WACHAWI WANASWA LIVE WAKIFANYA UCHAWI MAKABURINI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024

Комментарии • 76

  • @rayanasor7855
    @rayanasor7855 3 года назад +7

    Subhannallah m.mungu atunusuru Kwa mitihani hii m.mungu awangawamize wote wachawi na wanga

  • @abdillahmbarak7418
    @abdillahmbarak7418 3 года назад +9

    Inshaallah mungu awalinde nyote masheikh wetu

    • @mename6020
      @mename6020 3 года назад +1

      Ameen Allahuma Ameen wafe wachawi woote...

  • @saeedsaeed7381
    @saeedsaeed7381 3 года назад +8

    Masha Allah Sheikh, Watamamannn & crews members bravely,bold & no fear...May Allah protect all of you as well reward your good deeds Ameen yarab 🙏🙏🙏🙏

  • @husnamasoud4989
    @husnamasoud4989 3 года назад +6

    Laana tu LLAH wachawi wote, Allah akuhifadhinini masheikh wetu mzidi kutusaidiwa, hakika ujira wenu mtaukuta kwa Allah

  • @zawadiabdallah8342
    @zawadiabdallah8342 3 года назад +5

    Subuhanaallah 😭😭 hawa wachawi allah awaangamizie mbali

  • @jasminjuma6390
    @jasminjuma6390 3 года назад +6

    Innalilah wainailah rajiun wachawi ni watu wa bay sana 😭

  • @abasaliomar1020
    @abasaliomar1020 3 года назад +4

    Assalam aleikum sheikh hii ni acting???

  • @aminaathumani6832
    @aminaathumani6832 3 года назад +3

    😭😭😭😭😭munguu tusaidiee jamanii watu wamekuwa mashani jamanii eee 😳😳😳🤔🤔🤔🤔

  • @udaku..travel8506
    @udaku..travel8506 3 года назад +4

    Sheh salumu Muungu akulinde

  • @farhiyasultan5915
    @farhiyasultan5915 3 года назад +3

    mungu awahifadhi na awakinge na balaa hizo

  • @saidomar1408
    @saidomar1408 3 года назад +2

    😃😃 na alofukia alikuwa mchawi kweli kweli dah سبحان الله

  • @aminaally2014
    @aminaally2014 3 года назад +4

    Mtihani

  • @udaku..travel8506
    @udaku..travel8506 3 года назад +3

    Mm wa mwanzo kungaliya

  • @babaluxe8626
    @babaluxe8626 3 года назад +4

    Daaa hatari sana

  • @abdillahmbarak7418
    @abdillahmbarak7418 3 года назад +3

    Walaykum Salam waramatullahi wabarakatuhu subhanallah

  • @makamehaji2609
    @makamehaji2609 3 года назад +2

    Insha allah mungu awapenguvu na awalinde mashehe wetu waweze kuwaangamiza wachawi wote

  • @daliaabdullah5756
    @daliaabdullah5756 3 года назад +2

    Subhanaallah . Mwenyezi mungu atunusuru na hayo yarabbi pia mwenyez mungu akupe maisha marefu shekhe wetu Inshaallah

  • @jasminjuma6390
    @jasminjuma6390 3 года назад +3

    Waalaykum Salam warahmatullah wabarakatuh subhanallah 😭

  • @jasminjuma6390
    @jasminjuma6390 3 года назад +3

    سبحان الله العظيم

  • @salummzee9739
    @salummzee9739 2 года назад

    Wacha uongo na wizi mtupu muongopeni Allah utapeli huo mwanga atekweli au umdoee km unaenda doe paa au kima acheni utapeli mtupu

