EXCLUSIVE: DR SHIKA Karudi Tena kwa Kishindo, Mabilioni Yake Je?
HTML-код
- Опубликовано: 15 сен 2024
- EXCLUSIVE: DR SHIKA Karudi Tena kwa Kishindo, Mabilioni Yake Je?
Miongoni mwa watu waliowahi kuwa gumzo nchini ni, Dkt Luis Shika, ambaye alijizolea umaarufu mkubwa kufuatia mnada wa nyumba za Lugumi, alizotaka kununua na baadaye akaibuka gumzo kwa kuonekana tapeli hali iliyopelekea kampuni iliyokuwa ikisimamia Mnada huo ya YONO kumfikisha kwenye vyombo vya sheria.
Baada ya kimya cha muda mrefu, Dkt Shika, ameibuka tena na kuzungumza na Global TV kuhusu Ukimya wake na kinachoendelea juu ya maisha yake kwa sasa.
Ambapo amesema bado anaendelea na taratibu za kukomboa fedha zake na mwanzoni wa mwezi wa nne zitakuwa tayari zimeshaingia, huku biashara zake nchini Urusi zikiendelea kufanya kazi kama kaawaida.
lnstal GlobalPublishersApp Android: bit.ly/2AAQe1d iOS: apple.co/2Assf4M Subscribe / uwazi FACEBOOK: / globalpublis. .
TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishe..., Subscribe / uwazi1
kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishe... FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli .
Kama kweli mzee doctor ni haki yako mungu anakusikia kilio chako
Mungu muone uyu mzee alafu mtangazaji pelekee mzee taratibu kwa kumuoj
Mimi binafsi bado namuelewa sana Dr. Shika la msingi kama kuna mtu,taasisi au mashirika nadhani ni muda muafaka tumsaidie ili afikie muafaka na aendelee na harakati zake za maisha. Please God help this man to reach his goals
Aise Dr. Shika haijalishi utakuwa sahihi au unatudanganyani. Napenda unavyojibu vizuri ktk interviews. He is smart indeed.
Hakuna umaharufu bila skendo ...hongera sana Dr.shika...kama umenielewa gonga like
Huyu dada yuko vizuri kwny interview tofauti na wengn waliokua wanaulizauliza tu
Mh huyu mzee ana changamoto kubwa sana saivi!! Wabongo tu warahisi wa kukejeli sana!!
Dr Shika sio kwa kunenepa huko,Hongera sana !!
Dk.shika kawa mtamu
Amenenepa sana Dr shika yaan fuull aibu kwa wale wanafki wasio na maaana.
Amenenepa masha allah
Weeee Jamani Dr shika kanenepa..INAPENDEZA 🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗
Inshallah utapata km ni haki yako ya halali ..usikate tamaa babangu ..m/mungu atakusaidia haki haipotei
Shufaa Mohameed .ni kweli Dada Allah atamfanyia wepesi
He looks so good..wow !
ngoja atafune mb zetu
Mtu ni kwao , kapendeza sana,
Mashallah hakuna mtu mwembamba ni shida tu ndiyo zinatukumba big up itapendeza.
Kweli kabisa amenenepa jamani Hongera
good blessing
Jasho lako lisiwe shida kwa wengine 😂 Dr. Shika 🙌
Uyu dada Mimi simuelewi jamani maana Mara anajifanya meneja wake😥😥
Catherine kahabi ,,,hongera sana kwa kubobea taaluma yko ndo maana unailza critical question
Jamani amependeza kanenepa
عايشه سعيد true aisee
Yesu wangu Dr. Shika kanenepa balaaaa
Swagger mzee haujaacha
Mmmmh mashaallah kapendeza
mi nashangaa mtu unamuuliza kuhusu pesa zale sijui zikiingia zitakusaidia nn mzee unafikiri hata zikija ni mjinga aseme kwenye media ana mabilioni nyie mtamsahabishia mzee wa watu kifo watu watahisi ana pesa mwishoe wamuue
looks good
doctor shika Pambana maisha ni kutfta.. sio kutaftana.... utafanikiwa tu... kutafta hakuna mwisho.
Umenenepa kweli Dk shika 900 imependeza zaidi
Huyu mzee kuna kitu kikubwa ataifanyia nchi hii,wacha tusubiri
y
Amekuwa smart sana ....We ngonja siku ya mungu itafika tu usife moyo
Rose Irungo
Nakuamin sana
God will provide wisdom first to solve all complicated issues he faced
Daah kapendeza
Hapo huyo mzee kashalizwa.
Mtangazaji you're very smart hongera sana.
