Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.
Mzee Yusuph: Zamani nilikuwa napata Milioni 2 kwa Wiki, Siku Hizi Mimi Najiunga Bando la Buku
HTML-код
- Опубликовано: 29 май 2017
- All the African Music. Hottest SHOWS... Experience Africa
100.5 Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz
Mzee kilichokusibu mpaka kurudi kwenye mziki kitu gani jamani yaa allah tupe mwisho mwema na vizazi vyetu
Baba c hela.we mkubwa baba ela ndo m pango mzima
Mzee Yusuph, Mwenyezi Mungu ndie Muumba naamini atakujaria kila lililojema kadiri ya kuamini kwako, Ishike Imani yako Utabarikiwa tu, Mie ni Mkristo ila namna ulivyosimama umenifurasha sana.
Mungu akujalie Benedict sanga kwa ukweli ulio usema
Umetishaa👍
Saf sana. Umeongea point INSHAALLAH
Ukweli hupevuka,na uongo hukaa pembeni,safi sana broo na Mzee Yusuph pia,,Iman ndo kila kitu.
maneno yakuambiwa
Sijui anaikumbuka hii interview 😭
Inasikitisha sana 😢😢😥 after aII Karudi tena kwenye mziki
😭😭
maashaallah mzeee yussuf
mungu atupe wepesi waislamu wote duniani kote
Hjb
Inshallah
@@sofia0009
Cjambo sana
Mzm ww lkn
Kama mzee yusuf kawacha kila kitu na kuamua kufwata dini basi hata sisi wafwasi wa mziki inapaswa tuamke na turudi kwa mwenyezi Mungu tufanye Toba ya kisawa sawa molla atufanyie wepesi in sha Allah
dah Allah akufishe ww na ss katika imani thabit ya uislam
Allahumma amiiin yarab
Aamin
Ma shaa Allah Tabarakallah
Ridhika na kidogo chenye uhalali
maswali mengine wala ilikuwa usiyajibu kuhusu kipato chako kinawahusu nn.... Allah akuongoze kwenye njia njema
ALLAH AKUONGOZE NA AKUFISHE UKIWA KTK NJIA YA SAWA SAWA
BAKI KTK ISTIMA
SHIKAMANA NA SUNN NA ULINGANIE NDG ZAKO
Mzee yusuph ni mnafki uyoo ameingia kweny dini allah vizur lakn karudi tena kwa shetani
Mshukuru Allah kwa kukuwezesha kutubu, wenzio wanafikia kufa bado wanaimba wengine wanakufa wakiwa njiani kuendea ubaya, Allah akuongoze na azidi kukupa nguvu ya kufuata maamrisho yake na sisi pia tufe hali kuwa Allah ameturidhia
Hawa jamaa wanahisi amefilisika au? naona maswali mengi yanahusu kipato. Mbele ya Mungu hakuna kisicho wezekana hasa ukiwa na imani thabit.
kaa chini muombe Mungu, tegemea kwake utaona miujiza. Mzee Yussuf keep it up man, to Allah we trust. big up.
Imani ndio utakayo kwenda nayo kwa alha
Kama kaka anarudi kwenye gm mungu atsmripa kutokana nakosa lake mungu hampunguzi MTU au hamzidishii
mashaallah 😍😍😍Allah akufanyie wepes mzee yusuphu
Gonga like nying sana hapa kwa mzee wetu Yusuphu Allah ampe kulla la kheyr
Mungu akuongoze akujaalie akupe rizki za halali InshAllah
mungu ampe wepes ktk suala la dini.
masha Allha mungu ndiy mpangaji wa kilakitu duniya aina faida andaa amalizako za ahela
mungu akujalie kila lakheri usirudi tena wala habar za tarabu Ila apo patamu mmekatisha
Kuwa nà subra mzee wangu
Mwenye Ezi Mungu ata kusahilishia na ndie mpaji wa riziki so wewe weka tuu Imani yako tuu juu zaidi na zaidi na juhudi zako na utafanikiwa saana utafika utakapo kwa uwezo wake tuu Allaah
Usikate tamaa Mzee Yussuf Allah yupo pamoja nasisi
mungu atakupa zaidi ya mwanzo inshaalah
UshakuWa jizeee babuu kwa utubiyeeee kwa mungu
Subhanallah, Diin anaijua
lakini hatujui ya imekuaje huyu mzee Yusuf kurudi mjini kutifuka na wanawake, Allah yahdii man yashaa
Ishaallah Allah atakufanyia wepes katika maisha yako mapya ya kumtumikia
mashaAllah mzee yusufu
khery inshaallah allah atuongozee wote kwa pamoja
inshaallah mwenyezi mungu atuongoze ktk njia iliyonyooka.
