"RAIS MWINYI ALITUFUKUZA KAZI MAWAZIRI WOTE, ALIVUNJA BARAZA MARA MBILI" - KIKWETE ASIMULIA MAZITO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 24 июл 2024
  • www.youtube.com/@Wasafi_Media...
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 149

  • @idanysedrc1200
    @idanysedrc1200 4 месяца назад +24

    Rais wangu mpendwa jakaya kikwete bila wewe mie nisingetoboa elimu ya juu Kwa gharama zile!! Mungu akupe umri mrefu

  • @taurehassan7399
    @taurehassan7399 4 месяца назад +17

    Mh kikwete nkisema nikae kimya bila comment yyte itakuwa najidhuru mwnyewe moyo wangu,me nakpenda Sana bhn❤ Allah akupe afya na umri mrefu wnye brka

  • @user-bx3xj7wf9n
    @user-bx3xj7wf9n 4 месяца назад +3

    Mungu hutoa na hutwaa mungu ahifadhi mahal penye wema peponi na aitangulie familia ya mzee mwenda zake allah amjalie khusunul khatima popote pale aendako na akamfungulie janatul firdaus iwe makao yake ya rabil allamina

  • @rahmarajab3688
    @rahmarajab3688 4 месяца назад

    Allah akupe afya njema, subra na maisha marefu yenye furaha tele❤, Sie twatambua jitihada ulizolifanyia taifa hili,

  • @mkazilakwamchilloh8158
    @mkazilakwamchilloh8158 4 месяца назад +2

    Mwenyezi mungu amuweke mahali pema peponi kitu kinachonisikitisha zaidi nilitaka nikirudi nyumbani baada ya miaka mingi kuwa nje nilitaka nikamuone lakini haitowezeka tena ni dua zetu tu kumkumbuka mzee wetu

  • @BenWanguke-qf6fb
    @BenWanguke-qf6fb 4 месяца назад

    This man Kikwete is charismatic

  • @user-qx4gi5tx7h
    @user-qx4gi5tx7h 4 месяца назад +5

    2025,2030 CCM mbelekwambele usiulize imeisha hyoo mzee kashasema hiyoo

  • @djmackmovies.
    @djmackmovies. 4 месяца назад +6

    Poleni kwa mzee wetu

  • @JlmwinukaOnlineTv
    @JlmwinukaOnlineTv 4 месяца назад +1

    Innalilah wainnaileyhi rejeun.

  • @rahmarajab3688
    @rahmarajab3688 4 месяца назад

    Innalilah Wainnaileyhi rajeoun,
    Allah ampe Qauli thabit mzee wetu,Ally Hassan Mwinyi,,

  • @radjabuabunidalrachid1200
    @radjabuabunidalrachid1200 4 месяца назад

    Nawapa pole tena poleni sana tumepoteza nguzo muhimu kutokana naalicho kipenda mwenyezi MUNGU Sisi hatuna cha kukereka nakumbuka nilipo kwenda kufanya mtihani wadini MISRI Alexandria alinipa Nasaha iliyo nifanya mimi nifaulu mtihani
    ALLAH amulaze mahali pema

  • @mathayomwashambwa1238
    @mathayomwashambwa1238 4 месяца назад +5

    La! Kwa nini elimu hii haikutolewa akiwa hai? Alikuwa mtu mkuu,

  • @isaaabdala7016
    @isaaabdala7016 4 месяца назад

    Wewe.ndio.mwamba.uliebakki.mungu akupe.maisha.marefu.zaidi na.ukifa.uende.peponi

  • @HassanHaji-uu8km
    @HassanHaji-uu8km 4 месяца назад +2

    Nimepokea habari za msiba wa (SOMO WANGU NIKIWA NJE YA NCHI) SISI NI WA MWENYEZIMUNGU NA KWAKE TUTAREJEA. POLE KWA RAIS HUSSEN MWINYI NA FAMILIA, WATANZANIA, EAST AFRICA NA AFRICA KWA UJUMLA.

  • @slowclimbertothetop4572
    @slowclimbertothetop4572 4 месяца назад +1

    Safi sana mzee JK...na wewe ni mtu muungwana sana

  • @aloyceponela3249
    @aloyceponela3249 4 месяца назад +5

    Kuanzia Leo ww ndiye baba wa taifa

    • @EliasPaul-qs2ib
      @EliasPaul-qs2ib 4 месяца назад

      😂😂😂😂😂Umenifanya nikacheka msibani

  • @malaakyakub2559
    @malaakyakub2559 4 месяца назад

    Rais Ali HAsan munyi Allah yarha rahiin inaaliah wa inaa ileyhi rajicuun / marayaangu yakufika Tanzania yeye ndiyo
    Raisi watanzania salaamu kutoka Somalia afike watanzania!!!!

