JINI MAHABA LIVE KATIKA BAHARI YA MANGAPWANI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • fair use is a use permitted by copyright statute that might otherwise be infirnging non - profit education, or personal use tips the balance in favor of fair use all credit for copyright material used in video goes to the respected owner, #ZINJIBAR
    #FAHARI YA ZANZIBAR

Комментарии • 453

  • @ally1702
    @ally1702 4 года назад +10

    Mashallah dah mmenikumbusha mambo mengi kunionesha kwetu Leo ila kidogo zinjibar TV mtume (saw) anasema mwenye kughushi si katika sisi nikiangalia kichwa cha habari hakiendani na yaliyomo hamuhisi kuwa mnaghushi Allah ndo mjuzi asanteni Sana kwa daawa Allah atupe wepesi atuepushe na Shari za majini 974

  • @jovithajovinary9305
    @jovithajovinary9305 3 года назад +8

    Kwa jina la YESU nawashushia Moto wa Roho mtakatifu,na dam ya YESU izunguke maisha yetu,

  • @wardahawsawi
    @wardahawsawi 3 года назад +8

    Kumbe ni "kijibinzo" kimepachikwa kwenye picha. Nilifikri kweli. Eeh! 😲

  • @hawaynatimam982
    @hawaynatimam982 4 года назад +18

    Kichwa cha habar kimeongea uongo ila musirudie

    • @khadijajuma7142
      @khadijajuma7142 3 года назад +2

      Basi acha nipite, Ahsante kwa comment yako. Sipendi kudanganywa 😁😁ndo mana huwa napita kwanza na Comments

  • @ababuumwanazanzibar4908
    @ababuumwanazanzibar4908 4 года назад +16

    Hatari Sana'a Shekh Jini Live tena Dah Zinjibar TV mnatupa elimu nzuri Sana'a Mungu awazidishie Sana'a na Awalinde Sana'a Mko juu Sana'a

  • @swahibal-karama145
    @swahibal-karama145 4 года назад +7

    Nyinyi basi ni wajinga andikeni kichwa cha habari cha ukweli
    ..acheni kuandika uongo mtapoteza haiba yenu....uisilamu hautaki uongo.

    • @أيمنعلي-ص6ف
      @أيمنعلي-ص6ف 4 года назад

      Baana

    • @shamsahaji6202
      @shamsahaji6202 4 года назад

      Km walivoanzia kwa kichwa cha khabar cha uongo basi wanayoongea hayana ukweli kwa asili mie 98 ...hao wafanya biashara wanajua namna ya kuwateka watu

  • @africanbeautyx4128
    @africanbeautyx4128 4 года назад +4

    Mimi sio muislamu sema huyu shekhe anaonekana anaimani kubwa sana, God bless him

    • @bintsalimalbimany5340
      @bintsalimalbimany5340 4 года назад

      Ammin yarab naam huyu shekh yuko vizur sana Mashallah Allah amzidishie👐👐👐👐

    • @maherzain615
      @maherzain615 3 года назад

      Ndio maana kawaendea maeneo yao. Sio yyte awezao

  • @supumoto6819
    @supumoto6819 4 года назад +5

    SHEKHE hapo kwenye rizki hapana , tukisema wanafunga rizki itakua tumewapa nguvu baadhi ya washirikina kuenda kuomba rizki kwa mashetani

    • @Zinjibartvzanzibar
      @Zinjibartvzanzibar  4 года назад

      supu moto kweli niliteleza kuelezea kidogo hapo ahsante sana nitarekebisha

    • @supumoto6819
      @supumoto6819 4 года назад

      @@Zinjibartvzanzibar jazzakumullahu Kheira

    • @evalunajohannes469
      @evalunajohannes469 4 года назад

      Kweli,wanatumia nyota za watu pia

    • @supumoto6819
      @supumoto6819 4 года назад

      @@evalunajohannes469 wSemaje atieno

  • @cizazahra9228
    @cizazahra9228 4 года назад +9

    Nimekaa namsubiri kumuona live hadi usingizi

    • @muniradaudi440
      @muniradaudi440 4 года назад +1

      Ata mm

    • @jamalilitamba7084
      @jamalilitamba7084 4 года назад +1

      Hahahahah Haya ni mambo yakufikilika hayana ukweliii.

