KWA HALI HII KILA MMOJA ATAULIZWA NA ALLAH.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 11 май 2020
  • Kutoka AL FATAH CHARTABLE ASSOCIATION.
    Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
    #AlfatahTvOnline
    #AlfatahCharitableAssociation
    #ZANZIBAR

Комментарии • 339

  • @shanishamsi9576
    @shanishamsi9576 3 года назад +8

    Allah huakbar yarabi tujaalie subra katka maisha yetu utujaalie mioyo yenye huruma ktk maisha yetu na utujaalie mwisho mwem😢😭😭🤲🤲

  • @Da-cr6ow
    @Da-cr6ow 4 года назад +16

    Macho yanalia moyo unaumia ya Allah mwingi wa rehma wazidishie kila watoaji wallahi inaumiza inaumiza sana nashkuru nnachopa kicho hicho kidogo na kula na wenzangu Alhamdulilah natamani nipate niwasaidie kila wenye uhitaji ila sijakataa tamaa insha allah Allah nirazzak naumia mno

    • @mulhazinzibar6912
      @mulhazinzibar6912 3 года назад

      Pole mungu akufanyie wepesi allha atakulipa nawewe

  • @user-qr5rv2eg8l
    @user-qr5rv2eg8l 3 месяца назад

    Wallahi mumevunja record.ulimwenguni tumeshuhudia wenyewe walimwengu na timetafakari .allahu Akbar God blessu

  • @theroots2743
    @theroots2743 4 года назад +3

    Waonesheni hao makumbaro wajue kama kutoa ni moyo sio mpaka zifike siku za karibu na uchaguzi wawatundike watu kwa tonge yao Alfatah ni mfano pekee hapo nyumbani na ishaallah mwenyezi mungu akuongozeni ktk njia aitakayo Amin

  • @fatmaaly3056
    @fatmaaly3056 4 года назад +17

    😭 wallah nigelikua na uwezo mimi binafsi chakwanza ningelijenga nyumba kwa ajili ya wazee hawa km gorofa 😭😭😭

    • @ukhtyalpha1344
      @ukhtyalpha1344 4 года назад +3

      Fatma kwani uko wapi tuweze kutafuta mfadhili au Wazanzibar sote tukachangishana kila pembe tulipo tukishiriana tutawezeshwa na Allah tukaacha kufanya maarusi ya kifhari yalio hayana mpango wa faida yoyete

    • @sabahbille294
      @sabahbille294 4 года назад +2

      @@ukhtyalpha1344 tungekuwa na huruma walahi hakuna muislam angelipata shida,Bali tuko wabinafsi sana,walahi sijui tutajibu nini kesho.

    • @mtorosaidkassim9587
      @mtorosaidkassim9587 4 года назад +1

      Wallah hata na mm pia ningekua mmoja wapo wakuchangia

    • @salmamansour3718
      @salmamansour3718 4 года назад

      @@ukhtyalpha1344 ww uko wp

    • @khadhoujjojo338
      @khadhoujjojo338 4 года назад +1

      A'alaykoum akhawaty fii llah yaani hata tukaungana kidogo chetu tunaweza biidhnillah😭😭it's heart touching story.... Je, tunaweza patana vipi mm am from Kenya

  • @ummoislam4832
    @ummoislam4832 4 года назад +9

    Mashaallah Alfatah Allah awazidishe imani muje muwajengee hawa wazee hizo nyumba zao

  • @zainabyousof3742
    @zainabyousof3742 4 года назад +4

    YaaRabb mjaalie Sheikh Rashid kwa kazi hii anayoifanya umlipe mema ya Dunia na Akhira ALLAHUMMA AAMIIN

  • @fdhjffdhjfsjdjfjfi9477
    @fdhjffdhjfsjdjfjfi9477 4 года назад +5

    Allahu akbar Allahu Akbar tustiri yarabi utusamehe utufungulie riksi tuweze kuwasaidia wenzetu inshaallalla moyo unaniuma sana lakini sina chakuwasilisha kwa wenzangu shukran AlFatah TV

  • @fatmaaly3056
    @fatmaaly3056 4 года назад +5

    😭😭😭y'rabby najikuta nalia tu na kushkuru alhamdulilah alhamdulilah allah ndio mueza watu wanakula na kutupa na kufanya kila aina ya starehe ukiwakumbusha wanasema tunaenda na wakat 😭😭😭😭😭😭