Nakupenda Dk Shika
shemela ruhinda atakuoa
Lugano Jacob Kwakuwa ni mwanaume na mashine inafanya kaxi basi ataniowa tena nitamtunza vizuri
shemela ruhinda lk
ruclips.net/video/lgkF_mpxyzY/видео.html
Dr Shika....Tajiri mtata kweli
MATANO NILIOGUNDUA KATIKA MAHOJIANO HAYA
1. Inaonesha Katherine kahabi anafahamu majibu ya maswali mengi anayomuuliza Dr.shika
2. Inaonesha Dr.shika hakutafutwa katika interview hii Bali amejipeleka.
3. Inaonesha Dr shika hajui Leo ni tarehe ngapi. Anasema mwisho wa mwezi huu atapata pesa zake ... "Mzee mwisho wa mwezi huu ni leo"
4. Dr shika anakili hana pesa urusi bali anatafuta pesa zilizokuwa " Evacuated " kutoka urusi
5. Shati alilolivaa ndani ya suti huenda ndio lilelile alilovaa siku ya mnada.
Ebrahim A hahahaha you are right Mr
dddduuuuuh wew noumah
Ebrahim A ahahahahahahahaaaa ww jamaa sio wa nchi hii
Ebrahim A
Wewe ni kichwa,I wish to see u
Nipo
Wewe dada Mtangazaji si ulikuwa unajifanya Manager wa huyo mzee...... Sasa umeneja umekwisha baada ya kugundua Dk waya mmoja umecheza???
Yereeee uuuuuuwiiiiiiiii
waaaaaaaoh nimeipenda hii
Ibrahim Mkoko : wamekula hela wote, zimeisha wamerudi
Mashallah
Kweli hakuna mtu mwembamba
ajielewi
Mbona hy ni ngum sana
Mh dada uko vizuri! Nimejikuta km naongea nae mimi.
Umenenepa sana
Noma sana
kawa bonge hatarii
kanenepa mashallah
Duh! Kanenepa kweli kweli. Mungu mkubwa
Sawa
Catherine Kahabi 💞💘
waoooh umependeza sana dr shika hakuna mtu mwembamba dunian
amenenepa hyu mzee duh mamb si mabaya
Akili zake anazijua mwenyewe loh.... It is so sad kuishi na ndoto badala ya kukubaliana na ukweli kwamba huna.
Mijitu ya propaganda inamtumia huyu jamaa kubadili upepo ndani ya Tanzania!
And by the way ni kichwa cha system! Kazi nzuri...endelea kuwachanganya Watanzania!
We dada nimependa sana maswalli yako good job. halafu alisema ameteuliwa balozi un
kanenepa sana pia kapendeza
huyu katumwa na majamaa ili watu washuhulike naye ni wengi ni wajinga. jamani tumieni akila
saif saif kabisaa inatakiwa itumike akili ya ziada
ahaa,kanenepa hatarii
Mungu mwema umenenepa nanaamini lipo jambo juu yako na kama niuwongo kuna namna ya kukufunga na ikiwa kweli bac wengi watafunga mdomo mwezi mmoja cmwaka mmoja tunakungoja mzeeebabaaaa Shiiiiiiiiiiiiiikaaaaaaaaaa
Mhh mm nahisi hy mzee ana kitu cha kwl ela anachezwa kidunia kw mambo hayo bt mzee wng achana nayo na pesa pia achana nazo na achana nayo hy mambo kubali hl yk
Mmh, mimi na mashaka sana na Dr Shika, sijui ni kw nini
900 Itapendeza
Rahhhhhma Rahma
Rahma Rahma 😁😁😀😀😀
Hahahaaa Mzee chizi huyo....pesa gani izo zisizofika...mm naona kukaa kimya itapendeza Dr.
Maryam Meme chizi anaweza kujieleza kwa uzuri kiasi hicho? Mtangazaji mwenyewe mpaka anaishiwa maswali, unafanya mchezo nini hicho kichwa.
Hahahahaha Anatutoa stress lkn
Mnatuzingua na ujinga ujinga huu
Maryam Meme 😂
Uyu anatapeliwa na wajuzi wa mitandao na wala hajagundua aiseee Mungu akusaidie
Jamani miezi michache iliyopita mlitwambia mabilioni ya kwanza yameingia na kwa maneno yake Dr shika alisema hilo ni tone LA kwanza. Akauambia umma kuwa fedha zilipokelewa airport, zikapelekwa benki kuu kisha tawi LA benki fulani jijini Dar es Salaam, sasa mbona mnaturudisha nyuma hamtupi ule mwendelezo wa tone LA kwanza?
Dr. anajua kujieleza nimemkubali sana kwa kujiamini kwenye kujenga hoja.