    • @mohammedjabir6128
      @mohammedjabir6128 4 года назад

      Hujamuona si ndio huyo shekhe mwenyewe kakaa pale kachukua kiti chake cha jini!!

  • @TeamKRX
    @TeamKRX 4 года назад +3

    Mimi niliripukwa na moyo nikapesa nitajikaza kumtizama kumbe ila mtihani mi nilimuona pemba sasa sijui jini au shetan jamani mwanamke anaenda kama risasi tulikuwa watu watatu saa 6 za usiku ah jamani kumbe kweli

  • @lkshmykomar5472
    @lkshmykomar5472 4 года назад +8

    Shehe wetu mardhya Allah akupe maisha memayenye hernww nakupenda sana kwaajili ya Allah

  • @queenayushgal9955
    @queenayushgal9955 4 года назад +3

    ماشاء الله تبارك الله، شكرا sheikh hata mimi niko na hilo tatizo na huwa yuwanitokezea na kunichukua mpaka baharini nakuniambia niingie kwenye bahari huwa kuna mwangaza nakuniambia nikachukue pesa, na lengine kumchukia mume wangu hali yakua nampenda sana mume wangu ila huwa ni vurugu kati ya mimi na mume wangu, na haswaa tatizo nikua aliniambia kua sitozaa mpaka nimzalie yeye jini na mimi niko na mda wa miaka kumi na tano nashindwa kuzaa, sababu alinitokea nakuniambia nisikubali kuowela, na niliwahi kuenda hospital nikapima sina matatizo ya uzazi., naomba msaada wako sheikh.

  • @aminatwalib339
    @aminatwalib339 4 года назад +7

    Jazzaka allahu ghaira sheikh wetu kwa dua ila Nina swali kwann tukituma sms ya namba ya sheikh hazijib ila zinasomwa sms lakin hakuna majib, ni hilo tuu.

    • @Zinjibartvzanzibar
      @Zinjibartvzanzibar  4 года назад +1

      Amina Twalib Nitumie msg kwa namba yng ya Voda +255756876777

  • @nassabtransportation7024
    @nassabtransportation7024 4 года назад +5

    As,alyekum Shekhe mbona uwanyeshi live kama marehemu Shekhe Yahya Hussein unatupastori tu tutamini vipi

    • @chidymchelengaaa6737
      @chidymchelengaaa6737 3 года назад

      Simameni ktkkweli,,,,jini hili Lina muogopa YESU pekeyake tu

  • @antiemiy347
    @antiemiy347 4 года назад +13

    Masha Allah Maasha Allah Sheikh Salum Mardhia hongera leo umeingia jikoni mwenyewe,Watamama usiogope mlinzi unae .Sheikh Salum kiboko yao,hakuna jini litakalokuvaa.Mungu akujaalie umri mrefu sheikh Salum.wenye kheri na afya njema.

    • @bintsalimalbimany5340
      @bintsalimalbimany5340 4 года назад

      Naam asiogope voo mim hapo wanaingia chochoroni nahis mwil unanisisimka

  • @kassimmohammed4949
    @kassimmohammed4949 4 года назад +2

    Ustaadhi Wewe muongo mnafiki fisadi jini haonekani ... Acheni utapeli ulio komaa

    • @sophiamacdonald2711
      @sophiamacdonald2711 4 года назад +2

      Sasa huyu Mshiri kina au nn sielew

    • @mahanur4468
      @mahanur4468 4 года назад

      Kassim Mohammed , hakuna binaadam alie kamilika hata kma walicho fanya sio sahhi lkn haikupasa kumkashfu kiac chote icho haifia uyo bdo atabaki kua Shekhe na kasoma na ujumbe unafka kwa njia ya Allah na sio kwa kwa njia ya music au vyengine n.k so mm ngekuomba rekebisha kauli yko ushauri tu lkn 🙏coz ushauri c amri kuna kkubali na kukataa shukran 🙏

  • @shaabanmrishoshaaban1945
    @shaabanmrishoshaaban1945 3 года назад +3

    He wanakufungia rizki TENA ?
    Kumbe rizki kunakiumbe kinauwezo wa kuzuia rizki ya mtu duh 🤭

  • @alimatambwe3402
    @alimatambwe3402 4 года назад +10

    Allah awajaze ujasiri MashaAllah Jazakhallahu khaira 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏.

