Fatma Karume: Ofisi Yangu Ilipigwa Bomu Hakuna Aliyekamatwa I Sikulelewa Ikulu I Hakupenda Pozi
HTML-код
- Опубликовано: 6 сен 2024
- #CloudsDigital tumekuwekea mahojiano ya Mwanaharakti Fatma Karume katika kipindi cha #Shajara ya #CloudsTv na mtangazaji Babbie Kabae.
Fatma you are the best.❤. You are very straight forward darling. I am proud of you,
She is an Hero in a place of many antagonistic people.If the citizen like her,can get the presidency,evrything would be ok
Kwa ambao hamumjui fatma karume hiyo ndio ongea yake sasa mnaomponda. haya nyie mmekamilika nini katika uumbaji wa mungu. Mungu anajua sana ndio maana kila binadamu kampa.cha.kujivunia na mapungufu.ili.tuheshimiane. Fatma ni mrembo sana mzuri sana msomi.sana familia yake ina hadhi sana yeye mwenyewe tajiri sana lkn kwenye kuongea yupo ivo,. Haya wewe unaemuwazia.mabaya mara kanywa pombe hebu tuhesabie baraka zako humu tuone kama unamfikia fatma .njaa tu zimekuzidi alafu unaleta.makasiriko kwenye interview ya mtu muungwana
mgeni mzuri lakini mtangazaji Babbie maswali yapo chini ya viwango..mtu ana miaka 30 sio mtoto tena ni mtu mzima ana maisha yake apewe ulinzi wa nini? uliwai mkosoa baba yako? why not?Mwandishi wa habari usiyejua kuwa Fatma si mnafiki wa kupenda vyeo mpk ajipendekeze kwa wakubwa basi si muandishi. Fatma ni mpambanaji wa ukweli nilitegemea maswali yawe ktk angle ya harakati zaidi kuliko baba baba anasemaje anajisikiaje? nenda kamuulize baba yake Fatma ni mtu mzima anaishi maisha yake hayuko chini ya baba yake tena
@@user-fr7jj1bo7y kweli, sahihi kabisa
Wagalatia mna nn hamumuachi mtu aliyepotoka mpaka aje afe kama mgalatia hapo sasa uislamu wke uko wapi 😅😅😅
@@hassanmfaume4522 wewe ambaye hujapotoka endelea na uislamu wako unajihesabia haki na kuhukumu wengine sijui hata uislamu unaujua kwa kitendo chako cha kuwajaji watu usiowajua
Fatma is beautiful and intelligent....great Fatma
I liked this interview. I liked the questions that were asked and how they were answered. I liked how the interviewee opened up and allowed us to see who she really was. I would like to see more interviews like this one in our media spaces. Thank you to both ladies for levelling up Tanzanian journalism
wow she speaks exactly like my daughter, why? because fatma is my niece subhanallah.
She's very good
Adorable
Smart❤
Bbe uwapi kwa sasa,tumekumiss sana
SHE IS OMANI FROM HER MOTHER SIDE" AL BARWANI" SHE IS"
Kwa interview hii, huyu anaakili sana na uwezo mkubwa wa kuitumia akili hiyo. Anajitambua.
ulishamsikia akikosoa utawala wanbabaake????
@@myself4128yah... wakati wa utawala wa baba yake amewahi kukosoa sheria ya kuzia dhamana kwa makosa ya jinai na sheria ikabadilishwa. Hivi leo Zanzibar makosa ya jinai yana dhamana.
We unamjulia wap??
Bebie kabae acha kusifia vitu vya ajabu
Sijui kanywa supu ya kongoro na bofulo 😅 si kwa kiu hicho😂
✍️💯🇹🇿🎉🎉❤❤🍾🍾
Sairas nainen ja paha.😢
Olet tosi sairasFat m a.en ma halua mista si n a puhut .Olet sairas😢
Kama Fatma Karume alibaguliwa, wewe Ambakisye ni nani?
Hakuna mwanamke mgumu kudate nae kama uyu
Use google so as to know what Iam talking about.Tbi takaya balnaya jenshina.I do speak many languages.Stop mixing languages😢
Mtetezi wa mashoga
Fatma wewe ni mjinga aliyesoma.acha kuchanganya ligha
You are such a disgraceful individual. Mind your language.