Hivi hayo majibu hujayaelewa kaka, maana yake hutakiwi kukwepa kodi kwa kushushia gari yako Zanzibar. Ukishusha Zanzibar unatozwa 40% hiyo hiyo gari yako ukitaka kuisafirisha tena kule Bara, utamalizia zile 60% zilizobaki ili ulingane na yule aliyeshushia bara. ila ukishushia Bara kisha ukaisafirisha hiyo gari Zanzibar, hautozwi kitu kwa sababu utakuwa umelipa 100% ya kodi.
@@africangirls482 ,, swala la ushuru wa bandari haujalishi muungano, linatokana na sera kuhusu visiwa. Kisiwa chochote, kodi ya ushuru wa bandari ni 40%
Kiongoz jibu lipo wazi kbs,haiwezekan baadhi y mambo yawe sawa lkn kwny ushuru mnaanza kujenga hoja ila maji n mafuta hayakai sehem 1,dunian kote hakuna nchi 1 ushuru w bidhaa 1 ukalipa mara 2 tofaut.
Gari kuingia Tanzania bara unalipia 100% kiwango cha import tax, ukiingiza Zanzibar hulipii yote (lakini si lazima unaweza kulipa yote kukwepa usumbufu ukitaka kusafirisha) utalipa asilimia 60% tu ya kodi. Ila utakapoamua kuileta gari bara basi utamalizia asilimia iliobaki 40% ili ukamilishe kodi halisi ya 100%
Aliyeulizwa swali ameona tabu kuwaambia watu ukweli kwa kuzalisha vitu vyengine visivyo vy muhimu vyenye kuleta kelele wakati kitu ni simple kabisa kuwaelewesha tu watu ila kuingiza maswala ya uchumi huku mdogo kule mkubwa ni kusababisha mizozo kipindi cha kukazia kuwa hii ni nchi moja then kwanini zitofautiane Elimu ni bure watu wafundishwe vilivyo vya ukweli sio mambo mengi 🤝🏾
Hapo Umeeleweka, Kwasababu kama hamkufanya hivyo Magari mengi watashushiwa ZANZIBAR na wafanya biashara wakubwa Kisha Watakwenda kupiga Pesa Bara, halafu Bandari ya Bara itakosa soko. Nimewaelewa👏👏👏👏
Kwani hata mikoa si inatofautiana Hali ya kiuchumi mie naona hiyo reason ni same as fuck Bora ungesema ni nchi mbili Kila Moja Ina taratibu zake tujue ila sababu ya hovyo ya ichimi ni sawa na kusema mwananchi anaeishindar achajie Kodi kubwa kuliko anae ishi igulisi au ntwara kama ni inshu ya per Capita income...😢😢😢😢
Kukubalika au kutokubalika kwa bidhaa ni Wateja wenyewe kuamua kutumia vya kwao hebu na sisi tuzikatae bia zao. Unapojadili Muungano angalia kwenye mambo 22 ya Muungano, biashara ya ndani sio suala la Muungano kama kama kuna kikwazo kupeleka bidhaa ya Zanzibar nje ya nchi hio ni hoja ya msingi. Kama sukari kwa nini ipelekwe Bara wakati uzalishaji haujatosheleza ndani? Hata uzalishaji drop hazijatosha ndani.
Zenj kiuchumi wako vizuri kuliko bara.watu milioni moja na nusu wabunge zaidi ya 50.shinyanga mjini watu milioni mbili idadi ya wabunge mmoja.kiuchumi zenj wako vizuri.
Huu ni ujinga na upumbavu mi naishi zanzibar na nimefanikiwa kununua vifaa vyangu vya nyumbani lkn siku nikitaka kuhamia bara wanataka kodi ukijaribu kuwaelewesha hawataki
SIO MAGARI TU ZANZIBA WANA UNAFUU MKUBWA SANA SISI VIONGOZI WETU HAWA PENDI TUWE NA MAISHA BORA ILI WAPATE MWANYA WA KUOMBA KURA WAKATI WAO WANA NAFUU KUBWA SANA KI MASLAHI
Kaka mimi nakuambia ukweli ushuru wa zanzibar na bara ni sawa unafuu walionao zanzibar ni mmoja tu uhuru wakulipia nusu kodi na kumalizia kodi baki bdae lakini kumbuka kulipia nusu kodi haimaanishi ndio umemaliza ila deni lako linabaki palepale Kuna watu zanzibar wanaingiza mizigo na wanalipa 100% ya ushuru kwasababu ya uwezo na kutokutaka usumbufu bdae ndio wale unaona wanaweza kutoka zanzibar na gari zao kwenda nazo bara na kurudi nazo baada ya safari zao ila ukilipa nusu naamini hautaweza kufanya hivyo🤝🏾
Apana zanzibar tuna wimbo wetu na sio wimbo 1 njo zanzibar watoto wakiwa school ndio utajua je wanaimba nyimbo gani sisi atuimbi mungu ibaliki tanzania sisi tuna nyimbo yetu kama ufaamu iroho sawa
@@ulipoulipotupo7564 haya tumia fursa hii utufundishe au utuandikie beti za wimbo wenu wa taifa lenu tusikie natujue maana mlivo na kiherehere kana kwamba zanzibar mnaishi mbinguni kumbe mnawaza kutengana mpate msaa na waarabu.