    • @kidjhdf7568
      @kidjhdf7568 3 года назад

      Ww hauna halima from saudia Arabia

  • @naimamwambe8083
    @naimamwambe8083 4 года назад +2

    Asalaam aleykum shekhe Maridhia unatoa namba za simu Kisha ukipigiwa hupokei na Ukitumia text pia hujibu haifai na mwenyewe ulisema unatibia hata kwa njia ya simu kwa walio nnje ya Tanzania

    • @Zinjibartvzanzibar
      @Zinjibartvzanzibar  4 года назад

      Naima Mwambe umepiga kwa namba gani??? Saa nyengine sipokei kweli kwa sababu nakuwa ktk visomo +255658399919 usichoke kunipigia

  • @dullytrigga5810
    @dullytrigga5810 4 года назад +6

    Asante saana kaka sinaga raha wallah

  • @zaitunijuma7831
    @zaitunijuma7831 4 года назад +1

    nilitak kulion ilo Jin kumbe kichwa cha habar ni kimesema uongo bhan dini ya kislamu haitaakiw ivyo

  • @fatmerhabibth7477
    @fatmerhabibth7477 4 года назад +8

    Asalaam Alaikum..mashaallah sikua nsjua aina za majini kumbe wapo wengi..m/mungu atuepushe nao inshaallah...inshaallah sheikh zidi kutufunza..mungu akupe umrii...

  • @noorcharminggal7481
    @noorcharminggal7481 4 года назад +4

    Sheikh naomba nitafsrie ndoto ya mwez na nyota kuungana mchana

  • @twahirally3136
    @twahirally3136 4 года назад +6

    Halafu sheikh Salum kuna kaka yngu hataki kuoa n umri ushaenda n uwezo anao icje kuw n yy ana hyo majini😓

    • @Zinjibartvzanzibar
      @Zinjibartvzanzibar  4 года назад +2

      Twahir Ally hakika majinni Mahabba ni wabaya sana ktk kuharibu maisha na ndoa

    • @salimmohamed694
      @salimmohamed694 4 года назад +5

      😂😂😂 kama mm tu

    • @aysharamadhan1120
      @aysharamadhan1120 4 года назад +2

      @@Zinjibartvzanzibar mh hv utajijua vp kama unajin bahar

    • @marijanishabani1078
      @marijanishabani1078 4 года назад +1

      Sheikh Kuna Dada yangu huwa anasumbuliwa natumbo kila mara kasha jaribu kila sehemu hajapata kupona maradhi yake

    • @angelrimoy2365
      @angelrimoy2365 4 года назад +1

      Twahir Ally tayari uyoo

  • @abuusabry3366
    @abuusabry3366 4 года назад +3

    😀😉😀WAUZA DAWA WAPIGAJI

  • @أيمنعلي-ص6ف
    @أيمنعلي-ص6ف 4 года назад +2

    Mbona hatuoni hayo majini shekhe🤔🤔🇰🇪🇰🇪❤️❤️

  • @salimalamri5897
    @salimalamri5897 4 года назад +5

    Huyu simwamini

  • @najmamohammed3987
    @najmamohammed3987 3 года назад +1

    Mm yanisumbua nisaidie

  • @mustafakhajj8529
    @mustafakhajj8529 Год назад

    Nyinyi ni waislamu lakini umetumia caption za urongo for views only

  • @elizabethgabriel1888
    @elizabethgabriel1888 3 года назад +1

    Kwa jina la Yesu kristo wa Nazareth aliye hai hawaniwezi me&G tunajifunika damuni mwa Yesu kristo amen amen amen amen amen amen amen!!!!!!!

  • @saeedakibao6104
    @saeedakibao6104 4 года назад +6

    Mimi Nina shida binafsi ya kumuona shekh salim naamini ninacho kitu mungu kanipa pengine nikimuona shekh kuna kitu atanufaika kwa kuniona au nitanufaika mimi

  • @Zuhura-my9bt
    @Zuhura-my9bt 4 года назад +4

    Subhanallah yaan natizama video mpk naogopa wallah

  • @patrickmunishi2277
    @patrickmunishi2277 3 года назад

    INGELIKUA NYIE NI WATUMISHI WA MUNGU MSINGE WEKA KICHWA CHA HABARI AMBACHO NI UONGO,MAANA SHETANI MWENYEWE NI MUONGO KAMA NYIE

  • @naiwumbwezauja4130
    @naiwumbwezauja4130 4 года назад +4

    Tuwombe sana mungu atulinde

  • @mashramadhani1989
    @mashramadhani1989 3 года назад

    Nippatie mawasiliano yako 0683 930 360

  • @dicksonkilupa6881
    @dicksonkilupa6881 3 года назад +2

    HUYO JINI HANA KWAO HADI AJE KUPANGA MIPANGO YAKE DUNIANI BADALA YA KUTEKELEZA HAPO NI UWONGO.

