EXCLUSIVE: DR SHIKA Karudi Tena kwa Kishindo, Mabilioni Yake Je?

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • EXCLUSIVE: DR SHIKA Karudi Tena kwa Kishindo, Mabilioni Yake Je?
    Miongoni mwa watu waliowahi kuwa gumzo nchini ni, Dkt Luis Shika, ambaye alijizolea umaarufu mkubwa kufuatia mnada wa nyumba za Lugumi, alizotaka kununua na baadaye akaibuka gumzo kwa kuonekana tapeli hali iliyopelekea kampuni iliyokuwa ikisimamia Mnada huo ya YONO kumfikisha kwenye vyombo vya sheria.
    Baada ya kimya cha muda mrefu, Dkt Shika, ameibuka tena na kuzungumza na Global TV kuhusu Ukimya wake na kinachoendelea juu ya maisha yake kwa sasa.
    Ambapo amesema bado anaendelea na taratibu za kukomboa fedha zake na mwanzoni wa mwezi wa nne zitakuwa tayari zimeshaingia, huku biashara zake nchini Urusi zikiendelea kufanya kazi kama kaawaida.
    lnstal GlobalPublishersApp Android: bit.ly/2AAQe1d iOS: apple.co/2Assf4M Subscribe / uwazi FACEBOOK: / globalpublis. .
    TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishe..., Subscribe / uwazi1
    kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishe... FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli .

Комментарии • 501

  • @ezramassawe639
    @ezramassawe639 4 года назад +3

    Kama kweli mzee doctor ni haki yako mungu anakusikia kilio chako

    • @ezramassawe639
      @ezramassawe639 4 года назад

      Mungu muone uyu mzee alafu mtangazaji pelekee mzee taratibu kwa kumuoj

  • @adeltuslunyali2060
    @adeltuslunyali2060 6 лет назад +2

    Mimi binafsi bado namuelewa sana Dr. Shika la msingi kama kuna mtu,taasisi au mashirika nadhani ni muda muafaka tumsaidie ili afikie muafaka na aendelee na harakati zake za maisha. Please God help this man to reach his goals

  • @nelsonclevery696
    @nelsonclevery696 6 лет назад +3

    Aise Dr. Shika haijalishi utakuwa sahihi au unatudanganyani. Napenda unavyojibu vizuri ktk interviews. He is smart indeed.

  • @hamzaseifrwambo5657
    @hamzaseifrwambo5657 6 лет назад +2

    Hakuna umaharufu bila skendo ...hongera sana Dr.shika...kama umenielewa gonga like

  • @j-lisheonline
    @j-lisheonline 6 лет назад +8

    Huyu dada yuko vizuri kwny interview tofauti na wengn waliokua wanaulizauliza tu

  • @UpeoMinistryofMedia
    @UpeoMinistryofMedia 6 лет назад +19

    Mh huyu mzee ana changamoto kubwa sana saivi!! Wabongo tu warahisi wa kukejeli sana!!

  • @alfredycheyo8847
    @alfredycheyo8847 6 лет назад +6

    Dr Shika sio kwa kunenepa huko,Hongera sana !!

  • @goodwilliam7117
    @goodwilliam7117 6 лет назад +3

    Amenenepa sana Dr shika yaan fuull aibu kwa wale wanafki wasio na maaana.

  • @sharifa2274
    @sharifa2274 6 лет назад +6

    Amenenepa masha allah

  • @Daphne362
    @Daphne362 6 лет назад +5

    Weeee Jamani Dr shika kanenepa..INAPENDEZA 🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗

  • @shufaamohameed2603
    @shufaamohameed2603 6 лет назад +26

    Inshallah utapata km ni haki yako ya halali ..usikate tamaa babangu ..m/mungu atakusaidia haki haipotei

    • @abdallahhemed3527
      @abdallahhemed3527 6 лет назад

      Shufaa Mohameed .ni kweli Dada Allah atamfanyia wepesi

  • @rahmahussein4019
    @rahmahussein4019 6 лет назад +6

    He looks so good..wow !