boys sea si mtuache na zanzibar yetu kama unataka kujua sisi atuimbi mungu ibaliki Tanzania njo kipindi cha asubui katika shule zote utasikia tunaimba wimbo gani ss sio watanzania ni wazanzibar 😂😂😂
@@ulipoulipotupo7564 hakuna nchi isiyo kuwa na mamlaka ya kukusanya mapato ya nchi husika ata isingekuwepo TRA basi mngekuwa na ZRA ko huwezi kukwepa hilo
@@canibalgazaboy8325 Zanzibar ina zrb ndio inayokusanya mapato ya Zanzibar lakini kuwepo kwa tra ambayo ni bodi ya mapato ya Tanganyika ndo mkaona watu wanapiga kelele ushuru Mara mbili sasa ebu fikiria laiti ingekuwa tra hamna tupo na zrb tu unadhani iyo gari ingeshushwa kwa kiasi gani na vitu vengine maana yake tungekuwa na unafuu zaidi kaka
Sioni Point hapo tatizo tra wanajua kabisa uhalisia wa manunuzi ya magari Japan magari ni bei rahisi sana unaweza ukanunua kwa bei ya dola elfu mbili ukachajiwa zaidi kodi zaidi ya dola elfu nne pamoja na charges za bandari
Hamna kitu Apo maana nikwamba Bandari ya Zanzibar itafanya kazi kubwa. Kama inawezekana kupunguza kidogo itakua nafu Maana mapato yaongezeka na kwetu pia watu wataleta latest Car 1.Parking wateja wataongezeka 2.Bandari pia itaongeza Sana Mapato 3.Mafuta pia mtapata Mapato Kwaufupi kupitia njia hizi 3 Kama mfano serekali itanufaika bado ziko nyingine nyingi sana Think Big
Viongozi wetu bwana! Hata hajui anajibu nini, kaunafuu flani hivii… zanzibar wanalipa 40% tu ya kodi inayolipiwa bara, so ukipeta gari hiyo bara unalipia ile tofauti ya asilimia 60%! Faida hiyo ya kulipa asilimia 40 ni kwa wazanzibari tu! Matumizi yake ni zanzibar tu!
Achana na magari hata pasi mnachaji ghali hebu badilikeni hako ka unaafuu munakokasemea na wananchi wa bara wanufaike nako tofauti na hapo muungano ni muungano jina😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Yaani huyu sijui anaeleza nini. Nijuavyo mimi, Sura ya mwisho ya katiba ya Jamhuri ya Muungano, inazungumzia mambo yasiyo ya kimuungano. Na suala la kodi ni moja ya mambo yasiyo ya kimuungano. Ndiyo sababu kila nchi yaani Zanzibar Vs Tanganyika wamejipangia kodi zao tu na hazilingani.
Kwahiyo kuna Tanzania Revenue authority na Zanzibar Revenue Authority.Je unadhani hicho kilichoandikwa kwenye katiba haiwezi kuwa moja ya kero za muungano ?unadhani wananchi wa jamuhuri ya Muungano wa Tanzania wanaridhika na hali hiyo?
Huyo Anaeongea Hapo Ni Mwanasheria Wa ACT, Nadhani anaelewa Sheria Za Kodi Na Muungano. Ukweli Kama Alivyosema Sheria Za Ndani Kwa TRA Ni Moja Kuhusu Ushuru...!!!
Nakumbuka Mizengo pinda wakati huo no waziri mkuu alipigwa swali Bungeni ktk kipindi Cha maswali ya papo kwa papo..jee Zanzibar no nchi au akamjibu Zanzibar no mkoa yaani sehemu ya Tanzania bara..hata cc wakati tunasoma tulikua tunaambowa shuleni Tanzania Ina mikoa 25 yaan bara mikoa 20 na unguja mikoa mi5.. Sasa iweje mkoa uliie ushuuru Mara 2 wakat nchi ni moja!!!? 😳
Kwann waseme Tanzania bara, wakati kule kunaitwa Zanzibar! Kwanini wasiseme Tanganyika? Au jina la Tanganyika ndio limekufa kwa cc watanyika kukosa maarifa!
Kuna mambo tunafanyiwa wananchi kuweka mazingira magumu Sanaa hauwezi yaona sehemu nyingi dunia hivi unaweza kukuta gari imepita Tanzania kwenda Zambia unakuta Zambia bei Sawa na Tanzania huwa kuna wizi wizi tu
Iyo ni kweli. Mwezi wa 8 nilitaji gari fulani nikaongea na wauzaji ile gari hapa ni m 22. Nikambiwa visiwani ni m13 . Nikambiwa kodi kuingiza hapa m7 nilichoka.
