Комментарии •

  • @MariamSaleh-hm2jm
    @MariamSaleh-hm2jm Месяц назад +1

    Mwanaume hata umfanyie nn aridhiki Kwa maisha ya sasa mtihani mtup tumuombe allaah atusimamie katika ndoa zatu inshallah

  • @zaytunhijja6771
    @zaytunhijja6771 Год назад +6

    Watu wapo busy kuhangaika kutafuta pesa kama mama mzazi kashindwa kumlea utaweza wewe mke, khaa!😂😂hakuna fundi huyo muuza vikuba yy mwenyewe anaisoma namba 😂

    • @Sheba4651
      @Sheba4651 Год назад

      So hivyo ! Jitahidi In Sha Allah utaweza

    • @user-pt9uw3nz8c
      @user-pt9uw3nz8c 27 дней назад

      Udinchekeshe mie wa2 wako bizy kutafuta hela😂😂😂😂😂

  • @salumaliysalum6069
    @salumaliysalum6069 15 дней назад

    Mashallah Allah akulipe ujira wako sisi wengine dio darasa yetu tunasoma

  • @zeinabathman4969
    @zeinabathman4969 11 месяцев назад

    Mashallah ukhty swadakta ni kweli tuelimishe zaidi dadangu mashallah

  • @nailamohd7693
    @nailamohd7693 Год назад +9

    Leo mmetufunza wanawake next week wafunzwe wanaume 😊

    • @fatmakhanii1676
      @fatmakhanii1676 Год назад +3

      Ndio mana wanadhani wanawake tu ndio wasijua mapenzi na kuzilinda ndoa zao kila kungwi anafundisha wanawake wanaume wanahitaji darsa zito nawao

    • @nailamohd7693
      @nailamohd7693 Год назад +2

      @@fatmakhanii1676 sanaa anahitaji mafunzo mwanamme ndoa sio mwanamke tuu kuilinda mwanamme ndio huyo anaiharibu ndoa

    • @kidakanitzonline5067
      @kidakanitzonline5067 Год назад +1

      @@nailamohd7693 kivip

  • @fatmakhanii1676
    @fatmakhanii1676 Год назад +16

    Nyie semeni ila ndoa haina mwalimu haina kungwi wala haina mjuzi tumuombe mungu atusaidie tu unaweza ukafanya yoote hayo na mtu moyoni mwake ana mengi nina miaka 12 kwenye ndoa hapo hakuna jipya hata moja mlilo liongea hamishieni madarasa kwa wanaume mana kila siku mnatwambia hayo hayo

    • @AttiyaHassan_somomtoto
      @AttiyaHassan_somomtoto Год назад

      Bas km ni hayo kila siku mjue yana tija myafanyie kazi

    • @nailamohd7693
      @nailamohd7693 Год назад +4

      Sawasawa mwanamme anahitaji darsa ili kujua wajib wake kwa mkewe na mamlaka yke somo kwa wanawake ni mengi saana ila kwa wanaume hatuyaoni na wao wanahitaji somo khasaa ili tubalance ❤

    • @shufaahamza847
      @shufaahamza847 Год назад +1

      Jamani jamani dada wewe usiseme bakisha maneno shoga angu tulize wengine inafika htm mpaka uwaza asiyo yapenda Allah😏🤔

    • @ummuhkhalfan5542
      @ummuhkhalfan5542 11 месяцев назад

      ​@@shufaahamza847Allah atukinge na atunusuru kwa rehma zake

    • @farajaflorence1690
      @farajaflorence1690 15 дней назад

      Nyie mnafanya haya yote ? Mume wako hachepuki ebu ombeni Mungu tu mtuache hamna jipya

  • @khadijarashidy9304
    @khadijarashidy9304 Год назад +1

    Nikiwaza baaada ya kufanya yote hayo halafu atatoka nje kiukwel nakosa nguvu😚😚😚

  • @MeswalehShaban-mg5kk
    @MeswalehShaban-mg5kk 4 месяца назад

    Mashallah mashallah...mwenye akili ataelew 2 ...hili darsa latakiwa liwe pana kias

