KWA HALI HII KILA MMOJA ATAULIZWA NA ALLAH.
HTML-код
- Опубликовано: 11 май 2020
- Kutoka AL FATAH CHARTABLE ASSOCIATION.
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline
#AlfatahCharitableAssociation
#ZANZIBAR
Allah huakbar yarabi tujaalie subra katka maisha yetu utujaalie mioyo yenye huruma ktk maisha yetu na utujaalie mwisho mwem😢😭😭🤲🤲
Macho yanalia moyo unaumia ya Allah mwingi wa rehma wazidishie kila watoaji wallahi inaumiza inaumiza sana nashkuru nnachopa kicho hicho kidogo na kula na wenzangu Alhamdulilah natamani nipate niwasaidie kila wenye uhitaji ila sijakataa tamaa insha allah Allah nirazzak naumia mno
Pole mungu akufanyie wepesi allha atakulipa nawewe
Wallahi mumevunja record.ulimwenguni tumeshuhudia wenyewe walimwengu na timetafakari .allahu Akbar God blessu
Waonesheni hao makumbaro wajue kama kutoa ni moyo sio mpaka zifike siku za karibu na uchaguzi wawatundike watu kwa tonge yao Alfatah ni mfano pekee hapo nyumbani na ishaallah mwenyezi mungu akuongozeni ktk njia aitakayo Amin
😭 wallah nigelikua na uwezo mimi binafsi chakwanza ningelijenga nyumba kwa ajili ya wazee hawa km gorofa 😭😭😭
Fatma kwani uko wapi tuweze kutafuta mfadhili au Wazanzibar sote tukachangishana kila pembe tulipo tukishiriana tutawezeshwa na Allah tukaacha kufanya maarusi ya kifhari yalio hayana mpango wa faida yoyete
@@ukhtyalpha1344 tungekuwa na huruma walahi hakuna muislam angelipata shida,Bali tuko wabinafsi sana,walahi sijui tutajibu nini kesho.
Wallah hata na mm pia ningekua mmoja wapo wakuchangia
@@ukhtyalpha1344 ww uko wp
A'alaykoum akhawaty fii llah yaani hata tukaungana kidogo chetu tunaweza biidhnillah😭😭it's heart touching story.... Je, tunaweza patana vipi mm am from Kenya
Mashaallah Alfatah Allah awazidishe imani muje muwajengee hawa wazee hizo nyumba zao
YaaRabb mjaalie Sheikh Rashid kwa kazi hii anayoifanya umlipe mema ya Dunia na Akhira ALLAHUMMA AAMIIN
Allahu akbar Allahu Akbar tustiri yarabi utusamehe utufungulie riksi tuweze kuwasaidia wenzetu inshaallalla moyo unaniuma sana lakini sina chakuwasilisha kwa wenzangu shukran AlFatah TV
😭😭😭y'rabby najikuta nalia tu na kushkuru alhamdulilah alhamdulilah allah ndio mueza watu wanakula na kutupa na kufanya kila aina ya starehe ukiwakumbusha wanasema tunaenda na wakat 😭😭😭😭😭😭
Hongera Mkurugenzi wa Alfatah Allah akupe umri na afya njema kaka yng
Nijambo la kuhuzunisha sana,ya ALLAH tupe mioyo yakutoa na utukinahishe na anasa za dunia,utuongoze tuweze kununua pepo yako kwa neema zako unazo tujalia IN SHA ALLAH Amiin
Naam kabisa wanawake kuna Group la Wanawake wema kuna Group la aljanah hands kuna mengi tu jiungeni haba na haba tujaze kibaba kuna hao Alfath tuchaguweni wapi na hii isiwe Ramadhan tu 😰😰😰😰😰😰
Allah tupe nguvu tuwasimamie hawa waja wako 😰😰
Tunalia unatamani utowe pesa zako zote
Mimi nikitoa naona bado haitoshi natamani nitoe tena na tena ila uwezo ndio kidogo, ALLAH atujalie tugawane hichi kidogo alicho tujalia na wenzetu ambao hawana,kwani kutoa nimoyo wallahi,hakika imenitoa machozi kabisa
😭😭😭
Waallah mwil umesismka kuona hli allah walipe kila la kheri muliofikisha ujumbe huu AMIIN
Allah akufanyien wepes alfatah
Alhamdhulilah. Allahumma Barik😭😭😭
Mtihani sana. Allah atufanyie wepesi duniani na akhera آمين يارب العالمين.
