IMEFAHAMIKA: Hapa ndipo anapoishi Dr. Luis Shika, Majirani waongea

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024
  • Anafahamika kwa jina la Dr. Luis Shika, ndilo jina alilolitaja siku anaingia kwenye Mnada na kushinda mnada wa kununua nyumba 3 ambazo malipo yake ni zaidi ya BILIONI 2.. baada ya hapo ikawa gumzo mpaka leo na anaendelea kushikiliwa na Polisi.

Комментарии • 353

  • @venancebasil4656
    @venancebasil4656 6 лет назад +52

    Ni bora hivyo alivyoenda mnadani dunia imejua atasaidiwa sasa

  • @EREVUKATV
    @EREVUKATV 6 лет назад +1

    Huyu mzeee yuko vizuri big up Dr luis Shika, nakuelewa sana safi ni wakat wako huu, yan mzee unafaa sana huyu anaetoa maelezo simwelew, chakula chake ni maji!? Nan anamlipia kodi ya nyumba!???? Acheni unafki, hyo nyumba anayokaa kodi yake si chin ya 50-60 kwa mwez kwa maisha ya dsm nan anamlipia!??? Achen unafki

  • @Msonjo
    @Msonjo 6 лет назад +21

    huyu Dada ni mnafki saana ukimfatilia alivyo hojiwa na global alisema anamsikiaga babu akiongea na cmu kwa lugha ya kingereza na lugha kadhaa alizataja na sasa anasema hajui kama babu ana simu me naamini ukweli tutajua cku za karibuni bora tukio umfate bubu akuulizee lakini waongeaji wataongea wanachokijua

    • @jamilajamaljj7976
      @jamilajamaljj7976 6 лет назад

      Msonjo Khan ehe kweli umeonaye haka kadada hakafai kaongo mno kweli kalisema huwa anamsikia akiongea na simu kingereza mara kisukuma hapa kanatuchaganyia maneno.hata yeye anahitaji kupimwa.

    • @halimkepa7766
      @halimkepa7766 6 лет назад

      Msonjo Khan ten mnafik haswaaa angenyamaz ingependez

    • @thadeipeter2592
      @thadeipeter2592 6 лет назад

      Msonjo Khan Me mwenyewe nimeshangaa sana mkuu,coz ile video ya global niliichek !

    • @masterdaveprojections
      @masterdaveprojections 6 лет назад +1

      Msonjo Khan majibu ya mtu hutegemea na anaemhoji, global tv walihoji vinginevyo lakini hawa ayo tv wamemfanyia interview kivingine pia

    • @Mimi.Official76
      @Mimi.Official76 6 лет назад

      Msonjo Khan huenda hiyo nyumba anayoishi huyo dada ni ya huyo babu.babu analala store vyumba amevipangisha wapangaji mbona ni Kweli

  • @Msonjo
    @Msonjo 6 лет назад +46

    wanafki hao Huyu mzee anaeza Fanya maajabu yesu kageuza jiwe kuwa mkate lakini wayahudi hawakumuamini me bado namumini huyu Dr kama ni tajiri mtata katuonesha utata wake

    • @Mimi.Official76
      @Mimi.Official76 6 лет назад +2

      Msonjo Khan kuna watu wanapesa lakini wanaishi kimasikini ili wasijulikane wana pesa kwa ajili ya usalama wao

    • @EREVUKATV
      @EREVUKATV 6 лет назад +1

      Msonjo Khan hahahaaaaa kumamake noma sana

    • @zaudatmakula3454
      @zaudatmakula3454 6 лет назад

      Msonjo Khan uko kama mimi

    • @jackiejackie1272
      @jackiejackie1272 6 лет назад

      Msonjo Khan nenda kwenye website yake uangalie

    • @neemarobert6058
      @neemarobert6058 6 лет назад

      like

  • @mbishiwakitaa2590
    @mbishiwakitaa2590 6 лет назад +29

    Ahahaa ety anaenda chooni anarudi we Dada fala nn ulitaka aende chooni asirudi

  • @ashaali7154
    @ashaali7154 6 лет назад +2

    Binaadamu wako kama kinyonga dakika mbili walikuwa wanamuona kama mfalme kwa kudhani ni tajiri hadi kumpepea lakini walipoona hana kitu wanamsema kwa kumdhihaki na kumcheka bila kujali kama ni mzima au mgonjwa wala kutafuta ukweli mmh Mungu ni mwema .

