Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.

"NILITEKWA URUSI SABABU YA KUWA NA PESA NYINGI" - DR. LUIS SHIKA ASIMULIA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 ноя 2017

Комментарии • 808

  • @bensonfrank643
    @bensonfrank643 6 лет назад +196

    Ndugu zangu PhD ya MEDICAL SCIENCE sio ya kipole pole, Kama kusoma inabidi uwe Kichwa Sana Yaan, Ifike Time Tumpe HESHIMA huyu Mzee Amesoma Sana. He's very Innocent, Obedient, Smart kichwani.. RESPECT ndio kitu cha kumpa huyu Mzee Msifanye TOYI

  • @godotaru7088
    @godotaru7088 6 лет назад +22

    Asee mzee nakuombea mungu akufanikishe uweze kulipa.iliwatu wanao jua kuhukumu waaibike

    • @sabasandrenethea6472
      @sabasandrenethea6472 6 лет назад

      god otaru Mambo vipi?
      Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ilo hapo kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana

  • @mariamoman7593
    @mariamoman7593 6 лет назад +22

    sbuhanna allh pole babu kwa yaliyo kukuta nmekupenda bure babu ang
    😘😘😘😘

    • @sabasandrenethea6472
      @sabasandrenethea6472 6 лет назад

      Mariam Oman Assalamualaikum!
      Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ilo hapo kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana

    • @elastomsigala5153
      @elastomsigala5153 6 лет назад

      Mariam Oman

    • @mariamoman7593
      @mariamoman7593 6 лет назад

      +Elasto Msigala hi

  • @tumsifujoachim5877
    @tumsifujoachim5877 6 лет назад +30

    hujafa hujaumbika, kweli mzee kateseka sana

    • @sabasandrenethea6472
      @sabasandrenethea6472 6 лет назад

      TUMSIFU JOACHIM Mambo vipi?
      Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ilo hapo kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana

    • @bettyowiti397
      @bettyowiti397 4 года назад

      Rip..

  • @deusmadel3283
    @deusmadel3283 6 лет назад +10

    Wanaokudharau, sku moja watakusalimia kwa heshima. Ukweli utajulikana tu... but huyu baba yuko vizuri sana. Big_up kwake Atainuliwa. Mungu kaamua kumfungulia milango kwa njia hiyo.

  • @chobaray
    @chobaray 6 лет назад +4

    Mzee kasoma Elimu ya Juu Sana,Kuliko Watu wengi sana Tanzania,#Salute OG
    GOD BLESS YOU

  • @zahabujoseph6584
    @zahabujoseph6584 6 лет назад +1

    Mzee nimekuelewa vilivyo uko smart sana, hapo ndo tofauti ilipo kati ya kusoma na kuelimika na kusoma kuongeza miaka shuleni.

  • @abdallahhemed3527
    @abdallahhemed3527 6 лет назад +43

    pole Mzee tumekuelewa.Allah atakulipa kwa hizi zulma walizo kufanyia.Sasa nyinyi muliomzalau mumeona MTU alivyokuwa yuko lakini,je MTU ambae ana akili a naweza kuwa na kumbukumbu kiasi hiki?kutokan na hii mitihani aliyopita ndio imuathiri kisakolojia lakini bado anajitambua

    • @yohanamartin9012
      @yohanamartin9012 6 лет назад

      Abdallah Hemed

    • @sabasandrenethea6472
      @sabasandrenethea6472 6 лет назад

      Abdallah Hemed Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ili ili hapo kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana

  • @mathayomatondo4024
    @mathayomatondo4024 6 лет назад +35

    Millard MPE hela huyu mzee umetengeneza pesa nyingi sana mungu anakuona ujue

    • @sabasandrenethea6472
      @sabasandrenethea6472 6 лет назад

      Mathayo Matondo Mambo vipi?
      Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ilo hapo kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana

  • @a.j9964
    @a.j9964 6 лет назад +6

    Nimegundua mzee amesoma sana ndo maana anavaa simple sana...daaah pole sana mzee tusamehe watanzania wote

    • @abdallasabour5034
      @abdallasabour5034 6 лет назад

      athman luanda , you are really true
      Wasomi wako simple, pia hata Dada msomi nywele simple, njoo umuangalie mwny cheti cha kuzaliwa tu utajua balaa nywele mavazi km taahra wa Ufilipino

  • @irenelyimo3215
    @irenelyimo3215 6 лет назад +4

    Pole sana mzee wetu nimejifunza kitu kupitia ww kwamba usimzarau mtu kwa muonekano wake

  • @basharahamtzhalisi6871
    @basharahamtzhalisi6871 6 лет назад +106

    Nimemuelewa sana huyu mzee. Kiukweli anachosema kina ukweli ndani yake. Mtu muongo anaonekana tu hata kwa macho. Mi naamini haya maneno yake yote ni ya kweli.

