SHEIKH PEMBA AWANASIHI WANASIASA ZANZIBAR
HTML-код
- Опубликовано: 13 сен 2024
- Kutoka AL FATAH TV .
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline
#AlfatahCharitableAssociation
#ZANZIBAR
Mashallah Shekhe umefanya jambo muhimu sana Na umejito ktk dhima
Mashaallah sheikh umewaeleza vizuri,kama wana dini watafahamu
Shehe Allah akupandishe darja kwa mafunzo yako 🎉
Aaaaaaa shekhe wewe Alla akupe umuri mzuri zaidi . mameno yako mazuri sana uloyasema shukran
Ccm hawataki maridhiano kilasiku wao ndio chazo wanalotaka waondio hilohilo
Mashaallah shekh Mungu akupe kheri zaid
Shukran sana sh said Allah akuhifadhi
WEWE IMAMU ACHA KUDANGANYA AMANI HUANZA HAKI ,KUMBUKA MTUME WETU( S A W ) ALIWAKUTA VIPI WATU WA MADINA NANIKABILA KUBWA ,SALI ANZA HAKI NDIPO IJAFWATIA AMANI .WEWE NISAWA NA WALE WALO MSAPOTI NYERERE ,HATIMAI YAO WAKOWAPI HADILEO.ALLAH ATAKUJIBU KHUTUBA YAKO YA UPANDE MMOJA ,RUDIA HUTUBA ZA NYERERE ALIMFANYA VIPI JUMBE ,WALLAHI MUNGU AKUTENGENEZE KWAHUTUBA YA KU BAGUA .SUBHANALLAH.
Kwanza alipaswa kuitamka haki
Huna ujualo unatumika Tu kama msukule watu wanakutumia akili yako wao wanajaza matumbo yao.fanya kazi wewe acha uvivu wa kutegemea mtu
@@hajiabdalla5772kila mtu anaesema kinyume na mtazamo wako ni kibalaka kila mtu na uoni wake
Mwenye sijui asikie, sheikh ametimiza wajibu wake
Allah atufanyie wepesi bila haki hapana amani
Sasa shida ipo hapo kutafsiri HAKI.
Ww ni mpuuzi sana,sasa km Allah alisistiza haki watu wasidhulumiane, Kwa io ww unaipenda dhulma.@@hajihassan5433
Masheikh tatizo letu tumekaa kimya sana kuwambia viongozi wetu kazi yetu tunawasifia tu wenye miskiti
Masha Allah munguakupe afya
Shekhe wangu kwanza mungu akujaalie kila la kheri na lapili kunamambo yanafanywa na watawala mbona hamuyasemi ambayo ndio vikwazo haswa yanayosababisha kufanyika maafa kila uchaguzi kwahiyo na Mimi nakuomba muwambie wawe waadilifu wasimamishe haki na hilo ndio kikwazo shekhe wangu
Mimi na challenge Wapi ACT wamemtukana CCM
Ndoapo mimi sijawah kusikia kiongozi wa ACT Akatukana, CCM nd wanawatukan ACT.
saidy hongera sana umeongea ukweli leo znz masheikh wanaogopa serekali kuliko kumuogopa allah s w wanaogopa kiumbe kuwatii viumbe kuliko aliyetuumba
Mashallah mungu akubariki sheikh
Sheikhe yupo sawa sana, amejitoa kueleza jamii ya waislam ukweli, ingawa wapo watakaoumia, tuache povu.
Njaaa. Ikitoka. Tumboni. Inahmia. Kicwani. Kmahuyu. She
Allah akujaliye kher brooo
Mashallah 🎉🎉shekh
Viongozi were wadini wangekuwa wanawaeleza waumini wao kama hivyo watu wangeelewa mwenyezi mungu akulipe Pepo shekhe
Ameen
Mashekhe tuwe wakweli kama huyu shekh
Mashallah ccm wanalazima kumwaga damu t
alimradi wakae tu katika maharaja. nawahurumia sana wale ndugu zetu waislam wabunge/wawakilishi/madiwani wanaokubali tu kuwekwa katika maharaja wakijua wazi hawajashinda kuridhisha watawala wakubwa
Hawa viongozi wote takriban ni waislamu. Lkn wanatugombanisha waislamu, inafika hatua hatuzikani, hatusalimiani, hatuoani kwasababu ya siasa. Leo muunguja kuolewa ni Mpemba anaona kinyaa na mpemba Hali kadhalika. Huku wakiwa wote ni waislamu wanaswali na wanafanya kila kitu. Sababu ya yote haya ni Hawa Wana siasa. Kisha wote wanakuja misikitini na kanzu nzuuuri wanapendeza nje kumbe ndani mtihani. Allah atuongoze sisi na viongozi wetu.
