Waislam acheni upuuzi ukipenda dini yako ipende kwa hali yoyote kuritad kwa dhiki hiyo ni kufru , bora kujitangaza kwanza muonekane siyo kuritadi hali yakuwa watu hawajui shida zenu , Allah atupe imani
Naam imani ndogo tu hapo kwa hio miaka ya mbele km ugumu wa maisha utakuepo watarudia tena??nawaambia hawa si lolote si chochote niliona yemen ardhi imekauka kabisaaaa ..watu wake ngozi zimegeuka io sehem wanayoishi maji hakuna kabisaa wanayafata kwa masaa mbalii sana....na wanaishi kwenye jua na joto kali kiasi kwamba wamebadilika hata miili yao aljazeera iliwafikia na wana sema tunasali tunafunga na tunamshukuru Allah wala hakuna mtu anaweza kutubadilisha ..hao watu wana imani kweli kweli wao hawajui kabisaa kula yao wanachojua rizki hutoa mungu na wala hawasikitiki subhanallah na wala hawana nia kuingia dini nyengine wanakwambia sisi ni wa Allah na tutakufa kwa ajili yake tumeridhika yaani ukiona lazima ulie io sehemu ilivo kavu hakuna hata majani .sema watanzania ndo ivo Allah atuhidi maana kwenye kitu na dini basi tunachagua kitu.mtihani kwa kweli.
Subhanallah Yarab Awasimamie Msipoteze dini yenu kwa sabab ya Maisha Makafir waahinden piganen jihadd na nafsi zenu ni ajri kubwa sisi ndio jihad I yetu ummati Muhammad jihad kubwa ya kupigana na nafs zetu inshaallah Tatizo leni Litatatulika biidhnillah😭🤲🤲🤲
@@maryamalli9090 mbona sikuelewi nimekupa namba za alifatah km unamcuango tuma au unataka kuongea nao ongea nao wakupe namba za wahudika shida iko wap wao ndio waliokwenda
@@maryamalli9090 ww unamatatizo tu alifatah hawavunji moyo bali wanatutia moyo tuweze kutowa na tunaona wao ndio wasimamizi wa wahusika ikiwa ukiwa unataka kutowa sadaka kw wahusika alifatah wataifikisha na amali hulipwa kw nia
Kwani serikali inafanya nini isojenga misikiti katika sehemu kama hizo hao wakiristo wenyewe chungu nzima wako Wana hali mbaya basi tu Imani dhaifu Allah atupe Imani Thabit sote
Kitu cha kwanza shida yao ni imani ya kweli...kisha inafuata kula na mengineyo ...lln km tutasaidia msikiti tu na kula la mwezi mmoja ina maana baadae watarudi kwenye ukiristo maana njaa itwatesa na wao hawana imani ...wanahitaji pia walimu wa kuwasomesha io dini ili wajitambue je?tutafanya hivo ?au tuwajengea tuondoke?
Nyny alfatah sasa chakufanya si kuwasaidia kwa mali tu wasaidieni kusoma dini mpate vijana wao watano muwafundishe warudi kuwafundisha mwislam akijuwa uislam wake vizur akamjjwa allah hata akipata njaa hawezi kuacha uislam So nyny msizungzie misaada tu ya mali chakula na maji msaada mkubwa ndugu zangu ni kusomeshwa dini wao na vizaz vyao Allah awastir na misikiti wataipata tu
Allah atuongoze katika dini yake Hadi mwisho wa pumzi yake
Wameritadi kwa ukosefu wa ilmu na imani
Ni kweli , imani tu haipo na hawana elimu ya Tawhid . Allah awaongoze wao na sisi ktk njia ya haki .
