BILIONEA MTANZANIA ASIMULIA MAZITO ALIYOPITIA MGODINI, NIMECHIMBA NA HARMONIZE, NIMELALA MSITUNI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 143

  • @godsonmrema5538
    @godsonmrema5538 3 года назад +141

    Kama unakubali kufeli shule sio kufeli maisha, gonga like tujuane boss.

    • @julihanjosephyjs6361
      @julihanjosephyjs6361 3 года назад +4

      Godson mrema umenikumbusha niposhule nilimwambia mkuu wa shule ya sekondari nilimwambia ivoivo kufeli mitihani sio kufeli maisha with nipo mtalini akaniita usiseme Ivo eti.nikweli Leo namshukuru mungu tz ninanyumba yangu bado napambana na Vita ya maisha.

    • @jumarwambo7420
      @jumarwambo7420 3 года назад +2

      Acha shule sasa

    • @shadagadagga9922
      @shadagadagga9922 3 года назад +1

      @@jumarwambo7420 muambie aige uache shule uone!!

    • @absalimlufyagile4974
      @absalimlufyagile4974 3 года назад

      Nikweli ndugu yangu kufeli kusoma sio kufeli maisha

    • @jumarwambo7420
      @jumarwambo7420 3 года назад

      @@shadagadagga9922 haaaaahaaa

  • @auntdorah9141
    @auntdorah9141 3 года назад +39

    Baba yake alimshirikisha ...wazazi wengine mna biashara kubwa lkn hamuwashirikishi familia mkifa kila kitu kinakufa...
    Hongera kijana Mungu azidi kukulinda na kukuongoza.

  • @kingwatabata4230
    @kingwatabata4230 3 года назад +14

    MAHENGE MOROGORO NDIO HOME, BIGUP ALMAS💪

  • @graceraphael6658
    @graceraphael6658 3 года назад +20

    Asiyekujua,atahoji but I know you,I know your family ,na mapambano yako yote,you deserve to be a billionaire, also a leader coz you are blessed with good heart...kila la kheri my Uncle..Salim😍😍

  • @elimidakashumba2422
    @elimidakashumba2422 3 года назад +22

    Kama Tanzania imepata ma billionea wa madini ndani ya miaka miwili mfululizo je wazungu waliochimba tangu Karne wamevuna watrilioni mangapo Tanzania?

    • @abubakarimlyandi8571
      @abubakarimlyandi8571 3 года назад +2

      😧😱 daaah acha kbisa yan

    • @mwamvitamfinanga2454
      @mwamvitamfinanga2454 3 года назад +3

      Hapo sasa ndio maana tumempata kiongozi ambaye ameshtukia huo wizi.

    • @talents7934
      @talents7934 Год назад +2

      Tatizo linaloisumbua Africa ni Uzalendo na Good management mkuu

  • @fahimunyawi5318
    @fahimunyawi5318 3 года назад +4

    Hongera sana kwa kupambna mbunge wetu mtarajiwa kaz kaz

  • @rukundoibrahim807
    @rukundoibrahim807 3 года назад +8

    jama iko vizuri mwenye kuhoji na kuhojiwa.

  • @lovinomwamtambulo6629
    @lovinomwamtambulo6629 3 года назад +34

    Mbunge Mtarajiwa Salim jina maarufu Salim Almasi MAHENGE stand UP

  • @edwardboaz9041
    @edwardboaz9041 3 года назад +42

    Ukimkuta mtu anajigamba anapesa huyo anazo za nyanya

  • @adamabdullah8136
    @adamabdullah8136 3 года назад +10

    Mungu akusaidie

  • @halimamremi5375
    @halimamremi5375 Год назад

    MASHAALLAH!!! MUNGU AKUENDELEZEE NA I.ANI YAKO MM NAOMBA KIBARUA TU JAMANI AJIRA HAKUNA!

  • @khamisjuma5046
    @khamisjuma5046 3 года назад +2

    Good jobs speaking up my.brothe

  • @happysanga7680
    @happysanga7680 3 года назад +19

    Hongera achana na wanao kesha kumtukana rais hawana lolote

  • @luckyofficialsports5466
    @luckyofficialsports5466 3 года назад +1

    Ongera sna mr Alimasi mm nimejifunza. Kua ukiamua kutafuta basi weka akili yko hpo ni usifanye jambo kwa kujaribu sema na mungu kua naamini hapa nitafanikiwa basi wee pambana kwa imani na kili moja tu
    Big up bro we to gather

