WAZEE WALIO POTEZA FURAHA KWA MIAKA SASA YAREJEA.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 май 2020
  • Kutoka AL FATAH CHARTABLE ASSOCIATION.
    Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
    #AlfatahTvOnline
    #AlfatahCharitableAssociation
    #ZANZIBAR

Комментарии • 186

  • @mwanakombopongwe8244
    @mwanakombopongwe8244 4 года назад +10

    MASHALLAH MASHALLAH MASHALLAH JAZAKALLAH KHEIR INSHALLAH MUNGU AWAONGOZE INSHALLAH

  • @sakinat2527
    @sakinat2527 4 года назад +4

    Maa shaa Allah, alfatah tv na sheikh Rashid Allah awalipe mema ya duniani na akhera kwa jitihada zenu

  • @dottnatta310
    @dottnatta310 4 года назад +8

    Subuhanna Allah 😭
    Yaa Rabb mjaariye uwezo niweze kusaidia wasojiweza maskin 😭😭

    • @ahmedzahor2975
      @ahmedzahor2975 3 года назад

      Subhanallah halafu inatokea viongozi wanaiba Fedha za Umma wanafuja wananchi hali zao km hizo Allahu Akbar

  • @khadijaangore4408
    @khadijaangore4408 4 года назад +9

    Masha Allah . Baraka Allah. Alhamdulillah Allah atujaalie imaan ya kutoa kwa ajili ya Allah.

    • @ashatasaidi6481
      @ashatasaidi6481 4 года назад

      Ameen, Ameen, Ameen ya Rabbil Alameen

    • @halimagolo4520
      @halimagolo4520 4 года назад +1

      MashaAllah Allahu Akbar ,may Allah rewards all of you and to the entire muslims we will be testified befor Allah so let start supporting our brothers and sisters for the good work they're doing in sha Allah

    • @sakinat2527
      @sakinat2527 4 года назад

      Ameen yaa Rabb

    • @dab8859
      @dab8859 4 года назад

      Amiin Thuma Amin

  • @fdhjffdhjfsjdjfjfi9477
    @fdhjffdhjfsjdjfjfi9477 4 года назад +1

    Mungu awajaalie musonge mbele Alfatah TV online kwakweli mubarikiwe wallah na mungu ndie atakaewalipa kz kubwa munayoifanya

  • @swaumukhalfani4967
    @swaumukhalfani4967 2 года назад +1

    Maa shaa Allah , Alhamdulillah ,Allah awazidishie Kila lenye kheri In Shaa Allah

  • @chunaamina8719
    @chunaamina8719 4 года назад +1

    Alhamdullilah mwana Adam waeza kujiangalia una matatizo, lkn kupitia hii video kumshukuru Allah n jambo bora sana sababu kuna watu wahitaji msaaada kweli, Allah tuwezeshe utupe imani ya kutoa kuliko kupokea🤲🙏

  • @wahidashabaz5982
    @wahidashabaz5982 4 года назад +1

    Msshallah mashallah Rashid Allah atakulipa wewe na wenzako katika harakati izi zakusaidia umma wa kislam inshallah

  • @allycanavaro7821
    @allycanavaro7821 2 года назад

    Mungu akulipe ka Rashid nakupenda kwa jili ya Allah kwa kazi unayo ifanya nikitaka kutoka na machozi imeniuma sana namuomba mwenyewe mungu anipe uweze ili nije niwasaidie na mm hawa wazee wetu nusra nikitaka kulia daa inaumaa sana yani

  • @nasranassor6796
    @nasranassor6796 4 года назад +2

    Maasha,Allah
    Inshaa,Allah mwenyezimungu aongeze baraka zake wajengewe japo nyumba ndogo insha,Allah.