  • @ftmat2805
    @ftmat2805 6 лет назад +4

    Mashallah hakuna mtu mwembamba ni shida tu ndiyo zinatukumba big up itapendeza.

  • @williamibrahimu9225
    @williamibrahimu9225 6 лет назад +5

    Kweli kabisa amenenepa jamani Hongera

  • @happinessmataluma1948
    @happinessmataluma1948 6 лет назад +3

    good blessing

  • @anthonymkumbae6328
    @anthonymkumbae6328 6 лет назад +8

    Jasho lako lisiwe shida kwa wengine 😂 Dr. Shika 🙌

  • @vanessadavid3634
    @vanessadavid3634 4 года назад +2

    Uyu dada Mimi simuelewi jamani maana Mara anajifanya meneja wake😥😥

  • @charlesmataba6931
    @charlesmataba6931 6 лет назад +1

    Catherine kahabi ,,,hongera sana kwa kubobea taaluma yko ndo maana unailza critical question

  • @عايشهسعيد-ض5ذ
    @عايشهسعيد-ض5ذ 6 лет назад +33

    Jamani amependeza kanenepa

  • @angelemanuel8508
    @angelemanuel8508 6 лет назад +4

    Yesu wangu Dr. Shika kanenepa balaaaa

  • @kirengemnandi
    @kirengemnandi 6 лет назад +6

    Swagger mzee haujaacha

  • @salmadashlaquimanelaquiman4427
    @salmadashlaquimanelaquiman4427 6 лет назад +3

    Mmmmh mashaallah kapendeza

  • @shakavevo7276
    @shakavevo7276 6 лет назад +11

    mi nashangaa mtu unamuuliza kuhusu pesa zale sijui zikiingia zitakusaidia nn mzee unafikiri hata zikija ni mjinga aseme kwenye media ana mabilioni nyie mtamsahabishia mzee wa watu kifo watu watahisi ana pesa mwishoe wamuue

  • @swaumuahmed6107
    @swaumuahmed6107 6 лет назад +2

    looks good

  • @salumizengo1642
    @salumizengo1642 6 лет назад +5

    doctor shika Pambana maisha ni kutfta.. sio kutaftana.... utafanikiwa tu... kutafta hakuna mwisho.

  • @elizabethmwandu9899
    @elizabethmwandu9899 6 лет назад +24

    Umenenepa kweli Dk shika 900 imependeza zaidi

  • @roseirungo1950
    @roseirungo1950 6 лет назад +2

    Amekuwa smart sana ....We ngonja siku ya mungu itafika tu usife moyo

  • @salmadashlaquimanelaquiman4427
    @salmadashlaquimanelaquiman4427 6 лет назад +3

    Nakuamin sana

  • @innocenttemba4066
    @innocenttemba4066 6 лет назад

    God will provide wisdom first to solve all complicated issues he faced

  • @yeasrmsafi7152
    @yeasrmsafi7152 6 лет назад +4

    Daah kapendeza

  • @quranhadith1675
    @quranhadith1675 4 года назад

    Hapo huyo mzee kashalizwa.
    Mtangazaji you're very smart hongera sana.

  • @shemelaruhinda6113
    @shemelaruhinda6113 6 лет назад +8

    Nakupenda Dk Shika

    • @luganojacob
      @luganojacob 6 лет назад

      shemela ruhinda atakuoa

    • @shemelaruhinda6113
      @shemelaruhinda6113 6 лет назад +1

      Lugano Jacob Kwakuwa ni mwanaume na mashine inafanya kaxi basi ataniowa tena nitamtunza vizuri

