JINI MAHABA LIVE KATIKA BAHARI YA MANGAPWANI
HTML-код
- Опубликовано: 30 сен 2024
- fair use is a use permitted by copyright statute that might otherwise be infirnging non - profit education, or personal use tips the balance in favor of fair use all credit for copyright material used in video goes to the respected owner, #ZINJIBAR
#FAHARI YA ZANZIBAR
Mashallah dah mmenikumbusha mambo mengi kunionesha kwetu Leo ila kidogo zinjibar TV mtume (saw) anasema mwenye kughushi si katika sisi nikiangalia kichwa cha habari hakiendani na yaliyomo hamuhisi kuwa mnaghushi Allah ndo mjuzi asanteni Sana kwa daawa Allah atupe wepesi atuepushe na Shari za majini 974
Kwa jina la YESU nawashushia Moto wa Roho mtakatifu,na dam ya YESU izunguke maisha yetu,
Amen 🙏
A men
Amina kaka
Kumbe ni "kijibinzo" kimepachikwa kwenye picha. Nilifikri kweli. Eeh! 😲
Kichwa cha habar kimeongea uongo ila musirudie
Basi acha nipite, Ahsante kwa comment yako. Sipendi kudanganywa 😁😁ndo mana huwa napita kwanza na Comments
Hatari Sana'a Shekh Jini Live tena Dah Zinjibar TV mnatupa elimu nzuri Sana'a Mungu awazidishie Sana'a na Awalinde Sana'a Mko juu Sana'a
Nyinyi basi ni wajinga andikeni kichwa cha habari cha ukweli
..acheni kuandika uongo mtapoteza haiba yenu....uisilamu hautaki uongo.
Baana
Km walivoanzia kwa kichwa cha khabar cha uongo basi wanayoongea hayana ukweli kwa asili mie 98 ...hao wafanya biashara wanajua namna ya kuwateka watu
Mimi sio muislamu sema huyu shekhe anaonekana anaimani kubwa sana, God bless him
Ammin yarab naam huyu shekh yuko vizur sana Mashallah Allah amzidishie👐👐👐👐
Ndio maana kawaendea maeneo yao. Sio yyte awezao
SHEKHE hapo kwenye rizki hapana , tukisema wanafunga rizki itakua tumewapa nguvu baadhi ya washirikina kuenda kuomba rizki kwa mashetani
supu moto kweli niliteleza kuelezea kidogo hapo ahsante sana nitarekebisha
@@Zinjibartvzanzibar jazzakumullahu Kheira
Kweli,wanatumia nyota za watu pia
@@evalunajohannes469 wSemaje atieno
Nimekaa namsubiri kumuona live hadi usingizi
Ata mm
Hahahahah Haya ni mambo yakufikilika hayana ukweliii.
Hujamuona si ndio huyo shekhe mwenyewe kakaa pale kachukua kiti chake cha jini!!
Mimi niliripukwa na moyo nikapesa nitajikaza kumtizama kumbe ila mtihani mi nilimuona pemba sasa sijui jini au shetan jamani mwanamke anaenda kama risasi tulikuwa watu watatu saa 6 za usiku ah jamani kumbe kweli
Shehe wetu mardhya Allah akupe maisha memayenye hernww nakupenda sana kwaajili ya Allah
Lkshmy Komar Amin Ahsante sana sana
Masha allah
ماشاء الله تبارك الله، شكرا sheikh hata mimi niko na hilo tatizo na huwa yuwanitokezea na kunichukua mpaka baharini nakuniambia niingie kwenye bahari huwa kuna mwangaza nakuniambia nikachukue pesa, na lengine kumchukia mume wangu hali yakua nampenda sana mume wangu ila huwa ni vurugu kati ya mimi na mume wangu, na haswaa tatizo nikua aliniambia kua sitozaa mpaka nimzalie yeye jini na mimi niko na mda wa miaka kumi na tano nashindwa kuzaa, sababu alinitokea nakuniambia nisikubali kuowela, na niliwahi kuenda hospital nikapima sina matatizo ya uzazi., naomba msaada wako sheikh.