اللهم ارزقنا رزقا واسعا حلالا طيب مباركاً فيه.
Amin
mnavofanya nivizuri namungu awabariq ila mnajisahau pale mungu alivosema mtowe kwamkono wakulia nawkushoto usijue jee?hamkuifaham nn maana yke?
Allah Subhannahu Wata'ala awajaalie Alfatah kila la kheyr fil Dduniyyah wal Akhiyra, Aamiin.
Shekh rashid twaombea mupate nguvu na uwezo muwajenge hizo nyumba zao yasikitisha sana cc letu ni kuwaombwa kwa allah 😭😭
Tuchangieni ili wape nyumba sisi tunaweza kwa Kila Atakae ona
video hii imenigusa na nimetokwa n machozi kwa huzuni nliyoina ya wazee maskini. shkrn sana
Mashaallah Allah akubariki sheik 🙏🙏🙏
Natokwa na machozi😭😭Allah atawalip kwa kila hatua yenu.mashallah
Wahida Shabaz kama kweli una imani hasa na ndugu zako waislamu lazma machoz yatoke
Mimi naomba namba zenu na wapi Unguja au Pemba mnapatikana
JazakaAllah lkheir
alfatah hakika ni chaguo langu Allah ibaraki Alfatah wabariki viongozi na wafanya kazi wake
Subhannallah, Namuomba Allah ajaalie kupatikana zaidi wasamaria wema na kuweza kuwapa (kutoa) michango kw familia (wazee w icho kijiji uko Pemba) inasikitisha sana wazee ni watu wazima sana na wengine wagonjwa hawawez tena hata kuenda shamban kulima na ukiangalia kama icho kipindi cha ramadhan na wanakwmbia hawajui hata watafutari nini manake hawana hata uwezo w kujinunulia chakula.
Na nina swali kwa AL FATAH TV ONLINE kuusu izo namba za sim na majina ya watu waliokuwepo sehem tofauti kama UK, MAREKANI, CANADA, DUBAI, OMAN, N.K ni wasimamizi w kushughulikia michango/misaada ya watu watakaoguswa na kutaka kuchangia chochote walichojaalia, naomba mnijuze manake ss wengin tunataka kuchangia ila tuko mbali na nchi yetu tuliozaliwa Zanzibar na jee ninaweza kutumia njia ya Money Gram.?
Allahuakbar kaka Rashid allah atakulipa kutokana na juhudi zako katika uislam na waislam kwa jumla hakika nimfano wakuigwa kaka allah akujaze nguvu juu ya kuwasaidia waislam wengine amin ya rabbi
Wallah cna uwezo wakutoa ila kaka Rashid kama unahitaji msaidiz wakusabaza izo sadakat katika jamii wallah nipo mm nitakuja kukusaidia kwa ajili yaallah na din yetu sitohitaji lolote kutoka kwako ila nitatumia nguvu zangu alizo nipa allah kukisaidia insha allah
allah akbar
Seif Khatib Jamani wko wapi watoaji wale ambao wanajinasibu kuwa niwaislam mbona waislam wenzetu tunawaacha wanadhalilika tunaendeleza kutoa sehemu ambazo hazina manfa Jamani hebu tutafuteni radhi za Allah tupate mafanikio kwa allah
😭😭😭😭😭😭alfatah is the all foundation that inspared me nipo n imani nami siku itwayo moja atanijalie nami niwe mionginoni mwa kujitolea kwa ajili ya Allah kaka mungu akuzidishie kher n akuneemeshee nema kubwa n za kher ndani yake kila siku ninapotazama alfatah machozi unitoka usichoke kaka upo n makao mema kesho jasho n macho unayo yamwaga leo kesho mble ya Allah itakua nuru kwako ameen ameen ameen. Ya Allah nami nipee muongozo na huruma wa kujali wenzangu wa tabaka langu . Na uwape ufumbuzi wale walo navyo wajali wasokua navyo ameen
Amin inshallah
Subhanah Allah Allah! Allah Akbarr! Allahuma Amina ya Raab ya Mujib duwah 🤲🏻
Mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah 🙏🙏🙏🙏
Mtangazaji walia cc tufanye nn 😭😭😭wallh machoz yamenitoka kwa mm nasema Familiya yangu Ina shida kumbe Kuna watu wanashida kuliko Familiya yangu wallh 😭😭😭Daah ht cjui niseme nn kwa kweli ila mungu ndio anajua 😭😭
Dahh Allah azidi kuwatiya nuru na uwezo muzidi kufanya kazi kwa ajili ya Allah...na sisi Allah atuwe uwezo na nguvu wakusaidiya kwa kidog atakachotujaaliya 🙏🏻🙏🏻😥😥
Allah azidi kukupa moyowaiman tuombee nass tupate tuwasaidie wasojiweza
Allah awabarik alfath kwa jitihada yenu na wasiotoa allah awape moyo wa kutoa inshaallah
Inauma sana wallah.Shekh Hii inasaidia umetuhamasisha
May Allah guide this channel in its daily endeavours insha'Allah.
