KILICHOTOKEA SIKU YA KUUWAWA RAIS ABEID KARUME/RISASI ZILIPIGWA BALAA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 окт 2024

Комментарии • 87

  • @abdulrahmansalim9773
    @abdulrahmansalim9773 8 месяцев назад +1

    KUUWAWA KWA MUUWAJI WA WAZANZIBARI MWENYEZI MUNGU HAKUGHAFILIKA NA WATU WAOVU MADHALIM HAKI ATAILETA IN SHAA ALLAH AMEEN

  • @AllyHamran
    @AllyHamran 7 месяцев назад +1

    Mungu amlipe pepo Homoud Mohd Homoud yeye na wenziwe kwa wema mkubwa wa kumuuuwa kiumbe Karume.

  • @limbunyuguyu1573
    @limbunyuguyu1573 Год назад +2

    Dada uko vzr umehoji na kutuonyesha mambo ya Msingi sana hongera

  • @yudakassim1138
    @yudakassim1138 Год назад +2

    Mungu ampunguzie adhabu yakabuli inshallah

  • @DelightfulMacawBird-tl5hf
    @DelightfulMacawBird-tl5hf 5 месяцев назад

    M mungu akurehemu mzee wetu

  • @WinfridaZakayo-mj7co
    @WinfridaZakayo-mj7co Год назад

    Kumbe karume aliuliwa nilikua cjawahi kujua mtangazaji umefanya kazi nzuri 🎉🎉

  • @idrisasimba8501
    @idrisasimba8501 Год назад

    Hmmm memorandum of understanding.

  • @ahmadajafari7083
    @ahmadajafari7083 Год назад +3

    Mie nafaham vizuri sababu ya huyo mwanajeshi alika na cheo luteni sio cpt alikua mwarabu amempiga risasi kwaajili ya kulipiza kisasi cha baba ake ambae inasemekana aliuawa kwa anri ya rais karume wakati wa mapinduzi mie nafaham vizuri historia ya jambo Hilo lengo ilikua kuipindua serikali Kiongozo mkuu alikua conalAli mahfudh mie nilikua mwanajeshi wakati huo nikiwa na cheo Cha sgt

    • @selemanimakau9026
      @selemanimakau9026 Год назад

      Acha uongo mungu anakuona,na siku ya hukumu ukasimame useme ivoivo,unafikiri watu hatujui kuna siku maumivu ya watu yataisha,je angekuwepo mpaka leo zanziba ingekuwaje,acha kudanganya watu wanajua.

    • @jofreymsigwa85
      @jofreymsigwa85 Год назад

      Sasa ukweli n upi

    • @alrabee01suleiman40
      @alrabee01suleiman40 Год назад

      Unafahamu kisasi hicho lakini ndio umewiva husein kitu cha kweli

    • @YussufAli-yt6dp
      @YussufAli-yt6dp Год назад

      ​@@selemanimakau9026 hug Thu by😊h

  • @adamnguvu1020
    @adamnguvu1020 Год назад +3

    *Ukweli Upo Ila Tutajuwana TU kwamungu*

  • @ahmedalbalooshi8518
    @ahmedalbalooshi8518 Год назад +5

    Lazima iko au ziko sababu lakini hawataki kutangaza,wengi wanaohusika wanajua lakini wanaogopa kusema ukweli

    • @khatibal-zinjibari6956
      @khatibal-zinjibari6956 Год назад

      Lengo na sababu ya kuuliwa kwa Rais Abeid Karume ni Siri na Kitendawili.

