UONE MSAAFU WA MAAJABU ULIOPO KISIWANI PEMBA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024

Комментарии • 63

  • @hafidhmussa7887
    @hafidhmussa7887 3 года назад +7

    Mm ningaliomba huumsahafu ukawawa wakuapishiwa maraisi wazanzibar iliwakienda kinyume uwarudi.

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 2 года назад +1

    Akili zenu zipo katika ushirikina tu ndio maana umaskini na ufukara isiondoke wanga wakubwa

    • @saidissa8273
      @saidissa8273 Год назад

      HAO sio maskini hata ukiwapa mamilioni utawaona HIVYOHIVYO.hawana hata hicho unachokiona wewe ktk akili zao.

    • @ahmedalbalooshi8518
      @ahmedalbalooshi8518 Год назад +1

      Haji, usipotoshe jamii.Watu wa Pemba ni walioridhika na hali zao na wala hawana tamaa kama ilivyo jamii zingine.Umasikini wao ni bora kulilko utajiri wa wengi wanaodhulumu na kuiba mali za umma.
      Kuhusu ushirikina,hakuna jamii,ndani ya Tanzania,ambayo hawafanyi hivyo.

    • @machetebogota4218
      @machetebogota4218 Год назад

      @@ahmedalbalooshi8518 Ila wapemba ndo kiboko wenyeew wanakukimbia kwao na wakija UNGUJA hawataki rudia kwao wamejazana hapa na ushamba wao mpaka ote twaitwa wapemba fyuuu

  • @dulaseif5001
    @dulaseif5001 3 года назад

    Serikali inawahusu nini na huo msikiti

    • @alhadajjmohammedsmith9042
      @alhadajjmohammedsmith9042 Год назад

      Kwanza Serikali Haina Dini, zaidi watageuza Kitega Uchumi Cha Kuwaingiza Kipato kutoka Kwa Watalii na kukiuka Lengo/kusudio kuu la Qur'an/Msahafu.

  • @MalkiaMassoud
    @MalkiaMassoud 3 месяца назад

    Allahu Akbar laa ilaha illa allah, Muhammad rasulu allah

  • @hajiameir8688
    @hajiameir8688 3 месяца назад

    Huo sio msahafu wa kawaida msahafu wa kawaida hauuwi hicho ni kitabu cha kichawi tu kama ghazzal jaushani na seif qatil haruob qatil na vyenginevyo msinasibishe quraan takatifu na vitabu vyenu vuengine vya kichawi na kiganga

  • @ZamzamHassan-hz4nr
    @ZamzamHassan-hz4nr 3 месяца назад

    Mwandishi uko kifedha zaidi..
    Jua Quran haiuzwi.
    Pia hii habari imekaa ktk sura ya kishirikina mambo ambayo hayakufanywa na mtume wala Maswahaba

  • @Yunussmuhsinmitii
    @Yunussmuhsinmitii 3 месяца назад

    Mungu mkubwa

  • @MussaOthman-x6y
    @MussaOthman-x6y 9 месяцев назад +1

    🤔🤔🤲🤔🤔

  • @hemedsalummbarouk7801
    @hemedsalummbarouk7801 2 года назад +1

    Sasa hu msafu ubora wake ni nini?kuuwa watu ndio jambo la msingi au vipi mbona sijaelewa

  • @alhadajjmohammedsmith9042
    @alhadajjmohammedsmith9042 Год назад

    Je, yaliyomo ktk hicho Kitabu (Msahafu) ni Qur'an sahihi?!
    Kama ni Qur'an sahihi kabisa basi huo Msahafu utunzwe vema na uzingatie kivitendo Kwa Mujibu wa Mafundisho ya Uislamu na si kufanya miongoni mwa Chombo Cha Utalii na kuapizana tu! Tufuwate taratibu sahihi za kuapizana tuapizane Kwa kufuata Utaratibu wa Kiislamu.
    Bila shaka hiyo Qur'an ni Mwongozo, Ukumbusho, mwonyaji na Shufa/Ponyo Kwa Nafsi na Kiwiliwili. Hivyo tusiweke Kipaumbele ktk Kipato/Uchumi Kupitia kuionyesha Kwa Watalii na Kwa Kuapizana na kuwacha Makusudio/Malengo Mhimu ya Qur'an.