  • @kitonekantasha1687
    @kitonekantasha1687 6 лет назад +7

    huyo dem anataka kiki nayeye sasa kwani nyumba zima mpangaji niyeye na babu tu? maana hatuoni mkihoji upande mwengine mmmfyux. utajuaje kama humo ndani kwake ni stoo.. huyo dem simuamin

  • @davidtemba4893
    @davidtemba4893 6 лет назад +52

    😂😂😂😂😂 Kama kuchoka ni dhambi nisamehewe...kinachonichekeshaniwalivyokua wanampepea aiseee

    • @aishaelias986
      @aishaelias986 6 лет назад +2

      david temba hapo kwa kupepewa pia mimi pamenimaliza..., akaingia magari yote ukujua huna pesa .mjasirii

    • @davidtemba4893
      @davidtemba4893 6 лет назад +2

      Aisha ELIAS 😂😂😂 Hatarii

    • @bongoyetu8938
      @bongoyetu8938 6 лет назад +2

      david temba
      Mwenyewe anacheka.

    • @magynzioka1122
      @magynzioka1122 6 лет назад +2

      david temba awa walitaka wenyewe aliwambia vizuri inaona ya pendeza 900 sasa mbona wanalalamika wangemliza anamanisha nini 900

    • @latifahissa1114
      @latifahissa1114 6 лет назад +5

      Hao waliokuwa wanajipendekeza kumpepea wakijua NI pedenjee mujini saizi wanasonya na wanajutia shobo zao 😂😂😂

  • @NYUMBANI2024
    @NYUMBANI2024 6 лет назад +1

    ukweli upo hapa bofya Icon

  • @evancemwalongo5071
    @evancemwalongo5071 6 лет назад

    Nampa salute kwa kujitengenezea heshima japo kwa kamda kafupi, aliyokua anaitamani but hakuipata kutokana na life yake ilivyo

  • @monikajoshua7305
    @monikajoshua7305 6 лет назад +6

    Jaman mzee alidhani serikali inaomba ushauri au . mmmh tufanye 900

  • @father3777
    @father3777 6 лет назад +9

    We Dada mbona unachanganya mafaili hivyo kumbuka uko on-line

    • @AloisNashali
      @AloisNashali 6 лет назад

      mr Ulaya 😂😂😂😂

    • @renensavyimana9484
      @renensavyimana9484 6 лет назад

      mr Ulaya inamaana anaishi kwakulishwa na wewe? dada acha maneno umezidi khaa

    • @father3777
      @father3777 6 лет назад

      +Rene Nsavyimana Naomba unielewa nasema huyo Dada anaeulizwa maana Jana alisema Kuwa babu anasim Leo kasema hana

    • @drroble.gurhan3594
      @drroble.gurhan3594 3 года назад

      Anazingua!! Kavuta bangi huyo dada?

  • @monikajoshua7305
    @monikajoshua7305 6 лет назад +1

    OK naanza na ofa ya millions 300 teh teh teh teh teh teh

  • @fajompangile
    @fajompangile 6 лет назад +9

    DADA anatoa siri hadi za kuoga dah! hana mume huyo eti ee!

  • @gaspermassawe7397
    @gaspermassawe7397 6 лет назад +1

    Huyo ni MRUSI ATAKI MAMBO MENGI,Dr Lious Oyee!!!