    • @prettymum7430
      @prettymum7430 6 лет назад +2

      Bashiri Girro hata mim sijuwi kwanini but i trust him

    • @kipipakipipa5050
      @kipipakipipa5050 6 лет назад

      Feeling so sad

    • @sulleymanjimmy3199
      @sulleymanjimmy3199 6 лет назад

      duh noma aisee nmemuelewa Sana Dr Shika

    • @doramsuya5135
      @doramsuya5135 6 лет назад

      Bashiri Girro kweli kabisa....

    • @namsamson3443
      @namsamson3443 6 лет назад +1

      Alafu mtu muongo hawezi rudia kitu hicho hicho kila enterview angekuwa anasahau maneno mengine

  • @gadsonogega3774
    @gadsonogega3774 6 лет назад +4

    He is vry educated , clever and hardworking man . Nice inspirational speech to learn what life holds .

  • @zainabbakari3603
    @zainabbakari3603 6 лет назад +59

    Tusizarau watu tusio wajua kwa muonekano wao tuu sio vzr jaman dah mzee yuko tmamu tuu pole babu wng

    • @kyaro5945
      @kyaro5945 6 лет назад +1

      Zainab Bakari polis walimdharau

    • @sabasandrenethea6472
      @sabasandrenethea6472 6 лет назад

      Assalamualaikum!
      Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ili ili hapo uku kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana

  • @bakarimakida1145
    @bakarimakida1145 6 лет назад +36

    Dah... kama hii ni kweli... basi mjomba kapitia misukosuko ya kutosha... pole sana jomba.... Lkn pia tusisahau kauli mbiu yake "Suala la kukaa peke yako halikubaliki"😅😅

    • @sabasandrenethea6472
      @sabasandrenethea6472 6 лет назад

      Bakari M Akida Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ilo hapo kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana

    • @emanuelmaando4753
      @emanuelmaando4753 4 года назад

      Bakari M Akida nimeelewwa

  • @ilovejesus9303
    @ilovejesus9303 6 лет назад +2

    Sasa nimemuelewa mzee jmn, heshima kwako Dr, Pole sanaaaa umekutana na mambo mengi kimaisha katika nchi za watu mpaka inaonekana hauko sawa kiakili. Mungu akupe nguvu

  • @veronicasarvatory9516
    @veronicasarvatory9516 6 лет назад +3

    Pole Sana mungu akupe maisha marefu zaidi hapa duniani Amina

  • @veronicasarvatory9516
    @veronicasarvatory9516 6 лет назад +3

    Mungu wangu. Umenitoa machozi Dr. Shika roho inaniuma Sana. Pole Sana. Mungu akusaidie upate pesa zako zote utimize Marengo yako .mungu anakupenda Sana. Kwa hiyo atakusaidia sana

  • @adaash6591
    @adaash6591 6 лет назад +2

    Men Of The Year Dr Lewis I salute you

  • @josephvictor6871
    @josephvictor6871 6 лет назад +1

    Millard ayo nakukubali mnooo kwa habari mzuri na zaukweli sio kama wengine wanatafuta watazamaji kwa habari za uwongo mungu akulinde na akusimamie kazi zako vyema

  • @foryourglory3041
    @foryourglory3041 6 лет назад +3

    Asante Millard kwa hii habari. We are very quick to judge before hearing someone out. Sasa reputation imechafuka and He has already been through so much. A book is never to be judged by its cover. Hope his story has a better ending now that his story is out.

