BIBI WA MIAKA 85 HIVI NDIVYO ALIVYO FURAHIA HARUSI YAKE JANA.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 16 сен 2020
  • Kutoka AL FATAH CHARTABLE ASSOCIATION.
    Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
    #AlfatahTvOnline
    #AlfatahCharitableAssociation
    #ZANZIBAR

Комментарии • 244

  • @MOHAMEDMOHAMED-hi4qf
    @MOHAMEDMOHAMED-hi4qf 3 года назад +19

    From Somalia 🇸🇴 love you all muslims

  • @mwakahassan8742
    @mwakahassan8742 3 года назад +13

    Maa shaa Allah Allah awazidishie imani iyo iyo awazidishie waliotoa na tuliokuwa hatujatoa Allah atupe tusaidie na wezetu AMIN

  • @rayaalaisari4592
    @rayaalaisari4592 3 года назад +15

    Wallahi nimefurahi hadi nimelia kwa furaha... Alhamdulillah Alhamdulillah Elfu Alhamdulillah 😭😭😭😭

  • @salmasalim6055
    @salmasalim6055 3 года назад +11

    Nimefurahi mpaka nimelia 😭mashallah mashallah al fatah 🤲

  • @imanimussa4076
    @imanimussa4076 3 года назад +5

    Nmefurahi sana kuwasaidia wazee wetu hasa wa kike,mungu atawajengea nyumba ktk viwanja vya peponi
    Tupo pamoja

  • @yunushamza6502
    @yunushamza6502 3 года назад +20

    Jazzakumllah kheir,Allah amjalie rehma Kwa mwenye kumstiri nyanya wetu.amjalie Pepo siku ya hesabu.Ameen

    • @sulemohd4812
      @sulemohd4812 3 года назад +1

      Maskini wee jmni tuwastiri.wazeewetu

    • @sulemohd4812
      @sulemohd4812 3 года назад +1

      Wow.mashallah m mungu hamtupi mjawake allah amjaalie afya maishamarefu

    • @abdillahismail8287
      @abdillahismail8287 2 года назад +1

      Amiin

    • @mozasultan1676
      @mozasultan1676 2 месяца назад

      Ammin yarani Sina la kusema ila alhamdulillh

  • @saidkhamis8895
    @saidkhamis8895 3 года назад +11

    Allah awajengee nyumba katika JANNAH Alfatah na wafadhili wake aamin

  • @Da-cr6ow
    @Da-cr6ow 3 года назад +7

    Subhana Allah Allah Akbar masha Allah kwa kweli mara ya kwanza ramadhani alipohojiwa nililia mpaka nilienda kwikwi ya Rabbi wazidishie rizki na kheri kwa kila mwenye kutoa duniani na akhera nasi utuwezeshe kuwafariji wengine hongea Alfatah tv Allah awalipe kheir Insha Allah kwa kila jema mnalo fanya na awazidishie imani Ammin

  • @taifamasheko5322
    @taifamasheko5322 3 года назад +7

    Mashallah, Allah akulipeni makazi mema zaidi hapa duniani na kesho akhera.

  • @bilalomar1185
    @bilalomar1185 3 года назад +6

    MashaAllah

    AL FATAH TV inafanya kazi bora sana, Allah awalipe kila'lakheri Ameen,

  • @IBRAHIMALI-isal
    @IBRAHIMALI-isal 3 года назад +2

    Allahu Akbar..Allah awafanyie wepesi wote walio shiriki kwa njia moja na nyengine

  • @Mukhtarmawaidha1997
    @Mukhtarmawaidha1997 3 года назад +4

    Allah awajez wote alotoa msaada huo na wape moyo wa kutoa juu ya njia ya Allah

  • @jinaali4370
    @jinaali4370 3 года назад +3

    Mashaallah, Allah ambarik, akamuekee na makaazi mema huko aendako! Na waliomchangia Allah awazidishie kheir!