  • @saidomar1408
    @saidomar1408 3 года назад +2

    Allah akulipe kheri sheikh salum

  • @bintsalimalbimany287
    @bintsalimalbimany287 3 года назад +1

    Innalillah wainnailaih rajiun😭😭😭Jaman Jaman watu wanasema Dunia Ina mambo jaman😭lkn Dunia haina mambo wenye mambo ni sisi Binaadam jaman tumuogope Allah Ana adhabu kali 😭🙄🙄🙄🙄😭Allah awahifadhi jaman mnastahik tunzo kubwa sana sana sana sana kijana watamaman na wenzako SHEIKH Salim Allah akupe umr mrefu wenye kher na wewe 😭😭Ammin yarab ALLAH awahifadhi nyote yarab Hasbiyallah waniimalwakil😢😓😓💔Lailahaillallah muhammadarrasulullah 😭😭😭😭😭😭😭

  • @MACHOYATAI-jk6fu
    @MACHOYATAI-jk6fu 4 месяца назад

    Waisilamu nyie kazi yenu uchawi tuu

  • @hemedjackson2261
    @hemedjackson2261 3 года назад +1

    Allah awafanyie welec zinjibar crew akulindeni na kil kit.

  • @farhiyasultan5915
    @farhiyasultan5915 3 года назад +2

    mungu atawatosha

  • @hasnuuahmed9834
    @hasnuuahmed9834 3 года назад +1

    Innalillah wainnaa ilaih raajiuun ~~!!mtihani kw kwel allah awalinde masheykh w2

  • @muddymuzungu4357
    @muddymuzungu4357 10 месяцев назад

    Inna lillahi wainna ilayhi Raajiun

  • @suheilasuheilah220
    @suheilasuheilah220 3 года назад +1

    Nusra ya allah ziwe juu yenu ya rabby

  • @haarunsaidabdillahi4082
    @haarunsaidabdillahi4082 3 года назад +1

    Alhamdulillah...nyinyi nyote ni mashujaa, Allah awahifadhi.Amin..

  • @farhiyasultan5915
    @farhiyasultan5915 3 года назад +2

    yarabbi😢

  • @JackSparrow-bu8tj
    @JackSparrow-bu8tj 3 года назад +1

    Mbona mpaka leo salim mardhiyya hajanitibu? Ama ni youtube videos peke yake? Yuwapi gwiji anitibu

    • @fahmiwaummy4293
      @fahmiwaummy4293 3 года назад +1

      Ushawahi kwenda kufanyiwa dawa kwake

    • @rastafare878
      @rastafare878 3 года назад +2

      Mfuate atakutibu , yeye sio mungu kama atakujuwa huko uliko , mnaanza uchochezi wenu tena

  • @suheilasuheilah220
    @suheilasuheilah220 3 года назад +1

    Allah atuhifadhwi sote waumin

  • @alimatambwe3402
    @alimatambwe3402 Год назад

    Subkhanallah Mardhia Allah awape ujasiri na nguvu za kupambana na hao wabaya InshaAllah 🙏🙏🙏🙏🙏unafanya kazi kubwa sana no one can do that 😮Allah akuweke mdaa mrefu unasaidiya umati Muhammad kwa bidi na kujitolea InshaAllah.

  • @mzungumwinyiashs9244
    @mzungumwinyiashs9244 3 года назад +1

    In sha Allah shari walizokusudia ziwarudie wenyewe

  • @bakarbakarali-cw3gc
    @bakarbakarali-cw3gc Год назад

    Shehe ukulikua ukae na manati

  • @zwinaalhabsi664
    @zwinaalhabsi664 2 года назад +1

    Subhanallah mungu awalaani wachawi wote

  • @thulythatmustf3535
    @thulythatmustf3535 3 года назад +2

    Subhanallaah

  • @issapilipili7722
    @issapilipili7722 3 года назад +1

    Subhana Allah, mtihan sana hii dunia Kuna mambo ya hatar sana

  • @saumumwijaa8297
    @saumumwijaa8297 9 месяцев назад

    Allahu Barik ❤

  • @assaneanliassane4680
    @assaneanliassane4680 8 месяцев назад

    Allahu Akbar

  • @bintsalimalbimany287
    @bintsalimalbimany287 3 года назад

    Lailahaillallah muhammadarrasulullah🙄😭😭Jaman mim siwezi kwenda hapo hata munipe Dunia naviliomo ndani yadunia😢😢

