UTAOGOPA ! MAAJABU YALIOMO KWENYE MSIKITI HUU ZANZIBAR "MSIKITI KICHAKA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 сен 2024
  • Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
    Follow Ktv Tz Online
    Facebook | KTV TZ ONLINE
    INSTAGRAM |@ktv_tz_online
    Wasiliana nasi kupitia number
    +255 625 323 932
    Ktv Tz Online Journalists
    cc: Sadia Rashid
    cc: Juma Maulid
    cc: Masoud Maganga
    cc: Sauti Byego
    cc: Maryam Busara
    Camera Department"
    Dadi Ali
    Mwarabu Mmadi
    Nassor Shaibu
    Abdallah Dula
    Editors:
    Juma Maulid
    Video Zingine:
    Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
    - Ali Kiba akiwa Oman
    • ALICHOKIFANYA DIAMOND ...
    • NI KWELI ALI KIBA AMNU...

Комментарии • 779

  • @bayaanhumud4328
    @bayaanhumud4328 4 года назад +38

    Subhana Allah hao ni washirikina inna lillahi wa inna ilayhi raji3n Allah atujaalie mwisho mwema

  • @jayblack4313
    @jayblack4313 4 года назад +58

    Uchawi tu ndo maana hatuendelee subuhallah may Allah have mercy on us

    • @alfanm.8221
      @alfanm.8221 4 года назад +2

      Walahi tena inasikitisha tena sana mwenyezi mungu atukinge na mambo kama hayo

    • @rashidmwambala7104
      @rashidmwambala7104 3 года назад

      Usenge uo babu

    • @MdNasr-jm8pj
      @MdNasr-jm8pj 21 день назад

      Yaani kila wanapotoa history wanageuza wanaenda fanya mchawi

  • @aishasaid5702
    @aishasaid5702 4 года назад +152

    Hakuna msikiti wa aina hiyo washirikina wakubwa

  • @fatumaadam354
    @fatumaadam354 3 года назад +11

    binafsi sikuwahi kufikiria kama kutaweza kua na msikiti namna hii.. Allah atunusuru kwa kila kisichokua cha uhalali kwake... Allah tusamehe makosa yetu

  • @yusoboy_tz
    @yusoboy_tz 4 года назад +28

    Allah atuepushe na haya pamoja na mengine anayoyachukia

  • @shamsahaji6202
    @shamsahaji6202 4 года назад +36

    Ya Allah wasamehe waja wako na uwaongoze njia ilionyooka .hii ni shirk wala hakuna shaka ..maskin hawajui walitendalo.nawaombea Allah awasaidie.

  • @Useniassani
    @Useniassani 6 месяцев назад +9

    Allah ni mkubwa naomba likes zenu

  • @supumoto6819
    @supumoto6819 4 года назад +52

    Dah MTIHANI MKUBWA sana, ALLAH awaongoze

  • @mamahafsa2867
    @mamahafsa2867 4 года назад +15

    Inalillah wainna ilayh raajiuun hiyo nishirk Allah atuongoe inshaa'Allah

  • @salamahamadisudi1912
    @salamahamadisudi1912 4 года назад +18

    Si mskiti uwo ni pangoni kwa kwenda kuomba mizimu, Allah ni epushe na hayo

  • @hashilfarahani4024
    @hashilfarahani4024 4 года назад +12

    Innaalillahi wainnaailayhirajiun,Ewe mzee usiutie aibu uislam na zanzibar kwa ujumla naomba badilisha jila la hiyo nyumba na acheni hiyo shirki kwani hiyo ndio moja ya madhambi makubwa mbele ya Allah.