  • @husseinmohamef7719
    @husseinmohamef7719 4 месяца назад +1

    ❤ INALILAH WAINAILAIH RAJIUN

  • @user-sm6kl8oc3j
    @user-sm6kl8oc3j 4 месяца назад +1

    Mwenyezi mungu amlaze mahali pema mzee wetu'

  • @user-qp2zj8xf7q
    @user-qp2zj8xf7q 4 месяца назад +1

    Innalillah wainallah raajoun 🙏🙏

  • @luuborafia5796
    @luuborafia5796 4 месяца назад

    Pole sana, Allah amlaze pahali pema peponi

  • @user-ms1xg1fp4v
    @user-ms1xg1fp4v 4 месяца назад +3

    Unaposema dunia hutambua kuna muungwana kaongea kiungwana

  • @josephfelicianlugakingira832
    @josephfelicianlugakingira832 4 месяца назад +4

    Muungwana Sana na Mvumilivu JK

  • @masatumtani1588
    @masatumtani1588 4 месяца назад +2

    Kabaki mwenye kikwete Dah wenzie wameisha

  • @RamadhanMwinyimku-dw4od
    @RamadhanMwinyimku-dw4od 4 месяца назад

    Nawapa pole sana

  • @khadijashabani5509
    @khadijashabani5509 4 месяца назад

    Poleni sana

  • @JacquelineMahumbe
    @JacquelineMahumbe 4 месяца назад +1

    Kikwete nakupenda Mzee wangu

    • @fridaernestmkedege900
      @fridaernestmkedege900 4 месяца назад

      Kwa kweli kwa upande wa ajira huyu baba alijitahidi. Tunamshukuru sana!

  • @toumahafidh2557
    @toumahafidh2557 4 месяца назад +4

    May Marehemu Baba Mwinyi Rest In Peace Insha’Allah 🥲🙏

  • @alexandermutakha882
    @alexandermutakha882 4 месяца назад

    Mwenyezi Mungu anasema jambo wakati wowote katika kila tokeo.

  • @aishafrancis7714
    @aishafrancis7714 4 месяца назад +6

    Kikwete naona karudi kuwa kijana mashaallah

    • @aishaalbalushaishabalush8291
      @aishaalbalushaishabalush8291 4 месяца назад

      😂😂😂😂😂😂hela wanazotafuna za dhulma zinawapendezesha miaka 5 ya magu alipauka akakonda maana miashara zake za magendo zote zilikwama na madawa yali fungiwa akapauka sasahivi anaitafuna nnchi kwanini asinenepe ,,,,

    • @allahisone6386
      @allahisone6386 4 месяца назад


      UPEW ULINZ WAKUTOSH

    • @allahisone6386
      @allahisone6386 4 месяца назад

      ​@aishaalbalushaishabalush8291
      MUOGOPE ALLAH

    • @aishaalbalushaishabalush8291
      @aishaalbalushaishabalush8291 4 месяца назад

      @@allahisone6386 uanze wewe na kikwete wako mumuogope Allah ndio uje nambia namie sawa maana sijawahi dhulum mtu au kuuza sumu kwa kiumbe yeyote yule

  • @winfredcanaan582
    @winfredcanaan582 4 месяца назад +14

    Kikwete muongomuongo sana

  • @mirajintandu9787
    @mirajintandu9787 4 месяца назад +2

    Kikwete namba nyingine hii

  • @liverpoolfootballclub9985
    @liverpoolfootballclub9985 4 месяца назад +4

    Mzee ruksa tunaomboleza Kenya🇰🇪🇰🇪

  • @kherihightechllc113
    @kherihightechllc113 4 месяца назад +2

    Wacha kutudanganya kitweke!

  • @user-ne9ij3zp8s
    @user-ne9ij3zp8s 4 месяца назад

    Inalilah wainah laajuun

  • @user-hq9qc6iz4f
    @user-hq9qc6iz4f 4 месяца назад +2

    R.I.P

  • @barryrioba3934
    @barryrioba3934 4 месяца назад

    BWANA alitoa, na BWANA ametwaa; jina la BWANA libarikiwe. (Ayub 1 : 21).