  • @PiliKapweso
    @PiliKapweso 2 месяца назад

    Ahsanteni xan Allah awalipe

  • @nailamohd7693
    @nailamohd7693 Год назад +12

    Mwanamme ndio mas-uliya toa pesa mkeo ajishughulikie pesa za mkeo ni zake hata km hazitumii hazimkhusu mume toa pesa mpe mkeo. Hivo vya kwenye mbanjo kuna siku vitamaliza hata miaka 2 badae mume atoe usimtetee mume atoe pesa usimkumbizie mkewe wajib ni mume km hawezi basi hajawa tayari huyo kua na mke.

    • @AttiyaHassan_somomtoto
      @AttiyaHassan_somomtoto Год назад +1

      Kwaiyo km hujapewa ndo utakaa mchafu hujitunzi kwa sababu hujapewa? Hutii hina kwa sababu hujapewa? Kuna vitu hutafanya kwa sababu hujapewa? Kuna faida gani ya kuwa na pesa yko ili utumie kwa ajili ya nn? Toka nje ya box usikariri maisha aina yako ya watu ndio wanaoshindwa hata kuwaambia waume zao pole na kazi kwa kudhani ndo wajibu wao kuchoka kwa kutafuta risk

    • @hajiabdalla5772
      @hajiabdalla5772 Год назад

      Kiase muwachwe.kama hata mke ukifanya kazi unapata mshahara halafu pesa yako ni yako hutowi tukaendeleza maisha.kula kuvaa na kujenga na biashara.wewe mke pesa yako inakwenda kumuhongo mwanamme wako wa zamani. Hutujakuoweni mututumilie

    • @AttiyaHassan_somomtoto
      @AttiyaHassan_somomtoto Год назад

      @@hajiabdalla5772 kwani nani kaachwa kwa hayo? Unajiskia nn unasema sijasema mtu atoe pesa yke amsaidie mume majukumu nimesema wajipendezeshe wao usikute ww ndo huyo humtunzi mkeo unataka sifa tu hapa. Ifike mahala kila mmoja akue mipaka yke

    • @nailamohd7693
      @nailamohd7693 Год назад +6

      @@AttiyaHassan_somomtoto narejea kusema mume ndio mshughulikiaji pesa ya mke ibaki kua ya mke hatujafahamiana sio km siwezi kujitunzia pesa zangu namaanisha bado nnapesa mume wajib wake yy atoe pesa asione mm nnapesa tena ndio ajikalishe eti mm nafanya kazi hapana km ww unafanya hivo kwa pesa zako endelea mm mume wangu anajua wajib wake kila mwezi ananikatia changu najiremba kwa pesa zake mwenyewe... Tena nilikua nafanya kazi hakuwahi hata siku 1 kuniuliza mshahara wako kiasi gani au nunua hichi vitu vyote ananunua mwenyewe na mwisho wa mwezi ananipa changu na watoto hata nikenda dukani nikwafanyia shopping watoto mwenyewe tuu vitu nimevipenda nikirudi anasema kwann hujanambia km unataka kufanya shpng ya watoto ah nimeamua tuu basi nitakulipa tena hapo nitamwambia nimekusameh nimetaka tuu mwenyewe huyo anajua wajib wake 👌.

    • @nailaomar4810
      @nailaomar4810 Год назад +3

      Huyo anajuwa wajib mke alishwe na avishwe hata kama mke anafanya kazi hiyo pesa ni ya mke mume afanye wajib wake

  • @mwanaishaabubakar5013
    @mwanaishaabubakar5013 11 месяцев назад +2

    Nawambia wanawake wenzangu. Fanya chochote cha halali kwa mumeo. Lakini usiwe mtumwa. Kama wewe hujafahamu neno haki sawa endelea kuwa slave kwa mumeo. Mapenzi hayana formula huna kazi bibi kakojoe ukalale. Mapenzi hayo upande mmoja tu. Hata mwanamke anataka kusingwa na mumewe. Hamna mada kalaleni. Fanya yote na akitoka anakwenda kwaalaya.

