UTAOGOPA ! MAAJABU YALIOMO KWENYE MSIKITI HUU ZANZIBAR "MSIKITI KICHAKA"
HTML-код
- Опубликовано: 17 сен 2024
- Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
Wasiliana nasi kupitia number
+255 625 323 932
Ktv Tz Online Journalists
cc: Sadia Rashid
cc: Juma Maulid
cc: Masoud Maganga
cc: Sauti Byego
cc: Maryam Busara
Camera Department"
Dadi Ali
Mwarabu Mmadi
Nassor Shaibu
Abdallah Dula
Editors:
Juma Maulid
Video Zingine:
Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
- Ali Kiba akiwa Oman
• ALICHOKIFANYA DIAMOND ...
• NI KWELI ALI KIBA AMNU...
Subhana Allah hao ni washirikina inna lillahi wa inna ilayhi raji3n Allah atujaalie mwisho mwema
Uchawi tu ndo maana hatuendelee subuhallah may Allah have mercy on us
Walahi tena inasikitisha tena sana mwenyezi mungu atukinge na mambo kama hayo
Usenge uo babu
Yaani kila wanapotoa history wanageuza wanaenda fanya mchawi
Hakuna msikiti wa aina hiyo washirikina wakubwa
😀😀😀😀😀😀
😂😂😂😂😂😂
N
Haswaa
Ushirikinaaaa
binafsi sikuwahi kufikiria kama kutaweza kua na msikiti namna hii.. Allah atunusuru kwa kila kisichokua cha uhalali kwake... Allah tusamehe makosa yetu
Allah atuepushe na haya pamoja na mengine anayoyachukia
Ya Allah wasamehe waja wako na uwaongoze njia ilionyooka .hii ni shirk wala hakuna shaka ..maskin hawajui walitendalo.nawaombea Allah awasaidie.
Masanamu hayo
Bora mmejionea wenyee wanavyo hangaika nauchawi
Toka huko dada yangu umepotea
Allah ni mkubwa naomba likes zenu
Unamaanisha nini
Dah MTIHANI MKUBWA sana, ALLAH awaongoze
Inalillah wainna ilayh raajiuun hiyo nishirk Allah atuongoe inshaa'Allah
Si mskiti uwo ni pangoni kwa kwenda kuomba mizimu, Allah ni epushe na hayo
Innaalillahi wainnaailayhirajiun,Ewe mzee usiutie aibu uislam na zanzibar kwa ujumla naomba badilisha jila la hiyo nyumba na acheni hiyo shirki kwani hiyo ndio moja ya madhambi makubwa mbele ya Allah.
Naayana msamaa nari jahanam ndio msamaha wake
Hio ni shirki tena kubwa
Allah atustiri
Amin
Ameen yaa Rabbil allamiin
Wallah ni shirk kubwa Sasa hvyo vitambaa ni vya nn hapo ndni mnaharibu maana ya Jina la msikiti haina sofa hzo. Iteni tu kichakani
Innalillah wainnailaih rajoun اللهم إني أعوذبك ان 😢أشرك بك بما أعلم ومما لا أعلم
Allah awaongoze coz hiyo in shirk
Wachawi wakubwaa wachen ushirikina muogopen Allah mukumbuk km kuna kiama jmn mhhhh
Tena we mzee umelipigia kifua hili inaa lillaah wa innaa ilaihi raajiun we mzee mrudie mungu hakuna uislamu uliotuamrisha kua tueke vitambaa vyeupe na vyekundu misikitini isipokua munaabudia marohani na masubiani acheni shirki mara moja kabla Allah hajachukua roho yako
Mtihani kwa kweli Allah atuongoze na atudumise katika hakki
Mzee wangu rudi kwa Allah acha kusimamia shirki
Duh iko ni kiringe
@@ramadhanmtetu1947 kirige n nini maana yke
Hao ni wamotoni bila shaka
Nimswiba kwakwel Allah anawaona 😠
Astaghfirullah, msikiti gani huwo, wacheni umalaya. Washirikina wakubwa
+255778742459
Astaaghfirullaaah! Wacheni mambo ya shirki hayo. Allah akuongozeni kwa kweli. Na sisi pia tunaomba uongofu kutoka kwake, but nyinyi mmezidi. 2020 bado kuna ujinga wa aina hii? 😭😭😭
Aaah rudini kwa Allah (s.w)
Allah akuongowe mzee wetu usijekufa na ushirikina wako
Allah.