  • @masoudyrashidy9041
    @masoudyrashidy9041 4 года назад +81

    Hio ni shirki tena kubwa
    Allah atustiri

    • @khaalidcheo5383
      @khaalidcheo5383 4 года назад

      Amin

    • @shammoha5297
      @shammoha5297 4 года назад +1

      Ameen yaa Rabbil allamiin

    • @halima2549
      @halima2549 3 года назад

      Wallah ni shirk kubwa Sasa hvyo vitambaa ni vya nn hapo ndni mnaharibu maana ya Jina la msikiti haina sofa hzo. Iteni tu kichakani

  • @bintsalimalbimany5340
    @bintsalimalbimany5340 3 года назад +16

    Innalillah wainnailaih rajoun اللهم إني أعوذبك ان 😢أشرك بك بما أعلم ومما لا أعلم

  • @mamysubhanallhhhzenj4783
    @mamysubhanallhhhzenj4783 4 года назад +27

    Wachawi wakubwaa wachen ushirikina muogopen Allah mukumbuk km kuna kiama jmn mhhhh

  • @nawwarsultwaan6404
    @nawwarsultwaan6404 3 года назад +3

    Tena we mzee umelipigia kifua hili inaa lillaah wa innaa ilaihi raajiun we mzee mrudie mungu hakuna uislamu uliotuamrisha kua tueke vitambaa vyeupe na vyekundu misikitini isipokua munaabudia marohani na masubiani acheni shirki mara moja kabla Allah hajachukua roho yako

  • @mubarakhemedmajid2661
    @mubarakhemedmajid2661 4 года назад +5

    Mtihani kwa kweli Allah atuongoze na atudumise katika hakki

  • @mohamedjuma1878
    @mohamedjuma1878 4 года назад +28

    Mzee wangu rudi kwa Allah acha kusimamia shirki

  • @nastehaniss4210
    @nastehaniss4210 3 года назад +2

    Astaghfirullah, msikiti gani huwo, wacheni umalaya. Washirikina wakubwa

  • @nohatredbutlove5786
    @nohatredbutlove5786 4 года назад +15

    Astaaghfirullaaah! Wacheni mambo ya shirki hayo. Allah akuongozeni kwa kweli. Na sisi pia tunaomba uongofu kutoka kwake, but nyinyi mmezidi. 2020 bado kuna ujinga wa aina hii? 😭😭😭

  • @ikhtihsaanomari5447
    @ikhtihsaanomari5447 4 года назад +12

    Aaah rudini kwa Allah (s.w)

  • @natashahussein5191
    @natashahussein5191 3 года назад +3

    Allah akuongowe mzee wetu usijekufa na ushirikina wako

  • @salimharrasy7047
    @salimharrasy7047 4 года назад +14

    Allah.
    Atuhidi.
    Amiin.

  • @bintymwinyi580
    @bintymwinyi580 3 года назад +3

    Subhaana'Allaah huo sio msikiti ni mzimu kwa nn hakuokotwi kitu

  • @saidbwanaalimwanaharakati7508
    @saidbwanaalimwanaharakati7508 3 года назад +4

    SubhanaAllah....

  • @ismailallykhamis3314
    @ismailallykhamis3314 3 года назад +1

    SubhanaAllah Innalilah wainaillah Rajiun Shirki hizii tuziachenii janabi haifai

  • @ZenabPp
    @ZenabPp 2 месяца назад

    Subhanallah Yarabi tujaalie mwisho mwema utuepushe na shirki

  • @IbrahimAli-vi9ep
    @IbrahimAli-vi9ep 4 года назад +6

    Wao wenyewe shida tele wanazo watamsaidia nani

  • @salimabdallah5176
    @salimabdallah5176 4 месяца назад

    DHIKRI FIKRI SHUKRI SUBRI QABRI.............