    • @alfourncesalu2698
      @alfourncesalu2698 3 года назад

      Asante sana jiraniyangu maridhiya Mimi alfourncekutoka kwammanga kwawarabu msikitini

    • @paradiseally559
      @paradiseally559 27 дней назад

      Una comment ili tuudhike , Alhamdulillah alfounce Bado hujapata 😅😅😅😅

  • @njaginjeru7131
    @njaginjeru7131 4 года назад +3

    Majini cannot withstand the name of Jesus Christ!

  • @salimmohamed694
    @salimmohamed694 4 года назад +17

    Mimi nimekosa ndoa kisa jinni mahaba daaah mpka leo sitasahau Allah atanilipia. Mm nilivyokuwa nampenda yule binti 😭😭😭😭😭😭

    • @sadahgullam8228
      @sadahgullam8228 4 года назад +1

      Kubali qadar ya Allah
      Allah amewaambia majinn waovu na washirikina ktk surah tul baqarah kwamba hawafanikiwi mambo yao isipokuwa kwa idhni yake
      Pole kwa yaliyokupata

    • @miriamngosha6856
      @miriamngosha6856 4 года назад +8

      Vip umeona au nisaidie kama ulipona me nasumbuliwa sana sikai na mwanaume maisha yang sijawai kurudiwa na mwanaume nateseka sana 😭😭😭😭

    • @sadahgullam8228
      @sadahgullam8228 4 года назад +3

      @@miriamngosha6856 kama hufanyi ibada anza kufanya ibada kwa hali na mali maradhi hayo asikudanganye mtu tiba ya kwanza ni ww mwenyewe namna ya kujisaidia kujikurubisha sana kwa Allah kufanya adhkar kwa wingi kuamka usiku kuswali ukiwa tofauti na hapo hao viumbe watakutesa sana zaidi ya unavofikiria

    • @salimmohamed694
      @salimmohamed694 4 года назад

      @@miriamngosha6856 nikupe pia namba ya sheikh mmoja nadhan saiv atakuwa Dar pia anafanyaga kisomo sana

    • @salimmohamed694
      @salimmohamed694 4 года назад

      @@miriamngosha6856 pole dada naomba nitafute +254710202027

  • @jumafaki1697
    @jumafaki1697 4 года назад +5

    Mashallah sheikh salum mardhia

  • @rahimkomba3149
    @rahimkomba3149 2 года назад

    Mpaka machozi yananitoka mana niugonjwa niliho nao wala cfichi jini mahaba ni mbaya sana

  • @shaameshaame2136
    @shaameshaame2136 4 года назад +1

    endeleeni kutuibia waislamu wenzenu kwa kutumia maandishi yenu

  • @NaomiEmmanuel-k2n
    @NaomiEmmanuel-k2n Год назад

    Mm Naomi kweli mm Luna mda najiona kama nip kweny3 tend atakua yy😢

  • @nooor1120
    @nooor1120 4 года назад +5

    Mashkurin masheikh wetu

  • @hemedmasoud9306
    @hemedmasoud9306 4 года назад +2

    Kweny maji chin ya bahar kuna magorofa makubwa lakin pakitoa sunami magorofa hatuyaon.kumbe nikiin macho wanatufanyia haw viumbe waliokufuru.

  • @naiwumbwezauja4130
    @naiwumbwezauja4130 4 года назад +1

    Kwasababu jini ni hatali sana

  • @mohamednas4262
    @mohamednas4262 4 года назад +14

    Sheikh kuweni makini majini yasijewavamia hapo baharini.😂😂
    ALLAH atukinge na majini na watu wabaya.

