Just like any other job Sumaiya. Take it the way it is. I really admire your confidence and personality. Kenyans loves you. Watching from Tucson Arizona UNITED KINGDOM
This is abusing to women.. there is nothing to congratulate you should feel sorry for her... she's been brainwashed and now she works like a .... may Allah guide her
Hii ni kudhalilisha wanawake.. hizi kazi nzito ni za wanaume.. wanawake hawakuumbwa kwa kazi ngumu kama hizi... Wanawake amkeni hizi kazi waachieni wanaume watumike .. in the long run kazi hizi zitavunja afya zenu.
Hongera ila angalia mbali sana, Europe kazi kama yako ni pesa ndefu. Fuatilia madere wa Tanzania wanao endesha gari ulaya utapata muongozo. Allah akusaidie inshaallah!
Nikweli kabisa.. kila kazi zina mipaka yake... kwa mwanamke kufanya kazi hizi ni kujidhalilisha tu na kuumizwa afya zao... wanawake amkeni hizi propaganda zinafanya wanawake kuwa slaves wa ulimwenguni
Huyo ni mwanamke wa shoka mnyamwezi mnzanzibar mchapa kazi sanaaaa kweli utumwa ulikuwa mwingi sana ukawapa nguvu sana wanawake jeshi kubwa mungu amsaidie sana huyu mnyanwezi mnzanzibar
Binti huyu namshauri atafute viza aende Canada akaombe kufanya kazi hiyo. Wapo Wanawake wengine Waafrika wanafanya kazi hiyo. Wanalipwa hela nyingi sana $40 kwa saa. Ni zaidi ya Sh.Milioni 20 kwa mwezi au sh.Milioni 5 kwa wiki. Wanalipa kwa wiki. Lakini kabla hajaenda huko ughaibuni anatakiwa aje huku bara atakutana na wanawake wenzake wengi wanaosafiri masafa narefu kama Congo. Rwanda, Zambia nk. Akishazoea hapa bara then aende zake Marekani au Canada. Nampongeza binti yetu huyo wa Kitanzania. Mungu ampe mwanga zaidi.
Hongera sana mtoto wa kinyanwezi wa zanzibar kweli watu wa bara wanawake wa bara wanafanya kazi kubwa sana ungekuws mwanamke wa kiarabu halisi usingeweza wengi wao laini laini
Sio tatizo hlo vo tatizo ss waume zetu wanajua wajibu wao uyo engelikua ana mume wakumtunza kiislamu hta ilo gar asengeliendesha lkn maisha yamemfanya hvo kuwa ulaini sasa hpo tuwe bamba la kobe au
Hongera sana Sumeiyah kwa ujasiri mkubwa Allah akupe Imani na ujasiri wa hali ya juu zaidi sasa wewe hutaki kuomba kijora kwa mume wako yeye jee akiomba kikoi utamnunulia?😂😂
Mwanamke ambae ana income hata ndogo humuwezi kwenye ndoa. Mimi yashanikuta si kama nimesikia . Nawaonya wanaume ambao wanataka mwanamke mwenye income. Mwanamke hata kama ana income basi income yake hatodaidia chochote ndani ya nyumba na mwisho hata muda wake atakuwa hakupi ataanza dharau kibri jeuri na haki yako ya ndoa mume atakuwa hakupi
@@salimmalaka256 haya mambo yanaharibu sana jamii ..hasa ya kislamu na tatizo linaanzia kwenye wanaume kuwajibika na kuwapa haki zao ....io nia aibu sana.
Just like any other job Sumaiya. Take it the way it is. I really admire your confidence and personality. Kenyans loves you. Watching from Tucson Arizona UNITED KINGDOM
This is abusing to women.. there is nothing to congratulate you should feel sorry for her... she's been brainwashed and now she works like a .... may Allah guide her
Hongera sn Sumayya... Mungu akusimamie ktk kila hatua... Hakika unaweza... ❤❤
Nimependa Xn iyo Yani yani hata unavyo ongea unaongea kwakujiamini xf Xn
Mashallah mungu azid kukupa kipaji akuondoshee husda z walimweng
Nakukubali sana dada ang❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ P1 san
Na unga mkono wanawake wote wanao kutoa na kuto kujali jinsi a. Nakupenda wewe. Wanawake tunaweza tu kujiamini na kupewa chance.
