EXCLUSIVE: Milionea Sumry hataki tena kusikia biashara ya Mabasi, katuonyesha alikojichimbia

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024
  • Utajiuliza imekuaje Milionea akauza Mabasi yake yote 80? nini kilisababisha? AyoTV imempata Milionea Sumry aliekula hela zetu sana kwa kupanda Mabasi yake lakini sasa hivi hataki kusikia tena biashara ya Mabasi... kajichimbia wapi?

Комментарии • 675

  • @wangaeliwilfred2919
    @wangaeliwilfred2919 6 лет назад +18

    Sumry ana capitalize kwenye ukubwa wa eneo lakini wale wanaotaka kuingia kwenye kilimo sio lazima uwe na ekari 100 ndio utengeneze hela kwenye kilimo. Unaweza kulima high value crops kwenye ekari 1-5 na ukawa milionea kwenye kilimo. It all depends jinsi utakavyoweza kuitumia kila kipande cha ardhi ulichonacho kwa ufanisi. Tuanzie hapo. Kwenye hiyo ekari moja unaweza kutumia drip irrigation na green house chache. Nafikiri issue kubwa ni mbili au tatu; kujua nini cha kuzalisha na soko lake na pili kujua jinsi ya kupata mtaji.

  • @didamugya6039
    @didamugya6039 6 лет назад +8

    Nimekupenda bure, uko humble, huna mbwembwe unaongea kama mtanzania halisi na sio ngozi nyeupe. I'm inspired!

  • @kenanjohn2062
    @kenanjohn2062 6 лет назад +58

    Kaka Millard hizi ndo interview tunazoitaji kuziona sisi watu wa kilimo inatupa hamasa sana..kuona mwenzetu amewekeza kiasi hicho .. Shukran

  • @umydaddy4697
    @umydaddy4697 6 лет назад +12

    Mashaallah Allah akubarik na akuhifadhi wewe na biashara zako. Unajitahid sana. Watanzania tunajivunia sana kuwa watanzania. Nchi yetu nzuri sana na watu wake wazuri sana. Inasikitisha tukiona tunagombana kwa mambo ya kipuuzi. Sisi tunatolewa mfano na nchi za jirani kwa umoja na mshikamano wetu. I'm proud to be Mtanzania. Mungu wabariki wafanya biashara halali wote .

  • @georgemassebu2083
    @georgemassebu2083 6 лет назад +62

    Kati ya maisha ninayo yatamani ni kua mkulima mkubwa,kilimo kinalipa lakini pia kilimo ni furaha.kinampa mtu raha pale anapoenda shambani na kutazama ule muonekano wake inaleta raha na faraja.

    • @didamugya6039
      @didamugya6039 6 лет назад +2

      george massebu ukitaka kufurahia kilimo uwe na hela la sivyo kitakupa majonzi pia😀

    • @georgemassebu2083
      @georgemassebu2083 6 лет назад

      dida mugya Ninajua sana ndugu,ni maisha ya kiTanzania na hayana ugeni kwangu

    • @Emmanuelbahatiartist
      @Emmanuelbahatiartist 5 лет назад

      Good

    • @baburama9113
      @baburama9113 5 лет назад +1

      Kilimo kinakuw na furaha pale mkulima anapoona mazao alioyapanda yamekubali lkin yakigoma kilimo kinakuw majanga, da mungu atufanyie wepec kwa yale tunayoyafanya, au co mkubwa

    • @jumaramadhanuseni7611
      @jumaramadhanuseni7611 4 года назад

      Kweli

  • @brown8558
    @brown8558 6 лет назад +9

    Hongera kwa interview nzuri. Tunataka za namna hii. Pili serikali iangalie zao la mahindi kama zao la biashara na chakula ili watu wawe huru kulima, kutunza na kuuza ili watu wafaidike na kilimo cha mahindi. Serikali inunue ya kwakwe ya kutosha na wengine waendelee kuuza wanavyoona inafaa ndio italeta kilimo cha ushindani. Sumry anasema ana gunia 47elfu lkn hawezi kuuza ingawa mahindi kutoka zambia yanaingia na kuuzwa. Hapo ni kuwatia hasara wakulima.