  • @hashimmziray7416
    @hashimmziray7416 4 месяца назад +7

    Mwenyezi Mungu tujaalie mwisho mwema eti Leo Tanzania 🇹🇿 ina Rais Mstaafu mmoja tu J.K KIKWETE, ZANZIBAR Marais Wastaafu ni Komandoo Dr Salimin, Aman Abeid Karume na Dr.Shein

    • @shadyahamad3724
      @shadyahamad3724 4 месяца назад

      Ila dk salmin hawamtaji wala ku.muhusisha ktk matukio yao🙄 km hajaongoja nchi inasikitisha

  • @Msafirimakini
    @Msafirimakini 4 месяца назад

    Hii historia ya kikwete inaonyesha kuwa mtu yeyote akipambana anaweza kupiga hatua kubwa

  • @kianda973
    @kianda973 4 месяца назад +4

    Nilitamani kusikia hbr za mzee Mwinyi zaidi na si hbr za mtu mwingine

  • @afredyohana356
    @afredyohana356 4 месяца назад

    Hivi ingekua ni utawala huu mngekubali kweli

  • @danielmwiti9436
    @danielmwiti9436 4 месяца назад +3

    Please, whatever you do, whoever you are, don't die without knowing Christ Jesus. He alone can save you from hell.

    • @zamunda_king
      @zamunda_king 4 месяца назад

      White colonizers brought Christianity and presented Jesus Christ to brainwash you. Ever asked yourself the question why the Jews and Israelis don't believe in Jesus as a saviour like you africans? Only God can save...no one else can...

    • @j.c.maxima816
      @j.c.maxima816 4 месяца назад

      Mawazo ya Mungu si yetu ! 😂

    • @danielmwiti9436
      @danielmwiti9436 4 месяца назад

      @@j.c.maxima816 Neither is there salvation in any other: for there is none other name under heaven given among men, whereby we must be saved.
      -- Acts 4:12
      The name of the Lord is Yeshua (Jesus). Which means Yahweh saves. Anyone who calls on His name will be saved.

  • @goodlucknnko5493
    @goodlucknnko5493 4 месяца назад +12

    Kikwete ni mtu muungwana sana, hata hotuba zake ni za kiungwana sana

    • @SharifaOman-bf1bn
      @SharifaOman-bf1bn 4 месяца назад +3

      Hana. Uungwana. Wowote. Fisadi kiwembe

    • @TamuzaKale
      @TamuzaKale 4 месяца назад +1

      @@SharifaOman-bf1bn Kwa sababua ameruhusu watu wamwite hivyo. Laiti kama angelikuwa zingua, chinja kama mwenzake, usingejaribu kuandika huu upuuzi wako hapa.

    • @ahmadamohamed1907
      @ahmadamohamed1907 4 месяца назад

      ​@@SharifaOman-bf1bntena kiwembe chenyewe kanyolea bi mkubwa wako kikali kweli kweli

    • @ramadhanimtetu3656
      @ramadhanimtetu3656 4 месяца назад

      ​@@SharifaOman-bf1bn
      Acha kuwasema watu kwa ubaya Kisha ukasahU ya kwenu huko na familia yetu

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 4 месяца назад +3

      ​@@TamuzaKale yaani kikwete ndio anaharibu hii nchi kwenye ukweli tusema, mpaka bandari ya bagamoyo impewa wachina wanafanya uwekezaji ilihali ni kwakumkomboa mwenae alipokamatwa na madawa ya kulevya china tusimsifie na kitu Cha uongo

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 4 месяца назад

    kuna umuhimu wanasiasa kuiifunza kuleta maendeleo ya dhati kwene nchi zetu kuliko kuwa wezi ,munaimba badae munaondoka

  • @GeoffreyOdongoOnyoo
    @GeoffreyOdongoOnyoo 4 месяца назад

    Rip

  • @alexmalyango1405
    @alexmalyango1405 4 месяца назад +1

    Kikwete hata ajikoshe vipi simPendi anaua shiling sana

  • @charlesgasper-wo9hc
    @charlesgasper-wo9hc 4 месяца назад

    R.l.P.Mzee uliyekuwa nabusara nahekima bilahiyana kwenye uongozi wako Mungu akurehemu. C.C.M nivyama nimuungano wa vyama viwili vya ukombozi hivyo tusiwaagushe wale miamba wawili walio pumuzika kisa kujiamini kupitiliza bila palizi shambahuota majani mengi nahuchomwa moto hata nawavuta bangitu C.CM ingetawala hata miaka 50 ijayo ila...