  • @Hassanali-sq2dm
    @Hassanali-sq2dm 8 месяцев назад +1

    Alitumwa na nyerere lengo nikumua karume ili asivunje mungano karume alitaka kuvunja mungano badala kuona anapelekeshw na nyerere

  • @Bam268
    @Bam268 Год назад +2

    Nyerere ndie alie kuwa mtuhumiwa mkubwa wa kifo cha karume

    • @sephaniaizengo760
      @sephaniaizengo760 Год назад

      Jna lako tuu linaonesha ufinyu wa fikra na kwanza unachafua jina la kiongoz ,tna baloz madhubuti malawi

  • @LeylatVlogs
    @LeylatVlogs Год назад +1

    Nimeipenda na nimesoma kuhusu jina la Eneo hilo kuitwa kisiwa ndui ambalo sikujua maana yake kabla 👏

  • @Bam268
    @Bam268 Год назад +3

    Na ukimaliza hapo uende ukatutafutie historia ya tanganyika pia ni nnchi yenye history nyingi tu

  • @alialamoudi9729
    @alialamoudi9729 Год назад +1

    Zanzibari mpaka leo haijapata uhuru wake kutoka kwa ungereza NA waarbu ikaja ukoloni wa tanganika

  • @sulimanm6525
    @sulimanm6525 Год назад +3

    Anafahamu kila kitu uyooo anaogopa kusema

  • @mchagagaspar6649
    @mchagagaspar6649 Год назад +1

    NYERERE ndie alie mumaliza MZEE KARUME acheni kuzungumza!!

  • @allychale2885
    @allychale2885 Год назад +1

    Usidanganye wazanzibari semeni ukweli nyerere alipoona muungano unakaribia kuvunjika nyerere akamuua karume ikawa hakuna kuvunjika muungano tena wanasahau kwamba karume alisema muungano mwisho chumbe

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 Год назад

    Adela hongera kwa history

  • @hamadysalum7032
    @hamadysalum7032 Год назад +1

    Wasafi namkubari saanaa

  • @edwardmenawezkuzamakwadaki4825

    Nimeipenda xana

  • @bakarimtange570
    @bakarimtange570 Год назад +1

    Uo ulikua mpango ambao Nyerere aliupanga

  • @nelsonjonathan7660
    @nelsonjonathan7660 Год назад +1

    Safi dada umehoji vyema

  • @bwittozmjomba7019
    @bwittozmjomba7019 Год назад +4

    Leo ssa nimejifunza kitu ususan kifo cha karume, Nilikuaga sijui kam alikufa kwa bunduki. Lkn nimejua kumbe muuaji Alikua mwiongoni mwa walizi police

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 Год назад +1

    Piya uko vizuri dada

  • @kelvinbernard5453
    @kelvinbernard5453 Год назад

    Nimependa Sana Sana tu

  • @abdulab6202
    @abdulab6202 Год назад +1

    Hao wengine hawakupigwa risasi zilikuwa zile risasi anazopigwa Mzee karume ndio zilikuwa zikimtoka zinawapiga wale wengine nikweli alikuwa mlengwa ni yeye na Marehemu humudi alikuwa na lengo lake

  • @timotheosumba4293
    @timotheosumba4293 Год назад +1

    🙏🙏

  • @venitarugemalila9290
    @venitarugemalila9290 Год назад +1

    Yaani mwafrica bwana kweli hakuna kuaminiana

  • @michaelmkisi6999
    @michaelmkisi6999 Год назад +1

    Hamtapata ukweli hata kidogo media ndogo sana . CCM wameshindwa kutoa habari hizo CCM Leo wasafi mpate habari hizo za miaka takribani miaka 31.

  • @tamyomy8398
    @tamyomy8398 Год назад

    Aliua wa arabu na akauliwa na humud muarabu

  • @redmondbaby1710
    @redmondbaby1710 Год назад +1

    Hhhhhh hata Mimi siyafaham 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 mchezo nini

  • @frankmlowe7559
    @frankmlowe7559 Год назад

    Duuh ilikuwa hatari mzee karume aliuliwa kikatili Sanaa

    • @ahmedalbalooshi8518
      @ahmedalbalooshi8518 Год назад

      Frank,jaribu kuulizia namna Kassim Hanga na Othman Sharif walivyo uliwa huko Zanzibar.Ukipata taarifa sahihi ndio utajua nini ukatili

  • @hanihaji6217
    @hanihaji6217 Год назад +1

    Historia ya khalifan

  • @AllyHamran
    @AllyHamran 7 месяцев назад

    Mbona unamtaja Humoud tu huwataji na wengine .hakuwa humudi pekee walimuwa wengi wataje usifanye bias.