  • @user-os9ul5iu5y
    @user-os9ul5iu5y 4 года назад +4

    Subhanallah Allah awarudishiye muriko towa na awape mubahengeye nyumba

  • @zeanasalem8678
    @zeanasalem8678 4 года назад +1

    Allah Atujalie khtuwa tuweze kushikamana waislam sote tuweze kuwajenhea waze hawa Amin na nyy Wakilishi wetu Alfatah Allah awape siha Afya na Iman muzidi kitumikia umma Amin yarabi

  • @rahmahakim6285
    @rahmahakim6285 4 года назад +2

    Subhanallah kuna watu wanahitaji msaada 😭😭

  • @user-ky6tk4ul4o
    @user-ky6tk4ul4o 4 года назад +2

    Mashaallah Allah akulipe pepo ya Firdaous l aalaa

  • @bahlaoman6467
    @bahlaoman6467 2 года назад

    Nakumbuka Sana ustadh Rashid Salim Muhammad Uliwahi kuja school yetu ya ole ulikuja kutoa daawa wakati nilikuwa nasoma from One second kipindi hiko nimefarijika kukuona nakaz nzur unayoifanya Allah azidi kukupa Afya njema Nakusaidia jamii Allah Awabarik na timu yako mzima japo imeniliza Sana 😭😭

  • @limajblessed7132
    @limajblessed7132 4 года назад

    Alhamdulillah am 24 yrs but nimejifunza mengi kutokea kwa hii video

  • @khuwaylidsalum6697
    @khuwaylidsalum6697 4 года назад +2

    Baaraqallahu Fiikum. Amin

  • @yussufmohd6707
    @yussufmohd6707 3 года назад

    Al fatah tv online hii kwel ni dira ya umma Allah kaumba maskin na matajir ili tupate kusaidiana kwa kwel watu wanaojitolea kuwasaidia maskini Allah ndo mwenye uwezo wa kuwalipa sis tunaomba duwa

  • @helamamohd7318
    @helamamohd7318 4 года назад +1

    Mashaallah Allah awaongoze na kuwa mioyo hiyo hiyo tuzidi kusaidiana in shaa Allah , malipo kwa mola wako

  • @user-ht8zu6op4o
    @user-ht8zu6op4o 4 года назад +1

    Una moyo wakipekee sanaa kakangu Allah akuzidishie mafanikio na barkah akupenuru maishani mwako amiin 🤲 mashallah sio utazipata radhi zao tayari unazo walai 😭😭😭😭 unanigusa sana kwani na penda sana kusaidia maskini kama hao ilauwezo sina lkn ninapo ona watu km nyinyi munaji tolea najihisi furaha naamani nanaamini ipo siku py mm nitaeza inshallah 🤲 😭😭😭😭

  • @abedamohamed2336
    @abedamohamed2336 4 года назад +1

    Mashallha mungu azidi kukutiya nguvu kaka angu ili uwapambaniye wazee wetu kwa hakiki mola atakulipa ujira wako inshalla

    • @ashatasaidi6481
      @ashatasaidi6481 4 года назад +1

      Ameen. Na msiwasikilize wenye kusema kuwa haifai mambo haya kuonyeshwa kwenye mitandao. Jibu ni kuwa inafaa SANA. Maanake, namna gani utanigusa mimi na mwislamu mwenzangu ? Nitajuaje hali ya mababu na mabibi zetu walioko vijijini? Nitajuaje mahitaji yao na namna ya kuwasaidia. Kwa hivyo hongereni sana sana Al-Fatah , endeleeni kufanya hivyo, mnayo support na dua zetu, na Allah Jalla wa Alaa, Subhanahu wa Taala anaona nia zenyu na atawalipa malipo makubwa duniani na kesho akhera. Ameen. Ameen. Ameen

