BINTI MDOGO WA KIZANZIBAR DEREVA WA MALORI MAKUBWA / KAACHA KAZI YA UTANGAZAJI TV/RADIO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 фев 2025

Комментарии • 193

  • @cloudinhoabdi868
    @cloudinhoabdi868 Год назад +9

    Just like any other job Sumaiya. Take it the way it is. I really admire your confidence and personality. Kenyans loves you. Watching from Tucson Arizona UNITED KINGDOM

    • @salyali7807
      @salyali7807 Год назад

      This is abusing to women.. there is nothing to congratulate you should feel sorry for her... she's been brainwashed and now she works like a .... may Allah guide her

  • @officialshoty8436
    @officialshoty8436 Год назад +6

    Hongera sn Sumayya... Mungu akusimamie ktk kila hatua... Hakika unaweza... ❤❤

    • @MTANGITHABITI-iw3qy
      @MTANGITHABITI-iw3qy Год назад

      Nimependa Xn iyo Yani yani hata unavyo ongea unaongea kwakujiamini xf Xn

  • @AshaSeif-zb1ry
    @AshaSeif-zb1ry 8 месяцев назад +2

    Mashallah mungu azid kukupa kipaji akuondoshee husda z walimweng

  • @HuseniMohamedi
    @HuseniMohamedi 28 дней назад

    Nakukubali sana dada ang❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ P1 san

  • @TM-zs3rm
    @TM-zs3rm Год назад

    Na unga mkono wanawake wote wanao kutoa na kuto kujali jinsi a. Nakupenda wewe. Wanawake tunaweza tu kujiamini na kupewa chance.
    Hongera dada.

  • @ZON_MEDIA2
    @ZON_MEDIA2 6 месяцев назад +1

    Dereva sumaia nimekubali mwanafunzi mwezaku❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @JamilaBenard
    @JamilaBenard 3 месяца назад

    Mashaallah Mashaallah ❤ m/mungu akulinde na kila balaaaa

  • @hawamohammed9740
    @hawamohammed9740 Год назад +1

    Wazanzibar ni wachapa kazi simunamuona na mama samia

  • @salyali7807
    @salyali7807 Год назад +2

    Hii ni kudhalilisha wanawake.. hizi kazi nzito ni za wanaume.. wanawake hawakuumbwa kwa kazi ngumu kama hizi... Wanawake amkeni hizi kazi waachieni wanaume watumike .. in the long run kazi hizi zitavunja afya zenu.

    • @Sheba4651
      @Sheba4651 Год назад +2

      Wanadanganyana wapo Jihadi, mimi mwanaume sitaki kuteseka kusaka chakula changu cha siku, imenilazimu tu, Allah ameshapanga mja wake, natamani niishi kama niko peponi ila haiwezekani, sitaki kusukuma rikwama ama semitela.
      Inakuwaje tena wanawake wameumbwa watumikiwe, wanalala zege, maziwa magumu kama ubao, wanajiona wapambanaji, wanafurahia mateso. Hawajitambui.

    • @allytindigwa7647
      @allytindigwa7647 Год назад

      Hongera sana,na hongera kwa Familia hii.❤❤❤❤❤

  • @MdNasr-jm8pj
    @MdNasr-jm8pj Год назад +2

    Umejikaza my wanawake tusonge mbele Kwa maendeleo sio umbea😍

  • @nassirshaib6651
    @nassirshaib6651 Год назад +4

    Upo vizur mdogo wangu pambana usikate tamaa❤❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @daktari_mtangazaji
    @daktari_mtangazaji Год назад +8

    Kila hatuwa Dua, mungu akusimamie katika maisha yako.

    • @FatmaMohammed-ry8yo
      @FatmaMohammed-ry8yo Год назад +2

      Mashaallah tabarakallah Allah akulinde akuongoze natamani nami niendeshe

    • @daktari_mtangazaji
      @daktari_mtangazaji Год назад

      @@FatmaMohammed-ry8yoInawezekana ni kwenda kusoma tu

  • @ammam1513
    @ammam1513 3 месяца назад

    Mashalah mungu akuhifadhyy yarab❤

  • @officialshoty8436
    @officialshoty8436 Год назад +2

    Hongera sn best... Mungu akusimamie ktk kila hatua... Hakika unaweza... ❤❤

  • @sakinaamani1486
    @sakinaamani1486 Год назад +3

    Mungu akutangulie na akuepushe na wanao husudu in shaa Allah

  • @omarmuhunzi5612
    @omarmuhunzi5612 3 месяца назад

    Hongera ila angalia mbali sana, Europe kazi kama yako ni pesa ndefu. Fuatilia madere wa Tanzania wanao endesha gari ulaya utapata muongozo. Allah akusaidie inshaallah!

