- Видео 4 671
- Просмотров 66 916 937
KTV TZ ONLINE
Танзания
Добавлен 2 июл 2017
KWA HABARI, VISA NA MIKASA, MAKALA, VIDEOS NA VIPINDI TOFAUTI TOFAUTI
KTV TZ ONLINE ni channel ambayo imejipanga kukuletea habari, makala, na vipindi tofauti! moja kwa moja kwa uelezi mzuri
Subscribe sasa ili upate Taarifa na mambo mengi mazuri.
Our vision is to offer a wide range of programmes consisting of both international and local News content,Documentaries and live event coverage.
KTV TZ ONLINE ni channel ambayo imejipanga kukuletea habari, makala, na vipindi tofauti! moja kwa moja kwa uelezi mzuri
Subscribe sasa ili upate Taarifa na mambo mengi mazuri.
Our vision is to offer a wide range of programmes consisting of both international and local News content,Documentaries and live event coverage.
RAIS MWINYI AIBUWA MATUMAINI MAPYA, SMZ KUTOA PESA NYINGI KWA HIJJA "KUNA KASORO SEHEMU"
RAIS wa ZanIbar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali itatoa kiasi cha Dolla za Kimarekani miliioni 12 kuziba pengo la Ukosefu wa fedha za kigeni linalojitokeza wakati wa kuwasafirisha Mahujaji kipindi cha utekelezaji wa Ibada ya Hijja.
Alhaj Dk. Mwinyi ametoa tamko hilo leo tarehe 05 Sept 2024, Viwanja vya Ikulu, Zanzibar kwenye Mkutano wa tathmini ya Ibada ya Hijja iliopita uliowajumuisha Watendaji wa Taasisi za Hijja nchini.
Alhaj Dk. Mwinyi amefahamisha kuwa Serikali itahakikisha tatizo hilo halitakuwepo tena kwa lengo la kuandaa mazingira bora kwa Mahujaji.
Aidha, Dk. Mwinyi amezitaka Kamisheni ya Wakfu na Mali ya Amana Zanzibar na Baraza la Waisla...
Alhaj Dk. Mwinyi ametoa tamko hilo leo tarehe 05 Sept 2024, Viwanja vya Ikulu, Zanzibar kwenye Mkutano wa tathmini ya Ibada ya Hijja iliopita uliowajumuisha Watendaji wa Taasisi za Hijja nchini.
Alhaj Dk. Mwinyi amefahamisha kuwa Serikali itahakikisha tatizo hilo halitakuwepo tena kwa lengo la kuandaa mazingira bora kwa Mahujaji.
Aidha, Dk. Mwinyi amezitaka Kamisheni ya Wakfu na Mali ya Amana Zanzibar na Baraza la Waisla...
Просмотров: 479
Видео
KATIKA MIRADI HII ZNZ JE WAZEE WAMEZINGATIWA ? WAZIRI AFUNGUKA ALICHOBAINI
Просмотров 1877 часов назад
Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote. Follow Ktv Tz Online Facebook | KTV TZ ONLINE INSTAGRAM |@ktv_tz_online Wasiliana nasi kupitia number 255 717 619 834 Ktv Tz Online Journalists cc: Sadia Rashid cc: Sauti Byego Camera Department" Dadi Ali Omar (OJ) Nassor Shaibu Abdallah Juma Editors: Juma Maulid Dadi Ali Video Zingine: Angalia hapa - Diamond Pla...
RAIS MWINYI AFIKA MWENYEWE TUMBATU LEO NA KUWAAMBIA KAULI HIZI ZA MATUMAINI
Просмотров 6 тыс.9 часов назад
Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote. Follow Ktv Tz Online Facebook | KTV TZ ONLINE INSTAGRAM |@ktv_tz_online Wasiliana nasi kupitia number 255 717 619 834 Ktv Tz Online Journalists cc: Sadia Rashid cc: Sauti Byego Camera Department" Dadi Ali Omar (OJ) Nassor Shaibu Abdallah Juma Editors: Juma Maulid Dadi Ali Video Zingine: Angalia hapa - Diamond Pla...
SIKU YA WAZEE WOTE KUKUTANISHWA PEMBA NDIO HII l WENGINE KUTOKA UNGUJA
Просмотров 2399 часов назад
Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote. Follow Ktv Tz Online Facebook | KTV TZ ONLINE INSTAGRAM |@ktv_tz_online Wasiliana nasi kupitia number 255 717 619 834 Ktv Tz Online Journalists cc: Sadia Rashid cc: Sauti Byego Camera Department" Dadi Ali Omar (OJ) Nassor Shaibu Abdallah Juma Editors: Juma Maulid Dadi Ali Video Zingine: Angalia hapa - Diamond Pla...
