopherpetro8362
    @christopherpetro8362 6 лет назад

    Chapa kazi achana na hao majungu ni kawaida kwa yoyote alive Fanikiwa mbele kwa mbele msukuma

  • @BabakeNazBeel
    @BabakeNazBeel 3 года назад

    Wikipedia states that this honorable member was born in the year 1974 Feb 12th. He states herein (in this clip) that he has been doing business since the year 1982 (themanini na mbili). You can do the math! He has been doing business since he was 8 years old!!

  • @jumanguru670
    @jumanguru670 6 лет назад

    kalipeee

  • @asinasharifu8022
    @asinasharifu8022 4 года назад

    Mbona umepanic saana kaka

  • @ramadhanichilumba3610
    @ramadhanichilumba3610 6 лет назад

    Kweli huna njaa mzee na hayo madude unayamiliki mmmh

  • @humphreycned4056
    @humphreycned4056 6 лет назад

    Kalipe mpunga Wa bank

  • @nelsonchivaula6574
    @nelsonchivaula6574 3 года назад

    Kwaiyo ukiwa mwanasiasa ndio ufanye ovyo ili useme sanaaaa.Acha kufanya sia kichaka mkuu .

  • @stanleymhozi7590
    @stanleymhozi7590 11 месяцев назад

    Uwenaamani

  • @dominickmassawe7720
    @dominickmassawe7720 4 года назад

    Piga kazi

  • @pettermasika9120
    @pettermasika9120 6 лет назад

    Ukweli usio pingika kipaji ulicho pewa kimetoka kwa baba Mbinguni Msukuma Sauti yako ina ladha, uko sahihi Kashuku Msukuma

  • @angelbululu8239
    @angelbululu8239 6 лет назад +2

    Wambie msukuma, kma walikuwa hawakujui.

  • @revockatuskihecka7553
    @revockatuskihecka7553 6 лет назад

    Watapata taabu sanaa

  • @monyp4654
    @monyp4654 6 лет назад

    Mhhh hili ni suala la benki sasa siasa sijui zimeingiaje tena. Kama ni kweli basi huyu mzee wa Monduli safari hii kakuotea kweli maana mpaka hapo ni kama umeshapotea ramani!

  • @SuperEcholima
    @SuperEcholima 6 лет назад

    Sasa deni ni la kwako na mali zilizokamatwa ni za kwako sasa unapoingiza siasa kwenye mambo ya benki itasaidia nini??Bora tu ukaendeleze kilimo chako cha bange!!!.

  • @aliissa6632
    @aliissa6632 4 года назад

    Mara uko na deni unalipa kwa wakati pia hilo sio la mbowe usiwe mjinga

  • @zachariamishai7258
    @zachariamishai7258 6 лет назад

    Wapeleke mahakaman hao mheshimiwa😄😄😂😂

  • @sadockkabuko8735
    @sadockkabuko8735 6 лет назад +2

    Lipa mkopo

  • @mkamasabai7516
    @mkamasabai7516 6 лет назад +1

    Wanasiasa muna shida sana, tumbo likiuma waliohusika ni upande wa pili? Lakini umefatilia vzr maelezo yako ??
    Kipindi unagombea uwenyekiti yalitokea je ! Ulikuwa unagombea chama pinzani?
    Elimu inatakiwa hapa ili upate kuwa na uwezo wa kubalance

  • @allyclaude9896
    @allyclaude9896 6 лет назад +2

    Kalipe kaka au kimbilia zuio huna lolote

    • @hasanmsonga729
      @hasanmsonga729 6 лет назад

      Ally Claude ww unalo liko wapi acha majungu

  • @officialadon1056
    @officialadon1056 6 лет назад +1

    uy boya mnamtaftaga wann

    • @mathayosimon950
      @mathayosimon950 6 лет назад

      Adon Juma

    • @paulmsilanga3917
      @paulmsilanga3917 6 лет назад

      Duuh boya tena

    • @wilfredkuyonza7186
      @wilfredkuyonza7186 4 года назад

      Boya wewe maskini angekua boya asingetoboa kimaisha kama alivyotoboa wewe mwenye shida pande zote ndio boya badala ya kujifunza kupambana unaongea upumbavu.

  • @madamcolethaa641
    @madamcolethaa641 5 лет назад +1

    Msukuma atabaki kuwajuuuuuuuuuuuuuuuuu

  • @rawiamuhammad6675
    @rawiamuhammad6675 6 лет назад +2

    Issue ni kuwa unadaiwa full stop! Kalipe madeni

  • @burudanitv874
    @burudanitv874 5 лет назад

    hhhhh et kanjanja daaaah

  • @ndelembwiga5190
    @ndelembwiga5190 6 лет назад

    Kumbe NBC ni ya chadema!

  • @teddykanondo5753
    @teddykanondo5753 4 года назад

    ACHA TABIA ZA KUKANDIA WABUNGE WENZAKO WA UPINZANI KWANI WAO PIA WANAYO HAKI YA KIKATIBA KUIONGOZA TANZANIA. UJINGA ULIO NAO UMALIZE KABLA YA KURUDI BUNGENI.

  • @elibarikimagesa3262
    @elibarikimagesa3262 6 лет назад

    Kalipe Deni acha propaganda wew

  • @stevesamwel5506
    @stevesamwel5506 6 лет назад

    sasa ww msukuma waliosema unadaiwa ni bank inakuaje tena unaleta mambo ya kisiasa huku ? badala ya kupambana na hao watu WA bank

  • @jamesmwanjala132
    @jamesmwanjala132 6 лет назад +2

    Hii mambo ilianza muda lipa deni hapo wakurugenzi Wa Bank ni wachadema?lipaaa denii!!!