  • @dastaniguni5599
    @dastaniguni5599 4 года назад +2

    Heee Maajabu haya
    Mzee kakomaa Ooooh ni Nsikiti
    Mzee mrudie Mungu wako

  • @selwanmohmmed8792
    @selwanmohmmed8792 4 года назад +10

    Kaz yenu kuchafua uislam tuuuu Allah anakuoneni mtakwenda kumjibu muogopeni Allah jamani

  • @khamisdaima1455
    @khamisdaima1455 4 года назад +7

    Inna Lilah ondosheni hivyo vitu hakuna mskiti was aina hio wandugu

  • @khadijaal4910
    @khadijaal4910 4 года назад +5

    Hakuna aina ya msikiti kama humu hii ni shiriki Allah awasamehe hamjui mtendalo

    • @berthaworner5936
      @berthaworner5936 3 года назад

      Kabisa misikiti tunaoijua aiko hivyo, hivo vitambaa vyekundu ni uchawi kabisa

  • @rizikisuleiman7820
    @rizikisuleiman7820 4 года назад +7

    Huo sio msikiti hiyo ni nyumba ya mizimu tusidanganyane

  • @shababygirlshambuwa8388
    @shababygirlshambuwa8388 4 года назад +4

    Subhana llah

  • @ABDICOM-xu3dr
    @ABDICOM-xu3dr 3 года назад +2

    This is the shirq of association 🙏🙏🙏🙏

  • @esaumahundi5076
    @esaumahundi5076 3 года назад +1

    Mungu aliye hai sf zake nataka mjue watu wote wadini zote mungu aliye hai aliyeumba mbingu na nchi na city vyote hashirikiani na majini Wala mashetani Wala falaki yoyote hizo ni elimu ngeni Kama dini yako inashirikiana na majini na falaki hiyo ni jehanam

  • @salehaltooq5829
    @salehaltooq5829 4 года назад +3

    SubhanaAllah

  • @fadhilmohamed5096
    @fadhilmohamed5096 2 года назад

    peace ,love and understanding will make this man remembered by underprivileged society world wide Jah Rastafarah.

  • @hajimohamed7007
    @hajimohamed7007 4 года назад +2

    washirikina wakubwa mungu wajaeka vitu hivo walatume hajaweka vitu kama hivo ingelikua kuna ulazima wa misikiti kutukuzwa watu kwakuwekewa vitambaa hivo angwekewa nabii muhammad

  • @hadijahamisi5918
    @hadijahamisi5918 3 года назад

    Subhannallah, Allah awanusuru kutokana na bidhaa zao, huo ni upotofu wa hali ya juu, Ushirikina mkubwa mno, hamna msikiti ulo na nembo kama hizo, ungeanzwa kuwekwa wa mtume SAW mwanzo.

  • @omarimbarakamikidadi1314
    @omarimbarakamikidadi1314 4 года назад +4

    Hapo Wacrist ndipo anapo Shangazwa na Imani ya Dini yangu ya Islam. Wacheni Upuuzi Wamakunduchi

    • @masoudmasoud8138
      @masoudmasoud8138 4 года назад

      Umeona ee

    • @khadijaahmada2544
      @khadijaahmada2544 4 года назад

      Jaman nyumban kabisa dah wamakunduchi wenzangu mnakwama wapi 😭😭😭😭😭yani nishakwenda makundichi mara nyingi ila sjawahi fika hii sehem

  • @nassirmohd6850
    @nassirmohd6850 4 года назад +21

    Jamani tumuogopeni Allah ( s w) tuwacheni shriki hata kama mtajaribu uitetea vp lakini hiyo ni shriki.

    • @aminahamis9343
      @aminahamis9343 4 года назад +2

      Ni nijumba cha mizimu sasa amenaswa kua ni mshirikina sasa anasema ni msikiti mshirikina mkubwa watu kama hawa ndio wanaofanya waisilamu tukaambiwa tunaabudu majini.

