MKASA WA KUTISHA KUHUSU MTOTO ANAETOA MOTO MWILINI MWAKE HUKO PEMBA ”MPAKA MSIKITINI"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 сен 2024
  • Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
    Follow Ktv Tz Online
    Facebook | KTV TZ ONLINE
    INSTAGRAM |@ktv_tz_online
    Wasiliana nasi kupitia number
    +255 625 323 932
    Ktv Tz Online Journalists
    cc: Sadia Rashid
    cc: Sauti Byego
    cc: Maryam Busara
    Camera Department"
    Dadi Ali
    Omar (OJ)
    Nassor Shaibu
    Abdallah Juma
    Editors:
    Juma Maulid
    Dadi Ali
    Video Zingine:
    Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
    - Ali Kiba akiwa Oman
    • ALICHOKIFANYA DIAMOND ...
    • NI KWELI ALI KIBA AMNU...

Комментарии • 710

  • @biramsakh9212
    @biramsakh9212 3 года назад +84

    Ni matatizo tena Makubwa maskini wee Allah awaondolee Ya Rabbi amin amin

  • @bijumafundi1737
    @bijumafundi1737 3 года назад +60

    Hakuna kubwa kwa Allah Na Mithihani tumeumbiwa sisi wanadamu QURAN Ndio DAWA!! Inshallah!! Poleni

    • @maryammohammed7472
      @maryammohammed7472 3 года назад

      Kabisa

    • @swalhashuaibu8149
      @swalhashuaibu8149 3 года назад +1

      Kabisa Quran ndio dawa wamsomey surat baqara kila siku bitakwisha

    • @khamidaamir8271
      @khamidaamir8271 3 года назад

      Mwana mdogo uyu kqwakoseq nini asa mufanyie ubayq uwo mungu qtakuponyq inshallah

  • @mwanamisakulembwa1147
    @mwanamisakulembwa1147 3 года назад +29

    Namuomba Allah akufanyie wepesi kwenye uzito huo..minkulu hasidin..minkulu Sahirin ..minkulu ainin Ameen yarabil alameen.

    • @SmilingCityMap-xb9md
      @SmilingCityMap-xb9md 6 месяцев назад

      Huyo mtoto hitaji lake NI kufunguliwa wala sio lufanyiwa wepesi huyo jini. MOTo haondoki Kwa kufanyiwa wepesi wala nini ataondoka Kwa kuliitia jina la yesu pekee Mimi mwenyewe nilifunguliwa Kwa jina la yesu

  • @hawa-luumiwrty3144
    @hawa-luumiwrty3144 3 года назад +28

    SUBUHANALLAH🙏, MWENYEZI MUNGU AMSAIDIYE

  • @machintangachibwena5922
    @machintangachibwena5922 3 года назад +16

    Huyo Mlevi Allah amuongeze Inshallah manake imani yake ni nnzuri kuliko hao wasio kuwa walevi walio mfungua kwenye banda la makuti ili moto uwake afe kabisa, ubainaadamu kazi

  • @mohamadmaulidngava1510
    @mohamadmaulidngava1510 3 года назад +18

    Poleni sana.Mungu yupo kila lenye mwanzo halikosi mwisho.

  • @fatmaabdalla8543
    @fatmaabdalla8543 3 года назад +8

    Mshitakie Mwenyezi Mungu yy pekee ndie alie na uwezo. Mbele ya Mungu hakuna lisiloshindikana. Pole sana Dada Allah ndie muweza wa yote

  • @amenaallahawazidishieumrin6235
    @amenaallahawazidishieumrin6235 3 года назад +9

    Ishallah ALLAH atakusaidi mola hatupi mja wake cha msingi usitoke kwenye I'm an yako ukaenda kwa kumshirikisha mola dua na visomo vya ruqya

  • @biramsakh9212
    @biramsakh9212 3 года назад +31

    Uhasid hee loo Hasbiallah waniimat lwakiyl Allah awaondoshee mtihan huo

    • @zahorsalum663
      @zahorsalum663 3 года назад

      unauhakika km uhasidii? unazisha fitna tuu.mbona haya nimatatizo .ppt yanaweza kutokea bl ht kuhusika mtuu.kwaufupi sisi tumefika eneo latukio nakuhoji vzr.hl nitatizo lao lakijadii.

