Kumbe Pemba ni ya zamani sana

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024
  • Makala haya kwa hisani ya PeNA TV ya kisiwani Pemba.

Комментарии • 40

  • @mahfoudhcalender2747
    @mahfoudhcalender2747 2 года назад +9

    Wallah nna uchungu na Zanzibar, maana Zanzibar ni nchi ya Kiislam.
    Allah ihifadhi Zanzibar wa watu Wake.

  • @eastafricaqualitychickenfa9916
    @eastafricaqualitychickenfa9916 2 года назад +9

    Mungu avituze visiwa vyetu 🙏

  • @sultanmikoi
    @sultanmikoi Год назад +2

    Waandishi wa historia ya Uislam hii ndio nafasi ya kufanya utafiti zaidi juu ya kuingia kwa Uislam Pwani ya Africa Mashariki

  • @saakabdalla2066
    @saakabdalla2066 2 года назад +2

    Hii inaonesha wazi waislam ndio waanzilishi na watawala wa mwanzo visiwa vya znz kuishi katk visiwa hivo

  • @omarame2071
    @omarame2071 2 года назад +3

    Ni utafiti Mzuri wa kihistoria

  • @Sidik-d7e
    @Sidik-d7e 14 дней назад

    ASSLAMALAKUM WARAMATUALLAH WABARAKATU I LOVE PEMBA PEOPLE THEY ARE TOO KIND MY ALLAH BLESSED THEM AMEEN SUMA AMEEN ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @DadialiDadi
    @DadialiDadi Месяц назад

    Home boy saf Sanaa Kwan taarifaa shehe Wang wa nyumban wingwii❤❤

  • @imsimk.khamis574
    @imsimk.khamis574 2 года назад +4

    Very inresting Archiology findings. The government should look at these important historian of our Islands

    • @ahmedalbalooshi8518
      @ahmedalbalooshi8518 Год назад

      Imsim, huo muda wa kufanya utafiti wa aina hii ni ngumu maana mawazo ni namna gani ya kuchota mali ya umma.

    • @fatmaali2050
      @fatmaali2050 Год назад

      Serikali wenyewe inavunja hayo mahistoria ya Zanzibar mbwa haw

  • @seifseifmohamed7118
    @seifseifmohamed7118 2 года назад +2

    Hata ule Msikiti Wa Kilwa Kisiwani Nguzo Arubaini Ulijengwa na Masahaba au Matabiina wakiwemo watoto wa Sayyidna Athman Bin Afaan (RA).

  • @suleimanrashid3918
    @suleimanrashid3918 2 года назад +2

    Sheikh hao itakua ni wale watu waliokuja na nabii Suleiman enzi hizo na ndio maana kihistoria kisiwa cha misali alifika nabii Suleiman.

    • @saidkaim768
      @saidkaim768 Год назад

      Hhhhh we Tena umefika mbali

    • @Muhammad-el9iz
      @Muhammad-el9iz Год назад +1

      Lkn historia Ya zanzibar wtu wanaificha sjui wanahofia Nn Hao

    • @Muhammad-el9iz
      @Muhammad-el9iz Год назад

      Lkn historia Ya zanzibar wtu wanaificha sjui wanahofia Nn Hao

    • @suleimanrashid3918
      @suleimanrashid3918 Год назад

      @@Muhammad-el9iz wanacho kigicha wanaadam mjngu hukifichua ndio inaanza kufichuliwa hio sasa

    • @Muhammad-el9iz
      @Muhammad-el9iz Год назад

      @@suleimanrashid3918 Ok Wanasema ukweli haupingiki. Zanzibar nin hi ndgo lkn Ina historia kubwa sema hio historia ipo kwenye vifuwa na midomo na Dunia kwassa inaamini maandishi lkn ndyo mambo yanadhihiri Kama hvo. Wanasema ukweli haupingiki.

  • @sayidabdillah8505
    @sayidabdillah8505 2 года назад +1

    Asalam alykum,ahsante sana sheikh wetu tunashuru sana sisi vizazi kwenye asili ya Pemba kujuwa asili na ukongwe wa nchi yetu ya Pemba, asili yetu ni dini ya kiislam tuu pekee na sio ukafiri wa kikiristo

  • @ahmuhally4430
    @ahmuhally4430 2 года назад +3

    Historia ya Zanzibar inazidi kutuumiza Wazanzibar

  • @alhamdulillahalhamdulillah7529
    @alhamdulillahalhamdulillah7529 2 года назад +1

    Shukran Baarakallahu fiiqu

  • @IlyasaBakar
    @IlyasaBakar 3 месяца назад

    Ustadhi khamis tunataka kujuwa zaid kusu historia Ii kwaiyo napendekeza kutafutwe watu wa afya Ili tujuwe ukweli zaidi

  • @nassorsuleiman6063
    @nassorsuleiman6063 2 года назад +1

    Interesting study to be published

  • @salmasalim6055
    @salmasalim6055 2 года назад +1

    Mashallah

  • @jumamohamed4808
    @jumamohamed4808 Год назад

    Mashaallah sheikh murubain nakuelew muda tokea nyumban ALLAH akupe afya njema

  • @adambakar8265
    @adambakar8265 Год назад

    Nenda na tumbatu

  • @IlyasaBakar
    @IlyasaBakar 3 месяца назад

    Aslam a likum warahmatullah 5:55 5:59

  • @IlyasaBakar
    @IlyasaBakar 3 месяца назад

    Aslam a likum warahmatullah

  • @mahfoudhcalender2747
    @mahfoudhcalender2747 2 года назад

    Kwa utafiti wangu, zama hizo ni zama za Mataabiina baada ya Maswahaba. Na Swahaba wa Mwishu kufa ni Abuu Tufayli Amir bin Waathilah (R.A) mwaka 100 H.

  • @husseynhamad9790
    @husseynhamad9790 2 года назад

    Mashallah

  • @kassimomar7589
    @kassimomar7589 2 года назад

    Muarubaini

  • @Ahmadasshii-raazy8888
    @Ahmadasshii-raazy8888 2 года назад

    رضي الله عنك شيخنا

  • @Ahmadasshii-raazy8888
    @Ahmadasshii-raazy8888 2 года назад

    رضي الله عن اجدادنا

  • @yassirrashid7802
    @yassirrashid7802 2 года назад

    Duuh

  • @Binfuad
    @Binfuad 2 года назад

    Maashallah

  • @jumafundi2871
    @jumafundi2871 2 года назад +1

    Tumetoka pazuri ila tumepelekwa pabaya tenasana kilamtu analijua hilo, na dini ipo mudamrefu zaidi ya hiyo miaka700