HALI HII YAMTOA OFISINI MKUU WA MKOA MHE. AYOUB

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 апр 2023
  • Kutoka AL FATAH TV .
    Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
    #AlfatahTvOnline​​​​​​​​​​​​
    #AlfatahCharitableAssociation​​​​​​​​​​​​
    #ZANZIBAR​​

Комментарии • 122

  • @abubakarshamuhuni3894
    @abubakarshamuhuni3894 Год назад +12

    Mungu mbariki mheshimiwa wetu wa mkoa wa kaskazini tunampenda sana wamjini walimuondosha kimaslahi ya mashoga mmetuletea wakaskazini tumefurahi sana mungu mlinde muheshimiwa AYUUB MUHAMMAD

    • @fatmamuhammed9713
      @fatmamuhammed9713 Год назад +1

      Molla amlipe mema mjini hatukumuondoa tunampena na tunamtaka lkn ndio hivyo

  • @abdulbandidu119
    @abdulbandidu119 Год назад +6

    One of the best RC in Zanzibar,Ayoub Mohammed Mahmoud ubarikiwe ww na kizazi chako. ( Aamin).

  • @halimamfaume1925
    @halimamfaume1925 Год назад +7

    Allah akujaalie pepo mkuu wa mkowa pamoja na alfatah na mgojwa wetu Allah ampe shifaa ya haraka 🤲

  • @hamadjuma2079
    @hamadjuma2079 Год назад

    Huyu nimfano wakuigwa kwavionhoz hakika ana sifa zakuitwa good leader mashaalla Allah ambarik huyukiongoz

  • @MohamedMgwami-nw6bl
    @MohamedMgwami-nw6bl 3 месяца назад

    Mheshimiwa ayoub mahmoud mohammed allah swt akulipe badala kwa kuguswa kwako na mitihani ya mzee wetu huyu,umefanya ibada kubwa sanaaa,allah swt atakulipa badala insha allah,

  • @aminaramadhan3815
    @aminaramadhan3815 Год назад

    Inasikitisha sn mwenyezi mungo hatawasimamia amin

  • @ummuhafswa8980
    @ummuhafswa8980 Год назад

    Mashaallah. Ngekua viongozi wanchi wote wapohiv jua lisingezidi sentimita zake pamoja n mvua kuleta madhara.

  • @fathmaoman1186
    @fathmaoman1186 Год назад +3

    Allah aibariki familia hií, na ambariki kiongozi wetu pamoja na alfatah na wote wanaochangia

  • @FatmaMohamed-jw2lc
    @FatmaMohamed-jw2lc Год назад +3

    Ninavyokupenda na taman uwe Raisi wetu one day Insha a Allah😍😘😍

  • @RehemaNyela-ps1tn
    @RehemaNyela-ps1tn Год назад

    Ewe mungu wape afya njema viongozi wenye huruma amina

  • @saeedmassoud256
    @saeedmassoud256 17 часов назад

    Inshallah Allah atawalipa kheri

  • @myunaniniahmad6463
    @myunaniniahmad6463 Год назад +3

    😢😢😢😢😢😢😢jamani الله awalipe kheri. Huyu RC tunasikia sifa zako nzuri sana, hususani kuteketeza ushoga, الله akulipe abui.

  • @KassimAbdul_wfg
    @KassimAbdul_wfg Год назад +4

    Allah aibarki family hii na ampe shifaah mzee wetu na alinde family hii na wabariki taasisi ya Al Fatah TV na kwa hakika hawa ndo viongozi wanao takiwa katika jamii # mkuu wa mkoa huo

    • @zulfaissa7814
      @zulfaissa7814 Год назад

      Mwenyezi mungu awajalie mwendeleze kua namoyo wasubra yadhati nawendelea kuwasaidia nawengine

    • @seifabdulwahid4579
      @seifabdulwahid4579 Год назад

      Amin

  • @user-vb4xp8eg5w
    @user-vb4xp8eg5w Год назад

    Mungu awabariki Al fatah

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 Год назад +2

    Masikini mashaalah mungu aponywe huyo baba amuondoleye maradhi na njaa mtihani wauwalah na shida hizo za umasikini

