(SIRI) PEMBA ILITUKUZWA NA MITUME WA ALLAH (SEMA NASI)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 ноя 2023
  • Kutoka AL FATAH TV .
    Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
    #AlfatahTvOnline​​​​​​​​​​​​
    #AlfatahCharitableAssociation​​​​​​​​​​​​
    #ZANZIBAR​​

Комментарии • 132

  • @emuthree
    @emuthree 7 месяцев назад +1

    Mashallah.....si kuna utaalamu wa kuyatengeza haya majengo yakawa kama vile vile.... au hata kama yatakuwa kama gofu hivyo, lakini yachapiwe kiutalaamu yawe hivyo hivyo.....Ujerumani wamefanya hivyo kwenye majengo yao ya kihistoria

  • @SaadIssa-mw4gh
    @SaadIssa-mw4gh 7 месяцев назад +2

    Pemba na Mafia ni visiwa mashuhuri sana,vina historia kubwa sana duniani, tatizo serikali zetu ndio wamevitelekeza

  • @mohamedjuma1878
    @mohamedjuma1878 7 месяцев назад +1

    Asante kwa elimu Yako shekh nimeipenda mno❤

  • @Samsungjprime-ww9ve
    @Samsungjprime-ww9ve 7 месяцев назад +1

    Mashaallah najivunia kuwa muislam nakuwa mpemba orij

  • @rayamasoud2819
    @rayamasoud2819 7 месяцев назад +2

    Nimeshawah kufika Alhamdulillah kuzur sana najivunia kua mpemba

  • @rizikirashid1199
    @rizikirashid1199 7 месяцев назад

    MashaALLAH kumbe ata Afrika mashariki ilifikwa na maswahaba

  • @mariamsalim9311
    @mariamsalim9311 7 месяцев назад

    Mashaallah Mashaallah umeeleza vizuri sana Allah baridi fii

  • @user-qo8uj1ym4m
    @user-qo8uj1ym4m 7 месяцев назад +1

    ❤Alfatah tv kiboko ya wote❤pemba yetu ina mzr mengi na tunajivunia nayo ardhi yenye kuvutia

  • @user-ru1oq6eh2z
    @user-ru1oq6eh2z 7 месяцев назад

    Mashallah 😮😮😮

  • @salimasalim405
    @salimasalim405 7 месяцев назад

    Alhamdulillah❤❤❤❤❤

  • @muhammadiabassi656
    @muhammadiabassi656 7 месяцев назад

    ماشاء الله

  • @user-to4jw7tm1j
    @user-to4jw7tm1j Месяц назад

    Alhamdulillah from mozambiq

  • @twahirsaid5636
    @twahirsaid5636 7 месяцев назад +1

    Home sweet home Allah barrik

  • @omarkhalfan2985
    @omarkhalfan2985 7 месяцев назад +2

    Mashallah shekh wetu kwa good history Allah bless you

  • @jumamkali8307
    @jumamkali8307 7 месяцев назад

    Mashaallah umependeza san

  • @salimmohd4999
    @salimmohd4999 3 месяца назад

    Maasha allaah

  • @azizams5721
    @azizams5721 7 месяцев назад

    Mashallah

  • @Kimochatv
    @Kimochatv 7 месяцев назад

    Mashaaalaaah

  • @user-kz2uv4im2d
    @user-kz2uv4im2d 7 месяцев назад

    Tumshukuru Allah

  • @user-mi3cs9lc6y
    @user-mi3cs9lc6y 7 месяцев назад

    Mungu ndio mjuzi zaid

  • @user-gk3wz8wb3t
    @user-gk3wz8wb3t 7 месяцев назад

    Hapo nakumbuka nilikuja 2008 kwa kweli niliinjoy sama Alhamdulillah

  • @abassjuma6248
    @abassjuma6248 7 месяцев назад

    Umejitahidi.Sihaba ndugu umejitahidi

  • @labunaabouna6122
    @labunaabouna6122 7 месяцев назад

    No comment mana kuna maelezo sahihi lkn nahisi story mangine .ila mashallah kajitahdi

  • @jumamajid7557
    @jumamajid7557 7 месяцев назад

    Muogopeni mungu

  • @fatimasaid9469
    @fatimasaid9469 7 месяцев назад +2

    Mashallah tabaraqah ❤.
    Sheikh Rashid kuna mji mkongwe pemba pls naomba tupatie history yake wa jambangome tunausikia tu. Mji wa kwanza kuliko chake chake pls 🙏