  • @dj5_tz971
    @dj5_tz971 6 лет назад +18

    pepea babu pepea babu😂😂😂

  • @khantv6949
    @khantv6949 6 лет назад +37

    Tukifanya vikombe viwili vya Maji ITAPENDEZA SASA haha 😅😅😅😅😅 like kwa DR LUI plz

  • @tanescoperson3650
    @tanescoperson3650 6 лет назад +22

    Mzee angekua na account ya instagram saiv followers kibao 😂😂😂😂

  • @bahatinicesongpaulo6749
    @bahatinicesongpaulo6749 6 лет назад +4

    sasa hela yakodi inatoka wapi nawew ?mbona unanichangany aa!

  • @tianohmusic8259
    @tianohmusic8259 6 лет назад

    anaiwaza sana company ake ..ataikuza vipi na itaenea vipi dunia nzima ! go on tajiri mtata

  • @TRAVELANDTASTETANZANIA
    @TRAVELANDTASTETANZANIA 6 лет назад

    Duh!

  • @thomassigorimrumbe2680
    @thomassigorimrumbe2680 6 лет назад +2

    jamani wale munaomutukana huyo dada sio vizuri kwa sababu hayo maelezo ni mazuri sana yanaweza hata kumsaidia huyo mzee kuachiwa.

    • @alexdukes5547
      @alexdukes5547 6 лет назад

      Thomas sigori ..huyu dada c vyema kimzihaki namna hiyo kwan kulikuwa na sbbu yakumwambia anaishi store mbele ya camera....fyuuuuu

  • @eddybrysonobi8323
    @eddybrysonobi8323 6 лет назад +1

    huyu binti anayeojiwa mrembo sana. Kenya watching

  • @happynesssalimu2222
    @happynesssalimu2222 6 лет назад +33

    Acha unafki dada asile wiki nzima angewezaje kusimama kwenye Mnada Kama si umbea huo msenge kwel ww

    • @aishaelias986
      @aishaelias986 6 лет назад +1

      happyness Salimu hahahs

    • @muddyville
      @muddyville 6 лет назад +3

      happyness Salimu Tuliza tako ww, unamuitaje mwanamke mwenzio msenge? Boya weeee

    • @didamugya6039
      @didamugya6039 6 лет назад

      mbona kama povu sana, wewe ni mtoto wa huyu dokta?

    • @queenaggy534
      @queenaggy534 6 лет назад +1

      Huyu happy ajisomi kabisa uckute ww ndyo msenge

    • @denisteye9699
      @denisteye9699 6 лет назад

      happyness Salimu 😂😂 wanafiki hawa

  • @barakamugeta5064
    @barakamugeta5064 4 месяца назад

    Duh

  • @teddymwageni1763
    @teddymwageni1763 4 года назад

    Mmmmh umbea c kazi jamani kazi kusutwa

  • @djmack1345
    @djmack1345 6 лет назад +2

    Stress za maisha zinafanya mtu kufanya kitu ambacho hukufikiria

  • @kamalofanuel8120
    @kamalofanuel8120 6 лет назад

    nyinyi waandishi hiyo ndo imekuwa issue....Endeni vijijini mkaripoti vitu vya manufaa kwa wananchi....manake matuonesha mpaka nachoo anachotumi Huyu mtu

  • @halimkepa7766
    @halimkepa7766 6 лет назад

    Sas kodi hali pi

  • @peterkimwaga8901
    @peterkimwaga8901 6 лет назад +4

    huyu dada alikuwa demu wa dr.luis shika anajua hadi chumba chake anatafuta kiki kwa doctor huyo

  • @zamzamhamisi7332
    @zamzamhamisi7332 6 лет назад +4

    Mshukuru babu amekufanya umeonekana kwa TV

  • @hussmuya5246
    @hussmuya5246 6 лет назад

    kheeh jamani !!!

  • @bensonfrank643
    @bensonfrank643 6 лет назад +8

    Amna Cha kuchekesha Hapo, Mzee yupo Depressed Na Maisha, Wewe Unaemsema Mzee Maskini, Wewe Tajiri? 😎

  • @mustafamndenge9981
    @mustafamndenge9981 6 лет назад +2

    huyu Dada na waandishi walio mhoji wote vilaza sasa kama hana hata pesa ya chakula anawezaje kulipa kodi ...

