SHEIKH PEMBA AWANASIHI WANASIASA ZANZIBAR

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 сен 2024
  • Kutoka AL FATAH TV .
    Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
    #AlfatahTvOnline​​​​​​​​​​​​
    #AlfatahCharitableAssociation​​​​​​​​​​​​
    #ZANZIBAR​​

Комментарии • 100

  • @salem9874
    @salem9874 21 день назад +3

    Mashallah Shekhe umefanya jambo muhimu sana Na umejito ktk dhima

  • @khamisjuma1278
    @khamisjuma1278 20 дней назад +1

    Mashaallah sheikh umewaeleza vizuri,kama wana dini watafahamu

  • @sleimanmohd8465
    @sleimanmohd8465 21 день назад +2

    Shehe Allah akupandishe darja kwa mafunzo yako 🎉

  • @mms9158
    @mms9158 21 день назад +1

    Aaaaaaa shekhe wewe Alla akupe umuri mzuri zaidi . mameno yako mazuri sana uloyasema shukran

    • @HusnaKhamis-bf9sm
      @HusnaKhamis-bf9sm 20 дней назад

      Ccm hawataki maridhiano kilasiku wao ndio chazo wanalotaka waondio hilohilo

  • @abdulkarimkheir158
    @abdulkarimkheir158 16 дней назад

    Mashaallah shekh Mungu akupe kheri zaid

  • @HafidhKhamis-ph8qg
    @HafidhKhamis-ph8qg 20 дней назад

    Shukran sana sh said Allah akuhifadhi

  • @zuzadomikano3765
    @zuzadomikano3765 20 дней назад +1

    WEWE IMAMU ACHA KUDANGANYA AMANI HUANZA HAKI ,KUMBUKA MTUME WETU( S A W ) ALIWAKUTA VIPI WATU WA MADINA NANIKABILA KUBWA ,SALI ANZA HAKI NDIPO IJAFWATIA AMANI .WEWE NISAWA NA WALE WALO MSAPOTI NYERERE ,HATIMAI YAO WAKOWAPI HADILEO.ALLAH ATAKUJIBU KHUTUBA YAKO YA UPANDE MMOJA ,RUDIA HUTUBA ZA NYERERE ALIMFANYA VIPI JUMBE ,WALLAHI MUNGU AKUTENGENEZE KWAHUTUBA YA KU BAGUA .SUBHANALLAH.

    • @mohammedhamad9392
      @mohammedhamad9392 19 дней назад

      Kwanza alipaswa kuitamka haki

    • @hajiabdalla5772
      @hajiabdalla5772 19 дней назад

      Huna ujualo unatumika Tu kama msukule watu wanakutumia akili yako wao wanajaza matumbo yao.fanya kazi wewe acha uvivu wa kutegemea mtu

    • @BakaryOmally
      @BakaryOmally 17 дней назад

      ​@@hajiabdalla5772kila mtu anaesema kinyume na mtazamo wako ni kibalaka kila mtu na uoni wake

  • @user-hi2me3gu7x
    @user-hi2me3gu7x 18 дней назад +1

    Mwenye sijui asikie, sheikh ametimiza wajibu wake

  • @AliymkubwaAliymkubwa
    @AliymkubwaAliymkubwa 21 день назад +3

    Allah atufanyie wepesi bila haki hapana amani

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 21 день назад

      Sasa shida ipo hapo kutafsiri HAKI.

    • @NoufelSalim
      @NoufelSalim 21 день назад

      ​Ww ni mpuuzi sana,sasa km Allah alisistiza haki watu wasidhulumiane, Kwa io ww unaipenda dhulma.​@@hajihassan5433

  • @omarmohammed5157
    @omarmohammed5157 19 дней назад

    Masheikh tatizo letu tumekaa kimya sana kuwambia viongozi wetu kazi yetu tunawasifia tu wenye miskiti

  • @KhadijaHussein-qn2ge
    @KhadijaHussein-qn2ge 21 день назад +1

    Masha Allah munguakupe afya

  • @KhamisSeif-t3d
    @KhamisSeif-t3d 20 дней назад

    Shekhe wangu kwanza mungu akujaalie kila la kheri na lapili kunamambo yanafanywa na watawala mbona hamuyasemi ambayo ndio vikwazo haswa yanayosababisha kufanyika maafa kila uchaguzi kwahiyo na Mimi nakuomba muwambie wawe waadilifu wasimamishe haki na hilo ndio kikwazo shekhe wangu

  • @lusakaone7782
    @lusakaone7782 21 день назад +2

    Mimi na challenge Wapi ACT wamemtukana CCM

    • @Mahirwazanzibar
      @Mahirwazanzibar 18 дней назад

      Ndoapo mimi sijawah kusikia kiongozi wa ACT Akatukana, CCM nd wanawatukan ACT.