  • @aishaissa6028
    @aishaissa6028 4 года назад +1

    Subahanallah ma shaa ALLAH

  • @ratiffahahmadi3434
    @ratiffahahmadi3434 4 года назад

    MashaAllah jazakaAllah lkheir

  • @chaumaraali8201
    @chaumaraali8201 4 года назад +1

    Masha Allah allh atufanyie wepes tuwaze kusaidi jamii

  • @omarsaid2038
    @omarsaid2038 4 года назад

    jazakallah kheir

  • @khamisame5703
    @khamisame5703 2 года назад

    Maashaallah maashaallah allah aijalie hii jumuiya izidi kutembea vijijini

  • @zamuhassan3046
    @zamuhassan3046 4 года назад

    Vizuri snaaaa my brother mwenyezi mungu akuzidishie inshaallah

  • @jsabood
    @jsabood 2 года назад

    Sheikh mtume SAW anasema haikupunguwa mali kwa sadaka. Mwenyezi mungu atawalipa wote waliotowa pesa, walifikisha sadaka na vyombo nilivyo wezesha jambo hilo.

  • @nadyasalim7956
    @nadyasalim7956 4 года назад

    Mashallah alfatah allah awazidishie imani

  • @omkaswidasanamashaallahan8770
    @omkaswidasanamashaallahan8770 4 года назад

    Mashaa llah mngu awajalie inshaallah shekhe wetu

  • @zainabissa7851
    @zainabissa7851 4 года назад +1

    Alhamdulillah ishallah tutajitahidi kwa umojaa wetu waislamu wote tunalonacho na tusionachooo tuweze kusaidiana kwa ajili ya allah

  • @fatmasalima3847
    @fatmasalima3847 4 года назад +1

    Mash Allah God bless

  • @sudiomar7020
    @sudiomar7020 4 года назад

    ماشاءاللہ mungu atawalipa jumuiya ya alfatah tv

  • @rayhanashraf2943
    @rayhanashraf2943 3 года назад

    Amina inshallha

  • @nassormziray5522
    @nassormziray5522 3 года назад

    Inshallah Allah atawajaalia kheir alfatah

  • @Da-cr6ow
    @Da-cr6ow 4 года назад

    Masha Allah Allah awalipe kheir Insha Allah kwa kila alie toa Allah awazidishie

  • @fatmasalima3847
    @fatmasalima3847 4 года назад +1

    Ameen

  • @binthassancollection.6308
    @binthassancollection.6308 4 года назад +1

    Masha Allah tabaraka Allah

  • @majomaali2340
    @majomaali2340 4 года назад

    Masha allh

  • @salhajeizan4012
    @salhajeizan4012 4 года назад

    Maashaallah Alhamdulillah

  • @ndayushimiyeskitu1032
    @ndayushimiyeskitu1032 4 года назад +1

    Mansha Allah ❤️❤️❤️

  • @issagawawa4771
    @issagawawa4771 4 года назад

    Mwenyezi mungu awabariki nyote mloguswa na jambo hili

  • @aishasaid5702
    @aishasaid5702 4 года назад

    Allahumma aamiin

  • @ancolee2129
    @ancolee2129 4 года назад +1

    Ama kweli ukifanya kazi ya mungu uwe mkweli kwa kila unacho kifnya anakiri kuwa gari wameazimwa lkn ingekuwa unafnya kaz ya shetain angesema la kwake mungu tujalie tuwe wakweli

  • @aminakunja277
    @aminakunja277 2 года назад

    Mashalaah Allah akuzidie mno yani mpaka nimelia walah

  • @adilhabib8988
    @adilhabib8988 3 года назад

    Alhamdullah maa shaa allah vizur sana lkn mnge wajengea jpo vyumba 2 vya miti na bati

  • @oroboranatube5426
    @oroboranatube5426 4 года назад

    Masha allaha

  • @annagabriel6830
    @annagabriel6830 4 года назад +1

    Masha a Allah, Rashid Allah akupe umri mrefu.

