Hongera sana Mashaallah Tabarak Allah. Allah azidi kukupigania na akuwepesie kazi zako utakazo endelea nazo kwenye nafasi yako mpya nakuaminia Charles Hilary. InShaaAllah
Hongera sana rais dr Hussein Mwinyi Kwakweli maamzi yako nimazuri chazi hilary nikiongozi waukweli mm kama MZANZIBAR nimependa hii mungu akupe kila lahery mwinyi wetu wapekee ZANZIBAR njema
Mm nampongeza sana mzee chazi hilary mungu ampe umry mrefu ila tumekosa laza ya matangazo yake mana nikimsikiliza huwa nasikia burudani sanaa kila lahery chazi
Tena wabaguzi Sana Kuna wabongo wameenda kufanya kazi Pemba kampuni ya balabala ya kituruki wamewafukuza jikoni na kusema kwamba wabongo kufanya kazi Zanzibar asilimia 10 ila wazanzibar kufanya kazi bala asilimia 99 sababu wao nchi Yao inaendeshwa kiislam hii si sawa
Hakika unastahili Baba!Allah akufanyie wepesi kabisa!unastahili katika majukumu yako mapya.Unastahili Baba nakumbuka enzi zako na Nyaisanga Mungu amrehemu
Mbona wapo wengi au hufuatilii. Basi ukilinganisha baina ya bara na visiwani, zanzibar ina viongozi wengi wakristo per capita kuliko bara kuwa na viongozi wa kiislamu.
Kwan mafundisho ya Mtume yanafundisha kubagua wenzenu? Mana hakuna hoja ya mana mnayoongea hapo zaidi ya kuonyesha ubaguzi ulio jaa mioyoni mwenu,poleni na hiyo zambi ya ubaguzi itawatafuna sana na bado.
Ikulu ni makazi ya mkuu wa nchi kwani Zanziba kuna mkuu wa nchi nijuavyo ipo tofauti kati ya mkuu wa serikali na mkuu wa nchi ni vema mambo haya yakawa wazi
Duhhh!!! Ubaguzi sio kweli mbona wspo wengi Zanzibar wenye majina hayo na yeye anasema amezaliwa Zanzibar. Wakina Modulin Castiko, Suzan Kunambi, Lando Mabula Masarboko wengi akina Msangi wote wapo kule na hakuna ubaguzi wowote na wanapiga kazi fresh labda hilo la vijana maana huku hata mawazir wengi ni vijana angalau
Uelewe unayoongea sasa Marehemu mzee Karume ana asili ya wapi kama sio Malawi, Eddington kisasi alikua mtu wa wapi? Kama si mchaga Brigadier Mwakyanjuki alikuwa na asili ya wapi? Kama si Mbeya Jina la Makame asili yake ni wapi kama si Wamakonde? Ila nina ndoto siku flani isiyo na jina tuta watoa mkuku bara mtaivuka bahari kwa mbio endeleeni na ufedhuli wenu.
Viongozi wetu hawako makini na teuzi zao.Kama analalamikiwa kuna namna .Tido Muhando naye alileta maneno na kuna zuhura.Viongozi fanyeni kazi zenu kwenye.mwanga watu.msiwakwaze,mnafan6a nini hulo kwenye giza !? Mpaka muaibishwe,mtu amekuwa kikongwe unampa uteuzozi ili hali vijana wapo,Nyie ndiyo maana vijana wameamua kuwa watekaji.Ccm ya hovyo mno.
Ayo maneno yakua sio mzanzibar munabambika nyinyi watanganyika sisi hatuko ivo ni watu wakarimu na wapenda wageni, Mr Hilary analijua hilo fika na mwenyewe anajua kua znz ni nyumbani kwao kabisa na anamarafiki wakarubu kuliko hata bara, so musitugawe kwa uchochezi wa kijinga.