Wallah Allah ndo anajua jinsi nnavoumia nawaza kama wanapata swadaka kwa ramadhan jee sku za kawaida wanaish vipi wawakilishi Madiwan wabunge wako wapi ?? Allah atawahukumu kwa kila chozi la mnyonge
Uongozi ni dhima kubwa Sana Kwa huu umasikini wa hawa wazee hakuna kiongozi kuona pepo
Allah tupe khidaya ummat Muhammad swalallahu alaihi wasalaam
Alhamdulillah alhamdulillah thumma alhamsulillah ndio mana mim sipend kumwaga chakula kikibakia naweka kwenye fridge sik yapil tunapasha moto tu. Jmn jmn mola wetu tufanyie wepes waj wako utuwezesh tuwez kutoa kwa ajil yako👐👐👐
SubhnaAllah. Imenitouch Sana Sana. Allah akulipeni kwa kila step. Na sie atupe moyo wakutoa
Subhanallah nalia kwa uchungu yarabi mola wangu
Allah akupeni nguvu kwa kuwakumbuka Waze wetu Amin
alhamdulillah Allah awalipe kher inshaallah
Allahuakbar kuna watu wapo chini sana kimaisha wanahitaj misaada kwakwl Allah tupe wepes
Mashallah mungu akupe huohuo moyo inshallah na akufanyie wepesi inshallah katika kila hatua unayoifanya ameen inshallah mwenyezimngu akupe afya na umri na swiha njema inshallah ameen thuma ameen inshallah
mungu awazidishie alfatah
Allah tujaliye tuweze kuwasaidiya wenzetu
Mashallah Allah akuzidishiye imani na azidi kukubariki na akulipe pepo
Mungu awalipe jama ni
Allah awazidishie kheri wana alfatah
😭😭😭😭
Subha Allah
Allah awawekeye wepesi mwe woteeee
Wallah mung akulipeni kheri kwa mnachokifanya awape moyo na wengne wa kuwasaidia inaskitisha sana
ALLAHIM seni ozun komey ol butun mezlum qullarina.Amin
Subahaana llah allah awape kila kheri inshaallah
Allah tupe uwezo na iman yakutoa misaada kwa ajili yko
Laa ilaha ilallah. Allah awalipe mema duniani na kesho Akhera
ALLAH TUPE WINGI WA IMANI KWA WENZETU WALIO WANYONGE🤲🤲🤲🇰🇪
Alfatah Allah awaajaalie kila kher wallahi inaumiza hasa sisi tunachopata tusemeni Alhamdulillah wazee wetu wanapata tabu .
naunga mkono sana kwa sadaka hizi munazo toa mashallah, lakini solution ni kuekeza katika miradi ya kutenegeneza mazingira ambayo yatawapatia watu kipato ili iwe endelevu , mawzo yangu tu .
SubhanaAllah 😭😭😭😭 Alhamdulillah
Jamani hawa jamani mpaka njia muwatengeze ndio.kuwe rahisi watu kuja fabzeni bidi njia barabara itengezwe ndio watu rahisi kuwafikia na misaada zao mungu awaonekanie yarabb
Dahh kwa kweli nawapongeza sana Allah atawalipa natamn na ss wenye mioyo ya kuchangia tuchangie kupitia kwenu tunaimn na nyinyi sadaka zetu zitafika kwa walengwa
Nimelia kweli 😭😭😭😭😭😭
Allaha awalipe kheri kwa mazito mnayo pitia.