  • @husseinhkitambi1701
    @husseinhkitambi1701 6 лет назад +61

    kilimo hakina kodi unachokipata chote cha kwako kuliko mabasi unakimbizana hovyo na mlundikano wa kodi na kero za madreva

  • @emanueltesha8873
    @emanueltesha8873 4 года назад +2

    Mzee wangu namkubali sana katika wamiliki wa mabasi huyu mzee summry namba moja wa pili shabiby watatu abood, nne namaliza na mchaga mwenzangu Brasto makundi big up sana wazee wangu amanipa matumaini sana kupambana na mm kuja kumiliki bus kama zenu

  • @freedomwirelesssolutions1388
    @freedomwirelesssolutions1388 5 лет назад +7

    This is soo great,how African people can be creative and produce large scale farm produce!! Big up brother Sumry!!

  • @nassaabdul6114
    @nassaabdul6114 6 лет назад +293

    Kaka milard leta habar kama hizi za maendeleo na sio mda wote kututangazia mambo ya instagram ya diamond na zari hayana maana kwetu..

  • @iddikobelo819kobelo2
    @iddikobelo819kobelo2 6 лет назад +3

    Mungu akubarik sana Mzee Sumry,nasi tupo nyuma yako tunachechemea

  • @henriquemuyanga8960
    @henriquemuyanga8960 6 лет назад +17

    Millard makala kama hizi ndizo zinakutofautisha na wengine, nakusihi sana kaka karibu kufanya kipindi kirefu na uhiji vitu vingi zaidi. Hoji zaidi juu ya teknolojia wanazo tumia(machinery) na pia masoko. This is inspirational bro

  • @Gcuttter
    @Gcuttter 6 лет назад +77

    hawa ndio watu wanatakiwa dunia.I want to be just like him

    • @AK-ll5tu
      @AK-ll5tu 6 лет назад +1

      cutting edge nimeipenda hiyo..

    • @mwanashaabdallah3638
      @mwanashaabdallah3638 6 лет назад +1

      cutting edge rty ur best ma dear u will inshallah hakuna mtu alozaliwa na kazi kila kitu ni bidii na akili yako

    • @omaribongo4738
      @omaribongo4738 6 лет назад

      cutting edge madaraka

    • @robsonkawiche5823
      @robsonkawiche5823 5 лет назад

      +Omari Bongo kazi ngumu hii

  • @yaqoubsalim99
    @yaqoubsalim99 5 лет назад +33

    Allah atie baraka katika biashara zako, Amiin

  • @fraviusmanyika7521
    @fraviusmanyika7521 6 лет назад +1

    Shukurani sana mtu wangu wa nguvu Millard Ayo Asante kwa taarifa nzuri sana endelea kutuelimisha kupitia taaluma yako M/mungu akubariki.

  • @samwelnaal7952
    @samwelnaal7952 6 лет назад +1

    Uongezewe zaidi Bwana Salim Sumry..Mungu akubariki zaidi

  • @johnonkoba895
    @johnonkoba895 4 года назад +2

    Hongera sumry serikali ikupe mikono,iingilie kati mahindi kutoka inchi za inje ipigwe marufuku👍💟

  • @fadhilimlingi6192
    @fadhilimlingi6192 6 лет назад +7

    Hizi ndio interview zenye akili Sana Sana. Na wa tz tuache uvivu. Cheki huyu jamaa amenunua pori na anapata shida kweli kusafisha but mwisho wa siku utasikia oo tuna taka Ardhi yetu wanakijiji hao, baada ya kuona Shamba ni safi na ni kubwa. Big Up Summry

  • @kidodosimichael349
    @kidodosimichael349 4 года назад +3

    SAFI SANA MR MILLARD AYO NA HONGERA MR SUMRY KWA KWELI UMENIFUNUA MAWAZO SANA!!!