    • @fatumamwalimu5765
      @fatumamwalimu5765 4 года назад

      @@aminahamis9343 tena sana ,uwa wananihudhi, Allah anisamehe

  • @zeitunkullow5198
    @zeitunkullow5198 3 года назад +2

    Usiiiiite msikiti huu si msikiti mumezidi kweli hamuogopi mungu 😭😭

  • @biebaraka3258
    @biebaraka3258 3 года назад +1

    Washirikina hawa. Musiuwaribu uislamu. Yasikitisha sana Allah atawahukumu vibaya sana. Ebu msikiye huyu mtu mzima ooovyooooo. Kuja hapa na kuuuthalilisha uislmu

  • @saumjengi8184
    @saumjengi8184 3 года назад +2

    Subhannallah

  • @mimitijara4806
    @mimitijara4806 3 года назад

    Subhanaallah dunia ime kwisha mungu atatuazibu kwa matendo yenu Allah tupe nusuru waja wake Allah karém

  • @mosaidi2633
    @mosaidi2633 4 года назад +9

    Mwandishi tumia weledi wako ili watu wajuwe hili tukio linafanyika wapi na unamhoji nani

  • @fatmayusuf9631
    @fatmayusuf9631 3 года назад +1

    Subhanallah mungu awaongeze jamii hiyo

  • @MwinyihamisiNgoloweta-ek5ye
    @MwinyihamisiNgoloweta-ek5ye 6 месяцев назад

    Inshallah Mwenyezi Mungu atauharibu

  • @sumayahfathi9413
    @sumayahfathi9413 4 года назад

    Subhanna llah Yarab Wape fahamu hawa waja wako, Wanaswali hawajuiwalitendalo,msikiti gani unakichuguu cha watu wawili then kitambaa cheupe na Chekundu Allahu akbaru, ni ushirikina

  • @mamadestiny8467
    @mamadestiny8467 3 года назад +1

    Shetani yuko kazini mungu wetu wa rehema tumrudie

  • @fatimahhassan5904
    @fatimahhassan5904 3 года назад

    ASTHAGH FIRU ALLAHU ADHWIM WA ATHUBU ILAYHI ..
    ALLAH SUBHANA WA TAALA ATUONGOZE SOTE UMMATHY MUHAMMAD SWALLA ALLAHU ALAIYHI WA SALAM.

  • @kiri5807
    @kiri5807 3 года назад +1

    Subhanallah kumbe wanautumilia kwa mambo yao ya jadi mwaka kogwa.

    • @nawwarsultwaan6404
      @nawwarsultwaan6404 3 года назад +1

      Subhanallaaaaaaaaaaaah wallah Astaghafirullaah Astaghafirullaah

    • @kiri5807
      @kiri5807 3 года назад

      @@nawwarsultwaan6404 mtihani mkubwa

  • @husnaali1610
    @husnaali1610 Год назад

    Subhanaallah,jamani mtihani Zanzibar ss tunaogopa hiyo ninyumbayambungu mnafanyaivo

  • @mohammedrajab595
    @mohammedrajab595 4 года назад

    Na hawana tofauti na wale washirikina waloingiza masanamu ndani ya alqaaba na uislamu ha u na kuendeleza jadi wala mila zisizo na kumtakasa Yeye Mungu(Allah)

  • @cudoplatnumz5618
    @cudoplatnumz5618 4 года назад +6

    Heeeee!

  • @samoocoolingsystem93
    @samoocoolingsystem93 4 года назад +3

    Wangapi Wameuelewa Msikiti Kichaka

    • @twahahango3968
      @twahahango3968 3 года назад +2

      Nahisi ni sehem ya jadii lkn pia yafaa kuswaliaa....ila mushkili wake ni hivo vinyago kandoni mwa qiblq

  • @hawakiza6067
    @hawakiza6067 3 года назад

    Innalilahi wainnailaih rajiun, mashekh waje wayasikie haya watolee fatwa sijawahi sikia msikit wenye masharti km huu

  • @naseer.shariff
    @naseer.shariff 3 года назад +1

    SUB HAANA ALLAH. UTAKATIFU NI WA ALLAH PEKEYAKE. HUYU MZEE KITU CHA KWANZA HAUJUI UISLAM. LA PILI HAYO SIJUI NI MASANAMU AU NI WATU NA KAMA NI WATU ITAKUWA AJE MWANAMKE NA MWANUME WATAINGIA AJE PAMOJA? TENA MWANAMKE AKAE MBELE NA MWANAUME AKAE NYUMA. HILO HALIWEZEKANI KABISAA KWANI HUO NIUSHIRIKINA ULIO WAZI KABISAA...