  • @abdallaabeid2951
    @abdallaabeid2951 4 года назад +2

    Hongera Mkurugenzi wa Alfatah Allah akupe umri na afya njema kaka yng

  • @rossamengo7211
    @rossamengo7211 4 года назад +6

    Nijambo la kuhuzunisha sana,ya ALLAH tupe mioyo yakutoa na utukinahishe na anasa za dunia,utuongoze tuweze kununua pepo yako kwa neema zako unazo tujalia IN SHA ALLAH Amiin

    • @ukhtyalpha1344
      @ukhtyalpha1344 4 года назад

      Naam kabisa wanawake kuna Group la Wanawake wema kuna Group la aljanah hands kuna mengi tu jiungeni haba na haba tujaze kibaba kuna hao Alfath tuchaguweni wapi na hii isiwe Ramadhan tu 😰😰😰😰😰😰

    • @ukhtyalpha1344
      @ukhtyalpha1344 4 года назад

      Allah tupe nguvu tuwasimamie hawa waja wako 😰😰

    • @ukhtyalpha1344
      @ukhtyalpha1344 4 года назад

      Tunalia unatamani utowe pesa zako zote

    • @rossamengo7211
      @rossamengo7211 4 года назад

      Mimi nikitoa naona bado haitoshi natamani nitoe tena na tena ila uwezo ndio kidogo, ALLAH atujalie tugawane hichi kidogo alicho tujalia na wenzetu ambao hawana,kwani kutoa nimoyo wallahi,hakika imenitoa machozi kabisa

    • @edenimmasianase7569
      @edenimmasianase7569 4 года назад

      😭😭😭

  • @khamisfaki4640
    @khamisfaki4640 4 года назад +4

    Waallah mwil umesismka kuona hli allah walipe kila la kheri muliofikisha ujumbe huu AMIIN

  • @AbeidkhalfanAbdalla
    @AbeidkhalfanAbdalla 3 месяца назад +1

    Allah akufanyien wepes alfatah

  • @tajiriskitchenswahiliflavo1723
    @tajiriskitchenswahiliflavo1723 4 года назад +1

    Alhamdhulilah. Allahumma Barik😭😭😭

  • @issahassan8361
    @issahassan8361 4 года назад +3

    Mtihani sana. Allah atufanyie wepesi duniani na akhera آمين يارب العالمين.
    اللهم ارزقنا رزقا واسعا حلالا طيب مباركاً فيه.

    • @maryammct3967
      @maryammct3967 4 года назад

      Amin

    • @mariamjuma3831
      @mariamjuma3831 3 года назад

      mnavofanya nivizuri namungu awabariq ila mnajisahau pale mungu alivosema mtowe kwamkono wakulia nawkushoto usijue jee?hamkuifaham nn maana yke?

  • @safiaothman1098
    @safiaothman1098 3 года назад +1

    Allah Subhannahu Wata'ala awajaalie Alfatah kila la kheyr fil Dduniyyah wal Akhiyra, Aamiin.

  • @maryamsalim3233
    @maryamsalim3233 4 года назад +3

    Shekh rashid twaombea mupate nguvu na uwezo muwajenge hizo nyumba zao yasikitisha sana cc letu ni kuwaombwa kwa allah 😭😭

    • @suleimanmohamed4367
      @suleimanmohamed4367 3 года назад

      Tuchangieni ili wape nyumba sisi tunaweza kwa Kila Atakae ona

  • @safiyaalrawahi7526
    @safiyaalrawahi7526 4 года назад +3

    video hii imenigusa na nimetokwa n machozi kwa huzuni nliyoina ya wazee maskini. shkrn sana

  • @agiraali7693
    @agiraali7693 3 месяца назад

    Mashaallah Allah akubariki sheik 🙏🙏🙏

  • @wahidashabaz5982
    @wahidashabaz5982 4 года назад +6

    Natokwa na machozi😭😭Allah atawalip kwa kila hatua yenu.mashallah

    • @learnonline8033
      @learnonline8033 4 года назад

      Wahida Shabaz kama kweli una imani hasa na ndugu zako waislamu lazma machoz yatoke

    • @kwigayamitto175
      @kwigayamitto175 4 года назад

      Mimi naomba namba zenu na wapi Unguja au Pemba mnapatikana

  • @ratiffahahmadi3434
    @ratiffahahmadi3434 4 года назад +2

    JazakaAllah lkheir

  • @miracleslike3775
    @miracleslike3775 4 года назад +2

    alfatah hakika ni chaguo langu Allah ibaraki Alfatah wabariki viongozi na wafanya kazi wake