  • @nurusalim846
    @nurusalim846 3 года назад +3

    Alfatah kila la kheri allah awalinde na mahasidi awajaalie kila la kheri kwa imani mlokuwa nayo

  • @hammerQ954
    @hammerQ954 3 года назад +2

    Hongereni timu nzima ya Alfatah tv online🙏🙏 M/mungu atawalipa inshallah 🙏

  • @sifajacky7779
    @sifajacky7779 2 года назад +2

    Manshaallah tabarak Allah 💞❤💞. Allah Wetu Mtukufu Subhanah Wataala Ya Hayy Ya Qayyum awape maisha marefu wale ambao wamefanya muchango wakujengea bibi nyumba Inshaalllah 🤲🏻 tunamuomba piya Ya Razaq awaruku ote riziki ya halal Inshaalllah 🤲🏻💞❤💞

  • @omarawadh7239
    @omarawadh7239 3 года назад +3

    ALLAH AWABARIKIE WOTE WALIOMSAIDIA KUPATA MAHALI PAKUISHI MASHALLAH

  • @rehemasalim4590
    @rehemasalim4590 3 года назад +3

    mashallah tabarakallah Kama mlivyomjengea nyumba Allah awajengee nyumba peponi ya daraja ya juu muwe jirani na mtume Muhammad swalallahu aly wasalam amiin

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili9679 3 года назад +3

    Maa Shaa Allah, Badikiweni Sana Kwa Utu Mlio Nao.

  • @shamimhayat7637
    @shamimhayat7637 3 года назад +2

    Alhamdulilah alhamdulilah Allah atawajengea nyumba nzuri peponi

    • @mwanalikhamis9875
      @mwanalikhamis9875 3 года назад

      awajaalie walimsaidia mamaetu huyu awalipe ujira mwema aminamin

  • @SharifJuma-zx3qg
    @SharifJuma-zx3qg 9 дней назад

    Mashallah waislamu na wasiokuwa waislamu tutoweni tulivyo navyo kuwasaidia wenzetu

  • @kingelkindy2920
    @kingelkindy2920 3 года назад +2

    جزاكم الله خيرا ويبارك عليكم علی جهودكم طيبه ــ 💐"💞المؤسسة الفتاح💐"💞

  • @othmanomar9470
    @othmanomar9470 3 года назад

    Mashallah mashallah jazakallah khairah.yaarab wape njia ktk swiratwi yako na ss utue ILI tuwasaidie wanao hitaj

  • @neemahassan5726
    @neemahassan5726 Месяц назад

    Mashaallah mashaallah alihamdulilah namshukur Allah kwa kumsaidia Bibi

  • @ashanassor6845
    @ashanassor6845 3 года назад

    Maashallah tabaaraka Rahman. Allah awalipe khr zake jumuiya ya alfatah kwa kuwa sabab ya kuwapa faraja wazee, mayatima na wote wasiojiweza. Kwa kwel aya ndio maisha tunayostahiki kuyaiga. Hongr zaid ziwafkie wale wote waliotoa mchango wao Allah awalipe jannah 🤲

  • @dianarajab2387
    @dianarajab2387 3 года назад +2

    Mungu awabariki kwa kumsitiri mama yetu.

  • @allykhamis3378
    @allykhamis3378 2 года назад

    Mama pole sana kwa maisha hayo pitia hiyo faida ya mapinduzi ya mwaka 1964 mapinduzi daima

  • @ibrahimadam4272
    @ibrahimadam4272 3 года назад +4

    Mngu ampe furaha Leo na kesho amfunguliye kila lenye uzito amin. Mdhamin letu nikukuombea mngu.✌✌

  • @alhamdulillah5796
    @alhamdulillah5796 3 года назад +1

    Maa shaa Allah. Mm nilikua na wazo moja tu. Kwa kua niwazee na wanaishi peke yao hawana watoto mnaonaje mkawa mnachangisha michango zikajengwa nyumba kubwa halafu wakaekwa kwa pamoja na wakasaidiwa kwa kinachopatikana? Na wale wenye watoto ndio wangekua wanajengewa peke yao peke yao km hivyo.