  • @ibramalofa9913
    @ibramalofa9913 4 года назад +3

    Washirikin wkbw nyie laana ziwe juu yn In shaa allah

    • @mwakahassan8742
      @mwakahassan8742 4 года назад

      @@sahimm4767 una busara sanaaa Allah akuzidishie AMIN Allah awahidi atuhid na sisi yarab

  • @siriyangu4724
    @siriyangu4724 4 года назад

    Subhuana Allah mungu pekee ndio ataweza nitatulia shinda mckiti uyo ata ikiingia uwezi swali kwa roho kkupasuka hujui nni kitakutokea mmmh mungu anayaona yale wanayo mcgizia kwa kuficha yao ipo cku kila kitu kitakuwa wazi ulewao ule wao wale wanao mcgizia mungu

  • @zenaycechanzinho6702
    @zenaycechanzinho6702 3 года назад +1

    QALU innalilah wainna ilayh rajoon

  • @fatmasaid3683
    @fatmasaid3683 4 года назад +17

    It’s a complete shirki cause hakuna msikiti unaokuwa na vitu Kama hivyo....jamaa anazuga mshirikina.

    • @sulealim7336
      @sulealim7336 4 года назад

      hizo jadi zao ni shirki tupu na ndomana mwaka kwao ni kitu kikubwa na hufanyika maasi ya kila namna ukiwauliza hii mmepata wp hawana jibu

    • @ramadhansadallah9894
      @ramadhansadallah9894 4 года назад

      Mh upo bi Fatma?

    • @abumuhidin6842
      @abumuhidin6842 3 года назад

      Ndiyo sheriki

  • @khamismohd8616
    @khamismohd8616 4 года назад +3

    Subhanallah

  • @chiefmahucha6847
    @chiefmahucha6847 3 года назад +2

    Mtangazaji una SAUTI ya DHAHABU isee..!
    Big up..! Natamani siku moja nikusikie BBC,VOA,DW, CNN, ALJAZEERA, Radio Japan n.k
    Inshallah

    • @muhammedaliy9416
      @muhammedaliy9416 3 года назад

      Ana sauti ya dhahabu lakini nakwita weye na mimi katika chuma kichafu kilokomaa na kuchu

    • @chiefmahucha6847
      @chiefmahucha6847 3 года назад

      @@muhammedaliy9416 hajatualika tukaswali bhana, kasema tukajonee

  • @allykhalidy1992
    @allykhalidy1992 3 года назад +1

    Huo ushirikina hakuna msikiti hapo mmeweka masanamu midoli Allah awatoe ktk ujahil

  • @salimharrasy7047
    @salimharrasy7047 4 года назад +12

    Ushirikina huoooo!

  • @falidiamiiamii-jz5pf
    @falidiamiiamii-jz5pf 6 месяцев назад

    Subhanallah allah atuongz kw sot

  • @aishaabdallah7422
    @aishaabdallah7422 3 года назад

    Subhana llah mtihani mkubwa huo hiyo ninyumba yakuabudia?tumuogope mungu kesho tutaenda kuulizwa.hayo mambo yajadi hayamo ktk uislam

  • @marcntwari4012
    @marcntwari4012 3 года назад +1

    Damu ya yesu itembeye ndani

  • @user-fy6ck9di1f
    @user-fy6ck9di1f 2 месяца назад

    Ahsate Sana Kwa ujumbe mzuri

  • @muhsinkimaro4283
    @muhsinkimaro4283 5 месяцев назад +1

    Wazanzibar na mila za hovyo wanaongoza, misikiti mnaihusihaj na mambi ya hvyo, unaswal huku kuna makitu km mizim ya watu ndan, muogopen Allah

  • @salimndicu7083
    @salimndicu7083 6 месяцев назад

    Waaa Ndio gani tena hizi.. innallillahi wainna illaihi rajiun.

