Amlinde sana maana kipigo hicho alichopigwa , Jana mpaka akapoteza fahamu na mwili ndio huo anaonyesha ushuhuda wake Leo. Kwa kweli amvue Hilo na jingine.
Kwani alipo kuwepo nyerere hawaku uliwa watu wazee kibao wa Uganda wabahari aliwafunga make aka watosa baharini au hili wewe hujui lakini mwisho wake na yeye kafa huko aliko ana vuna alicho kipanda
Hivi hao mbwa wanaofanya hayo wanafikiria wao wataishi milele! Wananchi amkeni tuungane tuunganishe nguvu zetu pamoja tudai katiba mpya! Tuwakatae hawa mashetani ccm uchaguzi huu2024 kuanzia wenyeviti wa vitongoji, mitaa, vijiji, madiwani, wabunge na Rais msiwachague hao mashetani wauza rasilimali za Tanganyika, watekaji na wauaji!
Tunamwomba mungu walifanya haya ajali ziwe jirani nao mungu asiyeshindwa Jambo akatende Sawa Sawa na ahadi yake kisasi ni cha bwana vita hakika utashinda na zaidi ya kushinda
Pole sana mama yangu kwa hayo yaliokukuta na kukupata hii ndio nchi ya leo inaonekana kuwa watu tusitoke ndani ila kwa sasa tumefika mbali ni heri wafute vyama vyote vya upinzani maana kuua watu ni kama kuku.
Stori inayo kuhusu script ya nn? haya mambo yafike mwisho sasa chadema ifike mahali iwe mpinzani wa kweli Tanzania . Alafu haya maswala ya kila aliyetekwa kuhojiwa live mnadhani ni salama kwa watoto wa Tanzania?
Number za gari zilikuwa feki, haiwezekani polisi wa serikali waje kukuchukua kukufa yia mabaya, naona CHADEMA wenyewe walikuteka na gari ya Halima Mdee au gari ya Tundu Lissu.
Itafika pahala kila mtanganyika mwenye uzalendo na TANGANYIKA ATAFANYA MAAMUZI BORA KUFA KULIKO KUISHI HIVYO POLICCM NA MACCM WOTE WATAJUA, WATANGANYIKA HAWATARUDI NYUMA KUPAMBANA NA MAJAMBAZI YAAN MASHETANI HAWA ...WANAOIHARIBU TANGANYIKA NA WATU WAKE.
At least umeng'amua. Wale jamaa wasingembaraza hivyo lzm sura ingemchafuka hii totaly manmade story. Check mkono unavyo move uive vile uweze kuinua mkono hivyo ukionhea? Never
CHADEMA wako kazini kuharibu jina la Serikali. Sitetei Serikali ninawasmuasha kuwa ni mchexo wa CHADEMA kuharibu jina la Serikali,Tanzania kama nchi, na kuharibia Polisi wa nchi jina. CHADEMA kazini.
Wajinga mpo wengi mtu yeye ndo kapugwa sisi tunasema mwongo hivi hii ndo tumefikia hapa kweli.mtu anapigwa sisi tunasema hapana kweli.haya tuseme mwongo sasa mnapata faida gan
Sasa hivi ukijua kuwa wewe ni kiongi wa chadema tembea kama kumbimbi maana yake mukiwa weng pamoja na filimbi maana adui ni hao hao wanaojiita ni walinZi wa raia na mali zao wakishirikiana na hayo maccm yasiyojitambua
Mnao beza haya basi munamasilahi na hawo watekaji Mungu anawaona
Mama jasiri ,mungu akulinde
Amlinde sana maana kipigo hicho alichopigwa , Jana mpaka akapoteza fahamu na mwili ndio huo anaonyesha ushuhuda wake Leo. Kwa kweli amvue Hilo na jingine.
Pole sana mama .hiyo ndio serekali aliyotabiri Nyerere.