  • @faidamasegenghe3379
    @faidamasegenghe3379 4 года назад

    Piga kz jamaa yangu hao watu wametumwa kukuhalibia sifa

  • @ronaldmbao618
    @ronaldmbao618 6 лет назад

    Mbona amesema majina yng lkni kataja jina moja tu?

  • @temesjames8867
    @temesjames8867 6 лет назад

    Sasa mbona papala unakimbilia siasa Bank na siasa wapi na wapi unamatatizo iseme ccm yako inayo kubeba eti we sio masikini ungekuwa sio masikini ungekuwa unapointi vitu na kupitisha bungeni vitu vya kukandamiza watu wa hali ya chini acha mambo yako wewe waumize tu wanainchi.

  • @geonycoutinho5055
    @geonycoutinho5055 6 лет назад +1

    sa we unadaiwa mbowe kahusikajeee?? pambana n maden yko broo

  • @boniphacejoseph3389
    @boniphacejoseph3389 6 лет назад +1

    MADAFU nyie .... Nyie inawauma ila wenzenu mnashangilia

  • @zumbeshauri8114
    @zumbeshauri8114 6 лет назад +2

    kiukweli ninavyo kujua kaka msukuma kuanzia ukiwa korogwe kwa mcharo pili nimefika ibanda nimeona unayo ya fanya mimi nimkazi wa tanga wilaya korogwe lakini nimetembea nakufika lwezela kakubili nyamboge nimeona jitihada zako mungu akupe afya

  • @shabanimaganga7333
    @shabanimaganga7333 6 лет назад

    Msukuma kama unadaiwa nenda kalipe,mbona una maneno mengi sana,wangapi wana asset na bado wanadaiwa,nyie wanasiasa mnapenda sana kuongea

  • @denniskiango6901
    @denniskiango6901 6 лет назад

    King watajibeba mm mwenyewe nimepiga picha na basi zako mbili nilipokuwa Mwanza mjini wiki iliyopita

  • @mandadavid6691
    @mandadavid6691 6 лет назад

    mpambanaji sana huyu jamaa...

  • @kisigaanna3422
    @kisigaanna3422 6 лет назад

    King ww achananao wafa maji hao

  • @emmanueljacob3910
    @emmanueljacob3910 6 лет назад

    Hun jipy

  • @nelsonmwavipa9328
    @nelsonmwavipa9328 4 года назад

    Sasa mbowe anahusiana na nini na hilo suala la bank wewe pambana na waliokukopesha siyo mbowe.

  • @nzokawanzoka4224
    @nzokawanzoka4224 6 лет назад

    Kumbe uogo duu

  • @emanuelmwanga4
    @emanuelmwanga4 4 года назад

    Matajiri wengi wamelemewa na mikopo

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan6365 6 лет назад

    Msukuma unajiamini

  • @princessaidal1130
    @princessaidal1130 5 лет назад +1

    Huo ni wivu tu unawatafuna,,,pigs kazi baba

  • @michaelkessy5740
    @michaelkessy5740 6 лет назад

    Mchongo anajua ulipotoka..... Anajua kupambana na kanjanja

  • @JK-yf6dg
    @JK-yf6dg 6 лет назад +1

    nenda kalipe deni

  • @sparlettateeth9735
    @sparlettateeth9735 6 лет назад +4

    Hahaha kanjanja bahna anajikaza mpaka basi we jinadi tu! Watakuuza mpaka wewe!.

  • @mtimkavu6062
    @mtimkavu6062 4 года назад

    Hv wewe una miaka mingapi umri wako mpka 1982,iwe ulikuwa unafanya biashara

  • @nasulaherosimini4035
    @nasulaherosimini4035 4 года назад +1

    Hivi wewe mchunga ngombe unajisifia eti nimekwenda kwa mbowe nimeondoka nawenyeviti 16 angalia mazingira ulio zaliwa kwanza ndio Useme upumbavu wako

  • @nicasmtei1749
    @nicasmtei1749 6 лет назад

    Acha maneno mengi wewe Msukuma kalipe deni.

  • @victorerasto8501
    @victorerasto8501 6 лет назад +1

    kalipe mkopo,kumbe kelele zote hizo unadaiwa mkopo,ulifikiri utaachwa kudaiwa kisa wewe ni mpiga debe wa ccm

  • @shanisshow1864
    @shanisshow1864 6 лет назад +2

    Et wanawasigizia wapinzani wamewaamdika
    Hahahahahah pole jamaa msukuma watakao kushangilia ni hao misukule kama unadaiwa na benki lipa deni lako na neenda mahakamani pia hakuna mtu mjinga aseme unadaiwa na hudaiwi pole saa hao wandishi unawashitaki wa nini msikule bhana mwenyiviti kumi Tisa hahahahaha hongeren

    • @Mike-yg7pb
      @Mike-yg7pb 6 лет назад

      Wewe ndo huelewi, acha matusi usiwaone watu wajinga humu wanaelewa, mbona hawauzi sasa, wewe humwelewi msukuma wewe

  • @mtungilandegeya6312
    @mtungilandegeya6312 6 лет назад

    ACHA POROJO KALIPE DENI WEWE!!!!!!

  • @allyclaude9896
    @allyclaude9896 6 лет назад

    Acha kelele kalipe madeni wengine wakopeshwe

  • @husseinhkitambi1701
    @husseinhkitambi1701 6 лет назад

    Hahahaa

  • @nyandahilali5713
    @nyandahilali5713 5 лет назад

    King naomba tuwasiliane kwa 0766596120 ili nipate kujifunza na kupata ubunifuni Wa maisha

  • @geonycoutinho5055
    @geonycoutinho5055 6 лет назад

    sa we unadaiwa mbowe kahusikajeee?? pambana n maden yko broo