KMKM PEMBA WASHINDWA KUTOA MASHIRIKIANO DC MGENI ALIINGILIA KATI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024
  • fair use is a use permitted by copyright statute that might otherwise be infirnging non - profit education, or personal use tips the balance in favor of fair use all credit for copyright material used in video goes to the respected owner, Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
    #HabariZaUhakika #Zinjibartv
    Follow Zinjibartv
    Facebook | Zinjibartv
    INSTAGRAM |@Zinjibar_tv_online
    Wasiliana nasi kupitia number
    +255 773 878 523
    +255 773 071 409
    Zinjibartv Journalists
    cc: Safia Hussein
    cc: Swaleh Watamaama
    Camera Department"
    Muarabu Mmadi
    Editors:
    Ali Hassira
    Ramla Haji
    Abdillahi Said
    Dereva
    Ali Mohammed
    Video Zingine:
    Angalia hapa - MTOTO WA TURKY AJITOSA KUMRITHI BABAYAKE UBUNGE
    - HIZI NDIO TEGO ZA KICHAWI, SHEIKH SALUM MARDHIYA
    • MTOTO WA TURKY AJITOSA...
    • HIZI NDIO TEZO ZA KICH...

Комментарии • 47

  • @zuuomar4657
    @zuuomar4657 2 года назад +5

    Mtauza mpaka hio bahari, KMKM wanajua km wao ndio wanaoufisidi huo msitu, njaa inawasumbua wanachojua kupiga wanyonge tuu Km Km genge la wezi

  • @KhamisOmar-kt4kz
    @KhamisOmar-kt4kz Месяц назад +1

    Huyu jamaa ni mjinga sana hajielewi wala hajui anafanya nn

  • @Omarjumanne-zm9zh
    @Omarjumanne-zm9zh Месяц назад +1

    Kmkmk wezi Asikali wezi wa misitu

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf Год назад +2

    Hao ndio wenye kupeleka karafuu za magendo Kenya na hao ndio wenye kuingiza mirungi na bangi Pemba kutokea mombasa.

  • @karimdaud3993
    @karimdaud3993 16 дней назад

    Kmkm na misitu wana husika jozani na ngezi
    Wakuu wa wilaya mnafanya kazi nzuri lakini maofisa tawala wanazorotesha utendaji .
    KILA RAIYA NI ASKARI WA MWENZAKE.

  • @abdulhalim3840
    @abdulhalim3840 2 года назад +2

    Kmkm kila hatua wachuma dhambi tuuu mnalaana nyie wamelaaniwa KMKM Hadi Allah akawapiga njaa kwa laana zao

  • @Omarjumanne-zm9zh
    @Omarjumanne-zm9zh Месяц назад

    Mkuu wa wilaya mpigie rais yeye ndo kamanda wa vikosi au waziri wasikushugulishe

  • @bablaman123
    @bablaman123 2 дня назад

    Kazana nalo hilo baadhi ya watendaji wanatia aibu na kuleta fitna kwa wananchi na serekali yao

  • @batashqiraa9936
    @batashqiraa9936 3 месяца назад

    Duh jamaa anapingana na mkuu wa wilaya, lkn hizo dalili kuwa rushwa inafanya kazi, na hilo lipo wazi kmkm wapo wanapokea rushwa

  • @MalkiaMassoud
    @MalkiaMassoud 3 месяца назад

    Hao kmkm ndio waharibifu wakubwa

  • @AliSalim-yu4mo
    @AliSalim-yu4mo 3 месяца назад

    Yaani huyu Askari wa KMKM Hana hata nidhamu na kutokana na maelezo take Tu halitaki ushahidi wa ziada kama na yeye hahusiki na suala hili,na huyu ni Kwa sababu ni mtu kutoka Unguja ndio maana akawa na jeuri hata Kwa Mkuu wa Wilaya!Serikali ya CCM jamanii ni shida kweli kweli

    • @AzizaOmar-wj3my
      @AzizaOmar-wj3my 3 месяца назад

      Nimesikitishwa sana na huyu kmkm hata heshima ya mkuu wa wilaya hana.

  • @alfredndimbo1826
    @alfredndimbo1826 2 года назад

    Tuone kama sheria zilizopo zinawabana wanyonge tu au kila ambae atazivunja

  • @ahmedalbalooshi8518
    @ahmedalbalooshi8518 10 месяцев назад

    Hawa wakuu wa wilaya na majimbo kila mara utawasikia wakisema,linapotokea jambo,tunamuangusha RAIS..Hilo la lakukata msitu wa Ngezi linawaangusha WaPemba zaidi maana wao ndio watakao athirika zaidi na majanga ya uchafuzi wa mazingira.

  • @husseinhamisimwindadi2211
    @husseinhamisimwindadi2211 3 месяца назад

    Kwa utendajikazi wa staili hii tutaendelea kuchelewa,huyu kmkm hata kwa amri ya mkuu wilaya hawezi kutimiza jukumu lakulinda rasilimali ya Taifa!

