Kiongozi Wanawake CHADEMA Asimulia Alivyotekwa: Walijitambulisha Ni Polisi, Walimvua Nguo Zote

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 21 окт 2024

Комментарии • 149

  • @alfredkwavava6235
    @alfredkwavava6235 День назад +10

    Mnao beza haya basi munamasilahi na hawo watekaji Mungu anawaona

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 День назад +6

    Mama jasiri ,mungu akulinde

    • @Mammymuhamed
      @Mammymuhamed День назад +1

      Amlinde sana maana kipigo hicho alichopigwa , Jana mpaka akapoteza fahamu na mwili ndio huo anaonyesha ushuhuda wake Leo. Kwa kweli amvue Hilo na jingine.

  • @AbdallaMwagora-sm1rj
    @AbdallaMwagora-sm1rj День назад +4

    Pole sana mama .hiyo ndio serekali aliyotabiri Nyerere.

    • @ZariaAbdullah-r5t
      @ZariaAbdullah-r5t День назад

      Kwani alipo kuwepo nyerere hawaku uliwa watu wazee kibao wa Uganda wabahari aliwafunga make aka watosa baharini au hili wewe hujui lakini mwisho wake na yeye kafa huko aliko ana vuna alicho kipanda

  • @mboneamsuya
    @mboneamsuya 19 часов назад

    Hiyo ndiyo ccm yetu.Hongereni sana ccm

  • @MsabahAli-d6u
    @MsabahAli-d6u День назад +3

    Wallahi watu wanyama sana unawezaje kula halafu una mtu umemteka unawezaje kumpiga mwanamama bila huruma Wallahi tunaelekea pabaya

  • @anoldringo7362
    @anoldringo7362 День назад +3

    Pole sana dadangu

  • @rutashobyanovath1116
    @rutashobyanovath1116 День назад +4

    Poleee sana mama

    • @StellaKaluwa-h3i
      @StellaKaluwa-h3i День назад

      KWELI WANATANGULIZA TU WEZAO LAKINI NAO WATAFATA TU JAPO HATUJUI LINI

    • @StellaKaluwa-h3i
      @StellaKaluwa-h3i День назад

      Kitendo cha kuua mtu hatakama anamakosa kwanchi inahotawalisa kisheria sikijngi mkono walemwe mbele ya.sheria ichukue mkondowake

  • @alfredkwavava6235
    @alfredkwavava6235 День назад +4

    Polesana dada yangu Mungu atalipa

  • @khalidmdimu4177
    @khalidmdimu4177 День назад +2

    Pole sana Mama, Allah atakulipia

  • @DhaharaniJongo-gt2un
    @DhaharaniJongo-gt2un День назад +3

    Sawa sana mama yetu kumbe nchi hii imefikia hivi hatari sana

  • @hamisihemedi1099
    @hamisihemedi1099 День назад +4

    Jamani jamani mtabomoa nnchi wenyewe Acheni sanaaaa

  • @beinafuu6219
    @beinafuu6219 День назад +2

    Jaman pole mno.

  • @vivianboaz8653
    @vivianboaz8653 День назад

    Pole sana mama yetu kipenzi

  • @MarryVedastus
    @MarryVedastus День назад

    Njia yetu ni moja mungu tusaiidie inaumiza sana

  • @usembiphonedar5632
    @usembiphonedar5632 День назад +7

    Hivi hao mbwa wanaofanya hayo wanafikiria wao wataishi milele! Wananchi amkeni tuungane tuunganishe nguvu zetu pamoja tudai katiba mpya! Tuwakatae hawa mashetani ccm uchaguzi huu2024 kuanzia wenyeviti wa vitongoji, mitaa, vijiji, madiwani, wabunge na Rais msiwachague hao mashetani wauza rasilimali za Tanganyika, watekaji na wauaji!