Hongera dada.
Dereva sumaia nimekubali mwanafunzi mwezaku❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mashaallah Mashaallah ❤ m/mungu akulinde na kila balaaaa
Wazanzibar ni wachapa kazi simunamuona na mama samia
Hii ni kudhalilisha wanawake.. hizi kazi nzito ni za wanaume.. wanawake hawakuumbwa kwa kazi ngumu kama hizi... Wanawake amkeni hizi kazi waachieni wanaume watumike .. in the long run kazi hizi zitavunja afya zenu.
Wanadanganyana wapo Jihadi, mimi mwanaume sitaki kuteseka kusaka chakula changu cha siku, imenilazimu tu, Allah ameshapanga mja wake, natamani niishi kama niko peponi ila haiwezekani, sitaki kusukuma rikwama ama semitela.
Inakuwaje tena wanawake wameumbwa watumikiwe, wanalala zege, maziwa magumu kama ubao, wanajiona wapambanaji, wanafurahia mateso. Hawajitambui.
Hongera sana,na hongera kwa Familia hii.❤❤❤❤❤
Umejikaza my wanawake tusonge mbele Kwa maendeleo sio umbea😍
Upo vizur mdogo wangu pambana usikate tamaa❤❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Kila hatuwa Dua, mungu akusimamie katika maisha yako.
Mashaallah tabarakallah Allah akulinde akuongoze natamani nami niendeshe
@@FatmaMohammed-ry8yoInawezekana ni kwenda kusoma tu
Mashalah mungu akuhifadhyy yarab❤
Hongera sn best... Mungu akusimamie ktk kila hatua... Hakika unaweza... ❤❤
Mungu akutangulie na akuepushe na wanao husudu in shaa Allah
Hongera ila angalia mbali sana, Europe kazi kama yako ni pesa ndefu. Fuatilia madere wa Tanzania wanao endesha gari ulaya utapata muongozo. Allah akusaidie inshaallah!
Allah akupe kazi ya stara utakayostirika na utakayoeza kuvaa mavazi mazuri ya kiisilam, amiin
Ovyooo
Kwani hii sio ya stara au??
Acha unyanyasaji wa kijinga.
Nikweli kabisa.. kila kazi zina mipaka yake... kwa mwanamke kufanya kazi hizi ni kujidhalilisha tu na kuumizwa afya zao... wanawake amkeni hizi propaganda zinafanya wanawake kuwa slaves wa ulimwenguni
@@thadeimatenga4397mhmm
MASHA ALLAH NICE ALLAH AKUBARIK
Wanawake nawakubali sana kwanza nimajasiri nimewaona wakimlinda ayati kadhafi walibia mungu amùweke mahalapema pepuni
Mashaallah ukhuty sumy😘😘😍😍
Hongera sana mama
Hongera sana dada allah alupe nguvu uzidinkufika mbele hongera sana
Nimeipenda hii
Mashaallah allah akudhidishie nakupe wepes zaidi katika kazi zko
Hongera xn sumaiya kwa kuwa mwanamke wa kwnza znz kuendesha gr kubwa allah akufnyie wps ktk maisha yko.