    • @ummimohammed9359
      @ummimohammed9359 3 года назад +1

      hasad ipo,uchawi upo lkn tunachotakiwa ni kusoma dua na kufanya rukya yalobaki ni kumuachia Allah。Allah amuondoshee mtihani huu huyu kijana Allah amjaalie apone aishi kwa aman ktk dunia ameen。

  • @fatmaabdalla8543
    @fatmaabdalla8543 3 года назад +9

    Kilio chako Allah kashakisikia na imani yangu inanambia yatakwisha hayo, pole sana

    • @zulfaissa7814
      @zulfaissa7814 3 года назад

      Huo nimtihan mkubwa haswa inshallah Allah akujalien subra ya dhati moyon mwako

    • @juliusmfangavo2926
      @juliusmfangavo2926 3 года назад

      Mleteeni Penuel International Mistry Kimara mwisho Dsm atapona Kabisa hakuna linaloshindikana kwa Mungu hii ni mitihani tu lakini msife moyo lililoshindikana kwa wanadamu kwa Mungu linawezekana

  • @alisalum7036
    @alisalum7036 3 года назад +19

    Una sifa za kua mama Bora Allah akuzidshie mama na awafanyie wepes

  • @hailinhelen4675
    @hailinhelen4675 3 года назад +15

    Subhna allah ..ALLAH AWAODOLEE MTIHANI HUU YARABB..MTIHANI MKUBWA MASKIN

    • @salimkombo4849
      @salimkombo4849 3 года назад

      Mama mungu akujaalie. uingie nanat firdausi

    • @salimkombo4849
      @salimkombo4849 3 года назад

      Mama mungu atawaondolea matatizo

  • @husnamohamed9245
    @husnamohamed9245 3 года назад +20

    Kila pahali wekeni ayatulkusiyu kwenye nyumba yako. Ikisha yachukue maji uyasome umpe anywe au msomee ruqia nzuri sana itaondoka ni hasad hizo.

    • @aminafesaliaminafesali8105
      @aminafesaliaminafesali8105 3 года назад +3

      Tena sio moja moja wamsomee sira hizo elf 1 moja kila sura kwanzi al hamdu surat nas na fafalaq na hayat al kurs na lukaiya ase majibu watayapata siku hiyo hiyo na mwe kumfanyia hivo anangamia sku hiyo

    • @eliyampesa4352
      @eliyampesa4352 Год назад

      Yesu Ni mponyaji mpelekeni kanisani

  • @fayzanassor4582
    @fayzanassor4582 3 года назад +11

    Allah amjaalie shifaa..poleeni jamni

  • @asfarsham9037
    @asfarsham9037 3 года назад +8

    Nchi yangu maskeen.kila siku majanga.Ndugu zanguni kwa pamoja tumrudieni Allah tumuombe msamaha.
    Pole kijana wetu Allah shafii

    • @adil_sayd
      @adil_sayd 3 года назад +1

      Kabsa yan huu ni ukumbusho kwa wenye akili turudi kwa Allah s.w

  • @americanbelgium9639
    @americanbelgium9639 3 года назад +13

    Subhana Allah, Patience is the key to tranquility

  • @sharifachepchirchir8863
    @sharifachepchirchir8863 3 года назад +6

    Yaa Allah 🙏 nakuomba wafanyie wepesi familia hii.🇰🇪 😭😭

  • @user-md1os3ye2g
    @user-md1os3ye2g 6 месяцев назад +11

    Polesana yupo mmojatu anayeweza kumponya naye ni Yesu kristu. Mwana wa Mungu aliehai. Mpeleke kwenye kanisala Efatha Zanzibar. Naye atakutanana Mungu huko atamponya Amen