  • @hassanmpemba5747
    @hassanmpemba5747 Год назад +1

    Masha Allah mungu akuweke mkuu wa mkoa ili upate kusaidia zaidi na wengine ishallah

  • @zeinabathman4969
    @zeinabathman4969 10 месяцев назад

    Mashallah tabarakallah fih mashallah kaka rashid mungu akuzidishie UTU wako inshallah na wote walochangia inshallah mashallah tabarakallah fih mashallah so sad wallah mungu atawaezesha hapo na pengine inshallah ameen

  • @kiri5807
    @kiri5807 Год назад +1

    Mashaallah Mhesh Ayoub Allah akuongeze zaid ya unachotoa .

  • @yasminjuma9146
    @yasminjuma9146 Год назад +2

    ALHAMDULILLAH ALLAH akulipeni kheri amin. Na jambo zuri lilonifurahisha kuja na doctor.afya ndio kila kitu

  • @aishajumahasan9175
    @aishajumahasan9175 Год назад

    😢😢😢allah akulipe kheri zaid dunian na akhera

  • @husnaali1610
    @husnaali1610 Год назад +1

    Mkuuu es mkoa mashallah Allah akupekilaheri.Amin

  • @hafidhothman1899
    @hafidhothman1899 Год назад

    Mashallah Akhy Ayoub Allah akubarik akupe wepesi na njia nzr za uongozi wko na akupe wepesi wa maisha yako hapa duniani na akhera pia....shukrn

  • @user-we4ko2zf8w
    @user-we4ko2zf8w 2 месяца назад

    Vizuri Sana Allah akulipe,

  • @user-lp7bw1cj7c
    @user-lp7bw1cj7c 4 месяца назад

    Mungu awazidishia neema

  • @salehchani879
    @salehchani879 Год назад

    Mashallah mh mungu akubarik

  • @ummyidrisaummyidrisa-ls2vm
    @ummyidrisaummyidrisa-ls2vm Год назад +1

    Alhamdu lilah Allah akulipe kila la kheri MH Ayoub

  • @user-zk5tq2ni6b
    @user-zk5tq2ni6b Год назад

    Mungu atujalie nguvu tuwaone na wenzetu walo na hali ngumu zaid

  • @SaramaMassoud-by9ik
    @SaramaMassoud-by9ik Год назад +1

    Amiin kwa dua zote Mungu awape Shifaa wagonjwa wote na pia atujalie imani ya kuweza kuwasaidia wengine kwa kweli hali ni mzito inasikisha sana lakin yote ni maandilko ya mola. Shekh Rashid nawe pia utapata ujira wako na Mheshimiwa M/mkoa tunashkuru kwa imani uloionesha mungu ajaze kheri katika hili

  • @AishaMohd-ov1jg
    @AishaMohd-ov1jg Год назад

    Allah awalipe kheri InshaAllah

  • @hafidhkhamis731
    @hafidhkhamis731 Год назад

    Hongera Mkuu Wa MKOA mh Ayoub Allah akujalie uwe kiongoz Wa nchi badae ya docter mwinyi kumaliza mda wake

  • @azzaalhabsi1505
    @azzaalhabsi1505 Год назад

    Mashaallah mh ayoub allah akulipe kila lenye kheri wewe pamoja na familia yako awape afya njema na umri mrefu.akuzidishie moyo wa imani.allah ampe shifaa mgonjwa apone ampe furaha pamoja na familia yake.asante alfatah allah awalipe mema zaidi na zaid.

  • @mwinyihatibhamad1776
    @mwinyihatibhamad1776 Год назад

    Alhamdulilah Mungu akuzidishie iman Mkuu Wa Mkoa Na shukran Alfatah

  • @mariammapendo7265
    @mariammapendo7265 Год назад

    MashaAllah Alhamdulillah kwakuwa muislamu tunahurumasna na mapenzi

  • @alihamad7731
    @alihamad7731 Год назад

    Hongera alfatah pamoja na mkuu w mkoa kwa kuwafikia walengwa Zaid(Piorite), tupo weng tunahitajia ila mumeon nan wakupew mwanzo, Allah awalipe ujira mkubwa

  • @bintsalimalbimany287
    @bintsalimalbimany287 Год назад

    Mashallah Wallah tangia nijione hii video naskitika NAWAOMBEA dua Allah akbar Jazakumullah kher🤲

  • @hafidhothman1899
    @hafidhothman1899 Год назад

    Alfatah 👍👍👍👍

  • @babuantar8215
    @babuantar8215 Год назад

    Alhamdullilah...Allah aikuze Alfatah na uongozi wake ...hongereni sana..