Jazzaka allahu ghaira sheikh wetu kwa dua ila Nina swali kwann tukituma sms ya namba ya sheikh hazijib ila zinasomwa sms lakin hakuna majib, ni hilo tuu.
Amina Twalib Nitumie msg kwa namba yng ya Voda +255756876777
As,alyekum Shekhe mbona uwanyeshi live kama marehemu Shekhe Yahya Hussein unatupastori tu tutamini vipi
Simameni ktkkweli,,,,jini hili Lina muogopa YESU pekeyake tu
Masha Allah Maasha Allah Sheikh Salum Mardhia hongera leo umeingia jikoni mwenyewe,Watamama usiogope mlinzi unae .Sheikh Salum kiboko yao,hakuna jini litakalokuvaa.Mungu akujaalie umri mrefu sheikh Salum.wenye kheri na afya njema.
Naam asiogope voo mim hapo wanaingia chochoroni nahis mwil unanisisimka
Ustaadhi Wewe muongo mnafiki fisadi jini haonekani ... Acheni utapeli ulio komaa
Sasa huyu Mshiri kina au nn sielew
Kassim Mohammed , hakuna binaadam alie kamilika hata kma walicho fanya sio sahhi lkn haikupasa kumkashfu kiac chote icho haifia uyo bdo atabaki kua Shekhe na kasoma na ujumbe unafka kwa njia ya Allah na sio kwa kwa njia ya music au vyengine n.k so mm ngekuomba rekebisha kauli yko ushauri tu lkn 🙏coz ushauri c amri kuna kkubali na kukataa shukran 🙏
He wanakufungia rizki TENA ?
Kumbe rizki kunakiumbe kinauwezo wa kuzuia rizki ya mtu duh 🤭
Allah awajaze ujasiri MashaAllah Jazakhallahu khaira 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏.
Ww hauna halima from saudia Arabia
Asalaam aleykum shekhe Maridhia unatoa namba za simu Kisha ukipigiwa hupokei na Ukitumia text pia hujibu haifai na mwenyewe ulisema unatibia hata kwa njia ya simu kwa walio nnje ya Tanzania
Naima Mwambe umepiga kwa namba gani??? Saa nyengine sipokei kweli kwa sababu nakuwa ktk visomo +255658399919 usichoke kunipigia
Asante saana kaka sinaga raha wallah
nakupenda
nilitak kulion ilo Jin kumbe kichwa cha habar ni kimesema uongo bhan dini ya kislamu haitaakiw ivyo
Asalaam Alaikum..mashaallah sikua nsjua aina za majini kumbe wapo wengi..m/mungu atuepushe nao inshaallah...inshaallah sheikh zidi kutufunza..mungu akupe umrii...
Sheikh naomba nitafsrie ndoto ya mwez na nyota kuungana mchana
Halafu sheikh Salum kuna kaka yngu hataki kuoa n umri ushaenda n uwezo anao icje kuw n yy ana hyo majini😓
Twahir Ally hakika majinni Mahabba ni wabaya sana ktk kuharibu maisha na ndoa
😂😂😂 kama mm tu
@@Zinjibartvzanzibar mh hv utajijua vp kama unajin bahar
Sheikh Kuna Dada yangu huwa anasumbuliwa natumbo kila mara kasha jaribu kila sehemu hajapata kupona maradhi yake
Twahir Ally tayari uyoo
😀😉😀WAUZA DAWA WAPIGAJI
Mbona hatuoni hayo majini shekhe🤔🤔🇰🇪🇰🇪❤️❤️
Ndo hakuna ukweli apo
Huyu simwamini
Mm yanisumbua nisaidie
Nyinyi ni waislamu lakini umetumia caption za urongo for views only
Kwa jina la Yesu kristo wa Nazareth aliye hai hawaniwezi me&G tunajifunika damuni mwa Yesu kristo amen amen amen amen amen amen amen!!!!!!!