  • @yasalaam590
    @yasalaam590 3 года назад +2

    Assalamu alaykum
    Mh msije mkajaribu kuutoleshs pesa kwa ajili ya maonesho waacheni watizame buree hio qur. Ani ni ya allah

  • @shaksbinsalim453
    @shaksbinsalim453 3 года назад +1

    jamani kama nimaneno ya allah kweli huwahayafanyiwi utali kwa wasiyokuwa waislamu hatawaislamu maana kuna aya hatamoja inasema kama maneno ya allah yakukuwa ya utali hata yafike karine kumi wacheni mzaha naallah waislamu munapotea

  • @issahassan8361
    @issahassan8361 Год назад

    Sio kweli mnadanganyana tu
    Km msaafu ndani yke kuna maneno ya Allah na km itakua ni hivo
    Misaafu ipo mengi na maneno ya Allah ndio yale yale , sema nyie mnaufanyia itikadi za kishirikina na ukiitakidi kitu chichote bc kinakudhuru
    Na hao wanaohojiwa wanabahatisha hio storia kwaio ni uongoo.

  • @yahyahamad1802
    @yahyahamad1802 Год назад

    hebu mambo yenu ya kishirikina.msiyaingize Kwenye.dini.nyie.iteni Kua ni kitabu sio.msahafu wala msiweke msktini

  • @KhamisShetani-pg3ws
    @KhamisShetani-pg3ws 11 месяцев назад

    Kwankni ikiwa unatumika Kwa ajili ya Tina usiendelee kutumika Nils ya kufanya shiriki

  • @HamidKhan-sb2xk
    @HamidKhan-sb2xk Год назад

    Asalam waleikum hapo ni jambo la muhimu sana tuwasikiliza???ila hiyo neno katumia ni chafu sana na haifai kabisa. ??? Lugha akajifunze kwenza huyo mototo afu aingia kazi. Tafadhali sana. (Allhamdullahi takatifu kuran sheriff haiku OKOTWAA". elewa iyo na kwa vyovyote mpaka siku yu kiama haitakua hata kwa sekunde moja. (Ni NURU KUTOKA HAZINA WA MOLLA) WALEIKUM SALLAM.

  • @kindi4926
    @kindi4926 3 года назад +1

    Ni makosa kushajiisha kipato hio ni Qur'an

  • @kassimomar7589
    @kassimomar7589 3 года назад +2

    Wingwi mtakaooo

  • @a.856
    @a.856 3 года назад +2

    Jazakallah khayran

  • @dulaseif5001
    @dulaseif5001 3 года назад +2

    WEE MTANGAZAJI HUFAI

    • @jicholetu7176
      @jicholetu7176  3 года назад

      Kwann sifai mtangazaj wa msaada maana nipe sababu nieke sawa 0776197488

    • @jicholetu7176
      @jicholetu7176  3 года назад

      Hustahili kumtoa maanani Mwandishi na hata kama ungekua unahitaji kumuelekeza basi ulitakiwa utumie lugha mzuri na sio kejeli

    • @abdullatifhassan9399
      @abdullatifhassan9399 2 года назад

      Kakosea wap brother

    • @wardatothman2881
      @wardatothman2881 Год назад

      ​@@jicholetu7176mtangazaji hiyo ndio namb yako nikutafute

  • @thedon8467
    @thedon8467 6 месяцев назад

    Kuna kitabu kina itwa ghazali isije ndio icho

  • @dulaseif5001
    @dulaseif5001 3 года назад

    Wewe MTANGAZAJI unarukia rukia mtu hapati kuelezea chochote mara usharukia yani unaemuhoji nawe muandishi bora weye munazungumza sawa sawa