  • @Fear_Allah394
    @Fear_Allah394 Год назад +14

    Allah akupe kazi ya stara utakayostirika na utakayoeza kuvaa mavazi mazuri ya kiisilam, amiin

    • @zaytunhijja6771
      @zaytunhijja6771 Год назад +1

      Ovyooo

    • @mwigaadam1179
      @mwigaadam1179 Год назад

      Kwani hii sio ya stara au??

    • @thadeimatenga4397
      @thadeimatenga4397 Год назад +1

      Acha unyanyasaji wa kijinga.

    • @salyali7807
      @salyali7807 Год назад +3

      Nikweli kabisa.. kila kazi zina mipaka yake... kwa mwanamke kufanya kazi hizi ni kujidhalilisha tu na kuumizwa afya zao... wanawake amkeni hizi propaganda zinafanya wanawake kuwa slaves wa ulimwenguni

    • @sabihaibrahim143
      @sabihaibrahim143 Год назад

      ​@@thadeimatenga4397mhmm

  • @fababindawood8363
    @fababindawood8363 Год назад +1

    MASHA ALLAH NICE ALLAH AKUBARIK

  • @mrishotufu6859
    @mrishotufu6859 Год назад

    Wanawake nawakubali sana kwanza nimajasiri nimewaona wakimlinda ayati kadhafi walibia mungu amùweke mahalapema pepuni

  • @munalove450
    @munalove450 Год назад

    Mashaallah ukhuty sumy😘😘😍😍

  • @habibukabwanga4908
    @habibukabwanga4908 Год назад +1

    Hongera sana mama

  • @DaulatKhamis-wv8yg
    @DaulatKhamis-wv8yg 3 месяца назад

    Hongera sana dada allah alupe nguvu uzidinkufika mbele hongera sana

  • @TatuHamismtumbukaMtumbuka
    @TatuHamismtumbukaMtumbuka 3 месяца назад

    Nimeipenda hii

  • @MariamYahaya-m3h
    @MariamYahaya-m3h Год назад

    Mashaallah allah akudhidishie nakupe wepes zaidi katika kazi zko

  • @FatmaJuma-n4z
    @FatmaJuma-n4z Год назад +6

    Hongera xn sumaiya kwa kuwa mwanamke wa kwnza znz kuendesha gr kubwa allah akufnyie wps ktk maisha yko.

  • @melch3097
    @melch3097 Год назад +3

    KTV TZ, naomba mawasiliano yenu, for advertise, thanks

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Год назад

    Huyo ni mwanamke wa shoka mnyamwezi mnzanzibar mchapa kazi sanaaaa kweli utumwa ulikuwa mwingi sana ukawapa nguvu sana wanawake jeshi kubwa mungu amsaidie sana huyu mnyanwezi mnzanzibar

  • @aziza9093
    @aziza9093 Год назад +1

    Mwnamke huwamakini sana kwkilajambo Allah akulida

  • @NassoroHaji-i8k
    @NassoroHaji-i8k Год назад

    Maashaallah. Maashaallah maashaallah Baaraka llahu feek

  • @khadijauledi3293
    @khadijauledi3293 Год назад +1

    Hongera sana, umeshuka kwenye gari nimeona hujavaa viatu sahihi vya kuendesha gari, viatu vya kufunika, (UKUMBUSHO)

    • @firdaus7428
      @firdaus7428 Год назад

      Comfortable shoes is very important when you’re driving. Very good recommended.@Khadijauledi