Kwani ni lazima awe mzanzibar kufanya kazi hiyo? Kuwa wazanzibar wangapi kwenye ofisi nyeti huku bara? Hadi raisi ni wa huko! Lol sikujua kama mko hivyo
We umekalia chuki tu bila ata ya kujua kwamba hii ni serikali ya Jamuhuri ya muungano wa Tanzania so ata raisi kutoka zanzibar akiongoza hakuna ubaya ndugu.
@@MsAggie5 sio kuridhia nyinyi ni sheria hiyo ndugu alaf hao wanao sema kuhusu charls hawajui kama ulivyo kua hujui wewe maana charls ni mzanzibar na nawajua kwao karibia wote so hao wanaosema ivyo hawamjui ndio mana
@@hassanmsingiri6216 Baba ake Charles Mpogoro nadhani toka Morogoro so Mimi sijui Sheria yenu ikoje iwapo mtoto akizaliwa anapewa Cheti cha Zanzibar sio Tanzania, nachojua Baba ake nibara alikuwa anafanya kazi ya polisi au Askari Zanzibar sijui huo uzanzibar kaupataje na pia nashangaa kuona hao wenzio wanahamaaki Kwa kipi? Kama si mzanzibar Sheria haruhusiwi kuteuliwa na raisi? Basi kosa si lake ni la raisi aliyemteua!
@@japhetmevoroo113 kwao ni furaha lakini wa bara kwenda kule mbinde. Lakini leo nimeona kuna mkuu wa polisi Pemba mkristu na ana jina la bara, sijui kwa nini hii ya Charles Hilary limekuwa topic
Charles.unastahili. toka nisikie. Hujawahi kuvaa cheo juu. Kulijo dhamana yako ndio maana kila mtu kwako ni sawa na wewe. But ubarikiwe zaid na kumbuka cheo cheo cheo ni mapito tu dhamana yko ulioanza nayo toka mfereji wa wima na utiifu. Ilikupeleka ulaya but kwenu wanakutaka .kma ulivyo ipenda tasnia yako ipende na nchi yako. Dhamana kwanza cheo baadae. Tunakupenda sana ila huyu. Uyahe na uami uuweke kando yeshapitwa hayo . Shukran
Wazanzibar wanauliza kwanini uchaguliwa kwanda kufanya kazi katika Serekali ya Watu wa Zanzibar je Wewe ni Mzanzibar?kwasababu katiba ya Zanzibar haimruhusu Mgeni wa Aina yoyote ile hata kutoka Tanganyika kufanya kazi katika Idara yoyote ile ya Serekali ya Wazanzibar wa Zanzibar sawa¿huu ni ukiukwaji wa katiba ya Zanzibar na sivyo alivyosema Sheikh Abeid Amani Karume sawa¿thanks
Kazaliwa wapi someni history jaman mnakurupuka sana huyo kwa znz na mkijisoma nyie kwenu mnakujua ndo mana nasema watu wote ni wageni piga kz ukijua ukristo ulikuja lini znz bc mamaake kwa utajua wapi
Mlichobakia cheo tu kwisha habari yenu , Zanzibar ilikuwa kitovu cha Elimu duniani sasa Ni kitovu cha ufuska na utalii, na linalonihuzunisha mnalifurahia hilo, Akija mgeni hata afanye ufuska hamkasikiriki ila Charles kuchaguliwa kuwa msemaji wa ikulu hamlali
@@salehkhamis8653 kina ndo linalofanya kazi au unawachikia wakristu kiasi kikubwa unakosa usingizi? Lile kanisa pale Zanzibar mbona ni la siku nyingi sana hapakuwepo wenye jina Charles humo kanisani? Unasokotwa na roho hadi nakuogopa, kuwa na roho ya binadamu wote tumeumbwa na mwenyezi Mungu then utakaa sawa
@@salma0000 siasa za Zanzibar zinakataa jina Charles lakini zinakubali Samia awe raisi wa Tanzania 🇹🇿! Makubwa hayo. Najua sana kama hilo kanisa lilijengwa na wakoloni kwa hiyo walilijenga kama maonyesho? Si kulikuwa na waumini? Sasa kama ni hivyo hawakuwa na jina Charles? Ok nini kitokee sasa kasha chaguliwa na raisi mwenyewe ndo mtafanyaje sasa na siasa zenu lol
He is smart good person. Congraturation sir charls. Sio tu uchaguzi ila ni uchaguzi wa mtu sahihi
Kabisaaa
Yaani nimoja ya watangazaji ninaowanpenda sana.plus the late Nyaisanga
Hongera sana Mashaallah Tabarak Allah. Allah azidi kukupigania na akuwepesie kazi zako utakazo endelea nazo kwenye nafasi yako mpya nakuaminia Charles Hilary. InShaaAllah
Hongera sana rais dr Hussein Mwinyi
Kwakweli maamzi yako nimazuri chazi hilary nikiongozi waukweli mm kama MZANZIBAR nimependa hii mungu akupe kila lahery mwinyi wetu wapekee ZANZIBAR njema
Riziki zote mtoaji ni Mungu. Tuacheni maelezo yasiyo na sababu za maana.