  • @abuusufian6506
    @abuusufian6506 6 лет назад +17

    Nakukubali mtu wangu Wa nguvu Millard ayo

  • @damasbaltazaryjr6618
    @damasbaltazaryjr6618 6 лет назад +46

    interesting aseee, muendelezo wa hbr hii tunautaka kaka Millard ayo

    • @millardayoTZA
      @millardayoTZA  6 лет назад +9

      sawa mtu wangu, shukrani kwa kutazama Fred

    • @fredypetter7714
      @fredypetter7714 6 лет назад

      +Millard Ayo
      brother nifanyie mpango wa namba zake nikafanye kaz kwake
      nijib inbox 0759930001

    • @emanuelyjeremia7098
      @emanuelyjeremia7098 6 лет назад

      millard ayo nicheki kwa 0753996407 tufanye kazi kaka

    • @florencekashaija7539
      @florencekashaija7539 4 года назад

      Millard Ayo Sasa umekuwa, kwa tani za habari. Mb zetu ni hisa zako .

  • @frankanold9803
    @frankanold9803 3 года назад +2

    Huyu mzee ameniinspire shukrani zangu ziende kwake..alale mahala pema

  • @lucasjames2102
    @lucasjames2102 3 года назад +1

    Honger San mkuu unae jituma mungu akujalie uhai mref kwan ukipat ww nasisi tunapat

  • @ikoziboy4488
    @ikoziboy4488 4 года назад +2

    Daaah!!! Appreciate from sumbawanga my homeland sumry the great

  • @isserkherry8593
    @isserkherry8593 6 лет назад +185

    Mshkaj anataja million mia sita kama jero vile life is not fair me nasubir nicheze biko, tatu mzuka nipate wa walau buku tano

    • @macgeorge7693
      @macgeorge7693 6 лет назад +1

      Issa Kherry hahahaha nimecheka

    • @mbarakfarid331
      @mbarakfarid331 6 лет назад +1

      Issa Kherry 😂😂 Issa Wacha wivu😂😂

    • @jeysenbenedict
      @jeysenbenedict 6 лет назад

      Issa Kherry hahhah umeona....daah

    • @BigZhumbe
      @BigZhumbe 6 лет назад

      Issa Kherry 😂😂😂 noma sana

    • @mwanamtwara
      @mwanamtwara 6 лет назад +11

      Hayo ndiyo maisha amelima hekari 2000 lengo afike 5000 duu mwenyez mungu amfanyie wepesi

  • @bensonfrank643
    @bensonfrank643 6 лет назад +58

    Huyu mzee sio Milionea ni bilionea..

  • @chekajumasebunga8358
    @chekajumasebunga8358 6 лет назад +1

    Asa sisi wabongo tunaoishi nje tunapenda kuona vitu kama hivyo kwani vinatupa upeo na mawazo wa kutaka kijiendereza kimaisha nyumbani TZ, Millard Ayo we the best online news thanks, keep it up homy.

  • @majidhamoud856
    @majidhamoud856 6 лет назад +2

    Binaadamu ss ni wanafki sana tulivyoona kwamba hatoi mabasi tukasema amefilisika hana hela, kumbe mwenzetu alikuwa anatucheki tu sasa hv ana ongelea mashine za milioni mia sita mia ngapi wacha apige kazi maana ss watanzania ni wavivu sana , keep up sumry never give up.

  • @erastomwakalinga7079
    @erastomwakalinga7079 6 лет назад +12

    millard ayo hiz ndo habar kaka tunazo zitaka lkn yale ya diamond na zari hayatusaidii sisi ni kwa mapenz yao lkn tunapo pata habae km hiz tunafunguka ki upeo wa mawazo na mtazamo kuu yaaisha shrakran mkuu ayo#