Mimi Nina shida binafsi ya kumuona shekh salim naamini ninacho kitu mungu kanipa pengine nikimuona shekh kuna kitu atanufaika kwa kuniona au nitanufaika mimi
Subhanallah yaan natizama video mpk naogopa wallah
INGELIKUA NYIE NI WATUMISHI WA MUNGU MSINGE WEKA KICHWA CHA HABARI AMBACHO NI UONGO,MAANA SHETANI MWENYEWE NI MUONGO KAMA NYIE
Tuwombe sana mungu atulinde
Nippatie mawasiliano yako 0683 930 360
HUYO JINI HANA KWAO HADI AJE KUPANGA MIPANGO YAKE DUNIANI BADALA YA KUTEKELEZA HAPO NI UWONGO.
Asante sana jiraniyangu maridhiya Mimi alfourncekutoka kwammanga kwawarabu msikitini
Una comment ili tuudhike , Alhamdulillah alfounce Bado hujapata 😅😅😅😅
Majini cannot withstand the name of Jesus Christ!
Mimi nimekosa ndoa kisa jinni mahaba daaah mpka leo sitasahau Allah atanilipia. Mm nilivyokuwa nampenda yule binti 😭😭😭😭😭😭
Kubali qadar ya Allah
Allah amewaambia majinn waovu na washirikina ktk surah tul baqarah kwamba hawafanikiwi mambo yao isipokuwa kwa idhni yake
Pole kwa yaliyokupata
Vip umeona au nisaidie kama ulipona me nasumbuliwa sana sikai na mwanaume maisha yang sijawai kurudiwa na mwanaume nateseka sana 😭😭😭😭
@@miriamngosha6856 kama hufanyi ibada anza kufanya ibada kwa hali na mali maradhi hayo asikudanganye mtu tiba ya kwanza ni ww mwenyewe namna ya kujisaidia kujikurubisha sana kwa Allah kufanya adhkar kwa wingi kuamka usiku kuswali ukiwa tofauti na hapo hao viumbe watakutesa sana zaidi ya unavofikiria
@@miriamngosha6856 nikupe pia namba ya sheikh mmoja nadhan saiv atakuwa Dar pia anafanyaga kisomo sana
@@miriamngosha6856 pole dada naomba nitafute +254710202027
Mashallah sheikh salum mardhia
Mpaka machozi yananitoka mana niugonjwa niliho nao wala cfichi jini mahaba ni mbaya sana
endeleeni kutuibia waislamu wenzenu kwa kutumia maandishi yenu
Mm Naomi kweli mm Luna mda najiona kama nip kweny3 tend atakua yy😢
Mashkurin masheikh wetu
Kweny maji chin ya bahar kuna magorofa makubwa lakin pakitoa sunami magorofa hatuyaon.kumbe nikiin macho wanatufanyia haw viumbe waliokufuru.
😂😂😂😂
Ndio Shekh Wang
Kwasababu jini ni hatali sana
Sheikh kuweni makini majini yasijewavamia hapo baharini.😂😂
ALLAH atukinge na majini na watu wabaya.
Kikubwaiman.
Watu wamejiamini kwa kushikamana na Qur'an na sunna
a.alaykum mi nipo dar es salam ilikuwa naiomba namba ya shekh salim
Na jini anaetaka yeye umuogee maji bahar kila ijumaa huyu je
Sheikhe salum na watamama hamuogopi mikwaju humo munamopita na hapo mulipo kaaa 😄
Hahahahaha uko vyema kimsingi
Asalam aleykum wallahmatullah wabarakatuh shekhe mimi niko na tatizo la ndoto unanisaidiaje?
mpo huku sasaiv..je kule mardhiyya tv vp?
