HAYA NDIO MAJIVUNO YA WAPEMBA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 окт 2024

Комментарии • 140

  • @hawamohammed9740
    @hawamohammed9740 Год назад +11

    Hao ndio wapemba na raha zao Allah aibariki Pemba na watu wake najivunia kua mpemba❤

  • @hawamohammed9740
    @hawamohammed9740 Год назад +8

    Yaani machozi yamenitoka ninavyoipenda kwetu one day nitarudi nyumbani Pemba home is sweet❤

  • @MuhyiddiniSaid
    @MuhyiddiniSaid Год назад +8

    Allah aibariki pemba na watu wake. Mtu ni kwao jamani, dhiki za maisha tu humuweka mtu mbali na kwao

  • @othmanhamad7887
    @othmanhamad7887 Год назад +4

    Maashaallaah,halua ya Wete naikubali sana hapo, nilipofika Wete nikaambiwa hapa mpk twende ukanunue halua ya Wete ndo utakw umefaidi kuja Wete,na hiyo halua kila ikizidi kukaa mda mrefu badala ya kuharibika ndo inazidi kuwa tamu,mm nikiichukua hiyo huwa siili cku ileile naiweka cku kadhaa ndo nakula ni tamu hatariiiiiii, Pembaaaaa Maashaallaah

  • @abdillahali836
    @abdillahali836 Год назад +19

    Masha Allah naipenda sana nyumbani pemba Allah aijalie amani na neema telee

  • @nasirhamadi8027
    @nasirhamadi8027 2 месяца назад +2

    Wapemba wenzangu gonga like apa

  • @DaudiJuma-oo7kx
    @DaudiJuma-oo7kx Год назад +5

    Nimekumiss nyumbani eti mpaka natamani kulia 🥺 yaa rabil tulindie pemba yetu 🤲 Inshallah nitarudi nyumbani 🇸🇦🇸🇦

  • @sophiaissay6307
    @sophiaissay6307 7 месяцев назад

    Pemba mashaallah pazuli me napenda munavo ongea 😂😂😂😂 pemba oyeee ila wazee mupunguze🤐🤐🤐🤐🤐🤐

  • @Sidik-d7e
    @Sidik-d7e 16 дней назад

    MASHALLAH SUBANALLAH ALLAH AKBAR I AM PROUD OF PEOPLE OF PEMBA MY ALLAH ALWAYS MAKE THEM HAPPY AMEEN SUMA AMEEN REMEMBER ME IN UR DUA UR BROTHER SIDIK FROM LONDON 🇬🇧 UK WS ❤❤❤❤❤❤❤ HALWA YA PEMBA BEST WETE YUMMY ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @faridyshaame4705
    @faridyshaame4705 Год назад +3

    Nyumbani kwetu 😢
    Allah atulindie kwetu amiin

  • @mohdkhamis5687
    @mohdkhamis5687 Год назад +1

    Najivunia Kuzaliwa Pemba Ilove You Pandani Tupo Pamoja Wakuu

  • @Abuumuqbil4994
    @Abuumuqbil4994 Год назад +4

    Naam haluwa ya wete ni tamu kuliko asali hongereni sans🎉❤

  • @TunauzaSimu-fn2ff
    @TunauzaSimu-fn2ff 3 месяца назад

    Najivunia kuzaliwa Pemba lakini sikupendi kama Unguja

  • @MuzneOthman-l7i
    @MuzneOthman-l7i 6 месяцев назад

    TUWE WAKWELI SISI WAPEMBA TUNAPENDA SUKARI KULIKO WATU WOWOTE DUNIANI. HIYO HALUA NI KISINGIZIO TU SISI NI WATU WA SHIRA KWENDA MBELE

  • @MasudiSuleman-ui5wh
    @MasudiSuleman-ui5wh 11 месяцев назад

    Eh mung tunakmba Kwa tahma zako utujalie kuitoa Zanzibar kwny Mikono ya utawala wa watu weus

  • @abdallaameir3153
    @abdallaameir3153 3 месяца назад

    Ila jaman kupakuliwa sio matusi kwa watu wapemba musije mukamfikiria vibaya mzee wetu