    • @allyibrahim2507
      @allyibrahim2507 7 месяцев назад +1

      Ilikuwa bandari ya mwanzo kabla ya mkoani lakin kilianza kufa au umashuhuri wake kupotea mwaka 1928 bandari na skuli zilipohamishiwa mkoani

  • @nicksonlyimo1562
    @nicksonlyimo1562 7 месяцев назад +1

    Waislaamu bhana !!! Kila alipokua mwarabu wanaona ni pahala patakatifu ,Mungu arehemu

    • @IsmailElmazroui
      @IsmailElmazroui 4 месяца назад

      Umeshiba nguruwe Tu sehem takatifu ni kidini ni makka watu wa dunian kote wanaenda kufany ibada sehem ya stareh dunia mzima ni Dubai yote ni uarabuni Acha chuki zako

    • @nicksonlyimo1562
      @nicksonlyimo1562 4 месяца назад

      @@IsmailElmazroui yaani unamtaja ngurue kama vile unamjua vizuri Sana ,hata wewe unaruhusiwa kula kidogo. Bila kishiba na kubeba endapo umebanwa ,,pia zipo dawa kibao zimejaa ngurue na zinatumika 2

    • @nicksonlyimo1562
      @nicksonlyimo1562 4 месяца назад

      @@IsmailElmazroui we nyamaza tuu ,endelea kujua unavojua hakunaga mahali patakatifu Duniani watu wanapokua watakatifu ndio wanasababisha mazingira ya mahali kua patakatifu ,mfano watu wakiwa eneo Fulani ,walevi ,wazinzi waizi wauaji huo mtaa utapewa jina la sifa iliyopo,wewe kama umeproof kua Kuna mji Mtakatifu basi sawa sikupingi lakini uhalisia ni historia ya mahali ,kama Dubai ndio mahali pa Raha duniani basi ujue maana ya Raha ni uovu kwa asilimia kubwa , kama unaweza kua na ufahamu pasi fikiri watu wanapoenda kula Raha ni majambo Gani yana jiri huko.,usije uka Dhani kua Mungu anaishi kwenye dini ,my friend Mungu Mtakatifu anakaa na mioyo ya watu na haki na dini yeyote Ile,na hakuna dini takatifu popote Wala nabii Wala Mungu hajawahi eleza kitu hicho ,ni watu na mbwembwe zao tuu kutukuza vitu kuliko Mungu.

    • @Anuarmustafa4128
      @Anuarmustafa4128 Месяц назад

      Na wakiristo vile vile kila walipokaa makafiri wao ndo wanaona ni pao

  • @athanaskipeto572
    @athanaskipeto572 7 месяцев назад

    Babu yuko vizuri ni tunu ya taifa na uisilam

  • @hemedrashid7186
    @hemedrashid7186 7 месяцев назад

    Na mm nitakuja inshallah

  • @hudaaalhussein3841
    @hudaaalhussein3841 7 месяцев назад +1

    Dini ya mitumi wte ni uislam

  • @ankaldally2734
    @ankaldally2734 3 месяца назад

    Ahhhhhhh dah huu ujinga tu.

  • @user-re3zo7ie5e
    @user-re3zo7ie5e 7 месяцев назад +1

    Mzee nimwana historia mbobezi

  • @TalibMuhsin
    @TalibMuhsin 22 дня назад

    Hata nabii suleiman Alifika pemba misali ilikua inaitwa musallah

  • @nassirzamzam9312
    @nassirzamzam9312 7 месяцев назад +1

    Mimi maoni yangu hao walio zikwa kulekea chini naona ni wareno

  • @suleimansalym7537
    @suleimansalym7537 7 месяцев назад

    Nyumbani kabisa uko 😊😊😊😊

  • @user-zg4km1dc6z
    @user-zg4km1dc6z 7 месяцев назад

    Tumbatu pia kuna historia nzito lkn serekali wamekubeza sana.