  • @GcFd-s8t
    @GcFd-s8t 6 месяцев назад

    Jaman uwo ni ushirikina kabisaaaaaaaah bila kuuliza na mazungumzo ya uyo mzee niushilikina kabisaa ALLah anakuona we mzeee badilika msahada upo Kwa ALLah

  • @kiri5807
    @kiri5807 3 года назад +6

    inaonekana huyu mzee kuna kitu anaficha . itakuwa hapa toka kipindi hicho ni mahala pa mizimu yao na hapo aliposema kuwa watu wakitoka huko wanakuja kwa mzee ni ktk majini na ndio maana akajitia majina hawakuyapata maana hataki kutaja majina ya wale majini , km ni historia ya binaadamu kweli majina yao yangejuulikana hata km miaka milioni . na hilo jiwe analojidai ni makaburi ya hao wazee ni kuwa mzimu umetokea kuweko makaburini . Mimi nna imani naamini aloyasema yote ni nonsense ukweli alokuwa akiitwa mzee ni jini wakija wakimuomba na hapo ni mzimuni kwao .

    • @gpo6823
      @gpo6823 2 года назад

      Kweli, ni wachawi hawa.

  • @omarabdallah372
    @omarabdallah372 3 года назад

    Subhanallah. Funga Safari nenda Makkah na madinnah huko ndo kuna miskiti yenye fadhila kubwa

  • @user-hb8vi9fx6g
    @user-hb8vi9fx6g 4 года назад +22

    KISHA KUA KILINGE CHA UGANGA HICHO SAFISHENI NYUMBA YA MWENYEZI MUNGU

    • @wangonamuhange8218
      @wangonamuhange8218 4 года назад

      Sio nyumba ya mwenyezi mungu mungu hana nyumba.sema.nyumba.ya.ibada

    • @bennymochiwa4800
      @bennymochiwa4800 4 года назад

      yani kuna watu wanapenda ligi!!!???

    • @aminaally2014
      @aminaally2014 3 года назад

      Mtihani ALLAH atustiri hadi leo watu hawaamini imani ya kiislam

  • @zulekhaa6817
    @zulekhaa6817 2 месяца назад

    Msikiti wa mwanzo usiokuwa w haki wa mwanzo ni ule masjidi dhirarah, kwa hiyo sio ajabu kusikia jina linaitwa msikiti, lkn mbele ya Allah sio msikiti, utabakia kwao wao tu.
    Allah atuongoze kwenye haki.

  • @fadhilahussein3581
    @fadhilahussein3581 4 года назад +2

    Wenyewe walijenga kwa ajili ya kuswaliya lkn nyinyi mmeugeuza kuwa kilinge

  • @nurutv1322
    @nurutv1322 4 года назад +1

    haukuna msikiti hapo ni ushirikinatu wafanya kupitia dini ya mwenyezi Mungu

  • @jamilajumaa2980
    @jamilajumaa2980 4 года назад +3

    AstaghafiruAllah SubhanaAllah Allahu Akbar yarab stara

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 2 года назад

    Mzee msikiti ni nyumba ya ibada ya mwenyezi Mungu mbali na hapo ni uganga tena achen kutuma kofia ya din kwa faida zenu

  • @halimasalim3985
    @halimasalim3985 3 года назад

    Ina lillahi waina ilehi rajiun. Kama ni kuabudu Allah mbona hizo mifano. AsbiAllahu wanemal wakeel