Unatosha Sana Mzee Hilary
Hongera sana charles unaweza mungu ambariki sana Rais Hussein mwinyi hubagui baba yangu Hongera sana
Mm nampongeza sana mzee chazi hilary mungu ampe umry mrefu ila tumekosa laza ya matangazo yake mana nikimsikiliza huwa nasikia burudani sanaa kila lahery chazi
Kinachowaumiza wazanzibar ni jina Charles
Wakristo ni wachochezi sana
Mtakufa na kijiba wivu😂😂@@SelemaniIssah-p2g
Education.
Ila Wazanzibar muache ubaguzi mbona sisi hatuhoji mkiteuliwa huku bara? Sijui mkojee!!
Huko kuna serikali ya Muungano, siyo ya Tanganyika. Bora iwe serikali 3 tuondoshe mzizi wa fitina.
Tena wabaguzi Sana Kuna wabongo wameenda kufanya kazi Pemba kampuni ya balabala ya kituruki wamewafukuza jikoni na kusema kwamba wabongo kufanya kazi Zanzibar asilimia 10 ila wazanzibar kufanya kazi bala asilimia 99 sababu wao nchi Yao inaendeshwa kiislam hii si sawa
Hakika unastahili Baba!Allah akufanyie wepesi kabisa!unastahili katika majukumu yako mapya.Unastahili Baba nakumbuka enzi zako na Nyaisanga Mungu amrehemu
Mwinyi yuko vzuri, ndiyo mara yangu ya Kwanza kusikia jina la kikrsto ktkt serikali ya Zanzibar
Mbona wapo wengi tu wengine makatibu wakuu hasaa
@@abdulrahmanmohammed4449 Ohio but cjawahi kusikia
Mbona wapo wengi au hufuatilii. Basi ukilinganisha baina ya bara na visiwani, zanzibar ina viongozi wengi wakristo per capita kuliko bara kuwa na viongozi wa kiislamu.
Wapo labda hujafatilia Ila wapo
@@nadhraabdulaziz9193 okay
Binaadam wote ni Mwenyezi Mungu.
Popote atapojaaliwa kuishi ni ardhi ya Mwenyezi Mungu. Tuwache ubaguzi wa kitaifa, rangi na dini.
Sana Kaka Salim
Wewe ni.wa maana sana,mwenyezi mungu subuhanah akutunze.
Hongera sana. We believe wewe ni mmoja was respectable journalist. Allah akusimamie katika majukumu yako.
Ameen hongera sana
Hongeeraa Sana Rais mwinyi kwa uteuzii wakoo
Ni chaguo sahihi!!