  • @AliMsellem
    @AliMsellem 20 дней назад

    saidy hongera sana umeongea ukweli leo znz masheikh wanaogopa serekali kuliko kumuogopa allah s w wanaogopa kiumbe kuwatii viumbe kuliko aliyetuumba

  • @JumaOmar-kp8rx
    @JumaOmar-kp8rx 20 дней назад

    Mashallah mungu akubariki sheikh

  • @user-hi2me3gu7x
    @user-hi2me3gu7x 18 дней назад

    Sheikhe yupo sawa sana, amejitoa kueleza jamii ya waislam ukweli, ingawa wapo watakaoumia, tuache povu.

  • @BinshakbuHemed-gb2zi
    @BinshakbuHemed-gb2zi 21 день назад +3

    Njaaa. Ikitoka. Tumboni. Inahmia. Kicwani. Kmahuyu. She

  • @kassimomar7589
    @kassimomar7589 21 день назад

    Allah akujaliye kher brooo

  • @matukiotvonline6366
    @matukiotvonline6366 21 день назад

    Mashallah 🎉🎉shekh

  • @husseinkhatibu9172
    @husseinkhatibu9172 21 день назад

    Viongozi were wadini wangekuwa wanawaeleza waumini wao kama hivyo watu wangeelewa mwenyezi mungu akulipe Pepo shekhe

  • @BimkubwaJuma-ew5dg
    @BimkubwaJuma-ew5dg 20 дней назад

    Ameen

  • @AbdullaSeifKhamis-se9sc
    @AbdullaSeifKhamis-se9sc 21 день назад +3

    Mashekhe tuwe wakweli kama huyu shekh

  • @user-lb8gz5pt3u
    @user-lb8gz5pt3u 21 день назад

    Mashallah ccm wanalazima kumwaga damu t

    • @sheikhasalim1190
      @sheikhasalim1190 20 дней назад

      alimradi wakae tu katika maharaja. nawahurumia sana wale ndugu zetu waislam wabunge/wawakilishi/madiwani wanaokubali tu kuwekwa katika maharaja wakijua wazi hawajashinda kuridhisha watawala wakubwa

  • @mrok284
    @mrok284 20 дней назад +1

    Hawa viongozi wote takriban ni waislamu. Lkn wanatugombanisha waislamu, inafika hatua hatuzikani, hatusalimiani, hatuoani kwasababu ya siasa. Leo muunguja kuolewa ni Mpemba anaona kinyaa na mpemba Hali kadhalika. Huku wakiwa wote ni waislamu wanaswali na wanafanya kila kitu. Sababu ya yote haya ni Hawa Wana siasa. Kisha wote wanakuja misikitini na kanzu nzuuuri wanapendeza nje kumbe ndani mtihani. Allah atuongoze sisi na viongozi wetu.

    • @RashidiAlly-cl7fo
      @RashidiAlly-cl7fo 20 дней назад

      Shida ipo kwa wenye mamlaka katika nchi yetu,kutokuwa tayari kutenda haki na badala yake wao wako mbele kuwagawa wananchi wao kwa sababu ya itikadi ya kisiasa ili
      wao waendelee kutawala na katu hawako tayari hata kutaja neno haki,seuze kuisimamia na kuitekeleza haki.

    • @sheikhasalim1190
      @sheikhasalim1190 20 дней назад

      hakuna chuki za kupandikizwa Bali ni kwa matendo mabaya. mtu anakunyanyasa kujiona yeye ni mbora mpaka kufika hali ya kuuliwa unaanzaje kumpenda na kumshabikia