    • @sulemohd4812
      @sulemohd4812 3 года назад

      Jmni wenyeuwezo atanyumbayavyumba viwili wajengewe

  • @miracleslike3775
    @miracleslike3775 4 года назад

    Allah ibaraki Alfatah wabariki viongozi wake

  • @firdowsahassan4350
    @firdowsahassan4350 4 года назад +1

    May Allah bless you bro

  • @ummoislam4832
    @ummoislam4832 4 года назад

    Mashaallah Allah Awajalie moyo huo huo muzidi kuwasaidia na nyumba pia muwajengee

  • @hajjomar2301
    @hajjomar2301 4 года назад +1

    Alhamdulillah

  • @ashasalmin144
    @ashasalmin144 4 года назад +1

    Amiin mungu atakujaalieni muende salama na murudi salama Ishaallah

  • @fayeezabdallah2217
    @fayeezabdallah2217 Год назад

    subhnaAllah manen mazito ukisika nimekufa nakuomba uje kunizika 😭😭😭😭😭

  • @najmagudeh203
    @najmagudeh203 4 года назад

    Inshaallah yarabby

  • @nailaomar4810
    @nailaomar4810 4 года назад

    Subhanaallah tuishukuru neema ya Allah watu wana shida duhhh alhamdulilah

  • @fadhilibrahimovic4140
    @fadhilibrahimovic4140 4 года назад

    Mashallah Allah atazidi kuwafanyiya wepesi inshallah

  • @khamisali9907
    @khamisali9907 Год назад

    Subhanallah

  • @munakwmpw1971
    @munakwmpw1971 4 года назад

    Subhanallah Allahu akbar
    Namuomba Allah anijalie mume Mwenye dini ajitole kuwasaidia masikini kama huyu Kaka
    Allah atupe moyo kwa kile kidogo tulicho jaliwa basi tuwasaidie wazee 😭😭
    Allah awalipe her alfata tivi wazee wetu ndio baba zetu aijalishi atukuzaliwa nao Lakn ni baba zetu Allah awajalie wapate msadaa na Makazi

  • @shuweikhasalum9836
    @shuweikhasalum9836 2 месяца назад

    😢😢dah Sie tunalal kwenye godoro Toka tunazaliwa Kuna wezetu hawajawah kulalia godoro had umr uwo dah inaskitisha xna xna wallah Allah awape mioyo wenye uwezo wa kuwasaidia ndug zetu etlist wapat sehem nzur ya kujistir😭😭😭

  • @user-es9qs9vs8y
    @user-es9qs9vs8y 4 года назад

    Maashaallah

  • @omarramadhani767
    @omarramadhani767 4 года назад

    Amina

  • @kautharmbarak8667
    @kautharmbarak8667 3 года назад

    Allah awalipe kila la kheri duniani na Akhera

  • @ZainabZainab-tv9ir
    @ZainabZainab-tv9ir 4 года назад

    Mashaallah

  • @salmasalim6055
    @salmasalim6055 4 года назад

    Oh mashallah 🤲

  • @zaidmuhammed3264
    @zaidmuhammed3264 3 года назад

    Inshaallah Allah atawalipa pepo Amiyn

  • @zou7470
    @zou7470 4 года назад

    Mansh'allah allah awalipe kila la kher 🙏🙏🙏

  • @zuberikamote2078
    @zuberikamote2078 4 года назад

    Mungu nijalie kipato kwn ndoto yngu tangu mdogo nikusaidia wasiojiwezaa ili na Mimi nisaidie wtu wenye matatizo mbalimbali😭😭😭😭😭😭😭🕋🕌😭😭

  • @chaumaraali8201
    @chaumaraali8201 4 года назад

    good travel sheikh

  • @mohdtalib4089
    @mohdtalib4089 4 года назад

    Mashallha

  • @ahmedalihemedalismaili8190
    @ahmedalihemedalismaili8190 4 года назад +1

    Mtaa gani huu zanzibar Asante

  • @iddirisaalichizuyomuachena6480
    @iddirisaalichizuyomuachena6480 4 года назад