  • @allilutavi6603
    @allilutavi6603 6 лет назад +1

    Very interesting....safi sana aisee Mr.Sumry

  • @seifali2473
    @seifali2473 6 лет назад +20

    I salute u @millardayo 🙌🏾

    • @millardayoTZA
      @millardayoTZA  6 лет назад +2

      asante sana Seif Ali kwa kutazama AyoTV na kuniachia comment yako hapa

    • @evaevance5932
      @evaevance5932 6 лет назад

      +Millard Ayo y moto hiyo barikiwa bro

    • @shackambassador939
      @shackambassador939 3 года назад

      @@millardayoTZA mbona unajibu text wachache zingine huzion it's mean

  • @bugangoborder
    @bugangoborder 6 лет назад +3

    Haya bwana nimemuona Sumry kwa mara ya kwanza na nimejifunza kitu. Pamoja sana mdogo wangu Milard endelea kutuletea ishu za kutafuta hela

  • @carlosmoshi392
    @carlosmoshi392 6 лет назад +2

    jamaa anatisha sna kahama VEIN,namshauri aanze pia kupaki unga auze sembe kwa kwenda mbele.BIGUP SUMRYFARM

  • @williamibrahimu9225
    @williamibrahimu9225 6 лет назад +3

    Hongera sana bwana mabasi kwa kufanya kazi nzuri kama hiyo

  • @macgeorge7693
    @macgeorge7693 6 лет назад +20

    Safi kijana sasa selikali ndio itizame awa watu wasikae na stoke nyingi bila kuuza wana pungukiwa moyo Wa uzalishaji.sasa Mzigo umekaa tu.mzungungo ndani yanchi Hakuna wawaluhusu tu kuuza Mali nnje ya nchi

  • @kendrickmushi222
    @kendrickmushi222 6 лет назад +3

    iko powa sana bro...unajitahidi sana Millard MUNGU akuongeze.

  • @peterkayuwi8911
    @peterkayuwi8911 6 лет назад +1

    Hongera sana salum Sumry kwa upigaji kazi mwanaume wa shoka

  • @samwelkibogoyo1958
    @samwelkibogoyo1958 6 лет назад +12

    millard aisee nimependa sana ila ndio tunarudi palepale uthubutu ndio source ya mafanikio endepo serikali wangesema.tuuze mahindi njee basi mzee sumry angekuwa mbali sana kifedha,,ametufunza kitu

  • @salummuhija4435
    @salummuhija4435 6 лет назад

    safi sana ayo TV tumechoka kila siku wanasiasa lisu, lisu lisu, lisu lisu, tunataka habari kama hizi zibazowafungua watu ubongo kwamba maisha yanaendelea. siku nyingine unatembelea viwandani kama kawa.

  • @coachtemba6002
    @coachtemba6002 6 лет назад +3

    This is epic, Millard. Tuletee na Bakhresa, Manji na Dewji...

  • @aminalibondo7507
    @aminalibondo7507 4 года назад +1

    Hongera mzee salum mola akubariki kw kazi zako nazidi kukuongezea kipato kwa kz yako inshaAllah

  • @aliwaleo1747
    @aliwaleo1747 6 лет назад +1

    kweli Mr summury umedhubutu na umeweza mungu akuongoze uendeleee kufundisha watu ujasilia mali your risk taker

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 6 лет назад +4

    Big Up kwa Sumry.

    • @maoulidhoti5444
      @maoulidhoti5444 6 лет назад

      shida madereva wanafilisi matajiri kwa kutotunza mahari

  • @charlesjohn5792
    @charlesjohn5792 3 года назад +1

    Safi Sana ndiyo maana nahamia shambani na Forex hukohuko

  • @TopTenKaliTV
    @TopTenKaliTV 6 лет назад +6

    Nimeipenda
    Welcome all to TOP T

  • @wazirichedi5384
    @wazirichedi5384 3 года назад +1

    Alhamdululah Allah akuongoze vema use mfano bora!

  • @kijokombao5345
    @kijokombao5345 6 лет назад

    asante sana millady kwa habari nzuri nimeingalia hadi mwisho unanikumbusha kipindi naangalia economic documentary hongera kwa habari nzuri narudia tena

  • @m-tatu1050
    @m-tatu1050 4 года назад +1

    Hongera Salumu

  • @habibakhlifa8534
    @habibakhlifa8534 6 лет назад

    Asante sana milad Ayo habarii nzurii sana sio kila Sikh diamond na Zarii wao wanakula kuku sie wanatumalizia mb zetu hapo tu ejifunza sana

  • @noboatiman
    @noboatiman 6 лет назад +3

    I love that...no Jodi...Big up Baba Magu

  • @Cado_TV.
    @Cado_TV. 4 года назад +1

    Nimependa hiyo very inspired about agriculture.