  • @chefwakitaakaithar2039
    @chefwakitaakaithar2039 4 года назад +2

    Subhannallah, Namuomba Allah ajaalie kupatikana zaidi wasamaria wema na kuweza kuwapa (kutoa) michango kw familia (wazee w icho kijiji uko Pemba) inasikitisha sana wazee ni watu wazima sana na wengine wagonjwa hawawez tena hata kuenda shamban kulima na ukiangalia kama icho kipindi cha ramadhan na wanakwmbia hawajui hata watafutari nini manake hawana hata uwezo w kujinunulia chakula.
    Na nina swali kwa AL FATAH TV ONLINE kuusu izo namba za sim na majina ya watu waliokuwepo sehem tofauti kama UK, MAREKANI, CANADA, DUBAI, OMAN, N.K ni wasimamizi w kushughulikia michango/misaada ya watu watakaoguswa na kutaka kuchangia chochote walichojaalia, naomba mnijuze manake ss wengin tunataka kuchangia ila tuko mbali na nchi yetu tuliozaliwa Zanzibar na jee ninaweza kutumia njia ya Money Gram.?

  • @seifkhatib4512
    @seifkhatib4512 4 года назад +2

    Allahuakbar kaka Rashid allah atakulipa kutokana na juhudi zako katika uislam na waislam kwa jumla hakika nimfano wakuigwa kaka allah akujaze nguvu juu ya kuwasaidia waislam wengine amin ya rabbi

    • @seifkhatib4512
      @seifkhatib4512 4 года назад +2

      Wallah cna uwezo wakutoa ila kaka Rashid kama unahitaji msaidiz wakusabaza izo sadakat katika jamii wallah nipo mm nitakuja kukusaidia kwa ajili yaallah na din yetu sitohitaji lolote kutoka kwako ila nitatumia nguvu zangu alizo nipa allah kukisaidia insha allah
      allah akbar

    • @allishaibu1272
      @allishaibu1272 4 года назад

      Seif Khatib Jamani wko wapi watoaji wale ambao wanajinasibu kuwa niwaislam mbona waislam wenzetu tunawaacha wanadhalilika tunaendeleza kutoa sehemu ambazo hazina manfa Jamani hebu tutafuteni radhi za Allah tupate mafanikio kwa allah

  • @misfatima8953
    @misfatima8953 4 года назад +2

    😭😭😭😭😭😭alfatah is the all foundation that inspared me nipo n imani nami siku itwayo moja atanijalie nami niwe mionginoni mwa kujitolea kwa ajili ya Allah kaka mungu akuzidishie kher n akuneemeshee nema kubwa n za kher ndani yake kila siku ninapotazama alfatah machozi unitoka usichoke kaka upo n makao mema kesho jasho n macho unayo yamwaga leo kesho mble ya Allah itakua nuru kwako ameen ameen ameen. Ya Allah nami nipee muongozo na huruma wa kujali wenzangu wa tabaka langu . Na uwape ufumbuzi wale walo navyo wajali wasokua navyo ameen

  • @sifajacky7779
    @sifajacky7779 2 года назад +1

    Subhanah Allah Allah! Allah Akbarr! Allahuma Amina ya Raab ya Mujib duwah 🤲🏻

  • @nassorfarhat5045
    @nassorfarhat5045 4 года назад +3

    Mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah 🙏🙏🙏🙏

  • @rukiamohammed5031
    @rukiamohammed5031 4 года назад +1

    Mtangazaji walia cc tufanye nn 😭😭😭wallh machoz yamenitoka kwa mm nasema Familiya yangu Ina shida kumbe Kuna watu wanashida kuliko Familiya yangu wallh 😭😭😭Daah ht cjui niseme nn kwa kweli ila mungu ndio anajua 😭😭

  • @abdoi5780
    @abdoi5780 4 года назад +1

    Dahh Allah azidi kuwatiya nuru na uwezo muzidi kufanya kazi kwa ajili ya Allah...na sisi Allah atuwe uwezo na nguvu wakusaidiya kwa kidog atakachotujaaliya 🙏🏻🙏🏻😥😥

  • @zuhuraadinani8819
    @zuhuraadinani8819 4 года назад +1

    Allah azidi kukupa moyowaiman tuombee nass tupate tuwasaidie wasojiweza

  • @user-uk8gr1im8b
    @user-uk8gr1im8b 4 года назад +1

    Allah awabarik alfath kwa jitihada yenu na wasiotoa allah awape moyo wa kutoa inshaallah

  • @alikurran150
    @alikurran150 2 года назад

    Inauma sana wallah.Shekh Hii inasaidia umetuhamasisha

  • @issandolilo4276
    @issandolilo4276 4 года назад +4

    May Allah guide this channel in its daily endeavours insha'Allah.