  • @nooraomar2510
    @nooraomar2510 Год назад

    Maashaallah Allah akuzidishie kipaji chako

  • @kassimabu9420
    @kassimabu9420 7 месяцев назад

    Good job

  • @allywawete5769
    @allywawete5769 Год назад

    God job

  • @RajabuMchero
    @RajabuMchero 3 месяца назад

    Never give up

  • @hemednassor2362
    @hemednassor2362 10 месяцев назад

    mashAllah yuko vzur leo tu nimemuona na semitraler lake

  • @khamisjuma8501
    @khamisjuma8501 Год назад +4

    Good job my sister Salam zangu kutoka USA marekani

  • @charleskuyeko4400
    @charleskuyeko4400 Год назад +10

    Binti huyu namshauri atafute viza aende Canada akaombe kufanya kazi hiyo. Wapo Wanawake wengine Waafrika wanafanya kazi hiyo. Wanalipwa hela nyingi sana $40 kwa saa. Ni zaidi ya Sh.Milioni 20 kwa mwezi au sh.Milioni 5 kwa wiki. Wanalipa kwa wiki. Lakini kabla hajaenda huko ughaibuni anatakiwa aje huku bara atakutana na wanawake wenzake wengi wanaosafiri masafa narefu kama Congo. Rwanda, Zambia nk. Akishazoea hapa bara then aende zake Marekani au Canada. Nampongeza binti yetu huyo wa Kitanzania. Mungu ampe mwanga zaidi.

    • @malak-lz6kx
      @malak-lz6kx Год назад

      Wanalipwa hyo lkn pesa yote hio inaenda kwenye matumiz pakulala kula na huduma nyingi binaadam

    • @daktari_mtangazaji
      @daktari_mtangazaji Год назад

      @@malak-lz6kx😅😅😅 ndio lengo la kupata hela aty ili uweze kujikimu hizo zote haziwezi kuisha kwa icho unachosema wewe lazima itabakia ya save

    • @prosperintlwealthcompany8885
      @prosperintlwealthcompany8885 Год назад

    • @malak-lz6kx
      @malak-lz6kx Год назад

      @@daktari_mtangazaji 🤣🤣🤣

    • @sakinaamani1486
      @sakinaamani1486 Год назад

      Tena anatakiwa aondoke mara moja vile wame m expose asije akawa kama yule mma wakamkata mkono n wabaya baadhi ya wanadamu

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 Год назад +1

    Hongera mdada japo ni lidude la barabaran jitahid urushe ndege tena

  • @munaomar9532
    @munaomar9532 Год назад +2

    Allah akufanyie wepes pia usimame na mungu

  • @muhammadmagtuf714
    @muhammadmagtuf714 Год назад

    Allah atakujaalia mume wa kheri in shaallah biidni Allah ❤

  • @jebellwallace3509
    @jebellwallace3509 Год назад +1

    Big up

  • @eshasalim5496
    @eshasalim5496 Год назад

    Maa Shaa ALLAH, Tabaaraka ALLAH! ALLAH Akuhifadhi Ya Rabb. AMIIN

  • @hassanadam3007
    @hassanadam3007 Год назад

    Haile silas iko kila pahali❤❤❤

  • @arafamke
    @arafamke Год назад +1

    Masha Allah akukinge na husida my

  • @KIMALEX254
    @KIMALEX254 Год назад

    😊😊kenya ni kawaida ata ni wengi,

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Год назад

    Hongera sana mtoto wa kinyanwezi wa zanzibar kweli watu wa bara wanawake wa bara wanafanya kazi kubwa sana ungekuws mwanamke wa kiarabu halisi usingeweza wengi wao laini laini

    • @AlyadamMazruy
      @AlyadamMazruy Год назад

      Ss uarabu na unyamwez umetoka wp Hapo

    • @malak-lz6kx
      @malak-lz6kx Год назад

      Sio tatizo hlo vo tatizo ss waume zetu wanajua wajibu wao uyo engelikua ana mume wakumtunza kiislamu hta ilo gar asengeliendesha lkn maisha yamemfanya hvo kuwa ulaini sasa hpo tuwe bamba la kobe au

  • @bosskaree49
    @bosskaree49 Год назад

    Allah akufanyie wepes katika kazi zako

  • @nassorphamadi6065
    @nassorphamadi6065 Год назад

    Nice good job

  • @scoutpwanimchangani6711
    @scoutpwanimchangani6711 Год назад +1

    Ni kweli sio maderava hawajasoma. Bali ni uderava ni kazi kama kazi nyengine

  • @FatmaLophy
    @FatmaLophy Год назад +1

    Allah akusimamie kipenz akulinde na Kila baya 🙏

  • @greysonsanga
    @greysonsanga Год назад

    The hero women congrats

  • @asalkhan9168
    @asalkhan9168 Год назад +1

    Hongera dada mi naona huku nilipo wanawake wanaendesha mabasi makubwa na magari ya mizigo

