BIBI WA MIAKA 85 HIVI NDIVYO ALIVYO FURAHIA HARUSI YAKE JANA.
HTML-код
- Опубликовано: 16 сен 2020
- Kutoka AL FATAH CHARTABLE ASSOCIATION.
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline
#AlfatahCharitableAssociation
#ZANZIBAR
From Somalia 🇸🇴 love you all muslims
Maa shaa Allah Allah awazidishie imani iyo iyo awazidishie waliotoa na tuliokuwa hatujatoa Allah atupe tusaidie na wezetu AMIN
Wallahi nimefurahi hadi nimelia kwa furaha... Alhamdulillah Alhamdulillah Elfu Alhamdulillah 😭😭😭😭
Nimefurahi mpaka nimelia 😭mashallah mashallah al fatah 🤲
Nmefurahi sana kuwasaidia wazee wetu hasa wa kike,mungu atawajengea nyumba ktk viwanja vya peponi
Tupo pamoja
Jazzakumllah kheir,Allah amjalie rehma Kwa mwenye kumstiri nyanya wetu.amjalie Pepo siku ya hesabu.Ameen
Maskini wee jmni tuwastiri.wazeewetu
Wow.mashallah m mungu hamtupi mjawake allah amjaalie afya maishamarefu
Amiin
Ammin yarani Sina la kusema ila alhamdulillh
Allah awajengee nyumba katika JANNAH Alfatah na wafadhili wake aamin
Amii
Subhana Allah Allah Akbar masha Allah kwa kweli mara ya kwanza ramadhani alipohojiwa nililia mpaka nilienda kwikwi ya Rabbi wazidishie rizki na kheri kwa kila mwenye kutoa duniani na akhera nasi utuwezeshe kuwafariji wengine hongea Alfatah tv Allah awalipe kheir Insha Allah kwa kila jema mnalo fanya na awazidishie imani Ammin
Mashallah, Allah akulipeni makazi mema zaidi hapa duniani na kesho akhera.
MashaAllah
AL FATAH TV inafanya kazi bora sana, Allah awalipe kila'lakheri Ameen,
Ameen
Allahu Akbar..Allah awafanyie wepesi wote walio shiriki kwa njia moja na nyengine
Allah awajez wote alotoa msaada huo na wape moyo wa kutoa juu ya njia ya Allah
Mashaallah, Allah ambarik, akamuekee na makaazi mema huko aendako! Na waliomchangia Allah awazidishie kheir!
Alfatah kila la kheri allah awalinde na mahasidi awajaalie kila la kheri kwa imani mlokuwa nayo
Hongereni timu nzima ya Alfatah tv online🙏🙏 M/mungu atawalipa inshallah 🙏
Manshaallah tabarak Allah 💞❤💞. Allah Wetu Mtukufu Subhanah Wataala Ya Hayy Ya Qayyum awape maisha marefu wale ambao wamefanya muchango wakujengea bibi nyumba Inshaalllah 🤲🏻 tunamuomba piya Ya Razaq awaruku ote riziki ya halal Inshaalllah 🤲🏻💞❤💞
Ameen
ALLAH AWABARIKIE WOTE WALIOMSAIDIA KUPATA MAHALI PAKUISHI MASHALLAH
mashallah tabarakallah Kama mlivyomjengea nyumba Allah awajengee nyumba peponi ya daraja ya juu muwe jirani na mtume Muhammad swalallahu aly wasalam amiin
Allahumma Amiin
Allahumma amiiin🤲🏻
Maa Shaa Allah, Badikiweni Sana Kwa Utu Mlio Nao.