  • @benitamusembi9278
    @benitamusembi9278 3 года назад +2

    Wooiih najua imaniyenu nitofauti na yetu sisi wakrhisto, lakini ninasho jua Mungu nimoja, Mungu ulie mbinguni msaindie Mtoto huyu anateseka, Hana makosa ni shetani na hashindwe katika njina la Yesu krhistu amen amen amen kilakitu kitakua sawa, nimetokea Kenya

  • @fat-hiyaali4723
    @fat-hiyaali4723 3 года назад +8

    dah nahisi kma yamenikuta mimi wallah allah atufanyie wepesi

  • @saidhamad7550
    @saidhamad7550 3 года назад +10

    Ewe M/Mungu (SW)wafanyie wepesi waja wako kwenye hili.

  • @rahmahussein4019
    @rahmahussein4019 3 года назад +4

    Subhanallah...Kwa kweli inauma sana , insha'llah M/mungu atawafanyia kila wepesi.

  • @samsonhaule3647
    @samsonhaule3647 3 года назад +33

    Hakuna mtu Anayewaka moto, Mpelekeni kwenye Maombi, Mapepo hayo sio Moto.

  • @shaibuabdalah5884
    @shaibuabdalah5884 3 года назад +2

    Pole sana mdogo wangu hii hali yako nimekusikiliza, nimejikuta nalia ila Inshallah mungu yupo pamoja naww atakufanyia wepesi utapona

  • @happyamos5258
    @happyamos5258 3 года назад +9

    Ni Yesu tu anaweza kumponya kutoka hayo makini na mapepo. Mpelekeni katika kanisa linaloamini wokovu ataombewa na kufunguliwa Kwa Jina la Yesu.

    • @taleboychannel9448
      @taleboychannel9448 6 месяцев назад

      Amini ww tu hzo imani pemba hatuna hayo mambo sisi tunamuamini Allah (s.w)

  • @mudigames5479
    @mudigames5479 3 года назад +5

    Pengine ni Neema iyo Mungu amemtunuku na Anataka kuionesha Nguvu zake kupitia kwake Ila Tu inatakiwa ishuhulikiwe kuwekwa Katika utaratibu wake..SUPER POWER HUMAN ARE REAL..Sio Spiderman or Superman peke yao, insha'Allah atasaidia 🙏

  • @yusrakhamis9109
    @yusrakhamis9109 3 года назад +5

    SUBHANALLAH 😔😔😔Imeniuma sanaa ..... nawaza jee ingekua ni upnde wangu hiki kituu YAA RABBI WASAIDIE WAJAWAKOO 😭😭😭😭😭😭😭,Natamani ningekua nawez kumsaidia😪

  • @mohammedmatumla538
    @mohammedmatumla538 3 года назад +5

    Allah akbaru Allah akbaru, hakika Allah ni muweza juu ya Kila kitu.
    Yaa RABBI naomba umuundulee uzito huyo kijana na Familia yake. Na uwaze subra katika nyoyo zao, aamiin

  • @mursalsaid3327
    @mursalsaid3327 3 года назад +65

    Hio ni mitihan visomo vinahitajika Sana , Na Dua musichoke kumuomba Allah, Kwa Allah hakuna kinachoshindikana

  • @josephkivuyo5712
    @josephkivuyo5712 3 года назад +45

    Kwa jina Kuu kuliko majina yote, Jina la Yesu kristo, jina lenye mamlaka juu ya nguvu zote za giza naamuru moto huo utoweke.

  • @neemajobu62
    @neemajobu62 3 года назад +9

    Dash! Jaman huruma had roho imeniuma jaman mungu mponye huyu mtoto

  • @ummuhaniali7634
    @ummuhaniali7634 3 года назад +24

    Sasa jmn nini shida jmn tujue jmn tudumisheni dua dua ndo msingi ALLAH hamtupi mja wake

  • @muhammadfadhil9835
    @muhammadfadhil9835 3 года назад +50

    Huyo ni jini afirit anataka kukutekeni imani yenu mumukhofu kinyume kumkhofu Allah lakini kubwa zaidi ni kisomo waislamu ndio kinga yetu kwa kila kitu.

