WAZEE WALIO POTEZA FURAHA KWA MIAKA SASA YAREJEA.
HTML-код
- Опубликовано: 14 май 2020
- Kutoka AL FATAH CHARTABLE ASSOCIATION.
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline
#AlfatahCharitableAssociation
#ZANZIBAR
MASHALLAH MASHALLAH MASHALLAH JAZAKALLAH KHEIR INSHALLAH MUNGU AWAONGOZE INSHALLAH
Asalam aleikum naomba namba tafadhali
Maa shaa Allah, alfatah tv na sheikh Rashid Allah awalipe mema ya duniani na akhera kwa jitihada zenu
Subuhanna Allah 😭
Yaa Rabb mjaariye uwezo niweze kusaidia wasojiweza maskin 😭😭
Subhanallah halafu inatokea viongozi wanaiba Fedha za Umma wanafuja wananchi hali zao km hizo Allahu Akbar
Masha Allah . Baraka Allah. Alhamdulillah Allah atujaalie imaan ya kutoa kwa ajili ya Allah.
Ameen, Ameen, Ameen ya Rabbil Alameen
MashaAllah Allahu Akbar ,may Allah rewards all of you and to the entire muslims we will be testified befor Allah so let start supporting our brothers and sisters for the good work they're doing in sha Allah
Ameen yaa Rabb
Amiin Thuma Amin
Mungu awajaalie musonge mbele Alfatah TV online kwakweli mubarikiwe wallah na mungu ndie atakaewalipa kz kubwa munayoifanya
Maa shaa Allah , Alhamdulillah ,Allah awazidishie Kila lenye kheri In Shaa Allah
Alhamdullilah mwana Adam waeza kujiangalia una matatizo, lkn kupitia hii video kumshukuru Allah n jambo bora sana sababu kuna watu wahitaji msaaada kweli, Allah tuwezeshe utupe imani ya kutoa kuliko kupokea🤲🙏
Msshallah mashallah Rashid Allah atakulipa wewe na wenzako katika harakati izi zakusaidia umma wa kislam inshallah
Mungu akulipe ka Rashid nakupenda kwa jili ya Allah kwa kazi unayo ifanya nikitaka kutoka na machozi imeniuma sana namuomba mwenyewe mungu anipe uweze ili nije niwasaidie na mm hawa wazee wetu nusra nikitaka kulia daa inaumaa sana yani
Maasha,Allah
Inshaa,Allah mwenyezimungu aongeze baraka zake wajengewe japo nyumba ndogo insha,Allah.
Subhanallah Allah awarudishiye muriko towa na awape mubahengeye nyumba
Allah Atujalie khtuwa tuweze kushikamana waislam sote tuweze kuwajenhea waze hawa Amin na nyy Wakilishi wetu Alfatah Allah awape siha Afya na Iman muzidi kitumikia umma Amin yarabi
Subhanallah kuna watu wanahitaji msaada 😭😭
Mashaallah Allah akulipe pepo ya Firdaous l aalaa
Nakumbuka Sana ustadh Rashid Salim Muhammad Uliwahi kuja school yetu ya ole ulikuja kutoa daawa wakati nilikuwa nasoma from One second kipindi hiko nimefarijika kukuona nakaz nzur unayoifanya Allah azidi kukupa Afya njema Nakusaidia jamii Allah Awabarik na timu yako mzima japo imeniliza Sana 😭😭
Alhamdulillah am 24 yrs but nimejifunza mengi kutokea kwa hii video
Baaraqallahu Fiikum. Amin
