Allah akujaalie kila lakher ndug mkurugen wa Alfattah akupe tawfik akuepushe na Hasad akujaalie uwe kijana mwema inshaallah mpaka mwish wa maisha yako ammin ammin ammin
Kwakwel broo tunakutegemea sna ila usitufany tuwe n imani ndogo kwak ktk uislam hakuna kusherekea cku ya kuzaliwa?? 😢 n ata kma wafanyakz wko ndio waliandaa kufany haikuwa n haja yoyote y wew kupost so sad kwakwel....
Sub-haana Allah!!!! Muwe ni wenye kutafakari vzr kabla ya kurusha vipindi vyenu na mjitahidi msiwe wenye kuendeshwa na hisia, hii ni media ni dhana muhimu sana kwa dunia ya leo kuupeleka mbele ama kuurudisha nyuma uislam, yote kwa yote hakuna mkamilifu kwa viumbe!!! Siku mnapatia siku mnakosea ila mtambue kukosea kwa media ya kiislam si sawa na media zingine, hata kama kwenu inawezekana liko sahihi, lakini kuna upande wanaona haliko sahihi, epukeni shubuha, ingetosha ingetosha kusheherekea bila ya kurusha hewani. Tafakarini!!
@@omanseeb8609 hata ukichunguza hiyo siku ya kuzaliwa ni ya miezi ya kizungu (January-Disember) na miaka pia (AD) na waislamu wana miezi yao na miaka yao (Hijria) shehe wangu (Muharram-Dhul hijja)
watu washirikina,wadhinifu, wasengenyaji wizi hamuwajadili,na wanaojiita wasanii pia ila kutakiwa mtu happy birthday ishakua shangwe kweli mna macho nyinyi?
Duh hongereni sana alfatah tv design nzuri kweli naomba nije jifunza kwenu naitwa Ananias
Allah akujaalie kila lakher ndug mkurugen wa Alfattah akupe tawfik akuepushe na Hasad akujaalie uwe kijana mwema inshaallah mpaka mwish wa maisha yako ammin ammin ammin
Haipo iyooo mnatupeleka wapi nduguzenu
Asry Mohd waaaallah kweli bro ovyoooo eti ndo mashekhe wazma wanaleta mambo ya kiyahudi
Walantar-dhwaa Anka anil-yahuudi hattaa tattabi'i millatahu!!!
Mh polen sana
MASHAALLAH ALLAH AKUPE UMRI MREFU WENYE KHERI NDANI YAKE
مسألة خلافية... لذا كونوا بعيدا عن الشبحات.
Mola akupe maisha marafu na baraka tele bi idhini llah
Mung akup kila lenye her
Makek kama yote kweli unapendwa. Mashallah
Kwakwel broo tunakutegemea sna ila usitufany tuwe n imani ndogo kwak ktk uislam hakuna kusherekea cku ya kuzaliwa?? 😢 n ata kma wafanyakz wko ndio waliandaa kufany haikuwa n haja yoyote y wew kupost so sad kwakwel....
Hiz dhambi iko wap kumtakia mtu kher ya kuzaliwa Allah akulinde dunian na akher
Sub-haana Allah!!!! Muwe ni wenye kutafakari vzr kabla ya kurusha vipindi vyenu na mjitahidi msiwe wenye kuendeshwa na hisia, hii ni media ni dhana muhimu sana kwa dunia ya leo kuupeleka mbele ama kuurudisha nyuma uislam, yote kwa yote hakuna mkamilifu kwa viumbe!!! Siku mnapatia siku mnakosea ila mtambue kukosea kwa media ya kiislam si sawa na media zingine, hata kama kwenu inawezekana liko sahihi, lakini kuna upande wanaona haliko sahihi, epukeni shubuha, ingetosha ingetosha kusheherekea bila ya kurusha hewani. Tafakarini!!
Alfatah tunakutegemeeni ktk dini hio barthday haipo katika uislam
Khadija Alriyami waaaallah kweli inasikitishaa sanaa ovyoooo mambo ya kimagharibi wanaleta katika uislmu
Happy birthday iwe ya kher kwak mpendwa
Happy birthday to you Mkurugenzi 🍼🥧🍰🧁🍾
mashallah kheri yakuzaliwa kiongozi
Bro Allah akupe afya ya dumu
Mi nauliza hayo mambo kwenye uislam yapo?
Ashrita Abdallah hakuna ujahili tuh tunasikitika sana kuona kiongozi wa dini kufanya hivi eti happy birthday ovyoooooo
Sio dhambi wakat kumtakia kher mtu kwa sik yak yakuzaliw
@@omanseeb8609 hata ukichunguza hiyo siku ya kuzaliwa ni ya miezi ya kizungu (January-Disember) na miaka pia (AD) na waislamu wana miezi yao na miaka yao (Hijria) shehe wangu (Muharram-Dhul hijja)
watu washirikina,wadhinifu, wasengenyaji wizi hamuwajadili,na wanaojiita wasanii pia ila kutakiwa mtu happy birthday ishakua shangwe kweli mna macho nyinyi?
Sio choyo ktk hii media n cku gn wew umeona hapa akapostiwa mdhinifu n wote ao uliotaja wamekosea kufany hivi ...