Maashaallaah,halua ya Wete naikubali sana hapo, nilipofika Wete nikaambiwa hapa mpk twende ukanunue halua ya Wete ndo utakw umefaidi kuja Wete,na hiyo halua kila ikizidi kukaa mda mrefu badala ya kuharibika ndo inazidi kuwa tamu,mm nikiichukua hiyo huwa siili cku ileile naiweka cku kadhaa ndo nakula ni tamu hatariiiiiii, Pembaaaaa Maashaallaah
MASHALLAH SUBANALLAH ALLAH AKBAR I AM PROUD OF PEOPLE OF PEMBA MY ALLAH ALWAYS MAKE THEM HAPPY AMEEN SUMA AMEEN REMEMBER ME IN UR DUA UR BROTHER SIDIK FROM LONDON 🇬🇧 UK WS ❤❤❤❤❤❤❤ HALWA YA PEMBA BEST WETE YUMMY ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Home sweet home naipenda pemba najivuniya kuwa mpemba proudly pemba pemba ww ni mzazi wangu popote niendapo daima upo akilini mwangu love you mom love you pemba mwaaaaaaaah ❤❤❤
Uwanga ni mfano wa viazi mbatata kuna mimea inaotaga mabondeni huko unachimba chin nd unapata hich kiazi kisha unakiani baada ya kukauka unatwanga na kupata unga
Hao ndio wapemba na raha zao Allah aibariki Pemba na watu wake najivunia kua mpemba❤
Nami pia amiii
Yaani machozi yamenitoka ninavyoipenda kwetu one day nitarudi nyumbani Pemba home is sweet❤
Allah aibariki pemba na watu wake. Mtu ni kwao jamani, dhiki za maisha tu humuweka mtu mbali na kwao
Maashaallaah,halua ya Wete naikubali sana hapo, nilipofika Wete nikaambiwa hapa mpk twende ukanunue halua ya Wete ndo utakw umefaidi kuja Wete,na hiyo halua kila ikizidi kukaa mda mrefu badala ya kuharibika ndo inazidi kuwa tamu,mm nikiichukua hiyo huwa siili cku ileile naiweka cku kadhaa ndo nakula ni tamu hatariiiiiii, Pembaaaaa Maashaallaah
Masha Allah naipenda sana nyumbani pemba Allah aijalie amani na neema telee
Amiin❤❤❤
❤❤amiin
Amiin
Ameen
Wengi wanaipenda pemba ila hawataki kuishi pemba
Wapemba wenzangu gonga like apa
Nimekumiss nyumbani eti mpaka natamani kulia 🥺 yaa rabil tulindie pemba yetu 🤲 Inshallah nitarudi nyumbani 🇸🇦🇸🇦
Ulifukuzwa kwani si uende tu 😅
Amiin
Pemba mashaallah pazuli me napenda munavo ongea 😂😂😂😂 pemba oyeee ila wazee mupunguze🤐🤐🤐🤐🤐🤐
MASHALLAH SUBANALLAH ALLAH AKBAR I AM PROUD OF PEOPLE OF PEMBA MY ALLAH ALWAYS MAKE THEM HAPPY AMEEN SUMA AMEEN REMEMBER ME IN UR DUA UR BROTHER SIDIK FROM LONDON 🇬🇧 UK WS ❤❤❤❤❤❤❤ HALWA YA PEMBA BEST WETE YUMMY ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Nyumbani kwetu 😢
Allah atulindie kwetu amiin
Najivunia Kuzaliwa Pemba Ilove You Pandani Tupo Pamoja Wakuu
Naam haluwa ya wete ni tamu kuliko asali hongereni sans🎉❤
Hujambo
Najivunia kuzaliwa Pemba lakini sikupendi kama Unguja
TUWE WAKWELI SISI WAPEMBA TUNAPENDA SUKARI KULIKO WATU WOWOTE DUNIANI. HIYO HALUA NI KISINGIZIO TU SISI NI WATU WA SHIRA KWENDA MBELE
Eh mung tunakmba Kwa tahma zako utujalie kuitoa Zanzibar kwny Mikono ya utawala wa watu weus
Ila jaman kupakuliwa sio matusi kwa watu wapemba musije mukamfikiria vibaya mzee wetu
Naona wezangu wamepakumbuka kwao me mpemba nipo dar na sijawah fika visiwani
Inapswa kuwekwa katk tunu za Zanzibar sbbu ni ya kipekee
Mie mwananchi wa Oman nineowa Pemba
Sababu watu wa Pemba wengi watu wazuri
Karibu sana
Mashallah mashallah mashallah nimefarajika nipo.saudiya
Mashallah
Mungu aibariki pemba yetu nakutaman san 🇰🇪
Unaitamani kivipi yaani, kwani uko jela nje ya Pemba😂
😂😂😂😂😂
@@salma0000jmn tuko mbali twataka sana kurudi ila ishtighali
@@issakassimsaid9097 😂
Kama hujaonja halua ya wete hujala halua bado
Halwa tamu ile madhara yake ni makubwa
Yani. Wapemba tupewe. Mauwa. Yetu t
Sio kila kitu uanze na utangulizi mrefu,badilika bro. shukran sana kwa kutujuvya mambo ya nyumbani
Hongereni sana kwa utayarishaji wa hakua maashallah
Halua yawete haitokei kwengine kokote
Ahsante kwa kutuonyesha nyumbani pemba nkwetuu🤣
Saf Mashaallah
Masha allah
Na kumis pemba nyumbani
Wete
Home sweet home naipenda pemba najivuniya kuwa mpemba proudly pemba pemba ww ni mzazi wangu popote niendapo daima upo akilini mwangu love you mom love you pemba mwaaaaaaaah ❤❤❤
Naam hongereni kwa coverage yenu ya kila mada.