  • @IddySimba-fp2cc
    @IddySimba-fp2cc 2 месяца назад

    Naona wezangu wamepakumbuka kwao me mpemba nipo dar na sijawah fika visiwani

  • @salasturky4844
    @salasturky4844 Год назад +2

    Inapswa kuwekwa katk tunu za Zanzibar sbbu ni ya kipekee

  • @mohdalwaili5289
    @mohdalwaili5289 Год назад +1

    Mie mwananchi wa Oman nineowa Pemba
    Sababu watu wa Pemba wengi watu wazuri

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 Год назад +3

    Mashallah mashallah mashallah nimefarajika nipo.saudiya

  • @binmawanja1252
    @binmawanja1252 Год назад +5

    Mungu aibariki pemba yetu nakutaman san 🇰🇪

    • @salma0000
      @salma0000 Год назад +1

      Unaitamani kivipi yaani, kwani uko jela nje ya Pemba😂

    • @nahlahassan-fd6le
      @nahlahassan-fd6le Год назад

      😂😂😂😂😂

    • @issakassimsaid9097
      @issakassimsaid9097 Год назад

      ​@@salma0000jmn tuko mbali twataka sana kurudi ila ishtighali

    • @salma0000
      @salma0000 Год назад

      @@issakassimsaid9097 😂

  • @sultansallah8772
    @sultansallah8772 Год назад +2

    Kama hujaonja halua ya wete hujala halua bado

  • @nassor8819
    @nassor8819 5 месяцев назад

    Halwa tamu ile madhara yake ni makubwa

  • @MohdMohd-y6c
    @MohdMohd-y6c 6 месяцев назад

    Yani. Wapemba tupewe. Mauwa. Yetu t

  • @aliali-ng4de
    @aliali-ng4de Год назад +1

    Sio kila kitu uanze na utangulizi mrefu,badilika bro. shukran sana kwa kutujuvya mambo ya nyumbani

  • @zaitunimsangi1442
    @zaitunimsangi1442 Год назад +1

    Hongereni sana kwa utayarishaji wa hakua maashallah

  • @nassorahmed7956
    @nassorahmed7956 Год назад +1

    Halua yawete haitokei kwengine kokote

  • @JumamjakaMjaka-yx5vw
    @JumamjakaMjaka-yx5vw Год назад +1

    Ahsante kwa kutuonyesha nyumbani pemba nkwetuu🤣

  • @AbuubakarZume
    @AbuubakarZume Месяц назад

    Saf Mashaallah

  • @ummohammed8380
    @ummohammed8380 Год назад +4

    Masha allah
    Na kumis pemba nyumbani
    Wete

  • @mfalmenajjash2128
    @mfalmenajjash2128 6 месяцев назад

    Home sweet home naipenda pemba najivuniya kuwa mpemba proudly pemba pemba ww ni mzazi wangu popote niendapo daima upo akilini mwangu love you mom love you pemba mwaaaaaaaah ❤❤❤

  • @hajjism
    @hajjism Год назад +1

    Naam hongereni kwa coverage yenu ya kila mada.

  • @omarmohammed5157
    @omarmohammed5157 6 месяцев назад

    ❤❤❤❤❤❤❤❤ sina cha kusema ispokuwa ni upendo tu kwamba nawpenda sana ❤❤❤❤❤

  • @ahmadjuma-xx5nd
    @ahmadjuma-xx5nd Год назад +1

    Mashaa allah allah ibariki pemba yetu

  • @saidmohamed1938
    @saidmohamed1938 Год назад

    Nasema mashaallah haluwayawete nimzurisana lakinimahasidi uchawi.nachoyo kinaiuwa pemba.wengi wanakimbiakwa ubaya wawajinga

  • @eshasalim5496
    @eshasalim5496 Год назад +1

    Maa Shaa ALLAH, Tabaaraka ALLAH! In Shaa ALLAH ❤

  • @Lailahemed
    @Lailahemed Год назад +1

    Halwa ya Wete poa

  • @thuriyabarwani5111
    @thuriyabarwani5111 Год назад +1

    MaShaaAllah .Mbona munatutamanisha? Allah awabariki na awazidishie neema watu wa Pemba Ameen!Hebu fanyeni mtuletee biashara hiyo huku Arabuni !

