Rais mstaafu wa Zanzibar Amani Abeid Karume "afunguka"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 31 янв 2025

Комментарии • 83

  • @yasminjuma663
    @yasminjuma663 3 года назад +4

    Mungu akuzidishie Afya Rais wetu karume. Majibu yako yapo vzr. Sahihi kabisa

  • @FadhilyOthman
    @FadhilyOthman 10 месяцев назад +1

    Allah akulipe kila la kheir

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima5674 3 года назад +5

    Well said!

  • @ahmedalbalushi6239
    @ahmedalbalushi6239 8 месяцев назад

    Big leader in Zanzibar

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433 3 года назад +4

    Hongera sana Mstaafu ulifanyakazi kubwa sana kuijenga Zanzibar baada ya kuipokea ikiwa hali mbaya sana. Nitataja baadhi tu ya mazuri:-
    1. Uliimarisha sana miundombinu na kueneza simu za mkononi kwa wananchi wote.
    2. Ulijenga Ofisi za Serikali tuliachana na nyumba za Wakoloni kuwa Ofisi ya Serikali.
    3. Uliajiri vijana wengi sana, ajira nje nje.
    4. Uliwalipa Wastaafu kwa wakati.
    5. Uliongeza maradufu viwango vya mishahara.
    6. Ulikuwa "Born town) hukuonesha ukanda, Upemba wala Uunguja.
    7. Kuonesha nia dhabiti kuleta maridhiano ya kisiasa Zanzibar.
    Mimi nakupongeza sana na kukushauri umuoneshe njia Dr. Hussein Mwinyi anajitahidi sana LAKINI ameshapotea wananchi hali ngumu sana msaidieni.

  • @abdallaabeid4251
    @abdallaabeid4251 3 года назад +9

    Kiongozi makini, well said!

  • @mohdyussah825
    @mohdyussah825 3 года назад +5

    🇦🇪 Great dad 👨 thanks ❤

  • @Sheba4651
    @Sheba4651 3 года назад +1

    Yarabi.

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 3 года назад

    Inataka kama hivi.. walokuwa Ma Rais wote Zanzibar, wawe kama Mh. Amani Abeid Karume kwa roho safi.. Mungu akuhifadhi akupe mwisho mwema. Amin

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf 3 года назад +6

    Sawa sawa Baba wa shangazi Fatma Aman Abeid Karume Allah azidi kukupa umri mrefu na afya njema zaid Aaameen.

    • @abdularuffin9308
      @abdularuffin9308 3 года назад +1

      Msema kweli mpenzi wa mungu lakini mama hawezi kazi anapelekwa pelekwa tu watu wananyanyaswa sana na sesta binafsi wafanyakazi hawawajali wafanyakazi

    • @omakywazamani6696
      @omakywazamani6696 3 года назад +1

      Ni kweli kwamba n'a dhaifu huyu mama nilidhani amejifunza kwa jpm kumbe kajizunza kwa Kikwete na mkapa na cheni upuzi mtupu

    • @yasminjuma663
      @yasminjuma663 3 года назад

      Huyo mama kaekwa na Mungu ndio mwenye uwezo..mwacheni muombeeni dua. Hao vidume pia Mambo yote hawakuyaweza hakuna mkamilifu

  • @nassoromussa2423
    @nassoromussa2423 3 года назад +20

    Nimependa sana Charles Hilar anavyohoji, waandishi wachanga jifunzeni kwa mkongwe huyu.

  • @handhalhandhal4608
    @handhalhandhal4608 3 года назад +4

    Well spoken

  • @yunussothman7422
    @yunussothman7422 3 года назад +3

    Ntawaona wanangu tu yarabi 😂😂😂😂😂😂

  • @hilalalhabsi2047
    @hilalalhabsi2047 3 года назад +1

    MZEE AMANI UNGEMPONDA FATMA KARUME WETU PASINGETOSHA😂😂😂😂😂😂

  • @malelabmalela5016
    @malelabmalela5016 3 года назад +1

    Jaman

  • @saidimwanyiro5147
    @saidimwanyiro5147 3 года назад +8

    Mtaona wanangu tu yarabii 😁😁😁

  • @oscarurio1176
    @oscarurio1176 Год назад

    Mwenyazi Mungu akupe afya ya hekima zako

  • @AbdallahSalim-is3db
    @AbdallahSalim-is3db 8 месяцев назад

    Kuna kabila la watu .. wanaitwa watumbatu hawa mima nawaombea na wao wateuliwe kushika nafasi ya uraisi. Mbona kimya sana kuhusu watu hawa na nafasi hio..