Kwanini basi huku Tanganyika kusiwe na ushuru sawa na Zanzibar? Maana ni kana kwamba huku bara kununua gari ni adhabu, hivyo ukinunua unaadhibiwa. Hapa kuna kasoro kiukweli
Huyu analeta majibu ya kufikirika kweny akili yake na sio majibu rasmi kwa mujibu wa sheria na taratibu za kiuchumi...Bado hatujapata majibu zembwela tafuta mtu mwingine aliyesoma maswala ya uchumi na aliye taasisi ya TRA wanaweza kutupa mwanga..
Hakuna majibu hapa yakitaaram naona ruka ruka tuu. Acha niingie showroom mie iyo mitabu yote yanini. Yaani Tanzania ukiagiza gari ya mil 6 utakung'utwa kodi ambayo nibora uingie showroom tu. Nahiii inasababisha serikali kukosa mapato ila hawajajua tu.
Mbunge Msukuma alisema tunawachumi wabovu tofauti na wanavyosema darasani, hii haileti maana eti wao ushuru kidogo, but bara ushuru mkubwa. Tofauti yake nn? Kwamba Zanzibari wanaishi watu masikini sana wanaohitaji msamaha na bara wanaishi watu matajiri sana. Mm sielewi nisaidieni nipate elimu.
Mm ningejaribu kwa majib yangu kuwa umbali wa kutok nchi za uarabun au india mpk bandari ya zanzibar kuna ukarib na ndio maan kodi yake inakuwa kubwa tofaut na umbali wa kufika bandar ya Dar lzm kodi iwe kubwa wanapiga thaman ya mzigo na umbali wake...
kiongozi katumia nguvu na dakika 3 kuexplain kitu ambacho kina tuofautisha na kutufanya tuonekane kama 2 countries! kodi kodi tu! ila fresh acha tushibe!
Swli zuri majibu kidg sikuyasoma mana swali direct majibu ukenda gongo la mboto utashuka wanja ndege sjui mara boda boda upande bandarini swali bado kidigi
Hmna kitu hapo. Ni upendeleo kwa watu wa Zanzibar tu. Wekeni kodi moja kwa nchi nzima. Sasa kama nikishusia gari Darana kuamua kuipeleka Zanzibar watanirudisha pesa za kodi?
hii video hata sijaelewa kesema kweli....sasa Nini maana ya muungano kama mimi nikinunua gari au vitu Zanzibar ukitaka kuleta bara nachajiwa tena Kodi??? huu muungano upo kwenye vitu gan specific maana ufafanuzi wa hyo brother hata sijauelewa vzr.....🤔🤔🤔
Huo niupumbavu mtupu mtu anapata bahati anauziwa gari zanzibar labda mil 2 akija bandar ya bongo hawaangalii risiti ya gar wanagugo beiya aina yagar je uliokuja nalo hapo haki ikowap ndio mana bara matajiritu ndio wana miliki magar masikin anakua hanauwezo wakumiliki gar ifike wakati serikal itambue kua bara navisiwa vya nzanziba ni nchimoja nikama mikoamingine ilivyotu
Hyo n CHangamoto ya muungano inabidi ishughlikiwe Kama ishu Ni uchumi hata huku bara kila mkoa uchumi wake Ni tofauti. Dar tofauti na kigoma. So watu wakigoma Kodi ipunguzwe.
Kwan inashindikana nini kusajili magari yote kwa namba T kama inchi moja? Ndani ya taifa moja kunawa na inchi mbili mmoja anasajiliwa gari kwa no T mwingine Z mbona mnatufanya kama watoto wadogo?
Hajui anaongea Nini mie sijafahamu Bado inamana unalipa mara mbili gari ushaitumia hapahapa miaka 3halafu unailipia ushuru uleule wa new one wakati naenda kutambelea bongo hapo bado kidogo 😁
Lakini utoa gari Bara kuleta Zanzibar hurejeshewi nyongeza ya kodi uliyolipa Bara. 😊
Hapo sasa
Uchumi wa bara tofauti na wa Zanzibar,Sasa hapo ndo mnapo vuruga mambo,Huo uchumi mzuri wa bara ukwapi Sasa.
Wanavuruga sana aisee, huu ni ubaguzi na kama ukiendelea hivi, muungano wao wabaki nao wenyewe
Hakuna nchi inayoitwa Tanzania bara sawa¿hio ni Tanganyika 💯👌
Hawataki ilo jina na wao ndio wanaoupenda msemo unaoeema mkataa kwao mtumwa
Sasa si nchi mbili tofauti, Kodi mbili, sion umuhimu wa Muungano.
Hawana majibu ni ubabaishaji
Muungano unamakubaliano yake tuyasome tujue ndo useme umuhimu uko wapi sio kwenye kila kitu tunasema tu
Hivi hayo majibu hujayaelewa kaka, maana yake hutakiwi kukwepa kodi kwa kushushia gari yako Zanzibar. Ukishusha Zanzibar unatozwa 40% hiyo hiyo gari yako ukitaka kuisafirisha tena kule Bara, utamalizia zile 60% zilizobaki ili ulingane na yule aliyeshushia bara. ila ukishushia Bara kisha ukaisafirisha hiyo gari Zanzibar, hautozwi kitu kwa sababu utakuwa umelipa 100% ya kodi.