Takbiiiiiiiir-Allahu akbaaaaaaarx3
m/mungu akujalie na moyo huwo huwo
Oman D mashallah Allah azidi kutuongoza nshallh
Mzee Yusuf ukirudi ktk,mziki unamtafuta ugomvi mungu nahutaiweza vita vyake.
Mashaallh
jazakallah kheira
mashallah mungu azid kutuongoza katka njia ilionyooka
From Congo Kinshasa watching now 25/8/2020
Diamond uji funze kupitia mzee yusufu
Kuna wa2 wanamcngixia Mungu! Mungu kaniambia Mungu kaniambia!
That's because you gave God a cold shoulder 🤔go back to your old good ways...i love your songs and yah voice..plus those toxic stoppers💪💪
mashallah
Waliokataa wito wa Muumba wameishia pabaya! Ww umechagua njia sahihi! Mungu akujalie
Mashaallah mashaallah allah akuongezee imani zaidi akuzidishie ujasili
Hivi hii unaikumbuka????? Site tuna makosa lakini yote kwa yote yanazidia uzito lakin we shekh 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
mashallah brother
Tena wallah ra'adhim ungekufa takbiruuuu Allah Akbarrrrrrrrrrrrrr
may Allah help you Mzee Yusuf and accept your toubah
Ulivyo vipata kipitia mziki allah havitaki nandomana vinakutoka hadi vikimaliza ndo atakujaliavyengine
Ma sha Allah
Usikate Tamaa na Rehma Ya Allah.
Raha Ya maisha Ni mit-han
Na Ya mit-han Ni Subra.
Innallah maaswabiriin.
mashaallah nimekuelewa vzr sana mzee yusufu.
Mzee Ysuf Allah azidi kukuhifadhi na akulinde na vishawishi vinavyotokana na iblis kamwe visikupelekee kurudi ulipokuwa. Kaa ujiuwa maamuzi ulioyafnya Allah lazma atakuonja hvyo basi kaza moyo.
Dah amakweli hujafa hujaumbika na ni kweli kua Allah ndie anaeongoa
Raanatu rwaahi mzee yousufu
Allah akibar kaka mtoaji ni allah usimbe kwa sababu ukitaman birian unatoa mfukon bdo allah yupo na wewe utapata tu kwakila unachotaka bora kidogo anachokiriziya allah kuliko kikubwa anachokichukiya allah
Allah akufanyie wepesi mzee Allahamdullillah
maashaallah
mzee yusuph Allah akuongoze
lkn nakukumbusha tu jua kwamba ww ni mchunga na kila mtu ataulizwa kwa anavyo vichunga
pili Allah anasema enyi mloamin jilinden nafsi zenu na watu wenu kutokana na moto ambao kuni zake ni watu na mawe(at-tahrim 6)
vile vile Allah anasema tena
( يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا إِنَّ مِنْ أَزْوَاجِكُمْ وَأَوْلَادِكُمْ عَدُوًّا لَّكُمْ فَاحْذَرُوهُمْ ۚ وَإِن تَعْفُوا وَتَصْفَحُوا وَتَغْفِرُوا فَإِنَّ اللَّهَ غَفُورٌ رَّحِيمٌ )
التغابن (14) At-Taghaabun
Enyi mlio amini! Hakika miongoni mwa wake zenu na watoto wenu wamo maadui zenu. Basi tahadharini nao. Na mkisamehe, na mkapuuza, na mkaghufiria basi hakika Mwenyezi Mungu ni Mwingi wa maghfira, Mwenye kurehemu.