  • @comedykitaa
    @comedykitaa 6 лет назад +2

    Kinachotokea mtandaoni ndio lilikuwa lengo lake na alisubili sana nafasi hii na imejitokeza. Haikuwa rahisi kupata Masaada bila ya kufanya hivi. Kwa hili Kama nizo pesa zipo serikal itamsaidia. Salute kwako dr shika

    • @sabasandrenethea6472
      @sabasandrenethea6472 6 лет назад

      comedy kitaa Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ilo hapo kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana

  • @charlesabednego9424
    @charlesabednego9424 6 лет назад +23

    mzee yuko vizuri sana anajua kujieleza tusimdharau tusie mjua

    • @sabasandrenethea6472
      @sabasandrenethea6472 6 лет назад

      charles abednego Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ilo hapo kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana

  • @janethlilja9975
    @janethlilja9975 6 лет назад +1

    Pole sana baba! Nimejifunza kitu maisha mwangu, samahani sana kwani nami nilikua miongoni wa wasiokuamini. Sasa na najuta ila nimejifunza, usimdharau umsiemjua wala usimcheke!
    Sasa nimegundua kwanini unaishi maisha yale, sasa kumbe bado umgonjwa wa mbavu kutokana na mateso makali. Hata meno na vidole walikutoa. Hakika Mungu ni mwema. Natamani ningekuona tu ningefurahia moyoni. Wewe ni sawa na umri wa baba ngu ingawa alishatangulia mbele za haki. Naomba Mwenyezi Mungu awaseheme wote waliokukebehi. Kumbe usilolijua kama usiku wa Giza. I promise nikifika Tz nitafanya juu chini nikitafute.

  • @chichijuma1466
    @chichijuma1466 4 года назад +1

    Mungu akulaze mahalo pema lnshaallah

  • @paulmshabaha6356
    @paulmshabaha6356 6 лет назад +4

    He is smart and has a family great thing!!that is real genius🔥🔥

  • @yaledimlawa9108
    @yaledimlawa9108 6 лет назад +2

    Sawa mzee mungu akusimamie sana!!!! Daaaaaa!!! aya bana duuuu!!!!!

  • @khalfansimba9610
    @khalfansimba9610 6 лет назад +15

    *Touch story. Then usimdharau usiemjua kwakweli. Binafsi nimemuelewa. Mbali na changamoto alizopitia lkn ki saikolojia yuko okay, imagine wewe unakutana na vitu kama hivyo. Pole mzee ndio dunia. Nashauri serikali wamuangalie kwa jicho la tatu, hapo aliposema anataka kuhamishia kampuny nchini kwani akifanikiwa means atatoa ajira kwa vijana wa kitanzania wasio na ajira.*

    • @bbakzuvciIii
      @bbakzuvciIii 4 года назад

      HAYA NI MAISHA NDIYO UMUHIMU WA KUMJUA BWANA YESU KRISTO KAMA BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YETU HALLELUIYAH.. KUWA VIZURI SANA KATIKA MAISHA YA KIROHO.. THAT'S ALL WHAT MATTERS

  • @samkabaysa6487
    @samkabaysa6487 6 лет назад +1

    Dr. Shika yaonyesha ni mtu makini sana, na msomi mzuri. Pongezi kwako mheshimiwa.

  • @cammyris2168
    @cammyris2168 6 лет назад +3

    Heshima kwako Baba We do respect you so much na Mungu anakupenda sana Na ndio maana mpaka Leo upo

  • @timothwaitara4458
    @timothwaitara4458 6 лет назад +89

    mzeee huyo anakili sana hata kujielezea anajua kweli huyu ni doctor of philosophy

    • @yohanamartin9012
      @yohanamartin9012 6 лет назад

      Timoth Waitara o;in

    • @sabasandrenethea6472
      @sabasandrenethea6472 6 лет назад

      Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ili ili hapo uku kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana

    • @fatmanasornasor9047
      @fatmanasornasor9047 5 лет назад

      BC akuoe

    • @bbakzuvciIii
      @bbakzuvciIii 4 года назад

      SEMA KAMA HAJAMCHAGUA BWANA YESU KRISTO IT IS NOTHINGG...😪😫😥

    • @stellanyaonge285
      @stellanyaonge285 4 года назад

      @@bbakzuvciIii mjinga tu wew

  • @cosmaspaul8452
    @cosmaspaul8452 6 лет назад +2

    Pole mzee wangu kwa yaliyokukuta, na mwenyez Mungu aendelee kukulnda.... I love you.