Atuhidi.
Amiin.
Amiin
Subhaana'Allaah huo sio msikiti ni mzimu kwa nn hakuokotwi kitu
SubhanaAllah....
SubhanaAllah Innalilah wainaillah Rajiun Shirki hizii tuziachenii janabi haifai
Subhanallah Yarabi tujaalie mwisho mwema utuepushe na shirki
Wao wenyewe shida tele wanazo watamsaidia nani
DHIKRI FIKRI SHUKRI SUBRI QABRI.............
Heee Maajabu haya
Mzee kakomaa Ooooh ni Nsikiti
Mzee mrudie Mungu wako
Nsikiti voo
Kaz yenu kuchafua uislam tuuuu Allah anakuoneni mtakwenda kumjibu muogopeni Allah jamani
Inna Lilah ondosheni hivyo vitu hakuna mskiti was aina hio wandugu
Hakuna aina ya msikiti kama humu hii ni shiriki Allah awasamehe hamjui mtendalo
Kabisa misikiti tunaoijua aiko hivyo, hivo vitambaa vyekundu ni uchawi kabisa
Huo sio msikiti hiyo ni nyumba ya mizimu tusidanganyane
Subhana llah
This is the shirq of association 🙏🙏🙏🙏
Mungu aliye hai sf zake nataka mjue watu wote wadini zote mungu aliye hai aliyeumba mbingu na nchi na city vyote hashirikiani na majini Wala mashetani Wala falaki yoyote hizo ni elimu ngeni Kama dini yako inashirikiana na majini na falaki hiyo ni jehanam
SubhanaAllah
peace ,love and understanding will make this man remembered by underprivileged society world wide Jah Rastafarah.
washirikina wakubwa mungu wajaeka vitu hivo walatume hajaweka vitu kama hivo ingelikua kuna ulazima wa misikiti kutukuzwa watu kwakuwekewa vitambaa hivo angwekewa nabii muhammad
Subhannallah, Allah awanusuru kutokana na bidhaa zao, huo ni upotofu wa hali ya juu, Ushirikina mkubwa mno, hamna msikiti ulo na nembo kama hizo, ungeanzwa kuwekwa wa mtume SAW mwanzo.
Hapo Wacrist ndipo anapo Shangazwa na Imani ya Dini yangu ya Islam. Wacheni Upuuzi Wamakunduchi
Umeona ee
Jaman nyumban kabisa dah wamakunduchi wenzangu mnakwama wapi 😭😭😭😭😭yani nishakwenda makundichi mara nyingi ila sjawahi fika hii sehem
Jamani tumuogopeni Allah ( s w) tuwacheni shriki hata kama mtajaribu uitetea vp lakini hiyo ni shriki.
Ni nijumba cha mizimu sasa amenaswa kua ni mshirikina sasa anasema ni msikiti mshirikina mkubwa watu kama hawa ndio wanaofanya waisilamu tukaambiwa tunaabudu majini.
@@aminahamis9343 tena sana ,uwa wananihudhi, Allah anisamehe
Usiiiiite msikiti huu si msikiti mumezidi kweli hamuogopi mungu 😭😭
Washirikina hawa. Musiuwaribu uislamu. Yasikitisha sana Allah atawahukumu vibaya sana. Ebu msikiye huyu mtu mzima ooovyooooo. Kuja hapa na kuuuthalilisha uislmu
Subhannallah
Subhanaallah dunia ime kwisha mungu atatuazibu kwa matendo yenu Allah tupe nusuru waja wake Allah karém
Mwandishi tumia weledi wako ili watu wajuwe hili tukio linafanyika wapi na unamhoji nani
Subhanallah mungu awaongeze jamii hiyo
Inshallah Mwenyezi Mungu atauharibu
Subhanna llah Yarab Wape fahamu hawa waja wako, Wanaswali hawajuiwalitendalo,msikiti gani unakichuguu cha watu wawili then kitambaa cheupe na Chekundu Allahu akbaru, ni ushirikina
Shetani yuko kazini mungu wetu wa rehema tumrudie
ASTHAGH FIRU ALLAHU ADHWIM WA ATHUBU ILAYHI ..
