#EXCLUSIVE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 апр 2023
  • #EXCLUSIVE: A to Z HAYATI KARUME ALIVYOPIGWA RISASI HADI KUUAWA, MTOTO WAKE ASIMULIA KILA KITU
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 59

  • @francisboydmwakyusa230
    @francisboydmwakyusa230 5 месяцев назад +6

    Mungu amtunze Rais Amani, he's so genuine all the time. Huwa sichoki kumsikiliza, ni zawadi kwetu.

  • @mohamedbat-heif3693
    @mohamedbat-heif3693 3 месяца назад +1

    Nimevutiwa sana na mheshimiwa kwa heshma yake,upole wake na fungamano lake na dini yake,mara kwa mara hua anamshukuru Allah na kutowa shukrani zake kwa Allah kwa kutamka alhamdulillah.
    Namuombea tawfik katika harakati zake za kimaisha na za kuwaunganisha wananchi wenzake.
    Wabillah tawfiq

  • @maryamsuleiman6340
    @maryamsuleiman6340 4 месяца назад +1

    Ahsante Mh umeeleza ukweli usiopingika nimependa sana ,hususan kufilisika kwaviwanda vyetu 🎉🎉🎉

  • @moxasaidi3398
    @moxasaidi3398 5 месяцев назад +2

    Sasa hivi Simai amejiuzulu kwasababu anataka kujaza pombe zanzibar na sharia haimruhusu😊

  • @khamismakame5934
    @khamismakame5934 6 месяцев назад +2

    muandishi mie napenda kwanza ujue nini tofauti ya hayati na marehemu maiti ya kiislam baada kuzikwa huitwa marehemu maana hua tunamuombea rehma kutoka kwa mwenyezi Mungu na hao wengine hiyana hayati maana yao wao mie siijui

  • @dalali_professionalwa_dodo8330
    @dalali_professionalwa_dodo8330 Год назад +6

    Ukitaka kujua kwanini haswa marehemu alipigwa risasi...andika hapa youtube mahojiano ya amani thani akiwa dubai... Akielezea dhulma kubwa aloifanya marehem na nin kilipelekea auwawe... Nchi hii imemwagwa damu za watu ambao hawana hatia bila ya sababu ya msingi... Historia inafichwa fichwa mno ..ila kiukweli wazee hawa walizingua mno ..

    • @admirabisikiduduye1516
      @admirabisikiduduye1516 6 месяцев назад +1

      Nilisoma makala moja , pamoja na simulizi za mitaani, baba yake hamoud na wanaharakati kadhaa wa mapinduzi waliuawa akiwemo Hanga na kuzikwa kaburi moja, kabla ya kumuua karume hamoud alitamba na kusema ipo siku nitamuua karume, vyombo vya dola vilipuuzia kwa kuwa walikuwa marafiki pete na kidole

    • @dalali_professionalwa_dodo8330
      @dalali_professionalwa_dodo8330 5 месяцев назад

      @@admirabisikiduduye1516 mzee na hamoud walikuwa marafiki?

  • @Itarusii
    @Itarusii 6 месяцев назад +1

    Kazi kweli. Tuna la kujifunza hapo. Historia mpaka mtu uje kufahamu ukweli ni changamoto. Yale yale ya Sokoine. Tuendelee kujuzana.

  • @wizkidayo390
    @wizkidayo390 Год назад +7

    Mh ameanza vizuri anamaliza vibaya mpka anafanya kigugumizi sisi tunataka nchi yetu yenye mamlaka kamili asiseme uwongo c aseme tu 😢😢

    • @leblue4768
      @leblue4768 Год назад +1

      Dhulma zao watazilipa hapahapa

    • @hassannyagawa2308
      @hassannyagawa2308 Год назад

      Unalaumu nini. Huyo saa hizi mzee unatakasema alishiriki kumuuwa baba yake au wewe unajuwa vizuri twambie