Ahsante sasa hv mardhiyyah imeungana na zinjibar na imekuwa na jina moja tu Zinjibar tv Shukran sana
Jaman mimi hii ndoto ya mapenz huwa naota mara kwa mara au ndio maana siolewi kila nikipata mchumba ananizingua na kuniacha😥😥😥😥Allah nisaidie ya rrabiy
Asanten kwa kunijuza sikujua
Ongera shekhe wetu kwa uwezo uwo na ujasiri
HUU uchambuzi ukiutizama kwenye elimu hee jamaa ananyevuliwa 😁😁😁😂🤣🤣🤣🤣
Shekhe mardhia hilo tatizo Mimi ninalo
ila mmetumia uongo wa picha ili kuwashawishi watu!!
😃😃😃😃😃
Sasa huyo jini aliyeonekana live mbona hatumuoni? Tunataka aoneshwe live tumuone
m wnanisumbuwa sana awo majini waminivunjia ndoa yangu na maisha yangu ni magumo sana from mozambique +255864531584 inshallah
Manshallah
Mudy Matelephone A'aleykum ndugu yangu nina mama mm kanisaidia sina ata jini mahaba tena ukipenda nitafute nikupe namba zakee
@@angelrimoy2365 tupe hyo no mana wengne hadi twajichukia mwaya
Kichwa cha habari sicho kwani hamuwezi kueka ukweli aloandika icho kichwa cha habari nae pia jini bahari
hapo hapo 🤣🤣🤣👍🏼
Heee mmeenda ukoo jikon kwa majin
Mie kunasiku nimeenda lakin kipindi icho ilikuwa navua samaki nikaja kuonananae lakin Sikh hiyo hakunizur
Meri
Mdor.wa
Majabu
Shukran jazaillan,Allah akuongoze inshaallah.
Sawa ostadhi wangu nimekuelewa sana Ila kuna lafiki yangu naumwa yn sio kuumwa ila akilala kila siku anafanywa vibaya mana akilala anavhezewa mbele na nyuma alafu ni mwanaume alafu mpka sasa yn atamani ata mwanamke ndugu nitafanyaje ili kumsaidia mana n miaka mitatu sasa mpk ss akupona yn
Hassan Kassim Mwambie anitafute +255756876777
Sawasawa
Huo Ni utapeli ulio komaa
Ujinga uo ulionao ww
Is true tuondolee hayo majini yaende kusimu kabisa
Allah awajaalie Kila la kher na mafundisho mazuri In sha Allah,, nawapenda Kwa ajir yake.
Subhana Allah twateseka sababu jini huyu
Wewe utamuonaje kiumbe kama icho ama wewe pia ni jini
Awani mataperi
(1)"Talking many things without any reality of strong AVEDENCE is FULL STUPID."
(2)"Tumechoshwa na porojo na majigambo,so we need strong avedence"
....
Waislam huwa mnayatumia sana hayo maini
YAANI sikuhiz mtu akitaka kutapeli hujivisha vazi la KIISLAMU ET NJIA za majini nyie jamaa haya
Daaah nakupenda sana she maridhia nakunga mkono nipo pamoja na we we big up jmn Mungu akusadiye ............by Ravina
Wewe acha upuuzi mbona sija muona kiboko cha majini yesu kristo...Amina
Wewe acha upuuzi mbona sija muona kiboko cha majini yesu kristo...Amina
Subanallah
Mke wAngu anasumbuliwa
kichwa cha habari tofauti na nachokiona nyie wote washirikina,
Kweli,nilisikiza ndio nimuone huyo jini akijitokeza wazi,lakini sikumuona! Catch bait.