    • @saadkuziwa3099
      @saadkuziwa3099 3 года назад +4

      @Esin Esin WEWE MWENYEWE HAPO NI SHETANI,UNASEMA SHETANI NI MUISLAM KWA USHAHIDI GANI NDIYE NYIE MNAOSABABISHA IMANI YENU KUTUKANWA NA WATU WA IMANI NYINGINE KAMA NJIA YA KULIPIZA,.WEWE NI MJINGA WA KIIMANI,HEBU SUBIRI UONE BWANA YESU ATAKAVYOTUKANWA TENA NA BAADHI YA WAISLAM WAJINGA KAMA WEWE.HESHIMU IMANI YA MWINGINE ILI IMANI YAKO IHESHIMIWE SHETANI WEWE.

    • @kulthumomar692
      @kulthumomar692 3 года назад +2

      @Esin Esin tafuta elimu wacha kuropoka usiyoyajua

    • @muhammadfadhil9835
      @muhammadfadhil9835 3 года назад

      @@kulthumomar692 sasa mwnye elimu huwa anatangulia kufundisha halafu kwa kuwa sote nibwaislam basi inatosha kuheshimiana ya dunia nje ya uislamu ni kwa ajili ya kukidhi haja za matamanio yetu tu ya nafsi. Rudi katika suratul maida juu ya elimu ya hukumu halafu husisha na tawala za kitwaghuuti je wanahukumu kwa amri za nani na Allah kardhia hilo?
      Ahsante

    • @muhammadfadhil9835
      @muhammadfadhil9835 3 года назад

      @Esin Esin Hakuna ndani ya kur an kinakubaliana na hoja yako kuwa kur an ni kitabu cha waganga lakini hata hivyo Muhimbili wamejaa waganga je wanatumia kur an?

    • @ShSh-my8cw
      @ShSh-my8cw 3 года назад

      Potea
      Uko

  • @fatumamohamed8203
    @fatumamohamed8203 3 года назад +2

    In shaa Allah kama Ni sihri in shaa Allah kama ni Jini lamfwata Mwenyezi Mungu Awahepushie hayo majanga HASBUNALLAH wa NEEMAL WAKIIL.

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 3 года назад +6

    Subuhanallah Allah akufanyie wepesi upone kikubwa Dua msiendekwenye shilki

  • @hamadrashid5140
    @hamadrashid5140 3 года назад +5

    Mtihan wallah, mama allah atawaondoshea huo mtihani. Qur an ndo shifaa

    • @salmasaid6862
      @salmasaid6862 3 года назад

      Mwenyezi Mungu isimamishe hiyo family katika Imani Allah waondelee huo mitihani

  • @faustineemmanuel3597
    @faustineemmanuel3597 6 месяцев назад +1

    Jamani poleni sana ndugu zangu watanzania wenzangu

  • @user-jv1ch4tr8q
    @user-jv1ch4tr8q 5 месяцев назад +1

    Allah akupe ujasiri mamaangu zidisha ibada sn za usiku na visomo hadi kwenye maji yake atapona inshallah

  • @lovenessmahsen3433
    @lovenessmahsen3433 3 года назад +2

    Jesus Is lord...karibuni kwa Yesu atapona huyo

    • @lilianmkelewele7489
      @lilianmkelewele7489 3 года назад

      Kweli kabisa jina la Yesu tu atapona lakini hivihiv ni shida mnabaki mnang,ang,ania msikitini kwanza hakuna hata uwepo wa Mungu nendeni kanisani

    • @rayakhelef4509
      @rayakhelef4509 3 года назад

      Astaafir Allah

    • @mamymdogomamy3670
      @mamymdogomamy3670 3 года назад

      @@rayakhelef4509 Achana na hawa ukhty

    • @lorenkagezi8609
      @lorenkagezi8609 3 года назад

      Sasa hadi msikit umeunguzwa na shetan hapa ndo utajua uislam ni kupoteza muda tu.