    • @ZariaAbdullah-r5t
      @ZariaAbdullah-r5t День назад

      Kushikamana kwa kulinda masilahiyetu nisawa lakini katiba haiwezi kuleta mabadailiko watati wao wanamiliki kklakitu tupe fikra zingine tuna danyaje

  • @maryhando227
    @maryhando227 День назад

    Pole sana mama, Mungu atakulinda

  • @lionyibrahim926
    @lionyibrahim926 День назад

    Pole sana dada

  • @dorahy1579
    @dorahy1579 День назад +3

    Basi Polisi hawawezi kufanya hivyo, hakuna polisi by law dinia nzima anaweza kuweka picha za mtu akiwa uchi kwenye mitandao.

  • @masanjaelias5829
    @masanjaelias5829 День назад

    Pole sana mama ccm wameamua kuwatidha

  • @Yussuf-b3b
    @Yussuf-b3b День назад +3

    Sasa serikali inasema haihusiki na mauwaji na utekaji ,huu ni USHAHIDI YAKWAMBA SERIKALI INAHUSIKA ,,CCM MUST GO

  • @BASHIRINAMYUNDU-dv5ff
    @BASHIRINAMYUNDU-dv5ff День назад +1

    Hatar

  • @UmmuJauzan
    @UmmuJauzan День назад +4

    Mamma samia anasema hiyo Ni Drama itakuaje sasa?

  • @mwitamachage3767
    @mwitamachage3767 День назад

    Pole Sana mama😭😭

  • @emmasonanjawe9042
    @emmasonanjawe9042 День назад

    Mungu Mungu Mungu

  • @teachingtruthmission2140
    @teachingtruthmission2140 День назад

    Dah sijui tusemaje

  • @abasmwika3432
    @abasmwika3432 День назад

    Daah

  • @rithersospeterkati3355
    @rithersospeterkati3355 День назад

    Pole sana ndugu yetu.

  • @ConfusedBalkhHound-on2mx
    @ConfusedBalkhHound-on2mx День назад

    Mama machozi yako hayo watayalipia hapa hapa duniani

  • @daudjacob2123
    @daudjacob2123 День назад

    Hii nchi hii mungu awasaidie

  • @AndrewMziray
    @AndrewMziray День назад +1

    Tunamwomba mungu walifanya haya ajali ziwe jirani nao mungu asiyeshindwa Jambo akatende Sawa Sawa na ahadi yake kisasi ni cha bwana vita hakika utashinda na zaidi ya kushinda

  • @fatmaahmed8637
    @fatmaahmed8637 День назад

    Pole dada HAKUNA atayebaki humu.hukumu itawakuta..kweli mnampiga mtu hivi au hafi kumuuwa!!!

  • @sturmiusbs
    @sturmiusbs День назад

    Dah!

  • @maryhando227
    @maryhando227 День назад

    Samia Mungu atakulaani acha hiyo tabia ya kutuma polisi, kutesa watu.

  • @hamisihemedi1099
    @hamisihemedi1099 День назад

    Eee pole dadaa

  • @jordanmwamlima7579
    @jordanmwamlima7579 День назад

    Dah! tunaelekea wapi jamani na hali hii

  • @AyubuChacha-u6u
    @AyubuChacha-u6u День назад

    Pole sana mama yangu kwa hayo yaliokukuta na kukupata hii ndio nchi ya leo inaonekana kuwa watu tusitoke ndani ila kwa sasa tumefika mbali ni heri wafute vyama vyote vya upinzani maana kuua watu ni kama kuku.

  • @amosmakabara3024
    @amosmakabara3024 День назад +3

    Stori inayo kuhusu script ya nn? haya mambo yafike mwisho sasa chadema ifike mahali iwe mpinzani wa kweli Tanzania .
    Alafu haya maswala ya kila aliyetekwa kuhojiwa live mnadhani ni salama kwa watoto wa Tanzania?

