MANENO ya MSTAAFU KARUME YAMWINGIA MSTAAFU KIKWETE - ''TUMZIKE YEYE TU - FIKRA TUBAKI NAZO''...

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 фев 2025
  • MANENO ya MSTAAFU KARUME YAMWINGIA MSTAAFU KIKWETE - ''TUMZIKE YEYE TU - FIKRA TUBAKI NAZO''...
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Комментарии • 33

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  11 месяцев назад +1

    JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...

  • @abiudkarume938
    @abiudkarume938 11 месяцев назад +7

    Mwinyi hakuwa na shida naalikuwa hana kinyongo na mtu nakumbuka mengi sana ya mzee wetu kwamaana wapo walio mfedhehesha ila mwinyi aliwachukulia poa tu

  • @AbdulrahmanUbaa
    @AbdulrahmanUbaa 11 месяцев назад +4

    Mmoja wa viongozi wangu ninao wakubali sana

  • @karihezanzibartours1538
    @karihezanzibartours1538 11 месяцев назад +7

    Huyu ni rais wngu Bora kwa Zanzibar

  • @sleifikhajjir262
    @sleifikhajjir262 11 месяцев назад +6

    kiukweli nampenda sana Raisi mstaaf Aman Abeid Karume

  • @chizashungu8364
    @chizashungu8364 11 месяцев назад

    Hongera sana mheshimiwa karume.

  • @shaabanmohammed2611
    @shaabanmohammed2611 11 месяцев назад +2

    Kweli kabisa Mhe....ila kuna Watu hawayapendi hayo mema unayoyasema. Wao mifarakano, ubaguzi, dhulma, ubabe, kunyima haki Watu fulani ndio furaha yao. Na hawapendi kukosolewa utadhani ni wao tu ndio wenye akili na wengine hawana. Hata amri za Mahakama zinapingwa na kuzuwiwa. Wakikosolewa inakuwa nongwa hadi mtu anajisahau kama yeye ni Kiongozi. Kiongozi anapaswa kusikiliza

  • @ShaibumajidMajid-uz2nh
    @ShaibumajidMajid-uz2nh 11 месяцев назад +1

    The best ever President of Zanzibar Aman Karume

  • @sassboy9360
    @sassboy9360 11 месяцев назад

    I’m speechless ila hekma kubwa kwenye alioyoyaongea na wala hakupepesa macho wala mdomo ni maneno machache ila yanauzito kwa wahusika

  • @marthamungure1777
    @marthamungure1777 11 месяцев назад +1

    Great word. Like father like son

  • @suleimansalym7537
    @suleimansalym7537 11 месяцев назад +1

    Maneno machacache yenye ujumbe nzito sana

  • @AISHAMWAGIZE
    @AISHAMWAGIZE 11 месяцев назад

    Allah amlaze pema pep0n

  • @hamidhajimakame3700
    @hamidhajimakame3700 11 месяцев назад

    Ana kipaji cha kuongea na kusikilizwa

  • @habibusalum1849
    @habibusalum1849 11 месяцев назад

    Hivi busara gani huwa inatumika kuandika hivyo vichwa vya kuanza kutotaka wasomaji kujifikirisha zaidi hutoba hiyo inamhusishaje Rais mstaafu wa awamu ya nne

  • @redmondbaby1710
    @redmondbaby1710 11 месяцев назад

    Ujumbe umemfika

  • @sleifikhajjir262
    @sleifikhajjir262 11 месяцев назад +2

    maneno mafupi lakin busara nyingi sana.

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 11 месяцев назад +2

      Akili nyingi..amekwenda kwenye point..sio kujimwambafai..

    • @suleimansalym7537
      @suleimansalym7537 11 месяцев назад +1

      Kweli kabisa ni maneno machache yenye ujumbe nzito sana

  • @samateryusuf4345
    @samateryusuf4345 11 месяцев назад +1

    Watz wengi ni mashoga waakili jiulize hotuba ya Karume inamwingiaje Kikwete??

    • @shaabanmohammed2611
      @shaabanmohammed2611 11 месяцев назад

      Inamgusa sana Kikwete. Amani aliwaunganisha Wazanzibari, tukaenda kwenye Uchaguzi lakini Bw Kikwete alileta Majeshi, Uchaguzi ukaharibika, Jecha akatumiwa kutuletea ujumbe na khadithi mbaya inayoendelea hadi Leo hii. Kwahiyo inamuhusu sana tu

  • @GEORGEMBUGI-x4k
    @GEORGEMBUGI-x4k 11 месяцев назад +2

    Ila marais wastaafu wazanzibari mbona wa kisha staafu huwa wanatulia nyumbani mbona huku bara hawapo hivo

    • @personpeter2221
      @personpeter2221 11 месяцев назад +1

      Ni kikwete tu kwan mkapa ulimwona kpnd cha jakaya kikwete lazma amsimamie hyo mama mwanamke cyo kiongoz hafai ki utawala

    • @UzalendoNaUtu
      @UzalendoNaUtu 11 месяцев назад

      Wana kazi nyingi sana na wana safari nyingi tofauti na unavyodhani

    • @tonyjames6658
      @tonyjames6658 11 месяцев назад

      Rais wa Tanzania ni Rais anaye wakilisha Bara na Kisiwani ....kwaiyo rais wa Tanzania anamajukumu makubwa ya kuendelea kuwakilisha nchi ata kama amestaafu

  • @ibrahimsheha215
    @ibrahimsheha215 11 месяцев назад

    Huyondiye karume

  • @alexmalyango1405
    @alexmalyango1405 11 месяцев назад

    Kikwete anafuatia amani ipatikane Tanzania

  • @venancemwanya4212
    @venancemwanya4212 11 месяцев назад

    Huyu ndio alifaa kuwa rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania.

  • @abdulkaleemmbarak6670
    @abdulkaleemmbarak6670 11 месяцев назад

    Fatuma Karume kua mpole kama kaka Amani alivyo mpole katika kuongea kwake.

    • @UzalendoNaUtu
      @UzalendoNaUtu 11 месяцев назад

      Huyu ni Kakaake

    • @zahoramour3344
      @zahoramour3344 11 месяцев назад

      ​@@UzalendoNaUtu baba yake

    • @tonyjames6658
      @tonyjames6658 11 месяцев назад

      Huyo sio kaka ake ni Baba ake mzazi uyo mnamuita SHANGAZI

  • @AllyMuhammadi
    @AllyMuhammadi 11 месяцев назад

    L ll مدد😊😊😊😊😊

  • @abusalman5139
    @abusalman5139 11 месяцев назад

    Hikma tupu