  • @saidrakwe8727
    @saidrakwe8727 Год назад

    Popote nitaenda au nitaishi ila pemba is my real home,i like there

  • @guyogalora2736
    @guyogalora2736 9 месяцев назад

    ❤Masha Allah shukran jazeelan somo zuri sana

  • @salwamohammed4787
    @salwamohammed4787 Год назад +1

    Jaman nimekumis kwetu

  • @allyelbusaid9888
    @allyelbusaid9888 Год назад

    Pemba n'kwetu.. Na Halua ni Yetu..

  • @NassoroHaji-i8k
    @NassoroHaji-i8k Год назад

    Maashaallah..namuona kijana mwenzangu IBRAHIM mahalua big up sana

  • @shaameshaame9721
    @shaameshaame9721 Год назад

    Kuna halua ya wete halafu kuna ugali sasa Kama hujui jichanganye !!!

  • @zuhuramuarabu9711
    @zuhuramuarabu9711 Год назад

    Mashallah najivunia kuwa mpemba❤

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 Год назад

    Mashallah mashallah mashallah nimefarajika nipo.saudiya

  • @pesangwasalim5258
    @pesangwasalim5258 Год назад

    Wete n kwetu kweli nyumbani n raha

  • @FikiriniFimofa
    @FikiriniFimofa Год назад +1

    Sio ya bakhresa ya unga wa ngano

  • @SelemaniDowile-mk1wm
    @SelemaniDowile-mk1wm Год назад

    Kwetu raha sana huko ndio kinapatikana halwa😋

  • @sleyumomar3637
    @sleyumomar3637 Год назад +1

    Mashallaah nampenda pemba,, home pandani ❤❤❤

  • @RahmaAbdulla-uw6jg
    @RahmaAbdulla-uw6jg Год назад

    Vp unguja inapatkana iyo haluwa ya wete?

  • @MohdKhamis-iq4um
    @MohdKhamis-iq4um Год назад

    Mashaallah allah ailinde pemb yet

  • @SaidSaid-c1b9o
    @SaidSaid-c1b9o Год назад

    Mashallah ALLAh AWABARIK AMiN

  • @hassanmwahigo5427
    @hassanmwahigo5427 Год назад

    Pemba n tz au kenya

  • @hydarkim4990
    @hydarkim4990 Год назад

    MASHAA ALLAHU

  • @kairatiswahilli7024
    @kairatiswahilli7024 Год назад

    Home sweet home 🏡❤

  • @saidhamadkhamis8445
    @saidhamadkhamis8445 Год назад

    Mashaallah

  • @anasmakame-ph2yu
    @anasmakame-ph2yu Год назад

    ❤I love you very much at home, by the power of Allah, there will be a day when I will return, Inshaallah

    • @salma0000
      @salma0000 Год назад

      What is stopping you😂

  • @biubwakhamis1032
    @biubwakhamis1032 Год назад

    Home sweet home

  • @hhajimohamad8212
    @hhajimohamad8212 Год назад

    Mashaala takuja Pemba.

  • @MsaudiaShabani
    @MsaudiaShabani Год назад

    Maasha Allah

  • @attunelson8828
    @attunelson8828 Год назад

    Naomba kujua uwanga ni nini au kwa lugha ingine.Huwa naipenda sana halua

    • @YahyaYahya-vp2pp
      @YahyaYahya-vp2pp Год назад

      Uwanga ni mfano wa viazi mbatata kuna mimea inaotaga mabondeni huko unachimba chin nd unapata hich kiazi kisha unakiani baada ya kukauka unatwanga na kupata unga

  • @MasruruAbuuYasr-gs8xd
    @MasruruAbuuYasr-gs8xd Год назад

    Allha anijalie nimpate mke wa kipemba/ Zanzbr

  • @alibaraka6699
    @alibaraka6699 Год назад

    Huyo mpika halua wakati wa kupika hiyo halua, jee huwa anaitembeza wapi?