  • @fredmatata8688
    @fredmatata8688 6 лет назад

    me even do not understand reality this is movie...dada ww mzuri kbas

  • @angelamri8012
    @angelamri8012 6 лет назад +1

    daaa nimeumia story ya doctor Luis anahitaji msaada wa Cancer

  • @mctidohondoa1652
    @mctidohondoa1652 6 лет назад +5

    Duuu dunia hadaa ulimwengu shujaaaa siniwaombee na mm mtembeleee chanel yangu #mc tidoh ondoa nijulikane kama tajiri luis ingependeza

  • @niaanthony9588
    @niaanthony9588 6 лет назад

    Jamani duh nanyie wauzaji hata hamjaona tu

  • @bonniegtmagabe2009
    @bonniegtmagabe2009 6 лет назад

    We dada mzur sana una wisdom

  • @sahelsuwel6932
    @sahelsuwel6932 6 лет назад

    Maneno yoooteee aliyosema kuhusu shida za mzee huyu hazijawagusa, ila mnazungumzia kuhusu ana simu au hana. Kweli machoko wengi. Unazungumza kwa kujiamini bila kutafuna maneno, inaonyesha unasema ukweli...Dada endelea kumsaidia Mzee, Mungu atakulipa. Achana nao hawa Machoko wanayekusema.

  • @deogratiasnjee5708
    @deogratiasnjee5708 6 лет назад

    Mtoto mrembo tu,,,##milion tatu itakupendeza sasa

  • @daviekasinda6918
    @daviekasinda6918 6 лет назад +2

    Dada acha uwongo ulivyohojia global ulisema unamskia akiongea na cm tena lugha tofaut iweje saiv unasema hana cm.

  • @MrSoftBrains
    @MrSoftBrains 6 лет назад

    Yategee maisha, yakutege

  • @bigkisanga5012
    @bigkisanga5012 6 лет назад

    we Dada atakujieleza hujui Dr luis shika ni msomi mzuri

  • @stewofai
    @stewofai 6 лет назад

    Napendekeza kama mic ya pili haitasikika plz naombeni muweke subtitle kuna mahali simsikii kabisa mwandishi

  • @godfreywebiro4058
    @godfreywebiro4058 6 лет назад

    ok ok.nimekuelewa!!..tunaanza na hapo milioni miatatu😀😀😀😀

  • @abelmirwatu544
    @abelmirwatu544 6 лет назад +1

    Tanzania imsaidie huyu mzee.

  • @mariammussa374
    @mariammussa374 6 лет назад +2

    We dada mbona muongo global walikuhoji ukasema huwa angea na simu na wazungu now unasema hujawahi kumsikia anaongea na simu

  • @sundaypapwi151
    @sundaypapwi151 6 лет назад

    Sasa Sahiv huyo Dada anajickiaje maneno yana mipaka kesho ni ya Mungu dada

  • @basharahamtzhalisi6871
    @basharahamtzhalisi6871 6 лет назад

    Serikali ingefanya uchunguzi mapema (primary prevention) wa mental illness matatizo haya tungeyasolve mapema. Haya ndo matokeo ya kutokuchukua hatua kwa special group kama hawa.

  • @suzanrichard5428
    @suzanrichard5428 6 лет назад +3

    umesema umemkuta alafu unasema ajanunua kitu chochote chumba chake ni stoo mmmmh we dada be carefull niko na Dr apa tunatoa mia 900 ipendeze zaidi

  • @estacharles7315
    @estacharles7315 6 лет назад

    mmmmmmmm jaman mtu asileeee wikii mmmhhj haiwezekan jamaniii huenda anaendaga kula bas anarud mmmhh

  • @hassandre6434
    @hassandre6434 6 лет назад +2

    Namuonea huruma Sana mzee dk just imagine Kama angekua ni baba yako?