  • @aishasaleh6070
    @aishasaleh6070 11 месяцев назад +2

    Ungekivaa japo glav za mikono ukitia hina

  • @rehemasharifu8985
    @rehemasharifu8985 Год назад

    Mashallah mashallah

  • @sssp1230
    @sssp1230 Год назад +2

    Takwiku zinaonyesha asilimia
    Kubwa ya wanawake wanaoachwa kwenye ndoa zao ni hao wanaofanyia wanaume zao hayo mambo ya kusingwa!

  • @IreneAbuu-ub9fy
    @IreneAbuu-ub9fy Месяц назад

    Mbona unaweza Fanya Kila kitu nakikawa tofaut

  • @user-oq6hb9hh2b
    @user-oq6hb9hh2b 2 месяца назад

    Bado hamjatoa maelezo matumizi y ndoa bado nikitu kidogo Sana mnalazimisha vingi

  • @nasrimswaki4824
    @nasrimswaki4824 Год назад +1

    twaateswa jamani wake wenyewe wapo bize na vikoba jamani daah

  • @zahraalbaloochi2841
    @zahraalbaloochi2841 17 дней назад

    Mwanaume hata mwanamke kama hakutaki au kishakuchoka atakupuuza tu hata umrambe miguu bure tu hmn cha kungwi wala Qadhi!!!!

  • @mozaally7643
    @mozaally7643 Месяц назад

    suluhisho landoa kaka au dada kabla hawajaingia ktk ndoa bc waende mafunzo miezi 6 apo kidgo tunawwza kuelimika

  • @safiasaleh669
    @safiasaleh669 8 месяцев назад

    Anaongea kama mama Samia 🎉🎉

  • @salummzee9739
    @salummzee9739 Год назад +1

    Nitumie namba yk mrembo

  • @mozaally7643
    @mozaally7643 Месяц назад

    Nyie mnaelimisha watu hyo mapambo yenu msiyadhihirishe huo ni ushahid wakti ushaondoka dunian

  • @user-ne7gs5qn9q
    @user-ne7gs5qn9q 10 месяцев назад

    Ni mwanamke yupi anayeweza kumuogesha mumewe leo

  • @khatijakhatija6172
    @khatijakhatija6172 11 месяцев назад

    Naakiulizwa anakua mkali semeni nao na wanaume majumba yanaharibika sababu ya wanaume

  • @mwanaishaabubakar5013
    @mwanaishaabubakar5013 Год назад +5

    Tafuteni mada nyengine ndoa hauna formula inavyoanguka ndio inavyochinjwa msipotezee watu muda wao.

    • @AttiyaHassan_somomtoto
      @AttiyaHassan_somomtoto Год назад

      Uzur hapa tunafundisha wanaotaka kujua sio akina nyie mloshindwa njia za kuhandle ndoa mkahic mmefika mwisho

    • @ummuhammad7571
      @ummuhammad7571 Год назад

      @@AttiyaHassan_somomtoto habibty hatukushindwa na ndoa tumeumizwa na ndoa baada jitihada zote akajisabikisha singo sugua mguu mlishe mpepepe maliwazo maneno mazuri majina mazuri yote tukamaliza at the end unalizwa kama mtoto mdogo Allah akuhifadhie ndoa yako yasikukute Allah akubarikie kazi mie nasema Alhamdulillah

  • @user-fz9ir4nj1y
    @user-fz9ir4nj1y 2 месяца назад

    Hao wanao kosoa waongo kimewagusa mana hawatekelezi majukum yao dada endelea upo sw ila t ukihisi kuna sehem umekosea kweli kibinadam rekebisha tuende mbele awo wengine usiwashuulikie

  • @fatmakhanii1676
    @fatmakhanii1676 Год назад +2

    Na ndio mana hao wanafundisha wanandoa mahusiano yao mtihani kabisa jiulize kama hayo yanamtuliza mume mbona wao wanaachika hawakai na ndoa mapenzi ni utayari vitendo vi naakuja wenyewe ila hayo yote mnapiga porojo tu