  • @ibnually7648
    @ibnually7648 3 года назад +5

    Wachawi si watu wazur ndo maana hatuendi mbele kwa hasadi zao

  • @nadiaomar2189
    @nadiaomar2189 3 года назад +1

    Bismillah rahmaani Raheem, poleni Sana na musichoke endeleeni kumfanyia dua Allah atamuafu na wewe mama Allah atakulipa pepo inshaallah kwa jitihada zako, Allah nimuweza wakila jambo, twakuombo waja wako umponye kijana wetu huyo 🙏🏼

  • @nellyrebiam3095
    @nellyrebiam3095 3 года назад +3

    Mkimbilie Yesu anaokoa

  • @happinessmillanga982
    @happinessmillanga982 3 года назад +3

    Mpelekeni Kwenye maombi Yesu ni jibu

    • @SAM_163
      @SAM_163 3 года назад

      Kwa Pemba ni ngumu wakolazi afe kuliko kufuata Uzima uliomo ndani ya Yesu kristo🙏🙏

  • @uwlaalmas7727
    @uwlaalmas7727 3 года назад +1

    Lahaula wallakuwata illah billah. Poleni Allah hashindwi na jambo, tumuombe yeye na atawataulia shida hii. Amin

  • @MaryMuigai-zj8fz
    @MaryMuigai-zj8fz 6 месяцев назад +2

    .mpelekeni nyumbani mwa BwanaYesu hayo yoote yatamwondokea mtoto wenu mukiamini yooote yawezekana kwa imani Amen.

  • @mariamfaki1166
    @mariamfaki1166 3 года назад +8

    Huyo slieshiriki.katika hasadi hii Allah amuazibu azabu atoke wadudu kila sehemu yake ya mwili inshallah

  • @nassorkss5521
    @nassorkss5521 3 года назад +7

    Allah akufanyie wepesi wepesi inshallah akuondoshee mitihani amn

  • @allyhamad9665
    @allyhamad9665 Год назад +3

    Allah ndio suluhisho la maisha yetu

  • @maryammas
    @maryammas 6 месяцев назад +4

    yote ii ni mitiani ya Allah (S.W) na ndy atakaeiondosha aamin

  • @sitiabubakar2892
    @sitiabubakar2892 3 года назад +6

    Mitihani jamani mtoto tena yatima😭😭😭😭roho yaniuma elekeni kwa mungu

  • @hamishassan6784
    @hamishassan6784 Год назад

    Subhannallah. pole sana ndugu zangu kiukweli sina la kusema kabisa zaidi ya kwaomba muwe na subra na endeleeni kumuomba Allah SW awafanyie wepesi. yaani sijui hata muende Hospitali akafanyiwe vipimo yaan sijui hata nishauri nini naona huzuni tu imenijaaa

  • @Maryam-yt8lw
    @Maryam-yt8lw 3 года назад +2

    Poleni sana Allah atawavua na mtihani uo kisomo kwa wingi na duaa

  • @maisaalawy4512
    @maisaalawy4512 3 года назад +3

    Mwenyezi akuondolee kuna mshekhe wamsomee dua hakuna kinachomshinda mwenyezi mungu.

    • @zulfahaji4666
      @zulfahaji4666 3 года назад

      Allwa atakuondosheeni poleni. Na mitihani

  • @khadijahilal3016
    @khadijahilal3016 3 года назад +2

    Subhanallah 😭😭ya rabbi mstir mtoto huyu.wallahi tunateseka sana ss wenye mabilis ewe mola tupe subra

  • @saidmatikti2783
    @saidmatikti2783 3 года назад +1

    Subhanallah Yarabbi wape wao wepesi na sisi pia, huo ni mtihan wallah cha msingi huo ni ushirikina fanyen jitihada za kupata tiba na visomo Allah atawasaidiaa