  • @hamadhamad8508
    @hamadhamad8508 3 года назад +1

    Kwani wanga wanakwanga na nguo mana mimi nasikia wanakwanga uchi

    • @msanifgdf615
      @msanifgdf615 3 года назад

      Inaonyesha wao hawkuja kukwanga ila wamekuja mkufnyia mtu uchawi,

  • @ruthnimi2165
    @ruthnimi2165 3 года назад

    Salaam aleiikum Sheikh Salum na Sheikh Watamamun Mungu awafunike na damu yake Mwanao Yesu Kristo Kwa kazi hii nzito ya kuwasaidia binadamu kutokana na waabudu subiyani,wahasidi na wenye Uzda Kwa Mila binadamu duniani Jun ya with wa nyota zao za kazi, check, macadamia kazini, ndoa, kuzaa, masomo, Mungu qwaneehemishe na kuwalinda munapofunguwa binadamu kutokana na uchawi buy wa makaburi wafee site Wanga na Wachawi Kwa Jina la Yesu Kristo, Amen😭😭😭🙏🙏🙏😇😇😇

  • @yussufyusesa4611
    @yussufyusesa4611 11 месяцев назад

    😢😢😢

  • @khadijakhamis3480
    @khadijakhamis3480 3 года назад

    sheikh salum.mardhiya mi naomba siku moja uje upheld see mazila unayokumbana nayo kutoka kwa wachawi baada ya kuharibu uchawi kutibu wagonjwa nk mana mambo unayoyafanya si madogo shukran tunakutakia kila la kheri katika kazi zako unazozifanya kwa.kuwasasaidia watu

  • @kawtharalbarwani1337
    @kawtharalbarwani1337 2 года назад

    MashaAllah Allah awakubarik masheikhe wetu kila la kheir na baraka afya njema na umri mrefu muzidi kuwasaidia watu waliozulumiwa inshaAllah amiin

  • @mamuskamery45
    @mamuskamery45 3 года назад +1

    Subhnallah

  • @alimatambwe3402
    @alimatambwe3402 Год назад

    Amiin ya Rabie,InshaAllah 🙏🙏🙏🙏🙏🙏😢😢😢😢😢😢

  • @mangeraalbert7982
    @mangeraalbert7982 3 года назад +1

    Wallahi, zaidia wacha wa allah

    • @salumkarume5517
      @salumkarume5517 Год назад

      Tufahamishe tufanye nn sheikh n sisi tusizurike

  • @خديجهبورندي
    @خديجهبورندي 3 года назад +1

    Subhanallah

  • @OmanOman-sb9oz
    @OmanOman-sb9oz 2 года назад

    Mtihani kweri kweri sijui wana pata nini

  • @deluhdenis6499
    @deluhdenis6499 Год назад

    duuuuh kwa hiyo mmerekod wachawi

  • @agnesmwawasi1889
    @agnesmwawasi1889 Год назад

    Fatma mungu awalinde kwakila jia

  • @suheilahsuheilah4968
    @suheilahsuheilah4968 2 года назад

    Allah awajazi kheri na awalinde daima musaidie umma

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 2 года назад

    Mungewarushia mawe hhhh

  • @ayshaswalekh9197
    @ayshaswalekh9197 3 года назад

    Yarabiiiiii

  • @maryanomar119
    @maryanomar119 3 года назад

    Mungu awahifathi yarabi

  • @suheilasuheilah220
    @suheilasuheilah220 3 года назад

    Amin allah awalinde daima

  • @mohamedsiadi8144
    @mohamedsiadi8144 3 года назад

    Mashallah masheikh wetu

  • @husseinguyo4379
    @husseinguyo4379 2 года назад

    Subhan Allah

  • @hemedjackson2261
    @hemedjackson2261 3 года назад

    Hix za uck nd nzr hz

  • @madinaomar679
    @madinaomar679 2 года назад

    hhhh

  • @ashaajimtu2536
    @ashaajimtu2536 3 года назад

    Subhanallah