Godson mrema umenikumbusha niposhule nilimwambia mkuu wa shule ya sekondari nilimwambia ivoivo kufeli mitihani sio kufeli maisha with nipo mtalini akaniita usiseme Ivo eti.nikweli Leo namshukuru mungu tz ninanyumba yangu bado napambana na Vita ya maisha.
Baba yake alimshirikisha ...wazazi wengine mna biashara kubwa lkn hamuwashirikishi familia mkifa kila kitu kinakufa... Hongera kijana Mungu azidi kukulinda na kukuongoza.
Asiyekujua,atahoji but I know you,I know your family ,na mapambano yako yote,you deserve to be a billionaire, also a leader coz you are blessed with good heart...kila la kheri my Uncle..Salim😍😍
Ongera sna mr Alimasi mm nimejifunza. Kua ukiamua kutafuta basi weka akili yko hpo ni usifanye jambo kwa kujaribu sema na mungu kua naamini hapa nitafanikiwa basi wee pambana kwa imani na kili moja tu Big up bro we to gather
Nimejifunza hapa ya kuwa kumshirikisha mtoto ktk kutafuta ugari inamsaidia hata uko ktk maisha yake yoote hata uko alipopotea nguvu za babake zili murika uyu kaka anazo radhi za babake kiukweli
Hongera zake ila headline is click baiting. Hajafanya kazi na Harmonize kama mlivyoandika bali kafanya mahali ambapo Harmo kadai kuwahi kufanya pia. Mtangazaji hujauliza alipata shingapi huko Msumbiji wala hujaongelea kuhusu hilo Jiwe alilopata lililompa ubilionea. Kwaninia kaingia kwenye siasa na Chama gani. Pengine muda haukutosha ila zilikua info za msingi.
Ka mtipweshi iyoo ..msitu unaitw amazonia ....daaah kaka yaan kuna wale lenamo nime chezeaga sana bakora ...nili sachiwa mzee walikomba kila kitu nlibaku na pens tu ..
Story ya huyu ndugu kuhusu Msumbiji inanikumbusha nilivyotembea kuanzia saa 9 usiku mpaka saa 12 jioni kesho yake kwa mguu kuelekea mgodini,ilikuwa ni kutoka wilaya moja kwenda wilaya nyingine!!
Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI.
Mnaohoji muwe basi na maswali yanayohusu jamani. Tumieni weledi basi. Mmetuacha ns kiuu hamhoji maswali ya maana. Mwisho mtatuchosha kusoma habari zenu maana hazina usahihi vizuri na ziko nie ya mafa husika. Weledi jamani please.
Kama unakubali kufeli shule sio kufeli maisha, gonga like tujuane boss.
Godson mrema umenikumbusha niposhule nilimwambia mkuu wa shule ya sekondari nilimwambia ivoivo kufeli mitihani sio kufeli maisha with nipo mtalini akaniita usiseme Ivo eti.nikweli Leo namshukuru mungu tz ninanyumba yangu bado napambana na Vita ya maisha.
Acha shule sasa
@@jumarwambo7420 muambie aige uache shule uone!!
Nikweli ndugu yangu kufeli kusoma sio kufeli maisha
@@shadagadagga9922 haaaaahaaa
Baba yake alimshirikisha ...wazazi wengine mna biashara kubwa lkn hamuwashirikishi familia mkifa kila kitu kinakufa...
Hongera kijana Mungu azidi kukulinda na kukuongoza.
MAHENGE MOROGORO NDIO HOME, BIGUP ALMAS💪
Asiyekujua,atahoji but I know you,I know your family ,na mapambano yako yote,you deserve to be a billionaire, also a leader coz you are blessed with good heart...kila la kheri my Uncle..Salim😍😍
Nice
Kama Tanzania imepata ma billionea wa madini ndani ya miaka miwili mfululizo je wazungu waliochimba tangu Karne wamevuna watrilioni mangapo Tanzania?
😧😱 daaah acha kbisa yan
Hapo sasa ndio maana tumempata kiongozi ambaye ameshtukia huo wizi.