    • @mohammedhamad9392
      @mohammedhamad9392 18 дней назад

      @@mrok284 tulia tu lakni inshllah tutaisimamisha bendera ya Russia 🇷🇺 Zanzibar

    • @AbuuRufayda-v8d
      @AbuuRufayda-v8d 14 дней назад

      Allah akubarik kaka hilo jambo muhimu ulilo zungumza sisi tumeumbwa kwa ajili ya kumuabudu Allah
      Kuna baadhi ya watu haki ya Allah ya kumuabudu hawaisimamishi wao wanataka watimiziwe zao na wanadamu قال تعالى وما خلقت الجن واﻹنس الا ليعبدون hili ndio lengo la kuubwa kwetu
      Kuhusu mabadiliko Allah anasema ان الله لايغير ما بقوم حتى يغيروا ما بأنفسهم
      Tupambane watu waachane na ushirikina,Ramli, uchawi, kutazamia nyota wamuabudu Allah peke yake 😮

    • @AbuuRufayda-v8d
      @AbuuRufayda-v8d 14 дней назад

      Endelea kuwakumbusha watu maneno ya Allah na kuchunga mipaka ya sheria ya Allah usigeukie maneno ya wanasiasa wanaolingania watu kukata udugu

  • @alimohammedomar3412
    @alimohammedomar3412 20 дней назад +1

    unazungumzia huyu kumtukana yule. Mbona husemi "kwa nini uuwe watu kwa kuwa tu unataka kutawala"

    • @Mahirwazanzibar
      @Mahirwazanzibar 18 дней назад

      Hakika kabisa CCM siku zote hawatak kuongolewa mabaya yao

  • @NoufelSalim
    @NoufelSalim 21 день назад +2

    Tanzania hakuna sheikh,Hawa wote wanafik, Maana sababu ya yote hayo kutokea haijui,kazi pororojo tu.

  • @bosskaree49
    @bosskaree49 20 дней назад

    Mashallah

  • @Zanzibar-e4h
    @Zanzibar-e4h 21 день назад +3

    Shekhe maneno mazima lalini.Maalim seif kakanao meza moja mara ngapi shekhe hujuwi hilo ulikuwa wapi.na haki mbona huisemi act hawatukan wanakosowa serekali ndo tusi.shekhe ccm wanachukuwa madaraka kwa kuuwa .vp pnahako hapo .

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 21 день назад +1

      Hapakutajwa chama fulani specific ACT ni sehemu ya Serikali wanaikosoa Serikali ipi wakati sifa au lawama zinawahusu wote. Hao viongozi ni waandamizi ndani ya Serikali wapo muda mrefu mfano Mhe. OMO alikuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali karibu miaka 10 nk.

    • @Sheba4651
      @Sheba4651 21 день назад

      ​@@hajihassan5433Act kuwa sehemu ya serikali kwani huwa kunazuiya kipi, kipigo wanachopata viongozi hao mnaona wananufaika kwenye serikali ndio kipigo hicho hicho ccm huwapiga raia wa kawaida.
      Mnapiga na kuuwa hata kubaka, wanasema wanaobakwa hubakwa mbele ya waume zao, sasa kuwemo serikalini kimepunguza maumivu gani, hiyo 2025 yaonekana itakua kuliko miaka yote, maana mnataka mtawale hata kwa mauti ili mjenge barabara

    • @nailamohd7693
      @nailamohd7693 20 дней назад +1

      ​@@hajihassan5433Ndio hakutaja mtu wala chama lkn hao serikali ishapiga watu siku ya uchaguzi mbona hakutoka akasema mara ya pili kitendo hichi kisirejewe tena pemba majimbo yote wamewatangaza ccm na hawakuisabu kura mbona hasemi km fanyeni haki km yy ana dhima bora anyamaze atavunjiwa heshma bure

    • @nassorseif7907
      @nassorseif7907 20 дней назад

      ​@@nailamohd7693safi sana akhui

  • @MAPETEE
    @MAPETEE 21 день назад

    Safi saana mwalim said

    • @zuzadomikano3765
      @zuzadomikano3765 20 дней назад

      IMAMU Saidi WEWE hunatofauti na wale wanae muungamkono BIN SALMANI SAUDIA ,UNASIKITISHA SANA WEWE ,MAMAYAKO DADA YAKO ANGE BAKWA UNGE TOA HIO KHUTBA !
      WEWE NILUKUVI WA PILI

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 19 дней назад

    Mijitu ya siku hizi sawa sawa na mazimwi au misukule wanatumiliwa Tu na viongozi uchwara kwa ajili ya matumbo yao

  • @rashidomar2771
    @rashidomar2771 21 день назад +1

    Nyinyi mashehe ndio mnaowafanya watawala kutesa raia wao kwa unafiki wenu wa,,kusifu tu ,bila ya kutokuwaambia ukweli ,,kuwa muwazi chanzo cha hayo ni nini, mbona husemi wenye nguvu waache kuwadhulumu wenzao,,
    Japo ukamilifu ni wa allah pekee laki na sisi viumbe tujitahidi tusidhulumiane

