Natengeneza Millioni Ishirini kwa Wiki - Kyando

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 31 янв 2025

Комментарии • 73

  • @edwinkyando2269
    @edwinkyando2269 10 месяцев назад +3

    Daah naitwa Edwin satock kyando

    • @alphoncenkandi4420
      @alphoncenkandi4420 5 дней назад

      Mzee ata me nashamba la mikomba heka nne na michungwa paomoja na michenza SEMA nipo semehemu hamna wanununzi mzee

    • @elimidakashumba2422
      @elimidakashumba2422 3 дня назад

      Jiongeze nunua gari kubwa beba mwenyewe peleka sokoni​@@alphoncenkandi4420

  • @MauBonde
    @MauBonde 26 дней назад +1

    Big up kwa jamaa nchi bila hitaji muhimu la binaadamu la kila siku ni nothing.

  • @hassaniibrahim300
    @hassaniibrahim300 Год назад

    HONGEERA SANAAA KYNDO

  • @Nourishfarming
    @Nourishfarming 2 года назад +1

    Karibuu shambani kwangu

  • @mneneybariki4772
    @mneneybariki4772 2 года назад

    Asante Sana hao taha unawalipa sh ngap

  • @LevinaNyembe
    @LevinaNyembe 8 месяцев назад

    Vizur sana boss wangu umebuni jipya na lenye mafanikio

  • @rumanyikachange
    @rumanyikachange Месяц назад

    Asante kwa kunitoa Matongotongo

  • @LevinaNyembe
    @LevinaNyembe Месяц назад

    Boss wangu kiando ongera sana kamanda unapambana kila Kona ubarikiwe sana

  • @athumanishabani1143
    @athumanishabani1143 4 месяца назад

    Hongera sana

  • @amaningalla9420
    @amaningalla9420 3 месяца назад

    Hooongera sana kyando! Mwalemi

  • @MartinMusyenze
    @MartinMusyenze 7 месяцев назад

    Ni viema sana napenda sana ukulima

  • @ibrahimngirini8737
    @ibrahimngirini8737 3 года назад

    Very interesting

  • @DeboraWisdom-zx8ne
    @DeboraWisdom-zx8ne 8 месяцев назад

    Naitwa Debarah Wisdom

  • @peacemwesiga
    @peacemwesiga 27 дней назад

    ❤❤❤❤

  • @nelsonkyando3146
    @nelsonkyando3146 23 дня назад

    Kaka Kyando tuko nyuma yako

  • @honorathampemba5392
    @honorathampemba5392 26 дней назад

    Wizara ya Kilimo wasaidieni wakulima nchi hii itakuwa na matajiri wengi sana na watu wote watapata lishe bora Umri wa kuishi utapanda

  • @msamgunda7684
    @msamgunda7684 3 месяца назад

    Habar.Naomba mawasiliano ya taha.

  • @phoibekoshuma1935
    @phoibekoshuma1935 7 месяцев назад

    Asante kwa kunitia moyo sasa nawapataje TAHA

  • @christinakatega2012
    @christinakatega2012 2 года назад +2

    Naomba namba za hao Taha wanisaidie

  • @salimlumala6364
    @salimlumala6364 26 дней назад +2

    Sio kirahisi kiivo

  • @khamidukipira9039
    @khamidukipira9039 2 года назад

    Taha nitawafikiaje

  • @Piuskanuma
    @Piuskanuma 3 месяца назад

    Mko vzr Kagera karagwe napataje msaada wenu jamani?

  • @JoshuaKilatu
    @JoshuaKilatu 9 месяцев назад

    Good

  • @obadiayusuph7096
    @obadiayusuph7096 2 года назад +5

    Hii taha maeneo ya mikoani kama Kigoma inaweza kutufikia? Na ili ujiunge kuna vigezo gani

  • @sebastianvincent37
    @sebastianvincent37 3 года назад +1

    Nimeipenda

  • @AhmadAbdou-yj2rr
    @AhmadAbdou-yj2rr Год назад

    Ntawapata je TAHA

  • @georgematete8246
    @georgematete8246 3 года назад

    I need seeds of that pawpaw

  • @novathmsanyamsanya7702
    @novathmsanyamsanya7702 26 дней назад

    Jirani yangu huyu tajiri tokea kitambo sana

  • @gracekasambala4712
    @gracekasambala4712 Год назад

    Mngekuwa mnaweka no ya cm

  • @wardabaruani2828
    @wardabaruani2828 2 года назад +1

    Naomba mawasiliano na TAHA

  • @joycesanga6951
    @joycesanga6951 2 года назад +1

    TAHA Mwanza mpo sehemu gani?