Napenda sana kampany yenu hilary na kamutu
Kila la kheri mzee Charles,nakumbuka ulivyokua unatangaza soka
Zanzibar hakuna asili yaukafiri mikafiri tanganyika sio hapa
Mmmmh wewe kaka hii tu ni comment uhalisia wako itakuaje
Yesu akusaidie akuondolee chuki kwa jina la Yesu
Kwan mafundisho ya Mtume yanafundisha kubagua wenzenu? Mana hakuna hoja ya mana mnayoongea hapo zaidi ya kuonyesha ubaguzi ulio jaa mioyoni mwenu,poleni na hiyo zambi ya ubaguzi itawatafuna sana na bado.
Kwani kapewa kazi ya msikiti ?
@@ramadhanwilbard8196 kapewa ya kanisa
@@salehkhamis8653 😂
Nyinyi wenyewe mumejibagua tayari Kama hamja jibagua mungekua hamna mmakonde na makabila tele uwo ndio ubaguzi😎
Zanzibar freee from tanganyika
Comments zinaonesha jinsi watu wa visiwani walivyo
Acheni ubaguzi nyinyi wazanzibar mbona nyie mmejaa kwetu
point yko ni pumba tu
Mashaallah
Chazi hilari ni mtangazi wa siku nyingi Sana ni mta tz hambaye Hana Juha kisw vizuri Sana,
vijana niwahuni wanafiki wanajioendekwza pendekeza mwinyi hataki chawa
Ni mtu mzuri sana charles hillal
Nampenda sana nimeanza kumsikia nikiwa mdogo yeye ndio alikua kijana anatangaza redio one kipindi chake cha Sunday kilikuwa Hakinipiti charanga
Yaaah plus Mareham Nyaisanga.I wish angekuwepo.apumzike kwa amani
@@afualusigi8079 babisa na kina amina saleh na Abubakar sadiq
HAKUNA MZANZIBAR MKIRISTO.HUYO NI MZANZIBARA.WAZANZINARA WAPO WENGI TU ZANZIBAR.
Rais ameangalia uwezo wake Charles Hilary anaweza nafasi hiyo
Hakika.
Ikulu ni makazi ya mkuu wa nchi kwani Zanziba kuna mkuu wa nchi nijuavyo ipo tofauti kati ya mkuu wa serikali na mkuu wa nchi ni vema mambo haya yakawa wazi
Duhhh!!! Ubaguzi sio kweli mbona wspo wengi Zanzibar wenye majina hayo na yeye anasema amezaliwa Zanzibar.
Wakina Modulin Castiko, Suzan Kunambi, Lando Mabula Masarboko wengi akina Msangi wote wapo kule na hakuna ubaguzi wowote na wanapiga kazi fresh labda hilo la vijana maana huku hata mawazir wengi ni vijana angalau
Hapa.nimipango ya Mungu.niwakati wake. Anastahili
Uelewe unayoongea sasa Marehemu mzee Karume ana asili ya wapi kama sio Malawi, Eddington kisasi alikua mtu wa wapi? Kama si mchaga Brigadier Mwakyanjuki alikuwa na asili ya wapi? Kama si Mbeya Jina la Makame asili yake ni wapi kama si Wamakonde? Ila nina ndoto siku flani isiyo na jina tuta watoa mkuku bara mtaivuka bahari kwa mbio endeleeni na ufedhuli wenu.
Kunampaka mawaziri tokea miaka ya ,60, Antoni Kisasi, mchaga alikuwa waziri, na familiayake ipo mtoni, kibeni Aizam Sepetu, baba yake Wema Sepetu,,
Mzee. Ali mwinyi, ndiyo. Mzee,
Comment section imejaa ubaguzi kuliko uhalisia wa neno lenyewe🙌
Tabaraka Allah ALLAH AKBAR mashallah
Mpogoro alie kulia ZANZIBAR
Just kma Nyerere
Kafiri tu hili hana hata chembe ya uzanzibari wazazi wake ni wale walio letwa waje wauwe watu wakati wa hayo mavamizi ya 1994
Kafil ni wewe unaehukumu , mwenye kuhukumu ni Allah pekee ,acha roho mbaya na chuki no one is perfect 😏
Yana Hana kiwango cha kwanza kujuha kisw, na mbiri Salim. Kikeke, zuhura yunusi wa bbc UK,
Hongera
Viongozi wetu hawako makini na teuzi zao.Kama analalamikiwa kuna namna .Tido Muhando naye alileta maneno na kuna zuhura.Viongozi fanyeni kazi zenu kwenye.mwanga watu.msiwakwaze,mnafan6a nini hulo kwenye giza !? Mpaka muaibishwe,mtu amekuwa kikongwe unampa uteuzozi ili hali vijana wapo,Nyie ndiyo maana vijana wameamua kuwa watekaji.Ccm ya hovyo mno.