Kwani alipo kuwepo nyerere hawaku uliwa watu wazee kibao wa Uganda wabahari aliwafunga make aka watosa baharini au hili wewe hujui lakini mwisho wake na yeye kafa huko aliko ana vuna alicho kipanda
Hiyo ndiyo ccm yetu.Hongereni sana ccm
Wallahi watu wanyama sana unawezaje kula halafu una mtu umemteka unawezaje kumpiga mwanamama bila huruma Wallahi tunaelekea pabaya
Pole sana dadangu
Poleee sana mama
KWELI WANATANGULIZA TU WEZAO LAKINI NAO WATAFATA TU JAPO HATUJUI LINI
Kitendo cha kuua mtu hatakama anamakosa kwanchi inahotawalisa kisheria sikijngi mkono walemwe mbele ya.sheria ichukue mkondowake
Polesana dada yangu Mungu atalipa
Pole sana Mama, Allah atakulipia
Sawa sana mama yetu kumbe nchi hii imefikia hivi hatari sana
Jamani jamani mtabomoa nnchi wenyewe Acheni sanaaaa
Sanaa ipi
Wacha ufala wewe Sanaa gan mtu kaumizwa
Jaman pole mno.
Pole sana mama yetu kipenzi
Njia yetu ni moja mungu tusaiidie inaumiza sana
Hivi hao mbwa wanaofanya hayo wanafikiria wao wataishi milele! Wananchi amkeni tuungane tuunganishe nguvu zetu pamoja tudai katiba mpya! Tuwakatae hawa mashetani ccm uchaguzi huu2024 kuanzia wenyeviti wa vitongoji, mitaa, vijiji, madiwani, wabunge na Rais msiwachague hao mashetani wauza rasilimali za Tanganyika, watekaji na wauaji!
Kushikamana kwa kulinda masilahiyetu nisawa lakini katiba haiwezi kuleta mabadailiko watati wao wanamiliki kklakitu tupe fikra zingine tuna danyaje
Pole sana mama, Mungu atakulinda
Pole sana dada
Basi Polisi hawawezi kufanya hivyo, hakuna polisi by law dinia nzima anaweza kuweka picha za mtu akiwa uchi kwenye mitandao.
Pole sana mama ccm wameamua kuwatidha
Sasa serikali inasema haihusiki na mauwaji na utekaji ,huu ni USHAHIDI YAKWAMBA SERIKALI INAHUSIKA ,,CCM MUST GO
Kweli kabika
Kweli kabisa
Huo ushahidi uko wapi ndugu
Hatar
Mamma samia anasema hiyo Ni Drama itakuaje sasa?
Pole Sana mama😭😭
Mungu Mungu Mungu
Dah sijui tusemaje
Daah
Pole sana ndugu yetu.
Mama machozi yako hayo watayalipia hapa hapa duniani
Hii nchi hii mungu awasaidie
Tunamwomba mungu walifanya haya ajali ziwe jirani nao mungu asiyeshindwa Jambo akatende Sawa Sawa na ahadi yake kisasi ni cha bwana vita hakika utashinda na zaidi ya kushinda
Pole dada HAKUNA atayebaki humu.hukumu itawakuta..kweli mnampiga mtu hivi au hafi kumuuwa!!!
Dah!
Samia Mungu atakulaani acha hiyo tabia ya kutuma polisi, kutesa watu.
Eee pole dadaa
Dah! tunaelekea wapi jamani na hali hii
Pole sana mama yangu kwa hayo yaliokukuta na kukupata hii ndio nchi ya leo inaonekana kuwa watu tusitoke ndani ila kwa sasa tumefika mbali ni heri wafute vyama vyote vya upinzani maana kuua watu ni kama kuku.
Stori inayo kuhusu script ya nn? haya mambo yafike mwisho sasa chadema ifike mahali iwe mpinzani wa kweli Tanzania .
Alafu haya maswala ya kila aliyetekwa kuhojiwa live mnadhani ni salama kwa watoto wa Tanzania?