Shida ipo kwa wenye mamlaka katika nchi yetu,kutokuwa tayari kutenda haki na badala yake wao wako mbele kuwagawa wananchi wao kwa sababu ya itikadi ya kisiasa ili
wao waendelee kutawala na katu hawako tayari hata kutaja neno haki,seuze kuisimamia na kuitekeleza haki.
hakuna chuki za kupandikizwa Bali ni kwa matendo mabaya. mtu anakunyanyasa kujiona yeye ni mbora mpaka kufika hali ya kuuliwa unaanzaje kumpenda na kumshabikia
@@mrok284 tulia tu lakni inshllah tutaisimamisha bendera ya Russia 🇷🇺 Zanzibar
Allah akubarik kaka hilo jambo muhimu ulilo zungumza sisi tumeumbwa kwa ajili ya kumuabudu Allah
Kuna baadhi ya watu haki ya Allah ya kumuabudu hawaisimamishi wao wanataka watimiziwe zao na wanadamu قال تعالى وما خلقت الجن واﻹنس الا ليعبدون hili ndio lengo la kuubwa kwetu
Kuhusu mabadiliko Allah anasema ان الله لايغير ما بقوم حتى يغيروا ما بأنفسهم
Tupambane watu waachane na ushirikina,Ramli, uchawi, kutazamia nyota wamuabudu Allah peke yake 😮
Endelea kuwakumbusha watu maneno ya Allah na kuchunga mipaka ya sheria ya Allah usigeukie maneno ya wanasiasa wanaolingania watu kukata udugu
unazungumzia huyu kumtukana yule. Mbona husemi "kwa nini uuwe watu kwa kuwa tu unataka kutawala"
Hakika kabisa CCM siku zote hawatak kuongolewa mabaya yao
Tanzania hakuna sheikh,Hawa wote wanafik, Maana sababu ya yote hayo kutokea haijui,kazi pororojo tu.
Mashallah
Shekhe maneno mazima lalini.Maalim seif kakanao meza moja mara ngapi shekhe hujuwi hilo ulikuwa wapi.na haki mbona huisemi act hawatukan wanakosowa serekali ndo tusi.shekhe ccm wanachukuwa madaraka kwa kuuwa .vp pnahako hapo .
Hapakutajwa chama fulani specific ACT ni sehemu ya Serikali wanaikosoa Serikali ipi wakati sifa au lawama zinawahusu wote. Hao viongozi ni waandamizi ndani ya Serikali wapo muda mrefu mfano Mhe. OMO alikuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali karibu miaka 10 nk.
@@hajihassan5433Act kuwa sehemu ya serikali kwani huwa kunazuiya kipi, kipigo wanachopata viongozi hao mnaona wananufaika kwenye serikali ndio kipigo hicho hicho ccm huwapiga raia wa kawaida.
Mnapiga na kuuwa hata kubaka, wanasema wanaobakwa hubakwa mbele ya waume zao, sasa kuwemo serikalini kimepunguza maumivu gani, hiyo 2025 yaonekana itakua kuliko miaka yote, maana mnataka mtawale hata kwa mauti ili mjenge barabara
@@hajihassan5433Ndio hakutaja mtu wala chama lkn hao serikali ishapiga watu siku ya uchaguzi mbona hakutoka akasema mara ya pili kitendo hichi kisirejewe tena pemba majimbo yote wamewatangaza ccm na hawakuisabu kura mbona hasemi km fanyeni haki km yy ana dhima bora anyamaze atavunjiwa heshma bure
@@nailamohd7693safi sana akhui
Safi saana mwalim said
IMAMU Saidi WEWE hunatofauti na wale wanae muungamkono BIN SALMANI SAUDIA ,UNASIKITISHA SANA WEWE ,MAMAYAKO DADA YAKO ANGE BAKWA UNGE TOA HIO KHUTBA !
WEWE NILUKUVI WA PILI
Mijitu ya siku hizi sawa sawa na mazimwi au misukule wanatumiliwa Tu na viongozi uchwara kwa ajili ya matumbo yao
Nyinyi mashehe ndio mnaowafanya watawala kutesa raia wao kwa unafiki wenu wa,,kusifu tu ,bila ya kutokuwaambia ukweli ,,kuwa muwazi chanzo cha hayo ni nini, mbona husemi wenye nguvu waache kuwadhulumu wenzao,,
Japo ukamilifu ni wa allah pekee laki na sisi viumbe tujitahidi tusidhulumiane
Kweli wao ndio wanafiq wakubwa hawasemi haki bali amani tuu kuegemea upande moja tuu
labda tumpe excuse ya kuogopa
@@sheikhasalim1190 kweli kabisa ,,lakini bora asiyazungunze asiyoyaweza,,akae kimya
Nataman kujua walipo uliwa watu 21 baada ya uchaguzi shehe ulikemea, au uliufyata?
Je watawala walipo sema tutawatuma askari wawashuse jukwan viongz wa Act wazlendo majukwani
Sawa, Lakin Allah kasema msidhulumiane. Dhulma na bila ya haki hakuna aman, waambie na haki itendeke.