Mr Charles, mtangazaji wa bbc
Wakoloni wa kitanganyika wameekeza katika kile kinachoitwa mpango wa kale ambao sasa ndo umefikia kilele chake cha mafanikio.
He kumbe mpaka uwe Manzabar ndo upewe nafasi kama hiyo?
Babake alikua police zanzibar alikua mtu wa Tanganyika
Ogerasa Rass. Monyi
Wazee wake walikuja. Kutoka mrogoro ila yy kazaliwa zanzibar baadae akakulia Tanganyika kwa mda mrefu kwahivyo unaweza kumwita mzanzibara
64!! Ulikua na akili!
Huzeeki kaka!
Mungu azidi kukutunza
😭 ulipona kifo uwiiii
Mbona hatuoni kuelezea Charles kuelezea kwao na hayo makuzi yake Zanzibar ?
Hapa anazungumzia alivyokoswa risasi !
Kichwa cha habari cha video ya Charles Hillary ni tofauti kabisa na aliyooeleza !
namna gani gani nyie !!
Kwa mimi katika mtazamu wangu chazi Hana Juha kisw sijuhi kwa wengine,
Hana ❌ ana ✅ juha ❌ jua ✅ sijuhi ❌ sijui ✅
Kwa Mimi mtazamo wangu Charse ana jua kiswahili sijui kwa wengine ✅😁😁😁
Walikuwa Tanganyika.mihemko ya kimaisha tu
Ndio kwanza najuwa leo kuwa huyu ni mzanzibar
hakuna mzanzibar mkiristo ,huyo ni mzanzibara
Jifunze quran kusom kuandika gusa picha yangu hapo kama hautojali
Chazi hilari. Sio mzee ni mtu. Wamakamo,
Ayo maneno yakua sio mzanzibar munabambika nyinyi watanganyika sisi hatuko ivo ni watu wakarimu na wapenda wageni, Mr Hilary analijua hilo fika na mwenyewe anajua kua znz ni nyumbani kwao kabisa na anamarafiki wakarubu kuliko hata bara, so musitugawe kwa uchochezi wa kijinga.
Anayefanya landscaping Znz aende Dodoma akasaidiye
NILIKUWA NAIPENDA TAARIFA HABARI YA AZAM TV KWA UTANGAZAJI WAKE YEYE NA IVONA KAMUNTU
Hivi mi nauliza Zanzibar Kuna jina la Charles sjawah kuliskia
Kwani ni lazima awe mzanzibar kufanya kazi hiyo? Kuwa wazanzibar wangapi kwenye ofisi nyeti huku bara? Hadi raisi ni wa huko! Lol sikujua kama mko hivyo
@@MsAggie5 wabaguzi vibaya mno hawa watu. Yaani chetu Chao, Chao si chetu🚮🚮
Wavamiz hawa waliokuja kufanya mapinduz...xx wanalipwa fadhila zao na mtanganyika mwinyi ndio analipa
hata huyo Mwinyi nimtanganyika ujue
Wacheni ubaguzi
Yupo bado mzizma ?
ubaguzi upo nchi zote duniani ndio wakaeka passport zao ili wajuane..huyu mtanganyika safi ukimuona tu unajua wazi huyo km nyerere.
