NIOKOE, USINIACHE NITEKETEE
HTML-код
- Опубликовано: 21 мар 2023
- Kutoka AL FATAH TV .
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline
#AlfatahCharitableAssociation
#ZANZIBAR
Subhannal-llah ya Rabby tuweke wepesi tuwe miongoni mwa wale wanao jitoleya kwakila jambo😢😢😢🤲🤲🤲🤲🤲
Subhanallah inahuzunisha mtangazaji mbona hua husemi wapi au nyumbani huko zanzibar hata ukiomba mzanzibar basi umefikwa saana sio desturi yetu lkn inabidi iwe hivo kwa njaa iloingia na umaskini sio mashamba tuu mtangazaji hata huku mjini usione tunawasha taa kula hamna unavoamka ndivo unavolala Allah atustiri na atufanyie wepesi na ramadhani hii
Hyo ni unguja vijijini huko ndugu yngu tuwasaidie ndugu zetu kw hli yyte tuliojaliwa nayo na Allah atahualpa na ramadhan hii inshallah
Amiin ya Allah
Subhana llah tunaomba mtupatie direction ya hichi kijiji jamani tuende tukatembe na tujifunze kupitia wao kwa kweli Hali ngumu sana
Dhambi zetu nakama haichagui mwema na mbaya Allah atupe taufik tutubie
Subhanna allah awaruzuk awape wepes duh tuwaseidien allah atatulpa twendako
Allah akujengeye nyumba ktk pepo yake ya firdausi hakika Allah akuona jitihada zako sheke rashdi pia Allah akupe mwisho uliobora ww na familia yako
Mbona weng wazee niwap huko Allah tunakuomba simamia Familia hizi
Subhanallah.Alfatah tv mtu akitaka kuchangia anatumia njia gani
Namba za simu zipo kwenye video au ofisi ipo amani, msikiti wa amani zanzibar
Subhanallah yarab wape sahali waja wako Ameen
inshaAllah Allah atuwezeshe inshaAllah
Subhanalha Alhamdulhai hala kuli naama
Ww kama unatoa msaada towa usijadili kizazi sjui watoto wengi hayo ni majaaliwa ya Mungu
Kwa ukweli inahuzunisha hivi serikali haiwaoni watu kama Hawa
Yaaarab watanzania tumsaidie huyu mama wallah 😢😢😢😢
Allah awape subra ndugu zetu na wazazi wetu hao Allah awajaalie kila la kheri katik maish haya na waifunge ramadhan wakiwa hai na uzima na kwa furah tele kikubwa zaid wawe na subra na iman kubwa kwa Allah hakika yeye siku zote hamuachi mkono mja wake ipo siku Allah ataleta kher na baraka kutoka kwa Allah kilichobakia n kuwaombea dua kwa Allah ili maisha yao yawe mazur kama wengine
Subhanallah Allah atawapa inshaallah
Subhana Allah Allah awape Subra 😭
Subhanallah, Allah akowa waja wako
Ccm oye raisi mwinyi oye.
😢😢 yaallah
Niwapi tuelekeze nguvu zetu na sisi
Boban wasaidie hawa..wewe ni mtoaji sana
Jaman hii serekali iko wapi mpaka ikawa ata watu kama hawa haiwaangaliii ?!!!! Ebu nifahamisheni kidogo ivi kazi ya serekali hass ni ipi ?!! Mbona watu kama hawa wanahitaji huruma sana jamn.
Hamna group la wasp nataka hizi clip niwape waarabu wangu mashallah wanato sana nashare hii clip
Kabisa, na hatakama kuna uwezekano wa kutafusiriwa kiarabu ni vizuri. Kuna waarabu hawajui kiswahili wale wenyewe.
Assalamu alaikum Ninashida na namba yako ya whatsapp nikutumie picha ii ujuwe ni jinsi gan utaweza kuwasaidia
@@mustaphakijazi9807 ipo
@@Muslim-gs6rn nisaidie namba yako ya whatsapp ndugu
Nisaidie na mm nike huko nifanye kazi sina mama na baba maisha yng ni taabu ndugu yng
😂machoz yanitok kw kwel M'Mungu awasaidie . Wapi hao watu wapo mkienda km hvo tutajien na maeneo walipo
Jaman watt kumi umezaaa mwenzetu ulikua hausikii uchungu
Yani huyu mama nitajili wakesho mungu anarehemazake
Asalam walaiku jaman naomba mtoto moja nitamle kwajili ya Allah 😭😭😭
Samahani naomba kufahamu hichi ni kijiji gani
Allah tufungulie Zanzibar yetu
SUBHANA ALLAH
Subbuhanallah 😓.