  • @mgenisuleiman56
    @mgenisuleiman56 3 года назад +3

    Subhanaallah mungu awape wepesi inshaallah 🤲🤲🤲🤲

  • @kautharmohammed8474
    @kautharmohammed8474 3 года назад +1

    Allah atupe subra kwenye kila matihani .
    Uyasikie tu usiombe yakutokee nimakubwa kushinda ivo anavoelezea ila Allah kakushagua ww kukupa kwasababu anajua unaweza inshallah utafuz kwa mtihani huu

  • @samsungoman5626
    @samsungoman5626 3 года назад +5

    Mitihani mungu awafanyie wepesi inshallah

  • @saida5091
    @saida5091 3 года назад +2

    Majibu yote anayo Yesu ndiye aliyekuwa akitoa mapepo, na watumishi wake hutoa mapepo pia;
    Kwa Jina lake Yesu, mapepo hutoka, Kwa jina lake Yesu, watu hukombolewa, Kwa jina lake Yesu, watu hupona,
    Kwa jina lake Yesu, watu huokolewa
    Kwa jina lake Yesu, watu hufunguliwa
    Kwa jina lake Yesu, watu hujisikia huru,
    Kwa jina lake Yesu, watu husalimika.
    Kijana anamuhitaji Bwana wetu YESU KRISTO, ndiyo mpango wake Mungu. Amen.

    • @aliabdalla9297
      @aliabdalla9297 3 года назад +4

      Mwenyezi Mungu pekee ndie muweza wa yote

    • @rayakhelef4509
      @rayakhelef4509 3 года назад +1

      Allah pekee ndo kimbilio letu...kwa mwenye akili timamu

    • @mamymdogomamy3670
      @mamymdogomamy3670 3 года назад

      Hakuna alie na uwezo isipokuwa Allah pekee

    • @liylahahmed829
      @liylahahmed829 3 месяца назад

      Allah pekee

  • @lilianwesonga6716
    @lilianwesonga6716 3 года назад +2

    Mwaaaah maskini mtoto mdogo sana majaribu makubwa kweli poleni

  • @mussamlewa2178
    @mussamlewa2178 3 года назад +1

    Huyo mtoto anahitajia visimo vizito sana japo kwa week nne mfululizo inshaallah Allah atamfanyia wepes

  • @charlesmwaminifu5196
    @charlesmwaminifu5196 3 года назад

    Poleni sana mm ningekua kalibu ningemsaidia bule kabisa mm niko Dr salama atakae weza anitumie nauli na mm nimeajiliwa endapo nikipata mtu akanishikia kazini bas akitona nauli naeda

  • @farhatomar7495
    @farhatomar7495 3 года назад +5

    Subhanallah allahu akbar allah atustirie na mitihani kma hiyo

  • @zammillunally4497
    @zammillunally4497 3 года назад +6

    Haya mambo yanafanana na yetu ivi ivi😭😭😭poleni jaman Subhana llah hasbiyallahu wanig'hma lwakil

  • @MakameMufadhil-n8d
    @MakameMufadhil-n8d 6 месяцев назад +1

    Poleni

  • @angle3600
    @angle3600 6 месяцев назад +1

    Pole,Mungu akuondolee mtihani huo mzito

  • @farhatvuaisuleiman500
    @farhatvuaisuleiman500 3 года назад +1

    Subhana llah mungu mkubwa mungu akuondeshe mtihan Kama no ya mungu upone na Kama no ya mtu mungu amuoneshe na yy