  • @monnie1288
    @monnie1288 27 дней назад

    Namwona Isaack wa TAHA hapo

  • @beltilakaphipa687
    @beltilakaphipa687 2 года назад

    Nipo katavi ninahitaji kupata elimu ya kilimo ninapenda sana

    • @brightonmfaume8265
      @brightonmfaume8265 2 года назад

      nipo gairo nimeipenda elimu hiyo ni muhimu sana tutakuiga

  • @michaeldjunior1023
    @michaeldjunior1023 29 дней назад

    Huyu si mzee wa Almagatha au namfananisha

  • @SharyMary-s8t
    @SharyMary-s8t Месяц назад

    Naomba kuuliza hiv kwa mkoa wa Pwani haswa maeneo ya Mkuranga maji yanapatikana kwa ajili ya kilimo??

  • @lightnesselirehema1464
    @lightnesselirehema1464 29 дней назад +1

    Mnaouliza TAHA wako wapi simu zenu janja haziwasaidii?

  • @luganomunuwavanu9369
    @luganomunuwavanu9369 Год назад

    Mkinga kama mkinga

  • @mashakavedastus8957
    @mashakavedastus8957 2 года назад

    Huyo kaka ni Isack au?

  • @laninjeje8290
    @laninjeje8290 29 дней назад

    Acha uongo we mzee, umetumwa eti eee😂 hizo bei unataja ni wauzaji wa reja reja mzigo mkubwa huwezi kuuza papai moja elfu moja

    • @phinameya4198
      @phinameya4198 19 дней назад

      Inategemee na mkoa inawezekana kuwa papai moja sh 1000 kwa shambani

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 Месяц назад

    Na tego za kuzuwia wizi umefukia kila kona

  • @FaustinaChambo
    @FaustinaChambo Год назад +1

    Nahitaji shamba

  • @severinpeterkalekezi5240
    @severinpeterkalekezi5240 2 года назад

    Mimi ninataka kujiunga kwenye TAHA ili nianzishe shughuli za kilimo Chalinze Vigwaza ziko eka 4 ambazo zimeishasafisha, utaratibu wa kujiunga ukoje? Kwa sasa ninaishi Dar es salaam Manzese.

  • @raphaelkessy7360
    @raphaelkessy7360 Месяц назад +5

    Hakikisha na Kodi unalipa kulingana na maelezo haya uliyo thibitisha mwenyewe

    • @lusajomwaipopo5042
      @lusajomwaipopo5042 27 дней назад +1

      Acha wivu

    • @abubakarsalum6351
      @abubakarsalum6351 27 дней назад +4

      Kilimo hakina kodi....imekula kwako na roho yako mbaya

    • @MauBonde
      @MauBonde 26 дней назад

      Tatizo la Kodi hawangalii uzalendo na muda gani ulipata hasara mpaka ukainuka.

  • @delfinakapembati6259
    @delfinakapembati6259 2 года назад

    Mbeya mko wapi

  • @HollynessHamiss
    @HollynessHamiss 11 месяцев назад

    Na mimi naitaji msaad wa taha

    • @tahaonlinetv8989
      @tahaonlinetv8989  11 месяцев назад

      Habari
      Naomba kufahamu unapatikana mkoa gani

  • @julianaharrison4356
    @julianaharrison4356 3 года назад

    Taha mnapatikana wapi?

  • @DeboraWisdom-zx8ne
    @DeboraWisdom-zx8ne 8 месяцев назад

    Nakuomba unipatie No Zako za Cm kwani natamani kulima Niko Geita Katoro

    • @tahaonlinetv8989
      @tahaonlinetv8989  7 месяцев назад

      Habari, tafadhali wasiliana na ofisi yetu ya uanachama kupitia +255 763 718 849
      Asante sana kwa kuwasiliana nasi

  • @saidgok7433
    @saidgok7433 Год назад +1

    They put water in a water bottle and do waterless farming. If you understand English, there is also an English explanation. They explain this. I said this to give information.

  • @jeremialyati6092
    @jeremialyati6092 29 дней назад

    TRA pesa zetu njooni mchukue

  • @090984able
    @090984able 3 года назад

    Nawezaje kupata mawasiliano na TAHA?

  • @GideonNzige-k7i
    @GideonNzige-k7i 24 дня назад

    Hongera sana

  • @julianaharrison4356
    @julianaharrison4356 3 года назад

    Taha mnapatikana wapi?