  • @dianamdaku9802
    @dianamdaku9802 3 года назад +1

    Home sweet home😍😍😍

  • @moh_platnumz
    @moh_platnumz 3 года назад +12

    Ila huyu jamaa anayo roho safi sanaa yan ukifika mahenge auwez kusikia anazungumziwa kwa ubaya yan ni mtu amabae anasupport sana watu asee

    • @pettyjongera1295
      @pettyjongera1295 3 года назад

      Kweli kbs,,,,,huyu jamaa ana moyo wa kipekee sana

    • @georgemendrad6237
      @georgemendrad6237 3 года назад

      Mie Nataka niende huko Nipe Location Ndugu

    • @heritier5119
      @heritier5119 3 года назад

      Ukiwa mpambanaji huwezi kuwa na roho mbaya

  • @salamakombo3257
    @salamakombo3257 3 года назад +6

    Nimejifunza hapa ya kuwa kumshirikisha mtoto ktk kutafuta ugari inamsaidia hata uko ktk maisha yake yoote hata uko alipopotea nguvu za babake zili murika uyu kaka anazo radhi za babake kiukweli

  • @lirastanley390
    @lirastanley390 3 года назад +2

    Dah...pongezi kubwa sana...maisha ni safari kaka na kwawa Tanzania wote

  • @nasmaqwaray2584
    @nasmaqwaray2584 3 года назад +5

    Mungu amlinde

  • @kingkongmadiba3174
    @kingkongmadiba3174 3 года назад +4

    Never give up in your life

  • @thomasvenance5186
    @thomasvenance5186 3 года назад +19

    Kondeboy kahaso Bwana acha ale vyake

  • @marieconnect6389
    @marieconnect6389 3 года назад +6

    Penye nia hapakosi njia na penye juhudi neema unakuja.
    Hongera kaka imejitahidi. Inastahili huo umilionea

  • @thomasansigar-002
    @thomasansigar-002 11 месяцев назад

    congrats mheshimiwa maisha ni ubishi....umepamban san had ulipo tunahitaj hyo spirit piah tupe siri.....

  • @kinghman8353
    @kinghman8353 3 года назад +4

    Kazi sana

  • @binsultan6981
    @binsultan6981 3 года назад +1

    Watanzania bado hatjajua maana ya neno BILIONEA

  • @Ashahabibu-yr1rn
    @Ashahabibu-yr1rn 6 месяцев назад

    Lakini jimboni bado maisha magumu ,miundombinu bado mibovu sana ,

  • @salmaluhombero8466
    @salmaluhombero8466 3 года назад +2

    Awww smart bro God bless you family is everything baba I’m so proud of you wa mahenge mwenzangu

  • @HamidKhan-sb2xk
    @HamidKhan-sb2xk 2 года назад

    Good luck Live long is my dua

  • @kerosenealimasi8019
    @kerosenealimasi8019 3 года назад +18

    Nifunguwa apa baada yakuona iyo picha ya harmonize

  • @Burner_Acc
    @Burner_Acc 3 года назад +13

    Hongera zake ila headline is click baiting. Hajafanya kazi na Harmonize kama mlivyoandika bali kafanya mahali ambapo Harmo kadai kuwahi kufanya pia.
    Mtangazaji hujauliza alipata shingapi huko Msumbiji wala hujaongelea kuhusu hilo Jiwe alilopata lililompa ubilionea. Kwaninia kaingia kwenye siasa na Chama gani. Pengine muda haukutosha ila zilikua info za msingi.

  • @rachelshebesh2752
    @rachelshebesh2752 3 года назад +1

    I like this job keep it up salim God bless u and your family

  • @semenitheclassic
    @semenitheclassic 3 года назад +2

    Respect

  • @wardasalum852
    @wardasalum852 3 года назад +8

    Mbunge wetu tunampenda

  • @auntdorah9141
    @auntdorah9141 3 года назад +30

    Watu wametoka mbali...usione mtu anatumia pesa yake!

  • @shabannayopa5406
    @shabannayopa5406 3 года назад +1

    Big up brother

  • @mkingasana400
    @mkingasana400 3 года назад +19

    Anafaa kua mbunge kujieleza anaweza wanaulanga mpeni kura zote

  • @IYANIZZO
    @IYANIZZO 3 года назад +3

    Duh watu wanachimba madini wanatiki mie nachimba tu wadada wa watu 😎

  • @jasonkalekezi5442
    @jasonkalekezi5442 3 года назад +6

    Mkuu ww ni nembo kubwa 💎💎💎

  • @fitnessempiretz9385
    @fitnessempiretz9385 3 года назад +2

    inspired

  • @witnesjohn7758
    @witnesjohn7758 3 года назад +1

    Mbunge wetu uyooo tunakupenda snaaa

  • @meedyshow8807
    @meedyshow8807 Год назад

    Ka mtipweshi iyoo ..msitu unaitw amazonia ....daaah kaka yaan kuna wale lenamo nime chezeaga sana bakora ...nili sachiwa mzee walikomba kila kitu nlibaku na pens tu ..

