Mimi ninataka kujiunga kwenye TAHA ili nianzishe shughuli za kilimo Chalinze Vigwaza ziko eka 4 ambazo zimeishasafisha, utaratibu wa kujiunga ukoje? Kwa sasa ninaishi Dar es salaam Manzese.
They put water in a water bottle and do waterless farming. If you understand English, there is also an English explanation. They explain this. I said this to give information.
Daah naitwa Edwin satock kyando
Mzee ata me nashamba la mikomba heka nne na michungwa paomoja na michenza SEMA nipo semehemu hamna wanununzi mzee
Jiongeze nunua gari kubwa beba mwenyewe peleka sokoni@@alphoncenkandi4420
Big up kwa jamaa nchi bila hitaji muhimu la binaadamu la kila siku ni nothing.
HONGEERA SANAAA KYNDO
Karibuu shambani kwangu
Asante Sana hao taha unawalipa sh ngap
Vizur sana boss wangu umebuni jipya na lenye mafanikio
Asante kwa kunitoa Matongotongo
Boss wangu kiando ongera sana kamanda unapambana kila Kona ubarikiwe sana
Hongera sana
Hooongera sana kyando! Mwalemi
Ni viema sana napenda sana ukulima
Very interesting
Naitwa Debarah Wisdom
❤❤❤❤
Kaka Kyando tuko nyuma yako
Wizara ya Kilimo wasaidieni wakulima nchi hii itakuwa na matajiri wengi sana na watu wote watapata lishe bora Umri wa kuishi utapanda
Habar.Naomba mawasiliano ya taha.
Asante kwa kunitia moyo sasa nawapataje TAHA
Naomba namba za hao Taha wanisaidie
Sio kirahisi kiivo
Hakika
Taha nitawafikiaje
Mko vzr Kagera karagwe napataje msaada wenu jamani?
Good
Hii taha maeneo ya mikoani kama Kigoma inaweza kutufikia? Na ili ujiunge kuna vigezo gani
Nimeipenda
Ntawapata je TAHA
I need seeds of that pawpaw
Jirani yangu huyu tajiri tokea kitambo sana
Mngekuwa mnaweka no ya cm
Naomba mawasiliano na TAHA
Afisa Uwanachama TAHA - 0763718849
TAHA Mwanza mpo sehemu gani?
Namwona Isaack wa TAHA hapo
Nipo katavi ninahitaji kupata elimu ya kilimo ninapenda sana
nipo gairo nimeipenda elimu hiyo ni muhimu sana tutakuiga
Huyu si mzee wa Almagatha au namfananisha
Naomba kuuliza hiv kwa mkoa wa Pwani haswa maeneo ya Mkuranga maji yanapatikana kwa ajili ya kilimo??
Yanapatkana inategmea sehm na sehm
Mnaouliza TAHA wako wapi simu zenu janja haziwasaidii?
😂😂😂😂😂😂😂
Hapo sasa 😂😂😂
Mkinga kama mkinga
Huyo kaka ni Isack au?
Acha uongo we mzee, umetumwa eti eee😂 hizo bei unataja ni wauzaji wa reja reja mzigo mkubwa huwezi kuuza papai moja elfu moja
Inategemee na mkoa inawezekana kuwa papai moja sh 1000 kwa shambani
Na tego za kuzuwia wizi umefukia kila kona
Nahitaji shamba
kama hutojali nenda iringa
Mimi ninataka kujiunga kwenye TAHA ili nianzishe shughuli za kilimo Chalinze Vigwaza ziko eka 4 ambazo zimeishasafisha, utaratibu wa kujiunga ukoje? Kwa sasa ninaishi Dar es salaam Manzese.
Nenda ofisini kwao posta, rita tower
Hakikisha na Kodi unalipa kulingana na maelezo haya uliyo thibitisha mwenyewe
Acha wivu
Kilimo hakina kodi....imekula kwako na roho yako mbaya
Tatizo la Kodi hawangalii uzalendo na muda gani ulipata hasara mpaka ukainuka.
Mbeya mko wapi
Morogoro taa wapi
Na mimi naitaji msaad wa taha
Habari
Naomba kufahamu unapatikana mkoa gani
Taha mnapatikana wapi?
Afisa Uwanachama TAHA - 0763718849
Nakuomba unipatie No Zako za Cm kwani natamani kulima Niko Geita Katoro
Habari, tafadhali wasiliana na ofisi yetu ya uanachama kupitia +255 763 718 849
Asante sana kwa kuwasiliana nasi
They put water in a water bottle and do waterless farming. If you understand English, there is also an English explanation. They explain this. I said this to give information.
TRA pesa zetu njooni mchukue
Nawezaje kupata mawasiliano na TAHA?
Afisa Uwanachama TAHA - 0763718849
Hongera sana
Taha mnapatikana wapi?
Mikoa 26 Tanzania - Makao Makuu ikiwemo Arusha +255272544568
@@tahaonlinetv8989 ahsante