  • @hamisihemedi1099
    @hamisihemedi1099 День назад

    Nlikuwa sijaiona picha dadaa pole sana

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq День назад

    Mnamuachiaje mungu Gaza hiyo

  • @victorjames3730
    @victorjames3730 День назад

    We need to fight back 😢

  • @Hassanbaoma
    @Hassanbaoma День назад

    Allah Akbar

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything День назад

    Dah!😢

  • @GetrudaSeif
    @GetrudaSeif День назад

    Mungu nisaidie niendelee kukupigia kula wewe tu

  • @JosiaMsechu
    @JosiaMsechu День назад +2

    Sasa watekaji tumewajua

  • @glorysungura3180
    @glorysungura3180 День назад

    Inasikitisha sana

  • @Legends_Interviews
    @Legends_Interviews День назад

    Doh 😢

  • @natafutamatatizo4382
    @natafutamatatizo4382 День назад

    SAMIA SULUHU LAANA IWE JUU YAKE KWA UKATILI ANAWAFANYIA RAIA WAKE! AMIN

  • @Legends_Interviews
    @Legends_Interviews День назад

    Very sad

  • @mudigames5479
    @mudigames5479 День назад

    Duh, tuwaheshimu wanawake basi

  • @WaziriAbdallah-vr4xg
    @WaziriAbdallah-vr4xg День назад +1

    Da hii hari inatisha

  • @HellenNkwera
    @HellenNkwera День назад

    😢😢😢

  • @AmenMushi-j2j
    @AmenMushi-j2j День назад

    Sitaki hata kusikiliza

  • @kyaligonzalouis4663
    @kyaligonzalouis4663 День назад

    This is so sad.

  • @VailethMwansyobe
    @VailethMwansyobe День назад

    Pole kamanda wewe ni shujaa

  • @khadijabuberwa3362
    @khadijabuberwa3362 День назад +3

    Wamekufundisha adabu koma mnapigana wenyewe

    • @yusuphmbega4005
      @yusuphmbega4005 День назад +1

      Kumbuka uyuni mtanzaniamwezetu,kama angekuwa,mamayako ungejibuivyo?

    • @BrotherKaka-j4z
      @BrotherKaka-j4z День назад

      Usiongee hivyo ndugu yetu usijione umefika

  • @AnnaFelix-p1z
    @AnnaFelix-p1z День назад +2

    Jacksoñ acha ujinga tunatekana kweli ,angekuwa mama yako ungeongea ivo sawa endelea kushabikia uta kipata

  • @KeiFerouz-fn9oc
    @KeiFerouz-fn9oc День назад +1

    Kumbe ndy wewe ulichoma vitenge alafu unataka watu wakunge mkono Sasa mkipewa nchi mtakuwa kama wanyama

    • @georgeigogo9259
      @georgeigogo9259 День назад +1

      Huyu bado hajapigwa coz utachomaje picha ya rais kwenye public

  • @alexalex-ek3sx
    @alexalex-ek3sx 11 часов назад

    Hatufahamu tuseme nn??

  • @muhidiniwadhifa3600
    @muhidiniwadhifa3600 День назад

    Dah hizo ndio gharama zetu wanyonge tunazozihangaikia

  • @maessanzungu1202
    @maessanzungu1202 День назад

    Yana mwisho maumivu hayadumu milele ipo cku ukuu wa mungu utajidhihirisha juu yao

  • @raphaelmkosamali1056
    @raphaelmkosamali1056 День назад

    Sasa jamani tufanyeje hii nchi sasa ndiyo nimeanza kuelewa kwanini mwigulu alitwambia tuhamie burundi.

  • @dorahy1579
    @dorahy1579 День назад +2

    Number za gari zilikuwa feki, haiwezekani polisi wa serikali waje kukuchukua kukufa yia mabaya, naona CHADEMA wenyewe walikuteka na gari ya Halima Mdee au gari ya Tundu Lissu.

    • @SamiraameirSamira-qt9yn
      @SamiraameirSamira-qt9yn День назад

      Inshaallah kwa uwezo mungu na ww litakukuta cku 1 alaf utakuja kusema no zilikua feki au org

    • @georgeigogo9259
      @georgeigogo9259 День назад

      Hapana si alima ni haskari ila huyo mama anahatatisha Amani chadema wamekuwa wa ovyo Sana bila dola kuingilia Kati nnchi itakuwa mbovu

    • @masanjaelias5829
      @masanjaelias5829 День назад

      Hivi unajua kibiti ni Kanda maalum huwez kuingia kiholela au kufanya huo ujinga

    • @gwajimagwajima
      @gwajimagwajima День назад

      Nguruwe pori ww

  • @matanokitwana3249
    @matanokitwana3249 День назад

    Picha la kituruki linaendelea staring ni mwanamke adui ni polisi tuone mwisho wake