  • @jumayusuf1694
    @jumayusuf1694 7 месяцев назад

    Yaani uislam ulifika Pemba Kuliko Vitongoji vya Madina sio ndio Mapenzi ila Mengine Yapunguzwe

    • @freemason.official3792
      @freemason.official3792 3 месяца назад +1

      Ww unachuki na upemba sio Bure ata historia hujawai kusoma unaanza kubishana

  • @user-re3zo7ie5e
    @user-re3zo7ie5e 7 месяцев назад +1

    Huyo jamaa anaye pinga inawezekana anayo historia na anajua kwahivyo na yeye atowe historia kama huyu mtaalamu anavyo toa historia nzuri na yakuvutia

  • @nakalikyumile3234
    @nakalikyumile3234 6 месяцев назад +1

    Sasa wagiriki walikigundua hicho kisiwa je hakikuwa na wakazi wenyeji?acheni ujinga

  • @nafuutayb8452
    @nafuutayb8452 7 месяцев назад

    Aaaa!!! tushawazowea ila historia ya uislam bora mgeliicha tu shikeni ayo mengine

  • @user-ou2qr1sb9x
    @user-ou2qr1sb9x 7 месяцев назад

    Kwawale wenye kupinga kujenga kibla wangetizama asiliyake hio

  • @MahirOmar-wh6vu
    @MahirOmar-wh6vu 7 месяцев назад

    Assalam alaykum nauliza hiyo Karne ya kwanza waliokuepo Huku Pemba najua Ni watu lkn Ni akina Nani ?

  • @clarencehilary5588
    @clarencehilary5588 7 месяцев назад

    Kwahiyo uislam ulifika pemba kabla ya mtume hajazaliwa

  • @salhkasmm558
    @salhkasmm558 20 дней назад

    Ndio maanawakawa wengi nimahasidi wauchawi ndio mloachiwa hivyo.

  • @user-yj5es1jw8c
    @user-yj5es1jw8c 7 месяцев назад

    Tuonyesheni watu wa isa tuendeleze hapo

  • @josephmasanja8584
    @josephmasanja8584 6 месяцев назад

    Kwa mtu yeyote mwenye akili timamu hawezi kupenda na kusifia lolote la kiarabu tokana na waliyoyafanya hapa Tanzania, na wanayofanyiwa wanawake wa kiafrika wanaokwenda uarabuni tangu zamani hadi leo hii!! Ni upuuzi mkubwa saana

  • @ahmedbaamironlinetv4753
    @ahmedbaamironlinetv4753 7 месяцев назад

    SISI tuna histoyetu Mkia ng’ombe chaajabu eti waliandika kua watu kutoka China 😃😃 Wakati SISI tupo

  • @Auf-uh3jq
    @Auf-uh3jq 7 месяцев назад

    Ndio wakazaliwa kina Bachu Albarzanji 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @salummzee9739
    @salummzee9739 7 месяцев назад +1

    Mbona hijira za Mtume zimetajwa na Uhabeshi ktk Qur-an Yemen 🇾🇪 na mpk leo sisila za Uchamungu zipo pemba haikutajwa ktk History ya uislamu wala ktk Qur-an

  • @HajiAbubakar-nb2ue
    @HajiAbubakar-nb2ue 7 месяцев назад

    We mtangazaji kipindi cha issa kulikuwa hakuna kanisa makanisa yamekuja baada ya issa kupaa mbinguni

  • @hemedrashid7186
    @hemedrashid7186 7 месяцев назад

    Hv kuna ukweli Nabii Sukeymani alifika ktk kisiwa Mesali?

  • @IddyKawaya
    @IddyKawaya 7 месяцев назад

    Matajirii wa kiislam oneniii eneo hili.ipo umuhimu wa kujengaa mskiti na ataa jitimai tunakuwaa na sehemu kmaa hizo za kale kwendaa kufaanyaa uko ataa mashindanoo ya kusoma Quaran tukufuu jmn vichwaa vyetu viiwazee juu ya Allah

  • @ahmedalbalushi6239
    @ahmedalbalushi6239 7 месяцев назад +1

    Wacheni kushindana na wajinga , mukitaka musitake Zanzibar ina historia kubwa na dini . Wapuuzeni tu

  • @odilowairinga6324
    @odilowairinga6324 7 месяцев назад

    Kuna mtu mqingine akisema pepo ipo arusha

  • @MohamefMullah
    @MohamefMullah 7 месяцев назад +7

    Wacheni chuki na husda ambazo hazina msingi, Pemba ni kisiwa pekee au sehemu pekee yenye historia ya kuvutia na yenye ukweli, wewe unaepinga Najua wewe ni mbara jaribu kutembelea pemba ulizia mkamandume huko utapata historia ya mkamandume itakushangaza, kulikuwa na kiongozi muislam alijenga jengo na wake wawili na kisima chenye ukuta uliogawa wanachota maji bila kuonana ndoo ndio zinagongana, na alichimba msingi umbali wa kilomita 3 ili kuyafanya maji ya bahari yafike nyumbani kwa ajili ya kufika jahazi yake mpaka kwenye nyumba, Pemba ni kisiwa hata jina lake ilitambuliwa kwa Aljazeera, Pemba ni eneo pekee baada ya maka ambayo imebakia imaani angalau kidogo