  • @sayihamisi941
    @sayihamisi941 3 года назад +1

    Uko sawa

  • @ahmedimuhamed6267
    @ahmedimuhamed6267 3 года назад +3

    Hongera. Karume. Big up. Umetuletea umoja na serekali ya. Pamoja.

  • @Chalu_Dallas
    @Chalu_Dallas 3 года назад

    Big brother aka great dady msaidie hoseni kwa jambo moja thakala kwa Zanzibar lililopo kwenye jamii ww sahv ndo freedom fighter wetu hpa Zanzibar

  • @salehali976
    @salehali976 3 года назад +4

    Amani alijaribu kiasi. Lakini aliuwa watu wasiokuwa na hatia. Mimi siiamini CCM hata iweje.imani yao ni kwamba wao ndio wenye haki ya kutawala no matter what. Hili ndio kosa kubwa sana na litaendelea kujitokeza.

    • @raffeiystar2870
      @raffeiystar2870 3 года назад

      Alimuua nanib

    • @allysaid5800
      @allysaid5800 3 года назад

      @nameless Tanzania kwani wewe si mzanzibar huwez kujua alimuua nan

  • @hamismabula5813
    @hamismabula5813 3 года назад +3

    Anayehoji ana akili sana na anayehojiwa ana akili pia!
    Patamu hapo😂😂😂

  • @NR-ll4sr
    @NR-ll4sr 3 года назад +1

    Good question CH 👏

  • @charlesrwegalulila1069
    @charlesrwegalulila1069 3 года назад

    Nakukubali Sana mzee wetu

  • @DonDallas
    @DonDallas 3 года назад +3

    Hahaahaahajahajajajajaajjaajajaj nimecheka sana mwisho

  • @donpablo2651
    @donpablo2651 3 года назад +1

    IKIWA HIVO BASI MTAONA WANANGU TU YA RABII 🤣🤣🤣🤣🤣
    NIMEKUELEWA SIMBA MTOTO SANAAA TU

  • @ashiraphmisigaro7432
    @ashiraphmisigaro7432 3 года назад +2

    Nimependa mlivyohitimisha!😃

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho2361 3 года назад +2

    Viongozi wamejakiwa kuwa na maono namna ya kuwapata wasaidizi wao. Wasiasa wanaojiuza uza wajisaili.kwa nini viongozi wakuu hawaoni maono ndani mwao?

  • @fugameza6011
    @fugameza6011 3 года назад +1

    Ah sisikilizi ujinga

  • @amemasudi5735
    @amemasudi5735 3 года назад +5

    Mnapokuwa Madarakani hamuyajui hayo nyote lenu moja Kama ww hufanyi bas wenzio wanafanya Wana Nyumba mpka hawazijui mtafkiri mtaishi Milele juini Dunia Ina Mwisho

  • @ismailjuma3692
    @ismailjuma3692 3 года назад +2

    Ukisikia mstahamilivu hula mbivu ndio kama hivo,yaani hizo ni dua ambazo watu walikua wakiumia na kulalamika na bado itafika wakati mutalia hadharani kwa damu za watu na dhulma muoizozifanya.

  • @dossantoschannel1808
    @dossantoschannel1808 3 года назад +1

    Ko unahis wazanzibar wamesahau uliyoyafanya 2005

  • @abdulazizharthy5627
    @abdulazizharthy5627 3 года назад +3

    Dhulma ipo pale pale mnaweza kutudanganya sisi lakini sio Allah swt mume shirikiana na Nyerere Kufanya mavamizi na kuivuruga nchi na kuleta ubaguzi na kuiwa nchi kiuchumi na kuwapa nchi tanganyika bila maridhiano ya wazanzibari na kutaifisha majumba na mashamba ya watu lakini tunasema hasbiya llahu waneema al-wakil

    • @abilityno1799
      @abilityno1799 3 года назад

      Pole lakin sio wao niwazungu ndio walio washinikiza maana hawataki inch itawaliwe na mwaarabu.kama utabisha kumbuka kilicho mtokea magu baaada ya kuwapinga sana walimfanyaje?kwaiyo tuombe mungu atuepushe na mabeberu

