HONGERA MKURUGENZI WA ALFATAH TV

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 ноя 2019
  • Wafanya kazi wa alfatah tv online na alfatah charitable association wame mu surprise mkurugenzi wao na bonge la surprise ofisini.
    #RASHID
    #SALIM

Комментарии • 26

  • @peacetvdrcongo7068
    @peacetvdrcongo7068 4 года назад +1

    Duh hongereni sana alfatah tv design nzuri kweli naomba nije jifunza kwenu naitwa Ananias

  • @bintsalimalbimany5340
    @bintsalimalbimany5340 4 года назад

    Allah akujaalie kila lakher ndug mkurugen wa Alfattah akupe tawfik akuepushe na Hasad akujaalie uwe kijana mwema inshaallah mpaka mwish wa maisha yako ammin ammin ammin

  • @asrymohd6690
    @asrymohd6690 4 года назад +3

    Haipo iyooo mnatupeleka wapi nduguzenu

    • @asayubeejr1199
      @asayubeejr1199 4 года назад +1

      Asry Mohd waaaallah kweli bro ovyoooo eti ndo mashekhe wazma wanaleta mambo ya kiyahudi

    • @muhrajovic752
      @muhrajovic752 4 года назад

      Walantar-dhwaa Anka anil-yahuudi hattaa tattabi'i millatahu!!!

    • @hassanhamad5779
      @hassanhamad5779 4 года назад

      Mh polen sana

  • @alfatahcharitableassociati2288
    @alfatahcharitableassociati2288 4 года назад

    MASHAALLAH ALLAH AKUPE UMRI MREFU WENYE KHERI NDANI YAKE

  • @aliy3303
    @aliy3303 4 года назад +1

    مسألة خلافية... لذا كونوا بعيدا عن الشبحات.

  • @bittybitty2712
    @bittybitty2712 4 года назад

    Mola akupe maisha marafu na baraka tele bi idhini llah

  • @user-yr3yy4tj9l
    @user-yr3yy4tj9l 2 месяца назад

    Mung akup kila lenye her

  • @aishaomar4318
    @aishaomar4318 4 года назад

    Makek kama yote kweli unapendwa. Mashallah

  • @MrMona_TZ
    @MrMona_TZ 4 дня назад

    Kwakwel broo tunakutegemea sna ila usitufany tuwe n imani ndogo kwak ktk uislam hakuna kusherekea cku ya kuzaliwa?? 😢 n ata kma wafanyakz wko ndio waliandaa kufany haikuwa n haja yoyote y wew kupost so sad kwakwel....

  • @omanseeb8609
    @omanseeb8609 4 года назад

    Hiz dhambi iko wap kumtakia mtu kher ya kuzaliwa Allah akulinde dunian na akher

  • @muhrajovic752
    @muhrajovic752 4 года назад

    Sub-haana Allah!!!! Muwe ni wenye kutafakari vzr kabla ya kurusha vipindi vyenu na mjitahidi msiwe wenye kuendeshwa na hisia, hii ni media ni dhana muhimu sana kwa dunia ya leo kuupeleka mbele ama kuurudisha nyuma uislam, yote kwa yote hakuna mkamilifu kwa viumbe!!! Siku mnapatia siku mnakosea ila mtambue kukosea kwa media ya kiislam si sawa na media zingine, hata kama kwenu inawezekana liko sahihi, lakini kuna upande wanaona haliko sahihi, epukeni shubuha, ingetosha ingetosha kusheherekea bila ya kurusha hewani. Tafakarini!!

  • @khadijaa815
    @khadijaa815 4 года назад +2

    Alfatah tunakutegemeeni ktk dini hio barthday haipo katika uislam

    • @asayubeejr1199
      @asayubeejr1199 4 года назад

      Khadija Alriyami waaaallah kweli inasikitishaa sanaa ovyoooo mambo ya kimagharibi wanaleta katika uislmu

  • @omanseeb8609
    @omanseeb8609 4 года назад

    Happy birthday iwe ya kher kwak mpendwa

  • @djlatytz2431
    @djlatytz2431 4 года назад

    Happy birthday to you Mkurugenzi 🍼🥧🍰🧁🍾

  • @wahidashabaz5982
    @wahidashabaz5982 4 года назад

    mashallah kheri yakuzaliwa kiongozi

  • @bongelabwana6708
    @bongelabwana6708 4 года назад

    Bro Allah akupe afya ya dumu

  • @ashritaabdallah6474
    @ashritaabdallah6474 4 года назад +2

    Mi nauliza hayo mambo kwenye uislam yapo?

    • @asayubeejr1199
      @asayubeejr1199 4 года назад

      Ashrita Abdallah hakuna ujahili tuh tunasikitika sana kuona kiongozi wa dini kufanya hivi eti happy birthday ovyoooooo

    • @omanseeb8609
      @omanseeb8609 4 года назад

      Sio dhambi wakat kumtakia kher mtu kwa sik yak yakuzaliw

    • @muhrajovic752
      @muhrajovic752 4 года назад

      @@omanseeb8609 hata ukichunguza hiyo siku ya kuzaliwa ni ya miezi ya kizungu (January-Disember) na miaka pia (AD) na waislamu wana miezi yao na miaka yao (Hijria) shehe wangu (Muharram-Dhul hijja)

  • @mohammedomar7280
    @mohammedomar7280 4 года назад

    watu washirikina,wadhinifu, wasengenyaji wizi hamuwajadili,na wanaojiita wasanii pia ila kutakiwa mtu happy birthday ishakua shangwe kweli mna macho nyinyi?

    • @MrMona_TZ
      @MrMona_TZ 4 дня назад

      Sio choyo ktk hii media n cku gn wew umeona hapa akapostiwa mdhinifu n wote ao uliotaja wamekosea kufany hivi ...