  • @kidjhdf7568
    @kidjhdf7568 3 года назад +7

    Maskin allah atakusimamia inshallah pole

  • @zulfahussein6784
    @zulfahussein6784 3 года назад +1

    SubhanaAllaah
    Allaah amzidishie Afya njema

  • @ramadhanally3240
    @ramadhanally3240 3 года назад +3

    Kwa uwezo wa mungu atapoa poleni sana

  • @kimsamir965
    @kimsamir965 3 года назад +7

    Ushirikina huwooo kama nikweli gonga like hapo

  • @nasraissa5763
    @nasraissa5763 3 года назад +1

    Daaah pole sana msichoke kuhangaika kwa uwezo wa mungu inshallah atapona

  • @ibrahimyussuf1705
    @ibrahimyussuf1705 3 года назад +1

    NAMUOMBA ALLAH AMUONDOLEE KIJANA HUYO HUO MTIHANI.
    AMIN

  • @rosecruiz4348
    @rosecruiz4348 3 года назад +4

    Mungu na jua sikio lako sio xito kama kuna maroho yaliyo tumwa kuanzia leo na haribu kila mkono unao haribu maisha ya hio familia ukatwe kwa jina la yesu ameen

  • @fatmaabdallah7709
    @fatmaabdallah7709 3 года назад +2

    Mtihani huu Allah inshallah atawaondoshea lkn kwa hali alonayo huyo kijana sasa kwanza apelekwe hospitali atibiwe kichwa manake anaonekana km kapata pia matatizo ya akili kwa ajili ya mawazo na dhiki manake hii kupiga piga asije ua mtu tena yakawa Mambo mengine. Wakati huyo kijana yuko hospital ndo madua kwa ajili ya huo moto yaendelee inshaallah yatakwisha hakuna linashindikana kwa M.mungu

  • @arikasisolution2253
    @arikasisolution2253 3 года назад +1

    Dah maskini Mungu atakulipa mamã unamoyo Wa ajabu sana

  • @FatmaAyoub-p1c
    @FatmaAyoub-p1c 5 месяцев назад

    Assalamuleikum Poleni sana allah awape subira, piampelekeni akasomewe RUQYA amiin.

  • @faustinammilla757
    @faustinammilla757 3 года назад +10

    Mpeleke kanisani mpeleke kwa wachungaji Yesu anaweza yote

  • @mwamvuaally6342
    @mwamvuaally6342 3 года назад

    Allah awafanyie wepes mtafuteni shekhe sharifu majin awasomee

  • @KhasimuSwalehe
    @KhasimuSwalehe 5 месяцев назад

    Poleni sana ombeni mungu mtapata wepesi inshaallah

  • @shabnaalii4524
    @shabnaalii4524 3 года назад +3

    Subuhanaaallah Allah awafanyie wepesi

  • @tegemeakyangenyenka3110
    @tegemeakyangenyenka3110 3 года назад +1

    Jamani pole sana mama,mlete Dar esalaam kwenye maombi usichague dini, atapona na mtashangaa kabisa

    • @lucyhusein4043
      @lucyhusein4043 3 года назад

      Jomon malaika wamungu akutete uchawi wamemtengenezea ooh mwenyez mungu mtetee huyo mtoto inaniuma sn amina

  • @hashimmzee9109
    @hashimmzee9109 3 года назад +1

    Allaah awahifadhi na awalinde kwa kila shari za hao majini na sihr za wachawi...Mungu atamshinda huyo kiumbe anaewaashia moto na madhila mnayopitia..

    • @dorisebennezer8462
      @dorisebennezer8462 3 года назад

      Mpelekeni kwenye kanisa la kipentecoste wakemee hayo majini wamtoke awe salama naye pia aokoke. Namuombea lijana huyo neema Kwa Mungu katika jina la Yesu awe mzima. Amina Yesu anawapenda nyote muokoke. Amina

  • @fatmakhanii1676
    @fatmakhanii1676 3 года назад +1

    Subhana Allah ya Rabbi huu simtihani mdogo Allah ndio mjuzi wa yote Allah amfsnyie wepesi yeye ni mwingi wa huruma na rehma hashindwi na lolote haya mambo makubwa sana

  • @rosemzava5149
    @rosemzava5149 3 года назад +2

    Mwenyez mungu atakuponya mdogoangu mitihan nisehem yamaisha🙏🙏🙏. pia mama mdogo mumgu akupe maisha marefu naafya njema unaroho yakipekee🥰