    • @SuleimanMussa-x5i
      @SuleimanMussa-x5i 5 месяцев назад

      Mabeberu ni watanganyika ndio wanao tutawala ​@@abilityno1799

  • @saifaljahwai1880
    @saifaljahwai1880 3 года назад +1

    Walevi nyinyi hamna lakusema

  • @SuleimanMussa-x5i
    @SuleimanMussa-x5i 5 месяцев назад

    Kiongozi huyu sie alie tawala 2000 Zanzibar aka sababisha mauwaji pamoja na mkapa tuna sikia sana kuw waliuwa watuu pemba

  • @erastobartalome2709
    @erastobartalome2709 3 года назад +1

    Aman kunywa maji ya kimanjaro nitakupia umeib vizur

  • @aminattai2676
    @aminattai2676 3 года назад +9

    Wewe ulisema hukuchaguliwa na wazanzibari na kura yako moja inatosha,kuhusu suala la serekali ya mseto kabla kikwete kuingia madarakani alisema anachukizwa na mpasuko wa Zanzibar hivo jambo la kwanza akiingia madarakani ndilo atashuhulika nalo na serekali ya mseto haikuja wakati wa mkapa na karume,ilikuja wakati wa kikwete na karume,sasa sio karume alieleta mseto,uyo ni mwizi na muuaji na ndio alieleta umasikiti wa kutupwa Zanzibar kwa kuondoa uhuru wa biashara,watu walikua wanatoka sehem mbali mbali kutoka Tanzania yote na nchi za majirani kufuata biashara Zanzibar lakini ulipoingia wewe madarakani wazanzibari ndio wanafuata vitu bara ambavo vilikua vinafuatwa Zanzibar.

    • @omakywazamani6696
      @omakywazamani6696 3 года назад

      Hafai ni mwizi kama wezi wengine makazi yako ni jahanma tu huna lolote nzuri ulietenda wa Zanzibar na msishangae kumona mtu kama huyu kuka mda mrefu duniani ni kua watu wabaya huinshi mda mwingi ili kujaza ufisadi na dhambi wakifa mitoni

    • @mohamedhashimu9923
      @mohamedhashimu9923 3 года назад

      Uyu ni mshenzi sana yani awa wanafiki sana

    • @RashidAli-mm1uo
      @RashidAli-mm1uo 3 года назад

      @@omakywazamani6696 hapo kaka sikusapoti umeenda kinyume sana wewe na uchamungu wako wote na wema wako wote lakini bado huna nafasi na hiruhusiwi kumhukumu mwanadamu mwenzako moto

    • @seifabdulwahid4579
      @seifabdulwahid4579 2 года назад

      Ndo kawaida ya mlevi hajuwi anafanya nn na anasema nn?

    • @MohdIkra-d7s
      @MohdIkra-d7s 11 месяцев назад

      Jamani munakumbusha kilio matangani

  • @UdiMakame
    @UdiMakame 3 месяца назад

    Namkumbuka kwa kauli moja tuu, wakishaswali wanakwenda wap? wakajibu wanaroudi nyumbani kwao.. basi waacheni waswali...

  • @muhammadmuhammad5043
    @muhammadmuhammad5043 3 года назад +2

    Nimelipenda Suwali Nayeye Anajuwa Lakini Atashidwa Kujibu Kuhusu Fatma

  • @fakihdarusi4385
    @fakihdarusi4385 3 года назад +2

    Huyu Raisi mtaafu alinifurahisha IBARA YA 10 ya KATIBA ya ZANZIBAR alinikosha sana that's mpaka kesho anetaka kubadili lolote lazima aulize kwa wananchi....hahaha hahaha ,PIA KUIPA HADHI YAKE ZANZIBAR

    • @wardaheluwa734
      @wardaheluwa734 3 года назад

      Samahani Karume huyu niyupi jamani mbona nashidwa kuelewa tena mstaafu

    • @Ali-nl2du
      @Ali-nl2du 3 года назад

      @@wardaheluwa734 Huyu Aman Abeid Karume. Rais mstaafu wa ZNZ na mtoto wa rais wa 1 wa ZNZ. Pia ni baba wa Fatma Karume, aka Shangazi.