@@bigowillythomaskayanda7763 muungano uko wapi hapo
@@africangirls482 ,, swala la ushuru wa bandari haujalishi muungano, linatokana na sera kuhusu visiwa. Kisiwa chochote, kodi ya ushuru wa bandari ni 40%
Swali na jibu vitu viwili tofauti
Exactly no answer
Laiti Mzee Karume Kama angelijua muungano huu utakuja kua na hasara kubwa Sana kuliko faida,asinge saini😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Kweli kabisa 😀
karume hata hakuzaliwa Tanzania kwahiyo usitegemee kuwa alikua na uchungubsana na zanzibar zaidi ya kulinda maslahi yake binafsi
KUmbeeee
😳
@@mwinyikadhi2870 sio kweli kasome history usiongee kiushabiki
Kiongoz jibu lipo wazi kbs,haiwezekan baadhi y mambo yawe sawa lkn kwny ushuru mnaanza kujenga hoja ila maji n mafuta hayakai sehem 1,dunian kote hakuna nchi 1 ushuru w bidhaa 1 ukalipa mara 2 tofaut.
Gari kuingia Tanzania bara unalipia 100% kiwango cha import tax, ukiingiza Zanzibar hulipii yote (lakini si lazima unaweza kulipa yote kukwepa usumbufu ukitaka kusafirisha) utalipa asilimia 60% tu ya kodi. Ila utakapoamua kuileta gari bara basi utamalizia asilimia iliobaki 40% ili ukamilishe kodi halisi ya 100%
Aliyeulizwa swali ameona tabu kuwaambia watu ukweli kwa kuzalisha vitu vyengine visivyo vy muhimu vyenye kuleta kelele wakati kitu ni simple kabisa kuwaelewesha tu watu ila kuingiza maswala ya uchumi huku mdogo kule mkubwa ni kusababisha mizozo kipindi cha kukazia kuwa hii ni nchi moja then kwanini zitofautiane
Elimu ni bure watu wafundishwe vilivyo vya ukweli sio mambo mengi 🤝🏾
Hapo Umeeleweka, Kwasababu kama hamkufanya hivyo Magari mengi watashushiwa ZANZIBAR na wafanya biashara wakubwa Kisha Watakwenda kupiga Pesa Bara, halafu Bandari ya Bara itakosa soko. Nimewaelewa👏👏👏👏
Hayo ndo mnayoyaogopa na ndo yanayowafanya muukumbatie muungano
No no ni hali ya kiuchumi wa nzanzibar ni tofaut na bara ivo wanavyoshusha Kodi zenji wanakuza na kupromote uchumi wa nzanzibar ukue co kwa ubaya
Kwani hata mikoa si inatofautiana Hali ya kiuchumi mie naona hiyo reason ni same as fuck Bora ungesema ni nchi mbili Kila Moja Ina taratibu zake tujue ila sababu ya hovyo ya ichimi ni sawa na kusema mwananchi anaeishindar achajie Kodi kubwa kuliko anae ishi igulisi au ntwara kama ni inshu ya per Capita income...😢😢😢😢
Kwanini maji ya drop ,sukari ya Zanzibar haikubaliki kuuzwa Tanzania bara
Ata mie nashangaa
Kukubalika au kutokubalika kwa bidhaa ni Wateja wenyewe kuamua kutumia vya kwao hebu na sisi tuzikatae bia zao.
Unapojadili Muungano angalia kwenye mambo 22 ya Muungano, biashara ya ndani sio suala la Muungano kama kama kuna kikwazo kupeleka bidhaa ya Zanzibar nje ya nchi hio ni hoja ya msingi. Kama sukari kwa nini ipelekwe Bara wakati uzalishaji haujatosheleza ndani? Hata uzalishaji drop hazijatosha ndani.
Hahahahaaaaa Hawa watanganyika wabishanit wanaumia nayakwetu yakwao hawayaoni
Huna nchi
Zenj kiuchumi wako vizuri kuliko bara.watu milioni moja na nusu wabunge zaidi ya 50.shinyanga mjini watu milioni mbili idadi ya wabunge mmoja.kiuchumi zenj wako vizuri.
Mungu atawapa adhabu Kali Sana siku yakiama acha tuteseke sisi wanyonge one day
Huu ni ujinga na upumbavu mi naishi zanzibar na nimefanikiwa kununua vifaa vyangu vya nyumbani lkn siku nikitaka kuhamia bara wanataka kodi ukijaribu kuwaelewesha hawataki
Ndiyo ni kweli kwa sababu ya Sera ya uchumi, Sera ya uchumi imevipatia visiwa tozo ndogo.