  • @hamidadada6047
    @hamidadada6047 3 года назад +2

    Mashaallah Allah amlipe pepo kwa walio mfadhili

  • @fatmaaly3056
    @fatmaaly3056 3 года назад +2

    Mbona mulikua kimya sana allah awape afya njema na muzidi kutuletea watu wenye matatizo kuwasaidia

  • @nasranassor6796
    @nasranassor6796 3 года назад

    Maaasha Allah
    Mwenyezimungu awaongezee neema wote wanaojitolea kwa kusaidia wasiojiweza.

  • @aidaalbimany8251
    @aidaalbimany8251 3 года назад

    Mashaallah tabaraka rahman Allah atakujaza kheyr Kwa huyo alotoa msaada ...Alfatah mambo yenu mazuri saana .

  • @sidekomb3448
    @sidekomb3448 3 года назад +1

    Masha allah Allah azid kuwafanyia wepec ktk shughuli zenu. Pia allah awalipe mema duniani na akheraa biidhin allah in sha allah.

  • @yasodishonest9792
    @yasodishonest9792 3 года назад +1

    Mashaallah mashaallah mungu awalipe Al fatah❤❤

  • @dianajavana9435
    @dianajavana9435 3 года назад +1

    Mungu awalinde na awaongoze kwa kila mjambo mlifanyalo nyumban kwenu na mahofisin mwenu🙏🙏🙏😭

  • @naimamohammed3243
    @naimamohammed3243 3 года назад +4

    Mungu aiongezee penye imetoka 😭😭😭😭😭

  • @hamisamaundi5661
    @hamisamaundi5661 3 года назад +6

    Mwenyezi mungu awazidishie waliomjengea nyumba inshallah 🙏

    • @hamisaomar5828
      @hamisaomar5828 3 года назад

      Mashaallah machozi yamenitoka allah atawalipa kheri na walotoa allah atawazidishia kipato zaid wasaidiwe na wwngine mkono kwa mkono hadi peponi

    • @abedamohamed2336
      @abedamohamed2336 3 года назад

      Amina amina amina

  • @rahmahty7026
    @rahmahty7026 7 месяцев назад

    Allah awape na majumba peponi in shaa Allah

  • @swalehmzee5883
    @swalehmzee5883 2 года назад

    Ndugu yangu huo ndio uislamu wakikweli mungu awabariki jambo adimu sana

  • @rahmahersi6584
    @rahmahersi6584 2 года назад

    Mwenyeezi Mungu awazidishie wote wzliomsaidia huyu bibi
    Awape mwisho mwema.
    Aameen.

  • @ayshaalsahafi5714
    @ayshaalsahafi5714 2 года назад

    Mashallah Allah awazidishie Inshallah muwe na Imani hiyo hiyo msibadilike,mzidi kuwasaidia wazee we give

  • @nassoralinassor1698
    @nassoralinassor1698 3 года назад +1

    Mashallah

  • @bellbell9294
    @bellbell9294 3 года назад +2

    Jazaka Allahu khair Allah awajaalie jannat firdaus Aamiin

  • @umrumy9343
    @umrumy9343 3 года назад +2

    Mashaallh mashaallh allh walipe kher nimeona nimelia kwa furaha 😭

  • @safiaothman1098
    @safiaothman1098 3 года назад

    Jazak Allahu Khairaan Kathiraan kwa wafadhili wote.
    Allah awajaalie kila la Kheyr fil Dduniyyah wal Akhiyra, Aamiin.

  • @ummohamed4404
    @ummohamed4404 3 года назад

    Mashalhaa Allha awabarik watoaji Aibarik na Al fatah.awazidishie kheri

  • @rahmamavura406
    @rahmamavura406 3 года назад +1

    Mwenyezimungu awalipe kheri inshaallah...awaapushie na shari na kila aina ya husda mmefanya jambo kubwa sana

  • @salmatanzania405
    @salmatanzania405 3 года назад

    Maa shaa Allah JazzakaAllah khery kwa walio changia

  • @Noreen-gd6js
    @Noreen-gd6js 3 года назад

    Mwenyezi Mungu awabariki

  • @bittybitty2712
    @bittybitty2712 3 года назад

    Masha Allah mungu awape uzima.na nguvu.alfatah

  • @yassirhalimamohammedmohamm5913
    @yassirhalimamohammedmohamm5913 3 года назад