  • @salmaallysaid1187
    @salmaallysaid1187 4 года назад +3

    Wallah Allah ndo anajua jinsi nnavoumia nawaza kama wanapata swadaka kwa ramadhan jee sku za kawaida wanaish vipi wawakilishi Madiwan wabunge wako wapi ?? Allah atawahukumu kwa kila chozi la mnyonge

    • @nurualamoody4305
      @nurualamoody4305 4 года назад +1

      Uongozi ni dhima kubwa Sana Kwa huu umasikini wa hawa wazee hakuna kiongozi kuona pepo

  • @runigangwamizungo7647
    @runigangwamizungo7647 3 года назад +1

    Allah tupe khidaya ummat Muhammad swalallahu alaihi wasalaam

  • @bintsalimalbimany5340
    @bintsalimalbimany5340 4 года назад +1

    Alhamdulillah alhamdulillah thumma alhamsulillah ndio mana mim sipend kumwaga chakula kikibakia naweka kwenye fridge sik yapil tunapasha moto tu. Jmn jmn mola wetu tufanyie wepes waj wako utuwezesh tuwez kutoa kwa ajil yako👐👐👐

  • @ummabood8268
    @ummabood8268 4 года назад +1

    SubhnaAllah. Imenitouch Sana Sana. Allah akulipeni kwa kila step. Na sie atupe moyo wakutoa

  • @jasminali5921
    @jasminali5921 4 года назад +1

    Subhanallah nalia kwa uchungu yarabi mola wangu

  • @mohdsururu3335
    @mohdsururu3335 4 года назад +2

    Allah akupeni nguvu kwa kuwakumbuka Waze wetu Amin

  • @hawaamkubwa2020
    @hawaamkubwa2020 2 года назад

    alhamdulillah Allah awalipe kher inshaallah

  • @faju4real800
    @faju4real800 4 года назад

    Allahuakbar kuna watu wapo chini sana kimaisha wanahitaj misaada kwakwl Allah tupe wepes

  • @zeinabathman4969
    @zeinabathman4969 10 месяцев назад

    Mashallah mungu akupe huohuo moyo inshallah na akufanyie wepesi inshallah katika kila hatua unayoifanya ameen inshallah mwenyezimngu akupe afya na umri na swiha njema inshallah ameen thuma ameen inshallah

  • @mrbubaaside4388
    @mrbubaaside4388 3 года назад

    mungu awazidishie alfatah

  • @rabiamussa3228
    @rabiamussa3228 4 года назад +2

    Allah tujaliye tuweze kuwasaidiya wenzetu

  • @firdaushamid8200
    @firdaushamid8200 Год назад

    Mashallah Allah akuzidishiye imani na azidi kukubariki na akulipe pepo

  • @user-nh9fl5tv9u
    @user-nh9fl5tv9u 2 месяца назад

    Mungu awalipe jama ni

  • @fammamourchy2164
    @fammamourchy2164 2 года назад

    Allah awazidishie kheri wana alfatah
    😭😭😭😭
    Subha Allah

  • @shadiahshadiahshadiahshadi4060
    @shadiahshadiahshadiahshadi4060 2 года назад

    Allah awawekeye wepesi mwe woteeee

  • @zekhachimanga4484
    @zekhachimanga4484 4 года назад +1

    Wallah mung akulipeni kheri kwa mnachokifanya awape moyo na wengne wa kuwasaidia inaskitisha sana

  • @allahinbendesi3464
    @allahinbendesi3464 3 года назад +1

    ALLAHIM seni ozun komey ol butun mezlum qullarina.Amin

  • @salumhemed8516
    @salumhemed8516 4 года назад +1

    Subahaana llah allah awape kila kheri inshaallah

  • @faju4real800
    @faju4real800 4 года назад +1

    Allah tupe uwezo na iman yakutoa misaada kwa ajili yko

  • @inabikorwaneema8815
    @inabikorwaneema8815 4 года назад +1

    Laa ilaha ilallah. Allah awalipe mema duniani na kesho Akhera

  • @mwanaishahussein2635
    @mwanaishahussein2635 4 года назад +1

    ALLAH TUPE WINGI WA IMANI KWA WENZETU WALIO WANYONGE🤲🤲🤲🇰🇪

  • @kautharmbarak8667
    @kautharmbarak8667 3 года назад

    Alfatah Allah awaajaalie kila kher wallahi inaumiza hasa sisi tunachopata tusemeni Alhamdulillah wazee wetu wanapata tabu .