KWANINI ZANZIBAR INAANZISHA BIMA YA LAZIMA KWA WAGENI?
Просмотров 2,5 тыс.День назад
Zanzibar inatarajia kuanzisha bima ya lazima ya usafiri (Inbound Travel Insurance) kwa wageni wote wanaoingia nchini, kuanzia Oktoba 1, 2024. Katika makala hii, tunachambua umuhimu wa sera hii, faida zake kwa watalii. #TravelInsurance #Zanzibar #InboundInsurance #BimaYaSafari #SafariSalama #Zanzibar2024 Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote. Follow Kt...
RAIS MWINYI ABAINISHA UTARATIBU MPYA WA MIKOPO ZANZIBAR, 4.4.2
Просмотров 1,6 тыс.14 дней назад
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Yatekeleza Mikakati ya Uwezeshaji wa Wananchi Kiuchumi Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imeeleza mafanikio katika utekelezaji wa mikakati ya kuwawezesha wananchi kiuchumi kwa kujenga masoko katika Mamlaka zote za Serikali za Mitaa, Unguja na Pemba. Pamoja na ujenzi unaoendelea wa masoko mengine makubwa katika Mkoa wa Mjini Magharibi, serikali inalenga kuboresh...
PEMBA' YABAINIKA INA MADINI MAZITO, UTAJIRI NJE NJE, RIPOTI INASEMA
Просмотров 18 тыс.21 день назад
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, ametoa agizo kwa sekta zote zilizohusishwa kwenye Ripoti ya Jiolojia na Utafiti wa Madini kushirikiana na Wizara ya Maji, Nishati, na Madini ili kuifanyia kazi ripoti hiyo. Dk. Mwinyi alisisitiza kuwa matumizi sahihi ya ripoti hiyo yataleta tija kwa taifa kwa kuongeza uwekezaji, ajira, na ulinzi dhidi ya maafa. Akizu...
ACT WAZALENDO WAFUNGUKA SABABU ZA KUTANGAZA BARAZA LAKE KIVULI Z"BAR l "MUUNGANO/HAKI/USALAMA"
Просмотров 1,5 тыс.Месяц назад
Mwenyekiti wa Chama cha ACT -Wazalendo taifa. Othman Masoud Othman, ametangaza rasmi Baraza kivuli la Mawaziri litakalosimamia utendaji wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar lenye Wasemaji wa Kisekta katika jumla ya maeneo 16 ambapo litafanyakazi kwa upande wa Zanzibar. Othman ametangaza Baraza hilo katika mkutano maalum na vyombo vya habari huko katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Kiembe Sa...
ONA INDONESIA YAMSHANGAZA RAIS MWINYI l MAMBO YAO MAKUBWA
Просмотров 502Месяц назад
Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote. Follow Ktv Tz Online Facebook | KTV TZ ONLINE INSTAGRAM |@ktv_tz_online Wasiliana nasi kupitia number 255 717 619 834 Ktv Tz Online Journalists cc: Sadia Rashid cc: Sauti Byego Camera Department" Dadi Ali Omar (OJ) Nassor Shaibu Abdallah Juma Editors: Juma Maulid Dadi Ali Video Zingine: Angalia hapa - Diamond Pla...
WANAWAKE WANAO INGILIWA KINYUME NA MAUMBILE ZANZIBAR l SHERIA KUWABANA
Просмотров 3,1 тыс.Месяц назад
WANAOKUBALI KUINGILIWA KINYUME NA MAUMBILE WANA MAKOSA. Wakili na Mwanasheria wa Jeshi la Polisi Tanzania Kamisheni ya Zanzibar Mkaguzi Msaidizi SADIK ALI SULTAN amesema wanaokubali kuingiliwa kinyume na maumbile wana makosa kwa mujibu wa Sheria na wanastahiki kushtakiwa na hatimae kufungwa kutumia adhabu ya makosa yao. Akitoa elimu ya kupinga vitendo vya udhalilishaji huko Kinyasini Wilaya ya ...
