Hii Ndio Sababu ya Mtanzania Kukataa Milioni 420 Marekani na Kuja Kuishi Tanzania
HTML-код
- Опубликовано: 28 сен 2024
- All the African Music. Hottest SHOWS... Experience Africa
100.5 Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz
Kwa Yesu kuna raha sana sana. Yesu will Never fail you NEVERRRR. Aise hongera sana Benjamin.
Daaaahh wew jamaaa wew ulikua mkorofi Sana aseh Tena nakumbuka mim na wew day one tulipigana atar mbezi iyo but congratulations bhna rafki yang
Mungu wetu akuwezeshe kwa kazi utafanya tanzania
Yupo sawa kabisa kukataa hiyo 420 wakati hapa mining
kunawazungu wanalipwa dola elfu 45 kwa mwezi halafu hata phd hawana.
Mash Allah ❤hongra❤
Good
Habari ya kazi mimi ninaitwa honorati mayunga ni mwenyekiti wa NGO inayoitwa HOMELIFE SPORTS.makao yake makuu ni Mwanza..ninafanyakazi TBL mwanza..ninaomba Email ya mgeni wetu apo studio ninaomba kuipata kama itawezekana kwa Email yangu...homelifesports@gmail.com
Everything is possible💪God is good all the time🙏🏼🙌❤❤❤❤❤
Du hakika yote yanawezekana kwake
Inspiration for my young boy. Thanks for the story
Congrats Fernandez
Kaka nimekupenda buree
MUNGU ni mkuu mno na AKILI zake hazichunguziki kamwe
Mwaka 1902 kweli huyu jamaa anasema kweli
umenifurahisha sana kaka.
Glory to God