ALLAH SUBHANA WA TAALA ATUONGOZE SOTE UMMATHY MUHAMMAD SWALLA ALLAHU ALAIYHI WA SALAM.
Subhanallah kumbe wanautumilia kwa mambo yao ya jadi mwaka kogwa.
Subhanallaaaaaaaaaaaah wallah Astaghafirullaah Astaghafirullaah
@@nawwarsultwaan6404 mtihani mkubwa
Subhanaallah,jamani mtihani Zanzibar ss tunaogopa hiyo ninyumbayambungu mnafanyaivo
Na hawana tofauti na wale washirikina waloingiza masanamu ndani ya alqaaba na uislamu ha u na kuendeleza jadi wala mila zisizo na kumtakasa Yeye Mungu(Allah)
Heeeee!
Wangapi Wameuelewa Msikiti Kichaka
Nahisi ni sehem ya jadii lkn pia yafaa kuswaliaa....ila mushkili wake ni hivo vinyago kandoni mwa qiblq
Innalilahi wainnailaih rajiun, mashekh waje wayasikie haya watolee fatwa sijawahi sikia msikit wenye masharti km huu
SUB HAANA ALLAH. UTAKATIFU NI WA ALLAH PEKEYAKE. HUYU MZEE KITU CHA KWANZA HAUJUI UISLAM. LA PILI HAYO SIJUI NI MASANAMU AU NI WATU NA KAMA NI WATU ITAKUWA AJE MWANAMKE NA MWANUME WATAINGIA AJE PAMOJA? TENA MWANAMKE AKAE MBELE NA MWANAUME AKAE NYUMA. HILO HALIWEZEKANI KABISAA KWANI HUO NIUSHIRIKINA ULIO WAZI KABISAA...
Washirikin wkbw nyie laana ziwe juu yn In shaa allah
@@sahimm4767 una busara sanaaa Allah akuzidishie AMIN Allah awahidi atuhid na sisi yarab
Subhuana Allah mungu pekee ndio ataweza nitatulia shinda mckiti uyo ata ikiingia uwezi swali kwa roho kkupasuka hujui nni kitakutokea mmmh mungu anayaona yale wanayo mcgizia kwa kuficha yao ipo cku kila kitu kitakuwa wazi ulewao ule wao wale wanao mcgizia mungu
QALU innalilah wainna ilayh rajoon
It’s a complete shirki cause hakuna msikiti unaokuwa na vitu Kama hivyo....jamaa anazuga mshirikina.
hizo jadi zao ni shirki tupu na ndomana mwaka kwao ni kitu kikubwa na hufanyika maasi ya kila namna ukiwauliza hii mmepata wp hawana jibu
Mh upo bi Fatma?
Ndiyo sheriki
Subhanallah
Mtangazaji una SAUTI ya DHAHABU isee..!
Big up..! Natamani siku moja nikusikie BBC,VOA,DW, CNN, ALJAZEERA, Radio Japan n.k
Inshallah
Ana sauti ya dhahabu lakini nakwita weye na mimi katika chuma kichafu kilokomaa na kuchu
@@muhammedaliy9416 hajatualika tukaswali bhana, kasema tukajonee
Huo ushirikina hakuna msikiti hapo mmeweka masanamu midoli Allah awatoe ktk ujahil
Ushirikina huoooo!
Hiii shirk dhahirii
SubhanaAllah
Subhanallah allah atuongz kw sot
Subhana llah mtihani mkubwa huo hiyo ninyumba yakuabudia?tumuogope mungu kesho tutaenda kuulizwa.hayo mambo yajadi hayamo ktk uislam
Damu ya yesu itembeye ndani
Ahsate Sana Kwa ujumbe mzuri
Wazanzibar na mila za hovyo wanaongoza, misikiti mnaihusihaj na mambi ya hvyo, unaswal huku kuna makitu km mizim ya watu ndan, muogopen Allah
Waaa Ndio gani tena hizi.. innallillahi wainna illaihi rajiun.