  • @dangote0019
    @dangote0019 3 года назад

    a.alaykum mi nipo dar es salam ilikuwa naiomba namba ya shekh salim

  • @aminangenzi8765
    @aminangenzi8765 3 месяца назад

    Na jini anaetaka yeye umuogee maji bahar kila ijumaa huyu je

  • @samsungjsevenprime5717
    @samsungjsevenprime5717 4 года назад +4

    Sheikhe salum na watamama hamuogopi mikwaju humo munamopita na hapo mulipo kaaa 😄

  • @bantuboy9492
    @bantuboy9492 4 года назад +2

    Asalam aleykum wallahmatullah wabarakatuh shekhe mimi niko na tatizo la ndoto unanisaidiaje?

  • @fatmazena8886
    @fatmazena8886 4 года назад +3

    mpo huku sasaiv..je kule mardhiyya tv vp?

    • @Zinjibartvzanzibar
      @Zinjibartvzanzibar  4 года назад +2

      Ahsante sasa hv mardhiyyah imeungana na zinjibar na imekuwa na jina moja tu Zinjibar tv Shukran sana

  • @ياسمينياسمين-ج9د
    @ياسمينياسمين-ج9د 4 года назад +1

    Jaman mimi hii ndoto ya mapenz huwa naota mara kwa mara au ndio maana siolewi kila nikipata mchumba ananizingua na kuniacha😥😥😥😥Allah nisaidie ya rrabiy

  • @mauwarashid4823
    @mauwarashid4823 4 года назад +3

    Ongera shekhe wetu kwa uwezo uwo na ujasiri

  • @shaabanmrishoshaaban1945
    @shaabanmrishoshaaban1945 3 года назад +1

    HUU uchambuzi ukiutizama kwenye elimu hee jamaa ananyevuliwa 😁😁😁😂🤣🤣🤣🤣

  • @azizaaziza7996
    @azizaaziza7996 3 года назад

    Shekhe mardhia hilo tatizo Mimi ninalo

  • @ramadhaninyangasa7275
    @ramadhaninyangasa7275 4 года назад +3

    ila mmetumia uongo wa picha ili kuwashawishi watu!!

    • @dasilvajunior3016
      @dasilvajunior3016 4 года назад

      😃😃😃😃😃

    • @shazmamatonda4256
      @shazmamatonda4256 3 года назад

      Sasa huyo jini aliyeonekana live mbona hatumuoni? Tunataka aoneshwe live tumuone

  • @ramosfally2318
    @ramosfally2318 4 года назад +2

    m wnanisumbuwa sana awo majini waminivunjia ndoa yangu na maisha yangu ni magumo sana from mozambique +255864531584 inshallah

    • @ramosfally2318
      @ramosfally2318 4 года назад

      Manshallah

    • @angelrimoy2365
      @angelrimoy2365 4 года назад

      Mudy Matelephone A'aleykum ndugu yangu nina mama mm kanisaidia sina ata jini mahaba tena ukipenda nitafute nikupe namba zakee

    • @makesikadudu4343
      @makesikadudu4343 4 года назад

      @@angelrimoy2365 tupe hyo no mana wengne hadi twajichukia mwaya

  • @draculababaiyo2866
    @draculababaiyo2866 4 года назад +1

    Kichwa cha habari sicho kwani hamuwezi kueka ukweli aloandika icho kichwa cha habari nae pia jini bahari

    • @KO-gi3gp
      @KO-gi3gp 4 года назад

      hapo hapo 🤣🤣🤣👍🏼

  • @khamisame5561
    @khamisame5561 4 года назад +5

    Heee mmeenda ukoo jikon kwa majin

    • @khamisame5561
      @khamisame5561 4 года назад

      Mie kunasiku nimeenda lakin kipindi icho ilikuwa navua samaki nikaja kuonananae lakin Sikh hiyo hakunizur

    • @johnjuma6389
      @johnjuma6389 4 года назад

      Meri
      Mdor.wa
      Majabu

  • @mohamedabdallah3577
    @mohamedabdallah3577 3 года назад +1

    Shukran jazaillan,Allah akuongoze inshaallah.

  • @hassankassim6125
    @hassankassim6125 4 года назад +2

    Sawa ostadhi wangu nimekuelewa sana Ila kuna lafiki yangu naumwa yn sio kuumwa ila akilala kila siku anafanywa vibaya mana akilala anavhezewa mbele na nyuma alafu ni mwanaume alafu mpka sasa yn atamani ata mwanamke ndugu nitafanyaje ili kumsaidia mana n miaka mitatu sasa mpk ss akupona yn

  • @kassimmohammed4949
    @kassimmohammed4949 4 года назад +2

    Huo Ni utapeli ulio komaa

  • @josephorina7375
    @josephorina7375 4 года назад +2

    Is true tuondolee hayo majini yaende kusimu kabisa

  • @mayamerali9264
    @mayamerali9264 4 года назад +7

    Allah awajaalie Kila la kher na mafundisho mazuri In sha Allah,, nawapenda Kwa ajir yake.