RAIS MWINYI AFUNGUKA KUHUSU ISHU YA MAFUTA NA GESI, ZNZ ITASHIRIKIANA NA INDONESIA
Просмотров 637Месяц назад
Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote. Follow Ktv Tz Online Facebook | KTV TZ ONLINE INSTAGRAM |@ktv_tz_online Wasiliana nasi kupitia number 255 717 619 834 Ktv Tz Online Journalists cc: Sadia Rashid cc: Sauti Byego Camera Department" Dadi Ali Omar (OJ) Nassor Shaibu Abdallah Juma Editors: Juma Maulid Dadi Ali Video Zingine: Angalia hapa - Diamond Pla...
RAIS MWINYI AGUSWA NA KILIO NA MAISHA DUNI WALIMU WA MADRASA ATOA MAAGIZO YAFANYIWE KAZI
Просмотров 1,2 тыс.Месяц назад
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Al hajj Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema kuna haja kwa Serikali kuangalia kwa karibu miundombinu duni ya madrasa, maslahi ya walimu wa madrasa na maimamu wa misikitini. Al hajj Dk. Mwinyi, aliyasema hayo Ikulu, Zanzibar kwenye mazungumzo na viongozi wakuu na wajumbe wa Baraza la Ulamaa Zanzibar waliofika kumtembelea. Amesema, miundombinu ya m...
PEMBA YAANDIKA HISTORIA MPYA, RAIS MWINYI ATOA UFADHILI NA AHADI TELE KUZITEKELEZA
Просмотров 1,1 тыс.Месяц назад
Rais wa Zanzibar, Dk. Hussein Ali Mwinyi, ameahidi kuwa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) itaendelea kuwapa motisha wanafunzi waliofanya vizuri kwa kuwazawadia laptop na fedha taslimu kila mwaka. Pia ameahidi kuwafadhili wanafunzi 60 waliofaulu kwa daraja la kwanza katika kidato cha sita kutoka Unguja na Pemba ili waendelee na masomo ya shahada ya kwanza. Rais Mwinyi alisisitiza kuwa Seri...
TAMKO ZITO LA JESHI LA POLISI Z'BAR KWA WANASIASA "KUVUANA NGUO HADHARANI"
Просмотров 1,3 тыс.Месяц назад
Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote. Follow Ktv Tz Online Facebook | KTV TZ ONLINE INSTAGRAM |@ktv_tz_online Wasiliana nasi kupitia number 255 717 619 834 Ktv Tz Online Journalists cc: Sadia Rashid cc: Sauti Byego Camera Department" Dadi Ali Omar (OJ) Nassor Shaibu Abdallah Juma Editors: Juma Maulid Dadi Ali Video Zingine: Angalia hapa - Diamond Pla...
ULIPAJI WA ADA ZA SKULI WABORESHWA ZNZ NA TIGO ZANTEL NA ZMOTION.
Просмотров 168Месяц назад
Katika jitihada za kuboresha mifumo ya elimu na kurahisisha mchakato wa ulipaji ada kwa wazazi na walezi, Kampuni ya Tigo Zantel kwa kushirikiana na ZMotion wameendesha mafunzo ya siku moja kwa wamiliki na wakurugenzi wa skuli binafsi za Zanzibar. Mafunzo haya yalilenga kuwafundisha washiriki juu ya utumiaji wa mfumo mpya wa ufuatiliaji na ulipaji wa ada wa 'LIPA ADA'. Mafunzo hayo yamefanyika ...
KINACHOFANYIKA Z'BAR RAIS MWINYI ACHUKIZWA NACHO "VITA HAIANZI NA BUNDUKI"
Просмотров 396Месяц назад
KINACHOFANYIKA Z'BAR RAIS MWINYI ACHUKIZWA NACHO "VITA HAIANZI NA BUNDUKI"
RAIS MWINYI AONYA KUHUSU HATARI KWA VIJANA, l SERIKALI YATENGA BILIONI 31.8 KUWASAIDIA.
Просмотров 318Месяц назад
RAIS MWINYI AONYA KUHUSU HATARI KWA VIJANA, l SERIKALI YATENGA BILIONI 31.8 KUWASAIDIA.
RC AYOUB' AANZA AMSHA, AMSHA KUSINI l WAWEKEZAJI WAFUNGUKA
Просмотров 128Месяц назад
RC AYOUB' AANZA AMSHA, AMSHA KUSINI l WAWEKEZAJI WAFUNGUKA
DKT MWINYI AVUNJA UKIMYA SAKATA LA TUHUMA ZA UFISADI SERIKALINI "UFISADI UPI"?