Al fatah tv online hii kwel ni dira ya umma Allah kaumba maskin na matajir ili tupate kusaidiana kwa kwel watu wanaojitolea kuwasaidia maskini Allah ndo mwenye uwezo wa kuwalipa sis tunaomba duwa
Mashaallah Allah awaongoze na kuwa mioyo hiyo hiyo tuzidi kusaidiana in shaa Allah , malipo kwa mola wako
Una moyo wakipekee sanaa kakangu Allah akuzidishie mafanikio na barkah akupenuru maishani mwako amiin 🤲 mashallah sio utazipata radhi zao tayari unazo walai 😭😭😭😭 unanigusa sana kwani na penda sana kusaidia maskini kama hao ilauwezo sina lkn ninapo ona watu km nyinyi munaji tolea najihisi furaha naamani nanaamini ipo siku py mm nitaeza inshallah 🤲 😭😭😭😭
🤲
Mashallha mungu azidi kukutiya nguvu kaka angu ili uwapambaniye wazee wetu kwa hakiki mola atakulipa ujira wako inshalla
Ameen. Na msiwasikilize wenye kusema kuwa haifai mambo haya kuonyeshwa kwenye mitandao. Jibu ni kuwa inafaa SANA. Maanake, namna gani utanigusa mimi na mwislamu mwenzangu ? Nitajuaje hali ya mababu na mabibi zetu walioko vijijini? Nitajuaje mahitaji yao na namna ya kuwasaidia. Kwa hivyo hongereni sana sana Al-Fatah , endeleeni kufanya hivyo, mnayo support na dua zetu, na Allah Jalla wa Alaa, Subhanahu wa Taala anaona nia zenyu na atawalipa malipo makubwa duniani na kesho akhera. Ameen. Ameen. Ameen
Subahanallah ma shaa ALLAH
MashaAllah jazakaAllah lkheir
Masha Allah allh atufanyie wepes tuwaze kusaidi jamii
jazakallah kheir
Maashaallah maashaallah allah aijalie hii jumuiya izidi kutembea vijijini
Vizuri snaaaa my brother mwenyezi mungu akuzidishie inshaallah
Sheikh mtume SAW anasema haikupunguwa mali kwa sadaka. Mwenyezi mungu atawalipa wote waliotowa pesa, walifikisha sadaka na vyombo nilivyo wezesha jambo hilo.
Mashallah alfatah allah awazidishie imani
Mashaa llah mngu awajalie inshaallah shekhe wetu
Alhamdulillah ishallah tutajitahidi kwa umojaa wetu waislamu wote tunalonacho na tusionachooo tuweze kusaidiana kwa ajili ya allah
Ameen
Mash Allah God bless
ماشاءاللہ mungu atawalipa jumuiya ya alfatah tv
Amina inshallha
Inshallah Allah atawajaalia kheir alfatah
Masha Allah Allah awalipe kheir Insha Allah kwa kila alie toa Allah awazidishie
Ameen
Masha Allah tabaraka Allah
Masha allh
Maashaallah Alhamdulillah
Mansha Allah ❤️❤️❤️
Mwenyezi mungu awabariki nyote mloguswa na jambo hili
Allahumma aamiin
Ama kweli ukifanya kazi ya mungu uwe mkweli kwa kila unacho kifnya anakiri kuwa gari wameazimwa lkn ingekuwa unafnya kaz ya shetain angesema la kwake mungu tujalie tuwe wakweli
Mashalaah Allah akuzidie mno yani mpaka nimelia walah
Alhamdullah maa shaa allah vizur sana lkn mnge wajengea jpo vyumba 2 vya miti na bati
Masha allaha
Masha a Allah, Rashid Allah akupe umri mrefu.
