"RAIS MWINYI ALITUFUKUZA KAZI MAWAZIRI WOTE, ALIVUNJA BARAZA MARA MBILI" - KIKWETE ASIMULIA MAZITO
HTML-код
- Опубликовано: 24 июл 2024
- www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Развлечения
Rais wangu mpendwa jakaya kikwete bila wewe mie nisingetoboa elimu ya juu Kwa gharama zile!! Mungu akupe umri mrefu
Mh kikwete nkisema nikae kimya bila comment yyte itakuwa najidhuru mwnyewe moyo wangu,me nakpenda Sana bhn❤ Allah akupe afya na umri mrefu wnye brka
Amin nahisi utakua mpenzi wa Ridhwan
@@KassimAlly-xp4dz 😅😅
Anayeharibu inchiiiiii mweIo
Mungu hutoa na hutwaa mungu ahifadhi mahal penye wema peponi na aitangulie familia ya mzee mwenda zake allah amjalie khusunul khatima popote pale aendako na akamfungulie janatul firdaus iwe makao yake ya rabil allamina
Allah akupe afya njema, subra na maisha marefu yenye furaha tele❤, Sie twatambua jitihada ulizolifanyia taifa hili,
Mwenyezi mungu amuweke mahali pema peponi kitu kinachonisikitisha zaidi nilitaka nikirudi nyumbani baada ya miaka mingi kuwa nje nilitaka nikamuone lakini haitowezeka tena ni dua zetu tu kumkumbuka mzee wetu
Aamin
This man Kikwete is charismatic
2025,2030 CCM mbelekwambele usiulize imeisha hyoo mzee kashasema hiyoo
Poleni kwa mzee wetu
Innalilah wainnaileyhi rejeun.
Innalilah Wainnaileyhi rajeoun,
Allah ampe Qauli thabit mzee wetu,Ally Hassan Mwinyi,,
Nawapa pole tena poleni sana tumepoteza nguzo muhimu kutokana naalicho kipenda mwenyezi MUNGU Sisi hatuna cha kukereka nakumbuka nilipo kwenda kufanya mtihani wadini MISRI Alexandria alinipa Nasaha iliyo nifanya mimi nifaulu mtihani
ALLAH amulaze mahali pema
La! Kwa nini elimu hii haikutolewa akiwa hai? Alikuwa mtu mkuu,
Ukifa siku zote utasemwa vizuri❤
Wewe.ndio.mwamba.uliebakki.mungu akupe.maisha.marefu.zaidi na.ukifa.uende.peponi
Nimepokea habari za msiba wa (SOMO WANGU NIKIWA NJE YA NCHI) SISI NI WA MWENYEZIMUNGU NA KWAKE TUTAREJEA. POLE KWA RAIS HUSSEN MWINYI NA FAMILIA, WATANZANIA, EAST AFRICA NA AFRICA KWA UJUMLA.
Safi sana mzee JK...na wewe ni mtu muungwana sana
Kuanzia Leo ww ndiye baba wa taifa
😂😂😂😂😂Umenifanya nikacheka msibani
Rais Ali HAsan munyi Allah yarha rahiin inaaliah wa inaa ileyhi rajicuun / marayaangu yakufika Tanzania yeye ndiyo
Raisi watanzania salaamu kutoka Somalia afike watanzania!!!!
❤ INALILAH WAINAILAIH RAJIUN
Mwenyezi mungu amlaze mahali pema mzee wetu'
Aamiin Yaa Rabbal 'Alaamiin.
Innalillah wainallah raajoun 🙏🙏
Pole sana, Allah amlaze pahali pema peponi
Unaposema dunia hutambua kuna muungwana kaongea kiungwana
Muungwana Sana na Mvumilivu JK
Kabaki mwenye kikwete Dah wenzie wameisha
Nawapa pole sana
Poleni sana
Kikwete nakupenda Mzee wangu
Kwa kweli kwa upande wa ajira huyu baba alijitahidi. Tunamshukuru sana!
May Marehemu Baba Mwinyi Rest In Peace Insha’Allah 🥲🙏
Mwenyezi Mungu anasema jambo wakati wowote katika kila tokeo.