KTV TZ, naomba mawasiliano yenu, for advertise, thanks
Huyo ni mwanamke wa shoka mnyamwezi mnzanzibar mchapa kazi sanaaaa kweli utumwa ulikuwa mwingi sana ukawapa nguvu sana wanawake jeshi kubwa mungu amsaidie sana huyu mnyanwezi mnzanzibar
Mwnamke huwamakini sana kwkilajambo Allah akulida
Maashaallah. Maashaallah maashaallah Baaraka llahu feek
Hongera sana, umeshuka kwenye gari nimeona hujavaa viatu sahihi vya kuendesha gari, viatu vya kufunika, (UKUMBUSHO)
Comfortable shoes is very important when you’re driving. Very good recommended.@Khadijauledi
Maashaallah Allah akuzidishie kipaji chako
Good job
God job
Never give up
mashAllah yuko vzur leo tu nimemuona na semitraler lake
Good job my sister Salam zangu kutoka USA marekani
Binti huyu namshauri atafute viza aende Canada akaombe kufanya kazi hiyo. Wapo Wanawake wengine Waafrika wanafanya kazi hiyo. Wanalipwa hela nyingi sana $40 kwa saa. Ni zaidi ya Sh.Milioni 20 kwa mwezi au sh.Milioni 5 kwa wiki. Wanalipa kwa wiki. Lakini kabla hajaenda huko ughaibuni anatakiwa aje huku bara atakutana na wanawake wenzake wengi wanaosafiri masafa narefu kama Congo. Rwanda, Zambia nk. Akishazoea hapa bara then aende zake Marekani au Canada. Nampongeza binti yetu huyo wa Kitanzania. Mungu ampe mwanga zaidi.
Wanalipwa hyo lkn pesa yote hio inaenda kwenye matumiz pakulala kula na huduma nyingi binaadam
@@malak-lz6kx😅😅😅 ndio lengo la kupata hela aty ili uweze kujikimu hizo zote haziwezi kuisha kwa icho unachosema wewe lazima itabakia ya save
@@daktari_mtangazaji 🤣🤣🤣
Tena anatakiwa aondoke mara moja vile wame m expose asije akawa kama yule mma wakamkata mkono n wabaya baadhi ya wanadamu
Hongera mdada japo ni lidude la barabaran jitahid urushe ndege tena
Allah akufanyie wepes pia usimame na mungu
Allah atakujaalia mume wa kheri in shaallah biidni Allah ❤
Big up
Maa Shaa ALLAH, Tabaaraka ALLAH! ALLAH Akuhifadhi Ya Rabb. AMIIN
Haile silas iko kila pahali❤❤❤
Masha Allah akukinge na husida my
😊😊kenya ni kawaida ata ni wengi,
Hongera sana mtoto wa kinyanwezi wa zanzibar kweli watu wa bara wanawake wa bara wanafanya kazi kubwa sana ungekuws mwanamke wa kiarabu halisi usingeweza wengi wao laini laini
Ss uarabu na unyamwez umetoka wp Hapo
Sio tatizo hlo vo tatizo ss waume zetu wanajua wajibu wao uyo engelikua ana mume wakumtunza kiislamu hta ilo gar asengeliendesha lkn maisha yamemfanya hvo kuwa ulaini sasa hpo tuwe bamba la kobe au
Allah akufanyie wepes katika kazi zako
Nice good job
Ni kweli sio maderava hawajasoma. Bali ni uderava ni kazi kama kazi nyengine
Allah akusimamie kipenz akulinde na Kila baya 🙏
The hero women congrats
Hongera dada mi naona huku nilipo wanawake wanaendesha mabasi makubwa na magari ya mizigo
Hongera allah akupe wepesi
Mashalla Allah ❤
Congratulations ❤🎉🎉🎉
Hongera sana Sumeiyah kwa ujasiri mkubwa Allah akupe Imani na ujasiri wa hali ya juu zaidi sasa wewe hutaki kuomba kijora kwa mume wako yeye jee akiomba kikoi utamnunulia?😂😂
Mashaallah 🥰 pambana Allah atakusaidia inshaAllah 🤲
Maisha popote ndugu yng ajira ya sasa ujiripua popote penye uhalali tu jitahidi utatimiza ndoto zako life it's performances it's gose rass
Kila laheri kwakweli mungu akutangulie suiya
Mashaallah ❤
Sio kweli sio mzanzibar ila ameishi sana Zanzibar na kama utamsikiliza kwa makini kiswahili chake kinatafauti baadhi ya maneno.