  • @felixbombo6175
    @felixbombo6175 6 лет назад

    wee mwanamke,komaaa,nyoooooo!Fanya yak

  • @jshaibu3
    @jshaibu3 6 лет назад

    Mzee nimemsikiliza nimemuelewa sana ,Acha tusubiri kuna kishindo kikubwa kinaweza tokea.

  • @fauziawilifred6229
    @fauziawilifred6229 6 лет назад +2

    Yan huyo aliwanyooshaaa.navitambi sio mbya kulindwa na selikali

  • @saidmathias8850
    @saidmathias8850 6 лет назад

    mm naomba no ya huyo bnt

  • @luganomwankyoko2653
    @luganomwankyoko2653 6 лет назад

    Daaaaaaaaaaaa ngoja ninyamaze ipendeze

  • @zaudatmakula3454
    @zaudatmakula3454 6 лет назад

    mmmhh hafui mbona msafi

  • @robertabell9008
    @robertabell9008 6 лет назад

    Huyo Dada nae duh! tukisubir upelelez ufanyike "itapendeza zaidi"

  • @ommietrendz7175
    @ommietrendz7175 6 лет назад

    Kwanza alijuaje kama kuna mnada wa nyumba??
    Ndio hayo magazeti
    Sasa mbona nguo zake zilinyoooshwa tu vzr

  • @neematemu2706
    @neematemu2706 6 лет назад +6

    huyu babu atakuwa na kitu kinamsumbua lbda alizulumiwa na ndio maana anasikitika jaman,lbda akipata mtu wa kuongea nae nakumfanyia cancele anaweza kurudi ktk hali yake mungu amsaidie

    • @kombab1112
      @kombab1112 6 лет назад

      Neema Temu amina

    • @josephjoseph1851
      @josephjoseph1851 6 лет назад

      Huyu Dada anaongea kwa kujisifu sana na dharau halafu anachanganya mafaili

  • @nicomsafi5375
    @nicomsafi5375 6 лет назад +1

    Yawekeni na maisha yenu wazi tuyaone .yenu yanawashinda yawenzenu domo linawadinda

  • @frankjacksoni1433
    @frankjacksoni1433 4 года назад

    R I P jasil muongoza njia

  • @thadeipeter2592
    @thadeipeter2592 6 лет назад

    Yule mama wa yono alishaanza kupagawa kwa Dr shika walahi

  • @tropicallaizer4000
    @tropicallaizer4000 6 лет назад +3

    huyo babu ndo marufu hapa Tanzania ila huyo mdada kaongea ujinga tu

  • @mwafrikamnyonge6180
    @mwafrikamnyonge6180 6 лет назад

    ndio watu tunaowataka wenye ujasiri kama hawa

  • @bongovibe1427
    @bongovibe1427 6 лет назад

    Inasikitisha sana

    • @faalthimrosi3293
      @faalthimrosi3293 6 лет назад

      Jason Platnumz diamond karanga Karanga apo vipi

  • @nikkilaizer1707
    @nikkilaizer1707 6 лет назад

    mmmh!!!Dada hueleweki kwa kweli mwonekano tuuu.....Mzee hali chakula then anaishi ww.....hujui usemaloo.....usimdharauu usiye mjuaa.

  • @moseskayan3705
    @moseskayan3705 6 лет назад

    Sasa kama hakulagi siagekufa basi. Hayo dharau tu

  • @salimmachila5736
    @salimmachila5736 6 лет назад

    Eti chakula chake ni maji.. Waua Ww dada

  • @sirnyoniinspirationstv5327
    @sirnyoniinspirationstv5327 6 лет назад

    Dah,yaani hakuna mtu anayeni inspire wiki hii kama babu,ama kweli imependeza zaidi

  • @annajohn393
    @annajohn393 6 лет назад

    Hadi raha anapepewa

  • @isayangwahi9251
    @isayangwahi9251 6 лет назад

    ehehehehehe......900 itapendeza sasa.....

