AMANI KARUME AFICHUA SIRI YAKE NA HAYATI MWINYI
HTML-код
- Опубликовано: 1 мар 2024
- Kutoka AL FATAH TV .
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline
#AlfatahCharitableAssociation
#ZANZIBAR
Huyu ndiye mzee wetu ,wape wape, mwenye kukuelewa anajua, unapiga wapi
Wewe ni Kiongozi
Umeongea Mambo ya msingi sana Mh
Allah akupe mwisho mwema
Al Hajji Amani Karume Mola akulinde na akujalie afya njema na maisha Marefu.
Wemekuelwa vizuri tuu ugumu upo kwny utekelzj.Bg up mzee amani abedi karume
Bravo Aman bado una vission kubwa juu ya Zanzibar.Wenye kuelelewa watakuelewa.
Allah amfanyiye wepesi kwa afya yake amin amin karume simba mtoto ulikuwa
Nice
Ahsante m،zee wetu
Long life Amani.
NIMEKUPOKEANDUGU YANGU MHE. RAIS.AMANI
Pombe si kitu kizuri..
Mbona umezeeeka.amani
Chapombe umesema yupo apo daaaah ww
Ndugu yake
Presidential Speech
Mlicho mfanyia salimini nyie mungu anawaona
Amefanywa nn acha siasa ww
Walichomfanyia au alichojifanyia mwenyewe? Hakuna kitu kibaya kama wanyonge kukushtaki kwa Mungu.
Njwiii!!!
Fatuma karume huwa ni mwanae au dada yake?
Dada yake
Mwanawe
Ni majina tu kufanana kama vile majina mingine
Mama ake Aman Karume anajulikana kwa jina la Fatma Karume na mwanawe pia ambaye ni mwanasheria anaitwa Fatma Karume.