Ogopa sana kuishi kwenye nchi ambayo inatengemea mwanamchi kuiyendesha kisha mwananchi huyohuyo ndi anakandamizwa
We mzee hem npe list ya nchi ambazo hazitegemei wananch wake kwa namn moja au nyengne ili kujiendesha
Mtihan, Sawa na mchele mmoja mapish tofauti
SIO MAGARI TU ZANZIBA WANA UNAFUU MKUBWA SANA SISI VIONGOZI WETU HAWA PENDI TUWE NA MAISHA BORA ILI WAPATE MWANYA WA KUOMBA KURA WAKATI WAO WANA NAFUU KUBWA SANA KI MASLAHI
Kaka mimi nakuambia ukweli ushuru wa zanzibar na bara ni sawa unafuu walionao zanzibar ni mmoja tu uhuru wakulipia nusu kodi na kumalizia kodi baki bdae lakini kumbuka kulipia nusu kodi haimaanishi ndio umemaliza ila deni lako linabaki palepale
Kuna watu zanzibar wanaingiza mizigo na wanalipa 100% ya ushuru kwasababu ya uwezo na kutokutaka usumbufu bdae ndio wale unaona wanaweza kutoka zanzibar na gari zao kwenda nazo bara na kurudi nazo baada ya safari zao ila ukilipa nusu naamini hautaweza kufanya hivyo🤝🏾
Upuuzi tuu, sasa inamaana gani na wakati nchi ni moja! Wimbo wa taifa ni mmoja!!
Mnawatia watu hasira tuu! Alafu presha.
Mchezo mchafu huu mwisho wa siku picha ni ile ile sema mnacheza na wananchi
Apana zanzibar tuna wimbo wetu na sio wimbo 1 njo zanzibar watoto wakiwa school ndio utajua je wanaimba nyimbo gani sisi atuimbi mungu ibaliki tanzania sisi tuna nyimbo yetu kama ufaamu iroho sawa
Nchi 2 broo
@@ulipoulipotupo7564 haya tumia fursa hii utufundishe au utuandikie beti za wimbo wenu wa taifa lenu tusikie natujue maana mlivo na kiherehere kana kwamba zanzibar mnaishi mbinguni kumbe mnawaza kutengana mpate msaa na waarabu.
boys sea si mtuache na zanzibar yetu kama unataka kujua sisi atuimbi mungu ibaliki Tanzania njo kipindi cha asubui katika shule zote utasikia tunaimba wimbo gani ss sio watanzania ni wazanzibar 😂😂😂
Na waondoe tra yao waone znz inavyopaa kiuchumi,
husda za wabongo kutuwekea tra ili watunyonye.
Maneno ayo kake ndio yanayofanya kuwa awataki kuiachia ebu tuweni wapole kwenye kuongea maneno kwan sifa izi ndizo ttzo pia
@@ulipoulipotupo7564 hakuna nchi isiyo kuwa na mamlaka ya kukusanya mapato ya nchi husika ata isingekuwepo TRA basi mngekuwa na ZRA ko huwezi kukwepa hilo
@@canibalgazaboy8325 Zanzibar ina zrb ndio inayokusanya mapato ya Zanzibar lakini kuwepo kwa tra ambayo ni bodi ya mapato ya Tanganyika ndo mkaona watu wanapiga kelele ushuru Mara mbili sasa ebu fikiria laiti ingekuwa tra hamna tupo na zrb tu unadhani iyo gari ingeshushwa kwa kiasi gani na vitu vengine maana yake tungekuwa na unafuu zaidi kaka
Sio kaunafuu sema kuna nafuu kubwa sana ila nyinyi nata mmeharibu ushuru mkubwa
Safi sana zembwela kwa good swala
Ilaa hajaa jibuu swalii
Mmmh ruclips.net/video/Q_ef3eAEVj8/видео.html
Sioni Point hapo tatizo tra wanajua kabisa uhalisia wa manunuzi ya magari Japan magari ni bei rahisi sana unaweza ukanunua kwa bei ya dola elfu mbili ukachajiwa zaidi kodi zaidi ya dola elfu nne pamoja na charges za bandari
Ushuru sevi uko sawa sawa
Hamna kitu Apo maana nikwamba Bandari ya Zanzibar itafanya kazi kubwa.
Kama inawezekana kupunguza kidogo itakua nafu Maana mapato yaongezeka na kwetu pia watu wataleta latest Car
1.Parking wateja wataongezeka
2.Bandari pia itaongeza Sana Mapato
3.Mafuta pia mtapata Mapato
Kwaufupi kupitia njia hizi 3 Kama mfano serekali itanufaika bado ziko nyingine nyingi sana Think Big
Hii nchi hii kunasiku tutashika mitutu kama sio ss vizazi vyet
Hakuna haja yamuhungano, bora hilo jina la TANZANIA life ibaka Tanganyika, na Zanzibar. Zote zitambulike kama nchi mbili tofauti.