Nlikuwa sijaiona picha dadaa pole sana
Mnamuachiaje mungu Gaza hiyo
We need to fight back 😢
Tulia wewe
Wajinga ndio mta fight back
Allah Akbar
Dah!😢
Mungu nisaidie niendelee kukupigia kula wewe tu
Sasa watekaji tumewajua
Inasikitisha sana
Doh 😢
SAMIA SULUHU LAANA IWE JUU YAKE KWA UKATILI ANAWAFANYIA RAIA WAKE! AMIN
Dah 😮
Very sad
Duh, tuwaheshimu wanawake basi
Da hii hari inatisha
😢😢😢
Sitaki hata kusikiliza
This is so sad.
Pole kamanda wewe ni shujaa
Wamekufundisha adabu koma mnapigana wenyewe
Kumbuka uyuni mtanzaniamwezetu,kama angekuwa,mamayako ungejibuivyo?
Usiongee hivyo ndugu yetu usijione umefika
Jacksoñ acha ujinga tunatekana kweli ,angekuwa mama yako ungeongea ivo sawa endelea kushabikia uta kipata
Hujui husemalo hoyo mama nimvunja amani
Kumbe ndy wewe ulichoma vitenge alafu unataka watu wakunge mkono Sasa mkipewa nchi mtakuwa kama wanyama
Huyu bado hajapigwa coz utachomaje picha ya rais kwenye public
Hatufahamu tuseme nn??
Dah hizo ndio gharama zetu wanyonge tunazozihangaikia
Yana mwisho maumivu hayadumu milele ipo cku ukuu wa mungu utajidhihirisha juu yao
Sasa jamani tufanyeje hii nchi sasa ndiyo nimeanza kuelewa kwanini mwigulu alitwambia tuhamie burundi.
Number za gari zilikuwa feki, haiwezekani polisi wa serikali waje kukuchukua kukufa yia mabaya, naona CHADEMA wenyewe walikuteka na gari ya Halima Mdee au gari ya Tundu Lissu.
Inshaallah kwa uwezo mungu na ww litakukuta cku 1 alaf utakuja kusema no zilikua feki au org
Hapana si alima ni haskari ila huyo mama anahatatisha Amani chadema wamekuwa wa ovyo Sana bila dola kuingilia Kati nnchi itakuwa mbovu
Hivi unajua kibiti ni Kanda maalum huwez kuingia kiholela au kufanya huo ujinga
Nguruwe pori ww
Picha la kituruki linaendelea staring ni mwanamke adui ni polisi tuone mwisho wake
Kwani Hawa watu wanazani watatawalla mille jamani Hii nchi Niyakwetu ote Tusifanyiane hivyo
Mama achana na siasa jaman
Mbona mtihan huu
Aaaa Tanzania inaboa. Kwanini wanawaonea watu. Si upinzani tu. Basi vyama vya siasa visituhusiwe
haitakiwi nguo yenye picha ya kiongoz hata izeeke.
Kumbe amefumaniwa anadanganya umma😮😮😮
Shetani mkubwa wewe
Ukampikie mumeo huko bibi wewe
Ndio maana sipendi siasa
Acha uwongo wewe 😂 😂😂😂 hiyo stoli umeandika unaisoma hiyo michubuko mbona hata bongo muvi inatengenezwa
Choko ww
Mnapiga makof kivip?kweli hali hii.
Unadhan wao wataishi milele
Itafika pahala kila mtanganyika mwenye uzalendo na TANGANYIKA ATAFANYA MAAMUZI BORA KUFA KULIKO KUISHI HIVYO POLICCM NA MACCM WOTE WATAJUA, WATANGANYIKA HAWATARUDI NYUMA KUPAMBANA NA MAJAMBAZI YAAN MASHETANI HAWA ...WANAOIHARIBU TANGANYIKA NA WATU WAKE.
Chukulieni balidi balidi huyu ni mama jiulize kijana mwanamume anafanyiwa nn?ww tamuu hiyoooo
Bodaboda mpaka mwnywamala toka kibti na boda mh mbona haijakaa sawa?