    • @mpetaamarijani2656
      @mpetaamarijani2656 8 месяцев назад +1

      Pole sana dahh kipindi kile mzungu anamwaga Ile sumu ulikuepo? Nilipoteza kakangu nilisulika tu Kwa kuwa siku ilikuwa bado

  • @FanuelFrank
    @FanuelFrank Год назад

    Nakubaliii

  • @saedfundikiramamoka5798
    @saedfundikiramamoka5798 3 года назад +1

    Safi

  • @mussaugi2204
    @mussaugi2204 3 года назад

    Dah hongera

  • @MouhammedSeif
    @MouhammedSeif 3 месяца назад

    Hii kama hujaelewa kitu bas elewa kwenye kutafuta mafanikio kunatakiwa kujirisk maisha yako

  • @coticelahilaly6819
    @coticelahilaly6819 3 года назад

    Hongera sana

  • @user-fs5hv7bs6t
    @user-fs5hv7bs6t Год назад

    Nice

  • @norbetjacob5887
    @norbetjacob5887 3 года назад +4

    So inspired.

  • @ngwanafabian9668
    @ngwanafabian9668 3 года назад +20

    Heri yako wengine kazi kukesha mitandaoni kumtukana rais maisha magumu.

  • @biasharaonline693
    @biasharaonline693 Год назад

    Mtu hata hajafika huko mayunivaa kawa bilionea

  • @elishajeremiah8240
    @elishajeremiah8240 Год назад

    ndio mwanajeshi mimi mwenyewe nilikuwepo huko msumbiji mwaka1993mpka 94 sehemu moja inaitwa miazini a

  • @jeremiahmchomvu4824
    @jeremiahmchomvu4824 3 года назад +3

    Miamia bosi naiona ipanko na sisi tunapambana ndani ya korongo one day brother tupo nyuma

  • @evancechangae
    @evancechangae 3 года назад +1

    Hustler 💪🏽

  • @ibrahimbyaese9148
    @ibrahimbyaese9148 3 года назад +1

    Harmonze kweli jeshiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

  • @cosmasdaud9088
    @cosmasdaud9088 3 года назад

    Hongera

  • @lehaleimorondi6821
    @lehaleimorondi6821 Год назад

  • @josephlucas3634
    @josephlucas3634 3 года назад +2

    Namuona kama police ndio bodigad wake ama

  • @zuberykharoub6868
    @zuberykharoub6868 3 года назад +1

    morogoro mkoa mzur sana aseee

  • @boisalym9935
    @boisalym9935 3 года назад +1

    Salim Almas

  • @emanuelmbwiga690
    @emanuelmbwiga690 3 года назад +3

    Story ya huyu ndugu kuhusu Msumbiji inanikumbusha nilivyotembea kuanzia saa 9 usiku mpaka saa 12 jioni kesho yake kwa mguu kuelekea mgodini,ilikuwa ni kutoka wilaya moja kwenda wilaya nyingine!!

  • @esabelfadhili8432
    @esabelfadhili8432 3 года назад

    Mbuge wetu👌

  • @fatmamwatamba5881
    @fatmamwatamba5881 3 года назад

    Daaah nampendaa coz yuko really sana

  • @sostentete3395
    @sostentete3395 3 года назад +1

    Maisha ni safari

  • @donmoyes8856
    @donmoyes8856 3 года назад

    Box mungu azidi kuku inua

  • @ruralhunter255
    @ruralhunter255 3 года назад

    All the best Mpambanaji ...MBUNGE Mtarajiwa #harakatizamtumweusi

  • @mwanzashinyanga8060
    @mwanzashinyanga8060 3 года назад +1

    pesa sio matako dadeki cha msingi usikate tamaa kama ipo ipo tu

  • @temkezatv4381
    @temkezatv4381 3 года назад +1

    Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI.