  • @allyhusseinally2461
    @allyhusseinally2461 Год назад +4

    Appreciate history ya mzee wetu🇹🇿🙏🤲♥️

  • @pandungozi1072
    @pandungozi1072 Год назад +1

    Mtoa maada nahisi mmekwenda mchomo na mmepoteza maada ya lengo na madhumuni yote ya topic yenu! maada ilikua kuelezea kifo cha karume mwanzo hadi mwisho sio kuruka kwenye maada za mapindunzi,uchumi na uwongozi na maisha yao,vigugumizi na kupoteza mda wa
    wasikilizaji.
    Anyway mmejitahidi but mmepoteza muelekeo wa maada yenu bila kujijua wala kujitambua.
    Asanteni

    • @fatmaabeid9668
      @fatmaabeid9668 7 месяцев назад

      Hajajitaarisha wala hakusoma histri ya mzee karume ili ataarishe masuala

  • @omarmussa5755
    @omarmussa5755 Год назад +1

    Muandishi kazi nzr sana brother

  • @salimukungulilo2928
    @salimukungulilo2928 11 месяцев назад +1

    Allahuma umghofirie na UMREHEMU NAUMPE MAKAZI JANNATI FIRDAWSNUZULA Amin

  • @nathanamon6876
    @nathanamon6876 Год назад +12

    MUNGU azidi kumpa uhai Mzee wetu hata like basi wakuu nimekua wa kwanza hapa

  • @Brandsonce-qs2yt
    @Brandsonce-qs2yt 7 месяцев назад +1

    Safi sana kwa kumusikia

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 Год назад +2

    😍😍😍❤️

  • @bekabeka-ww2mn
    @bekabeka-ww2mn Год назад +1

    world on fire

  • @zanzibarboyzanzibar509
    @zanzibarboyzanzibar509 Год назад +2

    Stories nyingi zinasima Mzee Karume alizaliwa Malawi kijijini na aliletwa Zanzibar na Kambarage apindue hatujui Nani Mkweli

  • @HassanBoy-cp2zr
    @HassanBoy-cp2zr Год назад +1

    VIP Levi pesa za wizi zishamaliza

  • @belgieboys9867
    @belgieboys9867 Год назад +2

    Hapo kasemq kweli walionda kushambulia, na walioenda kushambulia walikuwa group
    Lakini mzee aman hujatwambia walioshambia ni gari ya aina gani? Na watu wa aina gani?
    Mie sisemi. 😂😂😂

  • @EshaHamd-ed9yv
    @EshaHamd-ed9yv 4 месяца назад

    Ukiuwa Kwa upanga utauliwa Kwa upanga hili halina mjadala

  • @moviesgreatdirectors3193
    @moviesgreatdirectors3193 6 месяцев назад

    Muungano wa leo siyo Muungano maana washirika hawako sawa. Zanzibar ina Serikali yake, Tanganyika haina serikali. Maono ya hayati Karume kuhusu Muungano ulikuwa wa kuwa wa nchi moja yenye serikali moja.

  • @emmanuelsanga3797
    @emmanuelsanga3797 Год назад +1

    Nakuona unachekiii cm why

  • @belgieboys9867
    @belgieboys9867 Год назад +1

    Tujiulize wale wengine walioenda nangari walitafutwa vipi?
    Au ndio hao waliokamatwa katika mawaziri na vipi walifinguliwa kesi za mauaji?

    • @fatmaabeid9668
      @fatmaabeid9668 7 месяцев назад

      Uyo muandishi hana maswala yake sijui hakusoma histri ya mzee karumee hajahitaarisha hasa na mauala ya mzee karume

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Год назад

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍🙏

  • @mlulamsiliwa7123
    @mlulamsiliwa7123 5 месяцев назад

    😮😮😮😮😮😮

  • @user-mg6hn6os6y
    @user-mg6hn6os6y 4 месяца назад

    Baba yake huyu Abeid Amani Karume hivi sasa yupo Jahannam.Mapinduzi ya 1964 Zanzibar ni mauwaji na Karume alishiriki.Malipo ni duniani na Karume akauwawa.