  • @omarymasoudykisondo389
    @omarymasoudykisondo389 6 лет назад +2

    Usimdhalau mtu kwa kumuona tu ujui yupoje. Big up mzee baba upo vizuli

  • @jojigeorige1056
    @jojigeorige1056 6 лет назад +28

    Dah maskini, mzee anastori ya kusikitisha sana nimestruggle sana kumaliza dakika zake19:38 inasikitisha japo mwisho kuna kautani kidogo. Ila nimejifunza vitu vipya 3 leo toka kwa huyu mzee. Moja ni Shikiria kengele aka "mbupu" mbwa mkali habwaki( hii ni kwa sie boys tu)
    2. Shika kitovu nyoka mkali hakusogelei kabisa
    3. Usimtazame usoni mtu aliyelala utamwamsha

    • @amimubecha3241
      @amimubecha3241 6 лет назад

      joji georige pamoja kaka, pamoja sana.

    • @minharhocuma5264
      @minharhocuma5264 6 лет назад

      na ya nne "kukaa mwenyewe haikubaliki"

    • @sabasandrenethea6472
      @sabasandrenethea6472 6 лет назад

      joji georige Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ilo hapo kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana

    • @mwaijatvonline895
      @mwaijatvonline895 5 лет назад

      Nimepata somo pia je kwa wanawake unashikilia Nini? Unapopita kwenye mbwa wakali?

    • @sabinamagesse2013
      @sabinamagesse2013 4 года назад

      Dah

  • @josephatjordan2150
    @josephatjordan2150 4 года назад +6

    R.I.P our Dad !!Nenda salama tuko nyuma yako🙏🙏

  • @hafsalucky1088
    @hafsalucky1088 4 месяца назад

    Du pole Sana Baba yetu, Mungu Azidi kukupigania na Akubariki zaidi, akupe furaha na Amani kwa Maisha yako

  • @denisrwebangira136
    @denisrwebangira136 6 лет назад +2

    Aaaaahhh safi sana doctor.

  • @gracekihampa3350
    @gracekihampa3350 6 лет назад +1

    mbinu za watekaji na namna ya kusepa! asante docta.." shikilia kengele mbwa hatabweta"

  • @kato_tz
    @kato_tz 6 лет назад +3

    Asante Milard Ayo, Jana nilisema jamani mwacheni mzee afunguke ana mengi ya kushare. Maskini mpaka chozi limenitoka kwa kweli utajiri wafaa nini kama maisha yako yko hatarini. Baadhi tulisema kuna vitu behind the scene sio bure. Mnaona sasa. So Mzee ameona maisha ya kukaa amejificha hayatamsaidia na angeweza pengine hata kufa bila hata kujulikana. Nakumbuka kamanda wa Police Dar es salaam Mambosasa alimkebehi huyu Mzee kwamba mtu mwenye kavaa ndala hela atatoa wapi, Hii Kauli ilitupa shida tulio wengi.
    Cha kumshukuru Mungu ni kwamba Mzee yuko hai na Afya yake itarejea tu. Amefanya jambo la maana sana kusema ukweli. Mi nahisi bado anayo mengi mpeni tu Kipindi afunguke na kadiri anavofunguka ndivyo chances za kusurvive zinaongezeka.

  • @basharahamtzhalisi6871
    @basharahamtzhalisi6871 6 лет назад

    Pole sana Dr Shika nimekuelewa sana mzee. Wewe ni mtu mwenye busara na hekima tofauti na wanavyokuelewa kimtazamo.

  • @immaruzige1845
    @immaruzige1845 6 лет назад +91

    Huyu mzee kiukweli nimetokea kumuelewa sanaaaa

    • @mansheshe8258
      @mansheshe8258 6 лет назад +1

      Wewe Kama Mimi vile

    • @winniechoyo4072
      @winniechoyo4072 6 лет назад +1

      IMANI ELIAZARY mi pia

    • @danielpatrickrobert125
      @danielpatrickrobert125 6 лет назад

      Huyu mzee inaonekana alikuwa na pes , ila sasa mambo sio baada ya mambo fulani aliyopitia

    • @sabasandrenethea6472
      @sabasandrenethea6472 6 лет назад

      Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ili ili hapo uku kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana

    • @abuuyahya8864
      @abuuyahya8864 5 лет назад

      Imma Ruzige huyu Mzee muongo

  • @gugutachief2950
    @gugutachief2950 6 лет назад +1

    Pole mzee yote maisha...mungu ndo muweza wa kila jambo

  • @balozibalozi5257
    @balozibalozi5257 6 лет назад +2

    Pole sana MZEE nimesikitika tujifunze Kitu vijana

  • @omarisaid1315
    @omarisaid1315 6 лет назад

    Dr shika kaeleweka sana.... kwel ucmzarau ucye mjua.... katupa elimu (Ukishindika kengele zako mbwa javelin) na (ucmtazame alye lala ataamua) Hatariiii.