Alhamdulilah alhamdulilah Allah atawajengea nyumba nzuri peponi
awajaalie walimsaidia mamaetu huyu awalipe ujira mwema aminamin
Mashallah waislamu na wasiokuwa waislamu tutoweni tulivyo navyo kuwasaidia wenzetu
جزاكم الله خيرا ويبارك عليكم علی جهودكم طيبه ــ 💐"💞المؤسسة الفتاح💐"💞
Mashallah mashallah jazakallah khairah.yaarab wape njia ktk swiratwi yako na ss utue ILI tuwasaidie wanao hitaj
Mashaallah mashaallah alihamdulilah namshukur Allah kwa kumsaidia Bibi
Maashallah tabaaraka Rahman. Allah awalipe khr zake jumuiya ya alfatah kwa kuwa sabab ya kuwapa faraja wazee, mayatima na wote wasiojiweza. Kwa kwel aya ndio maisha tunayostahiki kuyaiga. Hongr zaid ziwafkie wale wote waliotoa mchango wao Allah awalipe jannah 🤲
Mungu awabariki kwa kumsitiri mama yetu.
Mama pole sana kwa maisha hayo pitia hiyo faida ya mapinduzi ya mwaka 1964 mapinduzi daima
Mngu ampe furaha Leo na kesho amfunguliye kila lenye uzito amin. Mdhamin letu nikukuombea mngu.✌✌
Maa shaa Allah. Mm nilikua na wazo moja tu. Kwa kua niwazee na wanaishi peke yao hawana watoto mnaonaje mkawa mnachangisha michango zikajengwa nyumba kubwa halafu wakaekwa kwa pamoja na wakasaidiwa kwa kinachopatikana? Na wale wenye watoto ndio wangekua wanajengewa peke yao peke yao km hivyo.
Mashaallah Allah amlipe pepo kwa walio mfadhili
Mbona mulikua kimya sana allah awape afya njema na muzidi kutuletea watu wenye matatizo kuwasaidia
Maaasha Allah
Mwenyezimungu awaongezee neema wote wanaojitolea kwa kusaidia wasiojiweza.
Mashaallah tabaraka rahman Allah atakujaza kheyr Kwa huyo alotoa msaada ...Alfatah mambo yenu mazuri saana .
Masha allah Allah azid kuwafanyia wepec ktk shughuli zenu. Pia allah awalipe mema duniani na akheraa biidhin allah in sha allah.
Mashaallah mashaallah mungu awalipe Al fatah❤❤
Mungu awalinde na awaongoze kwa kila mjambo mlifanyalo nyumban kwenu na mahofisin mwenu🙏🙏🙏😭
Mungu aiongezee penye imetoka 😭😭😭😭😭
Mwenyezi mungu awazidishie waliomjengea nyumba inshallah 🙏
Mashaallah machozi yamenitoka allah atawalipa kheri na walotoa allah atawazidishia kipato zaid wasaidiwe na wwngine mkono kwa mkono hadi peponi
Amina amina amina
Allah awape na majumba peponi in shaa Allah
Ndugu yangu huo ndio uislamu wakikweli mungu awabariki jambo adimu sana
Mwenyeezi Mungu awazidishie wote wzliomsaidia huyu bibi
Awape mwisho mwema.
Aameen.
Mashallah Allah awazidishie Inshallah muwe na Imani hiyo hiyo msibadilike,mzidi kuwasaidia wazee we give
Mashallah
Jazaka Allahu khair Allah awajaalie jannat firdaus Aamiin
Mashaallh mashaallh allh walipe kher nimeona nimelia kwa furaha 😭
Jazak Allahu Khairaan Kathiraan kwa wafadhili wote.
Allah awajaalie kila la Kheyr fil Dduniyyah wal Akhiyra, Aamiin.
Mashalhaa Allha awabarik watoaji Aibarik na Al fatah.awazidishie kheri
Mwenyezimungu awalipe kheri inshaallah...awaapushie na shari na kila aina ya husda mmefanya jambo kubwa sana
Maa shaa Allah JazzakaAllah khery kwa walio changia
Mwenyezi Mungu awabariki
Masha Allah mungu awape uzima.na nguvu.alfatah
MashaAllah Mungu awape baraka wote mloifikisha furaha yahuyo bibi
Mashaallah Allah awalipe mema🙏
Allah awazidishie lenye kheri na nyinyi na muwe na imani hiyohiyo ya kusaidia wanyonge inshaallah aamin
mashallah hujafa usikate tamaa mungu awabariki kwa msaada wenu Amiin.