Jaman uwo ni ushirikina kabisaaaaaaaah bila kuuliza na mazungumzo ya uyo mzee niushilikina kabisaa ALLah anakuona we mzeee badilika msahada upo Kwa ALLah
inaonekana huyu mzee kuna kitu anaficha . itakuwa hapa toka kipindi hicho ni mahala pa mizimu yao na hapo aliposema kuwa watu wakitoka huko wanakuja kwa mzee ni ktk majini na ndio maana akajitia majina hawakuyapata maana hataki kutaja majina ya wale majini , km ni historia ya binaadamu kweli majina yao yangejuulikana hata km miaka milioni . na hilo jiwe analojidai ni makaburi ya hao wazee ni kuwa mzimu umetokea kuweko makaburini . Mimi nna imani naamini aloyasema yote ni nonsense ukweli alokuwa akiitwa mzee ni jini wakija wakimuomba na hapo ni mzimuni kwao .
Kweli, ni wachawi hawa.
Subhanallah. Funga Safari nenda Makkah na madinnah huko ndo kuna miskiti yenye fadhila kubwa
KISHA KUA KILINGE CHA UGANGA HICHO SAFISHENI NYUMBA YA MWENYEZI MUNGU
Sio nyumba ya mwenyezi mungu mungu hana nyumba.sema.nyumba.ya.ibada
yani kuna watu wanapenda ligi!!!???
Mtihani ALLAH atustiri hadi leo watu hawaamini imani ya kiislam
Msikiti wa mwanzo usiokuwa w haki wa mwanzo ni ule masjidi dhirarah, kwa hiyo sio ajabu kusikia jina linaitwa msikiti, lkn mbele ya Allah sio msikiti, utabakia kwao wao tu.
Allah atuongoze kwenye haki.
Wenyewe walijenga kwa ajili ya kuswaliya lkn nyinyi mmeugeuza kuwa kilinge
haukuna msikiti hapo ni ushirikinatu wafanya kupitia dini ya mwenyezi Mungu
AstaghafiruAllah SubhanaAllah Allahu Akbar yarab stara
Mzee msikiti ni nyumba ya ibada ya mwenyezi Mungu mbali na hapo ni uganga tena achen kutuma kofia ya din kwa faida zenu
Ina lillahi waina ilehi rajiun. Kama ni kuabudu Allah mbona hizo mifano. AsbiAllahu wanemal wakeel
Huyo mzee ni mshirikina msikit hauna mambo hayo
Mh imamu wake nani huo mckiti,laa tushrik billahi inna shirka ladhulmun 'adhiim
SubhanAllah mungu atyunusur
Daaa kweli uislam ushirikina
Subuhanallah
Sahihi kabisaa nishiriki kubwasana nawanapatadhambi kubwasana na uislam haukufundishahivo ndani yamsikiti muweivoo astaghafirullah laadhim Allah tunusuru naimanihii huu nimsiba mkubwasaanna inahuzunishasana
Bwana Sauti Biogo, tume kufwata vizuri sana kabisa tokea Lubumbashi Wantashi DRC CONGO Allah akulipe.
Mnaenda mizimni alaf mnasema msikitiii....wamakunduchii mjitathmin zaidi baadh yenu. Na wengi wetu tujitathmin tuachane na ibada za mizimuuuuu
Ww jena lako jengo ilo.jina LA jengo ni jina LA.mizimu kama unge taka.ivo usijiite jengo jiite majina ya.kitumwa au.ya.kialabu ili.uwe.sahihi
Hii ni panga si mskiti MwenyezMungu atuhifadhi na shirki atusamehe dhambi zetu ya Rabb
Ina lilah waina ilahi rajiu yarabi tunusuru na balaa za dunia inshaallah
Mungu awasamehe huo siyo uislam ni ushirikina mtupu
Washirikina tu hao,hakuna msikiti wa aina hio,acheni kuitia doa dini ya Mwenyezimungu.
Hawa ndo wanaosababisha uislaam uonekane kua ni dini ya kishetani shirki mbaya sana,innalillah wainnaileykh rajion
Innallillahi wainna ilayhi rajiuun😮🇰🇪
Mzee wacha shiriki ndani ya misikiti ya Allah nyiny ni wa kutiwa adabu
Wakachapwe vibiko kwa kudhalilusha uisilam halafu hicho kinyumba cha vigango kichomwe eti vitu vya jadi mmmmmh mshirikina huyu Babu aibu nimemshika mkono.
Washenzi kweli hawa . Mtu mzima hata aibu hana kanzu kubwa lakini halina maana .
Innalillah waina ilayh rajoun
Mtihan mzito 😢