Tatizo linaloisumbua Africa ni Uzalendo na Good management mkuu
Hongera sana kwa kupambna mbunge wetu mtarajiwa kaz kaz
jama iko vizuri mwenye kuhoji na kuhojiwa.
Mbunge Mtarajiwa Salim jina maarufu Salim Almasi MAHENGE stand UP
Huyu amepita,
Anayajua maisha
Ukimkuta mtu anajigamba anapesa huyo anazo za nyanya
Ahaaahaaa
Kabisa
Inawezakana ila pia haiwezkani.
Mungu akusaidie
MASHAALLAH!!! MUNGU AKUENDELEZEE NA I.ANI YAKO MM NAOMBA KIBARUA TU JAMANI AJIRA HAKUNA!
Good jobs speaking up my.brothe
Hongera achana na wanao kesha kumtukana rais hawana lolote
Ongera sna mr Alimasi mm nimejifunza. Kua ukiamua kutafuta basi weka akili yko hpo ni usifanye jambo kwa kujaribu sema na mungu kua naamini hapa nitafanikiwa basi wee pambana kwa imani na kili moja tu
Big up bro we to gather
Home sweet home😍😍😍
Ila huyu jamaa anayo roho safi sanaa yan ukifika mahenge auwez kusikia anazungumziwa kwa ubaya yan ni mtu amabae anasupport sana watu asee
Kweli kbs,,,,,huyu jamaa ana moyo wa kipekee sana
Mie Nataka niende huko Nipe Location Ndugu
Ukiwa mpambanaji huwezi kuwa na roho mbaya
Nimejifunza hapa ya kuwa kumshirikisha mtoto ktk kutafuta ugari inamsaidia hata uko ktk maisha yake yoote hata uko alipopotea nguvu za babake zili murika uyu kaka anazo radhi za babake kiukweli
Dah...pongezi kubwa sana...maisha ni safari kaka na kwawa Tanzania wote
Mungu amlinde
Never give up in your life
Kondeboy kahaso Bwana acha ale vyake
Kabisa kaangaika bana
God bless u gud work.
Penye nia hapakosi njia na penye juhudi neema unakuja.
Hongera kaka imejitahidi. Inastahili huo umilionea
congrats mheshimiwa maisha ni ubishi....umepamban san had ulipo tunahitaj hyo spirit piah tupe siri.....
Kazi sana
Watanzania bado hatjajua maana ya neno BILIONEA
Lakini jimboni bado maisha magumu ,miundombinu bado mibovu sana ,
Awww smart bro God bless you family is everything baba I’m so proud of you wa mahenge mwenzangu
Good luck Live long is my dua
Nifunguwa apa baada yakuona iyo picha ya harmonize
ata mie
Ata mm
Hata mimi
Hongera zake ila headline is click baiting. Hajafanya kazi na Harmonize kama mlivyoandika bali kafanya mahali ambapo Harmo kadai kuwahi kufanya pia.
Mtangazaji hujauliza alipata shingapi huko Msumbiji wala hujaongelea kuhusu hilo Jiwe alilopata lililompa ubilionea. Kwaninia kaingia kwenye siasa na Chama gani. Pengine muda haukutosha ila zilikua info za msingi.
Hana maswali huyu jamaa..
I like this job keep it up salim God bless u and your family
Respect
Mbunge wetu tunampenda
Watu wametoka mbali...usione mtu anatumia pesa yake!
Duuh atali sana
Unachosema kweli watutunapitia sehemu mbalimbali
Big up brother
Anafaa kua mbunge kujieleza anaweza wanaulanga mpeni kura zote
Duh watu wanachimba madini wanatiki mie nachimba tu wadada wa watu 😎
Wachimbe mkuu ipo siku utapata Tanzanite
Mkuu ww ni nembo kubwa 💎💎💎
inspired
Mbunge wetu uyooo tunakupenda snaaa
Ka mtipweshi iyoo ..msitu unaitw amazonia ....daaah kaka yaan kuna wale lenamo nime chezeaga sana bakora ...nili sachiwa mzee walikomba kila kitu nlibaku na pens tu ..