Safi sana dada pambana hiyo ni kazi kama kazi zingine mungu akubariki
Ongera sana
tunaweza hongera
Dada hongera sana pambana na maisha vizuri sana
Mashallah kijana mpambnaji
Mume nipo hapa 😊😊
😂mume wewe kwio???😂😂😂
Mungu akusaidie dada
Mashaallaah my sister. Uko vinzuri mungu akubariki sana 🙏
Hongera my ❤
Magari ya aina hiyo kweli yalikuwa hayapo hapa Zanzibar lakini wapo waliokuwa wanaendesha Malori kama Bi Sada Ibrahim Makungu.
mungu akusimamie katika ndoto yako dada
Kwa Zanzibar mageni lakini kwa huku ulaya wanawake wanaendesha hadi ma train 🚊 tax na kila kitu
Nimesoma nae chuo cha udereva mbweni znz
Tulikuwa tunafanya try pamoja
Ana vituko uyoo
Right
Hongera sana my sister
Mashallah Maisha kujiamini na kuto kataa tamaa❤
Hongera sana piga kazi maisha magumu
Hongra sana umeweka historia ya zanzibar
Hay maisha hatujayazoweya waznz lakini nikawaida kwa nchi nyengine inatemea nguvu yako na akili yako piga kazi mazali halali
Mashallah 🙏 chamsingi kaz iwe ya Halali
No.. mwanammke wa kwanza kuendesha lorry ni bi njiwa jamani.huyo atakua wa pili. Tunakuombea kila la kheri sist...Allah akulinde.
Maashallah
Ktv tz niliwamiss
one day nimoja ya matamanio yang inshaalh
Ongea kizenja bana. Onaongea kishua sana😊
Anaongea kiswahili fasaha
❤❤❤❤❤❤❤❤
Good fighting
Fanya kz dd usiogipe maneno ya watu,jitume kwa jitihada zaidi
Ni kweli sio kama Kila dereva Hana elimu. Ukweli haya ni maamuzi tunya mtu.
Please tunatak chuo cha uderev wa track apo zanzibar
Mwanamke ambae ana income hata ndogo humuwezi kwenye ndoa. Mimi yashanikuta si kama nimesikia . Nawaonya wanaume ambao wanataka mwanamke mwenye income. Mwanamke hata kama ana income basi income yake hatodaidia chochote ndani ya nyumba na mwisho hata muda wake atakuwa hakupi ataanza dharau kibri jeuri na haki yako ya ndoa mume atakuwa hakupi
Mtangazaji nipe namba ya uyo dd dereva
Go to Saudi Arabia....
Najikuta napata nguv ya kupambana 😂
Hondera sana ila kama kuna uwezekano hio gari yako badilisha hilo jina la mbele(MAN)
Wanawake wakizanzibari kazaneni mufanye kazi msikae tu mume lete. Pesa yako Ingraham zaidi kuliko ya kugaiwa.
Acha ujinga wewe
@@fifo262UJINGA WAKE NINI??
@@salimmalaka256 haya mambo yanaharibu sana jamii ..hasa ya kislamu na tatizo linaanzia kwenye wanaume kuwajibika na kuwapa haki zao ....io nia aibu sana.
Mwehu wewe.
Unaona kutoka mapema alfajiri kutafuta kibarua ndio maisha ya peponi?
Alhmdullah mumewng anajua wajib kwa mungu wke mwanamke anafanya kaz lkn sio hzi . Alafu wanaume wakiwatesa kimaisha mnaonewa kumbe mnapenda
Welldone sister natamani kukwajili kwenye magari yangu.
😂😂
Hongera ila usilewe sifa
Kenyani jambo la kawaida hongera
KTV TZ nawez kupata nmb yenuu au nmb ya huyu derev sumaiya
0717 619834