Shamharushi wamjua we we?usitudanganye wewe
Dah shekh nna mdogo wangu anasumbuliwa Sana na majini mdarefu Ila mara hii ndio imekua it's too late amekua akipandisha jini mithili ya chui huku akijitapa na kujisifu tunaomba kupata tiba ili aondokane na kadhia halali Kwa raha mda wote yy ni mtu wa kua mnyonge tu hadi huruma na tiba hatujui
Mashallah shekh wangu wa Faida nampenda. Sana huyu shekh kwa ajil ya Allah
Napenda jini mahaba
Mm ananiathiri hadi leo nipo Oman nimekuja kutafuta rizki nimebaki kidogo nirudi nyumbani basi nimeibiwa pesa zote nilizofanyia kazi nipo tuu apa naangalia rehma za Mungu nilikusudia nije nijitibu akaona bora anifilisi kwa kuibiwa pesa zote
Mmmh pole mumy
Mungu akuhifadhi na akuondoshee tatizo lako.
Aisha Said polee na mm liliwahi nitesa sanaa
Nyie ndo mnayachokoza af yanakuja kututolea hasira
🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣
😭🤣🤣🤣yaa i wacha
😂😂😂
Tutajvuniya sana wa znz kuwa navichwa adhim km ww
Hata nyie mnakuwa waonho
Sheikh nikipata ndoto kama hizo ninatakiwa kufanya nini...Jazakallah
Mmmhhh nipombalitu .nanaogopa hapomlipo
Sasa mnaongea nyie Mimi naogopa hukuu duh!
Hta mm
Daa mashikh wetu wanamoyo wa ujariri
ZAINAB ISSA . Uko pekee yako? Ni lazima utaogopa tena ikifika Usiku ndoa kabisa, Lakini Weee Swali tu kwa Imani yako Mungu Mkubwa
Swadakta...hata mm niko na hiyo shinda nikilala naletewa sura ya family..yako twafanya mapenzi...mwanamume wote akinitogoza..huwa mkali..na ndani ndoa yangu ilikuwa niya misukosuka....
Kesho kipindi cha live kinaanza mda gani watamama?
Nikama mimi nilikua naota sana hilo ndoto sana hadi nikikosana na mume wangu lakini alihdulillah nilizidi kuomba dua Ila Allah kanijalia hata sasahivi nsiote Tena Kama zamani
Asanteni sana kwa mawaidha yenu hila hamjazungumza je faida yake kwani mbaya ana sifa.
Ukiokoka Utapona majin mahaba na kama unataka kuokoka nitafute Kwa no hii 0762189863
@@barnabamollelysaruni4613 kuokoka aje ?
Ninae mmi ntamtoa vp
Makubwa jamani
Ni kweli sheikh
YAANI HAWA MAUSTAADH WAMESHA TUHARIBIA MAMA NA DADA ZETU KWA MAMBO YAO YA MAJINI. KILA MWANAMKE SASA ANAAMINI ANA JINI KWA SABABU YA WATU HAWA WAKATI MUBGU AMEKATAZA KUAMIINI NA KUABUDU VIUMBE HUVI#!
Kweli
Leonard.fautine
Mangapwn home kichwa cha habar kilintisha😑😑
Mashaalah sheikh Salim Mungu atujalie watoto.wema wenye wakushika vitu haraka Ameen
Wao ndio wnaowatumia sana
Iyo kitu utokea unapobarehe yani anza barehe na usipofanya mapenzi kwamuda mrefu ndo ukutokea ivyo vitu ujikuta unafanya afu ukiangalia uku umefanya kweli ile nihamu namzigo kujaa naisia nyingi nandomn inasemeka usikae ndani yawiki moja kama haumwi kwabila yakufanya utaota ndoto tu zamapenzi nasi jini mahaba ukitaka uwamini ivyo fanya mapnz mara kwamara afu uone kama izo ndoto utaziota
Duh subhana Allah
Jazakallah khayra shehe lafu mim naitaji kujifunza zaide ili nijue jinsi Gabi yakuisoma haia ifuatayo napatikana msumbiji asalam alaikum
Nashallah sheikh kweli kwa hajika unatujuza mengi
Allah awazidishie elimu ya kutuelimisha. Zaidi. Shukran jazira