Viongozi wetu bwana! Hata hajui anajibu nini, kaunafuu flani hivii… zanzibar wanalipa 40% tu ya kodi inayolipiwa bara, so ukipeta gari hiyo bara unalipia ile tofauti ya asilimia 60%! Faida hiyo ya kulipa asilimia 40 ni kwa wazanzibari tu! Matumizi yake ni zanzibar tu!
Hehee ruclips.net/video/Q_ef3eAEVj8/видео.html
Hii inaitwa mwalim kapewa sindano hahahahahaha najua umeelewa mlimwengu mwenzangu.
Hizi nchi ni mbili kiuhalisia kwenye makaratasi ndiyo Moja.
Mambo mengi tumetofaitiana sana
Kama ukitoa gari bara ukaipeleka Zanzibar hurudishiwi nyongeza ya kodi, naomba muungano wenu bakini nao wenyewe
huu ni ushahidi tosha wakuonye kama zanziba ni nchi na sio visiwa ila mmevaaa uccm na tamaa ndio zinazo waponza
ruclips.net/video/Q_ef3eAEVj8/видео.html
Kwani Broo Kua kisiwa sio sababu ya kua si nchi Karume baba ndio alieuondosha Utaifa wa Zanzibar
Sio hvyo lengo lao Zanzibar iwe moja ya sehem ya ukafiri hawapendi maadili y kiislam ya tawale
Wanakharam wanatunyonyaa mungu anawaona iko cku yatakwisha ay inshaallah
Achana na magari hata pasi mnachaji ghali hebu badilikeni hako ka unaafuu munakokasemea na wananchi wa bara wanufaike nako tofauti na hapo muungano ni muungano jina😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
OK 40%
Muungano uko wapi sasa hapo
Ndo hapo sielewi kilichoungwa ni nini
Kutafuniwa kodi
Mi sijawai kuona muungano apo wangeiyachiya zanzibar saizi ingekua dubai
Yaani huyu sijui anaeleza nini. Nijuavyo mimi, Sura ya mwisho ya katiba ya Jamhuri ya Muungano, inazungumzia mambo yasiyo ya kimuungano. Na suala la kodi ni moja ya mambo yasiyo ya kimuungano. Ndiyo sababu kila nchi yaani Zanzibar Vs Tanganyika wamejipangia kodi zao tu na hazilingani.
Kwahiyo kuna Tanzania Revenue authority na Zanzibar Revenue Authority.Je unadhani hicho kilichoandikwa kwenye katiba haiwezi kuwa moja ya kero za muungano ?unadhani wananchi wa jamuhuri ya Muungano wa Tanzania wanaridhika na hali hiyo?
Benson lucas .mambo ya kodi sio ya muungano .bara kivyake kisiwan kivyake .ndo jibu sahihi .
Huyo Anaeongea Hapo Ni Mwanasheria Wa ACT, Nadhani anaelewa Sheria Za Kodi Na Muungano. Ukweli Kama Alivyosema Sheria Za Ndani Kwa TRA Ni Moja Kuhusu Ushuru...!!!
Muungano uko wap sasa??? Hii nchi ikoje??
Nakumbuka Mizengo pinda wakati huo no waziri mkuu alipigwa swali Bungeni ktk kipindi Cha maswali ya papo kwa papo..jee Zanzibar no nchi au akamjibu Zanzibar no mkoa yaani sehemu ya Tanzania bara..hata cc wakati tunasoma tulikua tunaambowa shuleni Tanzania Ina mikoa 25 yaan bara mikoa 20 na unguja mikoa mi5.. Sasa iweje mkoa uliie ushuuru Mara 2 wakat nchi ni moja!!!? 😳
Wiz mtupu
Sio unguja yenye mikoa 5 ni Zabzibar
@@ustadhsalimonlinetv.1807 sawa shekhe
@@ustadhsalimonlinetv.1807 yaan unguja mikoa mi3 na Pemba mikoa mi 2
CcM ni chAmA cha kuWanYonYA nA kuWadidiMizA waNanchi ...
HaKunA jenGinE
Ni wiZi mTupu haPo
Na ukiipeleka gari Zanzibar wanakurudishia ile asilimia 60% ili ulingane na mwenzio wa zanzibar?
Kwann waseme Tanzania bara, wakati kule kunaitwa Zanzibar! Kwanini wasiseme Tanganyika? Au jina la Tanganyika ndio limekufa kwa cc watanyika kukosa maarifa!
Silipendi jina la Tanganyika kabisa
@@malianonicass7029 mtumwa huru
Mavi
Yani hata awa awajui hii nchi inaitwaje hahahahahahahhahahah😢😢😢😢😢
Nchii hii😂 au bas wacha nikae kimya maana dah💔
Ok
Utumboo mpanaa huu hamna kitu umejibuu.. Apo
Kwanza hata hesabu anatatizika😂😂
Kuna mambo tunafanyiwa wananchi kuweka mazingira magumu Sanaa hauwezi yaona sehemu nyingi dunia hivi unaweza kukuta gari imepita Tanzania kwenda Zambia unakuta Zambia bei Sawa na Tanzania huwa kuna wizi wizi tu
Janja za wizi wa kodi za wazanzibar bila ya Zanzibar watanganyika hawawezi kuishi maana Zanzibar inaongoza kwa vyombo vya moto gari na honda
Iyo ni kweli. Mwezi wa 8 nilitaji gari fulani nikaongea na wauzaji ile gari hapa ni m 22. Nikambiwa visiwani ni m13 . Nikambiwa kodi kuingiza hapa m7 nilichoka.