    • @ryaanemanuel2078
      @ryaanemanuel2078 6 лет назад

      shemela ruhinda lk

    • @wigofleva6142
      @wigofleva6142 6 лет назад

      ruclips.net/video/lgkF_mpxyzY/видео.html

  • @monsieurmwanga1157
    @monsieurmwanga1157 6 лет назад +1

    Dr Shika....Tajiri mtata kweli

  • @ebrahima9987
    @ebrahima9987 6 лет назад +7

    MATANO NILIOGUNDUA KATIKA MAHOJIANO HAYA
    1. Inaonesha Katherine kahabi anafahamu majibu ya maswali mengi anayomuuliza Dr.shika
    2. Inaonesha Dr.shika hakutafutwa katika interview hii Bali amejipeleka.
    3. Inaonesha Dr shika hajui Leo ni tarehe ngapi. Anasema mwisho wa mwezi huu atapata pesa zake ... "Mzee mwisho wa mwezi huu ni leo"
    4. Dr shika anakili hana pesa urusi bali anatafuta pesa zilizokuwa " Evacuated " kutoka urusi
    5. Shati alilolivaa ndani ya suti huenda ndio lilelile alilovaa siku ya mnada.

  • @barytz5977
    @barytz5977 6 лет назад +2

    Nipo

  • @ibrahimmkoko5850
    @ibrahimmkoko5850 6 лет назад +24

    Wewe dada Mtangazaji si ulikuwa unajifanya Manager wa huyo mzee...... Sasa umeneja umekwisha baada ya kugundua Dk waya mmoja umecheza???

  • @adamkindole9734
    @adamkindole9734 6 лет назад +17

    Kweli hakuna mtu mwembamba

  • @othumanmaulid7406
    @othumanmaulid7406 6 лет назад

    Mh dada uko vizuri! Nimejikuta km naongea nae mimi.

  • @wahindiakwembe8066
    @wahindiakwembe8066 6 лет назад

    Umenenepa sana

  • @seifrufai3380
    @seifrufai3380 6 лет назад

    Noma sana

  • @tugesyegemwakatumbula249
    @tugesyegemwakatumbula249 6 лет назад +8

    kawa bonge hatarii

  • @aminakawawa5800
    @aminakawawa5800 6 лет назад +1

    kanenepa mashallah

  • @FailFasterLearnFaster
    @FailFasterLearnFaster 6 лет назад +1

    Duh! Kanenepa kweli kweli. Mungu mkubwa

  • @NiraSaire
    @NiraSaire 6 лет назад +3

    Sawa

  • @mzeewaodds.3745
    @mzeewaodds.3745 6 лет назад +2

    Catherine Kahabi 💞💘

  • @mariunkirungi6201
    @mariunkirungi6201 6 лет назад

    waoooh umependeza sana dr shika hakuna mtu mwembamba dunian

  • @shaabanramadhan6770
    @shaabanramadhan6770 6 лет назад +8

    amenenepa hyu mzee duh mamb si mabaya

  • @Ben24485
    @Ben24485 6 лет назад

    Akili zake anazijua mwenyewe loh.... It is so sad kuishi na ndoto badala ya kukubaliana na ukweli kwamba huna.

  • @Kijana-wa-Tanzania
    @Kijana-wa-Tanzania 6 лет назад +1

    Mijitu ya propaganda inamtumia huyu jamaa kubadili upepo ndani ya Tanzania!
    And by the way ni kichwa cha system! Kazi nzuri...endelea kuwachanganya Watanzania!

  • @sarun7231
    @sarun7231 6 лет назад

    We dada nimependa sana maswalli yako good job. halafu alisema ameteuliwa balozi un

  • @Mariam-ez4qw
    @Mariam-ez4qw 6 лет назад +4

    kanenepa sana pia kapendeza

    • @saifsaif3010
      @saifsaif3010 6 лет назад

      huyu katumwa na majamaa ili watu washuhulike naye ni wengi ni wajinga. jamani tumieni akila