Ni kweli apigwe mpaka atoke akili, baadae apande bodaboda , na Leo amke akatoe ushuhuda wake. Huo mwili wake kweli. Mh mtihani kwa kweli.
Mimi naona haya mambo ni fake kutumia serikali, sidhani kama serikali inaeeza mufanya itu kama hivi ni uchizi fulani unaendelea huko nyumbani Tanzania
At least umeng'amua. Wale jamaa wasingembaraza hivyo lzm sura ingemchafuka hii totaly manmade story. Check mkono unavyo move uive vile uweze kuinua mkono hivyo ukionhea? Never
Mpumbavu ww ngoja yaikute familia yako
@@ElizabethMakundi-px8mvMpumbavu ww ngoja yaikute familia yako
Zulma hakubaliki hata uwe una miliki dunia mzima ipo siku taacha kilakitu
NYIE CHADEMA MKIKAMATWA NA POLISI MNADAI MMETEKWA NA WAKATI MNATAKA MTEKELEZE UHALIFU WENU MBONA MMEKUWA WAPUUZI KAMA VIONGOZI WENU
Nguruwe ww mungu atakulaani
CHADEMA wako kazini kuharibu jina la Serikali. Sitetei Serikali ninawasmuasha kuwa ni mchexo wa CHADEMA kuharibu jina la Serikali,Tanzania kama nchi, na kuharibia Polisi wa nchi jina. CHADEMA kazini.
Asante
Mpuuzi ww
Aje yule mbwa muliro aje aseme sio wao watekaji
Huyu mama sio yule alichoma vitenge? Au kama ni yeye avumilie ndio siasa hiyo
Asante
Kumbe hadi hapo watanzania hamujui tu kuwa wauaji na watekaji ni akina nani kwani kuna atakaeshi milele kamwe nyote mutakufa
Adhabu na kifungo ni SERIKALINI sio mitaani..ogopeni ALIYEWAUMBA
Maxwell huyo
Sasa hapa Kuna inchi ya amani tena sasa hao watekaji wanaotumia magari ya police wanayapataje kama sio nyie police munaolinda ccm
Wamekuteka kwa niaba wakuue kisha wakuachiee?
Aiseeee, haya mambo yanaumiza mno jamani
Wajinga mpo wengi mtu yeye ndo kapugwa sisi tunasema mwongo hivi hii ndo tumefikia hapa kweli.mtu anapigwa sisi tunasema hapana kweli.haya tuseme mwongo sasa mnapata faida gan
Wana watu wao mitandaoni kukatish watu tamaa waache siasa hujawastukia tu hao
Mama achana nao watakuua
Kumbe kuna dharsu mlifanya, lakini bado siamini serikali yenye akili timamu inawe,a kufanya mambo wazi wazi hivyo .
Ipo siku na raisi atapotea tunapoelekea
Sasa hivi ukijua kuwa wewe ni kiongi wa chadema tembea kama kumbimbi maana yake mukiwa weng pamoja na filimbi maana adui ni hao hao wanaojiita ni walinZi wa raia na mali zao wakishirikiana na hayo maccm yasiyojitambua
Ccm ni jambazi
ccm mtauwa.wangapi.jamani.na raisi.amekaa.kimya.tanzania ni.ngum sana eti.nnchi.ya.amani.hiyo.amani.ikowapi?
Mafwele hakuwepo?
Wanasema anaupiga mwingi
Acheni.uwongo.mnajiteka juu sasa Amna sera
Wanajiteka na magari ya polisi? Jitafakari
Angekuwa mama yako ingekuwaje
Diku akitekwa mama ako ndio utajua kama hujafa hujaumbika
KUMBE NI VITU VINAVYOSHIRIKIANA NA RAIA.TENA UNYAMA HUOOO.WANAKULA N KUNYWA KAMA HAWANA BINADAMU HUMO..TOBAAA
Hiyo.uso.inaonyesha anaongea.uwongo.