  • @VedastoRushalizi
    @VedastoRushalizi 5 месяцев назад

    Kikubwa aliwadaidia wanyonge

  • @rahmajaffar794
    @rahmajaffar794 Год назад

    Tukio limetokea cha msingi tujiulize wananchi tumejifunza nini na viongozi pia wajiulize wamejifunza nini? Halafu tuiombee dua zanzibar na Tanzania kwa ujumla ibarikiwe na amani na rizki za halali

  • @janerouhassanjanerou7933
    @janerouhassanjanerou7933 Год назад

    Duh mzanzibar gani huyo anaesema Afisi

  • @KhaleedHamad-vl7lz
    @KhaleedHamad-vl7lz 6 месяцев назад

    Ongea ukweli karume alimuuwa baba yake humud karume kutaka humudi asahau wkt huo humudi alikua kjn mwenye elimu karume akampatia veo vikunwa ili asahau machungu ya kuuliwa baba yake kumbe humudi alikua anamachungu na nyerere alipanga mipango amkimbize humud baada ya humud kuuwa na wenzake wakakimbilia shamba chwaka kupanda boat na boat haikuwepo

  • @redmondbaby1710
    @redmondbaby1710 Год назад +2

    Karume akifufuka leo akiiona znzbar ilivyo hii atalia sn

  • @josephmakutano7067
    @josephmakutano7067 Год назад

    Bibilia nikitabu kizuri kilichotafusiri mambomengi yaduniani hata yapeponi,kunamahali pameandikwa kwamba lisilowezekana kwetu kwamwenyezimungu lawezekana vilevile auwaekwaupanga atauawakwaupanga

  • @b.3940
    @b.3940 Год назад

    Mbona hamtaji Tito Okello katika historia ya Ungunja? Zanzibar haingekuwa huru bila huyo mganda.

  • @kessynurutajiri4940
    @kessynurutajiri4940 Год назад

    Hiyo Miwani ya nini?.

  • @rajabjuma277
    @rajabjuma277 Год назад

    Nyie mbona hamtii nchi yenu mnawachia watanganyika wanaimaliza.

  • @KhaleedHamad-vl7lz
    @KhaleedHamad-vl7lz 6 месяцев назад

    Sasa wale walio burutwa na gari ni kina nani

  • @mohammedbakar4142
    @mohammedbakar4142 Год назад

    Wewe unajuwa humo ndani makao maku ya ASP kiswandui hakuna kaburi la mzee Abeid Amani Karume peke yake humo ndani kuna makaburi mawili moja la mzee Abeid Amani Karume na jengine limo ndani hukulitaja ?

  • @omarimpogo6895
    @omarimpogo6895 Год назад +1

    We muandishi umeniboa... Unaacha kuuliza maswali ya msingi unauliza kuhusu bao

  • @salumahmadasalum1556
    @salumahmadasalum1556 Год назад

    Mkuki ndani ya mkuki

  • @erenwesmgeni4837
    @erenwesmgeni4837 Год назад

    Duuu aliyafanya

  • @allychale2885
    @allychale2885 Год назад

    Leo kilakitu CCM kanisa

  • @gangmore9091
    @gangmore9091 Год назад +2

    Ukitenda dhulma n wewe itakukuta Dhulma ameuwa n yeye ameuliwa

  • @rajabjuma277
    @rajabjuma277 Год назад

    Nyie ccm mkowa mnajuwa Karume hakuwa na makuu na nyie kuwache makuu muwache wizi

  • @johnbernad3990
    @johnbernad3990 Год назад

    Huyo muuwaji alijuwa ni shemeji yake alikuwa analipa kisasi cha kupinduliwa maana alikuwa mwaarabu na karume aliowa nwaarabu baada ya kuwapindua hao waarabu