❤❤❤❤❤❤❤❤ sina cha kusema ispokuwa ni upendo tu kwamba nawpenda sana ❤❤❤❤❤
Mashaa allah allah ibariki pemba yetu
Nasema mashaallah haluwayawete nimzurisana lakinimahasidi uchawi.nachoyo kinaiuwa pemba.wengi wanakimbiakwa ubaya wawajinga
Maa Shaa ALLAH, Tabaaraka ALLAH! In Shaa ALLAH ❤
Halwa ya Wete poa
MaShaaAllah .Mbona munatutamanisha? Allah awabariki na awazidishie neema watu wa Pemba Ameen!Hebu fanyeni mtuletee biashara hiyo huku Arabuni !
Amin
Ni kweli wanatutamanisha watuletee oman
@@barwani890 bora uifate Pemba
Ilov you Hom mkoani
Popote nitaenda au nitaishi ila pemba is my real home,i like there
❤Masha Allah shukran jazeelan somo zuri sana
Jaman nimekumis kwetu
Pemba n'kwetu.. Na Halua ni Yetu..
Maashaallah..namuona kijana mwenzangu IBRAHIM mahalua big up sana
Kuna halua ya wete halafu kuna ugali sasa Kama hujui jichanganye !!!
Mashallah najivunia kuwa mpemba❤
Mashallah mashallah mashallah nimefarajika nipo.saudiya
Wete n kwetu kweli nyumbani n raha
Sio ya bakhresa ya unga wa ngano
Mie nataka kujua Uo uwanga ndonini?
Kwetu raha sana huko ndio kinapatikana halwa😋
Mashallaah nampenda pemba,, home pandani ❤❤❤
Mm wa piki lkn nipo dar
Vp unguja inapatkana iyo haluwa ya wete?
Mashaallah allah ailinde pemb yet
Mashallah ALLAh AWABARIK AMiN
Pemba n tz au kenya
MASHAA ALLAHU
Home sweet home 🏡❤
Mashaallah
❤I love you very much at home, by the power of Allah, there will be a day when I will return, Inshaallah
What is stopping you😂
Home sweet home
Mashaala takuja Pemba.
Maasha Allah
Naomba kujua uwanga ni nini au kwa lugha ingine.Huwa naipenda sana halua
Uwanga ni mfano wa viazi mbatata kuna mimea inaotaga mabondeni huko unachimba chin nd unapata hich kiazi kisha unakiani baada ya kukauka unatwanga na kupata unga
Allha anijalie nimpate mke wa kipemba/ Zanzbr
Allahuma amiin 🤲🤲
Huyo mpika halua wakati wa kupika hiyo halua, jee huwa anaitembeza wapi?
😂😂😂 c anaitembeza hapo jikoni huoni
kwenye sufuria
Masha allah
Mashaallah ❤
Mashallah
Masha Allah
Mashallah lakini huyu mbona anatoa code zetu hapo alitakiwa kusema kilakitu unaweza kiasi tuu kama walio mtangulia😅
Naoan ilikua afungue mapishi pemba
Hawezi kutoa password zote
Kafanye wewe uone km hutapika uj😂
@@FikiriniFimofa😂😂😂
ما شاء الله
Utaweza kweli kupika
❤❤❤❤
❤❤❤❤
Ma sha Allh
Mashaallah
Pemba nkwetu
😢
Kwel kbs nitam sana
Hongera, jasho linaingizwa wakati gani au siri ya jikoni.
asante baba haahaa
unatoa siri za watu
Kaona 📷kaporoja yote pengine alikua ana hamu aonekane
jasho liko wapi si umeona ni maneno tu moto wenyewe upo nje
😢😢😢
Najivuniya kuwa mpemba
👍🏼
Mashallah ❤
Hamna ishu nyinyi vurugu tu kila kitu nyinyi
Wacha wivu wwe😏😏
kimekuwasha
Ntambo wa shira
Ulijengwa Unguja wakaufilisi
❤❤❤❤❤❤
ami panaulizwa habar ya jasho kilo ngap
Jasho gani acha uzushi, boflo ndio lina jasho na unakula asubuhi na jioni😅
@@salma0000 ha jamaayang wajitia upofu kias gan moto wote huo yuko chin ya chiko utanambia kaz yke nkuona barid tu
twala tuu majasho nkila pahala
@@mhrmahir3756 usile halua, kanunue soda ktk machupa yasiyokoshwa
Tatizo suali linaulizwa "jasho kilo ngapi" hv kimiminika kinapimwa kwa kilo????
@@Muhammad-el9iz sas wataka dibet mana sis twazungumza mas hara tu apo
Nimefurahi kuiona pemba
Haluwa Tam Malindi peke yake Al-Kudaimy
subutuu ugali wa masika
Eee Wete iyo baba
nikapike halua yangu sasa
Si rahisi kama unavyodhani