Hii ndo channel nzuri sio hizo nyingine udaku tuu ndo mwingi
Allaahulmus'taan,Alllaaah akulipeni kher, Ila viongozi wamche Allaah
Alhamdulillah. ...yarabi atupe wepesi sisi sote nshaaAllah. .katika maisha yetu. .
Subhannallah! Allah amijaze kheri inshaalla,
Allah awabariki
Yarab Yarab yarab
Allah akuzidishien iman ya kutoa na cc pia roho zetu zenye kutu azisafishe tuwe na moyo wa kua insha Allah kuto ni moyo wala sio utajir wabilah taufq
yallah walipe kheir na Baraka zaid kutowa sadaka zao katika njema iliyo nzuri
في ميزان حسناتك أخي كل هذا العمل عند الله غير غافل عنه
يرحم الله موتاكم و يشفي مرضاكم وبارك الله فيك
لنا زيارة أن شاء الله
والله انك ابكيتا بما شاهدناه فنحن في عمان نشعر بكم ونسأل الله ان يسهل لنا المجئ ثانية لزنجبار عامة و بيمبا خاصة .
Baarakallah fiyk
IshaAllah mwenyezmungu atulipe heri kwa sote
Wallah inaliza ukitowa unakuwa unafuraha
Subhanallah 🇰🇪
In shaa Allah al-fatah tv keep on
Allah atupe riziki na tuwe miongoni mwa wenye kutoa inshaallah
Aamin
Aamin
Allah akuzidishieni inshaallah .yarabi tustrii duniani na akhera ameen.
yaallah wape imani iliyonzuri wenye kutowa katika njia ya allah ili kuingia ktika firdaus ya allah
Mashaallah allah awalipe kila lakher mana allah ndio mlipa wa yote allah awalipe ujira mwema amin waallah inauma sana mimi kama kijana allah atujalie rizki halal tuje kujumuika nanyi kwa kile tulicho kipata kwa uwezo wa allah
Allah akupe zaidi na zaidi shekh kiukwwli Unajitahidi sana
Ah sante kwa serekali yetu tukufu kwa kuwazisha suala LA pensheni jaamii ...ushaur fungu liengezwe ili lipate kuwatosheleza wazee wetu In shaa Allah....
Allah atawalipa ujira mwema in shaa Allah
Amin,my Allah bless you
Allah atawalipa mema yenu na baraka na allah awape umri na uzima na mwakani muwakumbuke tena ndugu zetu yaraaaab 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Maasha Allah..... mngu akumaarikini...insha Allah
😭😭😭😭🤲Alhamdullilah
Subuhanallah nimetokwa na chozi waalah kaka Rashid nakutakia kila lenye Kher INNSHAALLAH
Mungu akubari sana ndugu yangu
Alhamdulillah alla kul neemah
Yaa Allah sahal yaa rabb
Kwa kweli kabisa mwenyezi mungu awalipe mema alfatah t v
Mashaaallh
Allah huakbar Mungu awapeheri mzidi kutoa
May Allah reward you brother
Subhana llah jamani matajiri wa kiislamu tutakwenda kuulizwa jamani wenzetu wana Hali mbaya na ngumu wanahitaji kusaidiwa
sio matajiri tu hata maskini aliejuu ya hawao anapaswa kusaidia alio chini yake
Allah name anajakie kher Niya fanye haya
Shekh Rashid wewe mola kashakuona jitihada zako wewe nimtumish waumma sisi 😢😢😢😢ndo wakulia zaidi😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Kweli
Maashalah tabarakallah
Allah azidishe nguvu zenu
Kweli hali ni ngumu mno mumekutana nazo
Sheikh rashid polen sana na majukumu, Allah awalipe kheir. Hii ni unguja sehemu gani?
Allah akupen zaid
Mashaallah yaan km kwelii tungekuwaa tunatowa zk naa sadakaa basii naamini ufukaraa usingekuwepo
Ni kweli
Mashallah
Hakika machozi yananitoka Allah tudumishe katika ibada