  • @awenakhamis1432
    @awenakhamis1432 Год назад

    Maasha allah allah awabariki alfattah pamoj na kiongozi wetu mpendwa mhe ayoub allah amzidishiye moyo wa Imani, allah ampe shifaa Mzee wetu inshaa allah.

  • @raysjames1776
    @raysjames1776 Год назад

    Mwenyezi Mungu akubariki

  • @salimmbwana6926
    @salimmbwana6926 Год назад

    Allah awalipe kila la kheri

  • @SaidSeif-pk4yd
    @SaidSeif-pk4yd Год назад

    Allha akujalie mheshimiwa ayubu allah akupe umri mrefu naomba mungu usijebadiri muelekeo kaka angu

  • @abuuhafswamunsheedu5790
    @abuuhafswamunsheedu5790 Год назад +1

    Allah awalipe kheri Alfatah Tv

  • @kudurakhamis719
    @kudurakhamis719 Год назад

    Ni mtihn kwa kwl
    Allah amuhifadhi mzee na familia yk,na amlipe kila la kheri Mh.RC Ayoub M mahmoud

  • @aminaalabri4170
    @aminaalabri4170 Год назад

    Masha allah allah akubark mh Ayoub hyu ndo mkuu wa mkoa

  • @mudiplatnumz98
    @mudiplatnumz98 Год назад

    Asante mku wa mkowa mungu atakulipa kila laher

  • @adamaliali2206
    @adamaliali2206 Год назад

    Mashaallah sheikh Rashid salim Jana nimeona

  • @biberpriyer330
    @biberpriyer330 Год назад

    Allah awalipe ujira wenye kukinaisha wote waliofanikisha jambo hili 🤲🤲🤲🤲🤲🤲aaamin

  • @saydathyhakizimana9348
    @saydathyhakizimana9348 Год назад

    Allah akubarikeni nduguzangu🇧🇮🇧🇮

  • @omarabdalla928
    @omarabdalla928 Год назад

    Maasha Allah

  • @abumoyo840
    @abumoyo840 Год назад +1

    Mungu amjalie kheri inshallah

  • @salhaayub1338
    @salhaayub1338 Год назад

    Allah awahifadhin wote wenye kujua thaman ya utu na kuikimbilia akhera Allah awalipe

  • @user-tm6gs1iz1n
    @user-tm6gs1iz1n Год назад

    Mashallah Mashallah Allah awalipe kheir.

  • @user-ji6kb4qj6n
    @user-ji6kb4qj6n Год назад

    Alhamdulilah ALLAH awajazi kheri❤

  • @SKY-fk3fz
    @SKY-fk3fz Год назад

    Alhamdulillah Nimefurahi Allah awalipe ujira mwema

  • @HassanAli-eq8ko
    @HassanAli-eq8ko Год назад

    Mashaallah jazakumllah kheir amiin mola awalip mema inshaallaah

  • @waheedaw1953
    @waheedaw1953 Год назад

    ALLAH AMZIDISHIYE IMANI INSHAALLAH

  • @youngbob9761
    @youngbob9761 Год назад

    Alhamdullah Maa shaa allah...

  • @juliusmoivana9844
    @juliusmoivana9844 Год назад

    Mungu awabariki Sana sana

  • @subetizaid6515
    @subetizaid6515 Год назад

    Alhamdulillah Allah Yuko pamoja nanyi insha Allah

  • @FadhilaBakari-er7xd
    @FadhilaBakari-er7xd Год назад

    Inshallah mwenyez mungu akusaidie

  • @fumbukashangwe3173
    @fumbukashangwe3173 Год назад

    Mungu awajarie na kuwaongezea pale mlipopunguza

  • @ummuhafswa8980
    @ummuhafswa8980 Год назад

    Allah ajaalie kiwe kifutio chamadhambi yake kiongozi huyu muadilif

  • @khamxkhamic1113
    @khamxkhamic1113 Год назад +1

    Mwenyezi mungu amponye mzee wetu na Allah awalipe kila kheri inshallah kwa wenye kusaidia wasijiweza mungu awalilpe inshaallah