kwahiyo mzee yusuph kama umerud kwa Allah tengeneza wake na watoto wako kwa sbbu ww ndo masulia haiwezekan ww uwache mzik kisha mkeo awe bado anatikisa kiuno kwenye majukwaa huwon aibu ww au huna wivu?
rasullah anasema asiyekuwa na wivu haingii pepon
nanyi wanawake wenzangu kina dida na wengineo mchen Allah hakika maut yanakuja ghafra na mjue mtaulizwa siku ya qiyama kwa mnayo yatenda mchen Allah kwan ni mkali wa kuadhibu
Bismillah Mashaa Allah hongera sana Alhaj mzee Yusuph Allah akuzidishie moyo huyo wa subra na atuongoze sote ktk njia iliyonyooka
mungu amuongoze inshaallah
Mzee wangu, Mungu akuongoze.
mzee mungu akuongoze
Allah akuthibitishe hivo hivo kabisa
Akuepushe na Ibilisi Na sisi pia
Je maneno hayo Leo yako wp
maashAllah, Allah Akbar
Hongera sana mzee yusuphu
BABA NAKUOMBEA SANA, MUNGU ATAKUPELEKA KATIKA VIWANGO VINGINE VYA JUU KABISA . ENDELEA KUMTUMIKIA MUNGU MZEE YUSUPH MAANA MUNGU PEKEE NDIE RAFIKI WA KWELI NA BABA WA KWELI
Yaani wasanii wengi huwa wanajisahau sana kuna maisha yanaendelea wanavyokuwa na hela wanajisahau sana kuwa kuna kufilisika baadaye au kuumwa au kukosa mia mia zinazonipa kiburi wakizidiwa wanarudi kujitangaza na kuomba michango pumbavu kweli
Mzeyusufu nakuombea Allah akujalie gheri usirud nyuma allahakupe umri mrefu na wasaniiwengine wakiislamu waive kwako
Duuuu safi
MZEE KUWA MBALI NA MITANDAO YA HABARI PAMOJA NA WAANDISHI WA HABARI IKIWA UMEACHA MZIKI KWAAJILI YA KUMUOFIA ALLAH KWAKUWA HAO WATU WAPO KIDUNIA ZAIDI WATAKUONDOSHA KTK IKHILASWI
Yn ukiambiw umekiuka maneno yako muogombe Mungu mzee
allah ukbaruuuuu allah akuongoze mzee yusufu
Allh akufanyie wepesi ao na wambea kila kitu wakijue khaa
MashaAllah tabarakaAllah Allah atuongoze sote
Mash Allah
Jamani moto upo duniani
Mwenyenzi mungu akubarik
Alhmdhulillah
mashaallah
Mashallah
mashaallah allah akubaliki kk
mashaallah
Bro Allah akupe imani tena, na tena (in sha llaah )
We mnafiki tu
allah akbar Allah amsamehe na sisi pia
Allah akufanyie wepesi
MashaAllah
allah akuwekeyee wepes yusufu InshaAllah
Ushakuwa mzee sasa
Hiyo ni mipango. Yamungu mungu yuko pamoja na wewe usirudi nyuma riziki zako zipo ulopangiwa namungu
Allah akuongoze
wallah a'alam
Barakallah fik
Allah Kareem
Mashaalah
Mmh good point
IshaAllah
saf Mzee yusufu
Alha ndo mwema kwakila jambo.
mash Allah
Jazakha laukherii
Kwani jamani ww mtangazaje nikuulize swali hemu kwan ridhki anatoa nani enh chagueni bwana maswal ya kuuliza watu msiwe sababu ya kuwashusha watu imani jamani akaaah 😥 mtihan kwa kwl
Mnafiq Mkubwa wew
Laahaula wala quwwata illa billah
Mashaallah
Sahizi anarudi kwenye mziki
mm nakuomba umshauri nae huyo (daimond) amkumbuke Allah
mahaala
👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍
Ukiamua kuacha maasia bas epuka hata vile vishawish mathalan media za muzik
usijali kaka Allah atakuwezesha
Allah akupe msimamo huohuo na akupe mwisho mwema na akulipe pepo yake ww ni mfano wa wasanii wengine