    • @AttiyaHassan_somomtoto
      @AttiyaHassan_somomtoto Год назад +1

      Anoachika sio mzembe wala anaebaki sio uhodari
      Umeambia yasin dua na mbio uwe nazo
      Unaweza usifanye yote na ukabaki na ukafanya ukaachika n vice versa
      We usifanye waachie wanofanya waone matunda yao

    • @AttiyaHassan_somomtoto
      @AttiyaHassan_somomtoto Год назад

      Kwaiyo alokuwa hafundishi yy hana mitihani au?
      Kwanza ujue hakuna ndoa isokuwa na changamoto ! Kwaiyo madhal kuna changamoto tuishi na huzuni muda wote? Tutafurahi tutakapopata nafas ya kufanya hivo na ndio lengo, haijaandikwa sehem kuwa ndoa ni tamu , ndoa ni maisha na maisha ni tamu na chungu ukijua ivo hupati tabu

    • @shufaahamza847
      @shufaahamza847 Год назад

      Haloloooooow kikuwapi kungwi kaolewa na shekhe ndoa haijamaliza miezi 2 imevunjika bwanaeeee hakuna fundi kwenye huu mchezo bwana nikuoteanatu atakaye wahi ndo huyhuyo kunamda unajishusha unakuwa km benders ukipelekwa huko unakwenda atakapo lkn inafika mda unasema stp alaaa

  • @fatmaahmed8637
    @fatmaahmed8637 11 месяцев назад

    Kwa hayo yote ni kuwa lmani na Mapenzi yamepungua

  • @user-gu1lg2zr8s
    @user-gu1lg2zr8s Месяц назад

    Hakika mioyo imeubwa kupenda anaemfanyia uzuri lakini siri kubwa ni olewa na mume anakupenda, ila kama akupendi ata umpakulie kwenye sahani ya dhahabu ataiona plastic tu😂

  • @user-zb5iq9up9c
    @user-zb5iq9up9c 8 месяцев назад

    Mpenzi marashi gani

  • @fatumakalombo-nc1fr
    @fatumakalombo-nc1fr 10 месяцев назад

    Naomba no.yako

  • @hajiabdullakoba-jz5vj
    @hajiabdullakoba-jz5vj Год назад

    ndio mwanamke anahaki pesa yake matunzo niyamume kama anampenda ampelekee vinavyo mvutia

  • @user-ik7sk2wo1k
    @user-ik7sk2wo1k 7 месяцев назад

    Anabahati mmeo kukukupa

  • @khatijakhatija6172
    @khatijakhatija6172 11 месяцев назад

    Mbona mnatulaumu wanake tu yaani wanaume ndio wamekamilika majumbani?mwanaume antoka toka jioni mpk alfajiri a arudi home sasa hapo vipi,

  • @mwanaishaabubakar5013
    @mwanaishaabubakar5013 Год назад +6

    Usemayo hayo ya mwanzo ndio msingi waaisha. Lakini hakuna kitu chochote kinachosimamisha ndoa au kinachobomoa ndoa. Ndoa haina sababu yoyote ni mapenzi yenu tulivyokubaliana. Unamsinga anatoka anarudi asubuhi. Hakuna formomula katika ndoa msitudanganye sio kweli. Ndoa ha i na formula. Formula ya ndoa ni kumsoma mwenzio weaknesses zake na mu win sio kumsinga huo utumwa yeye akufanyie ya halali uyapendayo na umfanyie ya halili ayaoendayo. Nyie mnafundisha utumwa sio ndoa bora. Mapenzi ni Borth sides.