  • @user-um3ci6qs5p
    @user-um3ci6qs5p 6 месяцев назад +1

    Huyo mzee ni mshirikina msikit hauna mambo hayo

  • @aminahusein6236
    @aminahusein6236 4 года назад +1

    Mh imamu wake nani huo mckiti,laa tushrik billahi inna shirka ladhulmun 'adhiim

  • @binthkhamisi1097
    @binthkhamisi1097 4 года назад

    SubhanAllah mungu atyunusur

  • @ImaniTinda-h6x
    @ImaniTinda-h6x 9 дней назад

    Daaa kweli uislam ushirikina

  • @shalemu
    @shalemu 6 месяцев назад

    Subuhanallah

  • @mioszpiotrowski1467
    @mioszpiotrowski1467 3 года назад

    Sahihi kabisaa nishiriki kubwasana nawanapatadhambi kubwasana na uislam haukufundishahivo ndani yamsikiti muweivoo astaghafirullah laadhim Allah tunusuru naimanihii huu nimsiba mkubwasaanna inahuzunishasana

  • @JonasAmisiheradi
    @JonasAmisiheradi 5 месяцев назад

    Bwana Sauti Biogo, tume kufwata vizuri sana kabisa tokea Lubumbashi Wantashi DRC CONGO Allah akulipe.

  • @dumejengo4308
    @dumejengo4308 4 года назад +1

    Mnaenda mizimni alaf mnasema msikitiii....wamakunduchii mjitathmin zaidi baadh yenu. Na wengi wetu tujitathmin tuachane na ibada za mizimuuuuu

    • @wangonamuhange8218
      @wangonamuhange8218 4 года назад

      Ww jena lako jengo ilo.jina LA jengo ni jina LA.mizimu kama unge taka.ivo usijiite jengo jiite majina ya.kitumwa au.ya.kialabu ili.uwe.sahihi

  • @ilhamsaid587
    @ilhamsaid587 4 года назад

    Hii ni panga si mskiti MwenyezMungu atuhifadhi na shirki atusamehe dhambi zetu ya Rabb

  • @fatumaramadhanmashaallahal9966
    @fatumaramadhanmashaallahal9966 4 года назад

    Ina lilah waina ilahi rajiu yarabi tunusuru na balaa za dunia inshaallah

  • @saudmohammed3390
    @saudmohammed3390 3 года назад

    Mungu awasamehe huo siyo uislam ni ushirikina mtupu

  • @kanalabdillahgaddafi5458
    @kanalabdillahgaddafi5458 3 года назад +1

    Washirikina tu hao,hakuna msikiti wa aina hio,acheni kuitia doa dini ya Mwenyezimungu.

  • @pilichambo1107
    @pilichambo1107 4 года назад

    Hawa ndo wanaosababisha uislaam uonekane kua ni dini ya kishetani shirki mbaya sana,innalillah wainnaileykh rajion

  • @rizikinassor5618
    @rizikinassor5618 5 месяцев назад

    Innallillahi wainna ilayhi rajiuun😮🇰🇪

  • @mabrouksaleh2472
    @mabrouksaleh2472 4 года назад +2

    Mzee wacha shiriki ndani ya misikiti ya Allah nyiny ni wa kutiwa adabu

    • @aminahamis9343
      @aminahamis9343 4 года назад

      Wakachapwe vibiko kwa kudhalilusha uisilam halafu hicho kinyumba cha vigango kichomwe eti vitu vya jadi mmmmmh mshirikina huyu Babu aibu nimemshika mkono.

  • @khadijahamdoun4986
    @khadijahamdoun4986 4 года назад +2

    Washenzi kweli hawa . Mtu mzima hata aibu hana kanzu kubwa lakini halina maana .

  • @rayaseif7226
    @rayaseif7226 5 месяцев назад

    Innalillah waina ilayh rajoun
    Mtihan mzito 😢