    • @nailamohd-wn6sb
      @nailamohd-wn6sb 21 день назад

      Kweli wao ndio wanafiq wakubwa hawasemi haki bali amani tuu kuegemea upande moja tuu

    • @sheikhasalim1190
      @sheikhasalim1190 20 дней назад

      labda tumpe excuse ya kuogopa

    • @rashidomar2771
      @rashidomar2771 20 дней назад

      @@sheikhasalim1190 kweli kabisa ,,lakini bora asiyazungunze asiyoyaweza,,akae kimya

  • @saidhamad7504
    @saidhamad7504 21 день назад +1

    Nataman kujua walipo uliwa watu 21 baada ya uchaguzi shehe ulikemea, au uliufyata?

  • @dogoabdou
    @dogoabdou 16 дней назад

    Je watawala walipo sema tutawatuma askari wawashuse jukwan viongz wa Act wazlendo majukwani

  • @BakarHamad-jy7ji
    @BakarHamad-jy7ji 18 дней назад

    Sawa, Lakin Allah kasema msidhulumiane. Dhulma na bila ya haki hakuna aman, waambie na haki itendeke.

  • @alimohammedomar3412
    @alimohammedomar3412 20 дней назад

    Kwa wale mbulula wataona kama vile huyu shekhe amebalance lakini kwa kweli anazungumzia kulaumu upande mmoja. Angekuwa amekusudia kubalance angezungumzia jinsi watu wanavyodhalilishwa nyakati za chaguzi maana hapo ndipo watu wanapoumizwa.

  • @alimohammed8540
    @alimohammed8540 21 день назад +1

    Sheikh tunataka haki mbona huongei uadilifu unaongea amanita tu

  • @khalidbelhasa2137
    @khalidbelhasa2137 21 день назад +1

    Acha tumalizane bwana weee,
    Acha vita vije bila ya Umwajikaji wa damu hapa haki itakayo tendeka

    • @user-mk8pr6vq5e
      @user-mk8pr6vq5e 20 дней назад

      Hawajui kuwa hata mtume alimwaga damu kuitafuta haki

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 20 дней назад

      Lakini siyo kwa siasa ya kijinga Kama hiyo… wewe umekaa na njaa hapo huvijuwi nini vita wala hujaviona. Fitna ni mbaya sana.

    • @sheikhasalim1190
      @sheikhasalim1190 20 дней назад

      amani yenyewe ya msimu! kila uchaguzi ukifika hakuna amani! tunauliwa tunapigwa tunanajisiwa tunatiwa khofu. kwa maslahi tu ya dunia, yaani mtu anajua dhahir hana haki lakini kwakuwa ana mamlaka anaona atumie nguvu kukandamiza wenzake baadae ndio kujifanya waislam tusameheane kisha masheikh waje sijui amani blah blah. uislam wetu tunauvua na kuuvaa kama nguo​@@awatifalghanim1106

  • @HidayaHassan-ln6ig
    @HidayaHassan-ln6ig 19 дней назад

    Shekh tuache sema umetumwa uhubiri amani umewalenga Act

  • @kagetaabdallah3712
    @kagetaabdallah3712 18 дней назад

    Ccm muogopeni mungu uchaguzi uwe uhuru na haki

  • @shehakadirukadiru
    @shehakadirukadiru 20 дней назад

    Shekhe Kwanza tuzungumzie haki Kisha yafuate mengine. Wizi haufai. Mbona umekaa kimya mpaka unaona maneno tu. Acha unafiki.

  • @omaraly7226
    @omaraly7226 20 дней назад

    Shekh niwati umefika watu kujisahau kama sisi wote niviumbe

  • @nassorsharifu9837
    @nassorsharifu9837 20 дней назад

    Shekh umesema vyema lakini umesahau Allah pia amehimiza uadilifu maneno mazuri bila uadilifu ni bure kabisa.