    • @AttiyaHassan_somomtoto
      @AttiyaHassan_somomtoto Год назад

      Utumwa ni kuzifungia akili zako zisione ukweli na kuukubali cjui km ulipata uyo somo akakufundisha ata kujihudumia ungemjibu nafanya hivo tangu kwetu . Wakati mwengine mabadiliko ya vitu na mambo hunogesha ndoa ishi ww kwa mazoea waachie wanaotaka kujifunza wajifunze

    • @amerwelder7786
      @amerwelder7786 11 месяцев назад

      We kilaza itakuwa

    • @nahlahassan-fd6le
      @nahlahassan-fd6le 11 месяцев назад

      😂😂😂😂😂menaona Raha Tu jamani😂😂😂😂😂😂

    • @YasminaMkali
      @YasminaMkali 3 месяца назад

      Thank you girl! Mapenzi ni kwa wote. Hakuna cha kusinga wala kusingwa....mambo ya kizamani sana. Wote siku hizi twafanya Kazi. Kama ni kusinga, Basi tusingane.....kwani Nani hataki kupata Raha.....😅😅😅

  • @TatuFundi-cr1vj
    @TatuFundi-cr1vj Год назад

    Asalamu alaikum Tunataka kufanya hayo lakin wanaume wengine hawataki hayo...

  • @user-zj1xq7xw8c
    @user-zj1xq7xw8c 11 месяцев назад

    Mtu akitaka kufundishwa ndohumuhumu au hamna darsa

  • @nasrimswaki4824
    @nasrimswaki4824 Год назад

    maashallah maalim

  • @Sheba4651
    @Sheba4651 Год назад +1

    Umenepa sana.
    Na nilipoona heading nami nikaona niangalie, ili nami nimpe mke wangu anachotaka.😅

  • @yousramutwale2463
    @yousramutwale2463 11 месяцев назад

    Ukonawazungmuzia wanaume wazama zipi?MTU mwwnyewe ma awara kilakona Kila mkoa kilasiku anaoa nakuacha anamsema mkewe kwawatu vibaya Bado asingwe wakati ijuma aijuwi

  • @rashidomar2771
    @rashidomar2771 Год назад

    Wanawake wengi wa sasa hivi kufanya hayo anaona ni ujinga na utumwa

  • @zahraalbaloochi2841
    @zahraalbaloochi2841 17 дней назад

    No

  • @ummuhammad7571
    @ummuhammad7571 Год назад +7

    Mfanyie yote hayo bado haridhiki most of them hawana hata appreciation

    • @AttiyaHassan_somomtoto
      @AttiyaHassan_somomtoto Год назад +2

      Ukiondoa negativity kwenye ndoa utaenjoy sana do not take things negative kila mara change urself enjoy kuwa mke na kila utachofanya kifanye kwa moyo na usitegemee appreciations utajikera

    • @mwanaishaabubakar5013
      @mwanaishaabubakar5013 Год назад

      Kweliiiiii

    • @sumaiyyazamilzamil121
      @sumaiyyazamilzamil121 Год назад +1

      Mm naunga mkono kwa wote walochangia maana siwezi kurudia ukitaka usitake au ukatae wanume waitwe wanaume utafanya yte unayosema hayo na hubadiliki utatiwa vyete lkn akiamua kaamua,usikute unafunza lkn ww yote hayo unafanya baadhi,makingwi ndio haooo

    • @AttiyaHassan_somomtoto
      @AttiyaHassan_somomtoto Год назад

      @@sumaiyyazamilzamil121 usilolijua ni sawa na ucku wa kiza

    • @fatmahamad6869
      @fatmahamad6869 Год назад +1

      Wanandoa wingi hawana mapenzi ya dhati, so ukimsinga, umfanyaje Hana hata habar

  • @HusnaKhamis-bf9sm
    @HusnaKhamis-bf9sm Год назад

    Nikweli wanawake wangi hawatunzi waumezao

  • @zenaali5475
    @zenaali5475 7 месяцев назад

    Ila wengne hatuna kazi tutafanyaje tupo nyumbani tu ata kazi wanaume hawataki ufanye ukae ndani tu mamyy

  • @lailalaila8206
    @lailalaila8206 Год назад

    Wanaume ndio chanzo kikubwa wanajisahau majukum yao ukimwagilia maji mtu unamea vizur

  • @AaAa-vm8bb
    @AaAa-vm8bb Год назад

    Dada hayo kwa leo hayako tena hayo yalikua kwa mabibi zetu ama kwa Zanzibar hako ama kwa jamaa zetu wa Kitanga yes but in our 2 Island muhimu mapembe tu