  • @mussamkalawa2101
    @mussamkalawa2101 6 лет назад +3

    Shukran sana kaka mirado

  • @marykitiru9212
    @marykitiru9212 6 лет назад +7

    mmmh duuh hongera zake..

  • @emanuelndumukwa3073
    @emanuelndumukwa3073 6 лет назад +3

    Kwakweli kwenye mabasi ulikuwa unachelewa....huku ndio mpango mzima...unatupa hamasa hata sisi ambao tutaanza na heka moja...👍

  • @ananialayton6350
    @ananialayton6350 5 лет назад +8

    nimependa anavyojieleza na akasema kuwa fursa mpja ikofungwa unatafuta nyingine good

  • @user-mb9ti3jc7g
    @user-mb9ti3jc7g 4 года назад +1

    Saalim sumriy nime kupenda kwakua mkweli
    kuwafungua wenzako macho allah akuzidishie roho ya upendo isio na hasadi ili uingie katika kundi alilolisema mtume muhamadi tajiri mkweli ka ahidiwa malipo mema

  • @lovenessmapinda4955
    @lovenessmapinda4955 6 лет назад +3

    I appreciate Ua work bro @Millardayo!!!

  • @shufaaa.4766
    @shufaaa.4766 6 лет назад +11

    Yani tz sasa wao wanaingiza biashara toka nnje halafu yao hawauzi innje inaingia kweli kwenye akili ya mtu tz haitaendelea kama itakuwa hivyo sasa mahindi yataozea stoo ambae yangeingiza mamilioni

    • @imakitori399
      @imakitori399 3 года назад

      Haya ni mambo ya makufuli hatak raia wake wapate pesa

  • @nadirmahfoudh1812
    @nadirmahfoudh1812 5 лет назад +1

    Masha'Allaaah!! Mola akupe taufiq

  • @carisaeddie2761
    @carisaeddie2761 6 лет назад +4

    This was the great interview ever,Millard endelea kutupa vitu kama ivi,very inspiring ,sumry mwenyewe kavaa kawaiiiida hadi raha

  • @sabatojoshwa6684
    @sabatojoshwa6684 6 лет назад +2

    Hello Millard, kwa video za namna hii utabadilisha mitazamo ya watanzania wengi sana. Thank you

  • @AWAH_
    @AWAH_ 6 лет назад +38

    Nimejifunza kitu kutoka Kwa Salim na nikweli kabisa biashara nyingi za magari shida ni madeleva na wahudumu

    • @gidoturuka3974
      @gidoturuka3974 6 лет назад

      hiyo biashara hainapresha

    • @majimazuri5827
      @majimazuri5827 6 лет назад +2

      Hakuna mtu mwenye sikio la kujifunza ambaye ametoka bure kwenye hii video; mie nimejifunza pia;

  • @usteryakobo7551
    @usteryakobo7551 4 года назад

    Ubarikiwe kaka Millard kwa interview km hii kwa watu km cc tuliokuwa tunategemea xhule tumepata new idea

  • @meremetasanga1992
    @meremetasanga1992 6 лет назад +1

    Nilifanikiwa kufika Msipazi farm, kiukweli Sumry kawekeza halafu sio mchoyo wa maarifa. Nilifundishwa vitu vingi sana na kuwa encouraged.

  • @dicksonfesto8186
    @dicksonfesto8186 6 лет назад +26

    kaka millard kazi nzur ila please habar hii tupe meendelezo mana imeishia njian kaka

  • @egnerozo1160
    @egnerozo1160 4 года назад +1

    Congratulation...We want this king of interview and treat subjects that are really helpful.