Kikwete naona karudi kuwa kijana mashaallah
😂😂😂😂😂😂hela wanazotafuna za dhulma zinawapendezesha miaka 5 ya magu alipauka akakonda maana miashara zake za magendo zote zilikwama na madawa yali fungiwa akapauka sasahivi anaitafuna nnchi kwanini asinenepe ,,,,
UPEW ULINZ WAKUTOSH
@aishaalbalushaishabalush8291
MUOGOPE ALLAH
@@allahisone6386 uanze wewe na kikwete wako mumuogope Allah ndio uje nambia namie sawa maana sijawahi dhulum mtu au kuuza sumu kwa kiumbe yeyote yule
Kikwete muongomuongo sana
😂
WEWE Ukiwa Mkweli inatosha
hapo kadanganya wapi?
Duh..😂
😂😂😂😂
Kikwete namba nyingine hii
Mzee ruksa tunaomboleza Kenya🇰🇪🇰🇪
Wacha kutudanganya kitweke!
Inalilah wainah laajuun
R.I.P
BWANA alitoa, na BWANA ametwaa; jina la BWANA libarikiwe. (Ayub 1 : 21).
Mwenyezi Mungu tujaalie mwisho mwema eti Leo Tanzania 🇹🇿 ina Rais Mstaafu mmoja tu J.K KIKWETE, ZANZIBAR Marais Wastaafu ni Komandoo Dr Salimin, Aman Abeid Karume na Dr.Shein
Ila dk salmin hawamtaji wala ku.muhusisha ktk matukio yao🙄 km hajaongoja nchi inasikitisha
Hii historia ya kikwete inaonyesha kuwa mtu yeyote akipambana anaweza kupiga hatua kubwa
Nilitamani kusikia hbr za mzee Mwinyi zaidi na si hbr za mtu mwingine
Hivi ingekua ni utawala huu mngekubali kweli
Please, whatever you do, whoever you are, don't die without knowing Christ Jesus. He alone can save you from hell.
White colonizers brought Christianity and presented Jesus Christ to brainwash you. Ever asked yourself the question why the Jews and Israelis don't believe in Jesus as a saviour like you africans? Only God can save...no one else can...
Mawazo ya Mungu si yetu ! 😂
@@j.c.maxima816 Neither is there salvation in any other: for there is none other name under heaven given among men, whereby we must be saved.
-- Acts 4:12
The name of the Lord is Yeshua (Jesus). Which means Yahweh saves. Anyone who calls on His name will be saved.
Kikwete ni mtu muungwana sana, hata hotuba zake ni za kiungwana sana
Hana. Uungwana. Wowote. Fisadi kiwembe
@@SharifaOman-bf1bn Kwa sababua ameruhusu watu wamwite hivyo. Laiti kama angelikuwa zingua, chinja kama mwenzake, usingejaribu kuandika huu upuuzi wako hapa.
@@SharifaOman-bf1bntena kiwembe chenyewe kanyolea bi mkubwa wako kikali kweli kweli
@@SharifaOman-bf1bn
Acha kuwasema watu kwa ubaya Kisha ukasahU ya kwenu huko na familia yetu
@@TamuzaKale yaani kikwete ndio anaharibu hii nchi kwenye ukweli tusema, mpaka bandari ya bagamoyo impewa wachina wanafanya uwekezaji ilihali ni kwakumkomboa mwenae alipokamatwa na madawa ya kulevya china tusimsifie na kitu Cha uongo
kuna umuhimu wanasiasa kuiifunza kuleta maendeleo ya dhati kwene nchi zetu kuliko kuwa wezi ,munaimba badae munaondoka
Rip
Kikwete hata ajikoshe vipi simPendi anaua shiling sana
Mhafidhina ww na bila shaka ni Suk gang
R.l.P.Mzee uliyekuwa nabusara nahekima bilahiyana kwenye uongozi wako Mungu akurehemu. C.C.M nivyama nimuungano wa vyama viwili vya ukombozi hivyo tusiwaagushe wale miamba wawili walio pumuzika kisa kujiamini kupitiliza bila palizi shambahuota majani mengi nahuchomwa moto hata nawavuta bangitu C.CM ingetawala hata miaka 50 ijayo ila...
Binafsi namshukru Hayati Ali Hassan Mwinyi alikuwa kiongozi mahiri pumzika Kwa Amani
JK ni Mzee muungwana sana
😂😂😂😂😂nilikua nikifuatilia siasa za mwalimu mwinyi ,alikua mdemokrasia 😢rip mzee
Hilo funzo nalo neno wallah. Maana mti hauendi ila kwa nyenzo.
Kulnafsih DHAIKATUL MAUT.
Rr sarama baba
Briani mzee wa ruksa.