Cc wazanzibar na tuendelee tu kupata gari kw bei rahisi
Ufafanuzi mzuri sana ,je ukitoa gari Tanzania bara kwenda zanzibar utarudishiwa 40% ya kodi?kwa sababu zanzibar kuna punguzo la 40%
Umeandika point sana Edward
Edu bwana... :))
Unataka wote tuhamie Zanzibar..sio 😁😁😁😁
Zanzibar mtu akitoka bara atumlipishi kodi kubwa ila ttzo mtu akitoka zanzibar kwenda bara ndio ttzo apo tozo ju ya tozo
Twenzetu Znz
Muungano uko kwenye maneno tu kiuhalisia hakuna Cha muungano hapa
Munaongea bumba tuu
Kwanini basi huku Tanganyika kusiwe na ushuru sawa na Zanzibar? Maana ni kana kwamba huku bara kununua gari ni adhabu, hivyo ukinunua unaadhibiwa. Hapa kuna kasoro kiukweli
Hapo bado hamtendi haki mungu anawaona
Basi mm nitanunuwa gari RWANDA AU SOUTH AFEICA NA NOOTUMIE KAMA MGENI WA KUJA NA KUONDOKA. TANZANIA NI LINI MTAJIUNGA NA COMESA, KAMA ILIVYO EAC
Nchi ya hvyo hii
Sisahau siku nilochukua tv zanzibar nikaleta dar heee nilijuta
pole
huyu jaamaaa naona anapata kigugumiz hili si suala la kumuliza huyu hawez kueleza ukwel naona anaeleza kinyume kinyume tu
Huyu analeta majibu ya kufikirika kweny akili yake na sio majibu rasmi kwa mujibu wa sheria na taratibu za kiuchumi...Bado hatujapata majibu zembwela tafuta mtu mwingine aliyesoma maswala ya uchumi na aliye taasisi ya TRA wanaweza kutupa mwanga..
Safi mzee hajajibu kiufundi
Hata bara bei ya bandari ipo ndogo ukihamisha gari kwenda nchi nyengine ndio Kuna pesa unatakiwa kuongeza
Hapo brother mambo ya muungano ni shida.
Huyu jamaa ANAONGEA pumba kabisa Nawale walipewa vyeotu
Nchi mbili, Tanganyika na ZANZIBAR ndioo maana ya muungano,
Heheee ruclips.net/video/Q_ef3eAEVj8/видео.html
Napia mjuulize watanganyika kwanini huko tanganyika Umeme bei nafuu kuliko huku zanzibar wakati nchi ni moja
Mbona hajajibu swali sasa amezunguka zunguka tu kamaliza stor
Ajibu nin Tena.. kashaeleza.. magari ya Zanzibar Bei ndogo kutokana na Kodi ndogo bandarini Kodi za bara ni kubwa ndo mana bei zipo Juu.
Mh!!!! why?
Hakuna majibu hapa yakitaaram naona ruka ruka tuu.
Acha niingie showroom mie iyo mitabu yote yanini.
Yaani Tanzania ukiagiza gari ya mil 6 utakung'utwa kodi ambayo nibora uingie showroom tu.
Nahiii inasababisha serikali kukosa mapato ila hawajajua tu.
Wachumi wetu shida.
Mh!! Mbona sijaelewa, maana umeelezea inavyotofautiana, na si kwa nini zinatofautiana
Sio gari tu , zanziba vitu asilimia 99% ni rahisi sana tofauti na bara
Sijui kama anea jibu kalielewa swali...simuelewi chochote aisee
Mambo ya kukandamizana sana.
Katika vitu ambavyo huwa sielewi kabisa yaani sera moja Sheria moja Kodi tofaut , hivi HiZI Kodi kwanini zipo juu sana yaan ununue 12m Kodi 12m?
Heheee ruclips.net/video/Q_ef3eAEVj8/видео.html
Mbunge Msukuma alisema tunawachumi wabovu tofauti na wanavyosema darasani, hii haileti maana eti wao ushuru kidogo, but bara ushuru mkubwa. Tofauti yake nn? Kwamba Zanzibari wanaishi watu masikini sana wanaohitaji msamaha na bara wanaishi watu matajiri sana. Mm sielewi nisaidieni nipate elimu.
Mm ningejaribu kwa majib yangu kuwa umbali wa kutok nchi za uarabun au india mpk bandari ya zanzibar kuna ukarib na ndio maan kodi yake inakuwa kubwa tofaut na umbali wa kufika bandar ya Dar lzm kodi iwe kubwa wanapiga thaman ya mzigo na umbali wake...