Ma shaa Allah
Mashaallah Allah awazidishie Imani wafadhili wote na wahudumu wakusaidia wasojiweza Allah awazidishie umri wenye afya njema
Mashallah bibi ongera sana Allah ampe afya na umri ameen
Alhamdulilah Allah awakunjulie kheri na pepo zenye darja ya juuu wale wote wanaohusika kuwafariji nakuwafanyia makubwa maskini au wagonjwa na kheri nyengine na kila alie husika kwa nanma 1 au nyengine inshaallah
Mashaallah Allah Awazidishie kila la kheri alfatah
Mungu awabariki sana
ماشاءالله تبارك الله الف مبروك... ألف مبروك وجزاكم الله خير الجزاء في الدنيا والآخرة يارب العالمين
Mashallah tabarakallah
Mashaallah Allah awalipe kheri waliojitolea na amjaalie furaha leo na kesho yaumulqiama amin hongera bibi.
jaman mungu azid kuwap walio Msaidi 🙏🙏
Maa shaa Allah Allah azidishe iman ktk nyoyo zetu
Masha Allah Allah awape maitaji yenu fil dunia wali akher
May Allah bless you More Inshallah ❤❤💓💓
Allah awajalie walomsaidia hyu bibi awafanyie wepec
Mungu hawajalie waliomsaidia huyo bb
Shukran shukran
Masha Allah Masha Allah ❤️ Allah awazdishie Riziki
Lailahaillallah machozi yamwnitoka jaman jaman Mola akupe furaha Bib ang yamaisha kutokuzaa aihoja hukutarajia bib lkn Allah kakufariji😢😢😢😢😢nilidhania bib kaolewa 😚😚😚😍
MashaAllah hongera wote
Mwenyez mungu awape kila la kheir kwa hakika inatoa machoz. yarabbi wape kila la kheir wote wenye kutao kwa hali na mali wafanyie wepes kwa kila mazito kwao.
Mashallah mungu awalipe kheiry
Alfatah Allah atakulipeni ujira wenu
Mashaa Allah
Mungu awajalie
Safi sana mung yu pamoja nanyii
Mashallah ❤
Allah awalipe kheir Al fatah tv
Allah azidii kukulipen gheri na Baraka katikaa kazii zenu
Mashallah hakika mwenyez mungu awalipe kilicho chema
Allah amzidishie alo waloo mjengea wote inshallah
Be blessed
☝️☝️☝️daah mwenyezi mungu mkubwa
Aaallahmdulilah
Mtume SAW amesema mwenyekumstiri muislaam Allah SW nayy atamsyiri sikiyakiama Allah amzidishie uwezo yule aliemstr bibihuyo na sisi atupe uwezo ilituwasaidie waislaama wenzetu
Mashaallah jazaakumuallah kheir
MA SHA ALLAH furaha isio Isha AL HAMDULILLAH
karibu mtamazaji, niko katika kijiji ,,,, mtazamaji, nikikuletea habari mtazamaji, habari adhimu mtazamaji, mtazamaji! mtazamaji mtazamaji mtazamaji!!!! Come on! Jipange na uwe na preparation nzuri kabla ya kuanza kurikodi taarifa hizi za habari! Mk wengi namna hii na haipendezi kabisa!
Ishaalh allh awape mwisho mwemaa
Mashaallah Allah awazidishie kheri
Allah awabariki
Saf ongera zenu ,mungu awazidishie
Allah akbar allah awalipe kila lakher waliyo jitoleya kwakumujengea iyo nyumba🙏🙏🙏🙏🙏
Maashallah Alhamndulillah 🙏🙏🙏🙏
Mungu atakuwafu inshallah
Merci Seigneur Jésus Christ
Maashallah jazaka llau kheri
Mashaallah Allah awajaalie kher al fatah