HALI HII YAMTOA OFISINI MKUU WA MKOA MHE. AYOUB
HTML-код
- Опубликовано: 6 апр 2023
- Kutoka AL FATAH TV .
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline
#AlfatahCharitableAssociation
#ZANZIBAR
Mungu mbariki mheshimiwa wetu wa mkoa wa kaskazini tunampenda sana wamjini walimuondosha kimaslahi ya mashoga mmetuletea wakaskazini tumefurahi sana mungu mlinde muheshimiwa AYUUB MUHAMMAD
Molla amlipe mema mjini hatukumuondoa tunampena na tunamtaka lkn ndio hivyo
One of the best RC in Zanzibar,Ayoub Mohammed Mahmoud ubarikiwe ww na kizazi chako. ( Aamin).
Allah akujaalie pepo mkuu wa mkowa pamoja na alfatah na mgojwa wetu Allah ampe shifaa ya haraka 🤲
Huyu nimfano wakuigwa kwavionhoz hakika ana sifa zakuitwa good leader mashaalla Allah ambarik huyukiongoz
Mheshimiwa ayoub mahmoud mohammed allah swt akulipe badala kwa kuguswa kwako na mitihani ya mzee wetu huyu,umefanya ibada kubwa sanaaa,allah swt atakulipa badala insha allah,
Inasikitisha sn mwenyezi mungo hatawasimamia amin
Mashaallah. Ngekua viongozi wanchi wote wapohiv jua lisingezidi sentimita zake pamoja n mvua kuleta madhara.
Allah aibariki familia hií, na ambariki kiongozi wetu pamoja na alfatah na wote wanaochangia
Ninavyokupenda na taman uwe Raisi wetu one day Insha a Allah😍😘😍
Ewe mungu wape afya njema viongozi wenye huruma amina
Inshallah Allah atawalipa kheri
😢😢😢😢😢😢😢jamani الله awalipe kheri. Huyu RC tunasikia sifa zako nzuri sana, hususani kuteketeza ushoga, الله akulipe abui.
Allah aibarki family hii na ampe shifaah mzee wetu na alinde family hii na wabariki taasisi ya Al Fatah TV na kwa hakika hawa ndo viongozi wanao takiwa katika jamii # mkuu wa mkoa huo
Mwenyezi mungu awajalie mwendeleze kua namoyo wasubra yadhati nawendelea kuwasaidia nawengine
Amin
Mungu awabariki Al fatah
Masikini mashaalah mungu aponywe huyo baba amuondoleye maradhi na njaa mtihani wauwalah na shida hizo za umasikini
Masha Allah mungu akuweke mkuu wa mkoa ili upate kusaidia zaidi na wengine ishallah
Mashallah tabarakallah fih mashallah kaka rashid mungu akuzidishie UTU wako inshallah na wote walochangia inshallah mashallah tabarakallah fih mashallah so sad wallah mungu atawaezesha hapo na pengine inshallah ameen
Mashaallah Mhesh Ayoub Allah akuongeze zaid ya unachotoa .
ALHAMDULILLAH ALLAH akulipeni kheri amin. Na jambo zuri lilonifurahisha kuja na doctor.afya ndio kila kitu
😢😢😢allah akulipe kheri zaid dunian na akhera
Mkuuu es mkoa mashallah Allah akupekilaheri.Amin
Mashallah Akhy Ayoub Allah akubarik akupe wepesi na njia nzr za uongozi wko na akupe wepesi wa maisha yako hapa duniani na akhera pia....shukrn
Vizuri Sana Allah akulipe,
Mungu awazidishia neema
Mashallah mh mungu akubarik
Alhamdu lilah Allah akulipe kila la kheri MH Ayoub
Mungu atujalie nguvu tuwaone na wenzetu walo na hali ngumu zaid
Amiin kwa dua zote Mungu awape Shifaa wagonjwa wote na pia atujalie imani ya kuweza kuwasaidia wengine kwa kweli hali ni mzito inasikisha sana lakin yote ni maandilko ya mola. Shekh Rashid nawe pia utapata ujira wako na Mheshimiwa M/mkoa tunashkuru kwa imani uloionesha mungu ajaze kheri katika hili
Allah awalipe kheri InshaAllah
Hongera Mkuu Wa MKOA mh Ayoub Allah akujalie uwe kiongoz Wa nchi badae ya docter mwinyi kumaliza mda wake
Mashaallah mh ayoub allah akulipe kila lenye kheri wewe pamoja na familia yako awape afya njema na umri mrefu.akuzidishie moyo wa imani.allah ampe shifaa mgonjwa apone ampe furaha pamoja na familia yake.asante alfatah allah awalipe mema zaidi na zaid.
