Innalillah wainnailaih rajiun😭😭😭Jaman Jaman watu wanasema Dunia Ina mambo jaman😭lkn Dunia haina mambo wenye mambo ni sisi Binaadam jaman tumuogope Allah Ana adhabu kali 😭🙄🙄🙄🙄😭Allah awahifadhi jaman mnastahik tunzo kubwa sana sana sana sana kijana watamaman na wenzako SHEIKH Salim Allah akupe umr mrefu wenye kher na wewe 😭😭Ammin yarab ALLAH awahifadhi nyote yarab Hasbiyallah waniimalwakil😢😓😓💔Lailahaillallah muhammadarrasulullah 😭😭😭😭😭😭😭
Subkhanallah Mardhia Allah awape ujasiri na nguvu za kupambana na hao wabaya InshaAllah 🙏🙏🙏🙏🙏unafanya kazi kubwa sana no one can do that 😮Allah akuweke mdaa mrefu unasaidiya umati Muhammad kwa bidi na kujitolea InshaAllah.
Salaam aleiikum Sheikh Salum na Sheikh Watamamun Mungu awafunike na damu yake Mwanao Yesu Kristo Kwa kazi hii nzito ya kuwasaidia binadamu kutokana na waabudu subiyani,wahasidi na wenye Uzda Kwa Mila binadamu duniani Jun ya with wa nyota zao za kazi, check, macadamia kazini, ndoa, kuzaa, masomo, Mungu qwaneehemishe na kuwalinda munapofunguwa binadamu kutokana na uchawi buy wa makaburi wafee site Wanga na Wachawi Kwa Jina la Yesu Kristo, Amen😭😭😭🙏🙏🙏😇😇😇
sheikh salum.mardhiya mi naomba siku moja uje upheld see mazila unayokumbana nayo kutoka kwa wachawi baada ya kuharibu uchawi kutibu wagonjwa nk mana mambo unayoyafanya si madogo shukran tunakutakia kila la kheri katika kazi zako unazozifanya kwa.kuwasasaidia watu
Subhannallah m.mungu atunusuru Kwa mitihani hii m.mungu awangawamize wote wachawi na wanga
Inshaallah mungu awalinde nyote masheikh wetu
Ameen Allahuma Ameen wafe wachawi woote...
Masha Allah Sheikh, Watamamannn & crews members bravely,bold & no fear...May Allah protect all of you as well reward your good deeds Ameen yarab 🙏🙏🙏🙏
Heee nimekuona kibwende wa bambi
Laana tu LLAH wachawi wote, Allah akuhifadhinini masheikh wetu mzidi kutusaidiwa, hakika ujira wenu mtaukuta kwa Allah
Hakika
Subuhanaallah 😭😭 hawa wachawi allah awaangamizie mbali
Innalilah wainailah rajiun wachawi ni watu wa bay sana 😭
Assalam aleikum sheikh hii ni acting???
Hii sio acting my dear ni live wametega camera
Hehehehehw mtihaniq
😭😭😭😭😭munguu tusaidiee jamanii watu wamekuwa mashani jamanii eee 😳😳😳🤔🤔🤔🤔
Sheh salumu Muungu akulinde
mungu awahifadhi na awakinge na balaa hizo
😃😃 na alofukia alikuwa mchawi kweli kweli dah سبحان الله
Mtihani
Mm wa mwanzo kungaliya
Daaa hatari sana
Hatari kubwa kwakweli
Walaykum Salam waramatullahi wabarakatuhu subhanallah
Insha allah mungu awapenguvu na awalinde mashehe wetu waweze kuwaangamiza wachawi wote
Subhanaallah . Mwenyezi mungu atunusuru na hayo yarabbi pia mwenyez mungu akupe maisha marefu shekhe wetu Inshaallah
Waalaykum Salam warahmatullah wabarakatuh subhanallah 😭
سبحان الله العظيم
Wacha uongo na wizi mtupu muongopeni Allah utapeli huo mwanga atekweli au umdoee km unaenda doe paa au kima acheni utapeli mtupu
Allah akulipe kheri sheikh salum
Innalillah wainnailaih rajiun😭😭😭Jaman Jaman watu wanasema Dunia Ina mambo jaman😭lkn Dunia haina mambo wenye mambo ni sisi Binaadam jaman tumuogope Allah Ana adhabu kali 😭🙄🙄🙄🙄😭Allah awahifadhi jaman mnastahik tunzo kubwa sana sana sana sana kijana watamaman na wenzako SHEIKH Salim Allah akupe umr mrefu wenye kher na wewe 😭😭Ammin yarab ALLAH awahifadhi nyote yarab Hasbiyallah waniimalwakil😢😓😓💔Lailahaillallah muhammadarrasulullah 😭😭😭😭😭😭😭
Allahumma aamin yarrabbi
ALLAHUMA AMIN NA WEWE ULOANDIKA PIA
Waisilamu nyie kazi yenu uchawi tuu
Allah awafanyie welec zinjibar crew akulindeni na kil kit.