  • @suleimankhamis8298
    @suleimankhamis8298 2 года назад

    naunga mkono sana kwa sadaka hizi munazo toa mashallah, lakini solution ni kuekeza katika miradi ya kutenegeneza mazingira ambayo yatawapatia watu kipato ili iwe endelevu , mawzo yangu tu .

  • @halimamfaume1925
    @halimamfaume1925 Год назад

    SubhanaAllah 😭😭😭😭 Alhamdulillah

  • @samiasalim8322
    @samiasalim8322 4 года назад

    Jamani hawa jamani mpaka njia muwatengeze ndio.kuwe rahisi watu kuja fabzeni bidi njia barabara itengezwe ndio watu rahisi kuwafikia na misaada zao mungu awaonekanie yarabb

  • @mussachuo3910
    @mussachuo3910 4 года назад +2

    Dahh kwa kweli nawapongeza sana Allah atawalipa natamn na ss wenye mioyo ya kuchangia tuchangie kupitia kwenu tunaimn na nyinyi sadaka zetu zitafika kwa walengwa

  • @omarsuleiman6039
    @omarsuleiman6039 Год назад +1

    Allaha awalipe kheri kwa mazito mnayo pitia.

  • @biaysha8553
    @biaysha8553 3 года назад

    Hii ndo channel nzuri sio hizo nyingine udaku tuu ndo mwingi

  • @hamadimussa2119
    @hamadimussa2119 2 года назад

    Allaahulmus'taan,Alllaaah akulipeni kher, Ila viongozi wamche Allaah

  • @mtendasaid5222
    @mtendasaid5222 4 года назад +2

    Alhamdulillah. ...yarabi atupe wepesi sisi sote nshaaAllah. .katika maisha yetu. .

  • @fatummsagat5177
    @fatummsagat5177 4 года назад +1

    Subhannallah! Allah amijaze kheri inshaalla,

  • @aishasalim7516
    @aishasalim7516 Год назад

    Allah awabariki

  • @ashaj8433
    @ashaj8433 4 года назад +1

    Yarab Yarab yarab

  • @badrumbarouk3377
    @badrumbarouk3377 4 года назад

    Allah akuzidishien iman ya kutoa na cc pia roho zetu zenye kutu azisafishe tuwe na moyo wa kua insha Allah kuto ni moyo wala sio utajir wabilah taufq

  • @yussufamani3437
    @yussufamani3437 4 года назад

    yallah walipe kheir na Baraka zaid kutowa sadaka zao katika njema iliyo nzuri

  • @hcgghfgg6679
    @hcgghfgg6679 4 года назад +1

    في ميزان حسناتك أخي كل هذا العمل عند الله غير غافل عنه
    يرحم الله موتاكم و يشفي مرضاكم وبارك الله فيك
    لنا زيارة أن شاء الله
    والله انك ابكيتا بما شاهدناه فنحن في عمان نشعر بكم ونسأل الله ان يسهل لنا المجئ ثانية لزنجبار عامة و بيمبا خاصة .

  • @user-es9qs9vs8y
    @user-es9qs9vs8y 4 года назад +1

    Baarakallah fiyk

  • @kharithbinmasoud9429
    @kharithbinmasoud9429 4 года назад +2

    IshaAllah mwenyezmungu atulipe heri kwa sote

    • @sulemohd4812
      @sulemohd4812 3 года назад

      Wallah inaliza ukitowa unakuwa unafuraha

  • @abdullmalik7847
    @abdullmalik7847 4 года назад +3

    Subhanallah 🇰🇪

  • @abdiganimohamed6692
    @abdiganimohamed6692 3 года назад

    In shaa Allah al-fatah tv keep on

  • @ashasaid5061
    @ashasaid5061 4 года назад +1

    Allah atupe riziki na tuwe miongoni mwa wenye kutoa inshaallah

  • @user-qz2yd5wm2m
    @user-qz2yd5wm2m 4 года назад

    Allah akuzidishieni inshaallah .yarabi tustrii duniani na akhera ameen.