Hakuna kitu muhimu kama Taq-wa na wengi wa hao wanataq-wa yaa Allah nijaalie tuwe na Taq-waa
Allah azidi kuwapa nguvu
Is this real? What is all this about uchumi wa bluu, I can’t comprehend this happening in 2023?????
Al fatah tujuilisheni hiki ni kijiji gani
Hichoi Kijiji gani????
Subhana ALLAH 😢😢
Ni kweli hii ndio zanbar kweli
NAIOMBA SEREKALI YANGU TUKUFU IWE INANYOOOSHAAA MKONO KWA WATU WENYE MAHITAJI KAMA KAWA....
Serekali ya kisengee ya kikafiri Haina maana watu wanateseka hawana la kufanya 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Nimetoka machozi tu jamani, Mwingine Anakula mpaka Anatia Jalalani😭.
Mbona hujibu kijiji gani hichi tunataka na ss fadhilaaa kaka tunakuomba tuwambieee wapi
Usimuulize nyama pakukaa Hana maskini
Subuhanallah
Alfatah tunaomba mutuambie wapi ao watu tunaweza kuwapata na ss tuwafikie
Allah Akbar
Subhana Allah 😢😢😢
Mtihani wallahi 😢😢
Enyi viongozi wa serikali hamyaoni haya mipasa yote iyo mnayoiba mnafanya sivo kabisa hii ni serikali ya kikafiri kabisa haijal watu zake
Rashid naomba namba yako
Wazanzibar jamaan sawa shida nimipango namitihan ila punguzen uzazi watoto 8 wote hao bila kazi bila biashara mnaanzaje
Usitukufurie
maneno mazr ni sadak ndg yng
Kaz nzur mnafanya ,vp tunachangia kwa hiki kdg tulichokuwa nacho.
ina sikitisha sana tuzidi kumuomba mungu atundolee huu mtihani amin amin
Hii ni wap jaman
Ni wapi hii jmn?
Zanzibar
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Hii ni wpi
Alfattah mbona hamtoi namba za wahusika wasaidiwe direct
Hawatowi number hao wala jina la pahala wanataka uwapelekee wao
@@shadiyaaljahdhami2569 ndio maana yake hiyo hawafanyi Kama channel nyengine hutoa namba za wahusika misaada huwafikia moja kwa moja
@@shadiyaaljahdhami2569 sisi hatupendi hivyo tunataka watoe namba za we walengwa direct
Hawa wapo wengi huezi toa namba ya kila mtu . Ndio wametoa namba zao za channel ili wasaidiwe wote kwa pamoja kwa kitakachopatikana
Kwanini hamusemi wapi hapo? Ni kijiji gani?
Niwp huko jamn na mbn no inayopita hapo ni ya Dubai hakuna no ya tz
Zanzibar hapa ni sehemu za vijijini
Hatuwezi kutoa namba za kijiji kizima.wasiliana na ofisini.
Sawa ni vijijini je je nikijiji gani maana si wenyewe tupi zanzibar hiyohiyo
Sasa mtu masikini hao watoto wote wa nini
watoto nimajaaliwa yaallah
Subhanallah
Usiseme ivo my wengine hpo wazee wao wameshafark
Dogo mbona ivyo ao watoto ni majaaliwa ya Mungu ktk kukupa mitihani duniani so unachojaaliwa na Mungu hakuna lawama, mfano ulemavu wowote ule ni majaaliwa na afya njema pia majaaliwa
😭
Viongozi wa nchi wanasema wao waislam , wamsome Saydina Omar alikuwa kiongozi wa aina gani , sio kupanda Land cruser na office yenye kiyoyozi , Hawaogopi maswali ya ALLAH?
Mtoto moja nitamsaidia kulea