    • @jokhaalharthi5807
      @jokhaalharthi5807 7 месяцев назад

      Bbbbbbkkb

    • @omarkhalfan2985
      @omarkhalfan2985 7 месяцев назад

      Mashallah

    • @hassannachia3946
      @hassannachia3946 7 месяцев назад

      Mbina hamendi kuishi kwenu mmejazana tu unguja mnaishi mpka kwenye vyanzo vya maji na mabondeni mnatia aibu

    • @mwawekomiuda9779
      @mwawekomiuda9779 7 месяцев назад

      Na kuongezea ni mpaka kilwa bara. Mbona Tanzania ina historia kubwa tu ndugu yangu. Pemba ina historia kweli.

    • @abuuabdirrahmaan4132
      @abuuabdirrahmaan4132 7 месяцев назад

      naona kama hujui unachosema

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433 7 месяцев назад

    Wapemba wengi wana sifa ya kuamini kama zile za watu tunaowasoma vitabuni. Naamini hata kaburi ya mpendwa wetu Maalim lingeachiwa tu lingeaminika kuwa ni la sahaba.

  • @AbdullaSeifKhamis-tv4zq
    @AbdullaSeifKhamis-tv4zq 7 месяцев назад +1

    Huo ni tokea nabii Issa niulize Huo msikiti kibla chake Umeelekea makka Au madina?

    • @abdallasalim3918
      @abdallasalim3918 7 месяцев назад

      Uligeuzwa kuwa msikiti wa kawaida mbona alisemna

    • @mhrmahir3756
      @mhrmahir3756 7 месяцев назад +1

      kama ni toka nabii issa kwa hakik ni uongo na atakaepinga atuletee wap kapa hio
      hivi jaman haiwi wakat wa mtume sallahu alayh wasallam mambo mengin hayajulikan vp tokea nabii issa wameayapat wap hayo kisha mzee kusema uislam ulifik mwanzo pemba kuliko madin kwa hakik amche mola wake hata km umpemba na mie ivo ivo

    • @hudaaalhussein3841
      @hudaaalhussein3841 7 месяцев назад

      Baytul maqdis,

  • @abuuabdirrahmaan4132
    @abuuabdirrahmaan4132 7 месяцев назад +1

    MZEE UOO VIZURI SANA ILA KUNA JAMBO MOJA UMECHEMSHA SANA UNAPOSEMA KWAMBA NI MSKITI WA WATU WA NABII ISSA YAANI KABLA YA UJIO WA NABII MUHAMMAD HALAFU UNATUONYESHA SEHEMU YA KUSOMEA ADHANA ILHALI UNAJUA SHERIA YA ADHANA IMEKUJA NA NABII MUHAMMAD HAIJAJA NA NABII YEYOTE KABLA YAKE?!!!!!!

    • @user-zt5cz4og2k
      @user-zt5cz4og2k 7 месяцев назад

      Ilianza kusomwa adhana baada ya kuja watu wa nabii Muhammad S.A.W

    • @oii6zlaboshelby17
      @oii6zlaboshelby17 7 месяцев назад +1

      Hajasema msikiti kasema jengo la ibada la watu wa nambii issa

    • @mhrmahir3756
      @mhrmahir3756 7 месяцев назад

      hitoria za uongo hizo jamaa ta km tuwapemba twapata dhamb

    • @saidathuman1536
      @saidathuman1536 7 месяцев назад

      Mzee kasema Jengo hilo la msikiti lilitumiwa kabla utume wa Muhammad na baada ya wajumbe wa mtume walipofika Pemba!!

    • @manaphymohd4145
      @manaphymohd4145 7 месяцев назад

      Ukiskilza vzr utaelew vizr hukuelew ww nd man ukasema ivo

  • @Muadhin1
    @Muadhin1 7 месяцев назад +1

    SWALI MOJA. JE MISIKITI YENU IMEELEKEA MAKKA AU PALESTINE? NDO UTAJUA KAMA UISLAMU UMEFIKA MWANZO UNGUJA KABLA MADINA. HIYO HISTORIA NI YA UONGO. MM NIMEULIZA DARASANI NA NIKAAMBIWA KAMA KWELI BASI HAO MASWAHABA WANGESEMA KUWA KUNA WENZAO WAMEENDA PEMBA.