  • @omarfauz1877
    @omarfauz1877 Год назад

    Hongera allah akupe wepesi

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor7847 Год назад

    Mashalla Allah ❤

  • @ahmedbaamironlinetv4753
    @ahmedbaamironlinetv4753 Год назад +3

    Congratulations ❤🎉🎉🎉

  • @AaAa-vm8bb
    @AaAa-vm8bb Год назад

    Hongera sana Sumeiyah kwa ujasiri mkubwa Allah akupe Imani na ujasiri wa hali ya juu zaidi sasa wewe hutaki kuomba kijora kwa mume wako yeye jee akiomba kikoi utamnunulia?😂😂

  • @fauzenkassim8424
    @fauzenkassim8424 Год назад

    Mashaallah 🥰 pambana Allah atakusaidia inshaAllah 🤲

  • @salummzee9739
    @salummzee9739 Год назад +6

    Maisha popote ndugu yng ajira ya sasa ujiripua popote penye uhalali tu jitahidi utatimiza ndoto zako life it's performances it's gose rass

  • @dullahmuhamed3781
    @dullahmuhamed3781 Год назад

    Kila laheri kwakweli mungu akutangulie suiya

  • @nadiaali9147
    @nadiaali9147 Год назад +1

    Mashaallah ❤

  • @abubakaradnan4689
    @abubakaradnan4689 Год назад

    Sio kweli sio mzanzibar ila ameishi sana Zanzibar na kama utamsikiliza kwa makini kiswahili chake kinatafauti baadhi ya maneno.

  • @DenisMujungu
    @DenisMujungu Год назад

    Safi sana dada pambana hiyo ni kazi kama kazi zingine mungu akubariki

  • @neemamasudi7988
    @neemamasudi7988 Год назад

    Ongera sana

  • @MtotowaMama-s7t
    @MtotowaMama-s7t Год назад

    tunaweza hongera

  • @nasibmbuguni5613
    @nasibmbuguni5613 Год назад

    Dada hongera sana pambana na maisha vizuri sana

  • @ibra.mstudingfile8584
    @ibra.mstudingfile8584 Год назад

    Mashallah kijana mpambnaji
    Mume nipo hapa 😊😊

  • @wardajumaa1272
    @wardajumaa1272 Год назад +1

    Mungu akusaidie dada

  • @MohamedOmary-s9n
    @MohamedOmary-s9n Год назад

    Mashaallaah my sister. Uko vinzuri mungu akubariki sana 🙏

  • @fifo262
    @fifo262 Год назад +1

    Hongera my ❤

  • @jumamnemo8383
    @jumamnemo8383 Год назад

    Magari ya aina hiyo kweli yalikuwa hayapo hapa Zanzibar lakini wapo waliokuwa wanaendesha Malori kama Bi Sada Ibrahim Makungu.

  • @ahmedbambo2673
    @ahmedbambo2673 Год назад +2

    mungu akusimamie katika ndoto yako dada

  • @bintqassimidarous1636
    @bintqassimidarous1636 Год назад +1

    Kwa Zanzibar mageni lakini kwa huku ulaya wanawake wanaendesha hadi ma train 🚊 tax na kila kitu

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 Год назад +1

    Nimesoma nae chuo cha udereva mbweni znz
    Tulikuwa tunafanya try pamoja
    Ana vituko uyoo

  • @josephsureeliajosephmion9997
    @josephsureeliajosephmion9997 Год назад

    Right

  • @saidwayawaya5356
    @saidwayawaya5356 Год назад

    Hongera sana my sister

  • @rasjamal9854
    @rasjamal9854 Год назад

    Mashallah Maisha kujiamini na kuto kataa tamaa❤

  • @MwanaishaHemed-xi6rj
    @MwanaishaHemed-xi6rj Год назад

    Hongera sana piga kazi maisha magumu

  • @mohddelo
    @mohddelo Год назад

    Hongra sana umeweka historia ya zanzibar

  • @salhkasmm558
    @salhkasmm558 Год назад

    Hay maisha hatujayazoweya waznz lakini nikawaida kwa nchi nyengine inatemea nguvu yako na akili yako piga kazi mazali halali

  • @ZamdaMisembe
    @ZamdaMisembe Год назад

    Mashallah 🙏 chamsingi kaz iwe ya Halali

  • @shamsahaji6202
    @shamsahaji6202 Год назад

    No.. mwanammke wa kwanza kuendesha lorry ni bi njiwa jamani.huyo atakua wa pili. Tunakuombea kila la kheri sist...Allah akulinde.