  • @AthumaniMikindo
    @AthumaniMikindo День назад

    Kwani Hawa watu wanazani watatawalla mille jamani Hii nchi Niyakwetu ote Tusifanyiane hivyo

  • @ابوذر-د8ك
    @ابوذر-د8ك День назад

    Mama achana na siasa jaman
    Mbona mtihan huu

  • @am2323Diaspora
    @am2323Diaspora День назад

    Aaaa Tanzania inaboa. Kwanini wanawaonea watu. Si upinzani tu. Basi vyama vya siasa visituhusiwe

  • @joramkimario
    @joramkimario День назад

    haitakiwi nguo yenye picha ya kiongoz hata izeeke.

  • @TheSalama2525
    @TheSalama2525 22 часа назад

    Kumbe amefumaniwa anadanganya umma😮😮😮

  • @hemedjackson2261
    @hemedjackson2261 День назад +2

    Ukampikie mumeo huko bibi wewe

  • @davidsika5292
    @davidsika5292 День назад

    Ndio maana sipendi siasa

  • @jamesjahasa3348
    @jamesjahasa3348 День назад

    Acha uwongo wewe 😂 😂😂😂 hiyo stoli umeandika unaisoma hiyo michubuko mbona hata bongo muvi inatengenezwa

  • @beinafuu6219
    @beinafuu6219 День назад +1

    Mnapiga makof kivip?kweli hali hii.

  • @StaniMponzi-kx6ok
    @StaniMponzi-kx6ok День назад

    Unadhan wao wataishi milele

  • @gangan4618
    @gangan4618 День назад

    Itafika pahala kila mtanganyika mwenye uzalendo na TANGANYIKA ATAFANYA MAAMUZI BORA KUFA KULIKO KUISHI HIVYO POLICCM NA MACCM WOTE WATAJUA, WATANGANYIKA HAWATARUDI NYUMA KUPAMBANA NA MAJAMBAZI YAAN MASHETANI HAWA ...WANAOIHARIBU TANGANYIKA NA WATU WAKE.

  • @innocentlethisia416
    @innocentlethisia416 День назад

    Chukulieni balidi balidi huyu ni mama jiulize kijana mwanamume anafanyiwa nn?ww tamuu hiyoooo

  • @UmmuJauzan
    @UmmuJauzan День назад +1

    Bodaboda mpaka mwnywamala toka kibti na boda mh mbona haijakaa sawa?

    • @Mammymuhamed
      @Mammymuhamed День назад

      Ni kweli apigwe mpaka atoke akili, baadae apande bodaboda , na Leo amke akatoe ushuhuda wake. Huo mwili wake kweli. Mh mtihani kwa kweli.

  • @dorahy1579
    @dorahy1579 День назад +1

    Mimi naona haya mambo ni fake kutumia serikali, sidhani kama serikali inaeeza mufanya itu kama hivi ni uchizi fulani unaendelea huko nyumbani Tanzania

    • @ElizabethMakundi-px8mv
      @ElizabethMakundi-px8mv День назад

      At least umeng'amua. Wale jamaa wasingembaraza hivyo lzm sura ingemchafuka hii totaly manmade story. Check mkono unavyo move uive vile uweze kuinua mkono hivyo ukionhea? Never

    • @gwajimagwajima
      @gwajimagwajima День назад

      Mpumbavu ww ngoja yaikute familia yako

    • @gwajimagwajima
      @gwajimagwajima День назад

      ​@@ElizabethMakundi-px8mvMpumbavu ww ngoja yaikute familia yako

  • @ZariaAbdullah-r5t
    @ZariaAbdullah-r5t День назад

    Zulma hakubaliki hata uwe una miliki dunia mzima ipo siku taacha kilakitu

  • @HamzaHeri
    @HamzaHeri День назад

    NYIE CHADEMA MKIKAMATWA NA POLISI MNADAI MMETEKWA NA WAKATI MNATAKA MTEKELEZE UHALIFU WENU MBONA MMEKUWA WAPUUZI KAMA VIONGOZI WENU

  • @dorahy1579
    @dorahy1579 День назад +1

    CHADEMA wako kazini kuharibu jina la Serikali. Sitetei Serikali ninawasmuasha kuwa ni mchexo wa CHADEMA kuharibu jina la Serikali,Tanzania kama nchi, na kuharibia Polisi wa nchi jina. CHADEMA kazini.