  • @kareemalamoody6345
    @kareemalamoody6345 4 года назад

    Amewaonyesha wantanzania wale wakupenda pesa vile walivyo

  • @jacksonmodaha1590
    @jacksonmodaha1590 6 лет назад +1

    serikali na inamtia ndani na kumpiga makofi usikute badala ya kumpeleka hospitali

  • @edwins5804
    @edwins5804 6 лет назад

    Hiyo beat ni ya nyimbo gani??

  • @hezronngulwa9250
    @hezronngulwa9250 6 лет назад +1

    Inapendeza

  • @xamael1989
    @xamael1989 6 лет назад

    wa mwachie tuu huyu jamaa ana hitaji msaada huyu jama

  • @TeamKRX
    @TeamKRX 6 лет назад

    We usitukane huyu bint ni kweli zaid ya miezi hali si unamuona jinsi alivyo kaa anakunywa ukwaju tu maskin

  • @fababindawood8363
    @fababindawood8363 6 лет назад

    da mm napata hurumu na huyuu mzee anaitaji msada

  • @aishaelias986
    @aishaelias986 6 лет назад

    jamani huyu mzee alifikiria nini? sio kwa ujasiri huo dah; anapepewa siangewaambia jamani ata msinipepee nimekuja tu kusaidia mnada

  • @kashindelukas123
    @kashindelukas123 6 лет назад

    endelea kuwashika we mzee shika

  • @issakapemba6115
    @issakapemba6115 6 лет назад

    Week bila ya kula ataishi kweli jamani

  • @Artedix9
    @Artedix9 6 лет назад

    Wapi Team #900 ITAPENDEZA.

  • @mr.johnmerari6678
    @mr.johnmerari6678 6 лет назад

    week hajala jamaani wee mdada kweli daaah Babu jamani huruma

  • @ashminaabdullah5626
    @ashminaabdullah5626 6 лет назад

    Kweli maana kila muandishi anamuhoji uyo tu hamna wapangaji wengine

  • @triciaburavan9180
    @triciaburavan9180 6 лет назад +1

    Tabata mawenzi Itapendeza zaidi! 😅😅😅😅 kunajela jamani!!!

  • @amirsab1158
    @amirsab1158 6 лет назад

    uuwiiiiiiiiiii drama hii hatariii

  • @ibrahimgwasma235
    @ibrahimgwasma235 6 лет назад

    Duh! Akili yake Ni mzima lkn?

  • @drakejingu9066
    @drakejingu9066 6 лет назад

    ahahahaha babu noma xn huyoooo uwiiiii

  • @jaydon3361
    @jaydon3361 6 лет назад

    Sasa alijuaje kama kuna mnada na alifikaje huko kwenye mnada

  • @nikkilaizer1707
    @nikkilaizer1707 6 лет назад

    Hivi ww wiki nzima usipokula utaweza kutembea kweli na iyo kodi nan alikuwa analipa!!!!?Fikiri kabla ya kutendaa!!!!

  • @shebbyrockytz3946
    @shebbyrockytz3946 6 лет назад

    W dada mwongo ume sema hana sim mara anaingeaga na sim kwa lugha nyingi kweli

  • @chatarongorobert2076
    @chatarongorobert2076 6 лет назад

    mbn inasikitisha Sana 🙄🙄🙄

  • @AjePicturez
    @AjePicturez 6 лет назад

    oya hyo bab namjua sna hashawah kukaa kigamboni

  • @maidahamisi3148
    @maidahamisi3148 6 лет назад

    jamanii wanampepea ha ha haaaaaa

  • @jacquilinetenth3447
    @jacquilinetenth3447 6 лет назад

    wanatuchezea tu. hana hela ya kula nauli alitoa wapi. Na afande anadai hana mwonekano mzuri je hawakuuona wakati wanampepea. Haya ni maigizo tu

  • @jafaripatrick5860
    @jafaripatrick5860 6 лет назад +1

    jafari makorokoro

  • @saidamjoghoma7067
    @saidamjoghoma7067 6 лет назад

    Wewe muongo sana kwenda hukoooo