  • @lucylavender2584
    @lucylavender2584 6 лет назад +1

    Ooh my God ,mungu akusaidie buda

  • @karimhemed9261
    @karimhemed9261 6 лет назад

    Dah!! Maisha Haya!! Cha Msingi Ni Kumuomba Mungu Tu Akufanyie Wepesi Kwenye Kutafuta Rizki Yako!! Maana Hakuna Anayejua Kesho Yake! Pole sana Doctor Historia Ya Maisha Yako Inasikitisha Sana!! Mungu Akusimamie Inshaallah

  • @ckukuu8404
    @ckukuu8404 6 лет назад

    Woooi jamani duniani kuna watu wabaya mi mpka mwili umekauka...pole sana Mzee Allah atakusimamia kila kitu utokea kwa sababu...+254 Mombasa

  • @perfecthilarymbewa5968
    @perfecthilarymbewa5968 6 лет назад +62

    mpen kipindi clauds jamaa ana ongea vitu vya kweli kabisa story yake ina sisimua sana naamini walisikiliza watanzania wata jifunza mengi sana

    • @issamakoba1608
      @issamakoba1608 6 лет назад

      hilary mbewa

    • @sabasandrenethea6472
      @sabasandrenethea6472 6 лет назад

      Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ili ili hapo uku kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana

  • @fababindawood8363
    @fababindawood8363 6 лет назад +1

    nimemuelewa sana Dr Millard Ayo msaidiye huyuu mzee

  • @josephfather2890
    @josephfather2890 6 лет назад +1

    Mungu akutie nguvu katika mambo ako

  • @ashuashu3843
    @ashuashu3843 5 лет назад

    Pole sana dunian kuna viumbe vinaroho ngumu sana sana,binadamu anakuwa zaid ya wanyama wenye miguu minne,nimeumiumia sana kwa dhulma.eee mungu zitie roho zetu Iman.

  • @hongerakkachawasemewwkzbut4996
    @hongerakkachawasemewwkzbut4996 6 лет назад

    pole sana baba angu duu umepitia mitihani mingi ila mungu yupo nawe baba imeniuma sana wallah.

  • @khamiskombo1149
    @khamiskombo1149 6 лет назад

    Tuna shukuru xna mzee wetu ww ni mtanzania mwenzetu tunaomba serikali imsaidie huyu mzee nimtu mzuri mwenye nia yakuleta maendeleo

  • @emmanuelkanje7585
    @emmanuelkanje7585 6 лет назад

    Naomba kuuliza
    Huyu Dr L.S Kid, kwa wale mmefuatilia maelezo yake kwenye You tube. Inaonekana ni kichwa sana ila kuna misukosuko alopitia kulingana na maelezo yake. Je hamna jinsi yoyote serikali Inaweza kufanya kufuatilia ukweli na endapo wakagundua kasema ukweli hamna jinsi ya kumsaidia akarudi kwenye form yake, Dr Shika ni rasilimani adimu sana, tukiacha ikapotea hivi hivi kwa kweli ni dhambi hata mbele za Mungu. Naomba kuwasilisha

  • @winniechoyo4072
    @winniechoyo4072 6 лет назад +7

    Pole kwa matatizo mzee Wang

  • @shadrackmnjelu5285
    @shadrackmnjelu5285 6 лет назад

    Mzeeeeee ukooo vzriiiii kbsaaa yaan

  • @emanueljuma1139
    @emanueljuma1139 6 лет назад

    pole sana aise, inavyoonekana maisha uliyo ptia ndo yamekufanya uwe hvo. ila ukwl inaonyesha kuwa ww ni mtu msomi na umeelimika, wanachotakiwa kukufanyia ni kukupatia msaada ili upate stahiki zako..!!