  • @RaibebeBebe
    @RaibebeBebe 4 месяца назад

    Ajira mmewapa wengi chakufanya hawana watauza mpaka watu Kwa mamlaka waliopewa

  • @khamisame5703
    @khamisame5703 2 года назад

    Iyo meshen ya km km walio panga lakini ndio imevuja

  • @someparuranga7377
    @someparuranga7377 2 года назад

    ASA kama hujapewa Rusa watu wanaharibikiwa ungoje rusa ya mkuu wako yupo anastarehe kwake ache wacha ujinga hamko kwajili ya uzalendo ni maslah yenutu to a watendaji kama hao nizam hawana majibu hayana mantiki wekeni watendaji mnaweka wazee

  • @MuzneOthman-l7i
    @MuzneOthman-l7i 4 месяца назад

    Mimi niliwahi kuona hatari kubwa ya umeme sehemu inayotumiwa na watu 200 kwa wakati mmoja. Niliiandikia taasisi husika ichukuwe hatua haraka sana kuzuia umeme mkubwa usilete majanga matokeo nilikatazwa na nilishikishwa adabu nikome siku ya pili nisiingilie mambo ya watu

  • @someparuranga7377
    @someparuranga7377 2 года назад

    Hamko kikazi mnaleana kiami

  • @amournassorsaid7694
    @amournassorsaid7694 10 месяцев назад

    Yakhee punguzeni uyakhee kamata hao peleka ndani

  • @mohamedhaji2200
    @mohamedhaji2200 2 года назад

    Kamanda yupo sahihi. Huwezi ruhusu raia akague kambi bila kibali cha komodoo

  • @mahmoudsuleimanmohamed4969
    @mahmoudsuleimanmohamed4969 2 года назад

    mimi naona wote wanahusika

  • @alirashid3239
    @alirashid3239 4 месяца назад

    Yaani wanaiba wenyewe and then wanajitekenya wenyewe

  • @FatmaAbdulhalim
    @FatmaAbdulhalim 4 месяца назад

    Mama uongozi mgum ila Allah akusaidie tu

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 2 года назад

    Hao km. Ndio wakataji miti

  • @zahormohammed4476
    @zahormohammed4476 2 года назад

    Hawa KMKM ndio zao hizo hapo wameona hamna faida kwao, Kuna kipindi yanatokea majanga vyombo vimazama wakiitwa kuokoa hudai boti haina mafuta, ila siku nyengine boti hiyo hiyo huwashwa mpaka mkokotoni unguja kuja kuangalia mpira uwanja wa amani

  • @nassorally-xi6zh
    @nassorally-xi6zh 3 месяца назад

    Mnalindana huyo sio bos wko ww

  • @someparuranga7377
    @someparuranga7377 2 года назад

    Nimpango wao huo umefeli

  • @abasamwame6583
    @abasamwame6583 2 года назад

    Ingekuwa karafuu wangeuwa mtu

  • @amournassorsaid7694
    @amournassorsaid7694 10 месяцев назад

    Kama hao wote peleka ndani

  • @yahyahamad1802
    @yahyahamad1802 2 года назад

    Ndii uanze na hao mlowakuta wamebeba kwenye boti yao

  • @gangmore9091
    @gangmore9091 2 года назад

    Dhulma hailetii maendeleo

  • @jamalahmed7057
    @jamalahmed7057 2 года назад

    Mkuu wa mkoa ni mwenyekiti wa baraza la usalama kwa hiyo akitoa umri lazima ufuate

  • @mohamedhajj9881
    @mohamedhajj9881 2 года назад

    MH DC mkuu hajakosea kila kazi zina utaratibu wake si mambo ya kutoa amri tu..

  • @mohammedomar397
    @mohammedomar397 2 года назад

    Duh mpaka huo msitu wa hifadhi wanaukata

    • @ahmedalbalooshi8518
      @ahmedalbalooshi8518 10 месяцев назад

      Bila ya kuhusika hao walinzi wa msitu,hayo yasingefanyika.
      Maisha utasikia tunatoa onyo,hatua kali ya kuzuia hamna.
      Si ajabu baada ya miaka kumi Ngezi itakuwa NGOZI

  • @mohamedhajj9881
    @mohamedhajj9881 2 года назад

    ww kama dc taratibu unazijua ongea na wakuu wake wa kazi uone kama hatokupa mashirikiano

  • @someparuranga7377
    @someparuranga7377 2 года назад

    Fukuza hao

  • @najashrk3738
    @najashrk3738 2 года назад

    Mh 🤐🤐🤐

  • @jumatarabeni9753
    @jumatarabeni9753 2 года назад

    Mwavii unkatwaaa

  • @ahmadseif7241
    @ahmadseif7241 2 года назад

    Ao km km wote wizi

  • @ahmadseif7241
    @ahmadseif7241 2 года назад

    Ao km km wote wizi

  • @rashidshamte3083
    @rashidshamte3083 2 года назад

    Huyo kiongozi hajui wajibu wake hajiamini katika kazi wawajibishwe hao maafisa wa kmkm

    • @AliSalim-yu4mo
      @AliSalim-yu4mo 3 месяца назад

      Serikali hii ndugu yangu inaendeshwa kiujamaa!viongozi wametokea Kisonge na watendaji wametokea Kundemba!hapo ni pipa na mfuniko!