Kwa wale mbulula wataona kama vile huyu shekhe amebalance lakini kwa kweli anazungumzia kulaumu upande mmoja. Angekuwa amekusudia kubalance angezungumzia jinsi watu wanavyodhalilishwa nyakati za chaguzi maana hapo ndipo watu wanapoumizwa.
Sheikh tunataka haki mbona huongei uadilifu unaongea amanita tu
Acha tumalizane bwana weee,
Acha vita vije bila ya Umwajikaji wa damu hapa haki itakayo tendeka
Hawajui kuwa hata mtume alimwaga damu kuitafuta haki
Lakini siyo kwa siasa ya kijinga Kama hiyo… wewe umekaa na njaa hapo huvijuwi nini vita wala hujaviona. Fitna ni mbaya sana.
amani yenyewe ya msimu! kila uchaguzi ukifika hakuna amani! tunauliwa tunapigwa tunanajisiwa tunatiwa khofu. kwa maslahi tu ya dunia, yaani mtu anajua dhahir hana haki lakini kwakuwa ana mamlaka anaona atumie nguvu kukandamiza wenzake baadae ndio kujifanya waislam tusameheane kisha masheikh waje sijui amani blah blah. uislam wetu tunauvua na kuuvaa kama nguo@@awatifalghanim1106
Shekh tuache sema umetumwa uhubiri amani umewalenga Act
Ccm muogopeni mungu uchaguzi uwe uhuru na haki
Shekhe Kwanza tuzungumzie haki Kisha yafuate mengine. Wizi haufai. Mbona umekaa kimya mpaka unaona maneno tu. Acha unafiki.
Wew mTuganI au kiwav
Shekh niwati umefika watu kujisahau kama sisi wote niviumbe
Shekh umesema vyema lakini umesahau Allah pia amehimiza uadilifu maneno mazuri bila uadilifu ni bure kabisa.
Mwisho unasifika tutajenga mabarabara kwasab hussein anajenga anakijenga nn.isemen haki
Umenena shehe
khutba nzuri lakini kuweni wa kweli uchafuzi wa amani wanaouanzisha wajulikana na ingefaa watajwe hadharani bila kuficha
Je shekhe anajua amani tu haki haijui kwnn asichague bila ya haki amani huvurugika joto kali kwel saiv haijawahi tokezea
Muungu akulinde kwa ujasiri
shehe umeongea vizuri ilaa haki uhaijesa haapo unazungumzia aman na unaegemea upande mmoja
Mbna adhana hamkuiweka
Nyie nd mashke ubwabwa
hakuna cha matusi kura mara mbili ujanjaujanja ghilba watu kunyimwa votambulisho na tume kuwa huru na haki na maamuzi ya wananchi kuheshimiwa bila ya hayo hakuna amani na huyo sheikh ni ccm asijifiche kwenye mwamvuli wa dini
Hivi kwa akili zenu na usomi wenu inawezekana kupatikana iyo haki bila kuwepo amani? Sheikh kausia jambo la maana Sana
Ww sehkw ww pia nimnafikib hutba yako imelenga kimoja na Wala hujalenga kusema vyama vyote
Hebu acheni siasa mbovu nyinyi nyie kila kitu mkilinganiwa bado mna usiasa tu sheikh kasema tudumishe amani nyinyi mnasema haki hivi ni haki gani mnayo zungumzia ,nyinyi kama waislamu jee hamuabudu mnacho taka hamupati kusoma dini yenu nakumjua mungu wenu au mnataka haki gani jiangalieni kwanza nyinyi katika nafasi zenu mnatimiza wajibu maana usidai haki kama hutimizi wajibu,
tunaidumisha wapi hiyo amani bila ya kuwa na siasa za kweli na haki
Shekhe unawapoteza watu, unasema bora mtu aje aseme mimi mkinipa uongozi nitakupeni mchele bure wakati ana hakika hana uwezo huo, unatwambia uongo huu ni bora?
Ni vizuri basi uwaambie hao viongozi kwamba wanapowaahidi wananchi wawaahidi kile wanachoweza kukitekeleza na wasiwalaghai wala kuwadanganya kwani kuna maisha baada ya kufa , hapo utakuwa sawa lakini kwa kuwaambia bira wawadanganye ili wao wapate madaraka hii si sawa na haipo kwenye dini , maana huo utakua ni uongo hivyo unataka kutwambia uongo huo unakubalika?
Uwongo wahekma sizambi kasome vitabu vya Dini utajuwa
Unafiki mtupu mbona huseni kama atakeshindwa akubali unatoa ngonjera tu
Sheikh wamwanzo katika Zanzibar ameusema ukweli.
alaa hakuna aliyewahi kusema kitu enh. hongera kwa kulitambua hilo
Huyu shekh anapatikana wilaya gani
Chakechake, gombani
Wilaya ya wete
Huyu. Sheh. Wakunyoa. Oooo
Masjid taqwa huu?
Sio
@@bukharysaid mskiti wa wapi huu
@@dossantoschannel1808 Gombani
Hakika kasema.ukweli bila amani.hapana haki tuweni makini
Gombani uwanja wa mpira pemba