Hebu angalia Ramani ya Dunia halafu ufute ulichoandika
Sio kweli...
kiongozi katumia nguvu na dakika 3 kuexplain kitu ambacho kina tuofautisha na kutufanya tuonekane kama 2 countries! kodi kodi tu! ila fresh acha tushibe!
Swli zuri majibu kidg sikuyasoma mana swali direct majibu ukenda gongo la mboto utashuka wanja ndege sjui mara boda boda upande bandarini swali bado kidigi
ruclips.net/video/Q_ef3eAEVj8/видео.html
Ni mimi tu sijaelewa au kuna mwingine🤔
Hmna kitu hapo. Ni upendeleo kwa watu wa Zanzibar tu. Wekeni kodi moja kwa nchi nzima. Sasa kama nikishusia gari Darana kuamua kuipeleka Zanzibar watanirudisha pesa za kodi?
Duh ajajibu kitu ivi anajua kujibu maswal wasomi hvyo kama hawa
Mr zembwela hebu naomba ukipata muda tena muite huyo bwana atuambie nini maana ya muungano. Na nini maana ya kodi tofauti. Mimi bado sijamuelewa.
Ajajibu swali
Amna umuhimu wa kujihita muungano sisi ni sawa na nchi mbili tofauti yaani Kama umeagizia bidhaa Kenya tu
Ndio Ilivyo na Ndio Sahihi Zaidi Ndio Wanachokitaka Wazanzibari...!!! Kila Mmoja Afe Na Mbao Yake, Muungano Kwa Mambo Maalumu Tu ya Asili.
Tunahitaji kujua tofauti ya uchumi wa Zanzibar na bara atueleze? gari nimenunua kwa mtu lilisha tumika labda miaka mitatu bado linadaiwa kodi tena 😊
hii video hata sijaelewa kesema kweli....sasa Nini maana ya muungano kama mimi nikinunua gari au vitu Zanzibar ukitaka kuleta bara nachajiwa tena Kodi??? huu muungano upo kwenye vitu gan specific maana ufafanuzi wa hyo brother hata sijauelewa vzr.....🤔🤔🤔
Huo niupumbavu mtupu mtu anapata bahati anauziwa gari zanzibar labda mil 2 akija bandar ya bongo hawaangalii risiti ya gar wanagugo beiya aina yagar je uliokuja nalo hapo haki ikowap ndio mana bara matajiritu ndio wana miliki magar masikin anakua hanauwezo wakumiliki gar ifike wakati serikal itambue kua bara navisiwa vya nzanziba ni nchimoja nikama mikoamingine ilivyotu
maelezo yako hayaja fafanua vizuri Waziri , naomba ukajielimishe kwanza katika eneo lako la kazi halafu uje utujibu hili swali vizuri
Afafanue vip tena?...mbona kaeleza vizuri kabisa..
ndo binaadam huwa haturidhk il yup saw
Hyo n CHangamoto ya muungano inabidi ishughlikiwe Kama ishu Ni uchumi hata huku bara kila mkoa uchumi wake Ni tofauti. Dar tofauti na kigoma. So watu wakigoma Kodi ipunguzwe.
ZANZIBAR KILA KITU NI NAFUU ILA SIYO UKU BARA INCHI MOJA SHERIA 2
ACHA NIJIFANYE GARI YANGU YA MSUMBIJI NIPUNGUZIWE USHURU ALAF NAIFATA MSUMBIJI NAIRUDISHA DAR SHUGHUR IMEISHA
Yaani unaongea unajikanyaga kanyaga , ukweli ni kwamba nchi hizi hazijaungana alafu michezo kama hiyo iwepo.
Wajitasmini hawa Jamaica.
Hajatoa majibu kaeleza tofauti ya tozo
Huo n ubaguz tena mkubwa maana hata pemba na unguja hawako sawa on how Tanganyika na iyo kisiwa itakuaje sawa😅😅
Kwan inashindikana nini kusajili magari yote kwa namba T kama inchi moja? Ndani ya taifa moja kunawa na inchi mbili mmoja anasajiliwa gari kwa no T mwingine Z mbona mnatufanya kama watoto wadogo?
Mimi nasema muungano wenu ni upi
Siyo kajikodi nibonge la kodi
Viongozi wa bongo vichwa maji sana yan
Hajui anaongea Nini mie sijafahamu Bado inamana unalipa mara mbili gari ushaitumia hapahapa miaka 3halafu unailipia ushuru uleule wa new one wakati naenda kutambelea bongo hapo bado kidogo 😁
Sijamuelewa mbona yan bado hajafafanua vzr inakuwaje kuwaje na kwann
Nataman muungano uvunjike mana haunafaida yoyote kutokana na kizazi tulichonacho kwa sasa
Hayo ni makosa makubwa mnawakandamiza wananchi kabisa
So what if nikaagiza gari bara then nikaenda nalo kisiwani zanzibar kwa matumizi ya kule, jeh nitarudishiwa ile 60%?
Dah swali zuri kweli kweli
Hapo sasa