  • @sabrinasabrina8395
    @sabrinasabrina8395 Год назад

    Allah atupe stara dunian na kesho akheera

  • @adamaliali2206
    @adamaliali2206 Год назад

    Mashaallah sheikh ayoub

  • @ashminaabdulla8946
    @ashminaabdulla8946 Год назад

    Allah akupeni kilalakheiry na sisi tuungane

  • @lailalaila8206
    @lailalaila8206 Год назад

    wasitirin waja mnaongoza mriopewa zamana na sio kuangamiza waja mnaongoza allah hamjaze kher uyo mku wa mkoa

  • @roseatienoogutu7641
    @roseatienoogutu7641 Год назад

    ❤❤Allah akbar

  • @kassimali2273
    @kassimali2273 Год назад

    Allah akulipe kheri

  • @hamidomar7474
    @hamidomar7474 Год назад +2

    Binafc mh ayob tunamkubali arudishwe mjini

  • @asnaaali3264
    @asnaaali3264 Год назад

    Nawaombea muwe pepeni baada ya maisha ya dunia ALLAH awafanyie wepesi .na mweshimiwa mkuu wa mkoa umeonyeha mfano wa walio wema waliotangulia

  • @fauziyaomar7090
    @fauziyaomar7090 Год назад

    Mashallah

  • @greenermichael2057
    @greenermichael2057 Год назад

    Mungu. Mbariki mtumwa wako

  • @kiralitoto4269
    @kiralitoto4269 Год назад

    Allah awalipe nyote amiin

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 Год назад

    Mungu amuafu

  • @khelefomary4486
    @khelefomary4486 Год назад

    Mkuu huyu WA mkoa yupo vizuri sana agombee tu urais WA zanzibar

  • @chamandaayolaiza1535
    @chamandaayolaiza1535 3 месяца назад

    KWA NNI MUNATIA MUSIC JMN NA QUARN IMEPIGA MUSIC 😢😢

  • @aishatmohd5306
    @aishatmohd5306 Год назад

    Maaashallah

  • @josephtheophilo9472
    @josephtheophilo9472 Год назад

    Mashaaallah

  • @omanmwajabumbeguoman8642
    @omanmwajabumbeguoman8642 Год назад

    Mashallah allah awalipe

  • @rastafare878
    @rastafare878 Год назад +1

    Natamani wewe angalau ingelikuwa ndie makamo wa pili au raisi mwenyewe , huenda Zanzibar yetu ingelikuwa Na maadili yake na heshima yake , Zanzibar yetu imechafuliwa mnoooooo, utamaduni Na maadili yetu yote pamoja Na dini vimeharibiwa sana , maskini Zanzibar yetu😭😭😭

  • @adamaliali2206
    @adamaliali2206 Год назад +1

    Allah ampe afya kamili mzee wetu

  • @allykondo8406
    @allykondo8406 Год назад

    Mungu awabiriki nyote

  • @abdallahsaid8157
    @abdallahsaid8157 Год назад

    Allahu Akbar!!!

  • @luqmanothman1692
    @luqmanothman1692 Год назад +1

    Ukweli muheshimiwa Ayoub ni kiongozi wa kuigwa. Anajitahidi

  • @DaRa-dz9ri
    @DaRa-dz9ri Год назад

    mm nilikua namkubal lkn saiv ananikera anabaguwa sana muheshimiwa

  • @scoutpwanimchangani6711
    @scoutpwanimchangani6711 Год назад +1

    Ukweli usiopingika Allah ndie mlipaji wa yote kwa Kila anaetoa basi tumtegemee Allah atatulipa. Mhe Rc Sina la kusema ila ukweli siku ya kuchimba msingi tujuilishwe angalau tuje tujitolee