Wanasiasa wakiwa madarakani hawapendi kukosolewa na viongozi wa dini lkn wakifa eti wanataka waombewe ningumu sana viongozi wa siasa kurisi ufalme wa Mungu Kwa sababu za tamaa zao
Ichi kimsoga mcngekipa nafasi ya kuongea kijizi
Shika adabu yake
Kwahyo ccm inatesa xio haya ngoja tuteseke ss
Hao wana zungumza na kucheka nyuma ya Kikwete hawana adabu, haya ni mazishi ya baba mdogo wa Tanzania
UPEW ULINZ WAKUTOSH
😂na mie nimexheka Sasa! Unaona, eti babamdogo wa taifa duh!
Mzee wetu apumzike kwa Aman
Rais Kikwete sasa ndiye rais wa zamani anayebaki hai Tanzania kama ilivyo Kenyan na Uhuru Kenyatta.
Kikweta anafuta nini huko
Babu kaondoka tumebaki na wewe baba yetu
huyu J.K ni Baba wa Demokrasia Tanzania 🇹🇿, huyu ni mtu na nusu.
inakusaidia nini
@@kwisa4899😅😅
@@kwisa4899amani
Nyie hua mnaongea kwasabab ya udini, hamuwezi kusimamia ukweli
@@patrickKitambo weye umeweka katika akili yako hivyo. Ndio maana umedhani hayo. Mie nilidhani kasema hayo kwasababu alioongoza Tanzania mstaafu kabakia pekeake. Staki mie nikufkirie wewe vibaya kwa kuwa ni kafiri.
speech nzuri sana ya kikwete
Uchaguzi 2025, 2030 umekwishaaa Leo... Kauli za Mzee JK
Kivipi?
Tanzania,mbona wazee wanaondok
MAREHEMU MZEE MWINYI ALIKUWA RAIS 'MSAFI'.....HAKUWA MLA RUSHWA NA FISADI.....MARAIS WALIOFUATA WALIKUWA NA 'MAKANDOKANDO' YAO MENGI!
Siku za ccm kua madarakani zinahesabika
Poreni.sisiwote.jojiya
Kipenzi changu
Mzee Jakaya mzee wa Tabasamu,hakika ww ni nuru
MZEE ALLI HASSAN MWINYI; NASEMA KWELI; IS THE ONE WHO MADE THE BEST PRESIDENT THAT TANZANIA HAS EVER HAD. I LOVE HIM MORE THAN ANY OTHER PRESIDENT I SEEN IN THE COUNTRY; I SAY IT AS A HIGHLY COMMITTED CHRISTIAN, KNOWING THAT HE (MWINYI) IS A COMMITTED MOSLEM. I THANK GOD FOR HAVING GIVEN US MWINYI AS OUR SUCH A BELOVED PRESIDENT. NO WONDER HE HAS LIVED NO LONGER OR LESS THAN HE WANTED. THANK YOU JESUS FOR ALLI HASSAN MWINYI.
Kikwete ni deep state.
kikwete hukutakiwa kua kiongoz yeyote katka nnchi ila umelazimisha kishetan hadi umeitafuna nnchi nyerere alikukataa hata mwinyi alikukataa sema ukaenda hadi kwenye ushetan. upate kuimaliza nnchi na familia yako na rafiki zako Mungu akusameh ukitubia kwake we kikwete nausipo mtubia Mungu na uliowadhulum jahanam ni makazi yako
Haaaaaa nenda na ww katumie njia hyooo kwn umekatazwa
alkmkataa wapi mbona unakoment upuuzi,?hujui lolote
Kmmm mamko
mwache jk wetu ana baya uyo
@@SaidihusseinAthumani-dy9kw hana baya kwa wezi wenzie ila kwa nnchi na wana nnchi masikin kadhulum sana na mali za nnchi bado anakula tu kinyume na sheria ya dini hata ya kiserkal ila wanamogopa kwakuwa yuko chama la wauwaji in sha allah Mungu ampe ufahamu wakutubu kabla ya siku yake ya mwisho
Hivi kweli CCM inakubarika sana Mpk Sasa iendelee kiutawala,,Mzee wangu Kikwete nampenda sana,Kauli hiyo baba yangu uliwahi kusema CCM itatawala milele,
Ndio Mzee wetu aliyebaki sasa katika awau zote zilizopita
Wizi wa kura.
Sasa mbona Samia hawafukuzi mawaziri wake na wakurungenzi wake mafisadi,
Akifa kikwete tu ccm haitoboi katika uchaguzi mkuu