  • @KassimKassim-h1n
    @KassimKassim-h1n День назад

    Aje yule mbwa muliro aje aseme sio wao watekaji

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 День назад

    Huyu mama sio yule alichoma vitenge? Au kama ni yeye avumilie ndio siasa hiyo

  • @DhaharaniJongo-gt2un
    @DhaharaniJongo-gt2un День назад

    Kumbe hadi hapo watanzania hamujui tu kuwa wauaji na watekaji ni akina nani kwani kuna atakaeshi milele kamwe nyote mutakufa

  • @fatmaahmed8637
    @fatmaahmed8637 День назад

    Adhabu na kifungo ni SERIKALINI sio mitaani..ogopeni ALIYEWAUMBA

  • @UmmuJauzan
    @UmmuJauzan День назад

    Maxwell huyo

  • @SundaySteven-bz4yq
    @SundaySteven-bz4yq День назад

    Sasa hapa Kuna inchi ya amani tena sasa hao watekaji wanaotumia magari ya police wanayapataje kama sio nyie police munaolinda ccm

  • @hamisihemedi1099
    @hamisihemedi1099 День назад

    Wamekuteka kwa niaba wakuue kisha wakuachiee?

  • @likimaro6
    @likimaro6 День назад

    Aiseeee, haya mambo yanaumiza mno jamani

  • @beinafuu6219
    @beinafuu6219 День назад +2

    Wajinga mpo wengi mtu yeye ndo kapugwa sisi tunasema mwongo hivi hii ndo tumefikia hapa kweli.mtu anapigwa sisi tunasema hapana kweli.haya tuseme mwongo sasa mnapata faida gan

    • @masanjaelias5829
      @masanjaelias5829 День назад

      Wana watu wao mitandaoni kukatish watu tamaa waache siasa hujawastukia tu hao

  • @UmmuJauzan
    @UmmuJauzan День назад +1

    Mama achana nao watakuua

  • @dorahy1579
    @dorahy1579 День назад

    Kumbe kuna dharsu mlifanya, lakini bado siamini serikali yenye akili timamu inawe,a kufanya mambo wazi wazi hivyo .

  • @meckgodfrey7334
    @meckgodfrey7334 День назад

    Ipo siku na raisi atapotea tunapoelekea

  • @SundaySteven-bz4yq
    @SundaySteven-bz4yq День назад

    Sasa hivi ukijua kuwa wewe ni kiongi wa chadema tembea kama kumbimbi maana yake mukiwa weng pamoja na filimbi maana adui ni hao hao wanaojiita ni walinZi wa raia na mali zao wakishirikiana na hayo maccm yasiyojitambua

  • @Abs-tz8dl
    @Abs-tz8dl День назад

    Ccm ni jambazi

  • @kalebiestomihi
    @kalebiestomihi День назад

    ccm mtauwa.wangapi.jamani.na raisi.amekaa.kimya.tanzania ni.ngum sana eti.nnchi.ya.amani.hiyo.amani.ikowapi?

  • @UmmuJauzan
    @UmmuJauzan День назад

    Mafwele hakuwepo?

  • @fabby1181
    @fabby1181 День назад +2

    Wanasema anaupiga mwingi

  • @jacksonkoisi6189
    @jacksonkoisi6189 День назад +1

    Acheni.uwongo.mnajiteka juu sasa Amna sera

  • @fatmaahmed8637
    @fatmaahmed8637 День назад

    KUMBE NI VITU VINAVYOSHIRIKIANA NA RAIA.TENA UNYAMA HUOOO.WANAKULA N KUNYWA KAMA HAWANA BINADAMU HUMO..TOBAAA

  • @jacksonkoisi6189
    @jacksonkoisi6189 День назад +1

    Hiyo.uso.inaonyesha anaongea.uwongo.