    • @lutegochangarawe412
      @lutegochangarawe412 Год назад

      Una uhakika

    • @binseifalsuleimaniy503
      @binseifalsuleimaniy503 Год назад

      Duh kam hujui bora usicoment karume kao muarabu tena akaza kabla ya mapinduzi mapinduzi yanatokea yeye ameshaowa zamani san ,tena murabu ,pmoja na kina Aboud jumbe ,Ali hasan mwinyi na wengine wengi wameo waarabu tena kabla ya kufanya mapinduzi ,rudi shule kijana

    • @barwani890
      @barwani890 Год назад

      ​@@binseifalsuleimaniy503 tena kwa nguvu kuoa

  • @rajabjuma277
    @rajabjuma277 Год назад

    Afisi kiswahili wacha ushamba

  • @belgieboys9867
    @belgieboys9867 Год назад

    Muulize huyo jamaa alikuwepo hapo wakati wa tukio?
    Mie nishaelezewa na mzee aliyekuwepo hapo siku ya tukio.

    • @ZanzibarOrchestra
      @ZanzibarOrchestra Год назад

      tuelezee wewe bac huenda tukapata faida zaidi.

    • @belgieboys9867
      @belgieboys9867 Год назад

      @@ZanzibarOrchestra
      Muuaji alikuja na vikosi vya jeshi wakavamia makao makuu nje.
      Muhusika muuaji aliingia akaua na alipotoka nje na katika hao majeshi waliokuja nao walimuua.
      Hadithi hiyo niliipata makao makuu ccm kwa mzee mmoja ambaye alikuwa mzee wa chama na yeye siku ya mauaji alikuwepo nje ya jengo kwa alivyonihadithia.
      Na akanambia rover mbili ziliingii moja geti la mbele na moja nyuma
      Sasa hiyo hadithi nilipewa makao makuu

    • @belgieboys9867
      @belgieboys9867 Год назад

      @@ZanzibarOrchestra
      Hata hadithi ya mapinduzi ukiisikiliza kwa mama karume siku ya mwaka wa kwanza mwanawe kuwa rais alisema mumewe alikuwa kalala naye nje zogo watu wanauana tvz record ipo.

    • @belgieboys9867
      @belgieboys9867 Год назад +1

      @@ZanzibarOrchestra tizama nani aliyekuwa akiwauza watumwa ni muengereza au muarabu?
      Muarabu alikuwa ni transport tu.
      Mabaki wanaotembelea wazungu ambayo ni mafichio ya watumwa yapo wapi ?
      Misikitini au makanisani?

  • @AliAli-rx6wu
    @AliAli-rx6wu Год назад

    Kwani hilo li miwani bayaaa kama la kipofu!!! La nini??? Au una makengeza!!!

  • @MaryamAmour-k7m
    @MaryamAmour-k7m 7 месяцев назад

    Mung amjalie wazee wetu wot waingie pepon llf wot alikua ateswe kwanz ndipo auliwe uyo mshenzi muuwaj😢

  • @theophilluskahigwa8128
    @theophilluskahigwa8128 Год назад

    Watangazaji punguzeni au acheni kuvaa miwani ya jua mkiwa ndani ya majengo! Mnajificha nini? Mbona watangazaji wa vyombo vingine vya nchi za nje hawana tabia hiyo?

  • @stanleymsenga9444
    @stanleymsenga9444 Год назад

    Duu

  • @rizikivincent5255
    @rizikivincent5255 Год назад

    Huyu baba anayajuwa yote maana anaeleza mambo yanayoonyesha kuwa katika shauri lililopangwa naye aliusika maana alitaja na viseemu walivyoikalia kana kwamba alikwenda kwanza kupeleleza nafasi karume ameketi ni wapi akapaona nakuelekea kumwambia muaji mbinu laana na mikosi waafrika azitawatoka maana usaliti umewajaa moyoni mtabaki kuwa watumwa wawazungu myaka nenda myaka rudi msipojikosowa dhambi zenu za kusalitiana

    • @akinzaathumani3870
      @akinzaathumani3870 Год назад

      Huo mnafikiii anajuwa kabisaa muwajii nawewe atawawa tuu eleezaa tu ukwelii mzee

    • @jovanafidelis2802
      @jovanafidelis2802 Год назад

      Hee jamani,SI historia inatunzwa