  • @majimazuri5827
    @majimazuri5827 6 лет назад +1

    Hongera sana Millard; Kwa kweli hizi ndiyo video za kutuletea, siyo maudaku kila saa; yanatusaidia nini? Big up sana kwa video nzuri mno; nimejifunza mengi; japo kama imeishia nusu hivi; next time tuletee yote.

  • @salimchatu5941
    @salimchatu5941 6 лет назад +1

    Mash Allah mabruk salum sumry

  • @nelsonnmwaipaja6980
    @nelsonnmwaipaja6980 5 лет назад +5

    Kaka milard be blessed bro haya ndo mambo ya akili xaxa

  • @waukweelinikkon6555
    @waukweelinikkon6555 6 лет назад +1

    Daaah kuna habari zingine unajikuta unapenda tuu kurudia kuzisikiliza na kuziangalia,hongera sana sumry,hongera millard kwa habari nzuri

  • @mahamudubakari5895
    @mahamudubakari5895 3 года назад +1

    Nimependa sana sana hii mzee sumry yupo makin nakazi

  • @abdonkanuti1225
    @abdonkanuti1225 6 лет назад +2

    Millard umenifurahisha sana kwa hii interview, ila video umetubania weka yote hata kama ni 1hr. Tena ikiwezekana naomba uendelee kusaka watu wanaofanya project kubwa za kilimo, viwanda na fishing.

    • @MatundaAfya
      @MatundaAfya 6 лет назад

      Abdon Kanuti naunga hoja hii baba askofu

  • @derickrozy3213
    @derickrozy3213 6 лет назад +2

    We want more stories like this one. S/O to you Ayo Tv

  • @rosemarybenjamin4333
    @rosemarybenjamin4333 6 лет назад +2

    Yan milad Ayo ukika hap unapendeza kweli 😍😍

  • @mohamedfogo8820
    @mohamedfogo8820 6 лет назад +2

    Sumry hiyo ndo biashara
    Mungu akuongoze,

  • @tz7976
    @tz7976 3 года назад

    Sumry ni moja ya mabilionea wakubwa Tanzania

  • @nordenconrad14yearsago45
    @nordenconrad14yearsago45 6 лет назад +2

    MashaAllah.....aachane tu na mambo ya riba za benki na kwingineko

  • @emmanuelhavile2942
    @emmanuelhavile2942 6 лет назад +68

    Mie nina gunia 45 mchizi anaongelea gunia elf 45 dah braza mungu anakuona

    • @tingij2218
      @tingij2218 6 лет назад

      Emmanuel Havile lima hekar elf1 utapata

    • @emmanuelhavile2942
      @emmanuelhavile2942 6 лет назад

      Tingi J hiyo mitaji ndugu dah

    • @rodrickmenasi8590
      @rodrickmenasi8590 6 лет назад

      Thank you Millard.

    • @PetVMyinga
      @PetVMyinga 6 лет назад

      Emmanuel Havile hahahahaaaaaaaaa

    • @pablombuya8798
      @pablombuya8798 6 лет назад

      Emmanuel Havile bro mshukuru MUNGU japo na wewe una 45 beg unaweza Kuna wengine Ata kisado awana mdogo mdogo nawewe utafika uko

  • @samwelmdodo7828
    @samwelmdodo7828 6 лет назад +1

    Daaah Tajiri Tajiri tu..Hawa ndo wametumwa hela hapa Duniani

  • @michaelfaustin1777
    @michaelfaustin1777 6 лет назад

    Duh nimeipenda kweli Mzee anaona mbali hongera kwa hilo

  • @athonyfrancis8889
    @athonyfrancis8889 6 лет назад +3

    Millard Ayo bana umetukatisha panaponoga hivi,please tupe muendelezo coz hiz ndo issues za halali kwa mb za wapenda maendeleo kama mimi

  • @oyay2821
    @oyay2821 6 лет назад +1

    Safi sanna ndugu salum sumry

  • @machundemauma1338
    @machundemauma1338 6 лет назад +1

    Nimeipenda sana hii habari ya leo. Hizi habari za namna hii zitakupaisha sana.