Просмотров 419Месяц назад
DKT MWINYI AVUNJA UKIMYA SAKATA LA TUHUMA ZA UFISADI SERIKALINI "UFISADI UPI"?
RAIS MWINYI AKATA MZIZI WA FITNA SAKATA LA FIDIA "ASIETAKA NYUMBA APEWE PESA ZAKE"
Просмотров 642Месяц назад
RAIS MWINYI AKATA MZIZI WA FITNA SAKATA LA FIDIA "ASIETAKA NYUMBA APEWE PESA ZAKE"
DKT MWINYI: TUTAWAPIGA KIPIGO KIKUBWA MARA HII l HAWATOSAHAU l WANASEMA WANAONEWA
Просмотров 985Месяц назад
DKT MWINYI: TUTAWAPIGA KIPIGO KIKUBWA MARA HII l HAWATOSAHAU l WANASEMA WANAONEWA
CCM YAWANOA WANACHAMA WAKE l ILI KUENDELEA KUSHIKILIA JIMBO l MWANAKWEREKWE
Просмотров 982Месяц назад
CCM YAWANOA WANACHAMA WAKE l ILI KUENDELEA KUSHIKILIA JIMBO l MWANAKWEREKWE
ALICHOFANYIWA RAIS MWINYI MWAKA KOGWA MAKUNDUCHI - RC AYOUB AFUNGUKA KISHINDO KIJACHO
Просмотров 6 тыс.2 месяца назад
ALICHOFANYIWA RAIS MWINYI MWAKA KOGWA MAKUNDUCHI - RC AYOUB AFUNGUKA KISHINDO KIJACHO
RAIS MWINYI ACHUKIZWA NA KAULI HII AVUNJA UKIMYA "RAIS GANI KASEMA ? KINANIKERA KULIKO VYOTE
Просмотров 12 тыс.7 месяцев назад
RAIS MWINYI ACHUKIZWA NA KAULI HII AVUNJA UKIMYA "RAIS GANI KASEMA ? KINANIKERA KULIKO VYOTE
MZEE ALIETEMA CHECHE MBELE YA RAIS MWINYI AKITAKA AKUBALIWE OMBI LAKE LA MNADA
Просмотров 13 тыс.7 месяцев назад
MZEE ALIETEMA CHECHE MBELE YA RAIS MWINYI AKITAKA AKUBALIWE OMBI LAKE LA MNADA
RAIS MWINYI "HILI SIO JAMBO ZURI / TUKIFIKA RAMADHANI HAKUNA JIBU"
Просмотров 5 тыс.7 месяцев назад
RAIS MWINYI "HILI SIO JAMBO ZURI / TUKIFIKA RAMADHANI HAKUNA JIBU"
HII NDIO HALI YA DAFTARI LA KURA 'TUME YA UCHAGUZI' ZANZIBAR YATOA TATHMINI
Просмотров 4507 месяцев назад
HII NDIO HALI YA DAFTARI LA KURA 'TUME YA UCHAGUZI' ZANZIBAR YATOA TATHMINI
SAKATA LA VURUGU ZA WAMASAI JESHI LA POLISI LATOA TAAMKO KUHUSU UKWELI WAKE
Просмотров 74 тыс.8 месяцев назад
SAKATA LA VURUGU ZA WAMASAI JESHI LA POLISI LATOA TAAMKO KUHUSU UKWELI WAKE
SHUHUDIA MFUMO WA KIDIJITALI ALIOTUMIA RAIS MWINYI KUTIA SAINI SHERIA 4 MPYA
Просмотров 1,2 тыс.8 месяцев назад
SHUHUDIA MFUMO WA KIDIJITALI ALIOTUMIA RAIS MWINYI KUTIA SAINI SHERIA 4 MPYA
RAIS MWINYI ALIVYO FICHUA SIRI YEYE KUTAKA KUJIUZULU, ILA ALIKATALIWA "HAKUNA ALIESIKIA"
Просмотров 1,3 тыс.8 месяцев назад
RAIS MWINYI ALIVYO FICHUA SIRI YEYE KUTAKA KUJIUZULU, ILA ALIKATALIWA "HAKUNA ALIESIKIA"
Shukran Ahsante
Allah akuwezeshe katika hili na jenginelo amin
Mashaa-Allah
Mashaallah
Wawindeni muwanaseni muwachinjeni muwabanike, mleni nyama zawo wala uzisheni kwa wale wala nyama za mamba. Zinafanana na kabila la mamba wa mto Nile. Hawo ni wakali sana tena wanarefuka sana. Jamenie safisheni huyo mto. Ni mchafu sana, la sivyo, mtaasirika na magonjwa mabaya sana na kufariki kwa uwingi kabla hamjaliwa na mamba.