ulienda kusoma
Twana kutoka tanganyika kamleta kafiri kutoka kwao
Wavamizi hawa wanakula ngawira zao
Wote wanyamwezi nyie ,wavamivi Ni waarabu tu wote asili yenu huku acheni maneno,chuki na choyo
@@ndukulusudikucho_ mnyamwezi gani anaongea ni kojani, kimakunduchi, kitumbatu nk
Mawazo ya kiutumwa angelikua anaasili ya Oman angeambiwa mzanzibari
wewe kuma ubaguzi dunia nzima upo.ndio maana kumewekwa passport.fala wewe
Charles kutumwa ikilu ya Zanzibar povu linawatoka
Sijuwi huyu mwantumu anaetutaabisha huku? acheni urojo unawaregeza fikra!!!
Hawaoni tuna ongozwa na mwanamke aliyetoka kwao na ukiangalia sisi tuko wengi kuliko wao mala elfu? Na kila kukicha michambo tu lol
We umekalia chuki tu bila ata ya kujua kwamba hii ni serikali ya Jamuhuri ya muungano wa Tanzania so ata raisi kutoka zanzibar akiongoza hakuna ubaya ndugu.
@@hassanmsingiri6216 chuki ni zenu sisi tumelidhia kuwa na raisi toka Zanzibar si mala ya Kwanza Ila Kwa nini hii post ya Charles inawatoa roho?
@@MsAggie5 sio kuridhia nyinyi ni sheria hiyo ndugu alaf hao wanao sema kuhusu charls hawajui kama ulivyo kua hujui wewe maana charls ni mzanzibar na nawajua kwao karibia wote so hao wanaosema ivyo hawamjui ndio mana
@@hassanmsingiri6216 Baba ake Charles Mpogoro nadhani toka Morogoro so Mimi sijui Sheria yenu ikoje iwapo mtoto akizaliwa anapewa Cheti cha Zanzibar sio Tanzania, nachojua Baba ake nibara alikuwa anafanya kazi ya polisi au Askari Zanzibar sijui huo uzanzibar kaupataje na pia nashangaa kuona hao wenzio wanahamaaki Kwa kipi? Kama si mzanzibar Sheria haruhusiwi kuteuliwa na raisi? Basi kosa si lake ni la raisi aliyemteua!
HIVI NI KWANINI VISIWANI BARAZA
HIVI NI KWANINI BARAZA LA WAWAKIRISHI WALA MAWAZIRI WAKRISTU HAWATEULIWI ?
Mtanganyika wewe Charles Hilary wacha kutudanganya Wazanzibari tunajuana
Mbona wanzanzibari wengi sana wanafanyakazi bara? Acha ubaguzi
Huyu mzanzibar kwao makadara jamani wana nyumba yako kule....
Mhh
Hatutaki Habari za mapinduzi tunataka kujua historia yake kwa ujumla ili.tumjue zaidi
Umjue.zaid ili iweje
Huachi kwani samia kazaliwa tanganyika mbona rais Tanganyika hamuachi
Ukisha mjua what next! Sikujua kama bado kuna ubaguzi wa jinsi hii 😝
Samia mbona mzanzibari anatuongoza watanganyika na hatuna shida?
@@japhetmevoroo113 kwao ni furaha lakini wa bara kwenda kule mbinde. Lakini leo nimeona kuna mkuu wa polisi Pemba mkristu na ana jina la bara, sijui kwa nini hii ya Charles Hilary limekuwa topic
Ni mzanzibari huyu. Hao ni Uladi wakristo/waislaam wa Kikwajuni. Mjomba wake ni marehemu Mr. Harbert Al marjebi.
Kina Tippu Tipp. Mtipura
Kafiri wakitanganyika
Zanziber ni njema atakae na aje.