Waislam acheni upuuzi ukipenda dini yako ipende kwa hali yoyote kuritad kwa dhiki hiyo ni kufru , bora kujitangaza kwanza muonekane siyo kuritadi hali yakuwa watu hawajui shida zenu , Allah atupe imani
Asia....Salaam aleykum...waislam wa baadhi ya vijiji humu Tanzania..Watu wa ajaabu sana...mm nayaona pia mambo haya ..wao wachukulia easy kabisa
Naam imani ndogo tu hapo kwa hio miaka ya mbele km ugumu wa maisha utakuepo watarudia tena??nawaambia hawa si lolote si chochote niliona yemen ardhi imekauka kabisaaaa ..watu wake ngozi zimegeuka io sehem wanayoishi maji hakuna kabisaa wanayafata kwa masaa mbalii sana....na wanaishi kwenye jua na joto kali kiasi kwamba wamebadilika hata miili yao aljazeera iliwafikia na wana sema tunasali tunafunga na tunamshukuru Allah wala hakuna mtu anaweza kutubadilisha ..hao watu wana imani kweli kweli wao hawajui kabisaa kula yao wanachojua rizki hutoa mungu na wala hawasikitiki subhanallah na wala hawana nia kuingia dini nyengine wanakwambia sisi ni wa Allah na tutakufa kwa ajili yake tumeridhika yaani ukiona lazima ulie io sehemu ilivo kavu hakuna hata majani .sema watanzania ndo ivo Allah atuhidi maana kwenye kitu na dini basi tunachagua kitu.mtihani kwa kweli.
Allahuma Aameen Yaarb Alaameen
Allah atuwezeshe Imani zetu kwa ajili ya Allah Aameen 🤲🤲
Waislamu waleo kazi yetu nikubishana mitandaoni tu waislam wenzetu wanashida ss hatuna habari Allah atupe nguvu ya kuwasaidia wenzetu
Wapi hiivshekhe Muhammed tunaomba namba tutabarouq ishaallah
Uislam ni Imani unacho ama huna hiyo ni mitihani ya Allah lazima usimame na Imani ya kweli.
Salaam aleykum..tusitume comments tu.....tuwasaidie wenzetu...wallahi nahisi majonzi ......wenzetu wanateseka
Subhanallah,
Watu wanaswali kwenye miti baadae ukijengwa msikiti mkubwa awa wote watatolewa na wataambiwa msikiti auwasi allah awalipe inshaallah
Rais samia .Allah anakuona
Subhanallah Allah atakufanyieni wepesi yaarab
Subhanallah Yarab Awasimamie Msipoteze dini yenu kwa sabab ya Maisha Makafir waahinden piganen jihadd na nafsi zenu ni ajri kubwa sisi ndio jihad I yetu ummati Muhammad jihad kubwa ya kupigana na nafs zetu inshaallah Tatizo leni Litatatulika biidhnillah😭🤲🤲🤲
Allah
Allah atatufanyia wepesi inshaa-Allaah.
Mimi mkurugenzi wa Ira nachangia laki tano. Mujekuzifata
Wewe kaka mtangaziji naomba tuwasiliane
سبحان الله العظيم لا اله الا الله محمد رسول الله صلى الله عليه وسلم
Mbona kama hao mama wapo kimjini mjini
Allah akilipeni kheri nyingi Alfatah, inshaaAllah tutajitshidi kuchangia namba zote tumeziona shukran
Salma Aboud?Au
Wapi hio shekh
Subhana Allah
Subuhana Allah 😢
Àsalam alaykum km mtu anataka kuchangia chochote anafanyaje namba ya cm
Ukitakaa kutoa usiwea na maswali mengi toa au nendaa ww Mwenyea ukaonea utajua ni wapii
Asalamu alykum dungu zangu katika wislam nilikua naitaji kujua iyo sehemu ili wengine tunaweza kufika kwa idhini ya allah Inshaa allah
Alfattah mnatuvunja moyo bwana hamtaji sehemu husika Wala kutoa namba za wahusika tuwasaidie
Zipo namba
@@abduomar8438 sisi tunataka namba za wahusika sio za alfattah. Alfattah hutoa namba zao na sio za walengwa
@@maryamalli9090 mbona sikuelewi nimekupa namba za alifatah km unamcuango tuma au unataka kuongea nao ongea nao wakupe namba za wahudika shida iko wap wao ndio waliokwenda
@@maryamalli9090 ww unamatatizo tu alifatah hawavunji moyo bali wanatutia moyo tuweze kutowa na tunaona wao ndio wasimamizi wa wahusika ikiwa ukiwa unataka kutowa sadaka kw wahusika alifatah wataifikisha na amali hulipwa kw nia
Subhanallah
Tuupende uislamu wetu kwa hali yoyote
SubhnAllah
Subhaana Allah
Imenihuzunisha hiii aise sisi twaswali kwenye AC kumbe waislam ndugu ze2 wanaswali hivi mtihani
Umuhimu wa kusomeshwa TAWHIDI ndio huu wa kujiepusha na dunia ukamfuata Allah Subhaanahu waTaala.