  • @shekhramadhan5778
    @shekhramadhan5778 4 года назад +4

    Subhana Allah twateseka sababu jini huyu

  • @missmrs829
    @missmrs829 3 года назад +2

    Wewe utamuonaje kiumbe kama icho ama wewe pia ni jini

  • @ramadhanaldawiyya8659
    @ramadhanaldawiyya8659 2 года назад

    (1)"Talking many things without any reality of strong AVEDENCE is FULL STUPID."
    (2)"Tumechoshwa na porojo na majigambo,so we need strong avedence"
    ....

  • @jothamekisouke3374
    @jothamekisouke3374 3 года назад

    Waislam huwa mnayatumia sana hayo maini

  • @shaabanmrishoshaaban1945
    @shaabanmrishoshaaban1945 3 года назад

    YAANI sikuhiz mtu akitaka kutapeli hujivisha vazi la KIISLAMU ET NJIA za majini nyie jamaa haya

  • @yassirali1138
    @yassirali1138 4 года назад +7

    Daaah nakupenda sana she maridhia nakunga mkono nipo pamoja na we we big up jmn Mungu akusadiye ............by Ravina

    • @elishasungura9893
      @elishasungura9893 4 года назад

      Wewe acha upuuzi mbona sija muona kiboko cha majini yesu kristo...Amina

    • @elishasungura9893
      @elishasungura9893 4 года назад

      Wewe acha upuuzi mbona sija muona kiboko cha majini yesu kristo...Amina

    • @magrethjoseph5917
      @magrethjoseph5917 3 года назад

      Subanallah

  • @jumahnjawi6782
    @jumahnjawi6782 3 года назад

    Mke wAngu anasumbuliwa

  • @hamisimwipi6456
    @hamisimwipi6456 4 года назад +1

    kichwa cha habari tofauti na nachokiona nyie wote washirikina,

    • @justinamusyoka4986
      @justinamusyoka4986 4 года назад +1

      Kweli,nilisikiza ndio nimuone huyo jini akijitokeza wazi,lakini sikumuona! Catch bait.

  • @saidsalimlamu1176
    @saidsalimlamu1176 3 года назад +1

    Shamharushi wamjua we we?usitudanganye wewe

  • @fatmahamad2448
    @fatmahamad2448 3 года назад

    Dah shekh nna mdogo wangu anasumbuliwa Sana na majini mdarefu Ila mara hii ndio imekua it's too late amekua akipandisha jini mithili ya chui huku akijitapa na kujisifu tunaomba kupata tiba ili aondokane na kadhia halali Kwa raha mda wote yy ni mtu wa kua mnyonge tu hadi huruma na tiba hatujui

  • @bintsalimalbimany5340
    @bintsalimalbimany5340 4 года назад +2

    Mashallah shekh wangu wa Faida nampenda. Sana huyu shekh kwa ajil ya Allah

  • @RaphaelMburu-wx3dx
    @RaphaelMburu-wx3dx 3 месяца назад

    Napenda jini mahaba

  • @aishasaid5702
    @aishasaid5702 4 года назад +1

    Mm ananiathiri hadi leo nipo Oman nimekuja kutafuta rizki nimebaki kidogo nirudi nyumbani basi nimeibiwa pesa zote nilizofanyia kazi nipo tuu apa naangalia rehma za Mungu nilikusudia nije nijitibu akaona bora anifilisi kwa kuibiwa pesa zote

  • @acruxe5810
    @acruxe5810 4 года назад +2

    Nyie ndo mnayachokoza af yanakuja kututolea hasira

  • @lkshmykomar5472
    @lkshmykomar5472 4 года назад +3

    Tutajvuniya sana wa znz kuwa navichwa adhim km ww

  • @aminannenne7398
    @aminannenne7398 3 года назад +1

    Hata nyie mnakuwa waonho

  • @theslaveofallah8691
    @theslaveofallah8691 4 года назад +1

    Sheikh nikipata ndoto kama hizo ninatakiwa kufanya nini...Jazakallah

  • @telaamtauta2227
    @telaamtauta2227 4 года назад +2

    Mmmhhh nipombalitu .nanaogopa hapomlipo

  • @zainabissa7851
    @zainabissa7851 4 года назад +8

    Sasa mnaongea nyie Mimi naogopa hukuu duh!