mungu atawatosha
Innalillah wainnaa ilaih raajiuun ~~!!mtihani kw kwel allah awalinde masheykh w2
Inna lillahi wainna ilayhi Raajiun
Nusra ya allah ziwe juu yenu ya rabby
Alhamdulillah...nyinyi nyote ni mashujaa, Allah awahifadhi.Amin..
yarabbi😢
Mbona mpaka leo salim mardhiyya hajanitibu? Ama ni youtube videos peke yake? Yuwapi gwiji anitibu
Ushawahi kwenda kufanyiwa dawa kwake
Mfuate atakutibu , yeye sio mungu kama atakujuwa huko uliko , mnaanza uchochezi wenu tena
Allah atuhifadhwi sote waumin
Subkhanallah Mardhia Allah awape ujasiri na nguvu za kupambana na hao wabaya InshaAllah 🙏🙏🙏🙏🙏unafanya kazi kubwa sana no one can do that 😮Allah akuweke mdaa mrefu unasaidiya umati Muhammad kwa bidi na kujitolea InshaAllah.
In sha Allah shari walizokusudia ziwarudie wenyewe
Shehe ukulikua ukae na manati
Subhanallah mungu awalaani wachawi wote
Subhanallaah
Subhana Allah, mtihan sana hii dunia Kuna mambo ya hatar sana
Allahu Barik ❤
Allahu Akbar
Lailahaillallah muhammadarrasulullah🙄😭😭Jaman mim siwezi kwenda hapo hata munipe Dunia naviliomo ndani yadunia😢😢
Kwani wanga wanakwanga na nguo mana mimi nasikia wanakwanga uchi
Inaonyesha wao hawkuja kukwanga ila wamekuja mkufnyia mtu uchawi,
Salaam aleiikum Sheikh Salum na Sheikh Watamamun Mungu awafunike na damu yake Mwanao Yesu Kristo Kwa kazi hii nzito ya kuwasaidia binadamu kutokana na waabudu subiyani,wahasidi na wenye Uzda Kwa Mila binadamu duniani Jun ya with wa nyota zao za kazi, check, macadamia kazini, ndoa, kuzaa, masomo, Mungu qwaneehemishe na kuwalinda munapofunguwa binadamu kutokana na uchawi buy wa makaburi wafee site Wanga na Wachawi Kwa Jina la Yesu Kristo, Amen😭😭😭🙏🙏🙏😇😇😇
😢😢😢
sheikh salum.mardhiya mi naomba siku moja uje upheld see mazila unayokumbana nayo kutoka kwa wachawi baada ya kuharibu uchawi kutibu wagonjwa nk mana mambo unayoyafanya si madogo shukran tunakutakia kila la kheri katika kazi zako unazozifanya kwa.kuwasasaidia watu
nimekusudia utuelezee au utuhadithie
MashaAllah Allah awakubarik masheikhe wetu kila la kheir na baraka afya njema na umri mrefu muzidi kuwasaidia watu waliozulumiwa inshaAllah amiin
Subhnallah
Amiin ya Rabie,InshaAllah 🙏🙏🙏🙏🙏🙏😢😢😢😢😢😢
Wallahi, zaidia wacha wa allah
Tufahamishe tufanye nn sheikh n sisi tusizurike
Subhanallah
Mtihani kweri kweri sijui wana pata nini
duuuuh kwa hiyo mmerekod wachawi
Fatma mungu awalinde kwakila jia
Allah awajazi kheri na awalinde daima musaidie umma
Mungewarushia mawe hhhh
Yarabiiiiii
Mungu awahifathi yarabi
Amin allah awalinde daima
Mashallah masheikh wetu
Subhan Allah
Hix za uck nd nzr hz
hhhh
Subhanallah