  • @Zanzibar-e4h
    @Zanzibar-e4h 21 день назад +1

    Mwisho unasifika tutajenga mabarabara kwasab hussein anajenga anakijenga nn.isemen haki

  • @alikidungura9419
    @alikidungura9419 19 дней назад

    Umenena shehe

  • @ahmedalbalooshi8518
    @ahmedalbalooshi8518 19 дней назад

    khutba nzuri lakini kuweni wa kweli uchafuzi wa amani wanaouanzisha wajulikana na ingefaa watajwe hadharani bila kuficha

  • @omarsultan4502
    @omarsultan4502 21 день назад

    Je shekhe anajua amani tu haki haijui kwnn asichague bila ya haki amani huvurugika joto kali kwel saiv haijawahi tokezea

  • @alijuma8009
    @alijuma8009 20 дней назад

    Muungu akulinde kwa ujasiri

  • @fahmysaid-zw4np
    @fahmysaid-zw4np 21 день назад

    shehe umeongea vizuri ilaa haki uhaijesa haapo unazungumzia aman na unaegemea upande mmoja

  • @abdulkarimkheir158
    @abdulkarimkheir158 16 дней назад

    Mbna adhana hamkuiweka

  • @dogoabdou
    @dogoabdou 16 дней назад

    Nyie nd mashke ubwabwa

  • @khamisjuma7616
    @khamisjuma7616 18 дней назад

    hakuna cha matusi kura mara mbili ujanjaujanja ghilba watu kunyimwa votambulisho na tume kuwa huru na haki na maamuzi ya wananchi kuheshimiwa bila ya hayo hakuna amani na huyo sheikh ni ccm asijifiche kwenye mwamvuli wa dini

  • @user-in3jp5jw4p
    @user-in3jp5jw4p 20 дней назад

    Hivi kwa akili zenu na usomi wenu inawezekana kupatikana iyo haki bila kuwepo amani? Sheikh kausia jambo la maana Sana

  • @dogoabdou
    @dogoabdou 16 дней назад

    Ww sehkw ww pia nimnafikib hutba yako imelenga kimoja na Wala hujalenga kusema vyama vyote

  • @user-in3jp5jw4p
    @user-in3jp5jw4p 20 дней назад

    Hebu acheni siasa mbovu nyinyi nyie kila kitu mkilinganiwa bado mna usiasa tu sheikh kasema tudumishe amani nyinyi mnasema haki hivi ni haki gani mnayo zungumzia ,nyinyi kama waislamu jee hamuabudu mnacho taka hamupati kusoma dini yenu nakumjua mungu wenu au mnataka haki gani jiangalieni kwanza nyinyi katika nafasi zenu mnatimiza wajibu maana usidai haki kama hutimizi wajibu,

    • @sheikhasalim1190
      @sheikhasalim1190 20 дней назад

      tunaidumisha wapi hiyo amani bila ya kuwa na siasa za kweli na haki

  • @NaglaSaid-jn1xo
    @NaglaSaid-jn1xo 20 дней назад

    Shekhe unawapoteza watu, unasema bora mtu aje aseme mimi mkinipa uongozi nitakupeni mchele bure wakati ana hakika hana uwezo huo, unatwambia uongo huu ni bora?
    Ni vizuri basi uwaambie hao viongozi kwamba wanapowaahidi wananchi wawaahidi kile wanachoweza kukitekeleza na wasiwalaghai wala kuwadanganya kwani kuna maisha baada ya kufa , hapo utakuwa sawa lakini kwa kuwaambia bira wawadanganye ili wao wapate madaraka hii si sawa na haipo kwenye dini , maana huo utakua ni uongo hivyo unataka kutwambia uongo huo unakubalika?

    • @alikidungura9419
      @alikidungura9419 19 дней назад

      Uwongo wahekma sizambi kasome vitabu vya Dini utajuwa

  • @mohamedjuma1331
    @mohamedjuma1331 20 дней назад

    Unafiki mtupu mbona huseni kama atakeshindwa akubali unatoa ngonjera tu

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 20 дней назад

    Sheikh wamwanzo katika Zanzibar ameusema ukweli.

    • @sheikhasalim1190
      @sheikhasalim1190 20 дней назад

      alaa hakuna aliyewahi kusema kitu enh. hongera kwa kulitambua hilo

  • @oparetionmaalum9030
    @oparetionmaalum9030 20 дней назад

    Huyu shekh anapatikana wilaya gani

  • @BinshakbuHemed-gb2zi
    @BinshakbuHemed-gb2zi 21 день назад

    Huyu. Sheh. Wakunyoa. Oooo

  • @dossantoschannel1808
    @dossantoschannel1808 19 дней назад

    Masjid taqwa huu?