  • @mohdmaha7438
    @mohdmaha7438 Год назад

    Masha allah

  • @sameersabran5351
    @sameersabran5351 Год назад

    Mashaallah ❤

  • @SaidaAbdalla-t3i
    @SaidaAbdalla-t3i Год назад

    Mashallah

  • @arafamke
    @arafamke Год назад

    Masha Allah

  • @abdallahannwholesaler
    @abdallahannwholesaler Год назад +2

    Mashallah lakini huyu mbona anatoa code zetu hapo alitakiwa kusema kilakitu unaweza kiasi tuu kama walio mtangulia😅

  • @firdaus7428
    @firdaus7428 Год назад

    ‏ما شاء الله

  • @hamedhemed7190
    @hamedhemed7190 Год назад

    Utaweza kweli kupika

  • @sayeedbinazan
    @sayeedbinazan Год назад

    ❤❤❤❤

  • @shuuabdallah6921
    @shuuabdallah6921 Год назад

    ❤❤❤❤

  • @suleimansaid769
    @suleimansaid769 Год назад

    Ma sha Allh

  • @jumamohamed4808
    @jumamohamed4808 Год назад

    Mashaallah

  • @omarmakame3027
    @omarmakame3027 Год назад

    Pemba nkwetu

  • @AishaSalum-h3v
    @AishaSalum-h3v Год назад

    😢

  • @salehsuleiman1218
    @salehsuleiman1218 Год назад

    Kwel kbs nitam sana

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433 Год назад +2

    Hongera, jasho linaingizwa wakati gani au siri ya jikoni.

    • @mhrmahir3756
      @mhrmahir3756 Год назад

      asante baba haahaa
      unatoa siri za watu

    • @malak-lz6kx
      @malak-lz6kx Год назад

      Kaona 📷kaporoja yote pengine alikua ana hamu aonekane

    • @sabihaibrahim143
      @sabihaibrahim143 Год назад

      jasho liko wapi si umeona ni maneno tu moto wenyewe upo nje

    • @salehkhamis-ob8ln
      @salehkhamis-ob8ln Год назад

      😢😢😢

  • @hidayahidaya-vd3ze
    @hidayahidaya-vd3ze Год назад

    Najivuniya kuwa mpemba

  • @fatmakhanii1676
    @fatmakhanii1676 Год назад

    Mashallah ❤

  • @nassormessi-zk5cz
    @nassormessi-zk5cz Год назад

    Hamna ishu nyinyi vurugu tu kila kitu nyinyi

  • @husnamadai7052
    @husnamadai7052 Год назад

    Ntambo wa shira

    • @salma0000
      @salma0000 Год назад

      Ulijengwa Unguja wakaufilisi

  • @nahlahassan-fd6le
    @nahlahassan-fd6le Год назад

    ❤❤❤❤❤❤

  • @mhrmahir3756
    @mhrmahir3756 Год назад

    ami panaulizwa habar ya jasho kilo ngap

    • @salma0000
      @salma0000 Год назад +1

      Jasho gani acha uzushi, boflo ndio lina jasho na unakula asubuhi na jioni😅

    • @mhrmahir3756
      @mhrmahir3756 Год назад

      @@salma0000 ha jamaayang wajitia upofu kias gan moto wote huo yuko chin ya chiko utanambia kaz yke nkuona barid tu
      twala tuu majasho nkila pahala

    • @salma0000
      @salma0000 Год назад

      @@mhrmahir3756 usile halua, kanunue soda ktk machupa yasiyokoshwa

    • @Muhammad-el9iz
      @Muhammad-el9iz Год назад

      Tatizo suali linaulizwa "jasho kilo ngapi" hv kimiminika kinapimwa kwa kilo????

    • @mhrmahir3756
      @mhrmahir3756 Год назад

      @@Muhammad-el9iz sas wataka dibet mana sis twazungumza mas hara tu apo

  • @khalidkhamis8002
    @khalidkhamis8002 Год назад

    Nimefurahi kuiona pemba

  • @seifhabib5987
    @seifhabib5987 Год назад

    Haluwa Tam Malindi peke yake Al-Kudaimy

  • @NassorMohd-y7p
    @NassorMohd-y7p Год назад

    Eee Wete iyo baba

  • @Zanzibar-LandOfBlacks
    @Zanzibar-LandOfBlacks Год назад +1

    nikapike halua yangu sasa

    • @salma0000
      @salma0000 Год назад

      Si rahisi kama unavyodhani