    MashaAllah Mungu awape baraka wote mloifikisha furaha yahuyo bibi

  • @ramadhansimba2928
    @ramadhansimba2928 3 года назад +2

    Mashaallah Allah awalipe mema🙏

  • @fatmaabdalla8543
    @fatmaabdalla8543 3 года назад

    Allah awazidishie lenye kheri na nyinyi na muwe na imani hiyohiyo ya kusaidia wanyonge inshaallah aamin

  • @namirihamisi3899
    @namirihamisi3899 3 года назад

    mashallah hujafa usikate tamaa mungu awabariki kwa msaada wenu Amiin.

  • @mwanakombaabbas93
    @mwanakombaabbas93 3 года назад +1

    Ma shaa Allah

  • @samsungjsevenprime5717
    @samsungjsevenprime5717 3 года назад

    Mashaallah Allah awazidishie Imani wafadhili wote na wahudumu wakusaidia wasojiweza Allah awazidishie umri wenye afya njema

  • @dalilaabdulkarim4458
    @dalilaabdulkarim4458 Год назад

    Mashallah bibi ongera sana Allah ampe afya na umri ameen

  • @fdhjffdhjfsjdjfjfi9477
    @fdhjffdhjfsjdjfjfi9477 3 года назад

    Alhamdulilah Allah awakunjulie kheri na pepo zenye darja ya juuu wale wote wanaohusika kuwafariji nakuwafanyia makubwa maskini au wagonjwa na kheri nyengine na kila alie husika kwa nanma 1 au nyengine inshaallah

  • @asiakinia9344
    @asiakinia9344 3 года назад +1

    Mashaallah Allah Awazidishie kila la kheri alfatah

  • @neemamasudi7988
    @neemamasudi7988 Год назад

    Mungu awabariki sana

  • @huwanamnahizo3129
    @huwanamnahizo3129 2 года назад

    ماشاءالله تبارك الله الف مبروك... ألف مبروك وجزاكم الله خير الجزاء في الدنيا والآخرة يارب العالمين

  • @barakakihaga6481
    @barakakihaga6481 3 года назад +1

    Mashallah tabarakallah

  • @shamsahaji6202
    @shamsahaji6202 3 года назад

    Mashaallah Allah awalipe kheri waliojitolea na amjaalie furaha leo na kesho yaumulqiama amin hongera bibi.

  • @zaitunijuma7831
    @zaitunijuma7831 3 года назад +1

    jaman mungu azid kuwap walio Msaidi 🙏🙏

  • @selwanmohmmed8792
    @selwanmohmmed8792 3 года назад

    Maa shaa Allah Allah azidishe iman ktk nyoyo zetu

  • @omarymtotela7273
    @omarymtotela7273 3 года назад

    Masha Allah Allah awape maitaji yenu fil dunia wali akher

  • @riffatsayedriffatsayed8445
    @riffatsayedriffatsayed8445 3 года назад +2

    May Allah bless you More Inshallah ❤❤💓💓

  • @yusrahkeissy9202
    @yusrahkeissy9202 3 года назад +1

    Allah awajalie walomsaidia hyu bibi awafanyie wepec

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 11 месяцев назад

    Mungu hawajalie waliomsaidia huyo bb

  • @bossmum1112
    @bossmum1112 3 года назад

    Shukran shukran

  • @bintiiddy7043
    @bintiiddy7043 3 года назад +1

    Masha Allah Masha Allah ❤️ Allah awazdishie Riziki

  • @bintsalimalbimany5340
    @bintsalimalbimany5340 3 года назад

    Lailahaillallah machozi yamwnitoka jaman jaman Mola akupe furaha Bib ang yamaisha kutokuzaa aihoja hukutarajia bib lkn Allah kakufariji😢😢😢😢😢nilidhania bib kaolewa 😚😚😚😍

  • @zakiamsafiri123zakiamsafir7
    @zakiamsafiri123zakiamsafir7 3 года назад

    MashaAllah hongera wote

  • @khadijamussa7892
    @khadijamussa7892 3 года назад

    Mwenyez mungu awape kila la kheir kwa hakika inatoa machoz. yarabbi wape kila la kheir wote wenye kutao kwa hali na mali wafanyie wepes kwa kila mazito kwao.