    • @Mariam-ez4qw
      @Mariam-ez4qw 6 лет назад

      saif saif kabisaa inatakiwa itumike akili ya ziada

  • @briannyasibora1284
    @briannyasibora1284 6 лет назад +2

    ahaa,kanenepa hatarii

  • @newforcejv9721
    @newforcejv9721 6 лет назад +1

    Mungu mwema umenenepa nanaamini lipo jambo juu yako na kama niuwongo kuna namna ya kukufunga na ikiwa kweli bac wengi watafunga mdomo mwezi mmoja cmwaka mmoja tunakungoja mzeeebabaaaa Shiiiiiiiiiiiiiikaaaaaaaaaa

  • @shifaa3327
    @shifaa3327 6 лет назад +9

    Mhh mm nahisi hy mzee ana kitu cha kwl ela anachezwa kidunia kw mambo hayo bt mzee wng achana nayo na pesa pia achana nazo na achana nayo hy mambo kubali hl yk

  • @AbelJohn-tx4in
    @AbelJohn-tx4in Месяц назад

    Mmh, mimi na mashaka sana na Dr Shika, sijui ni kw nini

  • @rahmaa.naim.9391
    @rahmaa.naim.9391 6 лет назад +11

    900 Itapendeza

  • @maryammeme2615
    @maryammeme2615 6 лет назад +24

    Hahahaaa Mzee chizi huyo....pesa gani izo zisizofika...mm naona kukaa kimya itapendeza Dr.

    • @salummuhija4435
      @salummuhija4435 6 лет назад +1

      Maryam Meme chizi anaweza kujieleza kwa uzuri kiasi hicho? Mtangazaji mwenyewe mpaka anaishiwa maswali, unafanya mchezo nini hicho kichwa.

    • @mamatuishi-mamatuondoke8822
      @mamatuishi-mamatuondoke8822 6 лет назад +3

      Hahahahaha Anatutoa stress lkn

    • @mwasakafyukasamson
      @mwasakafyukasamson 6 лет назад

      Mnatuzingua na ujinga ujinga huu

    • @hollymore4904
      @hollymore4904 6 лет назад

      Maryam Meme 😂

  • @reenycolor2085
    @reenycolor2085 6 лет назад

    Uyu anatapeliwa na wajuzi wa mitandao na wala hajagundua aiseee Mungu akusaidie

  • @stevencherdiel9522
    @stevencherdiel9522 4 года назад

    Jamani miezi michache iliyopita mlitwambia mabilioni ya kwanza yameingia na kwa maneno yake Dr shika alisema hilo ni tone LA kwanza. Akauambia umma kuwa fedha zilipokelewa airport, zikapelekwa benki kuu kisha tawi LA benki fulani jijini Dar es Salaam, sasa mbona mnaturudisha nyuma hamtupi ule mwendelezo wa tone LA kwanza?

  • @greenforwardforevertv2499
    @greenforwardforevertv2499 4 года назад

    Dr. anajua kujieleza nimemkubali sana kwa kujiamini kwenye kujenga hoja.

  • @MauscofieldMwanzemo
    @MauscofieldMwanzemo 6 лет назад

    Dah! kazi kwelikweli

  • @talmonluka9418
    @talmonluka9418 6 лет назад +1

    ok

  • @suleimanali3716
    @suleimanali3716 6 лет назад +4

    Kanenepa sana

  • @saidasimba9979
    @saidasimba9979 6 лет назад +1

    Hata anaekuhoji nafikir uwezo wake mdogo sana .muulize yeye si mtaalam aende pale mhimbili tumuone atuthibitishie au au tafuta mtaalam atuthibitishie ni Dr kweli au muulize maswal mawili matatu ya kuhusiana na utaalam wake . maana anaonekana hana lolote ata elim hana Hugo.