  • @amrihamis5420
    @amrihamis5420 2 года назад

    Mwenyezi mungu Ata mnusuru uyo anatakiwa duwa tu atapona ishalha kama upo uwezekano kunisaidia gharama za kwenda uko naweza kwenda kufanyiwa duwa

  • @rahmaramadhan9773
    @rahmaramadhan9773 3 года назад +1

    SUBHANNALLAH JAMANII MTIHANI HUUU POLE SANA ALLAH AKUPE SURHA YA MALEZI KWAMTOTO WAKO JAMANIIII😪😪😪😪

    • @rosemaryminja3299
      @rosemaryminja3299 3 года назад

      Akaombewe anapepo hilo lipo mwilini kwake mpk likatolewe kwa jina la Yesu pekeee.

  • @umratmsabah6267
    @umratmsabah6267 3 года назад +2

    Dahhh Allah tusaidie waja wake ,jmn mtot mdog km uyu kakos nn jamn, 😭km ni mkon wa mtu bas Allah atamlipia APA apa dunian, 😭😭😭😭😭inauma san

  • @OMARMOHD-ji2qt
    @OMARMOHD-ji2qt 4 месяца назад

    Poleni sana Allah atawafanyia wepesi

  • @kiwaniprimaryshool3320
    @kiwaniprimaryshool3320 3 года назад +3

    Isha allah mungu atakuondosheni matatizo hayo tuombeni dua pamoja kwa wingi amin

  • @neema_mollel
    @neema_mollel 3 года назад +1

    Damu ya Yesu pekee komesha

  • @mobyyusuph7175
    @mobyyusuph7175 3 года назад

    Mwenyez Mungu atamfanyia wepes🙏

  • @DelightfulMacawBird-tl5hf
    @DelightfulMacawBird-tl5hf 5 месяцев назад

    Subhanallh m mungu amsaidie

  • @meresianawere5715
    @meresianawere5715 3 года назад +1

    Pole sana mdogo Wang

  • @KhadijaMasoud-m6u
    @KhadijaMasoud-m6u 3 месяца назад

    Mungu amsaidie

  • @mariamsulley5473
    @mariamsulley5473 3 года назад +1

    Mwenyezi mungu awafanyieni wepesi

  • @jobumwaitege3884
    @jobumwaitege3884 3 года назад +6

    Mpelekeni kanisani huyo mtoto akaongozwe Sala ya toba aokoke Kisha mapepo yakemewe kwa jina kuu la YESU mapepo yote yatoweke usijiulize Wala kumchelewesha huyo mtoto huo ndio msada wake mkubwa YESU ni kimbilio lasivyo mtampoteza. Ameno

    • @AllySully
      @AllySully 6 месяцев назад

      Kanisa ndio

    • @AllySully
      @AllySully 6 месяцев назад

      Kanisa ndio nn

    • @sadaalsheibani7106
      @sadaalsheibani7106 6 месяцев назад

      Wewe mpemba hajui kanisa wala hakuna kanisa basi wajua kitabu kimoja tu msahafu na masjid na mungu mmoja tu Allah ndio tunaemtegea 😂

  • @raykhalamour3666
    @raykhalamour3666 3 года назад +1

    Subhannallah.😭..mtihani..poleni sana ..Allah akuondosheeni mtihanii huu....someni sana Ayatulqursiyu...ni ayanzuri sana kwa kinga dhidi ya shytwaan...ilimyeyusha shaytwaan...Allah alimuamrisha jibril amuambie Mtume (SAW) aisome pindi aliposimamiwa na shaytwan ...basi alifumba macho na kuisoma kujikinga...alipofumbua macho sheytwaan aliyeyuka na kua kama rojoo...muhimu ni Imani dhabit🙏

  • @abdallahmattar2044
    @abdallahmattar2044 3 года назад +1

    Mwenyezi mungu atakuondoshea madhila ulonayo ishaallah kwani yy ndoo kila kitu

  • @aishaali8902
    @aishaali8902 3 года назад +9

    Allah atamuondoshea inshallah