Hawa jamaa ni wachawi majini ni malaika walio muasi mungu
Tanzania hakuna club hio
Naomba kuuliza ilipo dondokeke mpka nchi kavu nimbal san ?
Naomba mawaasiliano yako
Hongera sana, naweza mleta bint yangu umfundishe?
Huyo siyo Binadamu niIbirisi
🎉🎉🎉🎉
Asubutu , Ajira , Madini, Uchumino , pemba ? mbee hamna kitu 😳😳watu wallah wamechoka wananuka umasikini hadi unalia pemba leo yanazuka madini baada ya Petrol hamna liwalo nusu karne sasa
mbuzi kala shambani kwa bwana heri sasa sisi watuxhugi tufanyeje
Maashallah 🥰🥰🥰
Mpo juu KTV ❤🎉
ALLAH AKUREHEMU AKUPE PEPO YA FIRDAUS AMIN
Polen sana Tamaa imewaponza hakuna pesa ya bure
Naaende zake makamo wa kwanza ndie mwenyewe tumbatu
Barabara ya Mkoani Chake vipi auu maneno Tuu
Mhhh mamba mmngemkamata vilesubutuuu. yule kengeee sio mamba
Mashallah
Ushirikina mtupu,,,laana za Allah ziwashukie kwa kuwapotosha watu
Hapo Ruqya muhimu
Uyo mtoto nae alipenda
😢 hii historia ya uwongo ambayo mumeizuwaa basi jitaarisheni majibu mbele ya Allah s.w kwa uwongo wenu huoo 😢
Kila msafiri anajua namna ya kujikinga mwenyewe kabla hajaanza safari. Hii Bima ya lazima haina maana yeyote isipokua ni kuongeza business ya bure kwenye Insurance company ambayo ni sehemu ya serikali.! Kwanini Insurance company zingine zisiruhusiwe? Na kwanini wageni kabla ya kusafiri wasikate insurance huko kwao? Hii ni njia nyingine tu ya kuingiza pesa kiharamu!
Hiyo ni helkopta au mchoro wake? Irushe ndipo mtajua mnavyojitahidi kujidanganya na kudanganya wengine.
KIGIZO CHEMA FADHLA ADHWEEM ❤
Inna lillah wainna ilaihi rajiun
JKU malimbuken wakishapata uaskari hatulali wanajitia ubabe
Hao waadhibiwe
Asalama aleykum warhamatu Allah wabarakatu . Waondoshwe maradhii . Ujinga mkimkubalia kuishi.
Isije ikawa kama mafuta miaka mia tunaambiwayapo hatuoni kuchimbwa
Siyo heshima kumtoa mfanyakazi wa serikali mahala pake pa kazi bila kosa unatoa kama nani na kama anakosa inajulikana anafikiswa kituo cha Police na sio vinginevyo
Kuna vitu vingi sana vya kufanya kabla ya bima beach zetu chafu sana barabara mbovu wageni watalipa ila lazima waone hiyo pesa inaenda wapi 🤦🏾♂️ Then most on them wana❤bima tayari so ni kama wanalipa Mara mbili na pia wanalipa dola tano ya kodi kila siku
Kuna mambo madogdogo yanakuja taratibu taratibu
Hawa jkt sijui wanajionaje
Nyie wote. Makuma
Scum
Wizi huu hamna BIMA ya lazima
Yani uyu polisi mhhhh
Wewe
Ya ngoswe mwachie ngoswe.
Namb 1
Hii bima ya lazima ita cost na kupoteza wageni wengi mbona private insurance hospital zanzibar International zipo hapa naona watauwa mashirika binaries naona wafikirie tena wamefeli tena itawacost tuone but mtazamo wangu haitofika mbali 😢 my future eyes naitakia mema but think before done❤
Kwanza rekebisheni foleni ya kutokukaa sana apo wagen wanapo ingia mkoo shaloo sanaa
Jee kuna uhakika gani mgeni atashughulikiwa na wapi atatoa taarifa pindi amefikwa na matatizo
POLENI WAPENDWA
Hao niwatani ingekuwa raia mzigo ungewekwa chemba