  • @masharamadhanmashaka6571
    @masharamadhanmashaka6571 6 лет назад +1

    kweli usimzarau usie najuwa, pole sana babu kwayote yalokukuta Mungu atakulipia yote hayo

  • @mussakipete6371
    @mussakipete6371 6 лет назад +1

    Dua yangu na iwe mbele yako daima mzee wangu

  • @leonardqamunga2141
    @leonardqamunga2141 6 лет назад

    Millard uko vzr na utafika mbali sanaaaaaaaa kwa kazi nzur unayoifanya

  • @emmanuelyandu1608
    @emmanuelyandu1608 6 лет назад +2

    OMG, I'm moved!

  • @edithakaaya7551
    @edithakaaya7551 6 лет назад

    nimemuelewa sanaaa..Anahitaji msaada...wap mr presdent

  • @cammyris2168
    @cammyris2168 6 лет назад

    Nimekupenda to the extent Na Mwenyezi Mungu Anisamehe Kwa pale nilipolopoka kuhuxu mia TSA inapendeza

  • @blasskameta944
    @blasskameta944 4 года назад +5

    Daaah R.I.P Dr shika pumzika kwa Amani

  • @boscomuyinga2164
    @boscomuyinga2164 6 лет назад +3

    😢 😢 😢 😢 😢 😢 😢 kwenyekipigo pole sana mzee

  • @elymollel
    @elymollel 6 лет назад

    This man is smart we shouldn't underate him. Kama mtu nk mwongo maelezo yake huwa hujulikana tu.

  • @hongerakkachawasemewwkzbut4996
    @hongerakkachawasemewwkzbut4996 6 лет назад +1

    toa na kitabu mzee iwe historia ya watanzania maana walio wengi hawaelewi kuwa umepitia mitihani mingi sana duu pole sana.

  • @sebamabee5228
    @sebamabee5228 6 лет назад +5

    Ingekuwa mbele tayari watayarishaji wa kubwa na makampuni makubwa ya Filamu yangekuwa tayari yapo location januari tunasubiria movie mupya ya Dr Louis S Kid. Ila kwa hapa kwetu Bongo lala ni balaa watayarishaji wa filamu wanataka watutengenezee filamu zao za mtu katoka bush huko kakutana na demu wa kishua alaf anafanikiwa kimaisha (hizo ni bangi). Stori ya huyu mzee ni Bonge la filamu la kupiga hela na kujitofautisha kimtazamo na utayarishaji wa filamu.

  • @remedymoody
    @remedymoody 6 лет назад

    Pole sana Dr.

  • @kingzed7763
    @kingzed7763 6 лет назад +41

    naamini huyu mzee ni billionaire kweli, he knows how to explain his self dah nlikerwa na yule afande aloongea pumba kwa kumjaj mtu kimuonekano ata kabla ya kucheki hii

  • @ngussa7513
    @ngussa7513 6 лет назад +1

    Dr Luiz Shika...👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👍

  • @DrNyamwiMSMD
    @DrNyamwiMSMD 6 лет назад +3

    he is very smart and technical.......bt some shit happens..

  • @masakakambesha4521
    @masakakambesha4521 6 лет назад +6

    So smart kichwani

  • @faridmobji
    @faridmobji 6 лет назад +2

    Mzee yuko poa sana sana 👏👏👏👏

  • @samuelmuhindosivamwanza4988
    @samuelmuhindosivamwanza4988 5 лет назад

    Pole sana baba. Mungu aendelee kukulinda

  • @amoseliud6515
    @amoseliud6515 6 лет назад +2

    We mzee noma nimekuelewa sana

  • @emanuelkvannyii8268
    @emanuelkvannyii8268 6 лет назад

    Jaman tujifunze kukaa na jambo kabla ya kuropoka bila kufanya uchunguz ona xaxa jaman mzee wa watu, watu wameongea meng mwixho ukwel umeanza kujitenga na uongo!! daaa! pole xana Dr Luis mung yuko pamoja na ww.

