AMANI KARUME AFICHUA SIRI YAKE NA HAYATI MWINYI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 мар 2024
  • Kutoka AL FATAH TV .
    Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
    #AlfatahTvOnline​​​​​​​​​​​​
    #AlfatahCharitableAssociation​​​​​​​​​​​​
    #ZANZIBAR​​

Комментарии • 24

  • @shahidmaftouh1141
    @shahidmaftouh1141 4 месяца назад +5

    Huyu ndiye mzee wetu ,wape wape, mwenye kukuelewa anajua, unapiga wapi

  • @alhajjkassim2648
    @alhajjkassim2648 4 месяца назад +5

    Wewe ni Kiongozi
    Umeongea Mambo ya msingi sana Mh
    Allah akupe mwisho mwema

  • @muhammadsalaam1373
    @muhammadsalaam1373 4 месяца назад +3

    Al Hajji Amani Karume Mola akulinde na akujalie afya njema na maisha Marefu.

  • @abdillahmohd4317
    @abdillahmohd4317 4 месяца назад

    Wemekuelwa vizuri tuu ugumu upo kwny utekelzj.Bg up mzee amani abedi karume

  • @mfwimiekayuki8692
    @mfwimiekayuki8692 4 месяца назад

    Bravo Aman bado una vission kubwa juu ya Zanzibar.Wenye kuelelewa watakuelewa.

  • @user-ds6me1eh7n
    @user-ds6me1eh7n 4 месяца назад

    Allah amfanyiye wepesi kwa afya yake amin amin karume simba mtoto ulikuwa

  • @abdillahomar4541
    @abdillahomar4541 4 месяца назад +1

    Nice

  • @shamsahamdan3274
    @shamsahamdan3274 4 месяца назад

    Ahsante m،zee wetu

  • @user-yy6vy4xu2s
    @user-yy6vy4xu2s 4 месяца назад

    Long life Amani.

  • @MHE.MAMAANAMKAPA
    @MHE.MAMAANAMKAPA 4 месяца назад

    NIMEKUPOKEANDUGU YANGU MHE. RAIS.AMANI

  • @mwalimdibwe6290
    @mwalimdibwe6290 4 месяца назад

    Pombe si kitu kizuri..

  • @OmanOman-iu7jf
    @OmanOman-iu7jf 4 месяца назад

    Mbona umezeeeka.amani

  • @OmanOman-iu7jf
    @OmanOman-iu7jf 4 месяца назад

    Chapombe umesema yupo apo daaaah ww

  • @user-rh7lj1lo5x
    @user-rh7lj1lo5x 4 месяца назад

    Ndugu yake

  • @iddmasyen4258
    @iddmasyen4258 4 месяца назад

    Presidential Speech

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula5015 4 месяца назад

    Mlicho mfanyia salimini nyie mungu anawaona

    • @KassimAlly-xp4dz
      @KassimAlly-xp4dz 4 месяца назад

      Amefanywa nn acha siasa ww

    • @aishaalamry5856
      @aishaalamry5856 4 месяца назад

      Walichomfanyia au alichojifanyia mwenyewe? Hakuna kitu kibaya kama wanyonge kukushtaki kwa Mungu.

  • @saidisaidimohd4034
    @saidisaidimohd4034 4 месяца назад

    Njwiii!!!

  • @masumbukokilunga4265
    @masumbukokilunga4265 4 месяца назад

    Fatuma karume huwa ni mwanae au dada yake?

    • @FatmaAliy-ld4dg
      @FatmaAliy-ld4dg 4 месяца назад

      Dada yake

    • @alhudhaify7810
      @alhudhaify7810 4 месяца назад

      Mwanawe

    • @iddipazi5142
      @iddipazi5142 4 месяца назад

      Ni majina tu kufanana kama vile majina mingine

    • @aishaalamry5856
      @aishaalamry5856 4 месяца назад

      Mama ake Aman Karume anajulikana kwa jina la Fatma Karume na mwanawe pia ambaye ni mwanasheria anaitwa Fatma Karume.