  • @yussufamani3437
    @yussufamani3437 4 года назад

    yaallah wape imani iliyonzuri wenye kutowa katika njia ya allah ili kuingia ktika firdaus ya allah

  • @khalfanmbarouk112
    @khalfanmbarouk112 4 года назад

    Mashaallah allah awalipe kila lakher mana allah ndio mlipa wa yote allah awalipe ujira mwema amin waallah inauma sana mimi kama kijana allah atujalie rizki halal tuje kujumuika nanyi kwa kile tulicho kipata kwa uwezo wa allah

  • @salem9874
    @salem9874 4 года назад

    Allah akupe zaidi na zaidi shekh kiukwwli Unajitahidi sana

  • @ahmeidyoung2410
    @ahmeidyoung2410 4 года назад +1

    Ah sante kwa serekali yetu tukufu kwa kuwazisha suala LA pensheni jaamii ...ushaur fungu liengezwe ili lipate kuwatosheleza wazee wetu In shaa Allah....

  • @aishasaid5702
    @aishasaid5702 4 года назад +1

    Allah atawalipa ujira mwema in shaa Allah

  • @teteshlbrahim3718
    @teteshlbrahim3718 4 года назад +2

    Amin,my Allah bless you

  • @maryamsalim3233
    @maryamsalim3233 4 года назад

    Allah atawalipa mema yenu na baraka na allah awape umri na uzima na mwakani muwakumbuke tena ndugu zetu yaraaaab 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @alimohamedhatub7947
    @alimohamedhatub7947 2 года назад

    Maasha Allah..... mngu akumaarikini...insha Allah

  • @salmasalim6055
    @salmasalim6055 4 года назад +8

    😭😭😭😭🤲Alhamdullilah

  • @ashasaid5061
    @ashasaid5061 4 года назад

    Subuhanallah nimetokwa na chozi waalah kaka Rashid nakutakia kila lenye Kher INNSHAALLAH

  • @georgegichinga81
    @georgegichinga81 4 года назад

    Mungu akubari sana ndugu yangu

  • @Miynuh_01
    @Miynuh_01 4 года назад +1

    Alhamdulillah alla kul neemah
    Yaa Allah sahal yaa rabb

  • @ahmedhamisi328
    @ahmedhamisi328 4 года назад

    Kwa kweli kabisa mwenyezi mungu awalipe mema alfatah t v

  • @omanseeb8609
    @omanseeb8609 4 года назад +1

    Mashaaallh

  • @mselemhaji1969
    @mselemhaji1969 4 года назад

    Allah huakbar Mungu awapeheri mzidi kutoa

  • @nimoomar4751
    @nimoomar4751 3 года назад +1

    May Allah reward you brother

  • @AliAli-bt5db
    @AliAli-bt5db 3 года назад

    Subhana llah jamani matajiri wa kiislamu tutakwenda kuulizwa jamani wenzetu wana Hali mbaya na ngumu wanahitaji kusaidiwa

    • @mbarouksuleiman4351
      @mbarouksuleiman4351 3 месяца назад

      sio matajiri tu hata maskini aliejuu ya hawao anapaswa kusaidia alio chini yake

  • @williammsendo499
    @williammsendo499 2 года назад

    Allah name anajakie kher Niya fanye haya

  • @bintsalimalbimany5340
    @bintsalimalbimany5340 4 года назад

    Shekh Rashid wewe mola kashakuona jitihada zako wewe nimtumish waumma sisi 😢😢😢😢ndo wakulia zaidi😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @ahmedsoudathman5088
    @ahmedsoudathman5088 4 года назад

    Maashalah tabarakallah
    Allah azidishe nguvu zenu
    Kweli hali ni ngumu mno mumekutana nazo

  • @ommymaconcept6420
    @ommymaconcept6420 4 года назад +7

    Sheikh rashid polen sana na majukumu, Allah awalipe kheir. Hii ni unguja sehemu gani?

  • @saidfadhil6491
    @saidfadhil6491 4 года назад +1

    Allah akupen zaid

  • @amourhasaan7242
    @amourhasaan7242 4 года назад

    Mashaallah yaan km kwelii tungekuwaa tunatowa zk naa sadakaa basii naamini ufukaraa usingekuwepo

  • @hashirsalim9570
    @hashirsalim9570 3 года назад

    Mashallah

  • @miracleslike3775
    @miracleslike3775 4 года назад +1

    Hakika machozi yananitoka Allah tudumishe katika ibada