  • @issahajjiira5411
    @issahajjiira5411 7 месяцев назад

    Kwanini mzee Karume aliuwawa?

  • @benjaminmanento4120
    @benjaminmanento4120 3 месяца назад

    Asante, nimefaidi sana. Huyu mzee ana HEKIMA NYINGI. Mungu ambariki.

  • @belgieboys9867
    @belgieboys9867 Год назад +1

    Thabit kombo kafa mwaka gani?

  • @razackmuba8195
    @razackmuba8195 Год назад

    Mh,

  • @alzawahirabdallah2299
    @alzawahirabdallah2299 Год назад

    Mamlaka kamili hayawezi kupatikana kwa makaratasi

    • @user-bl9zf1zb2t
      @user-bl9zf1zb2t Год назад

      Yanapatikanaje?

    • @alzawahirabdallah2299
      @alzawahirabdallah2299 Год назад

      @@user-bl9zf1zb2t hujaskia walivyo sema nchi hawajaipata kwa makaratasi na haitatoka kwa makaratasi sasa akili kichwani mwako

  • @abdulrahmansalim9773
    @abdulrahmansalim9773 6 месяцев назад +1

    Wauwaji na uvamizi na wengine wamekosa radhi kuwa wanafiki Mwenyezi Mungu mkubwa ndio anaejuwa na haki ataleta In Shaa Allah ameen

  • @user-xf9or5cv1d
    @user-xf9or5cv1d Год назад

    Si kweli baba ako hakuzaliwa mwera kazaliwa malawi huo ni kweli nyi nyi hamna asili ya uzanzibari

    • @KhalidMohammed-mq3km
      @KhalidMohammed-mq3km 6 месяцев назад

      Kumamae wallah yaani utazani wewe ndio mzazi wao gastadialo stupid

  • @belgieboys9867
    @belgieboys9867 Год назад

    Alishambulia alikuwa na wenzake wanavyosema mashahidi ndani ya afisi kuu. Kilikuwa ni kikundi cha huyo jamaa ambao walitumwa na wanavyosema mashahidi aliyeua kauliwa na watu wake ambao walimpeleka aue.
    Hadithi hiyo niliipata ndani ya ofisi kuu kwa mzee wa ccm ambaye wakati huo alikuwa kijana wa asp

    • @lastborn7810
      @lastborn7810 Год назад +1

      Nae ni nyerere na wanajua lakini hawasemi 😂

  • @SliJuma-un9sl
    @SliJuma-un9sl Год назад

    Hunaishu wewe ulipokua madarakani alifanya nini mbwa

    • @salimamani6672
      @salimamani6672 Год назад

      Mpumbavu sana wewe unajuwa nani aliye leta Zanzibar mariziano mpaka leo ikiwa shwari hakuna Raisi duniani kote au kiongozi asiye kuwa na mapungufu walipita maraisi wangapi Zanzibar kabla yeke je kulikuwa na neno mariziano?

    • @muniraally4091
      @muniraally4091 8 месяцев назад

      Subhanallah una haja gani kutu k ana

    • @mombasa0076
      @mombasa0076 6 месяцев назад +1

      MATUSI SI MTAJI

  • @tatumuhando6107
    @tatumuhando6107 Год назад

    Aliemuuwa karume ni shemeji yake huyo anaezungumza hapo ni mjomba wake aliezaliwa na mama yake Baba na mama mmoja ninaushahidi na ninayoyazungumza mkitaka kujua zaidi wasafi mnitafute niwapeni story maana nilikuwepo eneo la tukio japo nilikuwa mdogo

  • @user-yy6vy4xu2s
    @user-yy6vy4xu2s 4 месяца назад

    Viwanda viliendeshwa kwa ujamaa na mazoea rushwa matumizi mabaya ya vyeo na kutoajiri wataalamu wa kitosha.