  • @youngmau923
    @youngmau923 6 лет назад

    mzee yuko makini kwanza anajua kujieleza pili anajua kunyoosha maelezo so good mzee

  • @youngdady7901
    @youngdady7901 6 лет назад +1

    big up sana unahitaji kujiriwa serikalin

  • @joshuasamson4174
    @joshuasamson4174 6 лет назад

    lugha yako mzee nimeipenda Sana kama kunauwezekano serekali yetu impe ajira mzee nakupongeza umesoma

  • @hancy_boy255
    @hancy_boy255 3 года назад

    #makini umetisha Sana mzee baba good for life

  • @sulejiTv
    @sulejiTv 6 лет назад

    Pole Sana Mnzee wangu Mungu you po.

  • @isackhnano3771
    @isackhnano3771 6 лет назад

    Pole Mzee wang "900 itapendeza" mungu yupo Mzee wang

  • @mustafamaulidi869
    @mustafamaulidi869 6 лет назад +1

    Kaza mzee wangu usijali tupo pamoja sema nini mzee wangu kiki yako nzuli sana

  • @upendomunisi9482
    @upendomunisi9482 6 лет назад

    pole sana Dr Luis. binafsi nimekuelewa.

  • @iviejustified8109
    @iviejustified8109 6 лет назад +11

    Degree Nne.... Mzee Daktari haswaa...
    Si mchezo

  • @nyachotiokari6626
    @nyachotiokari6626 4 года назад

    Poleni mzee,mungu anakupenda sana!.Usije ukakoma kumuomba nakusii sana!.Hizi nchi za mbali jameni!.Live marekani,but hiyo story yako imenigusa sana!.

  • @fredyjohnwaifakaratanzania2536
    @fredyjohnwaifakaratanzania2536 6 лет назад +23

    MZEE YUPO OK

    • @sabasandrenethea6472
      @sabasandrenethea6472 6 лет назад

      Fredy John Waifakara Tanzania Napenda kukukaribisha kwenye channel yangu.jina natumia ilo hapo kwenye picha.Bila kusahau SUBSCRIBE au vipi.Ntashukuru sana

  • @samuelmweipongwe140
    @samuelmweipongwe140 6 лет назад

    Nampa pole sana Huyu mzee kwa yote yaliyomkuta lakini pia nampongeza kwa kupambana na hali yake kisawasawa, hakika ni ngumu kuamini lakini ni nyepesi kuitafakari, mladi yupo nyumbani basi mengine tutayaona, ila anikumbuke siku kampuni yake ikitengemaa,

  • @breymbasa8647
    @breymbasa8647 6 лет назад +1

    mungu anakuongoza

  • @mohamedkitwiko3675
    @mohamedkitwiko3675 4 месяца назад +1

    Umepitia magumu sana mzee mungu akulaze pema

    • @Kefafundi5
      @Kefafundi5 4 месяца назад

      😂😂😂 kafa

  • @jackswat
    @jackswat 6 лет назад

    I think this man is not only wealthier in terms of his money, but even the story he is telling is quite exciting.! True stories kama hizo ni chache sana duniani bwana!. If he manages to put that together in some kind of a book - he will make even more money!. VERY FEW PEOPLE ARE SUCH AS HIM!! - I challenge biographers to take that chance.

  • @luispeter3736
    @luispeter3736 4 года назад

    Nimemkumbuka wajinaaaa ,Kama unamkumbuka Dr wa falsafa like twenzetu tukanunue nyumba

  • @khadijambuta4360
    @khadijambuta4360 6 лет назад

    warusu kunya ngisi zenu mnatuita ssi nyani mfyuuu pole mzee kesho Allah anawangoja kwa hamu snaa wallah pole snaaa😢😢😢😢

  • @agnesmoriss7463
    @agnesmoriss7463 6 лет назад

    mungu akuongezee umri baba

  • @brownschmidt4532
    @brownschmidt4532 4 месяца назад

    Pole sana, mungu ameshawalipa tuzo yao

  • @loveness6732
    @loveness6732 6 лет назад

    Dah! Nmeshindwa kumaliza hii video.. pole sana Babu. Somo la kujifunza lipo.
    Kweli mkataa kwao mtumwa!

  • @omarhaji5231
    @omarhaji5231 6 лет назад

    sema mzee nipe ajira bn kwny kampuni yako life ngum xn... wa tz achen dharau umezoea xn

  • @mukeshaemmerance3358
    @mukeshaemmerance3358 6 лет назад

    Poleni mzee wangu

  • @gezaulole7988
    @gezaulole7988 6 лет назад

    Mzee ni msomi kweli co mbabaishaji...shikamoo Dr Shika