  • @gesusgegangphray7689
    @gesusgegangphray7689 3 года назад +1

    Hongera Sana Karume..Ila pia hakumshinda uchaguzi... washauri huku pia bara inakera Sana kuona ubaguzi

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 3 года назад

    Pole sana karume naona umezeheka sana kama mimi au pia unaumwa

  • @TheZanzibarstonetown
    @TheZanzibarstonetown 3 года назад

    Kiukweli awamu ya pili ulijitahidi, na uliweza kuondosha ubaguzi

  • @alriyamy613
    @alriyamy613 3 года назад

    Ccm niile ile jamani.

  • @jaanjaan111
    @jaanjaan111 3 года назад +1

    Karume usituletee pombe tatizo unalifahamu vizuri na liko wazi unajua kama hamukumbali kushindwa katika uchanguzi hilo ndilo tatizo unalijua na kulifahamu usindanganye watu danganya nafsi yako

  • @mohamedasaid7910
    @mohamedasaid7910 3 года назад +1

    Zanzibar was forced by American and British machination to be a Confederation with Tanganyika as the West feared radical politicians like Abdu Rehman Babu would hand over Zanzibar to the Soviet Union.
    Tanganyika Politicians once they got Zanzibar they are not ready to release it to be independent again.
    Thus why they rig elections without shame and the west release crocodile tears 😭
    So Zanzibaris when you see American and British diplomats remind them of their project of denying Zanzibar Independence.
    Their experiment failed in Iraq and Afghanistan and previously Vietnam.
    I hope the world will be free from their devious behaviour.

  • @haido.99
    @haido.99 3 года назад

    Gd

  • @saidmussaadam8591
    @saidmussaadam8591 3 года назад +1

    Nim ejifunza kitu kizuri ,jinsi anavyojibu maswali kwa ufasaha

    • @salimabdillah1623
      @salimabdillah1623 3 года назад

      Na hana mihemko, gentleman

    • @salimabdillah1623
      @salimabdillah1623 3 года назад +1

      Kiswahili sanifu ni Zanzibar

    • @MohdIkra-d7s
      @MohdIkra-d7s 11 месяцев назад

      Ah hum huyu hawezekani kwa utulivu wakat I wa kuzungumza Hana presha hafikirii maneno anajibu kwa wepes I t

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 3 года назад

    Wewe chai jaba pesa za wizi zinamaliza mana umetupeleka mchaka mchaka njaa kali miaka yako yote sasa umeishiwa

  • @shaksbinsalim453
    @shaksbinsalim453 3 года назад +4

    Hunaishu yamekupita ulishindwa ulipokuwa Rais kalale hunalolote umewapiga sana Zanzibar saiv unasema ujinga

    • @madinaomar679
      @madinaomar679 3 года назад

      😀😀😀

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 3 года назад

      @Mtanzania Halisi Mshukuruni Sana....kwa aliyo yafanya MWISHO WAKE...Alhamdullilah...

  • @madinaomar679
    @madinaomar679 3 года назад

    😀😀

  • @capteinchuimchafu7894
    @capteinchuimchafu7894 3 года назад

    Duuuuu

  • @jumaalhamid5242
    @jumaalhamid5242 3 года назад

    Kwenda zako mlevi mmoja huna lolote

  • @abubakarkhamis1749
    @abubakarkhamis1749 3 года назад +1

    😂😂🇹🇿

  • @masoudsalum9514
    @masoudsalum9514 3 года назад

    Tumemiss kumuona na Mstaafu wa awamu ya tano

  • @charleskingimwakasagule5752
    @charleskingimwakasagule5752 3 года назад

    Zanzibar ni ya watu wachache na hapa tunategemea mtoto wa sheni awe Rais

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 3 года назад

      Unahisi ni ya watu wachache lakini siyo..Na kwanini hawi Rais kama hivi...Mtoto wa Bw. Kombo, Haji, Majaaliwa, Vuai, Juma na wengi hapo Zanzibar wapo 😊 watu kutoka Mashamba...MSIWASAHAU...NA WAO PIA WANAYO HAKI YA KUCHAGULIWA...KUWA MA RAIS..

    • @MohdIkra-d7s
      @MohdIkra-d7s 11 месяцев назад

      Mtoto wa sheni hatuta kubali hatutakubali