  • @rasadsaid1818
    @rasadsaid1818 2 года назад +1

    Huu ni ushirikina tuu

    • @machetebogota4218
      @machetebogota4218 Год назад

      Kabisa na wat wapemba ni washirikina mno hawana tofaut nawatu wakule Tanga

  • @adislahlovo7409
    @adislahlovo7409 3 года назад +1

    Subhana llah huo ni ukubwa wa allah msahafu hakuzama wala haukuroa

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 2 года назад

    Msahafu au kitabu cha kichawi mbona una alama za kimasonic

  • @hamidakondo4579
    @hamidakondo4579 3 года назад +1

    Quraan haiuzwi ni vibaya

  • @HamidKhan-sb2xk
    @HamidKhan-sb2xk Год назад

    Zawadikutoka kwa mwezi mungu we wataka kuigeuza biashara. Nja gani hiyo. Si wafanye kazi kama wale mababu walivyo fanya.magorofa na magari za kfahari zina sehemu zake. Hapo ni aamani tupu halisi.

    • @alhadajjmohammedsmith9042
      @alhadajjmohammedsmith9042 Год назад

      Hapo lbilisi amesha fanya Fitna Kupitia Msahafu huo hata hiyo Kamati ya Msikiti Kuna Hatari ya kuhusudiana kutokana na Pesa ipatikanayo Kupitia huo Msahafu.

  • @saidissa8273
    @saidissa8273 Год назад

    hamjapata manufaa yote kwayo.zaidi ya hasara.hebu kuweni kisasa zaidi

    • @alhadajjmohammedsmith9042
      @alhadajjmohammedsmith9042 Год назад

      Ipo haja Wasomi, Masheikh (Maulamaa) wa Kiislamu waache Kuchambana (Radi) Mitandaoni wajikite zaidi kutowa llmu ya Dini (Imaan/Taqwa) sahihi Kwa Mujibu wa Uislamu. Jamii inapotea Kwa kufanya Kufuru/Shirki ya waziwazi.
      Innalillahi Wainna llahiyl Raj oun
      😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @dulaseif5001
    @dulaseif5001 3 года назад

    Weye muandishi vipi akili yako ipo kwenye pesa

  • @hamadifaki9827
    @hamadifaki9827 2 года назад

    Mtakuj apoooooo

  • @zeanamohamed4072
    @zeanamohamed4072 3 года назад

    Subhanallah mwenyezi mungu mkubwa

  • @husseinfaki7380
    @husseinfaki7380 2 года назад

    Allwahu akbar

  • @hemedsalummbarouk7801
    @hemedsalummbarouk7801 2 года назад

    Tuonnyesheni jinsi munavyo ingiza kwanye maji ni kweli au mnazingua

  • @mshengavuai5004
    @mshengavuai5004 3 года назад

    Hmmmmmm

  • @maryamabdullah9169
    @maryamabdullah9169 3 года назад

    Subhana llah

  • @munamohd963
    @munamohd963 3 года назад

    Subhana lwah

  • @allyfundi2931
    @allyfundi2931 3 года назад +1

    Acheni ushirikina na imanipotofu

    • @zahorsalum663
      @zahorsalum663 3 года назад +1

      we nimpuuzi tuu mbona ht nywele zamtume wetu zimehifadhiwa nanguo naviatu wala hatujawahi kusikia niushirikina itakua msaafu kwani kunakosa gani .msituletee ujinga ktk dini yetu someni msijitie mnaelimu wala hamna chochote mikojo nyy

    • @ramadhanhajji622
      @ramadhanhajji622 2 года назад

      Bela natamani kuja kuona huwo msahafu

    • @nabillkhamis8188
      @nabillkhamis8188 2 года назад

      Ukimuona mtu anakwambia ni ushirkina uyo ni salafi wabaya sana salafi kwa kujiona wawo ni wasafi

    • @machetebogota4218
      @machetebogota4218 Год назад

      @@nabillkhamis8188 Bora salafi au ushirikina maana nyie washirikina hamtaki kuambiwa ukwel

    • @abumuhammad2572
      @abumuhammad2572 Год назад

      @@nabillkhamis8188 Usiite watu wabaya kwa sababu ya maoni ya mtu mmoja, unawajua salaf wote wa uliwenguni, inaonesha weye ndio mbaya na huyo alie comment humjui kwann umnasibishe na salaf, soma dini yako Nabil usikurupuke tu