Alhamdulilah Mungu akuzidishie iman Mkuu Wa Mkoa Na shukran Alfatah
MashaAllah Alhamdulillah kwakuwa muislamu tunahurumasna na mapenzi
Hongera alfatah pamoja na mkuu w mkoa kwa kuwafikia walengwa Zaid(Piorite), tupo weng tunahitajia ila mumeon nan wakupew mwanzo, Allah awalipe ujira mkubwa
Mashallah Wallah tangia nijione hii video naskitika NAWAOMBEA dua Allah akbar Jazakumullah kher🤲
Alfatah 👍👍👍👍
Alhamdullilah...Allah aikuze Alfatah na uongozi wake ...hongereni sana..
Maasha allah allah awabariki alfattah pamoj na kiongozi wetu mpendwa mhe ayoub allah amzidishiye moyo wa Imani, allah ampe shifaa Mzee wetu inshaa allah.
Mwenyezi Mungu akubariki
Allah awalipe kila la kheri
Allha akujalie mheshimiwa ayubu allah akupe umri mrefu naomba mungu usijebadiri muelekeo kaka angu
Allah awalipe kheri Alfatah Tv
Ni mtihn kwa kwl
Allah amuhifadhi mzee na familia yk,na amlipe kila la kheri Mh.RC Ayoub M mahmoud
Masha allah allah akubark mh Ayoub hyu ndo mkuu wa mkoa
Asante mku wa mkowa mungu atakulipa kila laher
Mashaallah sheikh Rashid salim Jana nimeona
Allah awalipe ujira wenye kukinaisha wote waliofanikisha jambo hili 🤲🤲🤲🤲🤲🤲aaamin
Allah akubarikeni nduguzangu🇧🇮🇧🇮
Maasha Allah
Mungu amjalie kheri inshallah
Allah awahifadhin wote wenye kujua thaman ya utu na kuikimbilia akhera Allah awalipe
Mashallah Mashallah Allah awalipe kheir.
Alhamdulilah ALLAH awajazi kheri❤
Alhamdulillah Nimefurahi Allah awalipe ujira mwema
Mashaallah jazakumllah kheir amiin mola awalip mema inshaallaah
ALLAH AMZIDISHIYE IMANI INSHAALLAH
Alhamdullah Maa shaa allah...
Mungu awabariki Sana sana
Alhamdulillah Allah Yuko pamoja nanyi insha Allah
Inshallah mwenyez mungu akusaidie
Mungu awajarie na kuwaongezea pale mlipopunguza
Allah ajaalie kiwe kifutio chamadhambi yake kiongozi huyu muadilif
Mwenyezi mungu amponye mzee wetu na Allah awalipe kila kheri inshallah kwa wenye kusaidia wasijiweza mungu awalilpe inshaallah
Allah atupe stara dunian na kesho akheera
Mashaallah sheikh ayoub
Allah akupeni kilalakheiry na sisi tuungane
wasitirin waja mnaongoza mriopewa zamana na sio kuangamiza waja mnaongoza allah hamjaze kher uyo mku wa mkoa
❤❤Allah akbar
Allah akulipe kheri
Binafc mh ayob tunamkubali arudishwe mjini
Nawaombea muwe pepeni baada ya maisha ya dunia ALLAH awafanyie wepesi .na mweshimiwa mkuu wa mkoa umeonyeha mfano wa walio wema waliotangulia
Mashallah
Mungu. Mbariki mtumwa wako
Allah awalipe nyote amiin
Mungu amuafu
Mkuu huyu WA mkoa yupo vizuri sana agombee tu urais WA zanzibar
KWA NNI MUNATIA MUSIC JMN NA QUARN IMEPIGA MUSIC 😢😢
Maaashallah
Mashaaallah
Mashallah allah awalipe
Natamani wewe angalau ingelikuwa ndie makamo wa pili au raisi mwenyewe , huenda Zanzibar yetu ingelikuwa Na maadili yake na heshima yake , Zanzibar yetu imechafuliwa mnoooooo, utamaduni Na maadili yetu yote pamoja Na dini vimeharibiwa sana , maskini Zanzibar yetu😭😭😭
Allah ampe afya kamili mzee wetu
Mashallh RC ayoub Allah akulipe khyr amin
Mungu awabiriki nyote
Allahu Akbar!!!