  • @samsungoman5626
    @samsungoman5626 Год назад

    Maashallah

  • @muhammedislam4875
    @muhammedislam4875 Год назад

    Ktv tz niliwamiss

  • @JudahFrank-pc7yc
    @JudahFrank-pc7yc 18 дней назад

    one day nimoja ya matamanio yang inshaalh

  • @khadijajuma7873
    @khadijajuma7873 Год назад +1

    Ongea kizenja bana. Onaongea kishua sana😊

  • @aminsnassibu8748
    @aminsnassibu8748 Год назад +1

    ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @lacksonnyika3770
    @lacksonnyika3770 Год назад

    Good fighting

  • @MasnamussaPp
    @MasnamussaPp Год назад

    Fanya kz dd usiogipe maneno ya watu,jitume kwa jitihada zaidi

  • @scoutpwanimchangani6711
    @scoutpwanimchangani6711 Год назад +2

    Ni kweli sio kama Kila dereva Hana elimu. Ukweli haya ni maamuzi tunya mtu.

  • @nassorphamadi6065
    @nassorphamadi6065 Год назад

    Please tunatak chuo cha uderev wa track apo zanzibar

  • @utaani1
    @utaani1 Год назад

    Mwanamke ambae ana income hata ndogo humuwezi kwenye ndoa. Mimi yashanikuta si kama nimesikia . Nawaonya wanaume ambao wanataka mwanamke mwenye income. Mwanamke hata kama ana income basi income yake hatodaidia chochote ndani ya nyumba na mwisho hata muda wake atakuwa hakupi ataanza dharau kibri jeuri na haki yako ya ndoa mume atakuwa hakupi

  • @MweveRobert
    @MweveRobert 3 месяца назад

    Mtangazaji nipe namba ya uyo dd dereva

  • @jojigeorige1056
    @jojigeorige1056 Год назад

    Go to Saudi Arabia....

  • @TatoAme
    @TatoAme Год назад

    Najikuta napata nguv ya kupambana 😂

  • @SurprisedDrill-ky9fi
    @SurprisedDrill-ky9fi 7 месяцев назад

    Hondera sana ila kama kuna uwezekano hio gari yako badilisha hilo jina la mbele(MAN)

  • @husnamohamed9245
    @husnamohamed9245 Год назад +1

    Wanawake wakizanzibari kazaneni mufanye kazi msikae tu mume lete. Pesa yako Ingraham zaidi kuliko ya kugaiwa.

    • @fifo262
      @fifo262 Год назад +1

      Acha ujinga wewe

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Год назад +1

      ​@@fifo262UJINGA WAKE NINI??

    • @abdulhamidmusa8962
      @abdulhamidmusa8962 Год назад +1

      @@salimmalaka256 haya mambo yanaharibu sana jamii ..hasa ya kislamu na tatizo linaanzia kwenye wanaume kuwajibika na kuwapa haki zao ....io nia aibu sana.

    • @Sheba4651
      @Sheba4651 Год назад +1

      Mwehu wewe.
      Unaona kutoka mapema alfajiri kutafuta kibarua ndio maisha ya peponi?

    • @malak-lz6kx
      @malak-lz6kx Год назад +1

      Alhmdullah mumewng anajua wajib kwa mungu wke mwanamke anafanya kaz lkn sio hzi . Alafu wanaume wakiwatesa kimaisha mnaonewa kumbe mnapenda

  • @melch3097
    @melch3097 Год назад +1

    Welldone sister natamani kukwajili kwenye magari yangu.

  • @mchawaamanmchawa593
    @mchawaamanmchawa593 Год назад

    Hongera ila usilewe sifa

  • @zuhura.suleimanmwamwari3083
    @zuhura.suleimanmwamwari3083 Год назад

    Kenyani jambo la kawaida hongera

  • @shuraimabbasi-g9f
    @shuraimabbasi-g9f Год назад

    KTV TZ nawez kupata nmb yenuu au nmb ya huyu derev sumaiya