    • @abdallasalim3918
      @abdallasalim3918 7 месяцев назад

      Walisema wapi na wapi

    • @abdallasalim3918
      @abdallasalim3918 7 месяцев назад

      Si walisema ethopia namashariki

    • @manaphymohd4145
      @manaphymohd4145 7 месяцев назад

      Kwaiyo we unatak kila alipo muislam paelekezw kibla uyo mualim wako alokujib muambie akup hoja

    • @sulemohdi2013
      @sulemohdi2013 7 месяцев назад

      Kasema huo msikiti alio onesha umejengwa karne ya 9, kaka unafahamu school kweli? Na huo ulokuwepo toka enzi hizo kabla kuja Mtume ndo hajauonesha piya kasema upo msingi tu ngoja tuone.

  • @mhrmahir3756
    @mhrmahir3756 7 месяцев назад

    mambo mengine ni uwongo wa waz na cjui wameayapata wap na huyo jamaa katuliaa utasema hajui chochot kuhus tarekh ya kiislam cjui mzee amechkua kijitab gan kusema uislam unefika mwanzo pemb kuliko madina huyu mzee amche mola wake kwa hili.hata km ni mpemb lakin hili nalipinga si kwel jamaa mambo mengin tutakujajikuta twaingia pabaya kwa kujisifu san

    • @jumahamad3723
      @jumahamad3723 7 месяцев назад

      Kwani uislamu kauleta mtume gani mpaka ukatae kama unaambiwa nabii suleimanai kafika kisiwa hicho kwaio suleimanai sio muislamu

    • @mhrmahir3756
      @mhrmahir3756 7 месяцев назад

      @@jumahamad3723 ni uwongo bhan hitoria ya uislam yote imehifadhiwa na mtume bas alkua hajui ivo? na kabla bas vilikuepo vitab vingeeleza hivo bas la kushangaza zaid kusema et uislam umefika pemba madina bado dduuh ata kuapapasa bas hatupapas mchen mola wenu jamaa

    • @wambaaone923
      @wambaaone923 7 месяцев назад

      Ukweli ukoje tuambie

    • @manaphymohd4145
      @manaphymohd4145 7 месяцев назад

      Acha kupinga jambo ambalo hulijuwi asa toa ya kwako kuusu we mwenyew ulivo bas tukuamn km mkweli

  • @sayidabdillah8505
    @sayidabdillah8505 7 месяцев назад

    Mtangazaji tunakuomba kuwa utambue kuwa dini ya nabii ISSA ni dini ya kiislam sio dini ya kikiristo coz nabii ISSA hajajenga kabisa kanisa yeye binafsi nabii ISSA alikuwa anaswali pale masjid aqswa ya kule Jerusalem Israel ambaoo msikiti ukitwa masjid muqqadas

  • @XPOSED255
    @XPOSED255 7 месяцев назад +2

    mhhh uyoo mzee atauchee hakuna history yyte iliosema ivo

    • @omarkhalfan2985
      @omarkhalfan2985 7 месяцев назад +1

      Sorry tupatie ya kwako ambayo ni sahili zaid pls

    • @fakihassani3
      @fakihassani3 7 месяцев назад +1

      Mjinga huyu tena ndio wale wapumbavu majuha wasojielewa mana anapinga wakati hana analojua

    • @seifjuma4252
      @seifjuma4252 7 месяцев назад

      Ata Enzi za mtume wanafiki walikuepo km hvy wewe kwaio sio cha ajbu Kutext upuuzi km huu unao oneshwa alfu ukjifanya kipofu

    • @ShafiiMkawa-yl9du
      @ShafiiMkawa-yl9du 7 месяцев назад

      Inawezekana ikawa kweli

  • @issaabdallah1205
    @issaabdallah1205 7 месяцев назад

    Huko ndagoni ni kwetu mimi ni mzaliwa ila ukihoji sana utakuta kuna mambo hayako sawa kwa hii stori ya mzee
    Ili ujue kweli wa

    • @manaphymohd4145
      @manaphymohd4145 7 месяцев назад

      Hoji utajua kwaiyo yale majengo kwa akili yko kajenga nan au ww na wenzako