    Mashallh kwauwezo wamuungu akuzidishie

  • @inabikorwaneema8815
    @inabikorwaneema8815 4 года назад

    Yaa salam

  • @salmasalim6055
    @salmasalim6055 4 года назад

    Mashallah

  • @nagibsalim9120
    @nagibsalim9120 4 года назад

    Mashaallah mungu awazidishie na awaongezee kwa wale wanao toa

  • @ahlanwasahlan373
    @ahlanwasahlan373 3 года назад

    ALLAH AWALIPE KHYR KUBWA

  • @nihifadhiabdul5211
    @nihifadhiabdul5211 4 года назад

    Mashallah ❤ barakallahu lakuma

  • @kimendehemed9664
    @kimendehemed9664 3 года назад

    Allah atawalipa kheir amin

  • @hakizimanaomar8992
    @hakizimanaomar8992 3 года назад

    Allah akurip kheri

  • @katibatanzania3089
    @katibatanzania3089 4 года назад

    Nyny watowaji mwenyezi mungu atazidi kumipa inshaallwaa

  • @oscarezekiel1826
    @oscarezekiel1826 4 года назад

    Subhanallah 😭

  • @ntakirutimanaabdulazizi7778
    @ntakirutimanaabdulazizi7778 4 года назад

    Ustadh Rashid Allah akulip pepo shiekh

  • @jjdjgivv2118
    @jjdjgivv2118 4 года назад +1

    Allah awabark walotoa sadaka zao na nyny pia mlihusik nyote

  • @rukiasaid679
    @rukiasaid679 4 года назад

    Mashallah Alfatah TV online Allah awabarik sana kwa kile mnachokifanya Allah atawalipa kheri

  • @fhvbvgkvgc8073
    @fhvbvgkvgc8073 4 года назад

    Allah Qareem.

  • @suleimaniaisha6869
    @suleimaniaisha6869 3 года назад

    mashaallah Allah awalipe kila lakheri

  • @aishasaid5702
    @aishasaid5702 4 года назад

    Subhanallah inasikitisha sana

  • @saidiasdd5043
    @saidiasdd5043 4 года назад

    Alaah awalipeni nduguyangu🙏🙏🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲

  • @khalimudodoma6045
    @khalimudodoma6045 4 года назад

    hivi nyinyi waislamu wa Zanzibar niwanafiki sana pia hamuna umoja Zanzibar mutapue mutatiwa moto na muungu kwa unafiki wenu. tulitegemea Zanzibar nikituo cha kiisilamu kumbe nikituo cha wanafiki mumewafunga mashehe wemu tanganyika ili mufanye yenu sio .wacheni unafiki wazamzibari

  • @nassorfundi3475
    @nassorfundi3475 3 года назад

    Allah akupe pepo

  • @ancolee2129
    @ancolee2129 4 года назад +2

    Mungu awalipe ujira uco kwisha kwn kz mnayofanya co ndogo hapa duniani na kxho akhera

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 4 года назад

    Nyie matajir mana milion mbili to bas unaweza kumjengea banda la matofali chumba kimoja ukumbi jiko choo. Da mtihani kweli

  • @ibrahimsheha215
    @ibrahimsheha215 4 года назад

    Naukisikiya nimekufa ujeunizike nakuomba allahu akbar subhaanallaah

  • @rukayyarashid3840
    @rukayyarashid3840 3 года назад

    😥😢😭

  • @mwanaishahussein2635
    @mwanaishahussein2635 4 года назад

    AMIIN YARAAB🤲🤲🤲🇰🇪

  • @mudvan2410
    @mudvan2410 4 года назад

    Mashaallah mungu atakulipen kila la kheri

  • @aminaalabri4170
    @aminaalabri4170 Год назад

    Dah nimelia wallah 😭😭

  • @nagibsalim9120
    @nagibsalim9120 4 года назад

    Inasikitisha hadi machozi yani tiririka mungu watolee njia wasitirike wazee kama hawq

  • @mwatimafaki6208
    @mwatimafaki6208 4 года назад

    Allah awaongeoze wapo sehemu gani

  • @zuberikamote2078
    @zuberikamote2078 4 года назад

    Wanunulieni hata vitanda jmniiiiiii😭😭😭😭😭😭