  • @user-fc3og1eo3x
    @user-fc3og1eo3x 4 месяца назад

    Binafsi namshukru Hayati Ali Hassan Mwinyi alikuwa kiongozi mahiri pumzika Kwa Amani

  • @bakarimkwizu4335
    @bakarimkwizu4335 4 месяца назад +10

    JK ni Mzee muungwana sana

  • @Ferdinandwa
    @Ferdinandwa 4 месяца назад

    😂😂😂😂😂nilikua nikifuatilia siasa za mwalimu mwinyi ,alikua mdemokrasia 😢rip mzee

  • @user-zq7jb2ij4u
    @user-zq7jb2ij4u 4 месяца назад

    Hilo funzo nalo neno wallah. Maana mti hauendi ila kwa nyenzo.
    Kulnafsih DHAIKATUL MAUT.

  • @user-jd7km3kt7b
    @user-jd7km3kt7b 4 месяца назад

    Rr sarama baba

  • @juliussimwinga8435
    @juliussimwinga8435 4 месяца назад +1

    Briani mzee wa ruksa.

  • @robertphilip385
    @robertphilip385 4 месяца назад

    Wanasiasa wakiwa madarakani hawapendi kukosolewa na viongozi wa dini lkn wakifa eti wanataka waombewe ningumu sana viongozi wa siasa kurisi ufalme wa Mungu Kwa sababu za tamaa zao

  • @user-zr1mk3xd2x
    @user-zr1mk3xd2x 4 месяца назад

    Ichi kimsoga mcngekipa nafasi ya kuongea kijizi

  • @choggyslyymrisho5931
    @choggyslyymrisho5931 4 месяца назад +2

    Shika adabu yake

  • @nelsonnicholaus7818
    @nelsonnicholaus7818 4 месяца назад

    Kwahyo ccm inatesa xio haya ngoja tuteseke ss

  • @oyay2821
    @oyay2821 4 месяца назад +4

    Hao wana zungumza na kucheka nyuma ya Kikwete hawana adabu, haya ni mazishi ya baba mdogo wa Tanzania

    • @allahisone6386
      @allahisone6386 4 месяца назад

      UPEW ULINZ WAKUTOSH

    • @gracemtonga3263
      @gracemtonga3263 4 месяца назад

      😂na mie nimexheka Sasa! Unaona, eti babamdogo wa taifa duh!

  • @godsonswai7980
    @godsonswai7980 4 месяца назад

    Mzee wetu apumzike kwa Aman

  • @teacherkisoi
    @teacherkisoi 4 месяца назад

    Rais Kikwete sasa ndiye rais wa zamani anayebaki hai Tanzania kama ilivyo Kenyan na Uhuru Kenyatta.

  • @nairobitv6161
    @nairobitv6161 4 месяца назад

    Kikweta anafuta nini huko

  • @salha6596
    @salha6596 4 месяца назад

    Babu kaondoka tumebaki na wewe baba yetu

  • @hashimmziray7416
    @hashimmziray7416 4 месяца назад +10

    huyu J.K ni Baba wa Demokrasia Tanzania 🇹🇿, huyu ni mtu na nusu.

    • @kwisa4899
      @kwisa4899 4 месяца назад

      inakusaidia nini

    • @allahisone6386
      @allahisone6386 4 месяца назад

      ​@@kwisa4899😅😅

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 4 месяца назад

      ​@@kwisa4899amani

    • @patrickKitambo
      @patrickKitambo 4 месяца назад

      Nyie hua mnaongea kwasabab ya udini, hamuwezi kusimamia ukweli

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 4 месяца назад

      @@patrickKitambo weye umeweka katika akili yako hivyo. Ndio maana umedhani hayo. Mie nilidhani kasema hayo kwasababu alioongoza Tanzania mstaafu kabakia pekeake. Staki mie nikufkirie wewe vibaya kwa kuwa ni kafiri.

  • @stephanokigosi656
    @stephanokigosi656 4 месяца назад +1

    speech nzuri sana ya kikwete

  • @williamsenkoro2210
    @williamsenkoro2210 4 месяца назад +3

    Uchaguzi 2025, 2030 umekwishaaa Leo... Kauli za Mzee JK

  • @nikundiweamosi5087
    @nikundiweamosi5087 4 месяца назад

    Tanzania,mbona wazee wanaondok

  • @user-sl1ko9me7u
    @user-sl1ko9me7u 4 месяца назад

    MAREHEMU MZEE MWINYI ALIKUWA RAIS 'MSAFI'.....HAKUWA MLA RUSHWA NA FISADI.....MARAIS WALIOFUATA WALIKUWA NA 'MAKANDOKANDO' YAO MENGI!