Pole sana dahh kipindi kile mzungu anamwaga Ile sumu ulikuepo? Nilipoteza kakangu nilisulika tu Kwa kuwa siku ilikuwa bado
Nakubaliii
Safi
Dah hongera
Hii kama hujaelewa kitu bas elewa kwenye kutafuta mafanikio kunatakiwa kujirisk maisha yako
Hongera sana
Nice
So inspired.
Heri yako wengine kazi kukesha mitandaoni kumtukana rais maisha magumu.
Mtu hata hajafika huko mayunivaa kawa bilionea
ndio mwanajeshi mimi mwenyewe nilikuwepo huko msumbiji mwaka1993mpka 94 sehemu moja inaitwa miazini a
Miamia bosi naiona ipanko na sisi tunapambana ndani ya korongo one day brother tupo nyuma
Hustler 💪🏽
Harmonze kweli jeshiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Hongera
❤
Namuona kama police ndio bodigad wake ama
morogoro mkoa mzur sana aseee
Salim Almas
Story ya huyu ndugu kuhusu Msumbiji inanikumbusha nilivyotembea kuanzia saa 9 usiku mpaka saa 12 jioni kesho yake kwa mguu kuelekea mgodini,ilikuwa ni kutoka wilaya moja kwenda wilaya nyingine!!
Mbuge wetu👌
Daaah nampendaa coz yuko really sana
Maisha ni safari
Box mungu azidi kuku inua
All the best Mpambanaji ...MBUNGE Mtarajiwa #harakatizamtumweusi
pesa sio matako dadeki cha msingi usikate tamaa kama ipo ipo tu
Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI.
Hhhhhhhhhhhhh tulia ule ugari wa bule hapo kwa mume wa dada yko maisha unayajulia wapi wewe
Wa ukae huyu
Wakashina mayangu???
Boss najifunza mengi sana kupitia ww
Msumbiji isikieni tuu aisee
AYO tuleteeni na wagombea wengine wapya tujifunze kitu kwao
Tatizo wengine historia zao hazizidi mistari minne
Huyu jamaa anaweza andika kitabu kuhusu maisha yake hii interview ilitakiwa iwe ndefu zaidi
Millard ayo hapa huna mtangazaji anaacha key concept anaongelea mambo mengine
😂😂😂😂😆
Unanikumbusha mbali Kaka mi bado na aso toka tumefukuzwa mtepweshi na siachi kuchimba
Duh,maisha ni safari ndefu na ngumu
Mnaohoji muwe basi na maswali yanayohusu jamani. Tumieni weledi basi. Mmetuacha ns kiuu hamhoji maswali ya maana. Mwisho mtatuchosha kusoma habari zenu maana hazina usahihi vizuri na ziko nie ya mafa husika.
Weledi jamani please.
Ndugu yetu huyu ulanga stand up
Swali zito sana kwa wanasiasa wa Tanzania
Inaonekana wazi kua mama yako arikua msimbe yan watoto wanne Kira mtoto na baba yake 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😋
Wapakaya
Naomba hixoria iwe ndefu bci..jmni...mbona ni fundixhoo zuri xana..lakin inakuwa fupi....
Ndio mkewe huyoo acha hamisa ajisevie tu
Maisha haya mmh tunahaso san
SIKU ZOTE MUNGU NI MWEMA SANA KWA MTU MWENYE BIDII.
Mzungu wa roho
Njia ngumu nilizopita mkanipa na jina mkasema niitwe jeshi.
Mtangazaj chana nywele
😂😂😂😆
Anipe siri ya urembo ili nam niwe tajiri
Ww kweli kichwa nilivyo kusikia tu ww uko vzr na akili imetulia
Dah maisha aisee
Ushamba
He
Bilionea?????
N
Nani amesikia he cant do anything
Hyu anaonekana dalal tu wa madin Hana lolote,kama anapga pesa kwnye madini unafuata nn kwnye ubunge,hzo ni mbnu tu za wanasiasa.
hujielewi
Acha rohombaya usimpe kurayako basi uswalitu
Ujielewi
Wivu aka husda
Kijana mpambanaji sana na ni kawaida ya watu weupe sababu wanachukia umasikini. Mbunge tumepata Ulanga
Mtu hata hajafika huko mayunivaa kawa bilionea
Hongera sana