Ukweli muheshimiwa Ayoub ni kiongozi wa kuigwa. Anajitahidi
mm nilikua namkubal lkn saiv ananikera anabaguwa sana muheshimiwa
Ukweli usiopingika Allah ndie mlipaji wa yote kwa Kila anaetoa basi tumtegemee Allah atatulipa. Mhe Rc Sina la kusema ila ukweli siku ya kuchimba msingi tujuilishwe angalau tuje tujitolee
Alhamdhulilah 😢
Nimetokwa na machoz Allah akulipe kla la kheri ww na rais wa zanzibar kwa moyo wenu wa upendo allah akupeni mwisho mwema mzidi kufanya mazur hongera sana kheri kutoka kwa allah zitakufkieni
Allah ampe shifaa y araka in shaa allah
Amin
ALLAHU AKBAR. mwenyezmungu wape STARA Wazazi wetu. Wape khucni lkhatima.babu kanitoa machoziiiiiiii 😭😭😭😭😭😭dah ! Yaaa rabbyyy wactiri Wazazi wng na Wazazi wa WENZANGU. MACKINI BABU😭😭😭😭😭😭!. Mungu mfanyie wepec mzee huyu na umpe afya njema na umpe furaha na umsameh makosa yake tangu yupo hai na umpe khucni lkhatima ikifika ck yake ya mwisho. Pia umjaalie shahada kabla l-maut 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭.
Nchi ya hovyo sana . Wazee kama hawa wanahaki wakusaidiwa na serikali 😢kimatibabu na kichakula
Ni kweli kbc sio tzn
Nilisikitika sana nilipoona video no 1. Leo nimefarijika kwa hatua alizochukua Mkuu wa Mkoa. Nakuaminia sana Mkuu. Mwenyezi Mungu akulipe kheri na akupe Kinga katika Shari na khusda za kidunia Mkuu wa Mkoa. Basi hebu toeni no ya simu kwa wale wanaotaka kutabaruq hata kwa uchache wa pesa tu. InshaAllah.
Mm Niliwapenda sana sana wazee wangu wawili walipokuwa hai. Niliwanyenyekea sana. Walipokufa huku wakifuatana ukaribu wa tarehe zao za kufariki, niliona kama kwamba sikuwafanyia lolote jema kwa kipimo cha bidii walokuwanayo kwangu. Na siwezi kuwalipa chochote milele. Wazee wema ndio kila kitu kwa watoto wao. Na mzee wa mwenzio ni wako. Hebu basi tuonyeshe huruma kwa mzee huyu maana ni mzee wetu pia. Mwenyezi Mungu amlipe kheri kwa mtihani alompa. Na sisi tumsaidie kwa chochote tutachojaaliwa. InshaAllah.
Wachache wenye moyo kama huo mungu amlipe mbele ya mungu lakini viongozi wengine wajifuze
Zanzibar kumbe bado saana ni mbali na Dunia
Here BP mbona mpaka ss hii njumbahaije jengwa hadileoo kunann
Mungu abariki Sana yesu aliye juu awakumbuke Sana wote muliotoa talifa namichago mbarikiwe sana
Mpaka leo hii bado mnamtumainia Yesu aliye juu?
@@Sheba4651 halijielewi hilo lijinga
Ssawa sheikh,bt mbona waonekana ukifanya aamal kuidhihirsha,??chunga riyah_ chunga,hii ni biashara kubwa baina ya nyiny na Allah tiuuuuu,
wazee wenye kuhitaji msaada wapo wengi sio yy tu
😭😭😭😭
Huyu ndio mkuu wa mkowaa