  • @husna34562
    @husna34562 Год назад

    Alhamdhulilah 😢

  • @issakarim4413
    @issakarim4413 Год назад

    Nimetokwa na machoz Allah akulipe kla la kheri ww na rais wa zanzibar kwa moyo wenu wa upendo allah akupeni mwisho mwema mzidi kufanya mazur hongera sana kheri kutoka kwa allah zitakufkieni

  • @chimilasaid447
    @chimilasaid447 Год назад

    Allah ampe shifaa y araka in shaa allah

  • @fatmabhai2812
    @fatmabhai2812 Год назад

    ALLAHU AKBAR. mwenyezmungu wape STARA Wazazi wetu. Wape khucni lkhatima.babu kanitoa machoziiiiiiii 😭😭😭😭😭😭dah ! Yaaa rabbyyy wactiri Wazazi wng na Wazazi wa WENZANGU. MACKINI BABU😭😭😭😭😭😭!. Mungu mfanyie wepec mzee huyu na umpe afya njema na umpe furaha na umsameh makosa yake tangu yupo hai na umpe khucni lkhatima ikifika ck yake ya mwisho. Pia umjaalie shahada kabla l-maut 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭.

  • @samiraabdimahamed4449
    @samiraabdimahamed4449 Год назад +2

    Nchi ya hovyo sana . Wazee kama hawa wanahaki wakusaidiwa na serikali 😢kimatibabu na kichakula

    • @umubyeyisandra
      @umubyeyisandra Год назад

      Ni kweli kbc sio tzn

    • @salmaomar8612
      @salmaomar8612 Год назад

      Nilisikitika sana nilipoona video no 1. Leo nimefarijika kwa hatua alizochukua Mkuu wa Mkoa. Nakuaminia sana Mkuu. Mwenyezi Mungu akulipe kheri na akupe Kinga katika Shari na khusda za kidunia Mkuu wa Mkoa. Basi hebu toeni no ya simu kwa wale wanaotaka kutabaruq hata kwa uchache wa pesa tu. InshaAllah.

    • @salmaomar8612
      @salmaomar8612 Год назад

      Mm Niliwapenda sana sana wazee wangu wawili walipokuwa hai. Niliwanyenyekea sana. Walipokufa huku wakifuatana ukaribu wa tarehe zao za kufariki, niliona kama kwamba sikuwafanyia lolote jema kwa kipimo cha bidii walokuwanayo kwangu. Na siwezi kuwalipa chochote milele. Wazee wema ndio kila kitu kwa watoto wao. Na mzee wa mwenzio ni wako. Hebu basi tuonyeshe huruma kwa mzee huyu maana ni mzee wetu pia. Mwenyezi Mungu amlipe kheri kwa mtihani alompa. Na sisi tumsaidie kwa chochote tutachojaaliwa. InshaAllah.

  • @abdallahgosso3029
    @abdallahgosso3029 Год назад

    Wachache wenye moyo kama huo mungu amlipe mbele ya mungu lakini viongozi wengine wajifuze

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 Год назад

    Zanzibar kumbe bado saana ni mbali na Dunia

  • @robbyone453
    @robbyone453 6 месяцев назад

    Here BP mbona mpaka ss hii njumbahaije jengwa hadileoo kunann

  • @cosmasmuhofu3687
    @cosmasmuhofu3687 Год назад +1

    Mungu abariki Sana yesu aliye juu awakumbuke Sana wote muliotoa talifa namichago mbarikiwe sana

    • @Sheba4651
      @Sheba4651 Год назад

      Mpaka leo hii bado mnamtumainia Yesu aliye juu?

    • @mohamedhaji2200
      @mohamedhaji2200 Год назад

      ​@@Sheba4651 halijielewi hilo lijinga

  • @adilihassan8455
    @adilihassan8455 Год назад

    Ssawa sheikh,bt mbona waonekana ukifanya aamal kuidhihirsha,??chunga riyah_ chunga,hii ni biashara kubwa baina ya nyiny na Allah tiuuuuu,

  • @afropanorama4730
    @afropanorama4730 2 месяца назад

    wazee wenye kuhitaji msaada wapo wengi sio yy tu

  • @samsungoman5626
    @samsungoman5626 Год назад

    😭😭😭😭

  • @kassimomar7589
    @kassimomar7589 Год назад

    Huyu ndio mkuu wa mkowaa