  • @oscarezekiel1826
    @oscarezekiel1826 6 лет назад

    Hongera sana milard ayo Tunaomba mwendeleza wa hii habari it's very interesting!

  • @sabinashabani1165
    @sabinashabani1165 2 года назад

    Safi sana na hongera sana kwaubunifu mzur

  • @shimuld6721
    @shimuld6721 4 года назад

    Mashaallah tabaraka Rahman Mwenye enzi Mungu awa saidie na awahifadhi ameen Yaarabil Alameen jamian

  • @aminarashid4474
    @aminarashid4474 6 лет назад +8

    maisha nikujipanga kwel huyu baba amejipanga vilivyo

  • @sundaylema249
    @sundaylema249 6 лет назад

    millard ayo hakika wewe ni noma!kip it up nakuona mtu mkubwa na heshima kede kede baadae

  • @robertjames6434
    @robertjames6434 4 года назад

    Ongera sana mr summry kilimo ndiyo habari ya mjini natamani kurudi shamba 👍👍

  • @abdulrahman282
    @abdulrahman282 6 лет назад +1

    Safi salumu summry kwa kuingia katika kilimo

  • @barakasaid4478
    @barakasaid4478 6 лет назад

    Superb... Nimejifunza kitu... Wish all tanzanians tungekuwa na moyo uo wa huyu tajiri

  • @bernardmitti5920
    @bernardmitti5920 6 лет назад

    safi sana .mungu akujalie sumry.

  • @samsan95tvlaizer59
    @samsan95tvlaizer59 6 лет назад

    good interview halafu kuna kitu nimekijifunza kweli ukitaka kufanikiwa amini katika kitu unachokifanya #Millard ayo kunywa soda nakujaa kulipa

  • @begaca
    @begaca 6 лет назад +1

    Wow SAFI SANA MZEE WETU

  • @saadagarass7657
    @saadagarass7657 5 лет назад +1

    Salum hongera kaka

  • @Dakingyasta
    @Dakingyasta 6 лет назад +18

    watanzania sio maskini ni wavivu tuu tuna ardhi kubwa san lakini sasaa kufyeka mapori kuyafanya mashamba tunaona ni kazi ngumu mno kwetu mwisho tunabanana town kutafuta ten kwa siku lazim lyf iwe tyt .

    • @macgeorge7693
      @macgeorge7693 6 лет назад +1

      Dakingyasta embu tuonyeshe mfano wewe nawewe ufyeke tu heka 10.tu utuambie umetumia beigani?kuandaa tu pori.

    • @user-qe8jj2cl8q
      @user-qe8jj2cl8q 6 лет назад

      Wavivu tupo wengi,na ww ni mmoja wao

    • @Gcuttter
      @Gcuttter 6 лет назад

      hayo mashamba ya bure yako wapi tukalime

    • @sauidrashid3304
      @sauidrashid3304 6 лет назад

      Inshu sio uvivu ila mitaji ndo shida unadhani yeye hayo yote angeyaweza bila mtaji

    • @hussenimikola5651
      @hussenimikola5651 6 лет назад

      kweli

  • @abeidmayanga809
    @abeidmayanga809 6 лет назад +17

    Millardayo hili file lisiishie hapo ebudeal naehuyo jamaa aendelee kutupa maujanja maana nikikwazo sana mtuu kuuwa biashara ya magari ambayo tunaamini nikubwa nakuingia kwenye kilimo

  • @smartonlinetv5144
    @smartonlinetv5144 2 года назад

    Hivi ndivyo vitu vya kutuletea vinaelimisha na kujifunza zaidi.
    Sio kila siku zari,mara diamond.
    Sasa hivi umekuja na kibibi kingine sijui anaitwa dorry rest si akarest huko kwao.
    Watu tunawaza maisha Sasa hivi sio kujisifu na sura kama ni sura hata mbuzi anayo.

  • @nasrazuumohamed1516
    @nasrazuumohamed1516 6 лет назад +2

    mashallah amenihamasisha

  • @nebertabely6670
    @nebertabely6670 6 лет назад +2

    best interview so far