  • @fatmaissa3877
    @fatmaissa3877 3 года назад

    Mashallah mungu awalipe kheiry

  • @khadijasalum2302
    @khadijasalum2302 3 года назад

    Alfatah Allah atakulipeni ujira wenu

  • @alaminmd9274
    @alaminmd9274 3 года назад

    Mashaa Allah
    Mungu awajalie

  • @daifaibrahim1975
    @daifaibrahim1975 3 года назад

    Safi sana mung yu pamoja nanyii

  • @madamiffa3893
    @madamiffa3893 2 месяца назад

    Mashallah ❤

  • @z.nalnabhani7194
    @z.nalnabhani7194 3 года назад

    Allah awalipe kheir Al fatah tv

  • @amourhasaan7242
    @amourhasaan7242 3 года назад

    Allah azidii kukulipen gheri na Baraka katikaa kazii zenu

  • @mwajabumussa4860
    @mwajabumussa4860 3 года назад

    Mashallah hakika mwenyez mungu awalipe kilicho chema

  • @seifjuma6073
    @seifjuma6073 3 года назад

    Allah amzidishie alo waloo mjengea wote inshallah

  • @fhyubhhh2881
    @fhyubhhh2881 Год назад

    Be blessed

  • @albaqaswida678
    @albaqaswida678 2 года назад

    ☝️☝️☝️daah mwenyezi mungu mkubwa

  • @mariammuscat4300
    @mariammuscat4300 3 года назад +1

    Aaallahmdulilah

  • @mussamahmoud2376
    @mussamahmoud2376 3 года назад

    Mtume SAW amesema mwenyekumstiri muislaam Allah SW nayy atamsyiri sikiyakiama Allah amzidishie uwezo yule aliemstr bibihuyo na sisi atupe uwezo ilituwasaidie waislaama wenzetu

  • @abdullatwifsayyid5981
    @abdullatwifsayyid5981 Год назад

    Mashaallah jazaakumuallah kheir

  • @rossamengo7211
    @rossamengo7211 3 года назад

    MA SHA ALLAH furaha isio Isha AL HAMDULILLAH

  • @phunter4115
    @phunter4115 3 года назад

    karibu mtamazaji, niko katika kijiji ,,,, mtazamaji, nikikuletea habari mtazamaji, habari adhimu mtazamaji, mtazamaji! mtazamaji mtazamaji mtazamaji!!!! Come on! Jipange na uwe na preparation nzuri kabla ya kuanza kurikodi taarifa hizi za habari! Mk wengi namna hii na haipendezi kabisa!

  • @lelasalum555
    @lelasalum555 3 года назад

    Ishaalh allh awape mwisho mwemaa

  • @maryamabdullah9169
    @maryamabdullah9169 3 года назад +1

    Mashaallah Allah awazidishie kheri

  • @abdulykiliga4791
    @abdulykiliga4791 3 года назад

    Saf ongera zenu ,mungu awazidishie

  • @zou7470
    @zou7470 3 года назад

    Allah akbar allah awalipe kila lakher waliyo jitoleya kwakumujengea iyo nyumba🙏🙏🙏🙏🙏

  • @adijarashidi1426
    @adijarashidi1426 3 года назад +1

    Maashallah Alhamndulillah 🙏🙏🙏🙏

  • @youngteo5341
    @youngteo5341 3 года назад

    Mungu atakuwafu inshallah

  • @francoisekabanyana444
    @francoisekabanyana444 3 года назад +1

    Merci Seigneur Jésus Christ

  • @alsaarh239
    @alsaarh239 3 года назад

    Maashallah jazaka llau kheri

  • @nasraabdallah850
    @nasraabdallah850 3 года назад

    Mashaallah Allah awajaalie kher al fatah