Jmni wenyeuwezo atanyumbayavyumba viwili wajengewe
Allah ibaraki Alfatah wabariki viongozi wake
May Allah bless you bro
Mashaallah Allah Awajalie moyo huo huo muzidi kuwasaidia na nyumba pia muwajengee
Alhamdulillah
Amiin mungu atakujaalieni muende salama na murudi salama Ishaallah
Ameen yaa Rabbil Alameen
subhnaAllah manen mazito ukisika nimekufa nakuomba uje kunizika 😭😭😭😭😭
Inshaallah yarabby
Subhanaallah tuishukuru neema ya Allah watu wana shida duhhh alhamdulilah
Mashallah Allah atazidi kuwafanyiya wepesi inshallah
Subhanallah
Subhanallah Allahu akbar
Namuomba Allah anijalie mume Mwenye dini ajitole kuwasaidia masikini kama huyu Kaka
Allah atupe moyo kwa kile kidogo tulicho jaliwa basi tuwasaidie wazee 😭😭
Allah awalipe her alfata tivi wazee wetu ndio baba zetu aijalishi atukuzaliwa nao Lakn ni baba zetu Allah awajalie wapate msadaa na Makazi
😢😢dah Sie tunalal kwenye godoro Toka tunazaliwa Kuna wezetu hawajawah kulalia godoro had umr uwo dah inaskitisha xna xna wallah Allah awape mioyo wenye uwezo wa kuwasaidia ndug zetu etlist wapat sehem nzur ya kujistir😭😭😭
Maashaallah
Amina
Allah awalipe kila la kheri duniani na Akhera
Mashaallah
Oh mashallah 🤲
Inshaallah Allah atawalipa pepo Amiyn
Mansh'allah allah awalipe kila la kher 🙏🙏🙏
Mungu nijalie kipato kwn ndoto yngu tangu mdogo nikusaidia wasiojiwezaa ili na Mimi nisaidie wtu wenye matatizo mbalimbali😭😭😭😭😭😭😭🕋🕌😭😭
🤲
good travel sheikh
Mashallha
Mtaa gani huu zanzibar Asante
Matamwe
Mashallh kwauwezo wamuungu akuzidishie
Yaa salam
Mashallah
Mashaallah mungu awazidishie na awaongezee kwa wale wanao toa
ALLAH AWALIPE KHYR KUBWA
Mashallah ❤ barakallahu lakuma
Masha Allah Allah akulipe
Allah atawalipa kheir amin
Allah akurip kheri
Nyny watowaji mwenyezi mungu atazidi kumipa inshaallwaa
Subhanallah 😭
Ustadh Rashid Allah akulip pepo shiekh
Allah awabark walotoa sadaka zao na nyny pia mlihusik nyote
Mashallah Alfatah TV online Allah awabarik sana kwa kile mnachokifanya Allah atawalipa kheri
Tushirikianeni tuchangieni jamani
Tuwajengeni jamani kwa hakika tunaweza kwa uwezo wa Allah
Allah Qareem.
mashaallah Allah awalipe kila lakheri
Subhanallah inasikitisha sana
Alaah awalipeni nduguyangu🙏🙏🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲
hivi nyinyi waislamu wa Zanzibar niwanafiki sana pia hamuna umoja Zanzibar mutapue mutatiwa moto na muungu kwa unafiki wenu. tulitegemea Zanzibar nikituo cha kiisilamu kumbe nikituo cha wanafiki mumewafunga mashehe wemu tanganyika ili mufanye yenu sio .wacheni unafiki wazamzibari
Allah akupe pepo
Mungu awalipe ujira uco kwisha kwn kz mnayofanya co ndogo hapa duniani na kxho akhera
Ameen yaa Rabbil Alameen
Nyie matajir mana milion mbili to bas unaweza kumjengea banda la matofali chumba kimoja ukumbi jiko choo. Da mtihani kweli
Naukisikiya nimekufa ujeunizike nakuomba allahu akbar subhaanallaah
😥😢😭
AMIIN YARAAB🤲🤲🤲🇰🇪
Mashaallah mungu atakulipen kila la kheri
Dah nimelia wallah 😭😭
Inasikitisha hadi machozi yani tiririka mungu watolee njia wasitirike wazee kama hawq
Allah awaongeoze wapo sehemu gani
Wanunulieni hata vitanda jmniiiiiii😭😭😭😭😭😭