  • @emmanueldaniel1781
    @emmanueldaniel1781 6 лет назад +1

    Mmmmhhhhh siwezi kusema chochote juu ya hilo

  • @maryammeme2615
    @maryammeme2615 6 лет назад +21

    Akili zake anazijua mwenyewe huyo itapendeza

    • @jafaryjafarizoh6186
      @jafaryjafarizoh6186 5 лет назад

      Maryam Meme hahaha maryama umenichekexha nikweli akili zak anazijua mwenyewe uyu itapendeza

    • @omarynyenyebwe5530
      @omarynyenyebwe5530 5 лет назад

      Huyu mzee pesa anazo huyo ndio maana porisi wamemuachia

  • @Zefaniaonline
    @Zefaniaonline 6 лет назад +1

    Shika namkubali sana

  • @injili90
    @injili90 6 лет назад

    Itapendeza zaidi

  • @jeremiahsengasu6595
    @jeremiahsengasu6595 6 лет назад +2

    amenenepa balaa

  • @saidsaid9463
    @saidsaid9463 6 лет назад +3

    Mmm yangu macho sasa

    • @dadileonard2392
      @dadileonard2392 6 лет назад

      labda figisu nyingi sana

    • @saidsaid9463
      @saidsaid9463 6 лет назад

      Dadi Leonard labda chamsingi anza upya

    • @saifsaif3010
      @saifsaif3010 6 лет назад

      huyu jamaa amesoma na anajua anafanya nini na kila siku anaghara tu.

    • @saidsaid9463
      @saidsaid9463 6 лет назад

      saif saif ni kweli ktk wasomi huyo namba moja bora karudi kwenye mtandao stori zibadilike

  • @shameemrashid5219
    @shameemrashid5219 6 лет назад

    Yaan kapendeza mashalaah

  • @godfreykanelela1257
    @godfreykanelela1257 6 лет назад

    Amenenepa kwl shika

  • @hamadshein935
    @hamadshein935 6 лет назад +1

    Mtangazaji.

  • @lindasophia1288
    @lindasophia1288 6 лет назад +5

    Jaman nyie watu amuwezi kuelewa kiukweli kusafirisha pesa kutoka nchi kwenda nchi siyo kitu rahisi kama mnafyo fikiria,,,

  • @eddimalon6051
    @eddimalon6051 4 года назад

    Mungu amlaze mahali pema peponi.

    • @SisteryMagwaza-pi2yk
      @SisteryMagwaza-pi2yk 5 месяцев назад

      Si alikufa huyu jaman ebu nipen ukwel na mm nijue maana huu mwaka ni 2024???

  • @mariamfaki1166
    @mariamfaki1166 6 лет назад +23

    Huyu inaelekea pesa alizopata za matangazo alipata mwanamke akawa nae mpaka pesa zimeisha karudi tena viwanjani

    • @rukiaosman8416
      @rukiaosman8416 6 лет назад +1

      Mariam Faki jamani huyo mzee hana pesa mungu amemjaaliya apate msada kwenye hizo pesa lakini hanakitu

    • @rukiaosman8416
      @rukiaosman8416 6 лет назад +1

      Mariam Faki mm nikohapa America nafanya kazi bank
      Of America huyo hanakitu

    • @gospelvibestv3914
      @gospelvibestv3914 6 лет назад

      hahahaaaaa

    • @ilovejesus9303
      @ilovejesus9303 6 лет назад

      Mariam Faki 😂😂😁😁😁😀😀😀😀

    • @rehemanhamanilo5294
      @rehemanhamanilo5294 6 лет назад

      rukia naomba contact zako...

  • @howardmashauri.3013
    @howardmashauri.3013 6 лет назад +1

    Ngoja tuendelee kusubiri sound nyengine😂😂😂

  • @oliviaseth4652
    @oliviaseth4652 6 лет назад +3

    Sielewi,

  • @WestChoma01
    @WestChoma01 6 лет назад

    Sanaa hii hakuna hela apo

  • @jensennashon6147
    @jensennashon6147 6 лет назад

    If you know how capable their intelligence is...you can never dare immersing yourself in this

  • @moshimongelwa7795
    @moshimongelwa7795 6 лет назад +1

    Dah kavimba imependeza zaidi

  • @selemenimatary8244
    @selemenimatary8244 6 лет назад

    ibrahim mkoko umenichekesha sana kwa kauli yako Dada kasepa umeneja baada kagundua waya umecheza

  • @bakaresabaraka1478
    @bakaresabaraka1478 6 лет назад +2

    kanenepa

  • @alexanderkapinga2245
    @alexanderkapinga2245 6 лет назад +3

    Duuuu kweli subira yavuta heri nilikuwa namwamini huyu mzee lakini naona anatudanganya tu kama watoto.