Allah akbar
A.alaikum subhanallah tutajieni no basi
Nambari zimo humo ndani ya video
Subhanalha naombentumie hii vidio kwahisani yenu niwasaidie
Allahu akbaru mungu awape subra inshaallha
Allahu Akabar
Wapi hapo ipo sehem gani
wapi hiii
Assalamu aleikum nani ambaye ni muhusika
Kijiji kiko wapi na mbona tigo sijaona jina la mpikeaji nisaidiwe kwa hili
Au muwawekee walimu kwa kumlipa
Wapewe darsa warudi kwenye dini yao ya haki
Asalam aleykum warahmatullah wabarakatuh mimi nipo kenya natumaje sadaka yangu?
No zinapita hapo kwenye sqrine
😭😭😭
Iv lazima mtuwekee icho kiziki ah
Siku nyengine nimechongo tu ya kutaka misaada
Tunaomba location
Tunaomba namba zenu Al fatah
Namba tizama hapo chini zapita
Sheikh mm nguo ninazo niko kenya zitafika vip huko tafadhali, nijulishe
Tatizo ya hii channel hawajibu comment Wala kutoa ufafanuzi wa mambo
Wapigie simu hizo nambari zao kwenye scree.
Au watumie ujumbe.
Sallam alleikum sheikh naomba namba yako alfata
Sijui ni wapi hapa
Kijiji Mkokola-Kwammbo Kata Magunga korogwe Tanga
Mbona hamtoi jinsi ya kuchangia
Wameritad kwa sababu zao binafsi tu
Tusaidien no yakuweza kutuma pesa
Kijiji gani hichi iko wapi
Kijiji Mkokola-Kwammbo Kata Magunga korogwe Tanga
Wapo payslip gani
Korongwe Tanga
@@alfatahtvonline3374 korogwe sehem gani tujulisheni sisi tupo tanga tunaweza kufika kwa haraka
Kwani serikali inafanya nini isojenga misikiti katika sehemu kama hizo hao wakiristo wenyewe chungu nzima wako Wana hali mbaya basi tu Imani dhaifu Allah atupe Imani Thabit sote
Subhanallah Allaah atupe tupate kutowa wako Waislam wangapi Tanzania hebu sote tuwe tunachangie
@@shamzone388 Kijiji Mkokola-Kwammbo Kata Magunga korogwe Tanga
Niwap uko mbona amsemi niwap
Kijiji Mkokola-Kwammbo Kata Magunga korogwe Tanga
Je shida ya hawa wenzetu ni msikiti au ni njaa, maji na umaskini?
Mambo mengi tu Wana shida nayo vikiwemo Imani thabit na umasikini
vyote
Kitu cha kwanza shida yao ni imani ya kweli...kisha inafuata kula na mengineyo ...lln km tutasaidia msikiti tu na kula la mwezi mmoja ina maana baadae watarudi kwenye ukiristo maana njaa itwatesa na wao hawana imani ...wanahitaji pia walimu wa kuwasomesha io dini ili wajitambue je?tutafanya hivo ?au tuwajengea tuondoke?
Ñiseem gani hiyo jamani
Kijiji Mkokola-Kwammbo Kata Magunga korogwe Tanga
@@sama-_8368 Ok Nikajua uku zenji
Ndugu yangu tuchangie sadakatu jaria hiyo
Namba zipi tusaidieee
Huzuni. Nimeisikiza video yote. Hakuna paliposemwa hapo ni kijiji gani, wilaya gani, mkoa gani na nchi gani.
Kijiji Mkokola- Kwammbo Kata Magunga - Korogwe - Tanga
Tanzania
Shukran saana
Nyny alfatah sasa chakufanya si kuwasaidia kwa mali tu wasaidieni kusoma dini mpate vijana wao watano muwafundishe warudi kuwafundisha mwislam akijuwa uislam wake vizur akamjjwa allah hata akipata njaa hawezi kuacha uislam
So nyny msizungzie misaada tu ya mali chakula na maji msaada mkubwa ndugu zangu ni kusomeshwa dini wao na vizaz vyao
Allah awastir na misikiti wataipata tu
Sote huu ni wajibu wetu na tutaulizwa
Asalaam alkhoum warahmat wabarakat jamani hapo ni wapi