    • @haimahaima9135
      @haimahaima9135 4 года назад +1

      Hta mm

    • @allysaharifsaidi7563
      @allysaharifsaidi7563 4 года назад +1

      Daa mashikh wetu wanamoyo wa ujariri

    • @corrolesscps
      @corrolesscps 4 года назад +1

      ZAINAB ISSA . Uko pekee yako? Ni lazima utaogopa tena ikifika Usiku ndoa kabisa, Lakini Weee Swali tu kwa Imani yako Mungu Mkubwa

  • @myrafarijallah8927
    @myrafarijallah8927 4 года назад

    Swadakta...hata mm niko na hiyo shinda nikilala naletewa sura ya family..yako twafanya mapenzi...mwanamume wote akinitogoza..huwa mkali..na ndani ndoa yangu ilikuwa niya misukosuka....

  • @jasminjuma6390
    @jasminjuma6390 4 года назад +1

    Kesho kipindi cha live kinaanza mda gani watamama?

  • @hanifamasudi9732
    @hanifamasudi9732 Год назад

    Nikama mimi nilikua naota sana hilo ndoto sana hadi nikikosana na mume wangu lakini alihdulillah nilizidi kuomba dua Ila Allah kanijalia hata sasahivi nsiote Tena Kama zamani

  • @zulachama1067
    @zulachama1067 4 года назад +2

    Asanteni sana kwa mawaidha yenu hila hamjazungumza je faida yake kwani mbaya ana sifa.

  • @husseinremi3133
    @husseinremi3133 3 года назад

    Ninae mmi ntamtoa vp

  • @DoricasJeremia
    @DoricasJeremia Месяц назад

    Makubwa jamani

  • @nasrihussein4293
    @nasrihussein4293 2 месяца назад

    Ni kweli sheikh

  • @natafutamatatizo4382
    @natafutamatatizo4382 4 года назад +3

    YAANI HAWA MAUSTAADH WAMESHA TUHARIBIA MAMA NA DADA ZETU KWA MAMBO YAO YA MAJINI. KILA MWANAMKE SASA ANAAMINI ANA JINI KWA SABABU YA WATU HAWA WAKATI MUBGU AMEKATAZA KUAMIINI NA KUABUDU VIUMBE HUVI#!

  • @johnwillison8286
    @johnwillison8286 3 года назад

    Leonard.fautine

  • @hamadjuma2023
    @hamadjuma2023 4 года назад +1

    Mangapwn home kichwa cha habar kilintisha😑😑

  • @habibaabdi7453
    @habibaabdi7453 4 года назад +1

    Mashaalah sheikh Salim Mungu atujalie watoto.wema wenye wakushika vitu haraka Ameen

  • @jothamekisouke3374
    @jothamekisouke3374 3 года назад +1

    Wao ndio wnaowatumia sana

  • @razackbakari749
    @razackbakari749 4 года назад

    Iyo kitu utokea unapobarehe yani anza barehe na usipofanya mapenzi kwamuda mrefu ndo ukutokea ivyo vitu ujikuta unafanya afu ukiangalia uku umefanya kweli ile nihamu namzigo kujaa naisia nyingi nandomn inasemeka usikae ndani yawiki moja kama haumwi kwabila yakufanya utaota ndoto tu zamapenzi nasi jini mahaba ukitaka uwamini ivyo fanya mapnz mara kwamara afu uone kama izo ndoto utaziota

  • @ruwaidaal-ismaily9099
    @ruwaidaal-ismaily9099 4 года назад +4

    Duh subhana Allah

  • @anliomar2534
    @anliomar2534 3 года назад

    Jazakallah khayra shehe lafu mim naitaji kujifunza zaide ili nijue jinsi Gabi yakuisoma haia ifuatayo napatikana msumbiji asalam alaikum

  • @Alqipty
    @Alqipty 4 года назад +2

    Nashallah sheikh kweli kwa hajika unatujuza mengi

  • @nasrahassan4220
    @nasrahassan4220 2 года назад

    Allah awazidishie elimu ya kutuelimisha. Zaidi. Shukran jazira