  • @gerardinebimenyimana1951
    @gerardinebimenyimana1951 6 лет назад +7

    Atawachokesha Akili .mumuache mbona munamudhi.hao munamudai. naona mtangazaji kama bifu tayari

  • @gidionmesaus1818
    @gidionmesaus1818 6 лет назад +3

    😀😀😀😀 Dr shika unafrahisha et biashara ya yono haikuwa na maelewano mazuri nakati mtu mwenyewe kapuku tu huna hella halafu unaropokaropoka tu Acha bangi mzee baba

  • @flyhigher5393
    @flyhigher5393 6 лет назад +3

    kwan hela zina safirishwa kwa ndege?????
    Dah we mzee unazingua tena muongo xnaaaa hela kwann zicje bank?????

    • @Rashidmhedhery
      @Rashidmhedhery 6 лет назад

      Rogi sana huyu mzee

    • @sofilove7024
      @sofilove7024 5 лет назад

      Akili za kijijini pesa siyo kitu cha mchezo kuzitowA inchi kwenda inchi nyingine asa ulaya

  • @joelpeterchengula4175
    @joelpeterchengula4175 6 лет назад +1

    Atasubiri hela hizo mpaka anaingia kaburini hatazipata kamwe

  • @ravascotsuma1852
    @ravascotsuma1852 6 лет назад

    HUYO DR. SHIKA HANA PESA. TUMECHOKA KUSIKILIZA NA MUSEMO WAKE WA KILA SIKU ETI PESA ZAKE ZILIINGIA ALAFU ZILIRUDISHWA. UONGO HANA PESA.

  • @amosbinmahona9947
    @amosbinmahona9947 6 лет назад +2

    Kumbe iko siku na Mimi nitanenepa

  • @fatmachambotanzania9379
    @fatmachambotanzania9379 6 лет назад +11

    Duuuh mzee baba nilikumiss ulikua wapi wewe baba ndio nakuona leo

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 6 лет назад

    Duh....?!...iko siku tutaelewa tu.

  • @noelajohn5106
    @noelajohn5106 6 лет назад +2

    mhh

  • @JohnmenaClassic
    @JohnmenaClassic 6 лет назад

    Aiseee

  • @jamesmpagama3784
    @jamesmpagama3784 6 лет назад +1

    ukimsikiliza kwa makini huyu mzee anaonekana ni mwongo. Anatumia kivuli cha kuwa anapesa urusi ili apate umaarufu zaidi. Kihalisia kumuamini huyuu mzee ni sawa nakusubiri meli stendi

  • @officialkamdudu
    @officialkamdudu 6 лет назад

    Dah ! Unajua kujitetea aise
    Mzee tapeli huyo pumbav zake...

  • @cledeshiyukalifa5622
    @cledeshiyukalifa5622 6 лет назад

    haka kazee kaongo sana duhh jaman umevurugwa kweli

  • @viniaskadunda5768
    @viniaskadunda5768 6 лет назад

    Mzee uko vizuri kwa majibu yako

  • @ggjghh6245
    @ggjghh6245 6 лет назад +1

    Yani huyu baba nimuongo.wa kimataifa jamani sasa analekea angola urus haijapendeza sasa angola itapendeza sana

  • @halimamohamedy3571
    @halimamohamedy3571 6 лет назад +3

    Duuuuhhh wey mzee upo kumbee ila umenenepa cyo yule dk shika wa mwaz ata ukimuona akiongea unatani kulia