Dah! kazi kwelikweli
ok
Kanenepa sana
Hata anaekuhoji nafikir uwezo wake mdogo sana .muulize yeye si mtaalam aende pale mhimbili tumuone atuthibitishie au au tafuta mtaalam atuthibitishie ni Dr kweli au muulize maswal mawili matatu ya kuhusiana na utaalam wake . maana anaonekana hana lolote ata elim hana Hugo.
Mmmmhhhhh siwezi kusema chochote juu ya hilo
Akili zake anazijua mwenyewe huyo itapendeza
Maryam Meme hahaha maryama umenichekexha nikweli akili zak anazijua mwenyewe uyu itapendeza
Huyu mzee pesa anazo huyo ndio maana porisi wamemuachia
Shika namkubali sana
Itapendeza zaidi
amenenepa balaa
Mmm yangu macho sasa
labda figisu nyingi sana
Dadi Leonard labda chamsingi anza upya
huyu jamaa amesoma na anajua anafanya nini na kila siku anaghara tu.
saif saif ni kweli ktk wasomi huyo namba moja bora karudi kwenye mtandao stori zibadilike
Yaan kapendeza mashalaah
Amenenepa kwl shika
Mtangazaji.
Jaman nyie watu amuwezi kuelewa kiukweli kusafirisha pesa kutoka nchi kwenda nchi siyo kitu rahisi kama mnafyo fikiria,,,
Linda Sophia kweli kaka
Mungu amlaze mahali pema peponi.
Si alikufa huyu jaman ebu nipen ukwel na mm nijue maana huu mwaka ni 2024???
Huyu inaelekea pesa alizopata za matangazo alipata mwanamke akawa nae mpaka pesa zimeisha karudi tena viwanjani
Mariam Faki jamani huyo mzee hana pesa mungu amemjaaliya apate msada kwenye hizo pesa lakini hanakitu
Mariam Faki mm nikohapa America nafanya kazi bank
Of America huyo hanakitu
hahahaaaaa
Mariam Faki 😂😂😁😁😁😀😀😀😀
rukia naomba contact zako...
Ngoja tuendelee kusubiri sound nyengine😂😂😂
Sielewi,
Sanaa hii hakuna hela apo
If you know how capable their intelligence is...you can never dare immersing yourself in this
Dah kavimba imependeza zaidi
ibrahim mkoko umenichekesha sana kwa kauli yako Dada kasepa umeneja baada kagundua waya umecheza
kanenepa
Duuuu kweli subira yavuta heri nilikuwa namwamini huyu mzee lakini naona anatudanganya tu kama watoto.
Atawachokesha Akili .mumuache mbona munamudhi.hao munamudai. naona mtangazaji kama bifu tayari
Gérardine Bimenyimana mambo sst
😀😀😀😀 Dr shika unafrahisha et biashara ya yono haikuwa na maelewano mazuri nakati mtu mwenyewe kapuku tu huna hella halafu unaropokaropoka tu Acha bangi mzee baba
kwan hela zina safirishwa kwa ndege?????
Dah we mzee unazingua tena muongo xnaaaa hela kwann zicje bank?????
Rogi sana huyu mzee
Akili za kijijini pesa siyo kitu cha mchezo kuzitowA inchi kwenda inchi nyingine asa ulaya
Atasubiri hela hizo mpaka anaingia kaburini hatazipata kamwe
HUYO DR. SHIKA HANA PESA. TUMECHOKA KUSIKILIZA NA MUSEMO WAKE WA KILA SIKU ETI PESA ZAKE ZILIINGIA ALAFU ZILIRUDISHWA. UONGO HANA PESA.
Kumbe iko siku na Mimi nitanenepa
Duuuh mzee baba nilikumiss ulikua wapi wewe baba ndio nakuona leo
Duh....?!...iko siku tutaelewa tu.
mhh
Aiseee
ukimsikiliza kwa makini huyu mzee anaonekana ni mwongo. Anatumia kivuli cha kuwa anapesa urusi ili apate umaarufu zaidi. Kihalisia kumuamini huyuu mzee ni sawa nakusubiri meli stendi
Dah ! Unajua kujitetea aise
Mzee tapeli huyo pumbav zake...
haka kazee kaongo sana duhh jaman umevurugwa kweli
Mzee uko vizuri kwa majibu yako
Yani huyu baba nimuongo.wa kimataifa jamani sasa analekea angola urus haijapendeza sasa angola itapendeza sana
Duuuuhhh wey mzee upo kumbee ila umenenepa cyo yule dk shika wa mwaz ata ukimuona akiongea unatani kulia