    • @barbranabakooza9589
      @barbranabakooza9589 3 года назад +1

      Hhhhhhhhhhhhh tulia ule ugari wa bule hapo kwa mume wa dada yko maisha unayajulia wapi wewe

  • @salmaluhombero8466
    @salmaluhombero8466 3 года назад +4

    Wa ukae huyu

  • @gasatoneedwardgastoneedwar6906

    Boss najifunza mengi sana kupitia ww

  • @nemecymsanya3191
    @nemecymsanya3191 3 года назад +3

    Msumbiji isikieni tuu aisee

  • @emmamatemu8225
    @emmamatemu8225 3 года назад +7

    AYO tuleteeni na wagombea wengine wapya tujifunze kitu kwao

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 3 года назад +2

    Huyu jamaa anaweza andika kitabu kuhusu maisha yake hii interview ilitakiwa iwe ndefu zaidi

  • @tanzaniayetu6973
    @tanzaniayetu6973 3 года назад +1

    Millard ayo hapa huna mtangazaji anaacha key concept anaongelea mambo mengine

    • @na0m1fes51
      @na0m1fes51 3 года назад +1

      😂😂😂😂😆

  • @athumani2755
    @athumani2755 Год назад

    Unanikumbusha mbali Kaka mi bado na aso toka tumefukuzwa mtepweshi na siachi kuchimba

  • @victorchuma2114
    @victorchuma2114 3 года назад

    Duh,maisha ni safari ndefu na ngumu

  • @marieconnect6389
    @marieconnect6389 3 года назад +6

    Mnaohoji muwe basi na maswali yanayohusu jamani. Tumieni weledi basi. Mmetuacha ns kiuu hamhoji maswali ya maana. Mwisho mtatuchosha kusoma habari zenu maana hazina usahihi vizuri na ziko nie ya mafa husika.
    Weledi jamani please.

  • @mandalorian_4.11
    @mandalorian_4.11 3 года назад +1

    Ndugu yetu huyu ulanga stand up

  • @victormauggo
    @victormauggo 2 года назад

    Swali zito sana kwa wanasiasa wa Tanzania

  • @chobachoba4171
    @chobachoba4171 3 года назад +1

    Inaonekana wazi kua mama yako arikua msimbe yan watoto wanne Kira mtoto na baba yake 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😋

  • @ahmadmasawanga9077
    @ahmadmasawanga9077 3 года назад +1

    Wapakaya

  • @simonsweka7305
    @simonsweka7305 3 года назад

    Naomba hixoria iwe ndefu bci..jmni...mbona ni fundixhoo zuri xana..lakin inakuwa fupi....

  • @joharishabani2893
    @joharishabani2893 Год назад

    Ndio mkewe huyoo acha hamisa ajisevie tu

  • @zakyahya4645
    @zakyahya4645 3 года назад

    Maisha haya mmh tunahaso san

  • @abdalahfarida2074
    @abdalahfarida2074 3 года назад +6

    SIKU ZOTE MUNGU NI MWEMA SANA KWA MTU MWENYE BIDII.

  • @hamadkimbe1729
    @hamadkimbe1729 3 года назад +1

    Mzungu wa roho

  • @akshaydavid159
    @akshaydavid159 3 года назад

    Njia ngumu nilizopita mkanipa na jina mkasema niitwe jeshi.

  • @babafranco3366
    @babafranco3366 3 года назад +2

    Mtangazaj chana nywele

  • @sadielgwaje6281
    @sadielgwaje6281 3 года назад

    Anipe siri ya urembo ili nam niwe tajiri

  • @wazirikhamisi4828
    @wazirikhamisi4828 3 года назад

    Ww kweli kichwa nilivyo kusikia tu ww uko vzr na akili imetulia

  • @kulwapaul8020
    @kulwapaul8020 3 года назад

    Dah maisha aisee

  • @sponsor7882
    @sponsor7882 3 года назад

    Ushamba

  • @priscadaniel7
    @priscadaniel7 3 года назад

    He

  • @lucywilson5875
    @lucywilson5875 3 года назад

    Bilionea?????

  • @armiyajuma7146
    @armiyajuma7146 3 года назад

    N

  • @enocksilungwepondajr9707
    @enocksilungwepondajr9707 3 года назад +1

    Nani amesikia he cant do anything

  • @gideonmwalyego466
    @gideonmwalyego466 3 года назад +1

    Hyu anaonekana dalal tu wa madin Hana lolote,kama anapga pesa kwnye madini unafuata nn kwnye ubunge,hzo ni mbnu tu za wanasiasa.

  • @biasharaonline693
    @biasharaonline693 Год назад +1

    Mtu hata hajafika huko mayunivaa kawa bilionea

  • @brysonuronu5862
    @brysonuronu5862 3 года назад +1

    Hongera sana