1964?? then bado mtu ni mgeni tu Zanzibar?? what a shame!!
skia wewe mjinga ,kuishi ama kuzaliwa Zanzibar,hakutosholezi kukufanya uwe mzanzibar.jua hilo
Charles.unastahili. toka nisikie. Hujawahi kuvaa cheo juu. Kulijo dhamana yako ndio maana kila mtu kwako ni sawa na wewe. But ubarikiwe zaid na kumbuka cheo cheo cheo ni mapito tu dhamana yko ulioanza nayo toka mfereji wa wima na utiifu. Ilikupeleka ulaya but kwenu wanakutaka .kma ulivyo ipenda tasnia yako ipende na nchi yako. Dhamana kwanza cheo baadae. Tunakupenda sana ila huyu. Uyahe na uami uuweke kando yeshapitwa hayo . Shukran
Tueleze unatoka wapi umezaliwa wapi sio hayo yalopita unayo tueleza hatufah hayo tunataka ujitaarifu uzuri
Kimsingi, huyu bwana ni Mtanzania... Anatoka wapi, amezaliwa wapi, itakusaidia nini, jamaani ?!
Mhmmm haya ndio Yale aliyoyasema maalim SEIF ( rahmahullah) , Zanzibar hakuna jina la CHARLES tusidanganyane
Kwa hiyo!
Wazanzibar wanauliza kwanini uchaguliwa kwanda kufanya kazi katika Serekali ya Watu wa Zanzibar je Wewe ni Mzanzibar?kwasababu katiba ya Zanzibar haimruhusu Mgeni wa Aina yoyote ile hata kutoka Tanganyika kufanya kazi katika Idara yoyote ile ya Serekali ya Wazanzibar wa Zanzibar sawa¿huu ni ukiukwaji wa katiba ya Zanzibar na sivyo alivyosema Sheikh Abeid Amani Karume sawa¿thanks
Kazaliwa wapi someni history jaman mnakurupuka sana huyo kwa znz na mkijisoma nyie kwenu mnakujua ndo mana nasema watu wote ni wageni piga kz ukijua ukristo ulikuja lini znz bc mamaake kwa utajua wapi
Piga kz Anko
Mlichobakia cheo tu kwisha habari yenu , Zanzibar ilikuwa kitovu cha Elimu duniani sasa Ni kitovu cha ufuska na utalii, na linalonihuzunisha mnalifurahia hilo, Akija mgeni hata afanye ufuska hamkasikiriki ila Charles kuchaguliwa kuwa msemaji wa ikulu hamlali
Kwani vile huyo Mwinyi ni sheria ipi ilimruhusu agombee uraisi ZNZ , labda sheria za kivamizi
@@ndukulusudikucho_ amos weye dini gani samahani
angalieni wazanzibar musiwe wabaguzi
huyu babayake alikua police zanzibar
unasemaje kua sio mzanzibari?huyu ni mzanzibari tena kwenye mapinduzi babayake alishiriki
Anayo haki ya kufanya kazi Zanzibar huyo ni mzanzibar kma wengine acheni uyahudi kwani Zanzibar ni peponi
Tatizo jina hivi nikuulize umeskia wapi Zanzibar kuwa na jina Charles hamna mzanzibar mkristo tusidanganyane
@@salehkhamis8653 kina ndo linalofanya kazi au unawachikia wakristu kiasi kikubwa unakosa usingizi? Lile kanisa pale Zanzibar mbona ni la siku nyingi sana hapakuwepo wenye jina Charles humo kanisani? Unasokotwa na roho hadi nakuogopa, kuwa na roho ya binadamu wote tumeumbwa na mwenyezi Mungu then utakaa sawa
@@salma0000 siasa za Zanzibar zinakataa jina Charles lakini zinakubali Samia awe raisi wa Tanzania 🇹🇿! Makubwa hayo. Najua sana kama hilo kanisa lilijengwa na wakoloni kwa hiyo walilijenga kama maonyesho? Si kulikuwa na waumini? Sasa kama ni hivyo hawakuwa na jina Charles? Ok nini kitokee sasa kasha chaguliwa na raisi mwenyewe ndo mtafanyaje sasa na siasa zenu lol
@@salma0000 kama kichwani kwako