  • @patrickKitambo
    @patrickKitambo 4 месяца назад

    Siku za ccm kua madarakani zinahesabika

  • @user-zx5xt4lp8v
    @user-zx5xt4lp8v 4 месяца назад

    Poreni.sisiwote.jojiya

  • @Afsah90
    @Afsah90 4 месяца назад

    Kipenzi changu

  • @user-nz8hl2rh6k
    @user-nz8hl2rh6k 4 месяца назад +1

    Mzee Jakaya mzee wa Tabasamu,hakika ww ni nuru

  • @bishopprofvictorchisanga2009
    @bishopprofvictorchisanga2009 4 месяца назад +1

    MZEE ALLI HASSAN MWINYI; NASEMA KWELI; IS THE ONE WHO MADE THE BEST PRESIDENT THAT TANZANIA HAS EVER HAD. I LOVE HIM MORE THAN ANY OTHER PRESIDENT I SEEN IN THE COUNTRY; I SAY IT AS A HIGHLY COMMITTED CHRISTIAN, KNOWING THAT HE (MWINYI) IS A COMMITTED MOSLEM. I THANK GOD FOR HAVING GIVEN US MWINYI AS OUR SUCH A BELOVED PRESIDENT. NO WONDER HE HAS LIVED NO LONGER OR LESS THAN HE WANTED. THANK YOU JESUS FOR ALLI HASSAN MWINYI.

  • @juliusndungu-sv3ng
    @juliusndungu-sv3ng 4 месяца назад

    Kikwete ni deep state.

  • @aishaalbalushaishabalush8291
    @aishaalbalushaishabalush8291 4 месяца назад +1

    kikwete hukutakiwa kua kiongoz yeyote katka nnchi ila umelazimisha kishetan hadi umeitafuna nnchi nyerere alikukataa hata mwinyi alikukataa sema ukaenda hadi kwenye ushetan. upate kuimaliza nnchi na familia yako na rafiki zako Mungu akusameh ukitubia kwake we kikwete nausipo mtubia Mungu na uliowadhulum jahanam ni makazi yako

    • @shukranitv2971
      @shukranitv2971 4 месяца назад

      Haaaaaa nenda na ww katumie njia hyooo kwn umekatazwa

    • @abdulkatalango2890
      @abdulkatalango2890 4 месяца назад

      alkmkataa wapi mbona unakoment upuuzi,?hujui lolote

    • @idanysedrc1200
      @idanysedrc1200 4 месяца назад

      Kmmm mamko

    • @SaidihusseinAthumani-dy9kw
      @SaidihusseinAthumani-dy9kw 4 месяца назад

      mwache jk wetu ana baya uyo

    • @aishaalbalushaishabalush8291
      @aishaalbalushaishabalush8291 4 месяца назад

      @@SaidihusseinAthumani-dy9kw hana baya kwa wezi wenzie ila kwa nnchi na wana nnchi masikin kadhulum sana na mali za nnchi bado anakula tu kinyume na sheria ya dini hata ya kiserkal ila wanamogopa kwakuwa yuko chama la wauwaji in sha allah Mungu ampe ufahamu wakutubu kabla ya siku yake ya mwisho

  • @AizackKalenge-ro5rc
    @AizackKalenge-ro5rc 4 месяца назад

    Hivi kweli CCM inakubarika sana Mpk Sasa iendelee kiutawala,,Mzee wangu Kikwete nampenda sana,Kauli hiyo baba yangu uliwahi kusema CCM itatawala milele,

  • @ivanminja7954
    @ivanminja7954 4 месяца назад +1

    Ndio Mzee wetu aliyebaki sasa katika awau zote zilizopita

  • @johnsinyinza7450
    @johnsinyinza7450 4 месяца назад

    Wizi wa kura.

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s 4 месяца назад

    Sasa mbona Samia hawafukuzi mawaziri wake na wakurungenzi wake mafisadi,

  • @frankhoffa8356
    @frankhoffa8356 4 месяца назад +4

    Akifa kikwete tu ccm haitoboi katika uchaguzi mkuu